Iran inaweza kumudu vita na Israel?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2024
  • Washirika wa mataifa ya magharibi wanapanga vikwazo vipya "vya pamoja" dhidi ya Iran. Lakini taifa hilo lililotengwa kimataifa linajitutumua kuwa na uwezo wa kijeshi.
    Je, Iran itamudu kweli kuingia vitani? Na gharama zipi watawala wake watalipa kwa kufikia malengo yake ya kijeshi?

Комментарии • 43

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 5 дней назад

    Mwenyezi mungu azidi kuisimamia Irani parestina naiyangamize izziraili marekani na washilika waoo amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu

  • @shaamehassan6042
    @shaamehassan6042 17 дней назад +3

    Acheni propaganda.
    Iran imekuwa na nguvu keep kijeshi baada ya hivyo vikwanzo vyenu😊

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 17 дней назад +1

    Vikwazo Iran amewekewa mda mrefu sana lakin bado anauwezo mkubwa wa kijeshi. Israil anapata msaada kwa mataifa makubwa lakin kama sio msaada Israil hawezi kupigana na yeyote .hamas tu kama hakusaidiwa angalipata aibu

  • @Linsha1993-hw9kl
    @Linsha1993-hw9kl 17 дней назад +1

    Dw nyny n vibaraka kama vibaraka wengine israel bila hao maahoga wenziwao hawana kitu na pia mkumbuke kuwa IRAN haipo peke yake

  • @MagangaAbdallah
    @MagangaAbdallah 16 дней назад

    Tuzidishe Maombi Amani Irudi haraka .AMANI ni Uhai Wetu.

  • @user-wl3sv2xn9e
    @user-wl3sv2xn9e 17 дней назад +3

    Watu wasiongee kishabiki ukweli ni kwamba,israel ikiamua kuingia vita na taifa lolote dunia itatikiska hata hao vbaraka wa irani watarudi nyuma na ndio maana wana puuza kilicho fanywa na irani

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 17 дней назад

      😂😂siokweli mlidanganywa na wahuni hakuna izrael bila ya marekani na ulaya ndio inayompa nguvu na bichwa lkn tukija kwenye uhalisia hawana nguvu hiyo ni vile tu propa Ganda za marekani izrael hawamuwezi muirani ata chembe we ukiona nchi inapigwa vikwazo vingi na marekani ujue mziki wake sio wa kitoto ndio mana wanakimbilia kwenye vikwazo angalia Urusi, china, Korea kaskazini Hawa wote marekani ainishia vikwazo tu lkn asubutu kuingia mojakwa moja kwenye vita

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 17 дней назад +3

      Mbona gaza miezi 6 na hawana hata ndege MOJA 😢😢😢😢AU SABABU NI TAIFA TEULE LA UPINDE

    • @MahmoudDouchi
      @MahmoudDouchi 17 дней назад +1

      Katafute watoto wadogo uwaambie uo upuuzi Wako wa kukaririshwa.

    • @MagangaAbdallah
      @MagangaAbdallah 16 дней назад +2

      Tuombee AMANI Wote ni Ndugu. Tuzidishe Maombi.

    • @user-sc4ql5kf9v
      @user-sc4ql5kf9v 15 дней назад

      Are you a puppet

  • @saidhassan-xg2uo
    @saidhassan-xg2uo 17 дней назад +1

    Dw ni mbwa km mbwa wengine t vibaraka wakubwa nyie

  • @ABUUKAJEMBE-vk8ql
    @ABUUKAJEMBE-vk8ql 17 дней назад +1

    Amna lolote

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 16 дней назад

    Haiwezii ata kidogo watu ambacho hawajuwiii Israel ndooo USA

  • @danieljeremia8629
    @danieljeremia8629 16 дней назад

    dw vibarak tu nyie nani asie wajua mnaficha ukweli Israel kapigwa na hawaiwez iran mnalilia vikwazo jaribuni uo mziki muone siku nyie mkiwekew vikwaz mmeishaa

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 17 дней назад +1

    IRAN imepigana na IRAQ miaka Tisa wacha apambane na muisrael na hao mashoga wengine

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 17 дней назад +2

      Tena Iraq ilikuwa wakati huo ikisaidiwa na marekani

  • @diswadiswa7792
    @diswadiswa7792 17 дней назад

    Nyinyi ni wa Israel watupu

  • @hassankheri7593
    @hassankheri7593 17 дней назад

    Uwezi kua unataka uwe taifa lenye kutawala dunia nzima ikiwa una shindwa kubalance mambo yani uwe una egemea upande mmoja kamwe. vikwazo kila siku viwe against America na nato hii siyo sawa tunahitaji ulimwengu wa usaw.

