DALILI ZA MUME/MKE HATARI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2021
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Комментарии • 233

  • @asyaasya3766
    @asyaasya3766 3 года назад +10

    Wanaume wengi wameathirika na tabia hiyo hata umtendeye nini kila siku yeye anataka akuoneshe kama unamapungufu hata ujishushe kwake kiasi gani haoni atataka akuoneshe kama unamakosa ya dunia nzima yani Kaka Joel upo sahihi, kuishi namtu wa nanma hiyo ni mateso makubwa mim ndo hali ninayo pitia stress za kila siku najishusha Kadri niwezavyo ila naishia kuonekana tu mkosefu siku zote yani najiona nyonge Sana nilishaga poteza furaha ndani ya moyo wangu

  • @jacksonjosephkungunde6337
    @jacksonjosephkungunde6337 Год назад +5

    Aisee kaka nilikuwa na mahusiano na dada mmoja hivi kitambo yaani ndani ya wiki 3 nilikonda, hadi watu wakawa wananiambia niende hospital nikapime, maana alikuwa na gubu sijapata kuona hapa duniani, yaani ananitafutia makosa kila siku, yaani nilidumu nae kwa mwezi mmoja tu, yaani hizo zote ulizosema hapo huyo dada anazo zote hajaacha hata moja, yaani nilipoachana nae nimejihisi mwepesi kama nimemaliza mkopo Bank

  • @namsifuwadeya497
    @namsifuwadeya497 3 года назад +7

    Kaka uwe na maisha marefu,unapita mulemule aisee,MUNGU akuzidishie

  • @kandoloproduction4821
    @kandoloproduction4821 3 года назад +4

    Kaka joel nimekuwa nakufatilia toka mwaka 2018 .. Mafundisho yako yameniweka katika uimara san mungu akupe nguvu za kutosha kk

  • @aidanmbilinyi8184
    @aidanmbilinyi8184 3 года назад +8

    Tatz tunalo wanaume hili tumejifunza kitu nashukuru pia kwa somo nitalifanyia kzii

  • @lilykessy6284
    @lilykessy6284 2 года назад +1

    Joel Mungu aendelee kukutumia kuponyesha watu!
    Ni km umemjua mtu akiwa tumboni Kwa somo hili daah,,
    NIMEPONA🙌

  • @estertuyahole6799
    @estertuyahole6799 2 года назад +1

    joel nashukuru sana kama unaniona vile nashukuru umeniponya na ndoa yangu

  • @newgatnow6166
    @newgatnow6166 2 года назад +4

    Huyu ni mimi kabisa nilikua sijijui kama nipo insecured na mpaka sasa hali ni worse sana kwenye relation yangu..I WILL DO MY BEST TO GET OUT OF THIS GRAVE.

    • @iamsaadaty
      @iamsaadaty 2 месяца назад

      Me too 😓 nmekua nikimuumiza mume wangu bila kujua😢 Mungu atusaidie tupone

  • @allymwalim7389
    @allymwalim7389 3 года назад +1

    Duh huezi amini bro umenigusa mazima yaani umenigusa kabisaaa god bless you

  • @gracejohn6232
    @gracejohn6232 3 года назад +2

    Very very True @Joelnanauka it happens in my Life and I have talked and talked to the Person the Best ilinsaidia Ili nsije kupoteza afya yangu ya Akili na My Personal integrity ilikua ni kumove away from That relationship otherwise it was Toxic in My Dignity

  • @moris.b.anthony8-tv
    @moris.b.anthony8-tv 3 года назад +2

    Asante ndugu Joel unanibariki kwa maarifa ulojaliwa.

  • @heriethezekiel902
    @heriethezekiel902 3 года назад +2

    Yani namuona mme wngu kabisa nakisa amani

  • @user-ti8lx3vw2q
    @user-ti8lx3vw2q 6 месяцев назад

    Nashukuru kwa somo yote uliyofundisha yanamkuta mpaka sasa nimeamua tuachane japo nimeishi miaka ishirini lakini aman na furaha utaviskia kwa jiran

  • @shahamtindo
    @shahamtindo 3 года назад +1

    Huyu ni mimi kabisa, ila hii sifa ya mwisho sina.... Mungu anisaidie nibadilike....

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 2 месяца назад

    Asante sana... barikiwa 🙏

  • @ajayekazimoto2033
    @ajayekazimoto2033 3 года назад +1

    Bro ww nmtu wa muhim ktk jamii ya leo maana kukosa ufaham juu ya mambo hayo kumevunja ndoa nyng za watu mm hadi jamii ya sasa naionea huruma ubarikiwe endeleakutoa masomo tusaidiane kulinusuru Taifa....ahsante.

