From south Africa Durban tunawapata vizuri sana SMS tunaomba makala ya Sisi wakimbizi huku kwa serikali hii iliyopo maderekani tutaendelea Ku ishi vizuri kama Zamani maana kamata ime Kua nyingi kwa kipind hiki cha karibuni
Daah aisee leo nimefurahi sana kwa kugusia mambo ya kihistoria na tunayoyasoma mashuleni na vyuoni. GPS imulikie hili na mfanye kipindi kirefu, nadhani tutafaidika sana
Mimi Niko Netherland ila nikirudi kazini kama sijaona hamuja jadili hamujaweka kipindi chocolate RUclips bas nakua sina amani maana mukiwa munakadili hizi GPs bas niona Africa kuna future ❤❤
MI MKENYA MOJA KATIKA CHANEL PENDWA NI SNS NAPENDA SANA NEWS ILA SNS NDIO MAMA CHANNEL KWANGU NYENGINE PEMBENI NAPATA ILIMU AMBAZO SIKUWA NAZO SASA HIVI KATIKA KATIKA VIKAO VYA SIASA ZA WEST NA AFRICAN NIKIONGEA WATU HUNIULIZA NINESOMA WAPI NAWAMBIA NIKO ACADEMIC YA JD SMA
Sema Ali kaongea point nzuri Mabunge YETU yanatakiwa yaendelee nasisi wananchi tushilikishwe kwenye maamuzi ya kitaifa weka mkataba unda application tuzipigie kura hii inatakiwa ifanyiwe kazi 💯💯💯
Dj smaa ..na kaka sky..wakati mwingine mualikeni dokta sure mje mdiskasi kuhusu history ya Africa history ya binadamu nakazalika ..hata kuhusu mambo ya sayansi ya dunia ..yule jamaa dokta sure anamadini Sana mualike kwenye kipindi
wana sns mpo vizuri sana, Tanzania na Afrika kwa ujumla tunaponzwa na ukoloni mamboleo,, mfumo huu wa elimu tumeletewa, kama tungelikua na mfumo mzuri wa elimu elimu Hawa mashujaa wetu tungeliwaenzi kwa kuwasimulia vizur
Brother sky mtafuteee jamaa mmoja anaitwaa thabit mrangi ni mzuri sana kuchambuaa mambo ya geopolitics very interesting.... Ajee aongezee nguvuu hapoo mtakuwaa mko full...
Yani tangu nianze kufatilia sns na mm kitaa na bishana kwa fact na wanakaa mpak wanajiuliz nimeanz kufatilia lini iv vitu kumbe kumbe na copy uku na pest kule😂
Ruto mwizi na fisadi mkubwa tumemkataa. Mtu anongeo urongo kila siku na kufyonza pesa zetu. Tunataka sisi 🇰🇪 kujua kodi zetu zinaenda wapi,mikopo tunalipa ilifanya nini? Total audit ya deni yetu ndiyo tunataka period. Kisha ruto akanyange chini
Nategemea Kufungua studio nikimaliza chuo. Henry lazima awe wakili wangu.(mwanasheria) yupo smart sana. Wenzake wakiongea anakaakimya kabisa sio anapata mhaho wa kutaka kuongea. Wote wapo sawa ila HENRY taaluma yake nntataka niitumie kwa kweli. Me ni Marketing degree holder mmoja ivi.❤
Nyinyi ni LULU kwa taifa hili Mnatupa maarifa ambayo tunakosa kuyapata sehemu nyingine You complement each other SKY you moderate the team very well DJ SMA and MWINUKA are the best kwenye kutengeneza hoja na kuwa watulivu na pia wanajua mambo mengi sana. ALLY MASUBI is also good, changamoto yangu ni hakubali ku-learn and ku-unlearn, lakini pia ana interrupt wenzake sana. Not all the time you can be right Nawapongeza Sana
Round-table ya President Ruto na kina Linus mmeiskia ndugu zangu? tunaomba basi hiii mlete humu tuskie. alafu mkiweza tafuteni Mkenya muweze mpigia simu kwenye hiii discussion..that would be so cool
Jikiteni na Tanzania, tza yenyewe imetekwa, na kuuzwa juu kwa WAARABU, amkeni, amkeni, amkeni, fungueni macho 4.MSIKUBALI KUWA WATUMWA TENA KWA WAARABU
Unajuwa dj sma mambo mengine yani yanatia hasira sana mambo ya uwongoz wakiafrika wanakuwa sio waadilifu..wanatia hasira kwer iv..yan wanakula keki yataifa wenyewe viongozi wakati wananchi wanahari mbaya..alafu wanatulimbikiza madeni makubwa mpaka wanatutia maden..wakati wao ndo wameenda kuchukua bila kutushirikisha...yan ni mambo ya ovyo sana hawa viongoz..yan yanatia hasira sana
