Ni kama Himars tu!! Ilikuwa vigumu sana kuiharibu au kuidungua, lkn wakalikamata hilohilo mfumo wa Himars, kisha ndo wakaweza kuijua na kuizima afu kuharibiwa kabla ya kuleta madhara. Russia ni wajanja sana!!!
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
Ilo kombora Russia ikishindwa kulifanyia uchunguzi linapelekwa china hapo ndio inakua mwaisho wake utaskia china na yeye ana makombora ya atacams anauza
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
Ujanja wote wa Mrusi anaanza kulifuatilia kombora la mmarekani 😂 Hawa jamaa teknolojia bado na mmarekani hawezi peleka kwasasa silaha more advance ukraine hilo kombora lakitambo na bado linawapa wakati mgumu mrusi 😂😂😂
Unajielewa kweli wewe?...wakat mwenzio hajapata ufumbuz wa hilo Bomu hlf ww unasema yupo juu?...je, hujui kuw makombora mangapi yenye high technology ambayo Marekan kayaficha?
@@paschalcosmas6093marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
Alafu ukija kwenye ule ushabiki wetu wa kipumbavu mtu anakuambia mrusi yupo juu kwa silaha wakati hapa tu kabomu kadogo kanatoa jasho, aya hatujui kuna mengine mangap tofaut bado mmarekani hajayatoa, putin ajifunze na ajipange kupitia hili kutengeneza silaa za kisasa.
kwenye mfumo wa ubongo wa binadamu hakuna binadamu mwenyewe kujua Kila kitu,Kwa hiyo technology Kila mtu ana yake,kujua ya mwezako kuna faida mara mbili,na kuhusu silaha Urusi ndio nchi yenye mabomu Hatari Zaid ya nuclear kuliko nchi yeyote duniani,Acha undezi fatilia utambue
Katika vita kupata silaha za adui ni kawaida kuna njia mbili 1. Jamming(electronic warfare) 2. Lilitunguliwa kabla ya kulipuka ila namba 1 ni uhakika zaidi.
Kuweni na akili na acheni kugeuza mada kinachoongelewa hapa ni silaha mpya alizonazo mmarekani ambazo mrusi hana, kwa maana iyo putin anatakiwa awe makin kwa hili kumbukeni hii kwake ni silaha mpya na wanaanza kujifunza
Ww pinga kwa hoja tu wenzio wanaleta nondo za uhakika sasa ww kataa kwa logic na facts sio useme ya urusi tu ww pinga kwa hoja za msingi mtu kuchagua wapi apende haikatazwi hata ww penda marekani ila ukija na habari hapa njo nayo ilionyooka
@@mustafamasudi8093wameyaharibu lini wakati hapo mchambuzi anasema wamepata tabu kuyaharibu mpaka wamechukua wataalamu kuyachunguza au hujaelewa kinachoongelewa?
Trump kaapa akaingia ikulu ndani ya masaa 24 iyo vita anamaliza na dalili za Trump kurudi ni 99% , na atachofanya ni kukata hela za kumpa Ukraine na kumpigia simu putin aache kushambulia
Japan hanamzd urusi kiraktu hacha ujinga naunaz Japan ashawai kumchakaza urusi vbaya mno urusi yesta hanapata ushnd kwa watoto kama mwenzake Netanyahu harafu wana vmba kichwa wababe hajakutana nasaiziyao@@SaidiMkome-qq7hy
Fuatilia vizuri science ya atomic bomb haikugunduliwa na mmarekani Bali mjerumani ndiye aliyeanza kuitengenesa kwa kuwatumia wafungwa wa kiyahudi mwaka 1944 lakini kwa bahati mbaya mwaka huo wakati wakiendelea na utengenezaji wa silaha ujerumani kipindi hicho Vita ilimgeukia vibaya kukawa hakuna coordination nzuri katika jeshi la ujerumani vikosi vyake vilitawanyika ndipo mmarekani akapata taarifa ya kwamba mjerumani yupo kwenye hatua za utengezaji wa silaha kubwa ya maangamizi, ndipo marekani akatuma askari wake wa kijasusi