HOJA DHIDI YA HOJA: TUNDU LISSU VS. NAPE NNAUYE (STAR TV)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mjadala wa matukio ya mauaji ambayo yamekuwa yakitokea mikononi mwa polisi na hasa kwenye mikutano inayohusisha CDM. Tundu Lissu (CDM) na Nape Nnauye (CCM) wanaangalia chanzo na kiini kwa mitazamo miwili tofauti sana... watch!

Комментарии • 128

  • @namchokondasaidi2299
    @namchokondasaidi2299 4 года назад +4

    Nape hamuwezi lissu iko ni kipaji ndugu utajifedhehesha bure kama uwongo mbona ulijinyea pale makumbusho pumbavu sana

  • @cheguevara7408
    @cheguevara7408 6 лет назад +5

    Hon. Lissu be or not ever you 're my heart's president. Am with you.

  • @namchokondasaidi2299
    @namchokondasaidi2299 4 года назад +2

    Nape ni bora wangekuhuwa japo mwera mwenzangu maana wewe ni mshezi unatetea ujinga

  • @omaryjabir9874
    @omaryjabir9874 7 лет назад +4

    Risu komaa kaka 2020 twende ikulu

  • @AlexanderTheGreat884
    @AlexanderTheGreat884 10 лет назад +6

    Tundu Lissu yuko makini sana aisee.

  • @stevemauzo1126
    @stevemauzo1126 7 лет назад +5

    NAPE NNAUYE yamekutokea puani 😂😂😂😂😂 haya sasa kamuombe msamaha LISSU

  • @mudymagazine9068
    @mudymagazine9068 7 лет назад +9

    Nape alikuwa anatetea lkn Leo hii anaamin maneno ya Lissu...maana hata yy katolewa bastola hadharan na polisi

  • @robbiejerrson7437
    @robbiejerrson7437 Год назад +2

    Hii akiiona Nnape kwa sasa bila shaka atajiona mjinga kupindukia!!

  • @evodbaliremwa4146
    @evodbaliremwa4146 7 лет назад +8

    Lissu gombea urais kaka kura unazo nyingi ccm muda wao umeisha

  • @barakamfilinge3618
    @barakamfilinge3618 10 лет назад +3

    Mwanasheria msomi.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 9 лет назад

    Nape analia watu wanakufa, Tuangalie hapa anayewaua watu ni nani?

  • @johnsonmalle1197
    @johnsonmalle1197 9 лет назад

    Huyu jamaa Tindu Lissu anaongea point na kilakitu kiko wazi, mimi sioni kama kulikuwa na sababu ya hao wengine kuongea na kupinga na si kila kitu lazima tuchangie. Swali rahisi tu "ni nani aliefunguliwa mashtaka?" kweli tunatofautiana upeo na wengi wamejaa ni wajinga. Like CHADEMA sanaa.

    • @tamimusalum2305
      @tamimusalum2305 7 лет назад

      Johnson Luther kaka kaz ya maboya ni kupinga

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 9 лет назад +2

    Watu wanakufa Kimiujiza?

  • @mbilu348
    @mbilu348 Год назад

    Safi

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co
    @MichaleMwakyambiki-pq4co 9 месяцев назад

    Nape watazania kukaa kimya usfikili wajiga, mauaji yanafanyika mchana kweupe, halafu unakanusha unasema Tindulifi lisu anogopea watanzaniia, hili ndio shida ya viogozi watumia tumbo

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 7 лет назад +1

    nataka kukuuliza lisu mwana sheria mkuu serkali mmenunua bastola kwaajili ya nani?

  • @giztony2009
    @giztony2009 7 месяцев назад +1

    Uzuri baada ya miaka kadhaa nape alitishiwa bunduki hadharani malipo hapahapa

  • @godwinmakasi8721
    @godwinmakasi8721 Год назад

    Kaka nape punguza ukali,hawamapolisi mmewaambia wawe na itikadi ya CCM sasahuo SI ujinga mmetimia

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe8881 10 месяцев назад

    kiukweli sijawai ona ccm imefanya mkutano ikatokea fujo lakini chama chasiasa kiki fanya mkutano hasa chenye nguvu lazima itokee fujo na vikwazo vingii

  • @edithminja9529
    @edithminja9529 7 лет назад +1

    Napeee mh!