Brother's mambo ni mengi, kwanza mimi napenda Tujizoeshe kujita WABANTU kwanza na sio WA AFRIKA NA mukianza nyinyi apa sns itakua mwanzo mzuri wa kujikomboa. Chengine serekali zetu zinaongz kwa uwongo mwanzo hadi mwisho hakuna chengine, ndio maana historia ipo lakn wanadanganya. Wala hawajali.😢
Alafu siku nyingine ebu mzungumzie storia ya wanaigeria kabila la Igbo na yoroba mana nilitaman kujuwa mana nimesikia wa Igbo walikuwa na mambo ya ajabu..ebu wazungumzien wanaigeria pia
sawa nimekuelewa sana na vizuri mnoo sasa naomba kujuwa kutoka kwako ndungu zangu wana gps je hamuoni ulazima wa nyinyi kuweka historia ya kweli kwa kizazi kijacho? na siyo kusema bila kuweka kwa faida hijayo mwisho na wapenda sana na kuwa kubali kwa dhati yangu...
Jameni Nawapenda sana hakika. Naona ninyi ni vijana wenyi kuelimika sana kabisa, mwaweza kupana mashauri kwa wenyi kuyahitaji. Sasa, hitaji yangu kwenu ni hii: Mwaweza kujitahidi kuwaunganisha maraisi wote wa Africa? Mukamwendee mumoja mmoja Nakuwauliza Ni nini wa Africa wanafia kiasi kwamba hawataki kuwa na umoja wakati sisi sote tuna Asili moja? Kwa nini Umoja wa Africa usiweko, wakati USA, U E, Arabes Unis na wengine...kwa nini ma Raisi wa Africa hawakataii kuchonganishwa wao kwa wao na wazungu?
Changing a Kenyan constitution is not easy, you have to go to the people and do what we call Referendum.... And going for referendum, is a lot of money.
Nimefurah leo mmegusia kiswahili hebu mje na mada ni kwann watanzania tutumie kiswahili chetu ktk miktadha yote na si vinginevyokama ilivyo china, urusi na korea na wamefanikiwa mno...Lugha zingine zibaki kama hobby ya mtu au kozi anayoenda kusomea...Tunajiita sisi ni baba au mama wa kiswahili Afrika kwann sas tunatumia lugha za kigeni ktk shule, vyuo, mahakama n.k; Na tukitoka nje ya tanzania tukiend ktk nchi nyingin Afrika na dunia tunahamasisha kiswahili...Hili jukwaa ni kubwa hebu tupgie chapuo kiswahili huend serikal ikafanya jambo seriuos ifik hatua mgeni adje na mkaliman anayejua kiswahili Tanzania..Kwa hali hii tutafanya ata nchi zingin zitoe watu wake wasome kiswahili
Kwa sbb chifu mkwawa alikuwa MUISLAM km tunavyojuwa dini ya kiislam inapigwa vita kabda ya uhuru na baada ya Uhuru walotawala ni kanisa so history km hizo zote zinazoshabihiana na uislam HAWAZITAKI,kabisa, imagine hstoria zote halisi zinazosomeshwa Tanzania zimebadilishwa serikali hawazitaki kabisa
Yani kuna idea ya waigzaji wetu wangekuwa wanafikiria pia nje ya box, vitu kama hivi ndo walipaswa kuviangazia, walipaswa kuangalia maisha ya kina mkwawa from there unatengeneza content ya movie nzuri. Ila kazi ya wasani wa bongo ni mapenzi tu
Kipindi changu pendwa aisee mnanipa burudani na elimu kubwa sanaa we love you ❤️ SNS
Wakenya wapewe maua yao tu 💐💐💐
SKY MUALIKE HAPO MPOKI BUYAMWANAGASYA, ISAYA BENSON MWAKILEMBE NA GPS TEAM KWENYE HIYO COVERAGE YA AFRICAN HISTORY HISTORY 👏
Comment yangu brother, 😂😂 Nasistiza Mpoki na Mwakilembe waalikwe tule miwa pamoja
Sema amualikee thabit mrangi yule ndio kasomea geopolitics na anafanana na hao.... Lile jembee
Yes thabit mlangi anatakiwa pia siku Moja moja
Asimuache pia Price Katega
@@GraceMashinga-be9wbMuda wake mchache sana yule, ni mhadhiri wa chuo kikuu Mwlm NYERERE.
