HOUSE GIRL EP 47 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 670

  • @KhadijaAbdallah-kx8oi
    @KhadijaAbdallah-kx8oi Месяц назад +8

    Chiko kitakuja kumlamba mm nipo ap wanaoamin chiko kitamlamb nomben like zenu jmn

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto 2 месяца назад +61

    Jamani neno uvumilivu kumbe Lina uzito namna hiii😢😢candy jamani utawezana kweli ?? Team zuuh njooni tuungane hapa 🫂🫂🫂❤❤🎉🎉

  • @HyasintaWisdom
    @HyasintaWisdom 2 месяца назад +188

    Wanaosem mke wachiko sio mgumba twanga like ap❤😂😂

    • @SalvinJastin
      @SalvinJastin 2 месяца назад

      Kabisaa chiko kinamramba sio mda mrefu🤣🤣

    • @OlyUpowerfuljesus
      @OlyUpowerfuljesus 2 месяца назад

      Wanawake wakiona mwanaume haeleweki wanagoma kushika mimba

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq 2 месяца назад +2

      Ukiwa unafatilia kwl hii movie unajua waz km chiko hana mbegu😂😂😂😂😂

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c 2 месяца назад +2

      Ww wifi siku yako yaja unafurahia mateso ya wifi yako ilhali ww ni mwanamke na umeolewa

    • @user-un5yq5wh8x
      @user-un5yq5wh8x Месяц назад

      Tunajua kabsaaa mke wa chiko wala sio mgumba ila chiko ndo ana shida😢😢

  • @user-hx5vv5do8i
    @user-hx5vv5do8i 2 месяца назад +52

    Anaeungana nakuona kabisa candy anaenda kuzurumiwa nyumba na Dada ake masozy gonga like

  • @GraceMlay-pv6bc
    @GraceMlay-pv6bc 2 месяца назад +8

    Wanaomkubali Tasha gonga like tujuane

  • @hajimwendo
    @hajimwendo 2 месяца назад +86

    Jamaan like kama zote kwa zuuuh ❤❤

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 2 месяца назад +48

    Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @fatuma6011
      @fatuma6011 2 месяца назад

      Candy shida yako huwez kunyenyekea hilo ndo tatizo huwez kujishusha

    • @turehemungailo8048
      @turehemungailo8048 2 месяца назад

      Ok

    • @turehemungailo8048
      @turehemungailo8048 2 месяца назад

      Sania utaman kumuingiza box tasha lakin tasha anakwepa sana

    • @AmanDaud-h9d
      @AmanDaud-h9d Месяц назад

      👏👏👏👏👏👍👍👍🫂

  • @user-lk6mj3yh9r
    @user-lk6mj3yh9r 2 месяца назад +10

    Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana

  • @ReginaAli-f3d
    @ReginaAli-f3d 2 месяца назад +176

    Ambao jana walisubiri adi saa sita like hapa tujuwane 😂😂😂

    • @Mwanajumahassan-tg3zg
      @Mwanajumahassan-tg3zg 2 месяца назад +3

      😂😂😂jamani caddy huyu anavituko loo shukran nyote Mr Tasha kua makini nyoka huyo ajificha tu mambo moto thnx all muko sawa

    • @user-zf8jx2zj9u
      @user-zf8jx2zj9u 2 месяца назад +3

      Umejuajeeeeee😂😂😂🎉

    • @NdiwaIvone-eo9hh
      @NdiwaIvone-eo9hh 2 месяца назад +4

      Tupo😂😂😂😂😂

    • @user-ck7gb7rf2b
      @user-ck7gb7rf2b 2 месяца назад +1

      Maskini Sania😭😭😭

    • @CelenaJacob
      @CelenaJacob 2 месяца назад +1

      Nipo nlikaa had saa7😢😂😂😂

  • @ImeldaGaitan
    @ImeldaGaitan 2 месяца назад +6

    Kandy unanifuraishaa😂😂😂Huna subira hata kidogo kwa mama duuh!binafsi unanifuraisha kazi Zurich safi

