Wanaume wengi wameathirika na tabia hiyo hata umtendeye nini kila siku yeye anataka akuoneshe kama unamapungufu hata ujishushe kwake kiasi gani haoni atataka akuoneshe kama unamakosa ya dunia nzima yani Kaka Joel upo sahihi, kuishi namtu wa nanma hiyo ni mateso makubwa mim ndo hali ninayo pitia stress za kila siku najishusha Kadri niwezavyo ila naishia kuonekana tu mkosefu siku zote yani najiona nyonge Sana nilishaga poteza furaha ndani ya moyo wangu
Aisee kaka nilikuwa na mahusiano na dada mmoja hivi kitambo yaani ndani ya wiki 3 nilikonda, hadi watu wakawa wananiambia niende hospital nikapime, maana alikuwa na gubu sijapata kuona hapa duniani, yaani ananitafutia makosa kila siku, yaani nilidumu nae kwa mwezi mmoja tu, yaani hizo zote ulizosema hapo huyo dada anazo zote hajaacha hata moja, yaani nilipoachana nae nimejihisi mwepesi kama nimemaliza mkopo Bank
Huyu ni mimi kabisa nilikua sijijui kama nipo insecured na mpaka sasa hali ni worse sana kwenye relation yangu..I WILL DO MY BEST TO GET OUT OF THIS GRAVE.
Very very True @Joelnanauka it happens in my Life and I have talked and talked to the Person the Best ilinsaidia Ili nsije kupoteza afya yangu ya Akili na My Personal integrity ilikua ni kumove away from That relationship otherwise it was Toxic in My Dignity
Bro ww nmtu wa muhim ktk jamii ya leo maana kukosa ufaham juu ya mambo hayo kumevunja ndoa nyng za watu mm hadi jamii ya sasa naionea huruma ubarikiwe endeleakutoa masomo tusaidiane kulinusuru Taifa....ahsante.
Siku moja uzungumzie wanaume wanao oa na bado Wana force kuwa na mahusiano nnje ya ndoa na HATARI zake na wanawake ambao wameolewa na bado ni kumba kumba kila mwanaume ni wake. Na HATARI zake
Kwl kabsa kaka nmeyaona haya apaapa nyumbani loooh hua ni hali mbaya sana jamaa kaowa hataki urafiki tena na watu wa familia,mkali tena endapo unamuulza kitu
Inanihusu mimi moja kwa moja. mwanamke wa mwisho iliemzunguzia mimi nimekua na majukumu mengi. Ninaweza kusema katika maisha yangu mpaka hivi sasa nimekua nikiangalia wenzangu zaidi yangu. Ingawa napenda kudeka sikupata nafasi hiyo. Kitu kilicho nisaidia ni neno la Mungu.Sipendi kuonewa wala kuonea. nimejifunza mambo ya sheria ya kidini hapa katika maisha ya kawaida. Sio lazima kutunia sheria kila wakati, nimejifunza wakati mwingine sheria zinatufanya tusiishi maisha yetu vibaya. Ningependelea kusema kwamba tabia nyingine zilijitokeza baada ya maisha na mwenzangu kwa muda mrefu. Ningependelea kupata uhusia wako kwa ajili za tabia zilizo jitokea baada ya maisha na mwenzangu. Asante
Duh yaani hili somo ni langu mimi insecure imeniletea depression kali mno mpaka natamani na kuyakumbuka sana maisha yangu ya zamani ila sasa baada ya hili soma nitajua kuya manage hisia na mawazo yangu
Ninjia Gani natumia kutoka huku? Maana ni mwezi wangu Amekua akinijengea tabia inayo nifanya nisiwe na Imani naye kunaviashiria vinavyo nifanya niwe ivyo lakini kwa bahati mbaya wote Mimi na Yeye hakuna anayejua adhari hizi zikizopo
Wanaume wengi wameathirika na tabia hiyo hata umtendeye nini kila siku yeye anataka akuoneshe kama unamapungufu hata ujishushe kwake kiasi gani haoni atataka akuoneshe kama unamakosa ya dunia nzima yani Kaka Joel upo sahihi, kuishi namtu wa nanma hiyo ni mateso makubwa mim ndo hali ninayo pitia stress za kila siku najishusha Kadri niwezavyo ila naishia kuonekana tu mkosefu siku zote yani najiona nyonge Sana nilishaga poteza furaha ndani ya moyo wangu
Pole sana
Tupo wenzio tunaishi tu Hivyo Hivyo furaha imepotea.