  • @sephjuma4294
    @sephjuma4294 9 лет назад +1

    Well said Mr nape nauye, Ni vbaya kutafuta umaarufu wa kisiasa Kwa kumwaga damu za wananchi, pia siasa za uongo na kupandikiza chuki hazina matokeo mazur Kwa nchi yetu!!!

    • @rinovarthiliwi1314
      @rinovarthiliwi1314 4 года назад

      WATANZANIA WENYE KUJITAMBUA TUTAMPIGIA TUNDU LISSU KURA ZA NDIO HATA KAMA WATAIBA MUNGU ATOE MAAMUZI YAKE. CCM MUMEKAA MADARAKANI SANA KWA VISINGIZIO MBALI MBALI. MARA KUTAKUWA NA VITA KUMBE NYIE NDIO WAKOROFI. KAMA MBWAI IWE MBWAI. CCM MARA MNUNUE WABUNGE WA CHADEMA KUKIDHOOFISHA. CHADEMA NI CHUO CHA VIJANA KUJIFUNZA UONGOZI TANZANIA. MNAOKATWA CCM NJONI CHADEMA NA ACT HIVI NI VYAMA VYA UKOMBOZI KWA WATANZANIA WALIONYIMWA HAKI ZAO. WATANZANIA TUMEKUWA TAIFA LA KUONEWA HURUMA KWA MATENDO TUNAYOFANYIWA NA SEREKALI. TANZANIA SIO KOREA KASKAZINI. TUNASHUKURU SANA NCHI MBALI MBALI DUNIANI ZILIZOFUNGA SETILITE ANGANI KUSIMAMIA KAMPENI NA UCHAGUZI HASA BAADA YA NCHI KUKUMBWA NA MAUAJI NA UTEKAJI WA MARA KWA MARA. MLAANIWE WACHAGA WA HAI KWA KUTUSALITI WATANZANIA. CHAGUO LETU NI TUNDU ANTIPASI LISSU.

  • @siahurassa8438
    @siahurassa8438 11 лет назад

    OK GOD ABARIKI NCHI YETU YATAISHA.AMANI ITAWALE.KTK JINA LA YESU
    MHE LISSU

  • @eburtm4427
    @eburtm4427 7 лет назад

    Haya yalizungumzwa huko 2012 je leo hii 24.3.17 anasemaje.... samaki mkunje angali mbichi

  • @robertthardeus927
    @robertthardeus927 9 лет назад +3

    Nape ni mpumbavu sana< yaani hata amesahau baba yake aliuliwa na haohao CCM kwa sababu za kisiasa< Sisi wachunguzi wa mambo ya kisiasa tunafuatilia kwa ukaribu sana> nadhani kwa sababu baadaye aligundua MOSES NNAUYE si baba yake halisi ndio maana hapati uchungu sana.Huyu kijana hajui nini maana ya utu wala maana ya ubinadamu ndio maana amekuwa mpuuzi hivi>

  • @bashirtwalibmteleke8459
    @bashirtwalibmteleke8459 10 лет назад +5

    chadema siku zote hawapo kimaslahi ya ki nchi bali, bali ni chama cha biashara

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 лет назад +1

    Nape ana hasira sana, hana political torelance, lakini lissu unauwezo mkubwa wa kuvumilia!!!

  • @husenisalumu6095
    @husenisalumu6095 6 лет назад

    Mi siasa siziwezi ila kumbuka hukumu hutolewa na mungu pekee cozi mi hata damu yangu ni jokate mtupu kila muamba ngozi huvutia kwake si tundu lisu or nape mnauye mi sina chama Bali hekima zimwendee jokate

  • @efremkibiki842
    @efremkibiki842 10 лет назад +3

    Siasa za kisitaabu ni dalili ya ukomavu wa kisiasa, kudharauliana hakufai.

  • @ellyjonas-rt9ft
    @ellyjonas-rt9ft Год назад

    Lini ccm mliwahi kukubari hata lisu alipopigwa sisasi mbona bado hamkubari

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 6 месяцев назад +1

    Tundu umeiva sana una hoja kuntu zisizo na mihemko kama huyo mwenzetu Nape nakupongeza Lisu wa CHADEMA mko vizuri soon nitajiunga huko

  • @songombingo108
    @songombingo108 7 месяцев назад

    Toka lini Nape akawa na akili? Kuna maandamano yanafanywa kwa Amani na hakuna fujo.

