Mafundi ujenzi wawili washikiliwa na polisi kwa tuhuma mauaji ya watu wawili Dodoma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Jeshi la polisi mkoa wa Dodoma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili Mariam Thomas na Mariam Timothy wakazi wa mtaa wa Mahomanyika kata ya Nzuguni mkoani humo.
    Watu hao walikutwa wameuwawa ndani ya chumba walichokuwa wakilala katika eneo hilo Julai Mosi mwaka huu.
    Kamanda wa polisi mkoani humo Theopista Mallya amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Vicent Joseph Hassan Innocent Emmanuel Mchaki wote mafundi ujenzi na wakazi wa Mchemu mkoani humo.Jeshi la polisi mkoa wa Dodoma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili Mariam Thomas na Mariam Timothy wakazi wa mtaa wa Mahomanyika kata ya Nzuguni mkoani humo.
    Watu hao walikutwa wameuwawa ndani ya chumba walichokuwa wakilala katika eneo hilo Julai Mosi mwaka huu.
    Kamanda wa polisi mkoani humo Theopista Mallya amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Vicent Joseph Hassan Innocent Emmanuel Mchaki wote mafundi ujenzi na wakazi wa Mchemu mkoani humo.

Комментарии •