@@mwanakhamiskhamis3115 pole na wew mpendwa
@@hapsaally1860 asant my
Pole sana, mungu akupe nguvu
Aisee kaka nilikuwa na mahusiano na dada mmoja hivi kitambo yaani ndani ya wiki 3 nilikonda, hadi watu wakawa wananiambia niende hospital nikapime, maana alikuwa na gubu sijapata kuona hapa duniani, yaani ananitafutia makosa kila siku, yaani nilidumu nae kwa mwezi mmoja tu, yaani hizo zote ulizosema hapo huyo dada anazo zote hajaacha hata moja, yaani nilipoachana nae nimejihisi mwepesi kama nimemaliza mkopo Bank
Kaka uwe na maisha marefu,unapita mulemule aisee,MUNGU akuzidishie
Kaka joel nimekuwa nakufatilia toka mwaka 2018 .. Mafundisho yako yameniweka katika uimara san mungu akupe nguvu za kutosha kk
Tatz tunalo wanaume hili tumejifunza kitu nashukuru pia kwa somo nitalifanyia kzii
haha
Joel Mungu aendelee kukutumia kuponyesha watu!
Ni km umemjua mtu akiwa tumboni Kwa somo hili daah,,
NIMEPONA🙌
joel nashukuru sana kama unaniona vile nashukuru umeniponya na ndoa yangu
Huyu ni mimi kabisa nilikua sijijui kama nipo insecured na mpaka sasa hali ni worse sana kwenye relation yangu..I WILL DO MY BEST TO GET OUT OF THIS GRAVE.
Me too 😓 nmekua nikimuumiza mume wangu bila kujua😢 Mungu atusaidie tupone
Duh huezi amini bro umenigusa mazima yaani umenigusa kabisaaa god bless you
Very very True @Joelnanauka it happens in my Life and I have talked and talked to the Person the Best ilinsaidia Ili nsije kupoteza afya yangu ya Akili na My Personal integrity ilikua ni kumove away from That relationship otherwise it was Toxic in My Dignity
Asante ndugu Joel unanibariki kwa maarifa ulojaliwa.
Yani namuona mme wngu kabisa nakisa amani
Nashukuru kwa somo yote uliyofundisha yanamkuta mpaka sasa nimeamua tuachane japo nimeishi miaka ishirini lakini aman na furaha utaviskia kwa jiran
Huyu ni mimi kabisa, ila hii sifa ya mwisho sina.... Mungu anisaidie nibadilike....
Asante sana... barikiwa 🙏
Bro ww nmtu wa muhim ktk jamii ya leo maana kukosa ufaham juu ya mambo hayo kumevunja ndoa nyng za watu mm hadi jamii ya sasa naionea huruma ubarikiwe endeleakutoa masomo tusaidiane kulinusuru Taifa....ahsante.
Narcissistic person usipomjua unakua mtumwa na hata unaweza pata ukichaa😭
Duh umenisaidia kuelewa sana asante Joe Mungu akubariki
Mungu akubari sana, mmi ninaish na mume wangu yaan tabia zote ulizosema ni zake.
Asante Sana kiongozi ni aina ya mke wangu na ametoroka kaacha watoto
somo kubwa sana kaka nimebadilika kupitia somo hili
Wow,nice bro .ur great.