  • @user-iw6wi6dt8b
    @user-iw6wi6dt8b 2 месяца назад +97

    Anaye amini Tasha na zatiti wataoana gonga like hapa

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u 2 месяца назад +8

    Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma 2 месяца назад +11

    Wale kwa kusoma comment movie ikiendelea kuja hapa kuto na gumzo😅😅anyway kazi nzuri guys 🎉🎉❤kutoka kenya

  • @rinciakhasoah
    @rinciakhasoah 2 месяца назад +35

    Ndokufika nilikwa maandamano 🇰🇪 🇰🇪 nipeni likes 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 2 месяца назад +10

    Jaman wewe chiko na dada yako hiyo mutawumbuka kweri😮😮😮

  • @AngelMahenge
    @AngelMahenge 2 месяца назад +26

    Tunaompenda zuu gong like

  • @user-bq9zj5sm7i
    @user-bq9zj5sm7i 2 месяца назад +22

    Chiko anavyo jishauwa ss ngoja limshuke baada ya kuambiwa mimba sio yakr😂

  • @brayoomontana5011
    @brayoomontana5011 2 месяца назад +51

    Wa Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni like 🔥🔥🔥🌍🌍🌎

  • @HidayaamaniSuleimani
    @HidayaamaniSuleimani 2 месяца назад +11

    Kai km hujavaa hayo masuti yako unapendeza mashallah

  • @VenahKemuma
    @VenahKemuma 2 месяца назад +8

    SI hizi move sometimes Huwa za kweli mungu wangu usiruhusu niyapitie haya

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 2 месяца назад +25

    Niwamwisho kutoka Kenya kama wampenda zuu na Kai wakiowana gonga like 🎉🎉🎉

  • @FARAJAJAMESLEONARD
    @FARAJAJAMESLEONARD 2 месяца назад +36

    Hakuna viumbe mnaoboa kama hawa waomba like yaani mnaniudhi adi siyo poa badala msaport kazi mnakuja kuomba like

  • @UmmyShabir
    @UmmyShabir 2 месяца назад +29

    Leo nimewahi jamaneeey mwaga like kwa busati tv plz❤❤❤

  • @RazikeRara
    @RazikeRara 2 месяца назад +13

    Wangapi wanamkubali zuu kwa heshima yake mmi nkiwa wakwanza ❤❤🎉🎉

  • @Nailah736
    @Nailah736 2 месяца назад +6

    Wooow 🎉🎉Acha nikae sasa nisikize mafunzo ya leo❤❤

  • @wasule6253
    @wasule6253 2 месяца назад +8

    Mmmh Candy umenishinda tabia kumbe msamaha wenyewe unaomba kinafiki

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 2 месяца назад +10

    Jana sijala 😂😂😂😂Hadi saa saba ila kai amempata zuuu wanawake wote duniani tumuigeni zuuu ❤❤

  • @user-jn8wk9il8j
    @user-jn8wk9il8j 2 месяца назад +4

    Waaaaah Sania umenweza leo Tashaaaaa kula chumaichoooo na ww kai wangojwa harkish ukafurahikie uwep wa mchumbaaa

  • @FurahishaMtendjwa
    @FurahishaMtendjwa 2 месяца назад +11

    🇨🇩🇨🇩 siye ndo wakwanza mikono yulu

  • @anethvicent5870
    @anethvicent5870 2 месяца назад +20

    Watu hawalal wanasubir kwa hamu ongezeni hata dakika jamani❤❤

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 2 месяца назад +7

    Ivi chiko na Dada yako zamu yenu ipo subiri kicha Candy aanze kuwa mwagia uga ndomta jua kua Ndondo siomboga zakulia ugali . Candy! siomvumilivu atakido subira uvuta kheri. Zuu! fulahia penzi lako muke mwenzako yupo kuhanga ikakuomba ladhi kwamzazi wake inashindikana jivunie uwepo wa Kay! Mungu ayibariki Ndoa enu. Sania! Ndoa tamu umea mua kuomba u HOUSE GIRL . Pole sana mpenzi mbashala🎉🎉❤❤

  • @jacksonkahindi3235
    @jacksonkahindi3235 2 месяца назад +7

    Hebu ngoja kidogo. Hivi huyu anae taka kuitwa shangazi vpi alizaa ama ni wale kuolewa aaaah 😂😂😂

