Iran inaweza kumudu vita na Israel?
HTML-код
- Опубликовано: 17 апр 2024
- Washirika wa mataifa ya magharibi wanapanga vikwazo vipya "vya pamoja" dhidi ya Iran. Lakini taifa hilo lililotengwa kimataifa linajitutumua kuwa na uwezo wa kijeshi.
Je, Iran itamudu kweli kuingia vitani? Na gharama zipi watawala wake watalipa kwa kufikia malengo yake ya kijeshi?
Mwenyezi mungu azidi kuisimamia Irani parestina naiyangamize izziraili marekani na washilika waoo amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
Acheni propaganda.
Iran imekuwa na nguvu keep kijeshi baada ya hivyo vikwanzo vyenu😊
Vikwazo Iran amewekewa mda mrefu sana lakin bado anauwezo mkubwa wa kijeshi. Israil anapata msaada kwa mataifa makubwa lakin kama sio msaada Israil hawezi kupigana na yeyote .hamas tu kama hakusaidiwa angalipata aibu
Dw nyny n vibaraka kama vibaraka wengine israel bila hao maahoga wenziwao hawana kitu na pia mkumbuke kuwa IRAN haipo peke yake
Tuzidishe Maombi Amani Irudi haraka .AMANI ni Uhai Wetu.
Watu wasiongee kishabiki ukweli ni kwamba,israel ikiamua kuingia vita na taifa lolote dunia itatikiska hata hao vbaraka wa irani watarudi nyuma na ndio maana wana puuza kilicho fanywa na irani
😂😂siokweli mlidanganywa na wahuni hakuna izrael bila ya marekani na ulaya ndio inayompa nguvu na bichwa lkn tukija kwenye uhalisia hawana nguvu hiyo ni vile tu propa Ganda za marekani izrael hawamuwezi muirani ata chembe we ukiona nchi inapigwa vikwazo vingi na marekani ujue mziki wake sio wa kitoto ndio mana wanakimbilia kwenye vikwazo angalia Urusi, china, Korea kaskazini Hawa wote marekani ainishia vikwazo tu lkn asubutu kuingia mojakwa moja kwenye vita
Mbona gaza miezi 6 na hawana hata ndege MOJA 😢😢😢😢AU SABABU NI TAIFA TEULE LA UPINDE
Katafute watoto wadogo uwaambie uo upuuzi Wako wa kukaririshwa.
Tuombee AMANI Wote ni Ndugu. Tuzidishe Maombi.
Are you a puppet
Dw ni mbwa km mbwa wengine t vibaraka wakubwa nyie
Amna lolote
Haiwezii ata kidogo watu ambacho hawajuwiii Israel ndooo USA
dw vibarak tu nyie nani asie wajua mnaficha ukweli Israel kapigwa na hawaiwez iran mnalilia vikwazo jaribuni uo mziki muone siku nyie mkiwekew vikwaz mmeishaa
IRAN imepigana na IRAQ miaka Tisa wacha apambane na muisrael na hao mashoga wengine
Tena Iraq ilikuwa wakati huo ikisaidiwa na marekani
Nyinyi ni wa Israel watupu
Uwezi kua unataka uwe taifa lenye kutawala dunia nzima ikiwa una shindwa kubalance mambo yani uwe una egemea upande mmoja kamwe. vikwazo kila siku viwe against America na nato hii siyo sawa tunahitaji ulimwengu wa usaw.
Yes broo akili kubwa
tumesha wajua uzaufu wenu kwaio kila mnapo tungusa nikichapo 2 hamas wametuonyesha uzaufu wenu mashoga nyie
Na nyinyi dw Amna lolote mnatupa habari za uwongo mbwa nynyi ETI mnasema walizuia 99% ya makombora ya Irani wakati askari 40 wa Israel walikufa na 18 walijeruiwa alafu mnotoa taharifa za uongo mbwa wakubwa nyinyi mamae zenu
Asa Askari 40 ni asilimia ngapi kwa uelewa wako na target ya makombora yaliyorushwa walitaka kuua wangapi , hv unajua idadi ya waisrael na hao 40 walikufa kama ni asilimia ngapi
Hamna lolote nyie
Iran haiiwezi Israel na watajutia walichokifanya,kwa kuishambulia Israel ya Mungu aliye hai,Mungu wa Israel na sio Mungu wa Iran🙏🏻✝️
Izrail Mungu wao ni Mtu, taifa la marekani. Na huyo yesu ni mtu pia si Mungu. Ukifa utakumbuka maneno yangu.
Iran kuipiga Israel kwa sasa ni kitu kisicho wezekana .Maana kuna vita imetabiriwa katika Ezekieli 38 ambapo Irani yupo urusi yupo na washirika wengine ambao watajiunga nao ambao wote hao wanaitwa Gogu na Magogu ambao wataungana kwa ajili ya kuichapa Israel lakini hawataweza
Umefeli kweli Mdogo Wangu fikra hizo umezitolea wapi unatia hadi huruma 😢
@@saidkipalo4427huo ni unabii kutoka kitabu kitakatifu cha bibilia. Kama huamini subiri uone huko mbele itakuwaje😂
Piga
Propaganda za magharibi twa zijui vyombo vyao vya habari mafuta ndiyo mwimili wa uchumi duniani
Kama Ina nguvu Iran imeuwa wangapi Israel kwa Hilo vamizi. Lao mashoga hata Asia wapo na hapa bongo wapo fikirini aliyempiga huyo hajafa hata mmoja akirudisha kisasi nini kitakuwa
Iran hashambulii hospitali wala maeneo ya raiya tafauti na izrael. Kambia 4 za kijeshi zimeharibiwa mbona wamezuia picha hawakutoa. Halaf izrael kama kidume kwanini asipigane yeye kama yeye mpaka ategemee ulaya na marekani wamsaidie ndio walomletea mufumo ya ulinzi la siivo angekuwa majivu sahiv aache tegemezi 😂😂😂
@@salehkhamis-ob8lnhawa marekani nhao waliopo ulaya ndo waisrael wenyewe hakuna muisrael anaye saidiwa ile ni jamii ya kizungu iliyopelekwa pale kwenye ardhi ya palestina kwa madhumuni kwa hiyo hawawezi kubali kumpeleka ndugu yao alafu wa muache ile jamii ya waisrael ndo wanao itawala dunia hivyo kumpiga yule ni ngumu iran ile ni ardhi yake ya asili ila israel katoka uko kwa hao wazungu ndiyo maana linaitwa taifa teule kwa hiyo ukimpiga israel ujue umempiga marekani ujerumani uingereza ufaransa na nchi zote za ulaya maana jamii yake ndo matajiri wakubwa na viongozi wakubwa kwenye hizo nchi zenye nguvu kiuchumi hivyo kumpiga ni ngumu sana
@@salehkhamis-ob8ln kulifuta taifa la Israel ni kitu kisichowezekana.Maana Mungu yupo pamoja nao.huyu Irani ni mmojawPo wa Gogu .kasome Ezekieli 38 kuna nchi zitaungana kuipiga Israel ukiwemo Irani,urusi,zipo na nchi nyingine zitajiunga, lakini zitashindwa
@@user-dk6lz5yu4ctaifa la mashoga.. unatetea taifa la mashoga duh izrael kila mwaka wanafanya maadhimisho na sherehe za mashoga duniani
Propaganda
Piga hao wairan
Acha ujinga huna ufaham khsu israel ndio mana uko uapnde wao