URUSI yaichimba mkwara ISRAEL kwa mpango wake wa kuipa UKRAINE mfumo wa kujilinda na makombora

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 86

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje 2 дня назад +3

    Yan uyu Israel ana kazi kweli kweli . Mbele huko Dunia nzima itaenda kufanya vita Mashariki ya kati .

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 День назад +1

    Urusi ni kama mwanamke kihele hele😂😂

  • @TuyageComcast
    @TuyageComcast 2 дня назад +13

    Urusu ni mudomo tuu naona hakuna kituu hapooo 😅

    • @Bittertruth-u4n
      @Bittertruth-u4n 2 дня назад

      😂

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 2 дня назад +3

      Mudomo nd nn we ngoja awapelekee hezibollah makombora Kama itakuwepo isarael yako

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f 2 дня назад +2

      kwanza ww unaisapot israel jiangalie ww wanakukubali muizrael mweusi ulojaa chuki kwenye moyo wko alafu mm nimeokoka mm ni mtoto wamungu unafkiria mungu anashida na mzinifu kma ww

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo 2 дня назад +1

      Hujui kitu wewe Kaa utulie

    • @MikelSitoe
      @MikelSitoe 2 дня назад +1

      wee huji elewi unacho ki Sema kwani mpaka Sasa miaka mingapi urusi anapambana na nchi nyingi zenye uwezo na bado awa wezi kum dondosha😂😂😂😂

  • @omeraJR
    @omeraJR 2 дня назад +2

    Yani kikongwe kabaki kupiga mikwara tu hii vita imetenga propaganda na ualisia! the russia the VODKA guy anahisi kila mtu mlevi😂😂
    Mnaosapoti urusi wote qmmk zenu😎😎

  • @Bittertruth-u4n
    @Bittertruth-u4n 2 дня назад +2

    Israel atapasuka msamba maana kila sehemu yeye anataka aguse na hana uwezo

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 2 дня назад +8

    Israeli wapo vizuri 🙏🙏🙏
    Kumbe Russia hawana jipya kiviiile

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 дня назад +1

    Urusi hanaga mkwara... Kichwa cha habari muwe mnaangalia kwa umakini

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 День назад +1

    Urusi haiwezi Israel 😂😂

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 2 дня назад +3

    Israel atulie amuonee huyo palestina huku baba ake ameshindwa anatapa tapa tu😂😂🙌🙌🙌

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 дня назад

    Mmmhh dunia kwer ishakuwa sio sehem salama..mwenyezimungu tujaalie aman na upendo
    ..mungu tusaidie tunakuitaji sana kwakipindi hichi na hata zaidi...mana hali ya dunia sio sawa kabisa kwajins ninavyoona mim..mana hatuna aman dunia inakuwa uwanja wa vita

  • @BakundaSadock
    @BakundaSadock 2 дня назад +1

    Waguse waone mziki was urusi ndo watajua kuwa urusi wananguvu kiasi gani kisilaha duniani

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e 2 дня назад

    Sasa Israel 🇮🇱 yenyewe inaomba silaha kutoka marekani

  • @19ddr
    @19ddr 2 дня назад +1

    Israel waongo

  • @user-su8yl5pe3r
    @user-su8yl5pe3r 2 дня назад

    Wa kwnza

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x 2 дня назад +1

    Huyu Ally uchambuzi wake ni kama channel flani iv moja yaitwa.. Al, Arab na skynews araby wanazijua watanielewa

  • @emmadora7848
    @emmadora7848 2 дня назад +4

    Mtu ambaye anatishiatishia tu mara zote hana lolote ,kama Iran tu ,mwamba wa kweli harudii kauli ,kauli moja baada ya hapo kitendo

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 2 дня назад +2

    Putin ni mtu wa action(vitendo)ndio maana anawasumbua sana Marekani na Mashoga wenzake.

    • @user-sj1rf8ij7f
      @user-sj1rf8ij7f 2 дня назад +2

      Mwaka wa pili sasa anahaha, kwa ukraine atamuweza mmarekani.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 дня назад

      ​@@user-sj1rf8ij7fPutin mwamba anapigana na mashoga wote duniani kupitia Ukraine

    • @jut1161
      @jut1161 2 дня назад

      ​@@user-sj1rf8ij7fkwa mawazo yako mgando mrusi anapigana na Ukraine.
      Mrusi anapigana karibu na nchi 32 za NATO na washirika wake

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 2 дня назад

      ​@@jut1161unajua ww nababahako

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd 2 дня назад

      ​@@jut1161acha uongo bhana

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 2 дня назад

    Anachokoza na warusi ?

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk 2 дня назад

    Mhh uyo isreail wenyewe anamsujudia mmarekani aomba aomba silaha kila siku ashambulie watoto na raia vp tena kumpa silaha ykraiine

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 2 дня назад

    Urusi Hana kitu

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 2 дня назад +1

    Viva Israel❤ inaonyesha wazi Israel came advance na wameanza kutumia teknolojia ya juu sasa Mrusi anaogopa vifaa ambavyo Israel kashachoka navyo kkkkk

  • @HercaIlunga
    @HercaIlunga 2 дня назад +5

    Putin kelele nyingi

  • @rashidbusanya5843
    @rashidbusanya5843 День назад

    Muisrael ajikoki aone moto wake adui yako wafungulie tu mbwa wako wamshughulukie ndicho atakacho kifanya murus

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 2 дня назад

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 2 дня назад

    Atakama wasizuwi malengo ya mrusi uko ukreine.atki auunge mkono mwisrael.

