Haki za mke kwa mume- Sheikh Abdul Basit Othman

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Unazijua haki za mke kwa mume?
    Unajua ni yapi yanampa mume haki ya kutompa chakula mkewe?
    Unajua ni marufuku kwa mujibu wa sheria ya kiislamu kumpiga mkeo usoni?
    Katika Darsa hili Sheikh Abdul Basit anayatolea yote hayo na mengine mengi ufafanuzi wa kina.Tunaamini kuna mengi utajifunza kupitia Darsa hili hivyo tunnakuomba usiachea shea(sambaza) link ya video hii kwa wengine ili wajifunze kama ulivyo jifunza.Tusiwe wachoyo wa maarifa,Kushea maarifa ni Sunnah.

Комментарии • 14

  • @a.856
    @a.856 Год назад +2

    Jazakallah khayran

  • @hizwarbinaslan7036
    @hizwarbinaslan7036 2 года назад

    Allh atuongoze..shukran Mzee kw elimu yko..

  • @bammboomm7763
    @bammboomm7763 2 года назад

    MashaAllah shukran kwa mawaidha mazuri.

  • @kulthumsaleh5579
    @kulthumsaleh5579 2 года назад

    Wachache Sana shekhe

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад

    MAASHAALLAH

  • @kassimmohamad3368
    @kassimmohamad3368 2 года назад

    Ma sha Allah wasema ukweli kabisaa ustadh Allah atuongoze tubadilike sote waume pamoja na wake wote jamii Islam

  • @hamzaahmed69
    @hamzaahmed69 2 года назад

    wanaume tuwe waadilifu inshaalah

  • @dawoodeid2000
    @dawoodeid2000 2 года назад

    A nisau

  • @hizwarbinaslan7036
    @hizwarbinaslan7036 2 года назад

    Tunapaswa kuzingatia mno..ii

  • @barkemohamed7760
    @barkemohamed7760 2 года назад

    As,alykm naomba kufahamu na kuuliza kwanza hii mada ya haki ya mke kwa mume kwamtazamo wangu haki zilizozungumzwa zinamgusa mke wa kwanza,swali langu nihivi zipi haki ya mke wapili kwa mumewe ?

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  2 года назад

      hizi ni haki za mke kiujumla,zinamhusu wa kwanza,wapili hadi wa mwisho.

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  2 года назад

      Waalaikumussalam warahmatullahi wabarakatuhu

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 2 года назад

      @@kalamuMedia As Alaiykum sheikh. Naomba kuuliza na je kama umeolewa mke wa pili na bi mkubwa hana taarifa yoyote wala hakuna ndugu yeyote ajuaye hii inakuwaje?

    • @AbuuzuhairMuhammad
      @AbuuzuhairMuhammad Месяц назад

      Shkh mfano mtu aliacha mke talaka zote 3 akaolew yule mke na mume mwengine lkn huyu mwanamke hakurishwa na tabia za mume wa pili je anaweza kudai kuwachwa kurudi mwanzo bila yule mume wa mwanzo kumshawishi ilo swali langu