  • @danielsamwel4432
    @danielsamwel4432 5 лет назад +1

    Leo #nape ??? Yupo

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 7 месяцев назад

    Lissu ana akili sanaaa iseeh

  • @allymape8911
    @allymape8911 10 лет назад +2

    Mmeshawahi kujiuliza ni kwanini katika vifo vya matukio ya kisiasa , hakuna hata mtu mmoja aliyefunguliwa mashitaka ya uuaji???

    • @samsonfongo4213
      @samsonfongo4213 10 лет назад

      Kweli ndugu ila watafungwa tu damu haipotei, subili kidooogo
      Tujaribu 2015

  • @saidsuleiman1644
    @saidsuleiman1644 8 лет назад +3

    Viongoz madikteta wa ccm ndio wanaoipeleka nchi katika hali mbaya,
    ila sisi wazanzbr tunataka nchi yetu tujiongoze wenyiwe hatuna haja ya muungano.

    • @almasyahya1060
      @almasyahya1060 7 лет назад

      Said Suleiman
      bado iko hivyo hata leo?

    • @sideboy1299
      @sideboy1299 7 лет назад

      Said Suleiman we hujielewi unaitaka unataka mjiongoze wenyewe we ulivyozaliwa ulikuta familia yenu ndo inaongoza nchi

    • @petromwinyi4955
      @petromwinyi4955 6 лет назад

      SIDE Mp3 acha kutetea uboya wewe

  • @frankmdemwa9101
    @frankmdemwa9101 7 лет назад

    hahahahahaaaaa napeeee uongo unao sema leo umeamini wanataka kukuua hao hao hao

  • @franksemindu1031
    @franksemindu1031 11 лет назад +3

    chadema ndio chama kwani ndio wanao watetea wananchi zidi ya utawala wa kishetani wa ccm,ccm nikama utawala wa farao na wamezeeka

  • @williammpangala9810
    @williammpangala9810 10 лет назад

    mbona nape anashindwa kutoa hoja za msingi zaidi ya kujibu hoja za Lisu Tena kwa majungu!

  • @williamkirway5074
    @williamkirway5074 3 года назад

    Mtetezi wawanyonge wafahamu haki zao,za kisiasa,kiraia,na Utu wetu kama binadamu.

  • @allyjuma8088
    @allyjuma8088 3 года назад

    Nape hujasoma unaongeauongo unatudanganya as wananchi kwani hatuoni kwaiyo unataka kusema wanachadema wanajiua wenyewe

  • @johnikunga2754
    @johnikunga2754 6 лет назад

    Hiyo ndo zawadi uliyokuwa unaitaka Magu siyo Kikwete Nape hadi hapo mengi unajiuliza kichwani

  • @gordiasathanas1828
    @gordiasathanas1828 10 лет назад

    Nape toa hoja za msingi koz this is the world of bright people so when provoking watch out ur point

  • @mecksedeckkauzeni5703
    @mecksedeckkauzeni5703 9 лет назад

    Nape ni mtu wa ku resist tyu yuko kichama zaiidi wakati watu wanaongelea maslahi ya mwananchi ambao ndio selikali

  • @betweljacob166
    @betweljacob166 4 года назад +1

    Point ase🤙

  • @frankwilson9231
    @frankwilson9231 5 лет назад

    Lissu ana busara

  • @noekenny3771
    @noekenny3771 9 лет назад

    Napw ni wa ajabu sana. Tundu anaongea vitu ambavyo yeye binafsi alikuwepo kwenye tukio. Nape anachobishia ni kitu gani? Ifike mahali Ccm na viongozi wake njue kwamba kipindi cha kuishi kwa kudanganya watu kimekwisha muda mrefu. Sasa ni wakati wa uwazi na ukweli.

