HOJA DHIDI YA HOJA: TUNDU LISSU VS. NAPE NNAUYE (STAR TV)
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mjadala wa matukio ya mauaji ambayo yamekuwa yakitokea mikononi mwa polisi na hasa kwenye mikutano inayohusisha CDM. Tundu Lissu (CDM) na Nape Nnauye (CCM) wanaangalia chanzo na kiini kwa mitazamo miwili tofauti sana... watch!
Nape hamuwezi lissu iko ni kipaji ndugu utajifedhehesha bure kama uwongo mbona ulijinyea pale makumbusho pumbavu sana
Hon. Lissu be or not ever you 're my heart's president. Am with you.
Nape ni bora wangekuhuwa japo mwera mwenzangu maana wewe ni mshezi unatetea ujinga
Risu komaa kaka 2020 twende ikulu
naamin kweli lisu ataenda ikulu
Wanainchi Wa dunia ya tanzania sio vipofu subili tu muda unakalibia.
Tundu Lissu yuko makini sana aisee.
NAPE NNAUYE yamekutokea puani 😂😂😂😂😂 haya sasa kamuombe msamaha LISSU
Nape alikuwa anatetea lkn Leo hii anaamin maneno ya Lissu...maana hata yy katolewa bastola hadharan na polisi
😂😂😂😂 NAPE NNAUYE
Mudy Magazine . This 2
Hii akiiona Nnape kwa sasa bila shaka atajiona mjinga kupindukia!!
Lissu gombea urais kaka kura unazo nyingi ccm muda wao umeisha
Mwanasheria msomi.
Nape analia watu wanakufa, Tuangalie hapa anayewaua watu ni nani?
Huyu jamaa Tindu Lissu anaongea point na kilakitu kiko wazi, mimi sioni kama kulikuwa na sababu ya hao wengine kuongea na kupinga na si kila kitu lazima tuchangie. Swali rahisi tu "ni nani aliefunguliwa mashtaka?" kweli tunatofautiana upeo na wengi wamejaa ni wajinga. Like CHADEMA sanaa.
Johnson Luther kaka kaz ya maboya ni kupinga
Watu wanakufa Kimiujiza?
Safi
Nape watazania kukaa kimya usfikili wajiga, mauaji yanafanyika mchana kweupe, halafu unakanusha unasema Tindulifi lisu anogopea watanzaniia, hili ndio shida ya viogozi watumia tumbo
nataka kukuuliza lisu mwana sheria mkuu serkali mmenunua bastola kwaajili ya nani?
Uzuri baada ya miaka kadhaa nape alitishiwa bunduki hadharani malipo hapahapa
Kaka nape punguza ukali,hawamapolisi mmewaambia wawe na itikadi ya CCM sasahuo SI ujinga mmetimia
kiukweli sijawai ona ccm imefanya mkutano ikatokea fujo lakini chama chasiasa kiki fanya mkutano hasa chenye nguvu lazima itokee fujo na vikwazo vingii
Napeee mh!
Well said Mr nape nauye, Ni vbaya kutafuta umaarufu wa kisiasa Kwa kumwaga damu za wananchi, pia siasa za uongo na kupandikiza chuki hazina matokeo mazur Kwa nchi yetu!!!
WATANZANIA WENYE KUJITAMBUA TUTAMPIGIA TUNDU LISSU KURA ZA NDIO HATA KAMA WATAIBA MUNGU ATOE MAAMUZI YAKE. CCM MUMEKAA MADARAKANI SANA KWA VISINGIZIO MBALI MBALI. MARA KUTAKUWA NA VITA KUMBE NYIE NDIO WAKOROFI. KAMA MBWAI IWE MBWAI. CCM MARA MNUNUE WABUNGE WA CHADEMA KUKIDHOOFISHA. CHADEMA NI CHUO CHA VIJANA KUJIFUNZA UONGOZI TANZANIA. MNAOKATWA CCM NJONI CHADEMA NA ACT HIVI NI VYAMA VYA UKOMBOZI KWA WATANZANIA WALIONYIMWA HAKI ZAO. WATANZANIA TUMEKUWA TAIFA LA KUONEWA HURUMA KWA MATENDO TUNAYOFANYIWA NA SEREKALI. TANZANIA SIO KOREA KASKAZINI. TUNASHUKURU SANA NCHI MBALI MBALI DUNIANI ZILIZOFUNGA SETILITE ANGANI KUSIMAMIA KAMPENI NA UCHAGUZI HASA BAADA YA NCHI KUKUMBWA NA MAUAJI NA UTEKAJI WA MARA KWA MARA. MLAANIWE WACHAGA WA HAI KWA KUTUSALITI WATANZANIA. CHAGUO LETU NI TUNDU ANTIPASI LISSU.
