GPS: RAIS Ruto bado yupo KIKAANGONI! Wakenya wakerwa na ANASA za Viongozi, wataka AJIUZULU!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июн 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 248

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 2 дня назад +18

    Kipindi changu pendwa aisee mnanipa burudani na elimu kubwa sanaa we love you ❤️ SNS

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 дня назад +14

    Wakenya wapewe maua yao tu 💐💐💐

  • @amriseleman9395
    @amriseleman9395 День назад +15

    SKY MUALIKE HAPO MPOKI BUYAMWANAGASYA, ISAYA BENSON MWAKILEMBE NA GPS TEAM KWENYE HIYO COVERAGE YA AFRICAN HISTORY HISTORY 👏

    • @user-hx2if3ep2m
      @user-hx2if3ep2m День назад

      Comment yangu brother, 😂😂 Nasistiza Mpoki na Mwakilembe waalikwe tule miwa pamoja

    • @ilalikilimo440
      @ilalikilimo440 День назад

      Sema amualikee thabit mrangi yule ndio kasomea geopolitics na anafanana na hao.... Lile jembee

    • @GraceMashinga-be9wb
      @GraceMashinga-be9wb День назад

      Yes thabit mlangi anatakiwa pia siku Moja moja

    • @user-ny2cd9dt1d
      @user-ny2cd9dt1d День назад

      Asimuache pia Price Katega

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj День назад

      ​@@GraceMashinga-be9wbMuda wake mchache sana yule, ni mhadhiri wa chuo kikuu Mwlm NYERERE.

  • @graciouskazuri2327
    @graciouskazuri2327 2 дня назад +7

    Nawapendaga sanaaa sns ❤watching from kenya

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y День назад +9

    From south Africa Durban tunawapata vizuri sana SMS tunaomba makala ya Sisi wakimbizi huku kwa serikali hii iliyopo maderekani tutaendelea Ku ishi vizuri kama Zamani maana kamata ime Kua nyingi kwa kipind hiki cha karibuni

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k День назад +4

    Hongereni sana tukopamojaa nawapenda🎉

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 дня назад +5

    Tutasapoti innshaala kwamana tunapenda kujifunza Kila siku

  • @jonathanshamazi9821
    @jonathanshamazi9821 День назад +2

    Big love from Uganda 🇺🇬 GPS is the best

  • @hassanmkufya2867
    @hassanmkufya2867 2 дня назад +6

    Historia ya mkwawa safi sana tuletee kwa kina. Nasikia alisilim huyo bingwa

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 День назад +2

    Ni Bonge la Darasa! Hongereni sana na thanks 🙏!

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 День назад +5

    Yaani hii kitu Cha history imekaa vizuri sana

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 День назад +5

    Daah aisee leo nimefurahi sana kwa kugusia mambo ya kihistoria na tunayoyasoma mashuleni na vyuoni.
    GPS imulikie hili na mfanye kipindi kirefu, nadhani tutafaidika sana

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 День назад +3

    ❤❤❤❤mnafanya kazi nzuri sana. Love tokea Kenya

  • @nsabimanaabedi541
    @nsabimanaabedi541 2 дня назад +5

    Kwali na wapata GPS

  • @fahmanalbulushi2925
    @fahmanalbulushi2925 День назад +8

    Dj smaa umeongea kitu ambacho. Mm ninakifanyia research na kukiandika na Mada mnayonzungumza hapa ninkama mpo kwenye mind yang bigup

    • @Gody360
      @Gody360 День назад +1

      Unarusha wapi

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana9759 2 дня назад +2

    Nawapenda sana ❤
    tunawafuatilia hapa Danmark ❤

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 День назад +5

    Today l listened to dudubaya and he is very knowledgeable on kenyan politics l think inviting him as a guest to the panel on this issue would be good

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 День назад

      do you have that link or title nikamsikie kaka yangu? dada yako hapa toka Tanzania

    • @yasminmustafa2282
      @yasminmustafa2282 День назад

      ​@jedidahbam not sure which channel it was just type dudu Baya am sure itakua tu

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 День назад

      @@yasminmustafa2282 thank you sir

  • @jafaribori5428
    @jafaribori5428 День назад +2

    DJ nakupata vizuri sana nipo hapa England

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 День назад +2

    Insha'Allah tuko pamoja One love
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

