Jamani viongozi wetu hakikisheni hamuruhusu shetani awatenganishe hapo kwaajili ya nchi yetu. Dawa pekee hapo ni haki katika uchaguzi wa kesho. Mauzauza yoyote yatakigawa chama
Hao viongozi wanaosimamia uchaguzi mbona siwaelewi kabisa aiseee khaaa weee hao team mbowe kabisa aiseee sijui itakuwaje mh LISSU KAZA SN HAPO KULINDA KURA MUHIMU MNO
Dah Yan hapa haijalisha mchakato wa uchaguzi utakuaje, ushindi wa mbowe ni mwisho wa chadema, Ushindi wa Tundulisu chadema itakuwa mpya na yenye nguvu. Kazi kwenu wajumbe wa Chadema.. Maamuzi yapo kwenu.!!??.
WIMBO BADO HAUAKAA VIZURI. .....mtoto mdogo!!! ....katiba mpya....,. umetaja mikoa michache sana, Ondoeni hicho kipengele na mtaje kwa ujumla wake (mikoa yote/Tanzania inahitaji k mpya
Wewe mzee sio familia ya chadema ni familia ya kovid 19 we unakuwa wa kovid 20 tafadhalin wajumbe tutoleeni kirus hicho hatar sana ktk chama na haki ya watanzania wanyonge tunaamin amtacha chama kisafi
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Namuona mheshimiwa Lissu moyo wangu unamfurahia sana nampenda sana ❤
Mh lissu woyeeeeeeeeeeeeee ❤❤❤❤
Mungu akusimamie T. A. Lissu
Sisi wote ni wa moja amani,upendo na mshikamano❤❤❤❤
Lissu Juuuu juuuu zaidii
Lissuuuu
CHADEMA chama champion Tz
Lisu the best ❤
Odero usiwe na wasiwasi tupo pamoja. ✌✌
Risssssssuuuuuuuuuu
MUNGU akupe ushindi
Tafadhali mwenyekiti wetu mbowe masilahi ya chama yawe mbele kuliko maslahi yako binafsi ukiisupaza shingo yako chama utakiua kwa mikono yako mwenyewe
Lisu oyeeeeeeeee
Mbowe you a true meaning of leadership.
fact
Yes
Mungu awajalie mtoke wamoja!!
Ujumbe wa maana sana,Stay blessed.
Unayo yaongea yawe niyakutoka moyoni.
Lisu 🎉
Wajumbe jaman msituzeeeeeeeeee
C kweli Kwa tabia hii
MBONA HAO WAZEE WOTE NI TEAM YA MBOWE!!
Kiukweli MH MBOWE UMEKUWA CRITIMBA MPAKA WAJUMBE HAWANA UHURU HAWANA NURU TENA JAMANI
Safi sana
Jamani sijui kura za Lisu zitalindwa vp, maana Lisu hapambani na Mpinzani wake
Mpango wa Mungu mdomoni moyoni mpango jamaa zako
Huu wa CHadema naona ndo Uchaguzi,nchi nzima unaongelewa, Kule kwingine kwenye Rangi ya majani ilikuwa ni kupachikana na biashara ya uongozi tupu....
Jezi nzuri sana iandane na uwajikaji na ukweli kwa wananch tunawapenda
Mh Mbowe sina uhakika maneno unayoyasema kama ni ya kweli wewe mwenyewe nasfi inakusuta
lisuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu ndio John Mrema bingwa wa kuvuruga chaguzi
Tunamtaka Lisu jamani chonde chonde !!!
Mkishindwa kulinda hicho Chama hakuna rangi ambayo hamtaiona😢😢😢
Duuuuuuh
Wajumbe pesa kulen Ila watanzania wanyonge msiwauze kwa maslahi ya Tanzania tunamuitaj lisu na heche sio huyo mzee msalit na mtoa rushwa
Siasa bila unafiki hutoboi wajumbe wanamuona LISSU halafu wanachekea chini chini wanasema BOYA KAJAA Kwenye mfumo ngoja wamle kichwa chake
Mbona Wamesema washike kofia Lisu hajafanya hivyo au anafikiri ni rushwa!!😂😂😂
Mbona wanatuficha tena jamani 😅
lisu ndomwenyikiti bila ilo imekula kwao
Kwa nn mnachelewa kuanza Kuna ajenda ya siri😊
Hivi LEMA HECHE HAWA SIO WAJUMBE WA KAMATI KUU MMMH. MBONA KUNA WARAKIMI HAPA
Hapa tujue sisi kama raia kweri uhuru upo ndan ya chama mbowe apumzike
Jamani viongozi wetu hakikisheni hamuruhusu shetani awatenganishe hapo kwaajili ya nchi yetu. Dawa pekee hapo ni haki katika uchaguzi wa kesho. Mauzauza yoyote yatakigawa chama
Mbowe wewe ni muungwana.... Mungu akusimamie... Amani ya Tz ni ya muhimu sana, wa vurugu ni wa vurugu tu...
