Watumishi Wake Baba | Traditional | St. Paul's Praise & Worship Team, UoN |wimbo wa Kwaresma
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Watumishi wake Baba, wangapi waliopo
Wanakula na kusaza chakula chake Baba
Nami nataabika hapa, nashiriki na nguruwe
Chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
Nitarudi na kusema baba yangu nisamehe
Nimekosa kwake Mungu na mbele yako baba
2. Baba kamwona yu mbali kashikwa na huruma
Akakimbia kumlaki kamkumbata na busu
3.Baba yangu nimekosa ninaomba huruma
Unisamehe nirudi nikakutumikie
4. Mimi sistahili tena kuitwa mwana wako
Unifanye kama mmoja wa watumishi wako
5. Wanikaribisha mimi kwenye karamu yako
Meza imeandaliwa inaningoja mimi
6. Nasogea ninakuja ninakukimbilia
Mimi ni mtoto mpotevu baba unipokee
Heri ya pasaka! happy Easter, Bwana Yesu Amefufuka
#SautiTamu #Zilipendwa
. . .
#Mwanampotevu #Kwaresma #SautiTamu
Wimbo wa kwaresma
St. Paul's Praise and Worship Team
Catholic Students Community
University of Nairobi (UoN)
Ni wimbo maarufu zamani wa kikatoliki unaoweza tumika katika kipindi cha kwaresma (lent), wakti wa huzuni, maombolezo, matanga, mazishi, toba, kuabudu, majuto na hata wakati wa kupokea ekaristi (komunio takatifu).
Harmony iliyotumika hapa imetoka kitabu cha nyimbo cha Tumshangilie Bwana.
Related songs from Kenya Tanzania Catholic choirs include Baba yangu Ikiwa Haiwezekani, pasipo makosa mkombozi wetu, Mama pale msalabani, Asilegee Moyowe na Mwanzi Uliopondeka, Bwana kama ungehesabu maovu yetu nani angesimama, Nimekukimbilia wewe Bwana, Ataniita, Hii ni Kwaresma, Kwa Ishara ya Msalaba Tuokoe na Wakupeleka Hukumuni, Nchi Inazizima (Yuda Akarudi),
Ni ile hadithi ya mwana mpotevu - the prodigal son - the lost son.
produced by Martin Mutua Munywoki
Tazama nyimbo nyinginezo za kipindi cha kwaresma katika channel hii kama vile Asilegee Moyowe, Amin Amin Nawaambia, Watumishi wake Baba wangapi waliopo, Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu, nani angesimama, Yesu akalia kwa sauti kubwa, Baba mikononi mwako naiweka roho yangu, Mungu wangu mbona umeniacha, Pasipo Makosa, Kwa nini wasimama mbali, nimekukimbilia wewe Bwana, na nyinginezo.
These are most popular common Catholic Lent songs, holy week songs, Good Friday Songs, Holy Thursday Songs, passion of Christ.
Tazama wimbo wa anayekula Mwili Wangu, nijaposema kwa lugha
Wasambazio na wenzao wanufaike
Oh wow guys! Just wow! This song reminds me a looooot. It was my mum's favourite song. I am sure it blesses her in heaven. We sang it at home each Friday during Kwaresma. Big love from Johannesburg. I will teach my choir members here.
great
It's a nice song indeed touching ...George kinyanjui mum is in heave singing with the angels resting in peace in her father's house.
@@genovevashitsama3831 Thank you so much. May her soul rest in eternal goodness.
7y~j 200 ggg8j
George, may perpetual light continue shining on our dear mum may her soul RIP mum mum singing with the Angels
Hii nyimbo mmeitendea haki nakumbuka mbali sana aisee mbarikiwe
Kama umeipenda gonga like hapa au comment kabisa
Asante Christian
I work outside Kenya..na Huwa nafanya kazi gyt shift but ikifika 1 kwendelea ma work ni kucheza catholic songs Hadi asubuhi 5...am acatholic for life..
Wow, we really appreciate
@@patriciachebet8210 i guess its typo mistake he meant night shift
Tuuko wengi
How this songs makes one relax it's magical 🙏
Today it's ash Wednesday 2024 and I feel blessed with this song 🙏🙏♥️
Same here🙏
2024,Asante kwa wimbo mzuri.
