🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 81

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 дней назад +5

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @LovenessAbel
    @LovenessAbel 11 дней назад +20

    Namuona mheshimiwa Lissu moyo wangu unamfurahia sana nampenda sana ❤

  • @MosesOlemuta
    @MosesOlemuta 11 дней назад +10

    Mh lissu woyeeeeeeeeeeeeee ❤❤❤❤

  • @SowetoBanks
    @SowetoBanks 11 дней назад +13

    Mungu akusimamie T. A. Lissu

  • @magrethsengati2564
    @magrethsengati2564 11 дней назад +6

    Sisi wote ni wa moja amani,upendo na mshikamano❤❤❤❤

  • @malikimrisho7844
    @malikimrisho7844 11 дней назад +10

    Lissu Juuuu juuuu zaidii

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 11 дней назад +4

    Lissuuuu

  • @claudsambwe4056
    @claudsambwe4056 11 дней назад +1

    CHADEMA chama champion Tz

  • @titusmwele6885
    @titusmwele6885 11 дней назад +2

    Lisu the best ❤

  • @khalifamkali4286
    @khalifamkali4286 11 дней назад +2

    Odero usiwe na wasiwasi tupo pamoja. ✌✌

  • @JastinJonas-u1r
    @JastinJonas-u1r 11 дней назад +2

    Risssssssuuuuuuuuuu
    MUNGU akupe ushindi

  • @NyangoboNyangobos
    @NyangoboNyangobos 11 дней назад +10

    Tafadhali mwenyekiti wetu mbowe masilahi ya chama yawe mbele kuliko maslahi yako binafsi ukiisupaza shingo yako chama utakiua kwa mikono yako mwenyewe

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 11 дней назад +6

    Lisu oyeeeeeeeee

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 11 дней назад +3

    Mbowe you a true meaning of leadership.

  • @claudsambwe4056
    @claudsambwe4056 11 дней назад

    Yes

  • @paulinekisanga1637
    @paulinekisanga1637 11 дней назад +6

    Mungu awajalie mtoke wamoja!!

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 11 дней назад +4

    Lisu 🎉

  • @SurprisedCorgi-kn2sm
    @SurprisedCorgi-kn2sm 11 дней назад +3

    Wajumbe jaman msituzeeeeeeeeee

  • @MbilinyiMbilinyi-m9k
    @MbilinyiMbilinyi-m9k 10 дней назад

    C kweli Kwa tabia hii

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 11 дней назад +3

    MBONA HAO WAZEE WOTE NI TEAM YA MBOWE!!

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 11 дней назад +1

    Kiukweli MH MBOWE UMEKUWA CRITIMBA MPAKA WAJUMBE HAWANA UHURU HAWANA NURU TENA JAMANI

  • @EmmanuelRwechungula
    @EmmanuelRwechungula 11 дней назад +1

    Safi sana

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 11 дней назад +3

    Jamani sijui kura za Lisu zitalindwa vp, maana Lisu hapambani na Mpinzani wake

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 11 дней назад +1

    Mpango wa Mungu mdomoni moyoni mpango jamaa zako

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 11 дней назад +2

    Huu wa CHadema naona ndo Uchaguzi,nchi nzima unaongelewa, Kule kwingine kwenye Rangi ya majani ilikuwa ni kupachikana na biashara ya uongozi tupu....

  • @GodfreyMakala
    @GodfreyMakala 11 дней назад +2

    Jezi nzuri sana iandane na uwajikaji na ukweli kwa wananch tunawapenda

  • @EricUbalijoro-x1l
    @EricUbalijoro-x1l 11 дней назад +2

    Mh Mbowe sina uhakika maneno unayoyasema kama ni ya kweli wewe mwenyewe nasfi inakusuta

  • @ndeziboysanga
    @ndeziboysanga 11 дней назад +2

    lisuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 11 дней назад +3

    Huyu ndio John Mrema bingwa wa kuvuruga chaguzi

  • @MzeewaslowHusseinAndrew
    @MzeewaslowHusseinAndrew 11 дней назад +4

    Tunamtaka Lisu jamani chonde chonde !!!