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 3 года назад +3

    Narcissistic person usipomjua unakua mtumwa na hata unaweza pata ukichaa😭

  • @edderedderrichard3112
    @edderedderrichard3112 2 года назад

    Duh umenisaidia kuelewa sana asante Joe Mungu akubariki

  • @veronicaibada4554
    @veronicaibada4554 Год назад

    Mungu akubari sana, mmi ninaish na mume wangu yaan tabia zote ulizosema ni zake.

  • @joramzakaria8791
    @joramzakaria8791 3 года назад

    Asante Sana kiongozi ni aina ya mke wangu na ametoroka kaacha watoto

  • @damsonlusano499
    @damsonlusano499 3 года назад +1

    somo kubwa sana kaka nimebadilika kupitia somo hili

  • @stephano263
    @stephano263 3 года назад +1

    Wow,nice bro .ur great.
    Karibu UDOM

  • @sarahmsangi7243
    @sarahmsangi7243 3 года назад +4

    19.4.2021,napata maarifa mapya tena nikiwa arusha ( sinoni),MUNGU akupe uzima tuzidi kupata masomo

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 3 года назад

    Ubarikiwe kk kwa ujumbe mzur kk hakika tunajifunza vingi kutoka kwako kk Asante sana

  • @damianoadam1041
    @damianoadam1041 3 года назад

    You are really the best.God bless you

  • @illuminatajulius6361
    @illuminatajulius6361 Год назад

    Ooooh yes,, thanks bro be blessed

  • @georgebarongo8979
    @georgebarongo8979 2 года назад +1

    You are right brother, this situation is really desturbing people. You have shown of how it exists and how to counter. Thank you very much.

  • @aboumwanyika898
    @aboumwanyika898 3 года назад +1

    Bwana Yesu asifiwe, ninaombi nataka tukualike kwenye semina kanisani KWETU, ya vijana wa TAG KIBAHA

  • @shedrackkiluswa5902
    @shedrackkiluswa5902 3 года назад +1

    Asante kaka kwa somo zuri nitalifanyia kazi nakufuatilia sana kaka kwani masomo yananisahidiia sanaa

  • @omegakombe3699
    @omegakombe3699 3 года назад

    asante sana kwa somo lako mm pia npo kwa mahusiano na mtu wa hvyo

  • @dativambaga6206
    @dativambaga6206 3 года назад +3

    Nimewahi kuwa Ktk mahusiano ya hivyo, tuliachana tu

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Год назад

    Shukran my kaka. Ujumbe mzr sana. Mungu akubariki sana wallah. Npo wakat huo mgm sana. N kuomba Mungu tu.

  • @asiaibrahim3132
    @asiaibrahim3132 3 года назад

    Asante kwa somo nimekuelewa

  • @esterjacob5549
    @esterjacob5549 3 года назад

    Asante nimejifunza sana yaan kama uliniona unarikiwe

  • @tausimatala1529
    @tausimatala1529 2 года назад

    Mungu anisaidie wanaume wengi ni mtihani

  • @murundikazitvlyditiffahruk8954
    @murundikazitvlyditiffahruk8954 3 года назад

    Shukuran Allah akulip khr

  • @agnesschayenda6101
    @agnesschayenda6101 3 года назад

    Hi kaka asante sana kwa hii mafundisho, niwengi sana kabisa wanaopitiya hii situastion mumandoa zao. God bless your work

  • @loiceomwola7451
    @loiceomwola7451 3 года назад +1

    This what we called it wisdom barikiwa sana my mentor 🙌

  • @fefedordjuma7093
    @fefedordjuma7093 3 года назад

    Somo nzuri sana ❤❤ Mungu azidi kuibariki kazi ya mikono yako

  • @aglibertusrobett421
    @aglibertusrobett421 3 года назад

    I have liked the lesson sir i do appreciate this ubarikiwe sana

  • @nattihaikamaeda7031
    @nattihaikamaeda7031 2 года назад

    Be blessed brother, this was powerful and impactful!

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Год назад

    Mungu. Ni mwema
    Ahsante

  • @lilianmbangwa5479
    @lilianmbangwa5479 2 года назад

    Aisee Mungu akubariki

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 3 года назад

    😢💔👌kaka umenigusa im sad i live in this life kama vile nilikuhadithia maisha yangu asante mdogo wangu ubarikiwe

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Год назад

    Akili na roho zaniuma yaani hii video ipewe likes 1000000 kwa kweli

  • @meshackndulumba2267
    @meshackndulumba2267 2 года назад

    Joel mungu akuzidishie brother

  • @zaudiin8663
    @zaudiin8663 11 месяцев назад

    Nimeshahudia haya mahusiano kwa mtu wa karibu wa Rafiki yngu.. Shida ilikua kwa Mwanamke .. ni balaa

  • @salehussi2453
    @salehussi2453 2 года назад +1

    nmejfunza ktu kikubwa sana mwalm

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад

    Hapa nimejifunza kwa kweli ahsante sana kaka

  • @nemilakipeter9916
    @nemilakipeter9916 3 года назад

    Be blessed Joel, point ya kwanza ni fact,ya pili pia he is something and ur nothing insecure husband nock out.

