MBOWE ANGETAKA KUSHINDA ANGESHINDA | LISSU ALINICHAGUA KULINDA KURA ZAKE | GODBLESS LEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 201

  • @silasmakweta3002
    @silasmakweta3002 10 дней назад +17

    Mh. Lema Mungu hakika anakutumia hongera kwa ujasiri ulio pewa na Mungu.

  • @sumkizu8367
    @sumkizu8367 10 дней назад +43

    Kwangu nadhani hapa ni sehemu sahihi kumpongeza ndugu lema mungu ampe afya njema

  • @MariamDilla
    @MariamDilla 10 дней назад +10

    Nnapo msikiliza Mh. Lema huyu Jamaa ni AKILI KUBWA SANA.
    LEMA ni miongoni mwa
    Hazina kubwa ndani ya CHADEMA lkn ndani ya TAIFA hili 🇹🇿❤️💪🏾🔥🔥💪🏾

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v 10 дней назад +75

    Mweshimiwa mbowe hakutaka kuendelea kuwa mwenyekiti.Alijua lisu atashinda tu alichokifanya mwenyekit mbowe nikukifundisha chama namnagani ya kiongozi anatakiwa kuwa.Akaweka aina ya uchaguzi unavyo takiwa kuwa.nakufundisha vyama vingine wajifunze hilo lilikua ndio lengo lake.naule ndio uchaguzi yaani mbowe ametoa elimu ktk vyama si kwa tanzania tu bali kwa Afrika nzima mbowe awe mfano kwa viongozi.mungu ibariki ccm mungu ibariki chadema mungu ibariki Afrika.

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 10 дней назад +23

    Hongera sana mtumishi naamini ulikuwa kwenye maombi ya kufunga Mungu akubariki ktk hili Mungu atakukumbuka tu na uzao wako.

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 10 дней назад +23

    Mh LEMA WEWE NI MTU MUHIMU SANA KTK HII NCHI UNAJUA NINI KINAFAA WAKATI GANI NA MUDA UPI !! YAANI NAKUKUBALI SANAAA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 MUNGU AKUPIGANIE KAMA AMBAVYO UNAPIGANIA JUSTICE " haki"

  • @davidmapunda7513
    @davidmapunda7513 10 дней назад +21

    Namuita Nabii Lema, anajua alama za nyakati,

  • @twahakamugisha6213
    @twahakamugisha6213 10 дней назад +53

    Ndugu yangu lema nakufatilia kutoka Uganda kweli wewe sio mbinafisi good work.

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud 10 дней назад +44

    Kweye kampeni zako Lema zilishawishi umma sana, kumsaport Lisu, hongera kwa kuwa Mkweli, muwazi na kutokuwa mnafiki.VIVA Lema🎉🎉🎉🎉

    • @Mc_Muz
      @Mc_Muz 9 дней назад

      @@Lubango-gj3ud lema aliboa kwa kampeni za matusi

  • @ERICKMARTIN-w2h
    @ERICKMARTIN-w2h 7 дней назад +1

    Asante sana kwa waandishi wabobezi kama ninyi habari nzuri saanq

  • @AustineMosha
    @AustineMosha 10 дней назад +19

    Kiukweli makananda wa chadema ninawasifu mnauwezo mkubwa sana wa kujieleza. Mnaweza kushika nafasi zozote ktk nchi hii. Hongera sana kamanda Lema. Ninakushauri ugombee nafasi za uongozi wa nchi hii. Kuwa imara na mungu atakusimamia kwa hekima na busara yako. Teteeni wanyonge na haki

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 10 дней назад +7

    I admire Lema not only because he is a man of principles and values but also because he is a great fighter with a wolf spirit .
    We need strong opposition parties that will Re awaken, Reinvent and Revolutionize the ruling party's policies and ideologies which currently has been skewed in favour of few filthy rich business elites than the toiling masses of workers and peasants of this county.
    Zetu duuua

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 10 дней назад +10

    Lema umejijengea heshima kubwa sana. Tumeamini wewe na Lisu ni wazalendo km Magufuli tu. Hongera sana

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 10 дней назад +8

    Mheshimiwa Lema Ni Mtumishi Wa Mungu. Tena Ni Mwafrika Wa Kwanza Afrika, Mzarendo Wa Kweli ,Mimi Sio CHADEMA Ila Kiuhalisia Mtu Anaeweza Kusimama Katika Mzingira Ya Haki Ya Watu Wengi ,Asilinde Usiano Katika Afrika Ni Watu Wachache Sana.