  • @adelinelyaruu3036
    @adelinelyaruu3036 11 дней назад +2

    Mkishindwa kulinda hicho Chama hakuna rangi ambayo hamtaiona😢😢😢

  • @brazatall3527
    @brazatall3527 11 дней назад

    Duuuuuuh

  • @SalumMsongera-n7b
    @SalumMsongera-n7b 11 дней назад +3

    Wajumbe pesa kulen Ila watanzania wanyonge msiwauze kwa maslahi ya Tanzania tunamuitaj lisu na heche sio huyo mzee msalit na mtoa rushwa

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 11 дней назад +2

    Siasa bila unafiki hutoboi wajumbe wanamuona LISSU halafu wanachekea chini chini wanasema BOYA KAJAA Kwenye mfumo ngoja wamle kichwa chake

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 11 дней назад +1

    Mbona Wamesema washike kofia Lisu hajafanya hivyo au anafikiri ni rushwa!!😂😂😂

  • @LovenessAbel
    @LovenessAbel 11 дней назад +2

    Mbona wanatuficha tena jamani 😅

  • @GraceSiimaAlibalio
    @GraceSiimaAlibalio 11 дней назад

    lisu ndomwenyikiti bila ilo imekula kwao

  • @SharifuMtogoto
    @SharifuMtogoto 11 дней назад +1

    Kwa nn mnachelewa kuanza Kuna ajenda ya siri😊

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 11 дней назад

    Hivi LEMA HECHE HAWA SIO WAJUMBE WA KAMATI KUU MMMH. MBONA KUNA WARAKIMI HAPA

  • @SamsoniMbukwa
    @SamsoniMbukwa 11 дней назад

    Hapa tujue sisi kama raia kweri uhuru upo ndan ya chama mbowe apumzike

  • @carolsangawe2024
    @carolsangawe2024 11 дней назад +1

    Jamani viongozi wetu hakikisheni hamuruhusu shetani awatenganishe hapo kwaajili ya nchi yetu. Dawa pekee hapo ni haki katika uchaguzi wa kesho. Mauzauza yoyote yatakigawa chama

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 11 дней назад

    Mbowe wewe ni muungwana.... Mungu akusimamie... Amani ya Tz ni ya muhimu sana, wa vurugu ni wa vurugu tu...

  • @OmaryYunus
    @OmaryYunus 11 дней назад

    Bado mpo kinyonge sana ni dhahiri kwamba hampo sawa hamjiamini kwa maan Hanna umoja

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 11 дней назад

    Hao viongozi wanaosimamia uchaguzi mbona siwaelewi kabisa aiseee khaaa weee hao team mbowe kabisa aiseee sijui itakuwaje mh LISSU KAZA SN HAPO KULINDA KURA MUHIMU MNO

  • @maulidiSaidi-b3p
    @maulidiSaidi-b3p 11 дней назад

    chadema oye

  • @GORANITVLIVE
    @GORANITVLIVE 11 дней назад +1

    MWANZO MWEMA MWISHO MWEMA

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 11 дней назад

    Kweli huyu sio Mbowe aliyeenda jela😅 amebadilika kitabia na msimamo

  • @annamnanka-qk1bx
    @annamnanka-qk1bx 11 дней назад +2

    Warudisheni mliowaka acha mchezo mchafu wananchi tunamtaka lisu huyo mbowe wenu mbakinaye hukohuko

  • @evelina9621
    @evelina9621 11 дней назад

    Asnte.wimbo.hongerni.lisu.akishinda.tutacheza.wimbo.huuhuu.mtunzi.hongera

  • @evelina9621
    @evelina9621 11 дней назад +1

    Mnaomba.kweli.msigeùzi.matakwa.wananchi.lisuu.akapataulrmavu.kwaajili.chamacdema.mungu.mkumbuke.kenye.ufalme.wako

  • @issaisack1865
    @issaisack1865 11 дней назад

    Dah Yan hapa haijalisha mchakato wa uchaguzi utakuaje, ushindi wa mbowe ni mwisho wa chadema,
    Ushindi wa Tundulisu chadema itakuwa mpya na yenye nguvu.
    Kazi kwenu wajumbe wa Chadema..
    Maamuzi yapo kwenu.!!??.