  • @samamussakibwana5703
    @samamussakibwana5703 Год назад

    Hii imenikuta ila na shukuru nimevuka

  • @melkiadeskalisto8918
    @melkiadeskalisto8918 3 года назад

    Siku moja uzungumzie wanaume wanao oa na bado Wana force kuwa na mahusiano nnje ya ndoa na HATARI zake na wanawake ambao wameolewa na bado ni kumba kumba kila mwanaume ni wake. Na HATARI zake

  • @mariamunyange2928
    @mariamunyange2928 2 года назад +1

    Asante kwa kunifungua masiko! wewe ni zaidi ya mwalimu!Mungu akubariki

  • @ezironvyats433
    @ezironvyats433 3 года назад +1

    Ahsante kwa malifa

  • @aminaambilikile6324
    @aminaambilikile6324 2 года назад

    Sijui nimechelewa kuisikia lakini ni kitu nimepitia nikawa stressed mno mwisho nikaona hapa nitakufa acha niishi kivyangu na maisha yangu

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 3 года назад

    Asante sana kaka

  • @oleisaya6129
    @oleisaya6129 2 года назад

    Habari gan kaka Joel nanauka naitwa issaya ni mtanzania hali kabis mim mke wangu yuko hivi hivi kak niambie nifanye nn kaka

  • @chrispinkalolo9011
    @chrispinkalolo9011 2 года назад

    Brother ni kama ipo hivo kwa ndoa yangu asante kwa ushauri mzuri!!

  • @mwalimumatano6299
    @mwalimumatano6299 3 года назад

    Kwl kabsa kaka nmeyaona haya apaapa nyumbani loooh hua ni hali mbaya sana jamaa kaowa hataki urafiki tena na watu wa familia,mkali tena endapo unamuulza kitu

  • @eunicenawapendasanawatuwam2019
    @eunicenawapendasanawatuwam2019 3 года назад

    Somo zuri sana nimejifunza

  • @melkizedekanthony1834
    @melkizedekanthony1834 Год назад

    That s true. Nimepitia hayo. Alileta noma 101

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 3 года назад

    Be blessed broo 🙏

  • @juliethfrank6626
    @juliethfrank6626 3 года назад +1

    Wanaume wanaonekana ndo tatizo zaidi

  • @zamdamasondole8272
    @zamdamasondole8272 Год назад

    Asante sana.

  • @esterjoshua412
    @esterjoshua412 Год назад

    Yan bro mi napitia haya

  • @denicenahson9241
    @denicenahson9241 3 года назад

    Kweli mzee baba umenigusa Kama ulikua yanayonitokea

  • @beathakisaka6248
    @beathakisaka6248 2 года назад

    Joel unachoongea ni kweli kabisaaaaaaaa. Tunafanyaje Ili tubaki salama

  • @salehussi2453
    @salehussi2453 2 года назад +1

    uko sahihi mwalimu wngu

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Год назад

    Yaani hapa nimeishiwa maneno

  • @matrugnawangaeli4815
    @matrugnawangaeli4815 3 года назад

    Inanihusu mimi moja kwa moja. mwanamke wa mwisho iliemzunguzia mimi nimekua na majukumu mengi. Ninaweza kusema katika maisha yangu mpaka hivi sasa nimekua nikiangalia wenzangu zaidi yangu. Ingawa napenda kudeka sikupata nafasi hiyo. Kitu kilicho nisaidia ni neno la Mungu.Sipendi kuonewa wala kuonea. nimejifunza mambo ya sheria ya kidini hapa katika maisha ya kawaida. Sio lazima kutunia sheria kila wakati, nimejifunza wakati mwingine sheria zinatufanya tusiishi maisha yetu vibaya. Ningependelea kusema kwamba tabia nyingine zilijitokeza baada ya maisha na mwenzangu kwa muda mrefu. Ningependelea kupata uhusia wako kwa ajili za tabia zilizo jitokea baada ya maisha na mwenzangu. Asante

    • @careenjohn5605
      @careenjohn5605 3 года назад

      Duh yaani hili somo ni langu mimi insecure imeniletea depression kali mno mpaka natamani na kuyakumbuka sana maisha yangu ya zamani ila sasa baada ya hili soma nitajua kuya manage hisia na mawazo yangu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 года назад

    Najifunza brother 🙌

  • @salimalaquimane2640
    @salimalaquimane2640 3 года назад +1

    Thanks broo

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 3 года назад +2

    somo la leo joel umegusa akili za wengi adi nmecheka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Ahsante Helena, au umeshawahi kukutana na mtu wa namna hii?

