Nimekuwa nifatilia hii biashara ya forex kwa mda sasa naona ni mda wa kuingia maana nimeifatilia kwa mda sasa ngoja nimalizie na kozi yako naamini kuna kitu ntapata pia
Boss thanks for sharing that madini, but swali langu ni kwamba vp kuhusu kuwthdraw profit yako inapokua interms of USD napo ili upate faida kubwa zaid utaangalia trend ya USD kupanda thamani ndo utoe ama haina effect kweny kuwthdraw????
Rate ya kwenye ku withdrawal hua inategemeana na njia unayotumia ku withdrawal mfano kama ni njia ya bank basi rate ya ku withdrawal hua ni ile ya kwenye bank husika unayotumia
GACHARO 4G Physical Training na mentorship tunafanyia ofisini kwetu urafiki ubungo, dar es salaam, pembeni ya jengo la kituo cha polisi cha urafiki. Pia kuna online trainings kwa watu walio mbali na ambao hawawezi kufika ofisini kwetu ambazo zinafanyika kupitia app ya zoom. Training ni one to one na inachukua week 2, ambapo kutakua na darasa la mfululizo jumatatu hadi ijumaa kwa masaa 2 kwa hizo week 2 (Kuna special cases ya kuomba kufundishwa masaa mengi kwa siku ili umalize content yote kwa week 1 ili kuanza practice mapema). Baada ya darasa la week 2 mfululizo, kinaanza kipindi cha mentorship ambapo utakua unayafanyia practice yale uliyofundishwa huku ukipata usikamizi wa karibu kutoka kwa mentor hadi pale utakapokuwa comfortable na uwezo wa ku trade mwenyewe(mentorship is lifetime). Gharama ya training pamoja na mentorship ni 250,000 fixed onetime payment. Darasa linaanza siku yeyote. Pia kuna trainings kwa mfumo wa videos ambazo zinapatikana katika tovuti yetu www.tradewithsabayo.com pamoja na www.scalpkingsfx.com
Mbone mimi nataka nifanye hivyo ndaanza aje?
Nimekuwa nifatilia hii biashara ya forex kwa mda sasa naona ni mda wa kuingia maana nimeifatilia kwa mda sasa ngoja nimalizie na kozi yako naamini kuna kitu ntapata pia
Umepata??
Thanks for explanation
Nambie BRAZZA vipi hamna group ata la WhatsApp basi tujiunge ili tuwe tunapata signal???
Thanks
Tunashkuru.ila katk somo lingine ingekuwa vema sis tuwez kusoma unayoyaongea.hatuoni vizuri maandishi ya screen
I feel it
Thanks for your explanation
Kaka wewe unajua kufundisha sana
Great work,,i am a kenyan and the way you explain is easy for a begginer to understand thanks so much.
Broker hapa Tanzania nitampata kama Eg Solomon
thanks for sharing .u are the best
ATA Mimi nko kwenye maeneo ya kenya..nimependa unavyo eleza
Asante kwa maelezo .....samahani nataka kujua akaunti nafungua vipi???
Wow! Best Forex Broker with M-PESA. It is very easy and profitable for traders.
Yes I need broker
Within minutes currency price can rise and fall
Boss thanks for sharing that madini, but swali langu ni kwamba vp kuhusu kuwthdraw profit yako inapokua interms of USD napo ili upate faida kubwa zaid utaangalia trend ya USD kupanda thamani ndo utoe ama haina effect kweny kuwthdraw????
Rate ya kwenye ku withdrawal hua inategemeana na njia unayotumia ku withdrawal mfano kama ni njia ya bank basi rate ya ku withdrawal hua ni ile ya kwenye bank husika unayotumia
@@scalpkingsfx7493 nitampataje broker mzuri
Unaelezea vizuri sana mpaka hapa naelewa vizuri
nice job
Nice
impressive
Checked
Uko vzuri sana bro
Very good
Asante sana. Nimekuwa nikifuatilia elimu hii kwa umakini sana. Bado najifunza na elimu hii imekuwa msaada sana
Vipi kwa anaehitaji elimu zaidi. Bei zako zikoje
GACHARO 4G Physical Training na mentorship tunafanyia ofisini kwetu urafiki ubungo, dar es salaam, pembeni ya jengo la kituo cha polisi cha urafiki. Pia kuna online trainings kwa watu walio mbali na ambao hawawezi kufika ofisini kwetu ambazo zinafanyika kupitia app ya zoom. Training ni one to one na inachukua week 2, ambapo kutakua na darasa la mfululizo jumatatu hadi ijumaa kwa masaa 2 kwa hizo week 2 (Kuna special cases ya kuomba kufundishwa masaa mengi kwa siku ili umalize content yote kwa week 1 ili kuanza practice mapema). Baada ya darasa la week 2 mfululizo, kinaanza kipindi cha mentorship ambapo utakua unayafanyia practice yale uliyofundishwa huku ukipata usikamizi wa karibu kutoka kwa mentor hadi pale utakapokuwa comfortable na uwezo wa ku trade mwenyewe(mentorship is lifetime). Gharama ya training pamoja na mentorship ni 250,000 fixed onetime payment. Darasa linaanza siku yeyote.
Pia kuna trainings kwa mfumo wa videos ambazo zinapatikana katika tovuti yetu www.tradewithsabayo.com pamoja na www.scalpkingsfx.com
@@scalpkingsfx7493 mkuu nmekufatilia sana nahitaji mawasiliano yako
Hbr ofisi zipo ubungo sehemu gani?nipo dar
Opposite na geti la kiwanda cha urafiki au pembeni ya kituo cha polisi cha urafiki
Urafiki ubungo pembeni ya jengo la kituo cha polisi cha urafiki. Unaweza angalia kwenye google map kwa ku search SCALPKINGS FX
@@scalpkingsfx7493 Appreciated
@@scalpkingsfx7493 na vp kwa mkoa wa dodoma?
Sawa tupo elezea tuelimishwe vizuri kuhusu broker hapa Tanzania
Mbona video kwangu sioni
Respicia Kanimba nitawezaje kufungua account kwa broker
Kaka ningependa suku1 tungekutana
Karibu sanaa ofisini kwetu.
Urafiki industries Estate
Block J, 2nd floor, room 16
Ubungo, Dar es salaam
Kaka na mm nitakuja ofisini kwenu napenda kujifunza zaidi
Nipe contact zako nataka
Jimison Pius 0719923502
@@scalpkingsfx7493 unapatikana wapi bro kesho nikuone
@@scalpkingsfx7493 pw bro ngoj tukuchek
Nataka unifundishe support and resistance tu ni shilingi ngapi
punguza story ....
acha aeleze tuelewe zaidi, wengine slow learner
@@glorysamina9347 hahahahaha
Kwel bhana wengne ni very very slow leaner
Nitawezaje kufungua account kwa brokers
Just andika forex kwenye play store then zitakuja zipo nyingi ila zinazotumika zaidi ni IQ OPTION na META TRADER 5.