  • @simonlunyelekwe5520
    @simonlunyelekwe5520 День назад +3

    ❤❤❤❤ sns🇰🇪🇰🇪

  • @omarsheha566
    @omarsheha566 День назад +5

    Mimi Niko Netherland ila nikirudi kazini kama sijaona hamuja jadili hamujaweka kipindi chocolate RUclips bas nakua sina amani maana mukiwa munakadili hizi GPs bas niona Africa kuna future ❤❤

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 2 дня назад +2

    Pamoja frome Oman 🇴🇲

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 День назад +1

    Baada ya kuangalia mahojiano na Mh W.Ruto na waandishi wa habari natamani kuona SNS siku Moja watakaa kama ule mdahalo Amen

  • @abrahamhabarugira2483
    @abrahamhabarugira2483 2 дня назад +2

    Mimi napenda sana ici kipindi niko Switezerland ndacangiya kwa kweli kitu tunapitiya uku Europ itakuwa Sawa

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 День назад +4

    MI MKENYA MOJA KATIKA CHANEL PENDWA NI SNS NAPENDA SANA NEWS ILA SNS NDIO MAMA CHANNEL KWANGU NYENGINE PEMBENI NAPATA ILIMU AMBAZO SIKUWA NAZO SASA HIVI KATIKA KATIKA VIKAO VYA SIASA ZA WEST NA AFRICAN NIKIONGEA WATU HUNIULIZA NINESOMA WAPI NAWAMBIA NIKO ACADEMIC YA JD SMA

  • @fahmanalbulushi2925
    @fahmanalbulushi2925 День назад +3

    Na kuhusu kalenga nimefika ni pahala pazuri Sana

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 День назад

    Sema Ali kaongea point nzuri Mabunge YETU yanatakiwa yaendelee nasisi wananchi tushilikishwe kwenye maamuzi ya kitaifa weka mkataba unda application tuzipigie kura hii inatakiwa ifanyiwe kazi 💯💯💯

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 дня назад +3

    Dj smaa ..na kaka sky..wakati mwingine mualikeni dokta sure mje mdiskasi kuhusu history ya Africa history ya binadamu nakazalika ..hata kuhusu mambo ya sayansi ya dunia ..yule jamaa dokta sure anamadini Sana mualike kwenye kipindi

  • @adronicokalumna
    @adronicokalumna 44 минуты назад

    Mi lazima niwasaporti maana mnatudisha vingi sanaa big hug all member👊

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1d День назад

    Nashukuru sana kwa GPS hii. Nimejifunza mengi.

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 День назад +3

    Also please note in kenya we have a new constitution so we are learning as we go

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 2 дня назад +2

    Kiukweli tutawasapot GPS na SNS coz tunawakubali sana

  • @billskeez92
    @billskeez92 День назад

    Mungu awabariki sana Crew ao TEAM yenu iendelee kuwa hivo, MUNGU aepushe tu hewa mbaya isije tokea

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi День назад

    Big up sana GPS, nawapa vzuri nikiwa Seattle

  • @user-vt2oj3sr4k
    @user-vt2oj3sr4k 2 дня назад +1

    Mungu awape nguvu kutupa elim natutakua pamoja.

  • @mathayobmasunzu278
    @mathayobmasunzu278 День назад +1

    Introduction nzuri san...

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 15 часов назад

    Asanteni sana wote vichwa na Henry leo nampa maua yake kaua💐💐💐

  • @christianfinda7269
    @christianfinda7269 День назад

    Asante sn wana sns,nmeguswa sn na hiyo historia ya ma chief wetu...plz muingie deep zaidi tutawa support

  • @Gody360
    @Gody360 День назад +1

    Yaan mnaongea point kinoma kama ungepata nafasi serikalin upande wa ushauri mmgeupiga mwingi sana 🫡

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 День назад +2

    CC AFRICA HISTORIA YENYE IKO NI YA RWANDA NA UGANDA YA IDI AMINI TU

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 День назад +1

    Sky dj smaa ally mnafanya kazi nzuri sana yani mm mmenifanya nisiangalie tv wala chochote nikikosa gps nahisi kukosa raha kabisa

  • @mussamkanga3329
    @mussamkanga3329 2 дня назад +1

    Salute GPS

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 День назад +1

    Ruto must Go

  • @piussogoye
    @piussogoye День назад +1

    wana sns mpo vizuri sana, Tanzania na Afrika kwa ujumla tunaponzwa na ukoloni mamboleo,, mfumo huu wa elimu tumeletewa, kama tungelikua na mfumo mzuri wa elimu elimu Hawa mashujaa wetu tungeliwaenzi kwa kuwasimulia vizur

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 2 дня назад +1

    Zakayo must go 💔💔🇰🇪🇰🇪

  • @Agath45
    @Agath45 2 дня назад +1

    Pamoja sana nitasapoti

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 День назад

    Nawapenda sana wote big up sana wakali

  • @Cabosport
    @Cabosport День назад

    Nimeipenda hi historia 🇲🇿 nachangia shilingi 1.000

  • @ilalikilimo440
    @ilalikilimo440 День назад

    Brother sky mtafuteee jamaa mmoja anaitwaa thabit mrangi ni mzuri sana kuchambuaa mambo ya geopolitics very interesting.... Ajee aongezee nguvuu hapoo mtakuwaa mko full...