Nawapendaga sanaaa sns ❤watching from kenya
From south Africa Durban tunawapata vizuri sana SMS tunaomba makala ya Sisi wakimbizi huku kwa serikali hii iliyopo maderekani tutaendelea Ku ishi vizuri kama Zamani maana kamata ime Kua nyingi kwa kipind hiki cha karibuni
Hongereni sana tukopamojaa nawapenda🎉
Tutasapoti innshaala kwamana tunapenda kujifunza Kila siku
Big love from Uganda 🇺🇬 GPS is the best
Historia ya mkwawa safi sana tuletee kwa kina. Nasikia alisilim huyo bingwa
Ni Bonge la Darasa! Hongereni sana na thanks 🙏!
Yaani hii kitu Cha history imekaa vizuri sana
Daah aisee leo nimefurahi sana kwa kugusia mambo ya kihistoria na tunayoyasoma mashuleni na vyuoni.
GPS imulikie hili na mfanye kipindi kirefu, nadhani tutafaidika sana
❤❤❤❤mnafanya kazi nzuri sana. Love tokea Kenya
Kwali na wapata GPS
Dj smaa umeongea kitu ambacho. Mm ninakifanyia research na kukiandika na Mada mnayonzungumza hapa ninkama mpo kwenye mind yang bigup
Unarusha wapi
Nawapenda sana ❤
tunawafuatilia hapa Danmark ❤
Today l listened to dudubaya and he is very knowledgeable on kenyan politics l think inviting him as a guest to the panel on this issue would be good
do you have that link or title nikamsikie kaka yangu? dada yako hapa toka Tanzania
@jedidahbam not sure which channel it was just type dudu Baya am sure itakua tu
@@yasminmustafa2282 thank you sir
DJ nakupata vizuri sana nipo hapa England
Insha'Allah tuko pamoja One love
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
❤❤❤❤ sns🇰🇪🇰🇪
Mimi Niko Netherland ila nikirudi kazini kama sijaona hamuja jadili hamujaweka kipindi chocolate RUclips bas nakua sina amani maana mukiwa munakadili hizi GPs bas niona Africa kuna future ❤❤
Netherland ya Nyoko.
Pamoja frome Oman 🇴🇲
Baada ya kuangalia mahojiano na Mh W.Ruto na waandishi wa habari natamani kuona SNS siku Moja watakaa kama ule mdahalo Amen
Mimi napenda sana ici kipindi niko Switezerland ndacangiya kwa kweli kitu tunapitiya uku Europ itakuwa Sawa
MI MKENYA MOJA KATIKA CHANEL PENDWA NI SNS NAPENDA SANA NEWS ILA SNS NDIO MAMA CHANNEL KWANGU NYENGINE PEMBENI NAPATA ILIMU AMBAZO SIKUWA NAZO SASA HIVI KATIKA KATIKA VIKAO VYA SIASA ZA WEST NA AFRICAN NIKIONGEA WATU HUNIULIZA NINESOMA WAPI NAWAMBIA NIKO ACADEMIC YA JD SMA
Na kuhusu kalenga nimefika ni pahala pazuri Sana
Sema Ali kaongea point nzuri Mabunge YETU yanatakiwa yaendelee nasisi wananchi tushilikishwe kwenye maamuzi ya kitaifa weka mkataba unda application tuzipigie kura hii inatakiwa ifanyiwe kazi 💯💯💯
Dj smaa ..na kaka sky..wakati mwingine mualikeni dokta sure mje mdiskasi kuhusu history ya Africa history ya binadamu nakazalika ..hata kuhusu mambo ya sayansi ya dunia ..yule jamaa dokta sure anamadini Sana mualike kwenye kipindi
Mi lazima niwasaporti maana mnatudisha vingi sanaa big hug all member👊
Nashukuru sana kwa GPS hii. Nimejifunza mengi.