  • @neemakoi6635
    @neemakoi6635 2 месяца назад +5

    Asalamualeykum kai usitumie jazba tumia busara sawa babangu😊❤❤❤❤🎉

  • @momkhan-hc7zh
    @momkhan-hc7zh 2 месяца назад +4

    🤣🤣nampenda kaka ake candy yaan huyu muhun kwel

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 2 месяца назад +5

    Mashallah ❤❤❤❤❤

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 2 месяца назад +5

    Like Leo naziomba mweeeeeh 🎉
    Busati TV mko vizuri ❤

  • @ashaathman-k4n
    @ashaathman-k4n 2 месяца назад +4

    ❤my favourite movie jana nilisubiri sana

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 2 месяца назад +5

    Tunawapenda nsana jaman wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-ie8cu9vm6p
    @user-ie8cu9vm6p 2 месяца назад +1

    Cand canda😂😂😂😂😂jaman utaniuwa we mtoto nawapenda nyote kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 2 месяца назад +68

    Jamani naombeni like hta 10 wenzangu mnaoangalia movie yetu pendwa

  • @ShakiraIbrahim-e7c
    @ShakiraIbrahim-e7c 2 месяца назад +5

    Anapendeza hafu nimzur kwel yan dah!

  • @salmaseleman3841
    @salmaseleman3841 2 месяца назад +4

    Tuliopenda msimamo wa mama shida tujuane

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 2 месяца назад +3

    Watu hawalali jaman ❤❤❤❤ kazi nzuri

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ 2 месяца назад +13

    Oya Leo nimewahi kidogo team Khai tujuane kwa comment

  • @lailatbakar5829
    @lailatbakar5829 2 месяца назад +9

    Jamani! To be honest mimi nampenda sana Candy kwa uhusika wake... Hongera kwakeeee

    • @user-of5fe3jj1g
      @user-of5fe3jj1g 2 месяца назад +1

      Amecheza ipasavyo

    • @RoseNjoka_23
      @RoseNjoka_23 2 месяца назад +1

      Ni kweli kabisa

    • @MwaliSuleih
      @MwaliSuleih 2 месяца назад

      Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DariaMichael-xg7pu
    @DariaMichael-xg7pu 2 месяца назад +6

    Nmewahi namimi leooo😊😊

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 2 месяца назад +4

    Anae mpenda candy ujue nayeye anatabia za candy yaan simpendi Kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DolikasiErisha
    @DolikasiErisha 2 месяца назад +5

    Mmmh mawizooo tunao natunatambanao😅

  • @IrenaFrance-zk8sf
    @IrenaFrance-zk8sf 2 месяца назад +4

    Sania sania sania upo vzr ngoja namimi nimuoge zuuu😁😁😁

  • @KibibiRajabuu
    @KibibiRajabuu 2 месяца назад +13

    Leo kidg nimewahi pongez kwen wan busat TV bila kusahau kuomba omb like namim😅😅😅

    • @PriscaMhawila
      @PriscaMhawila 2 месяца назад

      kwan like zinàfaida gani 😂

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika 2 месяца назад +6

    Tujuane kwa salamu Leo jamani❤

  • @Mamygumbo
    @Mamygumbo 2 месяца назад

    Hakika tasha ni rafiki wa kweli marafiki kam hao ndo wakuwa nao kwan wanakuwa nawe kwenye shida na raha mauwa yako tasha🌷🥀🌻🌸💖♥️❣️