Bado mpo kinyonge sana ni dhahiri kwamba hampo sawa hamjiamini kwa maan Hanna umoja
Hao viongozi wanaosimamia uchaguzi mbona siwaelewi kabisa aiseee khaaa weee hao team mbowe kabisa aiseee sijui itakuwaje mh LISSU KAZA SN HAPO KULINDA KURA MUHIMU MNO
chadema oye
MWANZO MWEMA MWISHO MWEMA
Kweli huyu sio Mbowe aliyeenda jela😅 amebadilika kitabia na msimamo
Warudisheni mliowaka acha mchezo mchafu wananchi tunamtaka lisu huyo mbowe wenu mbakinaye hukohuko
Asnte.wimbo.hongerni.lisu.akishinda.tutacheza.wimbo.huuhuu.mtunzi.hongera
Mnaomba.kweli.msigeùzi.matakwa.wananchi.lisuu.akapataulrmavu.kwaajili.chamacdema.mungu.mkumbuke.kenye.ufalme.wako
Dah Yan hapa haijalisha mchakato wa uchaguzi utakuaje, ushindi wa mbowe ni mwisho wa chadema,
Ushindi wa Tundulisu chadema itakuwa mpya na yenye nguvu.
Kazi kwenu wajumbe wa Chadema..
Maamuzi yapo kwenu.!!??.
wajumbe wakamati kuu taifa tunaomba mutuletee lisu mbowe amechoka
Mwambieni kamanda chiba afanye Mazoezi kitambi kikubwa hiko😅😅😅😅
Namuomba Allah akujaalie na wewe uwe kama yeye uone Raha anayopitia
@@nasramusaro Mungu gani atakae sikiliza dua la namna hiyo eti mm niwe na kitambi kama chiba 😁😁😁
@@AbubakaryMtandika okay nini maana ya neno Chiba lakini nakukumbusha kabla hujafa hujaumbika
Daa jamani chadema huyo muombaji wakiisìlam hatujamuelewa kabisa Tanzania sio nchi yakiarabu kwahiyo maombi yahuyo jamaa hatuyaelewi kabisa
Mbona Leo wameingia pamoja mnamfichia aibu nani?
MUNGU MLINDE TUNDU LISSU MKIMKATA LISSU NATUPA CARD YENU MBOWE NI TAPELI NA WENJE WAKE
wenje tatataka kabisa yule Bora ashinde hata mbowe na hechee
Warudisheni waliokatwa
Pigeni kazi!!!!!
WIMBO BADO HAUAKAA VIZURI.
.....mtoto mdogo!!!
....katiba mpya....,.
umetaja mikoa michache sana,
Ondoeni hicho kipengele na mtaje kwa ujumla wake (mikoa yote/Tanzania inahitaji k mpya
mbowe ameshinda tayari
Bongo movie
MATAPELI WANAJITEKENYA WANACHEKA WENYEWE,,, MNAJIDANGANYA ,,,,
Wewe mzee sio familia ya chadema ni familia ya kovid 19 we unakuwa wa kovid 20 tafadhalin wajumbe tutoleeni kirus hicho hatar sana ktk chama na haki ya watanzania wanyonge tunaamin amtacha chama kisafi
Mbowe kesho kutwa kalee wakukuu
Lushwa ni adui wa uchaguzi wazee tendeni Aki kwani lushwa ni laana munaona ilipo tufikisha kama watanzania
Jitoe nikupigie makofi
huyu unaongea naombeni mnisaidie ni nan
John mrema msemaji wa chadema
Mtawaona wajinga ila wanapgania ugali hao
Mmesha tuficha kenge nyie
Mbowe ni jembe sana
Jembe ni lisu
Bado mpo kinyonge sana ni dhahiri kwamba hampo sawa hamjiamini kwa maan Hanna umoja