  • @namchokondasaidi2299
    @namchokondasaidi2299 4 года назад +3

    Sikiliza pointi kutoka kwa msomi wa dunia

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад

    Kwa vitu kama hivi vinaibuka na wakati huu

  • @atusheatishe5281
    @atusheatishe5281 5 лет назад +1

    Hakri zanape

    • @rinovarthiliwi1314
      @rinovarthiliwi1314 4 года назад

      WATANZANIA WENYE KUJITAMBUA TUTAMPIGIA TUNDU LISSU KURA ZA NDIO HATA KAMA WATAIBA MUNGU ATOE MAAMUZI YAKE. CCM MUMEKAA MADARAKANI SANA KWA VISINGIZIO MBALI MBALI. MARA KUTAKUWA NA VITA KUMBE NYIE NDIO WAKOROFI. KAMA MBWAI IWE MBWAI. CCM MARA MNUNUE WABUNGE WA CHADEMA KUKIDHOOFISHA. CHADEMA NI CHUO CHA VIJANA KUJIFUNZA UONGOZI TANZANIA. MNAOKATWA CCM NJONI CHADEMA NA ACT HIVI NI VYAMA VYA UKOMBOZI KWA WATANZANIA WALIONYIMWA HAKI ZAO. WATANZANIA TUMEKUWA TAIFA LA KUONEWA HURUMA KWA MATENDO TUNAYOFANYIWA NA SEREKALI. TANZANIA SIO KOREA KASKAZINI. TUNASHUKURU SANA NCHI MBALI MBALI DUNIANI ZILIZOFUNGA SETILITE ANGANI KUSIMAMIA KAMPENI NA UCHAGUZI HASA BAADA YA NCHI KUKUMBWA NA MAUAJI NA UTEKAJI WA MARA KWA MARA. MLAANIWE WACHAGA WA HAI KWA KUTUSALITI WATANZANIA. CHAGUO LETU NI TUNDU ANTIPASI LISSU.

  • @vicentgibore8679
    @vicentgibore8679 4 года назад

    Nape unalichukuliaje lawewe kutolewa bastola hadharani kulikuwepo chadema wangapi? Msiteswe nanjaa hizo.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 7 лет назад

    mh hapohapo nata kukuuza.wmanasheria mkuu serkali mmenunua bastola kwajili yanani?

  • @vicentigiboregibore1007
    @vicentigiboregibore1007 5 лет назад

    kwani lissu ndo alokutolea bastola au nichadema? sinihaohao ccm wako? au nawewe hujitambui?

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 6 месяцев назад

    LISSU NAKUPENDA SANA TANGU ZAMANI HIZI.❤❤❤❤❤❤❤

  • @stellanzunda2728
    @stellanzunda2728 7 лет назад

    Ulichukua hatua gani kama mwanachadema halisi lissu baada ya matukio yote haya?

  • @wakalampower1653
    @wakalampower1653 8 лет назад +1

    ok

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 2 года назад

    Sasa nape siatoe hoja yeye anapaniki nini sasa ?🤣🤣🤣🤣

  • @danielmgovano4984
    @danielmgovano4984 7 лет назад

    kwahyo bashiri hayo maneno umehic kama umeongea point or? jitambue plz ucwe mtumwa waujinga

  • @JonxonMollel-vz8qi
    @JonxonMollel-vz8qi Год назад

    Axeeee

  • @yohaneschanga5971
    @yohaneschanga5971 10 лет назад +1

    hizo ndizo hoja zaoooooooooooo

  • @henericolongino6620
    @henericolongino6620 7 лет назад

    Nmeamin misemo ya wahenga leo kwang kesho kwako, ujafa ujaumbka, aisifue mvua umnyea na majuto ni mjukuu

  • @swaudamkalipa7124
    @swaudamkalipa7124 7 лет назад +3

    we nimvivu wa kufikiri .chadema ndio chama chenye ushirikiano

  • @namchokondasaidi2299
    @namchokondasaidi2299 4 года назад

    Nape umelipwa ulichotetea ni ujinga

  • @livingstoneberege3348
    @livingstoneberege3348 4 года назад

    Nikiwa Dar namkubari Nape

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 7 лет назад

    mimi ni muburundi natulianza ivyo vyo paka sasa muliona sasa matokeo yake.