  • @user-ni8eh1fv4q
    @user-ni8eh1fv4q 2 месяца назад +6

    Daah watu wanalala RUclips 😂😂😂 jamani

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t 2 месяца назад +6

    naomben like jaman 🎉🎉pamoja n kuchelewa

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 2 месяца назад +4

    Nilitaka nishangae shida huyu huyu amalize salama karogwa au 😂😂😂😂😂😂😂😊

    • @nadhrakhelef6257
      @nadhrakhelef6257 2 месяца назад

      Msamaha ni kitu kidogo ktamka lkn nikikubwa ukifanikiwa

  • @RahimaRahima-ig6vm
    @RahimaRahima-ig6vm 2 месяца назад +5

    Wewe 😂😂😂 Leo Cha asubuhi timu zuu and kai😅😅😅🎉🎉

  • @user-oy4ew3tp6r
    @user-oy4ew3tp6r 2 месяца назад +9

    Walahi akuna mtu amenipendesa kaa Sania ❤❤❤❤

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 месяца назад +6

    Kwhy mambo yanapoenda vbaya ndo unaenda kuomba samahan

  • @JaneveeThomas
    @JaneveeThomas 2 месяца назад +15

    Leo mapemaaa 😀 kama unaielewa house girl gonga like apa 😊

  • @user-qc5en6fo1u
    @user-qc5en6fo1u 2 месяца назад +2

    haaah Sania umeishiwa kwa kweli 😂 hivi inafikia ku hali ya kuomba tasha Uwe house girl wake duuh maisha bwana😢😢

  • @MwanajumBeyawa-j5w
    @MwanajumBeyawa-j5w 2 месяца назад +3

    Nipo wallah hongereni

  • @Gene-x2w
    @Gene-x2w 2 месяца назад

    Nakupendasana Tasha ❤❤nawapa ongera sana wangu awawezeshe da zuu usi ace kupigagoti❤

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 месяца назад +4

    😂iyo simu ya dada ake chiko kama remote

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi 2 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @marymele9714
      @marymele9714 2 месяца назад

      😅😅😅😅yeye mwenyewe anakaa kama hiyo sm

  • @ConfusedBabyOctopus-cb2ee
    @ConfusedBabyOctopus-cb2ee 2 месяца назад +5

    Aiii mbona mnasukuka tu mahali moja

  • @NuruIbrahim-ue1if
    @NuruIbrahim-ue1if 2 месяца назад +15

    Sijawahu omba laki ata moja ila kama unasema Tasha atakunali ombi la Sania gonga lafiki hapa

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u 2 месяца назад +2

    Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh

  • @AsheryGaudence-tx1kc
    @AsheryGaudence-tx1kc 2 месяца назад +11

    Kutoka kongo nakubali sana🎉🎉🎉

  • @shigangakelvin1
    @shigangakelvin1 2 месяца назад +5

    Nipo Leo mapema kutoka kenya

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 2 месяца назад +11

    Jamani dakika 4 nimekua wa 40😢yani kunawatu hamulalami ikiingiya tu munayo haya twende kazi busati tv hatulali🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 2 месяца назад

    Zuuu unajuwa kuigiza kbs nakupenda sana ubarikiwe❤❤🥰🇧🇮

  • @user-rz7kv9pn8m
    @user-rz7kv9pn8m 2 месяца назад +5

    😂😂😂😂nimejua tu candy hatastamili lazima atoe uhalisia wake,ukirud kwa masozi upate yy na mpenzi wake wamekutoroka na hati ya nyumba apo ndo utapata shida kama jina lako😂😂,chiko nae kinaenda kumramba mana ujauzito wa candy sio wa kwake,😂jamani msichelewe kuleta muendelezo movie inaenda kunoga

    • @GreatestSwordsman
      @GreatestSwordsman 2 месяца назад +1

      Nathani itakuwa hvy kabisa 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 2 месяца назад +3

    Namkubal sana Mr Tasha❤❤

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 2 месяца назад +1

    it's candy si mwingne 😂😂😂 hajui kunyenyekea

  • @user-ck7gb7rf2b
    @user-ck7gb7rf2b 2 месяца назад

    Zuu kaumbika jamani alfu mungu kampa sura yakuigizia😂😂😂 nkupenda zuuuuuu

  • @user-hf7pk2lx4v
    @user-hf7pk2lx4v 2 месяца назад

    Kwa kweli mwenye alipea candy hiyo part kwa kweli alijua anajua kuingiza kazi nzuri candy

  • @MarianaMwakatoga
    @MarianaMwakatoga 2 месяца назад +9

    😮cand hajui namna ya kuomba msamaha, mwache mama atoe sumu inayomtesa we nyenyekea hata akikutukana we sema nisamehe😂