  • @ABUUKAJEMBE-vk8ql
    @ABUUKAJEMBE-vk8ql 17 дней назад

    tumesha wajua uzaufu wenu kwaio kila mnapo tungusa nikichapo 2 hamas wametuonyesha uzaufu wenu mashoga nyie

  • @ThabitiChiumbo
    @ThabitiChiumbo 17 дней назад

    Na nyinyi dw Amna lolote mnatupa habari za uwongo mbwa nynyi ETI mnasema walizuia 99% ya makombora ya Irani wakati askari 40 wa Israel walikufa na 18 walijeruiwa alafu mnotoa taharifa za uongo mbwa wakubwa nyinyi mamae zenu

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 16 дней назад

      Asa Askari 40 ni asilimia ngapi kwa uelewa wako na target ya makombora yaliyorushwa walitaka kuua wangapi , hv unajua idadi ya waisrael na hao 40 walikufa kama ni asilimia ngapi

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9v 15 дней назад

    Hamna lolote nyie

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly 16 дней назад

    Iran haiiwezi Israel na watajutia walichokifanya,kwa kuishambulia Israel ya Mungu aliye hai,Mungu wa Israel na sio Mungu wa Iran🙏🏻✝️

    • @Fauzia2090
      @Fauzia2090 16 дней назад +1

      Izrail Mungu wao ni Mtu, taifa la marekani. Na huyo yesu ni mtu pia si Mungu. Ukifa utakumbuka maneno yangu.

  • @user-dk6lz5yu4c
    @user-dk6lz5yu4c 16 дней назад

    Iran kuipiga Israel kwa sasa ni kitu kisicho wezekana .Maana kuna vita imetabiriwa katika Ezekieli 38 ambapo Irani yupo urusi yupo na washirika wengine ambao watajiunga nao ambao wote hao wanaitwa Gogu na Magogu ambao wataungana kwa ajili ya kuichapa Israel lakini hawataweza

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 16 дней назад

      Umefeli kweli Mdogo Wangu fikra hizo umezitolea wapi unatia hadi huruma 😢

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 15 дней назад

      ​@@saidkipalo4427huo ni unabii kutoka kitabu kitakatifu cha bibilia. Kama huamini subiri uone huko mbele itakuwaje😂

  • @LepaamaimbaParori
    @LepaamaimbaParori 16 дней назад

    Piga

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 14 дней назад

    Propaganda za magharibi twa zijui vyombo vyao vya habari mafuta ndiyo mwimili wa uchumi duniani

  • @francohaule-ci7ii
    @francohaule-ci7ii 17 дней назад

    Kama Ina nguvu Iran imeuwa wangapi Israel kwa Hilo vamizi. Lao mashoga hata Asia wapo na hapa bongo wapo fikirini aliyempiga huyo hajafa hata mmoja akirudisha kisasi nini kitakuwa

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 17 дней назад +2

      Iran hashambulii hospitali wala maeneo ya raiya tafauti na izrael. Kambia 4 za kijeshi zimeharibiwa mbona wamezuia picha hawakutoa. Halaf izrael kama kidume kwanini asipigane yeye kama yeye mpaka ategemee ulaya na marekani wamsaidie ndio walomletea mufumo ya ulinzi la siivo angekuwa majivu sahiv aache tegemezi 😂😂😂

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 17 дней назад

      @@salehkhamis-ob8lnhawa marekani nhao waliopo ulaya ndo waisrael wenyewe hakuna muisrael anaye saidiwa ile ni jamii ya kizungu iliyopelekwa pale kwenye ardhi ya palestina kwa madhumuni kwa hiyo hawawezi kubali kumpeleka ndugu yao alafu wa muache ile jamii ya waisrael ndo wanao itawala dunia hivyo kumpiga yule ni ngumu iran ile ni ardhi yake ya asili ila israel katoka uko kwa hao wazungu ndiyo maana linaitwa taifa teule kwa hiyo ukimpiga israel ujue umempiga marekani ujerumani uingereza ufaransa na nchi zote za ulaya maana jamii yake ndo matajiri wakubwa na viongozi wakubwa kwenye hizo nchi zenye nguvu kiuchumi hivyo kumpiga ni ngumu sana

    • @user-dk6lz5yu4c
      @user-dk6lz5yu4c 16 дней назад

      ​@@salehkhamis-ob8ln kulifuta taifa la Israel ni kitu kisichowezekana.Maana Mungu yupo pamoja nao.huyu Irani ni mmojawPo wa Gogu .kasome Ezekieli 38 kuna nchi zitaungana kuipiga Israel ukiwemo Irani,urusi,zipo na nchi nyingine zitajiunga, lakini zitashindwa

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 16 дней назад

      @@user-dk6lz5yu4ctaifa la mashoga.. unatetea taifa la mashoga duh izrael kila mwaka wanafanya maadhimisho na sherehe za mashoga duniani

  • @technicalgearboxenginebysc1360
    @technicalgearboxenginebysc1360 17 дней назад

    Propaganda

  • @Faya884
    @Faya884 17 дней назад +1

    Piga hao wairan

    • @user-qj7xp7wo1v
      @user-qj7xp7wo1v 17 дней назад +1

      Acha ujinga huna ufaham khsu israel ndio mana uko uapnde wao