Even when we've gone wrong,we can still go back home because where home is where we belong.
Bwana asema,karibu nyumbani.
Huu wimbo nimeuskia sasa mara ya alfu na moja...kongole familia ya St. Paul's kwa kushiriki chakula kifaacho
🙏🙏🙏
Sauti nazo mmebarikiwa,it so sweet serving God at youthful age.Napenda kurudi kwa Kwaya kutukunza ingawa sughuli kunikumba lakini lazima nitarudi tu Mungu atanijalia.
🙏🙏🙏
Hata kama Babaako umemkosea akakufukuza nyumbani ukimwimbia huu wimbo atakupa mpaka Mali zote na kukusamehe. Asante sana sauti zenu tamu sana from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🙏🙏🙏asante
Amen amen
Ameni ameniiii
Nimebarikiwa sana na huu wimbo umeboreshwa vizuri sana naurudia kila wakati utanimalizia MB hakika mmejitaido hongereni sana majirani zetu Kenya 👏👏
Am I the only one who prefer the song at a slightly higher playback speed. Check it out here and compare.... I would like to know your feedback
ruclips.net/video/dbIdKPMWjdw/видео.html
Finally i found the song I have been looking for ages.
Big ups St Pauls UoN
Me too😂
Me too
Wow I remember I use to sing this song with my mom 2004 when watu wa choir ilikua imeanguka,the all misa na imba na my mam because sisi ndio tulikua maskini kanisani 😭😭😭nimetokwa na machozi,nilipoona huu wimbo
Thank you for sharing the great memories
Be blessed
Watu huwa wanatoka balii used to go to church with school shoes na school uniform i remember i used to practise the song while i was very young nikiwa ata sina shiringi tano ya kutoa sandaka
Am acatholic man .wen I listen to catholic songs Huwa nafeel Niko closer kwa mungu wallai..nani Huwa anaskia vile Huwa naskianga...❤❤❤
Thanks so much Wilfred
when you say wallai do you know you are exalting another deity , the god of the arabs.
Who would press 'thumb down' on such a masterpiece?
Well done St. Paul's UoN P&W choir
I can't tell why or how but there's a way this song touches me. I get unexplainable shivers whenever I listen to it.
Thank you so much
Mmeimba vizuri sana. Hongereni sana. Nafikiri mtapatana na wazazi wetu pia. Big up! Toka Tz
Proud to be a Catholic 👍👍👍👍👍
Blessings to you
Blessings to you
My God forgi e all our sins (Tutubuni tafathalini).
Komunyo ya kwanza mwaka 2000, dah mbali sana
Ubarikiwe
Hiyo bass... wa. hawa wanaume wananguruma serious. nimekubali..
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
during this time in the world people are experiencing the worst, because of the pandemic affecting humanity its a wake up call to go back to our merciful father who will welcome us back despite our shortcoming and sinful nature though lost because of materialism and worldly pleasure he is patiently waiting for me and you to go back to our inner self the song is an invite it has consoled me very much. thanks our brothers and sisters for harmonious vocals .
Very solemn befitting lent season and true. True repentance procedure.
Reminds me about my mum 😢😢😢😢 continue resting in peace mum till we meet again 😢😢😢
Reminds me of school days nyakati za Kwaresma.
Yes. This song is very common during the lent season
Mungu awape nguvu muendelee kumuimbia, hakika mnanikosha sana from mwanza Tanzania 🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👊
Asante
Naipenda hizo nyimbo through mi mother coz mm nilikuwa mtukutu xana.
Naomba Mungu anisaidie kweli. Am from far then am heading far with Jesus
Christ. Amen
Amen
Not catholic but I love this song...we serve a mighty God
You don't need to like a song because it's sang by your church.
We are all worshipping the same God. Let's join in praising his name regardless our religious affiliations
Amen welcome home!
When that man left the pigsty and on his way to his father he was in the state of true contrition. That is the state we should all be in while we approach our Father in heaven for forgiveness of our sins.