Also please note in kenya we have a new constitution so we are learning as we go
Kiukweli tutawasapot GPS na SNS coz tunawakubali sana
Mungu awabariki sana Crew ao TEAM yenu iendelee kuwa hivo, MUNGU aepushe tu hewa mbaya isije tokea
Big up sana GPS, nawapa vzuri nikiwa Seattle
Mungu awape nguvu kutupa elim natutakua pamoja.
Introduction nzuri san...
Asanteni sana wote vichwa na Henry leo nampa maua yake kaua💐💐💐
Asante sn wana sns,nmeguswa sn na hiyo historia ya ma chief wetu...plz muingie deep zaidi tutawa support
Yaan mnaongea point kinoma kama ungepata nafasi serikalin upande wa ushauri mmgeupiga mwingi sana 🫡
CC AFRICA HISTORIA YENYE IKO NI YA RWANDA NA UGANDA YA IDI AMINI TU
Sky dj smaa ally mnafanya kazi nzuri sana yani mm mmenifanya nisiangalie tv wala chochote nikikosa gps nahisi kukosa raha kabisa
Tunashukuru sana Frank
Salute GPS
Ruto must Go
wana sns mpo vizuri sana, Tanzania na Afrika kwa ujumla tunaponzwa na ukoloni mamboleo,, mfumo huu wa elimu tumeletewa, kama tungelikua na mfumo mzuri wa elimu elimu Hawa mashujaa wetu tungeliwaenzi kwa kuwasimulia vizur
Zakayo must go 💔💔🇰🇪🇰🇪
Pamoja sana nitasapoti
Nawapenda sana wote big up sana wakali
Nimeipenda hi historia 🇲🇿 nachangia shilingi 1.000
Brother sky mtafuteee jamaa mmoja anaitwaa thabit mrangi ni mzuri sana kuchambuaa mambo ya geopolitics very interesting.... Ajee aongezee nguvuu hapoo mtakuwaa mko full...
Dj sma ......angali historia ya ruto vizuri utamjua 😂
Yani tangu nianze kufatilia sns na mm kitaa na bishana kwa fact na wanakaa mpak wanajiuliz nimeanz kufatilia lini iv vitu kumbe kumbe na copy uku na pest kule😂
Nangalia kutoka saudia. Ruto hayupo sawa kabisa kama rais
Ruto mwizi na fisadi mkubwa tumemkataa. Mtu anongeo urongo kila siku na kufyonza pesa zetu. Tunataka sisi 🇰🇪 kujua kodi zetu zinaenda wapi,mikopo tunalipa ilifanya nini? Total audit ya deni yetu ndiyo tunataka period. Kisha ruto akanyange chini
Intro ya leo nimeipenda sana. ❤❤
Yani nikwer DJ smaa sns kwel mnatufungua akili ni kwer kabisa ...tuleteen izo makala Ili tuweze kujifunza history ya Africa in real
Nategemea Kufungua studio nikimaliza chuo. Henry lazima awe wakili wangu.(mwanasheria) yupo smart sana. Wenzake wakiongea anakaakimya kabisa sio anapata mhaho wa kutaka kuongea. Wote wapo sawa ila HENRY taaluma yake nntataka niitumie kwa kweli. Me ni Marketing degree holder mmoja ivi.❤
KAZI SAFI SANA, NAWAKUBALI
Watching from Kuwait....Ruto has not delivered anything... hatuna Imani na yy
Natamani siku mzungumzie historia ya mashujaa wetu wa tanzania
Ally mnigeria kweli ka change topic faster 😂
😂😂😂 aliona wanaenda mletea chawa wa migration
hii katiba tuna tumia sahii ya 2010 ruto alikua anaipiga kwa kupiga NO wakati HIZO ni kibaki na raila ndio walisukuma sana ikapita
Nyinyi ni LULU kwa taifa hili
Mnatupa maarifa ambayo tunakosa kuyapata sehemu nyingine
You complement each other
SKY you moderate the team very well
DJ SMA and MWINUKA are the best kwenye kutengeneza hoja na kuwa watulivu na pia wanajua mambo mengi sana.
