Haki za mke kwa mume- Sheikh Abdul Basit Othman
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Unazijua haki za mke kwa mume?
Unajua ni yapi yanampa mume haki ya kutompa chakula mkewe?
Unajua ni marufuku kwa mujibu wa sheria ya kiislamu kumpiga mkeo usoni?
Katika Darsa hili Sheikh Abdul Basit anayatolea yote hayo na mengine mengi ufafanuzi wa kina.Tunaamini kuna mengi utajifunza kupitia Darsa hili hivyo tunnakuomba usiachea shea(sambaza) link ya video hii kwa wengine ili wajifunze kama ulivyo jifunza.Tusiwe wachoyo wa maarifa,Kushea maarifa ni Sunnah.
Jazakallah khayran
Allh atuongoze..shukran Mzee kw elimu yko..
MashaAllah shukran kwa mawaidha mazuri.
Wachache Sana shekhe
MAASHAALLAH
Ma sha Allah wasema ukweli kabisaa ustadh Allah atuongoze tubadilike sote waume pamoja na wake wote jamii Islam
wanaume tuwe waadilifu inshaalah
A nisau
Tunapaswa kuzingatia mno..ii
As,alykm naomba kufahamu na kuuliza kwanza hii mada ya haki ya mke kwa mume kwamtazamo wangu haki zilizozungumzwa zinamgusa mke wa kwanza,swali langu nihivi zipi haki ya mke wapili kwa mumewe ?
hizi ni haki za mke kiujumla,zinamhusu wa kwanza,wapili hadi wa mwisho.
Waalaikumussalam warahmatullahi wabarakatuhu
@@kalamuMedia As Alaiykum sheikh. Naomba kuuliza na je kama umeolewa mke wa pili na bi mkubwa hana taarifa yoyote wala hakuna ndugu yeyote ajuaye hii inakuwaje?
Shkh mfano mtu aliacha mke talaka zote 3 akaolew yule mke na mume mwengine lkn huyu mwanamke hakurishwa na tabia za mume wa pili je anaweza kudai kuwachwa kurudi mwanzo bila yule mume wa mwanzo kumshawishi ilo swali langu