Karibu UDOM
19.4.2021,napata maarifa mapya tena nikiwa arusha ( sinoni),MUNGU akupe uzima tuzidi kupata masomo
nice
Ubarikiwe kk kwa ujumbe mzur kk hakika tunajifunza vingi kutoka kwako kk Asante sana
You are really the best.God bless you
Ooooh yes,, thanks bro be blessed
You are right brother, this situation is really desturbing people. You have shown of how it exists and how to counter. Thank you very much.
Bwana Yesu asifiwe, ninaombi nataka tukualike kwenye semina kanisani KWETU, ya vijana wa TAG KIBAHA
Ahsante tuwasiliane 0756-094875
Kweli
Asante kaka kwa somo zuri nitalifanyia kazi nakufuatilia sana kaka kwani masomo yananisahidiia sanaa
asante sana kwa somo lako mm pia npo kwa mahusiano na mtu wa hvyo
Nimewahi kuwa Ktk mahusiano ya hivyo, tuliachana tu
Shukran my kaka. Ujumbe mzr sana. Mungu akubariki sana wallah. Npo wakat huo mgm sana. N kuomba Mungu tu.
Asante kwa somo nimekuelewa
Asante nimejifunza sana yaan kama uliniona unarikiwe
Mungu anisaidie wanaume wengi ni mtihani
Shukuran Allah akulip khr
Hi kaka asante sana kwa hii mafundisho, niwengi sana kabisa wanaopitiya hii situastion mumandoa zao. God bless your work
This what we called it wisdom barikiwa sana my mentor 🙌
Somo nzuri sana ❤❤ Mungu azidi kuibariki kazi ya mikono yako
I have liked the lesson sir i do appreciate this ubarikiwe sana
Be blessed brother, this was powerful and impactful!
Mungu. Ni mwema
Ahsante
Aisee Mungu akubariki
😢💔👌kaka umenigusa im sad i live in this life kama vile nilikuhadithia maisha yangu asante mdogo wangu ubarikiwe
Akili na roho zaniuma yaani hii video ipewe likes 1000000 kwa kweli
Joel mungu akuzidishie brother
Nimeshahudia haya mahusiano kwa mtu wa karibu wa Rafiki yngu.. Shida ilikua kwa Mwanamke .. ni balaa
nmejfunza ktu kikubwa sana mwalm
Hapa nimejifunza kwa kweli ahsante sana kaka
Be blessed Joel, point ya kwanza ni fact,ya pili pia he is something and ur nothing insecure husband nock out.
Hii imenikuta ila na shukuru nimevuka
Siku moja uzungumzie wanaume wanao oa na bado Wana force kuwa na mahusiano nnje ya ndoa na HATARI zake na wanawake ambao wameolewa na bado ni kumba kumba kila mwanaume ni wake. Na HATARI zake
Asante kwa kunifungua masiko! wewe ni zaidi ya mwalimu!Mungu akubariki
Ahsante kwa malifa
Sijui nimechelewa kuisikia lakini ni kitu nimepitia nikawa stressed mno mwisho nikaona hapa nitakufa acha niishi kivyangu na maisha yangu
Asante sana kaka
Habari gan kaka Joel nanauka naitwa issaya ni mtanzania hali kabis mim mke wangu yuko hivi hivi kak niambie nifanye nn kaka
Brother ni kama ipo hivo kwa ndoa yangu asante kwa ushauri mzuri!!
Kwl kabsa kaka nmeyaona haya apaapa nyumbani loooh hua ni hali mbaya sana jamaa kaowa hataki urafiki tena na watu wa familia,mkali tena endapo unamuulza kitu
Somo zuri sana nimejifunza
That s true. Nimepitia hayo. Alileta noma 101
Be blessed broo 🙏
Wanaume wanaonekana ndo tatizo zaidi
Asante sana.