  • @arkei4003
    @arkei4003 День назад +1

    Dj sma ......angali historia ya ruto vizuri utamjua 😂

  • @MohamedSalum-kr6nz
    @MohamedSalum-kr6nz День назад +2

    Yani tangu nianze kufatilia sns na mm kitaa na bishana kwa fact na wanakaa mpak wanajiuliz nimeanz kufatilia lini iv vitu kumbe kumbe na copy uku na pest kule😂

  • @alhajjwaupe4593
    @alhajjwaupe4593 2 дня назад +1

    Nangalia kutoka saudia. Ruto hayupo sawa kabisa kama rais

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi День назад +1

    Ruto mwizi na fisadi mkubwa tumemkataa. Mtu anongeo urongo kila siku na kufyonza pesa zetu. Tunataka sisi 🇰🇪 kujua kodi zetu zinaenda wapi,mikopo tunalipa ilifanya nini? Total audit ya deni yetu ndiyo tunataka period. Kisha ruto akanyange chini

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km День назад

    Intro ya leo nimeipenda sana. ❤❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 дня назад +2

    Yani nikwer DJ smaa sns kwel mnatufungua akili ni kwer kabisa ...tuleteen izo makala Ili tuweze kujifunza history ya Africa in real

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats День назад

    Nategemea Kufungua studio nikimaliza chuo. Henry lazima awe wakili wangu.(mwanasheria) yupo smart sana. Wenzake wakiongea anakaakimya kabisa sio anapata mhaho wa kutaka kuongea. Wote wapo sawa ila HENRY taaluma yake nntataka niitumie kwa kweli. Me ni Marketing degree holder mmoja ivi.❤

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 День назад

    KAZI SAFI SANA, NAWAKUBALI

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 2 дня назад +1

    Watching from Kuwait....Ruto has not delivered anything... hatuna Imani na yy

  • @NuruAiwen
    @NuruAiwen 2 дня назад +2

    Natamani siku mzungumzie historia ya mashujaa wetu wa tanzania

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 2 дня назад +2

    Ally mnigeria kweli ka change topic faster 😂

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 День назад +1

    hii katiba tuna tumia sahii ya 2010 ruto alikua anaipiga kwa kupiga NO wakati HIZO ni kibaki na raila ndio walisukuma sana ikapita

  • @abel_esam
    @abel_esam 3 часа назад

    Nyinyi ni LULU kwa taifa hili
    Mnatupa maarifa ambayo tunakosa kuyapata sehemu nyingine
    You complement each other
    SKY you moderate the team very well
    DJ SMA and MWINUKA are the best kwenye kutengeneza hoja na kuwa watulivu na pia wanajua mambo mengi sana.
    ALLY MASUBI is also good, changamoto yangu ni hakubali ku-learn and ku-unlearn, lakini pia ana interrupt wenzake sana. Not all the time you can be right
    Nawapongeza Sana

  • @alhajjwaupe4593
    @alhajjwaupe4593 День назад +2

    D J asma ulicho kiongea nijweli lkn ss wakenya ni bora ruto aondoke. Yule hato bailika

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 День назад

      Kuna uwezekano mkubwa mkaiharibu nchi. Litafakarini tena.

