Amen mchungaji unanibariki Sana Sana kwa mahubiri yako,ila hii ya kugeuza mtoto mende nimecheka Sana na nilikuwa na watoto wangu tunasikiliza wamecheka Sana pia
Maombi ni password ya kumruhusu Mungu atumie mwili wangu kutimiza makususudi yake hapa duniani📌🙏. For the first time nimemsikiliza huyu mtumishi na mimi sio msabato ila nimebarikiwa Sana na mfundisho yake. Kuna mahali amenivusha. Mungu aendelee kumtumia zaidi 🙇🙌🙏
Nakuelewa Sana mchungaji watu wengi wanaomba kwa kama shairi masaa 3 kumbe tuombapo tayari Mungu anajua hitaji lako unapaswa kumshukuru tu hakika nabarikiwa Sana na SoMo hili Mungu akubariki
Mungu awe nawe paster nakupenda sana
Amen 🙌🙏🙌
Amen
Amen, neno zuri
Amen mchungaji unanibariki Sana Sana kwa mahubiri yako,ila hii ya kugeuza mtoto mende nimecheka Sana na nilikuwa na watoto wangu tunasikiliza wamecheka Sana pia
Amen naomba maisha marefu,
Na kujenga nyumba yangu.
Amen dady
Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu ya afya . Hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana.
Barikiwa Mchungaji Roho Mtakatifu atusaidie tuliweke ktk vitendo
amen 🙏 pr peter John ☀️
Ameen baba mtumishi wallai tunafraiya somo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏ubarikiwe sana mtumishi
Mungu akubariki sana pastor kwa mafundisho yako mazuri 🙏
Japo kuwa nimekufahamu kwa siku za hivi karibuni KIHONDA NET EVENT
Ahsante mtumishi wa mungu hili son limenikumbush kitu juu ya mung wangu na min naungan nq wanafunz wa yesu nifundishwe kuomba
Mimi kwa nini sikukufahamu mapema,Mungu akutunze na akubariki sana mch Peter.nafuatilia toka Dodoma makole kituo cha Afya
Barikiwa dada Pendo.
Mungu akusadie pr naelewa mpk bac
❤Asante sana pita
Barikiwa pastor
Nimekuelewa vizur sana mtumishi waMungu, Mungu akubariki sana.
Amen
Ameen nakuelewa sana
Barkiwa mtumish wa mungu Kwa mahubr yako mazur
Barikiwa ujumbe huu unagusa wengi ni pamoja nami
Nimegundua huyu mchungaji siku chache zilizopita na nimependa sana mafundisho yake. Mungu akubariki sana mtumishi.
Hata mimi Yani nimempenda sana
Pendeni mafundisho yawabadilishe muandaliwe kwa uzima wa milele mana yeye pua nimwanadamu na anaweza akanguka
amina pasta peter
A good road does not make a good driver ,naguswa kwani unanigusa kiroho barikiwa mno
Amina mchungaji
Amen, ni kweli wengi wetu hatuobi ila tunalalamika TU na kushitaka,SoMo hili ni nzuri na litufundishe jinsi ya kuomba
Ila nimecheka sana ushuhuda
Pastor hata mm najion sijui kuomb naweza kujua namn zuri ya kujua kuomba
Unaweza kabisa
We jembe
Natamani nipate namba ya huyu mchungaji
Nikutumie ni mchungaji anaejib kil Mtu han a kujickia namfaham toka 2018
Nicheki 0656999949
Huyu mtumishi namuelewa mafundisho yake yananifaa mengine hayanihusu
Barikiwa sana endelea kusikiliza tena na tena Dada Sara
Maombi ni password ya kumruhusu Mungu atumie mwili wangu kutimiza makususudi yake hapa duniani📌🙏.
For the first time nimemsikiliza huyu mtumishi na mimi sio msabato ila nimebarikiwa Sana na mfundisho yake. Kuna mahali amenivusha. Mungu aendelee kumtumia zaidi 🙇🙌🙏
Amen barikiwa sana Dada.
Nimebarikiwa na somo Hilo nayaweza mambo yote ktk yeye anitiaye nguvu
Amen amen .
Je utatu ni fundisho la biblia msaada wapendwa
Mungu akubariki Sana mchungaji maana umekuwa mbaraka mkubwa sana
Nakuelewa Sana mchungaji watu wengi wanaomba kwa kama shairi masaa 3 kumbe tuombapo tayari Mungu anajua hitaji lako unapaswa kumshukuru tu hakika nabarikiwa Sana na SoMo hili Mungu akubariki
Amen
Amen
Amen
Amen