OK GOD ABARIKI NCHI YETU YATAISHA.AMANI ITAWALE.KTK JINA LA YESU
MHE LISSU
Haya yalizungumzwa huko 2012 je leo hii 24.3.17 anasemaje.... samaki mkunje angali mbichi
Nape ni mpumbavu sana< yaani hata amesahau baba yake aliuliwa na haohao CCM kwa sababu za kisiasa< Sisi wachunguzi wa mambo ya kisiasa tunafuatilia kwa ukaribu sana> nadhani kwa sababu baadaye aligundua MOSES NNAUYE si baba yake halisi ndio maana hapati uchungu sana.Huyu kijana hajui nini maana ya utu wala maana ya ubinadamu ndio maana amekuwa mpuuzi hivi>
chadema siku zote hawapo kimaslahi ya ki nchi bali, bali ni chama cha biashara
Best naso music
Nape ana hasira sana, hana political torelance, lakini lissu unauwezo mkubwa wa kuvumilia!!!
Mi siasa siziwezi ila kumbuka hukumu hutolewa na mungu pekee cozi mi hata damu yangu ni jokate mtupu kila muamba ngozi huvutia kwake si tundu lisu or nape mnauye mi sina chama Bali hekima zimwendee jokate
Siasa za kisitaabu ni dalili ya ukomavu wa kisiasa, kudharauliana hakufai.
Lini ccm mliwahi kukubari hata lisu alipopigwa sisasi mbona bado hamkubari
Tundu umeiva sana una hoja kuntu zisizo na mihemko kama huyo mwenzetu Nape nakupongeza Lisu wa CHADEMA mko vizuri soon nitajiunga huko
Toka lini Nape akawa na akili? Kuna maandamano yanafanywa kwa Amani na hakuna fujo.
Leo #nape ??? Yupo
Lissu ana akili sanaaa iseeh
Mmeshawahi kujiuliza ni kwanini katika vifo vya matukio ya kisiasa , hakuna hata mtu mmoja aliyefunguliwa mashitaka ya uuaji???
Kweli ndugu ila watafungwa tu damu haipotei, subili kidooogo
Tujaribu 2015
Viongoz madikteta wa ccm ndio wanaoipeleka nchi katika hali mbaya,
ila sisi wazanzbr tunataka nchi yetu tujiongoze wenyiwe hatuna haja ya muungano.
Said Suleiman
bado iko hivyo hata leo?
Said Suleiman we hujielewi unaitaka unataka mjiongoze wenyewe we ulivyozaliwa ulikuta familia yenu ndo inaongoza nchi
SIDE Mp3 acha kutetea uboya wewe
hahahahahaaaaa napeeee uongo unao sema leo umeamini wanataka kukuua hao hao hao
chadema ndio chama kwani ndio wanao watetea wananchi zidi ya utawala wa kishetani wa ccm,ccm nikama utawala wa farao na wamezeeka
mbona nape anashindwa kutoa hoja za msingi zaidi ya kujibu hoja za Lisu Tena kwa majungu!
Mtetezi wawanyonge wafahamu haki zao,za kisiasa,kiraia,na Utu wetu kama binadamu.
Nape hujasoma unaongeauongo unatudanganya as wananchi kwani hatuoni kwaiyo unataka kusema wanachadema wanajiua wenyewe
Hiyo ndo zawadi uliyokuwa unaitaka Magu siyo Kikwete Nape hadi hapo mengi unajiuliza kichwani
Nape toa hoja za msingi koz this is the world of bright people so when provoking watch out ur point
Nape ni mtu wa ku resist tyu yuko kichama zaiidi wakati watu wanaongelea maslahi ya mwananchi ambao ndio selikali
Point ase🤙
Lissu ana busara
Napw ni wa ajabu sana. Tundu anaongea vitu ambavyo yeye binafsi alikuwepo kwenye tukio. Nape anachobishia ni kitu gani? Ifike mahali Ccm na viongozi wake njue kwamba kipindi cha kuishi kwa kudanganya watu kimekwisha muda mrefu. Sasa ni wakati wa uwazi na ukweli.
Sikiliza pointi kutoka kwa msomi wa dunia
Kwa vitu kama hivi vinaibuka na wakati huu
Hakri zanape
WATANZANIA WENYE KUJITAMBUA TUTAMPIGIA TUNDU LISSU KURA ZA NDIO HATA KAMA WATAIBA MUNGU ATOE MAAMUZI YAKE. CCM MUMEKAA MADARAKANI SANA KWA VISINGIZIO MBALI MBALI. MARA KUTAKUWA NA VITA KUMBE NYIE NDIO WAKOROFI. KAMA MBWAI IWE MBWAI. CCM MARA MNUNUE WABUNGE WA CHADEMA KUKIDHOOFISHA. CHADEMA NI CHUO CHA VIJANA KUJIFUNZA UONGOZI TANZANIA. MNAOKATWA CCM NJONI CHADEMA NA ACT HIVI NI VYAMA VYA UKOMBOZI KWA WATANZANIA WALIONYIMWA HAKI ZAO. WATANZANIA TUMEKUWA TAIFA LA KUONEWA HURUMA KWA MATENDO TUNAYOFANYIWA NA SEREKALI. TANZANIA SIO KOREA KASKAZINI. TUNASHUKURU SANA NCHI MBALI MBALI DUNIANI ZILIZOFUNGA SETILITE ANGANI KUSIMAMIA KAMPENI NA UCHAGUZI HASA BAADA YA NCHI KUKUMBWA NA MAUAJI NA UTEKAJI WA MARA KWA MARA. MLAANIWE WACHAGA WA HAI KWA KUTUSALITI WATANZANIA. CHAGUO LETU NI TUNDU ANTIPASI LISSU.