  • @legacytrainingservices
    @legacytrainingservices 9 дней назад +7

    Kudos Mwamba Lema ulifanya maamuzi ya busara sana kuamua kuonesha upande wako bila chembe ya unafiki, umenikumbusha Napoleon Bonaparte aliwahi kusema "The World suffers a lot not because of the violence of bad people but because of the silence of good people".

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud 10 дней назад +20

    Lemaaa, umetisha sana🎉

  • @SamsonJuma-e3f
    @SamsonJuma-e3f 10 дней назад +9

    Hongerani Sana CHADEMA kwa kufanya Mabadiliko ndani ya Chama pia Mumedhihilisha kuwa Kuna Kitu Mnakitafta katika Nchi yetu pendwa Tanzania.

  • @SperatusKainamula-h6f
    @SperatusKainamula-h6f 9 дней назад +1

    Mh Lema wewe ni mtu mkweli katika kusimama kweli mungu kuongoze katika kuongoza umma watanzania kufikia malengo ya mabadiliko.

  • @AustineMosha
    @AustineMosha 10 дней назад +9

    Hapo umesema kweli kuwa mkweli unanusuru jambo jema. Hata kwenye chama Dola kwa sass kuna watu wakweli ila ni waoga kusemaa. Kukosoa sio kosa na kusemaa ukweli sio kosa inasadia kuweka mambo sawa na haki inaweza kuwepo . Hongera sana Godless Lema na jina Lako linashuhudia kuwa una mungu ndani yako

  • @MariamDilla
    @MariamDilla 10 дней назад +7

    Mh. Godbless Lema WATANZANIA TUNAKUPENDA SANA.
    LEMA NI HAZINA YA TAIFA HILI

  • @SeleNdiboi
    @SeleNdiboi 10 дней назад +12

    Nimeupenda sana uchaguzi mm ni ccm meme towa elimu

  • @JAPHETBUNZARYNKILIJIWA
    @JAPHETBUNZARYNKILIJIWA 10 дней назад +9

    Hongera sana Lema umeonesha uzalendo mkubwa sana binafsi nilikuwa sikuelewi ila sasa nakuelewa Big up ....

  • @magrethsengati2564
    @magrethsengati2564 10 дней назад +33

    Lema unatakiwa kuwa mbunge wetu arusha kabisaaah kwa jinsi ulivyo komaa kisiasa unafaa hekima ,busara na utashi ulio kuwa nao safi sana❤❤❤ arusha inakuitaji

  • @HasanKisome
    @HasanKisome 10 дней назад +25

    Uko Makini Sana God bless Lema Mungu Akutangulie na Inshaallah Utafanya Comeback na Kushinda Tena Ubunge Arusha Mjini

  • @tumahai157
    @tumahai157 10 дней назад +8

    Hakuna kitu lema amevalia njuga kishindikane halafu siyo mnafiki yaani huyu ndiye Mutumishi wa Mungu origina

  • @DicksonNnko-wd9tw
    @DicksonNnko-wd9tw 5 дней назад

    Hilo ni jembe la arusha akutatokea mwingine big up mkuuu nakukubali sana nabii wa ukweli achana na hawa wamaslai

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 10 дней назад +5

    Hongera Sana LEMA. Wewe Umefanya Kazi Nzuri Kulinda Kura Za LISSU. Wewe Ulikua Goalkeeper Mzuri Kulinda Goli La LISSU Mabao Yasiingie. Asante Sana Kwa Kazi Yako Nzuri 🙏🙏

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 10 дней назад +4

    Hongera sana Lema.
    Mungu azidi kukuinua, na kuiinua chadema.

  • @JibeMwaijibe-p1z
    @JibeMwaijibe-p1z 10 дней назад +2

    Lema tunakuamini sana Mungu azidi kukusimamia🎉🎉🎉

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 10 дней назад +2

    Hongera saaaana Lema Mungu akubariki 🙏🙏

  • @alicemarando8278
    @alicemarando8278 10 дней назад +5

    Lema wee mtu na 😮nusu big up sana love you ❤

  • @JamesKiyoya
    @JamesKiyoya 10 дней назад +12

    Lema ni mtumishi wa Mungu, unauona moyo wake kabisa ni mkweli akiongea.❤❤❤

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 10 дней назад +14

    Makamanda wazalendo wa kweli wa Tanzania 🇹🇿

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 9 дней назад +1

    Lema mungu Akulipe kwa kaz kubwa uliyofanya🙏🙏🙏

  • @officialvicetz
    @officialvicetz 10 дней назад +12

    Lema on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 10 дней назад +3

    Lema hakika wewe ni mkweli ndani na nje ya moyo wako Hakika ukweli utakuweka huru wewe ni kiongozi na watu kama wewe yanahitajika sana katika nchi yetu kwa sasa