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe8881 10 месяцев назад

    mbona makasiliko nape vipi

  • @williampauson5301
    @williampauson5301 8 лет назад +1

    Bora nikaishi Iraq nchi ya vita Tz inayoua watu Bila kwakutetea CCM police wote hawapo kwajili ya kutenda haki bali kulinda wezi wa CCM

  • @allyjuma8088
    @allyjuma8088 3 года назад

    Utatuambi nn we nape raising magufuli.alikutumbua maana huna akili na unacho bishana hapo niutumbo mtupu toka hapo

  • @allyjuma8088
    @allyjuma8088 3 года назад

    Ww nape mungu anakuona

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv1994 7 лет назад +1

    jmaa anamwaga point

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi6816 7 лет назад

    Mmh tudanganye

  • @prenceomary4890
    @prenceomary4890 9 лет назад

    Kwan lini nape akawa na point yenye hoja

  • @onesmoalbin8465
    @onesmoalbin8465 6 лет назад

    Chadema wanadhan kua vulungu ndio siasa pumbavu zao

  • @frankmdemwa9101
    @frankmdemwa9101 7 лет назад +1

    mtu yeyote asie penda upinzani na kuuponda lazima ana ndugu take au mfadhili yupo ccm sasa anaogopa kulala njaa unajuaje watu furani wanataka maslahi ila watu fulani wapo kqa maslahi ya nnchi ni upungufu wa ufahamu

  • @1961nungwi
    @1961nungwi Год назад

    Karne hii historia haiandikwi tuu, inarekodiwa kwa video!

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 лет назад

    Basi nape muongo!!!

  • @shukranimashari8874
    @shukranimashari8874 9 лет назад

    Hawa jamaaaa sio wazuri hawatendi haki

  • @directorjohnson2370
    @directorjohnson2370 5 лет назад

    Malipo ni hapa hapa duniani leo #Nape haamini anachokiona

  • @harifumunir6004
    @harifumunir6004 9 лет назад +1

    Nape sefuri madudu

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Год назад

    Napeeeeee sufuriiiii bin sufuriiiiii

  • @augustinonestorysasi3683
    @augustinonestorysasi3683 Год назад

    CCM mtaleta vita nchini hata mkatae mkitumia polisi vyiombo vyia Usalama tusifike huko !!

  • @abelmkono7133
    @abelmkono7133 11 лет назад +1

    Nape kubali yaishe

  • @bonifacesamsoni6513
    @bonifacesamsoni6513 9 лет назад +3

    Tundulisu ni ziro ziro kabisa

  • @stellanzunda2728
    @stellanzunda2728 7 лет назад

    Chadema mnatafuta umaarufu kwa kusema uongo mwingi why lissu

  • @davidhyera4504
    @davidhyera4504 10 лет назад +1

    Hakuna kitu hapo kwa tundu lisu ni uongo tu.

    • @samsonfongo4213
      @samsonfongo4213 10 лет назад +1

      Kuna aina nyingi za ubora
      Ccm inaubora upi

    • @mathewjohnlukumai1704
      @mathewjohnlukumai1704 9 лет назад +1

      +Samson Fongo ,,me na dhani ubora wa utapeli,,huo ni mtazamo wng wa ccm msijenge chuki wote sisi ni wana wa Tanzania......Tudumishe Amani lakini siyo hii inayo tumiwa na CCM kuombea kura za wananchi,,ambao tulidhihirishiwa kabisa jinsi tunavyo chukuliwa km MALOFA NA WAPUMBAVU

  • @stevenwimbe3113
    @stevenwimbe3113 Год назад +1

    Wewe nape achauchawa

  • @MrMassawe
    @MrMassawe 12 лет назад

    Nape...mmmhhh

  • @alexanderlema2826
    @alexanderlema2826 7 лет назад +1

    lisu nipumba

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 9 лет назад

    TUNDU LISU NI ZERO

  • @emanuelmichael9199
    @emanuelmichael9199 7 лет назад

    Hapo nape inabidi ukaungame ili uwesafi na chama chako ukinusuru au la kama unahama chama ukiri kuwa hapo muongo wewe sio lisu..uokoe taifa lako.

  • @eliasjohn1072
    @eliasjohn1072 7 лет назад

    Hahahahahaaa
    Nape na Lissu nan zaidi???

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj 9 лет назад

    people'ssssssssssssss

  • @moviekaa
    @moviekaa Год назад

    Lisu ni mwanasheria kweli!!

  • @charlesmwita861
    @charlesmwita861 10 лет назад

    ccm daima ni chama bora hakuna chama kinachoweza kufikia ubora wake

    • @manyonitumbaku5670
      @manyonitumbaku5670 9 лет назад

      hacha fikra za zamani ndg, mwisho wake upo hata kama sio 2015.