  • @Hidaya-os1pg
    @Hidaya-os1pg 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂 candy akili zako zikoje 😂 unaombasaha kibabe jaman we kiboko akili zako na jins ulivyo mnafanana du hatar😂

  • @MariahJuliuss
    @MariahJuliuss 2 месяца назад

    Ahsantee sana mwendelezo tafazali brother

  • @user-ii3rb6uj7g
    @user-ii3rb6uj7g Месяц назад +1

    Yan zuu anamaneno matam from kaka kai to baba

  • @buru1235
    @buru1235 2 месяца назад

    Mama Kitombi candy am proud of you mum don't give up akwende n uko wallai mm namchukia yngu yte 😀 😀😀😀 waah team zuu twende n hii🍷🍷🧇

  • @princeliamblack3895
    @princeliamblack3895 2 месяца назад +2

    AP ch kufany unanpa like n mm nkuptia

  • @Maimunaathuman-bf8cp
    @Maimunaathuman-bf8cp 2 месяца назад

    😅😅😅😅 jaman candy kiboko khaaaa😅😅😅😅😅

  • @JenniferQueen-n2i
    @JenniferQueen-n2i 2 месяца назад +5

    Namba one today

  • @user-qu4qy3lp8y
    @user-qu4qy3lp8y 2 месяца назад +2

    Namuona zuu Mrs Kay naipenda hii couple❤

  • @jedenecosta
    @jedenecosta 2 месяца назад +1

    Nimefurahia filamu
    Hi naitazama naupendo wadati❤❤hongera sana

  • @baiyatwaha8824
    @baiyatwaha8824 2 месяца назад +9

    Tatizo candy uwezi kuvumilia ata dakika kumi usemwe 😂😂 iyo ndio shida yako Kama jina lako

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u 2 месяца назад +2

    Wifi acha ubaya sio poa Leo kwa wifi Yako kesho kwako ma wifi mh hayo ndio mambo yenu

    • @nahimanabella2478
      @nahimanabella2478 2 месяца назад

      Kwani yeye alitegemea nini??
      Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa

  • @DeboraJems-zs7fr
    @DeboraJems-zs7fr 2 месяца назад

    Mmmmmm busati muwe mnamalizia movie vizur jamnii wapendwa man siyo kwa ufupi huo

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l 2 месяца назад

    Zuu umekua mwalimu wa sania na candy wanajipigia magoti kishenzi yani😂😂😂hongera sana daa zuu❤❤

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba 2 месяца назад

    Congratulations for good work 👏 🙌

  • @ShAMIMURASHIDI
    @ShAMIMURASHIDI 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂Jmn candy ww too much umeshindikan Dada ang kwa kwely😂😂😂😂😂

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 2 месяца назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sania 😂😂😂😂😂 anatafuta mbinu 😂😂apate mume 😂😂

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th 2 месяца назад +6

    Kunakubadilika kutoka kwenye tabia mbaya kwenda kwenye tabia nzuri ❤napia unaye muona mwema leo kesho akawa muovu vilevile tujifunze katika maishaa

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 2 месяца назад

    Hahaha 🎉🎉🎉kamukonde wew unataka kazi ya ndani 🎉🎉🎉

  • @user-wy7uw1ih5r
    @user-wy7uw1ih5r 2 месяца назад

    Leo candy kajiita shida😂chakunifurahisha kasahau nayenye ya memubeba😂😂😂

  • @dalilaabdulkarim4458
    @dalilaabdulkarim4458 2 месяца назад +3

    Zuu ndie mke sahihi kwako kai😊

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 2 месяца назад

    Jinsi zuu anavyomuita kai "baba" sasa😂😂😂 pathamuuuu❤....busati hoyeee🎉🎉🎉

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo 2 месяца назад +5

    Watat jaman naombni lik

  • @user-ox5yn1co5u
    @user-ox5yn1co5u Месяц назад

    Sania hawezi badilika😂😂😂😂😂hapa Tasha yupo matatani

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 2 месяца назад +1

    Kila siku huchelewa tu mm team strong 💪 twendeni tukaoshe hamamu 😁😁😁