UNAOMBA AU UNASHITAKI? MCH. PETER JOHN.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 50

  • @SimbaArnolduwezo
    @SimbaArnolduwezo Месяц назад +1

    Mungu awe nawe paster nakupenda sana

  • @user-fm2ll4ow9n
    @user-fm2ll4ow9n 6 месяцев назад +1

    Amen 🙌🙏🙌

  • @fumoke3705
    @fumoke3705 7 месяцев назад +1

    Amen

  • @fumoke3705
    @fumoke3705 7 месяцев назад +1

    Amen, neno zuri

  • @nancymakenya917
    @nancymakenya917 8 месяцев назад +2

    Amen mchungaji unanibariki Sana Sana kwa mahubiri yako,ila hii ya kugeuza mtoto mende nimecheka Sana na nilikuwa na watoto wangu tunasikiliza wamecheka Sana pia

  • @leilahjaye6413
    @leilahjaye6413 9 месяцев назад +2

    Amen naomba maisha marefu,
    Na kujenga nyumba yangu.

  • @DeborahKatungu-i2d
    @DeborahKatungu-i2d 2 месяца назад +1

    Amen dady

  • @Annie-mg7sz
    @Annie-mg7sz Год назад +3

    Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu ya afya . Hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana.

  • @loycemgonja2634
    @loycemgonja2634 Год назад +2

    Barikiwa Mchungaji Roho Mtakatifu atusaidie tuliweke ktk vitendo

  • @AnnaMgani
    @AnnaMgani Год назад +3

    amen 🙏 pr peter John ☀️

  • @graceamran326
    @graceamran326 Год назад +1

    Ameen baba mtumishi wallai tunafraiya somo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏ubarikiwe sana mtumishi

  • @sadickmanyengule
    @sadickmanyengule Год назад +1

    Mungu akubariki sana pastor kwa mafundisho yako mazuri 🙏
    Japo kuwa nimekufahamu kwa siku za hivi karibuni KIHONDA NET EVENT

  • @rehemajosephat6501
    @rehemajosephat6501 Год назад +1

    Ahsante mtumishi wa mungu hili son limenikumbush kitu juu ya mung wangu na min naungan nq wanafunz wa yesu nifundishwe kuomba

  • @pendoseburuka8457
    @pendoseburuka8457 Год назад +1

    Mimi kwa nini sikukufahamu mapema,Mungu akutunze na akubariki sana mch Peter.nafuatilia toka Dodoma makole kituo cha Afya

  • @JonasJonathanJulius-tk9oq
    @JonasJonathanJulius-tk9oq 10 месяцев назад +1

    Mungu akusadie pr naelewa mpk bac

  • @user-mw8jb3ld7o
    @user-mw8jb3ld7o Год назад +2

    ❤Asante sana pita

  • @kaungemuhiya7296
    @kaungemuhiya7296 Год назад +1

    Barikiwa pastor

  • @baby16mariki48
    @baby16mariki48 Год назад +1

    Nimekuelewa vizur sana mtumishi waMungu, Mungu akubariki sana.

  • @graceamran326
    @graceamran326 Год назад +1

    Ameen nakuelewa sana

  • @ElzabethAbel-ym3lk
    @ElzabethAbel-ym3lk Год назад +2

    Barkiwa mtumish wa mungu Kwa mahubr yako mazur

  • @johnsonmisheto9422
    @johnsonmisheto9422 Год назад +1

    Barikiwa ujumbe huu unagusa wengi ni pamoja nami

  • @ruthmagare8725
    @ruthmagare8725 Год назад +8

    Nimegundua huyu mchungaji siku chache zilizopita na nimependa sana mafundisho yake. Mungu akubariki sana mtumishi.

    • @johndeogratias2543
      @johndeogratias2543 Год назад

      Hata mimi Yani nimempenda sana

    • @tumainimbwambo2402
      @tumainimbwambo2402 Год назад

      Pendeni mafundisho yawabadilishe muandaliwe kwa uzima wa milele mana yeye pua nimwanadamu na anaweza akanguka

  • @JafarMohd-su6ss
    @JafarMohd-su6ss Год назад +2

    amina pasta peter

  • @johnsonmisheto9422
    @johnsonmisheto9422 Год назад +2

    A good road does not make a good driver ,naguswa kwani unanigusa kiroho barikiwa mno

  • @GAUDENSIAKIMARIO
    @GAUDENSIAKIMARIO Год назад +2

    Amina mchungaji

    • @pambacharles8149
      @pambacharles8149 Год назад

      Amen, ni kweli wengi wetu hatuobi ila tunalalamika TU na kushitaka,SoMo hili ni nzuri na litufundishe jinsi ya kuomba

  • @pendoseburuka8457
    @pendoseburuka8457 Год назад +2

    Ila nimecheka sana ushuhuda

  • @lydiamajula5083
    @lydiamajula5083 Год назад +1

    Pastor hata mm najion sijui kuomb naweza kujua namn zuri ya kujua kuomba

  • @MagangaPeter-fh4vf
    @MagangaPeter-fh4vf 11 месяцев назад +1

    We jembe

  • @gagatv9175
    @gagatv9175 Год назад +3

    Natamani nipate namba ya huyu mchungaji

  • @sarahmbilinyi8504
    @sarahmbilinyi8504 Год назад +1

    Huyu mtumishi namuelewa mafundisho yake yananifaa mengine hayanihusu

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Год назад +1

    Maombi ni password ya kumruhusu Mungu atumie mwili wangu kutimiza makususudi yake hapa duniani📌🙏.
    For the first time nimemsikiliza huyu mtumishi na mimi sio msabato ila nimebarikiwa Sana na mfundisho yake. Kuna mahali amenivusha. Mungu aendelee kumtumia zaidi 🙇🙌🙏

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 2 года назад +2

    Nimebarikiwa na somo Hilo nayaweza mambo yote ktk yeye anitiaye nguvu

  • @daudibomani1940
    @daudibomani1940 2 года назад +1

    Je utatu ni fundisho la biblia msaada wapendwa

    • @MARYCIANAWILLIAM
      @MARYCIANAWILLIAM Год назад

      Mungu akubariki Sana mchungaji maana umekuwa mbaraka mkubwa sana

    • @ruthnyanza1887
      @ruthnyanza1887 Год назад

      Nakuelewa Sana mchungaji watu wengi wanaomba kwa kama shairi masaa 3 kumbe tuombapo tayari Mungu anajua hitaji lako unapaswa kumshukuru tu hakika nabarikiwa Sana na SoMo hili Mungu akubariki

  • @HildaPaul-hm4jk
    @HildaPaul-hm4jk 11 месяцев назад +1

    Amen

  • @BethuelKiptoo
    @BethuelKiptoo 4 месяца назад +2

    Amen

  • @mariaamabwi1854
    @mariaamabwi1854 3 дня назад

    Amen

  • @fadhiliekson5517
    @fadhiliekson5517 2 года назад +1

    Amen