Yan bro mi napitia haya
Kweli mzee baba umenigusa Kama ulikua yanayonitokea
Joel unachoongea ni kweli kabisaaaaaaaa. Tunafanyaje Ili tubaki salama
uko sahihi mwalimu wngu
Yaani hapa nimeishiwa maneno
Inanihusu mimi moja kwa moja. mwanamke wa mwisho iliemzunguzia mimi nimekua na majukumu mengi. Ninaweza kusema katika maisha yangu mpaka hivi sasa nimekua nikiangalia wenzangu zaidi yangu. Ingawa napenda kudeka sikupata nafasi hiyo. Kitu kilicho nisaidia ni neno la Mungu.Sipendi kuonewa wala kuonea. nimejifunza mambo ya sheria ya kidini hapa katika maisha ya kawaida. Sio lazima kutunia sheria kila wakati, nimejifunza wakati mwingine sheria zinatufanya tusiishi maisha yetu vibaya. Ningependelea kusema kwamba tabia nyingine zilijitokeza baada ya maisha na mwenzangu kwa muda mrefu. Ningependelea kupata uhusia wako kwa ajili za tabia zilizo jitokea baada ya maisha na mwenzangu. Asante
Duh yaani hili somo ni langu mimi insecure imeniletea depression kali mno mpaka natamani na kuyakumbuka sana maisha yangu ya zamani ila sasa baada ya hili soma nitajua kuya manage hisia na mawazo yangu
Najifunza brother 🙌
Thanks broo
somo la leo joel umegusa akili za wengi adi nmecheka
Ahsante Helena, au umeshawahi kukutana na mtu wa namna hii?
@@joelnanauka Mr Joel mimi nmewahi kutana na mtu wa kwanza
𝗙𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗸𝗮𝗸𝗮...𝘂𝗯𝗮𝗿𝗶𝗸𝗶𝘄𝗲 𝘀𝗮𝗻𝗮🙏🙏
Mercí beaucoup !!!!
Upo sahihi
Kaka nikama namuona mwenza wangu,endelea kutusaidia tupone
😂😂😂 nashukuru kaka joel
Naona leo umenisema mimi kabisa.
🤣🤣🤣Pole cn
Kaka mbona ss tabora tunakuhitaji
Kweri kabisa Kaka wapo
Joel Sema neno tupone hauja tupa suruhu tufanye Nini semakuonzi wetu Raisi wa vijana tuna kutegemea
Pamoja Sana, nashukuru 🙏
Your the best 👌
Dah broo umepiga ikulu kila kitu nimepitia ulicho sem
Naona mahusiano yangu kabisa
Bnafs mm nimmoja mwenye tatzo ilo nfanyeje
Ninae mtu wa aina hiii daa nusu aniuwe .ila niliweza kuvuka
Well said bro,,
Jamani ni shida kwakweli ukiwa na mtu kama huyo
SoMo zuri sana
Braza mimi ndiyo na tabia hizo.
Kwel. It's safely to determine it
umenigusa sana
Nimejigundua kua na hali hiyo, kaka nashukuru kwa elim hii
Swari langu nawezaje kutoka?
Hii naipenda sana
Alikuwa mume wangu anatabia zote hizo nilimuacha mimi sitakagi ujinga
Wewe una tatizo
Wanawake Wana wake ni wabaya sana
Mbona hii tabia ni yangu Kabisa kweli hivi ndio nilivyo
Pole Paul, jaribu kuangalia nini kimekuwa chanzo cha kukufikisha hapo,Ili ujue namna ya kutoka
Ninjia Gani natumia kutoka huku? Maana ni mwezi wangu Amekua akinijengea tabia inayo nifanya nisiwe na Imani naye kunaviashiria vinavyo nifanya niwe ivyo lakini kwa bahati mbaya wote Mimi na Yeye hakuna anayejua adhari hizi zikizopo
Mbona Kama unanisema Mimi
Duuh...basi fanyia kazi
😅😅😅😅
Amen
Ahsant cn kwa mafunzo
Duh!!! Mwalimu wa kimataifa, ,, nice
Very interested message. Nami mpenzi wangu ana hili tatizo lakn nimeshajuaa sasa namna ya kukabiliana naye. Thanks much
real