  • @ambelemwaitebele6131
    @ambelemwaitebele6131 10 дней назад +8

    Hongera sana kwa mjumbe wa baraza

  • @MariamDilla
    @MariamDilla 10 дней назад +2

    Mh. Tundu A Lissu ; John Heche ; Godbless Lema watabaki kuwa hazina kubwa kwa TAASISI hii kubwa nchini CHADEMA lkn TAIFA hili pia.
    Hawa watu watalifikisha TAIFA mbali sn na Imani yng watatufikisha NCHI ya AHADI Yes nchi ya asali na maziwa soon

  • @PETERMAIKO-v2y
    @PETERMAIKO-v2y 10 дней назад +3

    Rema mungu akubariki

  • @AmosMalakyese-dc9qr
    @AmosMalakyese-dc9qr 10 дней назад +6

    Lema wewe ni Gentleman, nadhani unapaswa kuwa kielelezo katika maamuzi ya busara maamuzi magumu

  • @njombecargolimited9845
    @njombecargolimited9845 10 дней назад +3

    Hongera Lema unastahili pongezi,pia hongera kwa kukiri kwamba lilikuwa kosa kumshawishi Mbowe kujitoa kwenye kinyang'anyiro

  • @DenaDuu
    @DenaDuu 10 дней назад +2

    Daaah we jamaaa mungu akutangulie coz msema kweli mpenzi wa mungu

  • @jazzjeff8431
    @jazzjeff8431 10 дней назад +4

    Genius n prophet

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 10 дней назад +2

    Mwamba hayumbishwi,, watu wahivi huwa Kila ukoo hutokea Mmoja, anaekuwa kanyoosha Nyeupe atakwambia Nyeupe, Nyeusi atakwambia Nyeusi

  • @EdwardJohn-xz5oi
    @EdwardJohn-xz5oi 10 дней назад +12

    Lema mpk kesho nitaendelea kukuamini kwenye siasa za Mageuzi ww ni mwumini wa ukweli🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 10 дней назад +3

    Daah!❤ Hakika nimepitia coment nyingi nimejifunza mambo mengi hakika wewe ni mtu mwenye maono.

    • @rosekimaro384
      @rosekimaro384 2 дня назад

      Lema sio mchezo ni changuo la mungu

  • @ERICKMARTIN-w2h
    @ERICKMARTIN-w2h 7 дней назад

    ASANTE SANA DR. SIZA

  • @AmosMalakyese-dc9qr
    @AmosMalakyese-dc9qr 10 дней назад +3

    Viva Lema vivaaa

  • @paulomwabusila1281
    @paulomwabusila1281 9 дней назад

    Apewe hongera mbowe alichofanya kimempa heshima zaid na kujenga chama

  • @Asantefidelihassani
    @Asantefidelihassani 9 дней назад

    Lema uko vzr sana nakukubali mno.

  • @hepsonmboka6776
    @hepsonmboka6776 10 дней назад +6

    Upo makini sana unasitahili kua mtibuaji,mfitinishaji mzuri sana ktk chama umekua kama Nabiii. Hongera kwa mafanikio😂❤

  • @lamecklyimo6373
    @lamecklyimo6373 7 дней назад

    Lema usilewe na blblaa za kusifiwa naona siasa za kipumbavu sana ni upuuzi nikifafanua mara mia naona upuuzi mkuba sana

  • @evelina9621
    @evelina9621 10 дней назад +2

    Mbowe.alikuwa.alikuwa.imani.kushinda.hiyo.ndio.kweli
    Mengine.mnapamba.tu.lisu.amejianda.kweli.kutumikia.wanawanchi.watu.wanampenda.kama.nyerere
    Lisu
    Tunakupendawazeevijanatukulindejilinde.epuka.uovupende.wabayazuia.maovu.omba.moyosafi.hekima
    Toka
    Kwa
    Mungu
    Hivyo
    Unavyo.akuzidishie.mara
    Ndufu