  • @hectorgold147
    @hectorgold147 11 дней назад

    wajumbe wakamati kuu taifa tunaomba mutuletee lisu mbowe amechoka

  • @AbubakaryMtandika
    @AbubakaryMtandika 11 дней назад +1

    Mwambieni kamanda chiba afanye Mazoezi kitambi kikubwa hiko😅😅😅😅

    • @nasramusaro
      @nasramusaro 11 дней назад +1

      Namuomba Allah akujaalie na wewe uwe kama yeye uone Raha anayopitia

    • @AbubakaryMtandika
      @AbubakaryMtandika 11 дней назад

      @@nasramusaro Mungu gani atakae sikiliza dua la namna hiyo eti mm niwe na kitambi kama chiba 😁😁😁

    • @nasramusaro
      @nasramusaro 11 дней назад

      @@AbubakaryMtandika okay nini maana ya neno Chiba lakini nakukumbusha kabla hujafa hujaumbika

  • @ramadhanikayimanda7355
    @ramadhanikayimanda7355 11 дней назад

    Daa jamani chadema huyo muombaji wakiisìlam hatujamuelewa kabisa Tanzania sio nchi yakiarabu kwahiyo maombi yahuyo jamaa hatuyaelewi kabisa

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uh 11 дней назад +2

    Mbona Leo wameingia pamoja mnamfichia aibu nani?

  • @samsonwilson3762
    @samsonwilson3762 11 дней назад +2

    MUNGU MLINDE TUNDU LISSU MKIMKATA LISSU NATUPA CARD YENU MBOWE NI TAPELI NA WENJE WAKE

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega 11 дней назад

      wenje tatataka kabisa yule Bora ashinde hata mbowe na hechee

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 11 дней назад +2

    Warudisheni waliokatwa

  • @MwendeshaMwendesha-i6h
    @MwendeshaMwendesha-i6h 11 дней назад

    Pigeni kazi!!!!!

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 11 дней назад

    WIMBO BADO HAUAKAA VIZURI.
    .....mtoto mdogo!!!
    ....katiba mpya....,.
    umetaja mikoa michache sana,
    Ondoeni hicho kipengele na mtaje kwa ujumla wake (mikoa yote/Tanzania inahitaji k mpya

  • @givembwilo141
    @givembwilo141 11 дней назад +1

    mbowe ameshinda tayari

  • @mustakimibrahimsemindu6807
    @mustakimibrahimsemindu6807 11 дней назад +1

    Bongo movie

  • @OmaryRajabu-g7r
    @OmaryRajabu-g7r 11 дней назад

    MATAPELI WANAJITEKENYA WANACHEKA WENYEWE,,, MNAJIDANGANYA ,,,,

  • @SalumMsongera-n7b
    @SalumMsongera-n7b 11 дней назад

    Wewe mzee sio familia ya chadema ni familia ya kovid 19 we unakuwa wa kovid 20 tafadhalin wajumbe tutoleeni kirus hicho hatar sana ktk chama na haki ya watanzania wanyonge tunaamin amtacha chama kisafi

  • @JooLusajo
    @JooLusajo 11 дней назад +1

    Mbowe kesho kutwa kalee wakukuu

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 11 дней назад

    Lushwa ni adui wa uchaguzi wazee tendeni Aki kwani lushwa ni laana munaona ilipo tufikisha kama watanzania

  • @ngotosilasi2099
    @ngotosilasi2099 11 дней назад

    Jitoe nikupigie makofi

  • @JosephBwiru-t7x
    @JosephBwiru-t7x 11 дней назад +2

    huyu unaongea naombeni mnisaidie ni nan

  • @fahdizahor8792
    @fahdizahor8792 11 дней назад

    Mtawaona wajinga ila wanapgania ugali hao

  • @SharifuMtogoto
    @SharifuMtogoto 11 дней назад +2

    Mmesha tuficha kenge nyie

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk 11 дней назад

    Mbowe ni jembe sana

  • @OmaryYunus
    @OmaryYunus 11 дней назад

    Bado mpo kinyonge sana ni dhahiri kwamba hampo sawa hamjiamini kwa maan Hanna umoja