Nape unalichukuliaje lawewe kutolewa bastola hadharani kulikuwepo chadema wangapi? Msiteswe nanjaa hizo.
mh hapohapo nata kukuuza.wmanasheria mkuu serkali mmenunua bastola kwajili yanani?
kwani lissu ndo alokutolea bastola au nichadema? sinihaohao ccm wako? au nawewe hujitambui?
LISSU NAKUPENDA SANA TANGU ZAMANI HIZI.❤❤❤❤❤❤❤
Ulichukua hatua gani kama mwanachadema halisi lissu baada ya matukio yote haya?
ok
Sasa nape siatoe hoja yeye anapaniki nini sasa ?🤣🤣🤣🤣
kwahyo bashiri hayo maneno umehic kama umeongea point or? jitambue plz ucwe mtumwa waujinga
Axeeee
hizo ndizo hoja zaoooooooooooo
hoja hizi vipi zinajenga??????
Nmeamin misemo ya wahenga leo kwang kesho kwako, ujafa ujaumbka, aisifue mvua umnyea na majuto ni mjukuu
we nimvivu wa kufikiri .chadema ndio chama chenye ushirikiano
SWAUDA MKALIPA hana lolote tena huyo jamaaa
Nape umelipwa ulichotetea ni ujinga
Nikiwa Dar namkubari Nape
Kwa sababu wewe ni chawa wake
mimi ni muburundi natulianza ivyo vyo paka sasa muliona sasa matokeo yake.
Pita ivi
mbona makasiliko nape vipi
Bora nikaishi Iraq nchi ya vita Tz inayoua watu Bila kwakutetea CCM police wote hawapo kwajili ya kutenda haki bali kulinda wezi wa CCM
nape umajisikiaje ubishi yamekuta utakumbuka
Utatuambi nn we nape raising magufuli.alikutumbua maana huna akili na unacho bishana hapo niutumbo mtupu toka hapo
Ww nape mungu anakuona
jmaa anamwaga point
Mmh tudanganye
Kwan lini nape akawa na point yenye hoja
Chadema wanadhan kua vulungu ndio siasa pumbavu zao
Fala wew
mtu yeyote asie penda upinzani na kuuponda lazima ana ndugu take au mfadhili yupo ccm sasa anaogopa kulala njaa unajuaje watu furani wanataka maslahi ila watu fulani wapo kqa maslahi ya nnchi ni upungufu wa ufahamu
Karne hii historia haiandikwi tuu, inarekodiwa kwa video!
Basi nape muongo!!!
Hawa jamaaaa sio wazuri hawatendi haki
Malipo ni hapa hapa duniani leo #Nape haamini anachokiona
Nape sefuri madudu
Napeeeeee sufuriiiii bin sufuriiiiii
CCM mtaleta vita nchini hata mkatae mkitumia polisi vyiombo vyia Usalama tusifike huko !!
Nape kubali yaishe
Abel Mkono
Tundulisu ni ziro ziro kabisa
zilo wewe usiyejua nn unaongea na unachofanya! na mwaka huu usipokufa njaa sijui
acha ushabiki wew
Boniface Samson we ndio zero Mara zero kwanza form 4 una zero masomo yote
Boniface Samson mkundu Wa mamaako
Boniface Samson
Chadema mnatafuta umaarufu kwa kusema uongo mwingi why lissu
Hakuna kitu hapo kwa tundu lisu ni uongo tu.
Kuna aina nyingi za ubora
Ccm inaubora upi
+Samson Fongo ,,me na dhani ubora wa utapeli,,huo ni mtazamo wng wa ccm msijenge chuki wote sisi ni wana wa Tanzania......Tudumishe Amani lakini siyo hii inayo tumiwa na CCM kuombea kura za wananchi,,ambao tulidhihirishiwa kabisa jinsi tunavyo chukuliwa km MALOFA NA WAPUMBAVU
Wewe nape achauchawa
Nape...mmmhhh
lisu nipumba
TUNDU LISU NI ZERO
Jonas Amos wewe ndo zero
Hapo nape inabidi ukaungame ili uwesafi na chama chako ukinusuru au la kama unahama chama ukiri kuwa hapo muongo wewe sio lisu..uokoe taifa lako.
Hahahahahaaa
Nape na Lissu nan zaidi???
people'ssssssssssssss
Nakupa pole maaana hufikiliii mengi
okeyooo
Lisu ni mwanasheria kweli!!
ccm daima ni chama bora hakuna chama kinachoweza kufikia ubora wake
hacha fikra za zamani ndg, mwisho wake upo hata kama sio 2015.