    • @helenamusa432
      @helenamusa432 3 года назад

      @@joelnanauka Mr Joel mimi nmewahi kutana na mtu wa kwanza

  • @norbypoltv
    @norbypoltv 3 года назад

    𝗙𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗸𝗮𝗸𝗮...𝘂𝗯𝗮𝗿𝗶𝗸𝗶𝘄𝗲 𝘀𝗮𝗻𝗮🙏🙏

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Год назад

    Mercí beaucoup !!!!

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah7664 Год назад

    Upo sahihi

  • @AddoNsabara-bj6yd
    @AddoNsabara-bj6yd 9 месяцев назад

    Kaka nikama namuona mwenza wangu,endelea kutusaidia tupone

  • @masoudchegeka9752
    @masoudchegeka9752 3 года назад +3

    😂😂😂 nashukuru kaka joel
    Naona leo umenisema mimi kabisa.

  • @mwajumamany6402
    @mwajumamany6402 3 года назад

    Kweri kabisa Kaka wapo

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 3 года назад +1

    Joel Sema neno tupone hauja tupa suruhu tufanye Nini semakuonzi wetu Raisi wa vijana tuna kutegemea

  • @kassimali1477
    @kassimali1477 2 года назад

    Your the best 👌

  • @swabriissa2034
    @swabriissa2034 11 месяцев назад

    Dah broo umepiga ikulu kila kitu nimepitia ulicho sem

  • @heriethezekiel902
    @heriethezekiel902 2 года назад

    Naona mahusiano yangu kabisa

  • @nelsonkashanga8419
    @nelsonkashanga8419 3 года назад

    Bnafs mm nimmoja mwenye tatzo ilo nfanyeje

  • @samamussakibwana5703
    @samamussakibwana5703 Год назад

    Ninae mtu wa aina hiii daa nusu aniuwe .ila niliweza kuvuka

  • @tricewilly5021
    @tricewilly5021 3 года назад

    Well said bro,,

  • @keziamsemo5837
    @keziamsemo5837 2 года назад

    Jamani ni shida kwakweli ukiwa na mtu kama huyo

  • @farajanovath8564
    @farajanovath8564 2 года назад

    SoMo zuri sana

  • @festoantony4673
    @festoantony4673 2 года назад

    Braza mimi ndiyo na tabia hizo.

  • @YAMACADEMY
    @YAMACADEMY 3 года назад

    Kwel. It's safely to determine it

  • @shaibhaji4416
    @shaibhaji4416 2 года назад

    umenigusa sana

  • @josephchalya2254
    @josephchalya2254 3 года назад +1

    Nimejigundua kua na hali hiyo, kaka nashukuru kwa elim hii
    Swari langu nawezaje kutoka?

  • @lukandaguillaume4175
    @lukandaguillaume4175 Год назад

    Hii naipenda sana

  • @berthacharles2428
    @berthacharles2428 3 года назад +2

    Alikuwa mume wangu anatabia zote hizo nilimuacha mimi sitakagi ujinga

  • @paulsamuel3976
    @paulsamuel3976 3 года назад +1

    Mbona hii tabia ni yangu Kabisa kweli hivi ndio nilivyo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  3 года назад

      Pole Paul, jaribu kuangalia nini kimekuwa chanzo cha kukufikisha hapo,Ili ujue namna ya kutoka

    • @paulsamuel3976
      @paulsamuel3976 3 года назад

      Ninjia Gani natumia kutoka huku? Maana ni mwezi wangu Amekua akinijengea tabia inayo nifanya nisiwe na Imani naye kunaviashiria vinavyo nifanya niwe ivyo lakini kwa bahati mbaya wote Mimi na Yeye hakuna anayejua adhari hizi zikizopo

  • @joshuamweta6551
    @joshuamweta6551 3 года назад +4

    Mbona Kama unanisema Mimi

  • @melvinnakhungu3749
    @melvinnakhungu3749 3 года назад

    Amen

  • @bahatimwamrima2383
    @bahatimwamrima2383 3 года назад

    Ahsant cn kwa mafunzo

  • @esthermikoma9800
    @esthermikoma9800 3 года назад +1

    Duh!!! Mwalimu wa kimataifa, ,, nice

  • @juhudiacademy2170
    @juhudiacademy2170 3 года назад +2

    Very interested message. Nami mpenzi wangu ana hili tatizo lakn nimeshajuaa sasa namna ya kukabiliana naye. Thanks much