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 День назад +1

    sasa hiyo mzee jomo kenyatta na moi ndio walianzisha apa kenya
    ndio maana hizo family mbili ndio tajiri na karibu arthi yote ya kenya wana miliki

  • @nassorkhamis6233
    @nassorkhamis6233 День назад +1

    SNs naomba utafiti mapinduzi ya zanzibar wapo wanasema 63 na wapo wanasema 64

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 День назад +1

    Round-table ya President Ruto na kina Linus mmeiskia ndugu zangu? tunaomba basi hiii mlete humu tuskie. alafu mkiweza tafuteni Mkenya muweze mpigia simu kwenye hiii discussion..that would be so cool

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj День назад

    Sema Henry Mwinuka anajua sana

  • @billskeez92
    @billskeez92 День назад

    Kwa Kweli tunaomba sana wana SNS wote tuweze ku support GPS na mambo mengine ili tuweze ku enjoy na BLoG yetu hii pendwa❤❤❤

  • @YasiniMkakile
    @YasiniMkakile День назад +1

    Kwenye ufisadi akikutwa kiongozi waweke sheria ya kukatwa kichwa

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 День назад +3

    Wakenya tunawapenda sana, mmetuamsha.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 День назад +1

    Jikiteni na Tanzania, tza yenyewe imetekwa, na kuuzwa juu kwa WAARABU, amkeni, amkeni, amkeni, fungueni macho 4.MSIKUBALI KUWA WATUMWA TENA KWA WAARABU

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 День назад

      Acha ukuma kwani wazungu wako wangapi? Na wanamiliki vingapi? Mbona husemi nao tuko utumwani.

  • @novusengineering_tz4523
    @novusengineering_tz4523 День назад +1

    Wachambuzi wote wa GPS peponi😂😂😂😂....wa kwanza kuingia n mwanasheria wetu, umetema nondo vibaya mnooooo....anafaa kuwa mshauri wa Ruto na kenya

  • @MohamediAthumani-xs5zl
    @MohamediAthumani-xs5zl 2 дня назад +1

    Bank account
    Inarahisisha

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 День назад +1

    Unajuwa dj sma mambo mengine yani yanatia hasira sana mambo ya uwongoz wakiafrika wanakuwa sio waadilifu..wanatia hasira kwer iv..yan wanakula keki yataifa wenyewe viongozi wakati wananchi wanahari mbaya..alafu wanatulimbikiza madeni makubwa mpaka wanatutia maden..wakati wao ndo wameenda kuchukua bila kutushirikisha...yan ni mambo ya ovyo sana hawa viongoz..yan yanatia hasira sana

  • @adnanomary1955
    @adnanomary1955 День назад

    Big up sana brothers

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 День назад

    Nawakubali wana g.p s🎉

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv День назад +1

    Zitoweni hizi story jamani watu wengi wajue au tujue

  • @Omosh003
    @Omosh003 2 дня назад +1

    Nasemaje, asidhani mafuta huelea kwenye maji, ndio akijipaka mwili naye pia ataelea..!!!!

  • @yvesgrace_z7152
    @yvesgrace_z7152 2 дня назад +1

    🔥🔥🔥❤

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed6046 23 часа назад +1

    Ninasapot sana nikikanyaga tu tanzaniya nitasapot nduguzagu

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 4 часа назад

    Katika sehem pia tunapenda kujua historia yake ni KILWA

  • @ShabanNyange
    @ShabanNyange 22 часа назад

    Mabrooh mnamadini sana,Wanaotuongoza hatukuwachagua na tunaotaka wawe viongoz wetu Hawatakiwi na mfumo😢

  • @sarafinawanja8549
    @sarafinawanja8549 День назад

    We don't trust ruto # ruto must go period am proudly Kenyan

  • @yasminmustafa2282
    @yasminmustafa2282 День назад +1

    Dude does not even obey court orders..the judiciary declared the housing levy unconstitutional....huyu aende..we are tired

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1d День назад +1

    😂😂😂😂😂😂Dj sma umenigusa . Yaani hata wasanii wetu wote. Hakuna ayewaza kaa Mchina anavyo igiza Gwarila war. Wasanii wetu historia zao ni Mapenzi tuu.

  • @yasserhumphrey3295
    @yasserhumphrey3295 День назад +1

    Nawaelewa sana wachambuzi, wakenya wakimpoteza Ruto watajuta, sababu namuona ni mtu mwenye maono ya mbali kama mwendazake awamu ya 5 wa Tz 😭😭😭

  • @MariamMasunga-v7n
    @MariamMasunga-v7n 14 часов назад

    Kiukweli yote mliyosema ni mazuri lakini lazima mfaham ukoloni Bado unaedelea Kwa njia zingine

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte429 День назад

    Brother's mambo ni mengi, kwanza mimi napenda Tujizoeshe kujita WABANTU kwanza na sio WA AFRIKA
    NA mukianza nyinyi apa sns itakua mwanzo mzuri wa kujikomboa.
    Chengine serekali zetu zinaongz kwa uwongo mwanzo hadi mwisho hakuna chengine, ndio maana historia ipo lakn wanadanganya. Wala hawajali.😢

