RAIS SAMIA AKIHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA WA COP28 - DUBAI EXPO 2023
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) katika Jiji la Dubai Expo 2023.
Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jamhuri ya muunganowa africadu dunuani Africa ccm inaongozwa na mama ambaye hana fikira ya uongozi na duniani inafatilia kwa makini kwa kuuza kuuwa na kuuwawa na kuhamisha wananchi wazawa wanafukuzwa waarabu wanampa zawadi wanamuunga q
Wataka kTiba mpya uongozi ameshi dwa kuna njaa hakuna mzunguko wa africans hatutaki mkopo na waarabu
Mungu Kibariki Chama cha Mapinduzi. Mungu Ibariki Tanzania. Mungu Ambariki Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Nchini.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Environmental protection is based on inclusiveness supported by social and economic equity
Well done madam president
❤❤❤❤❤❤
🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Maf
Well Said
Haha hapa warakoment wachache tu 😂
ingekua bora mtuekee tafsiri ... mara nyingi kila nchi hua wanaongea lugha yao kasoro ma Rais wa Africa itakua fakhari kwetu kama wafrika kuwaona ma Raisi zetu wakiongea lugha zetu
No English,no understanding