True
Amen
Watumishi wake baba wanakula nakusaza chakula chake baba asante sana kwamaneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu tunapo anguka katika zambi inapashwa kuomba msamaha kama alivyo fanya mwana mpotevu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu zaroho mtakatifu ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
I repented olmost every saturday undergoing cancer stage 4 treatment..and the Lord forgave me my sins and healed me
Wooow. God bless you
This song reminds me of high school days when we would go for mass outside the school church..i am not catholic but i really got used and love catholic songs
Thank you, and be blessed
9
I like how you added lyrics to this classic song, I wish I could listen to more classic traditional local Catholic songs of this quality, thanks so much, be blessed
No Lent without this
Thank you Paul
This song came to mind today in the morning and mind you I'm not even a Catholic but I think it's because I went to a Catholic Highschool plus I really loved the Catholic songs
Thank you Linda
Huu wimbo ni mzuri xana nimekuwa nautazama xana youtube je mnaweza kunitumia kwa njia ya whatsApp
Ubarikiwe. Reach us via email sautizakuimba@gmail.com
Nimekumbuka Roleto Girls in Mwanza 2002-2015. It was our daily song
This song is well done big up dearest students of Nairobi University. Proud of you I followed you from Bujumbura - Burundi
This was the gospel from todays mass; [the prodigal son] March 27th, 2022. I couldn’t wait to get to this song. Wonderful!
Thank you 🙏🏻🙏🏻
Baba yetu Mwema utupokee sisi tunaorudi kwako tuliokuwa tumetumia vibaya urithi wetu ulotupa Amina.
Amina
Chakula kisichofaa...mojawapo za methali ninazozienzi sana kwenye bibilia...hongereni
Hongeren sana, Yatupasa kurudi kwa baba na kusema baba nisamehe
Amina
Be blessed
Wimbo mzuri Sana kwani yatupasa kurudi kwa baba
Good song👊
This song reminds me of my school days when our spiritual teacher would always lead it in choir and I developed its interest based mainly the content God bless u big👏👏
Am I the only one who prefer the song at a slightly higher playback speed. Check it out here and compare.... I would like to know your feedback
ruclips.net/video/dbIdKPMWjdw/видео.html
God,I turn onto you,I ask for forgiveness,🙏🙏🙏
Amen
Hongera sana wimbo mmeutendea haki mbarikiwe vijana
Good job keep it up guys
Thank you! Will do!
Nimembalikiwa sana n huu wimbo wenzangu turundieni kwa bwana
Amina
Safi Sana hongere sauti ya tatu mnanipa Raha Sana
Shukrani
Just love this song and wish they could sing more traditional catholic songs. Well done U.O.N. choir.
Well said! I’m publishing a weekly RUclips video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you......
@@josephzammit8483 ilovethissong
Huu wimbo umenituliza roho hakika.
Asante
More than 20 years since high schooling in a Catholic school,the song still fresh in my mind.Kudos Nyabururu Girls!
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@@SautiTamu qqq
Barikiweni tumebariwa sana
Asante
Kazi njema ...barikiweni.
Thank you, ubarikiwe pia
Lord please welcome me back home after going astray for several years 😭😭😭😭😭
Amen
Mbarikiwe mmeimba vzr xana
Shukrani Fredrick, ubarikiwe nawe
This song is great perfect afathali iko kuliko izo ahili penzi la ukwele
Thank you so much
My favorite song daima
Thank you
Nisamehe BWANA YESU 😢😢😢
Amina
🙏🙏🙏
My school days at st.marys junior seminary kwale 🎉🎉
Thank you
Wow, great song, it reminds me of our late Archbishop Raphael ndingi, RI P
Asante Susan.
Very good song mey god yuo all
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Pongezi nyingi kwenu kwa mpangilio wa nastair nzur kwa nyimbo zenu na sauti nzuri,big up kwa mwl wa kwaya
🙏🙏🙏
I love this song so much! I studied in a Catholic school so I got to learn about this song when I was class 2. It was my favorite! Thank you all for this! I’m blessed 🙏🙏
Be blessed too, thank you
Mungu awabariki sana
Hello???