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 дня назад +1

    Alafu siku nyingine ebu mzungumzie storia ya wanaigeria kabila la Igbo na yoroba mana nilitaman kujuwa mana nimesikia wa Igbo walikuwa na mambo ya ajabu..ebu wazungumzien wanaigeria pia

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini День назад

    mmenichaniua wasee✌️

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 День назад +1

    Iyo number ya Mpesa uku inakuja na majina mengine tifauti sanaa

  • @MichealNdahiza
    @MichealNdahiza 2 дня назад +1

    Mmmi nipo zambia nafanya je! Kwamushango

  • @shijakuligi2674
    @shijakuligi2674 День назад

    sawa nimekuelewa sana na vizuri mnoo sasa naomba kujuwa kutoka kwako ndungu zangu wana gps je hamuoni ulazima wa nyinyi kuweka historia ya kweli kwa kizazi kijacho? na siyo kusema bila kuweka kwa faida hijayo mwisho na wapenda sana na kuwa kubali kwa dhati yangu...

  • @pierrotntabaza8267
    @pierrotntabaza8267 День назад

    Jameni Nawapenda sana hakika. Naona ninyi ni vijana wenyi kuelimika sana kabisa, mwaweza kupana mashauri kwa wenyi kuyahitaji. Sasa, hitaji yangu kwenu ni hii: Mwaweza kujitahidi kuwaunganisha maraisi wote wa Africa? Mukamwendee mumoja mmoja Nakuwauliza Ni nini wa Africa wanafia kiasi kwamba hawataki kuwa na umoja wakati sisi sote tuna Asili moja? Kwa nini Umoja wa Africa usiweko, wakati USA, U E, Arabes Unis na wengine...kwa nini ma Raisi wa Africa hawakataii kuchonganishwa wao kwa wao na wazungu?

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 День назад

    Big up guys🎉

  • @sarahonguso6187
    @sarahonguso6187 11 часов назад

    Changing a Kenyan constitution is not easy, you have to go to the people and do what we call Referendum.... And going for referendum, is a lot of money.

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 2 дня назад +2

    Nimefurah leo mmegusia kiswahili hebu mje na mada ni kwann watanzania tutumie kiswahili chetu ktk miktadha yote na si vinginevyokama ilivyo china, urusi na korea na wamefanikiwa mno...Lugha zingine zibaki kama hobby ya mtu au kozi anayoenda kusomea...Tunajiita sisi ni baba au mama wa kiswahili Afrika kwann sas tunatumia lugha za kigeni ktk shule, vyuo, mahakama n.k; Na tukitoka nje ya tanzania tukiend ktk nchi nyingin Afrika na dunia tunahamasisha kiswahili...Hili jukwaa ni kubwa hebu tupgie chapuo kiswahili huend serikal ikafanya jambo seriuos ifik hatua mgeni adje na mkaliman anayejua kiswahili Tanzania..Kwa hali hii tutafanya ata nchi zingin zitoe watu wake wasome kiswahili

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er День назад

      Kwa sbb chifu mkwawa alikuwa MUISLAM km tunavyojuwa dini ya kiislam inapigwa vita kabda ya uhuru na baada ya Uhuru walotawala ni kanisa so history km hizo zote zinazoshabihiana na uislam HAWAZITAKI,kabisa, imagine hstoria zote halisi zinazosomeshwa Tanzania zimebadilishwa serikali hawazitaki kabisa

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er День назад

      Hebu tizama history ya Uhuru wa Tanganyika, waislam ndio waliokuwa no 1, and walikuwa front line lkn toka kuanzia TAA, TANU, mpaka CCM.

    • @jumashedafa
      @jumashedafa День назад

      @@salimali-rf9er asant umetoa muongoz mzur but cwez sema yes or no ngoj na mie niende kuchimba ..Ila kubwa naona walijikit ktk kutoa udini

  • @paschaljuma3312
    @paschaljuma3312 День назад +1

    Yani kuna idea ya waigzaji wetu wangekuwa wanafikiria pia nje ya box, vitu kama hivi ndo walipaswa kuviangazia, walipaswa kuangalia maisha ya kina mkwawa from there unatengeneza content ya movie nzuri. Ila kazi ya wasani wa bongo ni mapenzi tu

  • @sarahonguso6187
    @sarahonguso6187 11 часов назад

    Those members of parliament you're blaming, remember they were forced by being bribed 2M, to vote yes 😮😮😮

  • @Eng2460
    @Eng2460 2 дня назад +1

    🎉🎉