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 2 дня назад +1

    Urusi huna jipya😅😅😅😅😅😅😅

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f 2 дня назад

      Israel kule ndo mwenye jipya si ndio huu ni mwezi wangapi? ww ni mjinga

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 2 дня назад +8

    Putin si muisrael,si myahudi.Putin ni mrusi.Zelensky ndiye ana asili ya kiyahudi.

    • @walker-96
      @walker-96 2 дня назад

      Warusi nusu yao wa Israel, hata putin nì muyahud by nature

    • @walker-96
      @walker-96 2 дня назад

      Donald Trump nae myahud maana babu yake alitoka Vienna ujerumani

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 2 дня назад

      @@walker-96vipi kuhusu wale wanaosema Wayahudi ni weusi??

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 2 дня назад

      ​@@walker-96we jamaa muongo wewe

    • @walker-96
      @walker-96 2 дня назад

      @@BarnabaBuhoma middle east ni weusi kwanzia lini broh, basi hata Saudi Arabia wangekua weusi. ....Ibrahim c mnasema alikua muarabu nyie 😂
      Weusi hizo ni chuki za waarabu dhidi ya myahudi....
      Yusufu mnaesema alikua mzuri kuliko binadam yeyote alikua ni Mweusi au maana nafikiri dini yenu imemueleza vizuri sana Ibrahim na yusufu , wale sio weusi ni uongo ila walikua tofauti na waarabu wengine......myahudi na msaudi Arabia ni mtu na ndugu yake,.......maaana ismail na mama yake walielekea huko baada ya kufukuzwa na sarah/salha nyumbani kwa ibrahim

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 2 дня назад +2

    Israel mashoga

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 дня назад

    Putin afe

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd 2 дня назад +1

    Ukichunguza vizuri utagundua kuwa wayahudi ndio wanaoitawala dunia kwa sasa... Wapo kila mahali na wameshikilia sector zote muhimu duniani

    • @JamalKanani
      @JamalKanani 2 дня назад

      Mawazo yako tu ujqchunguza vizuri

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 2 дня назад +4

    Na Israel siyo ya mchezo 😂😂😂 nacho jua Urus akijichanganya bas lazima Israel ijibu vzr

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 2 дня назад +1

      😂😂😂

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 дня назад +1

      Israel mashoga kweny ushoga wapo vizur

    • @user-vt9ql5qe5l
      @user-vt9ql5qe5l 2 дня назад

      Israel hawapo sawa ktk bahari na nchi kavu wapo sawa ktk anga juzi wamepigwa na wanepiteza kikosi kızıma walichokituma

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 2 дня назад

      Wamekua na upungufu wa wanajeshi nenda kawasaidie Yani una fananisha sisimizi na simba 😂😂😂wangewapiga Hamas kwanza ndo tungejua kuwa ni hatati

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 2 дня назад +1

      ​@@AliNassor-qt6fmhamasi kwan wamebaki nn wote wame teketea watakawap gazayote tumigeuza makaz ya mmbwa koko hamasi wanakimbia kama mmbwa kicha aliyekula ganja 😊

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 2 дня назад +3

    Israel siyo Ukraine

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 дня назад +1

      Israel mashoga Ukraine mashoga

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p 2 дня назад

      Mnatakiwa muelewe siasa za dunia unapoongelea ISRAIL ni taifa lililowekwa na Marekani na Uingereza ukimgusa yy unagusa wao hakuna vita yoyote Israel anasimamia yy km yy ata Sasa anapigana na kikundi Cha Hamas ujuwe wamarekani wapo wanavisha nguo za Israel na nyingi zinazotumika Gaza zimetoka marekani, kwaiyo kujitutumua kwake anajuwa yupo na baba hamtupi sio yy km yy.

  • @twalibulomy-cd4zd
    @twalibulomy-cd4zd 2 дня назад

    Copy and paste.

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 2 дня назад +1

    Ni biti tu putini ni muizlael

  • @JactonKai
    @JactonKai 2 дня назад

    aijalibu Israeli aone netayahu ndio mwamba kwa sasa hapa duniani hatishiki.

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 2 дня назад +3

    Kiukweli putini kachoka biti nyingi tumechoka wanatampiga kila siku ye anapiga biti tu

    • @dannywillson5874
      @dannywillson5874 2 дня назад +1

      Vita ni mikakati sio pupa

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 дня назад +1

      Kati ya Putin na hao mashoga marekani nani mweny kelele

    • @furahafrank8267
      @furahafrank8267 2 дня назад

      Putin ndio mwenye kelele kila siku kutishia nuclear. ​@@omarymwaluko9765

    • @Bittertruth-u4n
      @Bittertruth-u4n 2 дня назад

      Ukiwa na nguvu ni vema kuwa na hekima sabab unawez muumiza yoyote hayo ni maamuzi ya busara

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 2 дня назад

      ​marekani hana kelelegan weshoga

  • @godfreymikmta5008
    @godfreymikmta5008 2 дня назад

    Ukraine imemshida israel ataiweza .mrusi ni makelele tu