  • @BichongolaInvestment
    @BichongolaInvestment 9 дней назад

    TUNAKUSHUKURU SANA MH.LEMA KWA JINSI ULIVYOPAMBANA MMEKIFANYA CHAMA KIWE KIPYA

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 10 дней назад +3

    Lema mwamba kweli kweli

  • @PaschalBoi-z8h
    @PaschalBoi-z8h 10 дней назад +2

    Good mh.lema

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 10 дней назад +4

    Lema nitakutafuta 🎉🎉🎉

  • @esterk1652
    @esterk1652 10 дней назад +4

    I always admire your ways. You are authentic . God bless you.

  • @DismasMichael-z2z
    @DismasMichael-z2z 10 дней назад +1

    Tunashukuru sana lema

  • @jacobnghwali4531
    @jacobnghwali4531 10 дней назад

    Hongera sana lema

  • @Wycliffearphaxadafazad
    @Wycliffearphaxadafazad 7 дней назад

    Clouds Shinyanga radio haipatikani karibia Mwezi. Nini Shida.

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 10 дней назад +7

    LEMA NI MTU MUHIMU SANAA SASA UMETUHESHIMISHA SANA TULIO WENGI KTKA CHADEMA NA NJE YA CHADEMA!!

  • @EzekieliBuyenze
    @EzekieliBuyenze 10 дней назад +7

    Lema ukovizuri sana ktk watu tz we ni mtu wa haki unafaa sana

  • @josephmagige874
    @josephmagige874 10 дней назад +1

    Naubarikiwe

  • @ELIAMbise-sy5ue
    @ELIAMbise-sy5ue 10 дней назад +4

    Man of the mech

  • @cosmasmadata
    @cosmasmadata 10 дней назад +7

    People's Power

  • @evelinarevelian-fi3hc
    @evelinarevelian-fi3hc 10 дней назад +8

    Kiukweli Chadema mmeonesha demokrasia ya kuigwa katika nchi yetu. Sema mashaka ya Wananchi ni kuona chama kikiwa na mgawanyiko na kupelekea udumavu wa siasa na mapambano ya haki za kiraia. Godfrey Ngaiza nikiwa Bukoba

  • @JacksonOsward
    @JacksonOsward 10 дней назад +9

    Apongezwe kwa kuonesha uungwana

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 10 дней назад +1

    Hongera sana kwa chadema

  • @AlexKibon
    @AlexKibon 4 дня назад

    Safi

  • @JumaAllyNgoda
    @JumaAllyNgoda 10 дней назад +11

    LEMA PAMOJA NA MBOWE MMETUMIA BUSARA SANA KUKIOKOA CHAMA MMEONDOA ZILE HISIA KWAMBA CHADEMA NI CHAMA CHA WACHAGA LEO MMEDHIHIRISHA HIKI NI CHAMA CHA WOTE MMENIVUTA CHADEMA HATA MIMI NI CHADEMA RASMI

    • @gangan4618
      @gangan4618 10 дней назад +1

      Hongera kukiunga chama pendwa kwa WATANZANIA WAZALENDO"CHADEMA".

  • @Gilbert-w9e
    @Gilbert-w9e 10 дней назад

    Kiukweli Lema you are the hero, yani umeongeza thamani yako 100%

  • @DavidNamakonde
    @DavidNamakonde 10 дней назад +3

    Imani yangu na chadema imerudi upya kabisa

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 9 дней назад

    Cza anajua sana

  • @mansouranchi4002
    @mansouranchi4002 9 дней назад

    Lema is man of the match tuseme ukweli lema amecheza kama mesi na bila lema kumuunga mkono lissu angepata shida sana

  • @EvaFuraha
    @EvaFuraha 10 дней назад

    Be blessed Lema. Ww ni Shujaa!!

  • @ThomasAssey-uq2ur
    @ThomasAssey-uq2ur 9 дней назад

    Lema huenda yupo sahihi kidogo
    Ukweli ni kuwa uchaguzi haukuwa huru japo ilikuwa wazi ila ulikosa uhuru Kwa kuwa figusi na uongo ulitawala kampeni hivyo kuharibu uhalali wa uchaguzi
    Hakuna jinsi unaweza kumpaka matope mshindani then kuwapotoosha wapiga kura useme kulikuwa na uchaguzi huru hapana
    Kapimeni muone
    Pili hata lisu haukuwa na jipya la kuvutia wapiga kura zaidi ya kashfa za uongo ambazo nyingi zilimhusu yeye mwenyewe kuhusika Moja Kwa moja

  • @NuruLutembeja-h1r
    @NuruLutembeja-h1r 9 дней назад

    Wanao kubali kuwa chadema imeheshimika.Gonga like kama zote.