ALLY MASUBI is also good, changamoto yangu ni hakubali ku-learn and ku-unlearn, lakini pia ana interrupt wenzake sana. Not all the time you can be right
Nawapongeza Sana
D J asma ulicho kiongea nijweli lkn ss wakenya ni bora ruto aondoke. Yule hato bailika
Kuna uwezekano mkubwa mkaiharibu nchi. Litafakarini tena.
sasa hiyo mzee jomo kenyatta na moi ndio walianzisha apa kenya
ndio maana hizo family mbili ndio tajiri na karibu arthi yote ya kenya wana miliki
SNs naomba utafiti mapinduzi ya zanzibar wapo wanasema 63 na wapo wanasema 64
Round-table ya President Ruto na kina Linus mmeiskia ndugu zangu? tunaomba basi hiii mlete humu tuskie. alafu mkiweza tafuteni Mkenya muweze mpigia simu kwenye hiii discussion..that would be so cool
Mwijaku wa Kenya yule au?😂😂😂😂😂
Sema Henry Mwinuka anajua sana
Kwa Kweli tunaomba sana wana SNS wote tuweze ku support GPS na mambo mengine ili tuweze ku enjoy na BLoG yetu hii pendwa❤❤❤
Kwenye ufisadi akikutwa kiongozi waweke sheria ya kukatwa kichwa
Wakenya tunawapenda sana, mmetuamsha.
Jikiteni na Tanzania, tza yenyewe imetekwa, na kuuzwa juu kwa WAARABU, amkeni, amkeni, amkeni, fungueni macho 4.MSIKUBALI KUWA WATUMWA TENA KWA WAARABU
Acha ukuma kwani wazungu wako wangapi? Na wanamiliki vingapi? Mbona husemi nao tuko utumwani.
Wachambuzi wote wa GPS peponi😂😂😂😂....wa kwanza kuingia n mwanasheria wetu, umetema nondo vibaya mnooooo....anafaa kuwa mshauri wa Ruto na kenya
Bank account
Inarahisisha
Unajuwa dj sma mambo mengine yani yanatia hasira sana mambo ya uwongoz wakiafrika wanakuwa sio waadilifu..wanatia hasira kwer iv..yan wanakula keki yataifa wenyewe viongozi wakati wananchi wanahari mbaya..alafu wanatulimbikiza madeni makubwa mpaka wanatutia maden..wakati wao ndo wameenda kuchukua bila kutushirikisha...yan ni mambo ya ovyo sana hawa viongoz..yan yanatia hasira sana
Big up sana brothers
Nawakubali wana g.p s🎉
Zitoweni hizi story jamani watu wengi wajue au tujue
Nasemaje, asidhani mafuta huelea kwenye maji, ndio akijipaka mwili naye pia ataelea..!!!!
🔥🔥🔥❤
Ninasapot sana nikikanyaga tu tanzaniya nitasapot nduguzagu
Katika sehem pia tunapenda kujua historia yake ni KILWA
Mabrooh mnamadini sana,Wanaotuongoza hatukuwachagua na tunaotaka wawe viongoz wetu Hawatakiwi na mfumo😢
We don't trust ruto # ruto must go period am proudly Kenyan
Dude does not even obey court orders..the judiciary declared the housing levy unconstitutional....huyu aende..we are tired
😂😂😂😂😂😂Dj sma umenigusa . Yaani hata wasanii wetu wote. Hakuna ayewaza kaa Mchina anavyo igiza Gwarila war. Wasanii wetu historia zao ni Mapenzi tuu.
Nawaelewa sana wachambuzi, wakenya wakimpoteza Ruto watajuta, sababu namuona ni mtu mwenye maono ya mbali kama mwendazake awamu ya 5 wa Tz 😭😭😭
Mchukue ww akuonee wewe hayo maono😢
😂😂😂😂😂
Kiukweli yote mliyosema ni mazuri lakini lazima mfaham ukoloni Bado unaedelea Kwa njia zingine
Brother's mambo ni mengi, kwanza mimi napenda Tujizoeshe kujita WABANTU kwanza na sio WA AFRIKA
NA mukianza nyinyi apa sns itakua mwanzo mzuri wa kujikomboa.