Katika maisha heshimu kila mtu kwa maana sote ni mfano wake mungu.
Amina
This is a nice and nice song i liking it congratuation to you
Thank you Thadeo, God bless you
Wakati nasikisa nyimbo Xenu Aki roho yangu upona mbarikiwe na mola awaongese nguvu mirere
Amina
Mavazi yasibane Sana jamani kazi tamu
Jkl
This sing lift my spirit this morning. God bless you my favourite catholic choir. I feel blessed to be a catholic. I love listening to Swahili catholic songs.
Be blessed Marie
Non like you continue praising God because he is coming with you gifts may Almighty JAH bless you
Amen.
God bless you
Nami nataabika hapa duniani
Goooood
sauti tamu kweli mna sauti tamu
Shukrani
Dah huu wimbo unanikumbusha nilipo pata komunio '89👍
Mungu awalinde mzidi kutupatia vitu vizur kama iv so amaizing ukiusikiliza unabarikiwa
Asante Cessy
My very first Bible scripture. Thanks for the song, I was taught in 1973.
Mama ni mama n'a ni mwenye upendo sana juu yentu anatuombea ki
A timely song,wow am proud to be a Catholic
i love this song, old is golden
Well said! I’m publishing a weekly RUclips video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you......
Nice song it reminds when I was 15 years when I attended the Good Friday mass in Msalaba Mkuu Parish, Catholic Archdiocese of Songea, Ruvuma Tanzania
🙏🙏🙏
Nice for good song
This song makes me really aspire for Holiness. Wonderful and divine voices. Thank you for doing the best part of evangelisation. Let us praise God until we receive vitam aertunum in caelis.
Well said! I’m publishing a weekly RUclips video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you......
I can listen to this song Hundred times.
Be blessed
@@SautiTamu Amen Amen
Tukiri makosa yetu turud kwa baba mbinguni ktk hali nzuri
I think I see Rosemary if I'm not wrong which I'm not. Congratulations guys I'm so so happy to come across this masterpiece 🎉🎉🎉🎉Nimekosa kwake Mungu...
Yes That's Rosemary
St alloysious kanyakine..i miss the school
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
This has always been my all time favourite song right from my teenage years. Very profound message about our loving father. It speaks to me personally.
Thank you Stella
Maneno hamboyo yametamkwa kwawimbiuu unanipamiyo ninashiri nanguruwe ewe YESU nisamehe mimi niliye shiriki naguruwe nikurudiye maishani mwangu daima
Not a catholic but i love their sermons especially choir n vile hukua ngumu kiasi
Thank you so much Njoki
Amen Alleluyah,nimebarikiwa na huu wimbo Tena nakutafakari,(Binti nazo awww amen)
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
0.08 MWANA MPOTEVU AKIWA NA WAREMBO HIYO NI KALI SANA
😊😊 thank you
Mbarikiwe Sana wale mnaolikumbusha kanisa vionjo vya zamani Kama hiki
Amina, ubarikiwe pia
Amen,tuned from pipeline
Ubarikiwe
The piano it’s so good
Thank you 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Corona brought a lot of sadness in the world but this song brings joy, happiness and it's uniting the world, asanteni Sana, from Maryland U S A
Yanipasa nirudi 😭😭😭
amina
Proud catholic..I always enjoy listening to great music especially from UON choir
Ubarikiwe🙏🙏🙏
@@SautiTamu amina.
Nimebarikiwa sana Mungu awajalie heri njema YA pasaka
Amina
Waooooo! My lovely song.congrats st paul
Wimbo tamu aki
Shukrani Lydia
wow nzuli sana
Asante, be blessed
From Tabora- Tanzania Actually I congratulate you for good work. Am feeling blessed with your song. May God bless you all. Thanks
Asante Victor, ubarikiwe
🙏🙏🙏🙏
Reminds me of my Primary school days we could sing this song every Assembly day.
Awesome, be blessed
Nimebarikiwa xana kutoka ndani ya roho yangu mpaka nje
Asante, ubarikiwe
The song reminds my baptismal catechism 32 yrs ago. I really love the song especially when preparing for contrition.
Be blessed