  • @marymaleko5377
    @marymaleko5377 10 дней назад +5

    Mbowe,ni mtu mwenye busara sana,Mbowe angeshida hawa Lissu Heche wasingekubali wangeleta vurugu sana.

    • @SHANELMBWALE
      @SHANELMBWALE 10 дней назад

      Acha uganga hizo vurugu ulizionaje?Mbowe kashindwa tu

  • @edwindezidery632
    @edwindezidery632 9 дней назад

    Ongera lema ongera sana

  • @Innocent.SelfMastery
    @Innocent.SelfMastery 10 дней назад

    Lema mtu na nusu... 💯💯

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 10 дней назад +5

    Ukweli moyo wangu umekasawaaa kwahili na mshukulu MUNGU

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 10 дней назад +2

    Mbowe ni lulu yetu tumeweka kwa matumizi ya ulazima baadaye Mungu akitupa uhai mda utasema tu nampenda sana Mbowe kwa ubunifu wake wa ajabu ingawa chama ni kama kilikuwa 50/50

  • @maxmilliannoel2605
    @maxmilliannoel2605 10 дней назад +2

    Tuwape pongezi watangazaji ,wana uwezo mkubwa kuhoji wanasiasa .Wamejiandaa

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 10 дней назад +5

    Maombi yangu Lema awe mgombea urais mwaka huu, asubuhi na mapema anashinda

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 9 дней назад +1

    Serikali iache ubinafsi....imchague Mbowe kuwa mlezi au msajili wa vyama

  • @JeremiaEdward-i2q
    @JeremiaEdward-i2q 10 дней назад +1

    Namkubali xana huyoo mwamba baada ya lisu ni yeye noma sana

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 10 дней назад

    Lema bwana!! Mmesha mpiga chini bwana mkubwa Mboe sasahivi ndo mnaongea kiungwana, na lema ndo amechangia kumpiga chini mwamba yule, hongereni sana.

  • @godsson5954
    @godsson5954 9 дней назад +1

    Lema ni kama nabii

  • @patrick-cx2di
    @patrick-cx2di 10 дней назад +3

    Naomba wanasiasa husususani viongozi wanvama, muerewe wazi kuwa wanainchi wengi huwa sowawazi watakwambia wanakuitaji nawako nyuma yako ikifika wakati wakura hutowaona wote waliokuwa wakikusifu, na mwenyekiti mstaafu mbowe amefanya kinachostahili, make wapigakura hawawezi kukuaminisha kuwa wanaimani nawewe tu wewe ukasema apana nimechoka

  • @kupazavoice
    @kupazavoice 10 дней назад +1

    Akili kubwa sana iliyotumika hapa kwenye maongezi

  • @zephathepreacher5995
    @zephathepreacher5995 10 дней назад +3

    Ni ukomavu wa hali ya juu mno!

  • @juliasmesheti6644
    @juliasmesheti6644 10 дней назад +3

    Mhe lema tunakufuatilia tukiwa arusha!

  • @johnjohnkipokola5077
    @johnjohnkipokola5077 10 дней назад +5

    Haya yote yametokea Ili kusudi la Mungu litimie.

  • @kungulesh
    @kungulesh 10 дней назад +5

    Akinywa hayo maji, nimekaa pale.

  • @Stevenmarwa-q1y
    @Stevenmarwa-q1y 10 дней назад +3

    Lema una akili nyingi maanaake ulimsapoti lisuu kwa kuogopa kukigawa chama kweli wewe ni mzalendo wa kweli

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 9 дней назад

    ✌️

  • @MariamDilla
    @MariamDilla 10 дней назад

    Imani yng Mh. Dr. Slaa ; Mh. Msigwa watarudi ndani ya TAASISI hii kubwa nchini CHADEMA kwani ni muda sahihi muda wa mabadiliko chini ya Mh Tundu A Lissu

  • @JimmyJm-c1s
    @JimmyJm-c1s 10 дней назад +2

    Hongera lema

  • @fredymushy9674
    @fredymushy9674 9 дней назад

    Lema hazina yetu