Chengine serekali zetu zinaongz kwa uwongo mwanzo hadi mwisho hakuna chengine, ndio maana historia ipo lakn wanadanganya. Wala hawajali.😢
Alafu siku nyingine ebu mzungumzie storia ya wanaigeria kabila la Igbo na yoroba mana nilitaman kujuwa mana nimesikia wa Igbo walikuwa na mambo ya ajabu..ebu wazungumzien wanaigeria pia
mmenichaniua wasee✌️
Iyo number ya Mpesa uku inakuja na majina mengine tifauti sanaa
Majina ni Fredrick Bundala
Mmmi nipo zambia nafanya je! Kwamushango
sawa nimekuelewa sana na vizuri mnoo sasa naomba kujuwa kutoka kwako ndungu zangu wana gps je hamuoni ulazima wa nyinyi kuweka historia ya kweli kwa kizazi kijacho? na siyo kusema bila kuweka kwa faida hijayo mwisho na wapenda sana na kuwa kubali kwa dhati yangu...
Jameni Nawapenda sana hakika. Naona ninyi ni vijana wenyi kuelimika sana kabisa, mwaweza kupana mashauri kwa wenyi kuyahitaji. Sasa, hitaji yangu kwenu ni hii: Mwaweza kujitahidi kuwaunganisha maraisi wote wa Africa? Mukamwendee mumoja mmoja Nakuwauliza Ni nini wa Africa wanafia kiasi kwamba hawataki kuwa na umoja wakati sisi sote tuna Asili moja? Kwa nini Umoja wa Africa usiweko, wakati USA, U E, Arabes Unis na wengine...kwa nini ma Raisi wa Africa hawakataii kuchonganishwa wao kwa wao na wazungu?
Big up guys🎉
Changing a Kenyan constitution is not easy, you have to go to the people and do what we call Referendum.... And going for referendum, is a lot of money.
Nimefurah leo mmegusia kiswahili hebu mje na mada ni kwann watanzania tutumie kiswahili chetu ktk miktadha yote na si vinginevyokama ilivyo china, urusi na korea na wamefanikiwa mno...Lugha zingine zibaki kama hobby ya mtu au kozi anayoenda kusomea...Tunajiita sisi ni baba au mama wa kiswahili Afrika kwann sas tunatumia lugha za kigeni ktk shule, vyuo, mahakama n.k; Na tukitoka nje ya tanzania tukiend ktk nchi nyingin Afrika na dunia tunahamasisha kiswahili...Hili jukwaa ni kubwa hebu tupgie chapuo kiswahili huend serikal ikafanya jambo seriuos ifik hatua mgeni adje na mkaliman anayejua kiswahili Tanzania..Kwa hali hii tutafanya ata nchi zingin zitoe watu wake wasome kiswahili
Kwa sbb chifu mkwawa alikuwa MUISLAM km tunavyojuwa dini ya kiislam inapigwa vita kabda ya uhuru na baada ya Uhuru walotawala ni kanisa so history km hizo zote zinazoshabihiana na uislam HAWAZITAKI,kabisa, imagine hstoria zote halisi zinazosomeshwa Tanzania zimebadilishwa serikali hawazitaki kabisa
Hebu tizama history ya Uhuru wa Tanganyika, waislam ndio waliokuwa no 1, and walikuwa front line lkn toka kuanzia TAA, TANU, mpaka CCM.
@@salimali-rf9er asant umetoa muongoz mzur but cwez sema yes or no ngoj na mie niende kuchimba ..Ila kubwa naona walijikit ktk kutoa udini
Yani kuna idea ya waigzaji wetu wangekuwa wanafikiria pia nje ya box, vitu kama hivi ndo walipaswa kuviangazia, walipaswa kuangalia maisha ya kina mkwawa from there unatengeneza content ya movie nzuri. Ila kazi ya wasani wa bongo ni mapenzi tu
Those members of parliament you're blaming, remember they were forced by being bribed 2M, to vote yes 😮😮😮
🎉🎉