kwenda kudukua BLUEPRINT ya Technology hiyo, hatimae mwishoni mwa 1944i na mwanzoni mwa mwaka 1945 marekani akaikamilisha kuunda bomu la atomic na kwenda kumpiga swahiba wake mjerumani ambae ni mjapani aliyekuwa akimsumbua mmarekani kama mbu mwenye kiu ya Damu, N.B wakati marekani ametuma majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa uundaji huo Mrusi pia alipata taarifa ya sakata hilo hivyo Mrusi ilimbidi atume majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa bomu la nyuklia, Mwisho, Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi yenye teknolijia kubwa ya kijeshi kipindi cha Vita ya pili ya Dunia kuliko nchi yeyote ile, na baada ya kuanguka kwake nchi kubwa ziliiba utaalamu mwingi wa kijeshi kutokea kwake, mfano utaalamu wa silaha za Maroketi nchi za marekani na urusi ziliiba ujuzi kutokea kwa mjerumani✌
Duuuuh jaman tuwaombee tu mungu awape mioyo ya kustisha mapigano vita sio nzuri kuna watu wanakufa bila hatia
@@shomaryramadhani270 wazo lako mzuri marekani na umoja wa ulaya biashara yao migogoro duniani.
Ni kama Himars tu!! Ilikuwa vigumu sana kuiharibu au kuidungua, lkn wakalikamata hilohilo mfumo wa Himars, kisha ndo wakaweza kuijua na kuizima afu kuharibiwa kabla ya kuleta madhara. Russia ni wajanja sana!!!
Habari nzuri kwa team Russia 🇷🇺🙏🙏
Ndio mjue sasa kwann russia wameficha silaha mpya na wanatumia zaidi silaha za kizamani
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
Ilo kombora Russia ikishindwa kulifanyia uchunguzi linapelekwa china hapo ndio inakua mwaisho wake utaskia china na yeye ana makombora ya atacams anauza
Kwani wewe unaona wa china 🇨🇳 wapo juu kwa technology ku zidi russia 🇷🇺
Iran baba linaenda mabingwa wa reverse
@@makanjamkabilawachina wana copy hatareeee
Tena wanaboresha zaidi
Urusi na Marekani ndio top. China wanakuja kwa kasi
Nani kakudanganya kuwa urusi ananguvu zaidi duniani
Urusi anaga baiya
Urusi kuichalenji marekani ni rahisi mno, ila marekani kuichalenji urusi ni ngumu mno
Safi sana Urusi
Ufanisi mwema kwa urusi...
Mmarekan ndio mkali wa hz kaz kwahiyo kaen kwa ku2lia na bd
Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
Marekani ananguvu
ukapimwe akili kwanza😂😂😂
Apa US kapokea wastan kwa idadi
Ujanja wote wa Mrusi anaanza kulifuatilia kombora la mmarekani 😂
Hawa jamaa teknolojia bado na mmarekani hawezi peleka kwasasa silaha more advance ukraine hilo kombora lakitambo na bado linawapa wakati mgumu mrusi 😂😂😂
Nenda kaolewe marekan
mbona watu munaona hii ni big deal munaijua fab 3000?
😅😅 yangu macho na masikio muache mwenye ngufu apite
🎉
Nice urusi ikojuu
Unajielewa kweli wewe?...wakat mwenzio hajapata ufumbuz wa hilo Bomu hlf ww unasema yupo juu?...je, hujui kuw makombora mangapi yenye high technology ambayo Marekan kayaficha?
Unabishana na machawa wa putin😂😂😂@@paschalcosmas6093
@@paschalcosmas6093marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani
Alafu ukija kwenye ule ushabiki wetu wa kipumbavu mtu anakuambia mrusi yupo juu kwa silaha wakati hapa tu kabomu kadogo kanatoa jasho, aya hatujui kuna mengine mangap tofaut bado mmarekani hajayatoa, putin ajifunze na ajipange kupitia hili kutengeneza silaa za kisasa.
kwenye mfumo wa ubongo wa binadamu hakuna binadamu mwenyewe kujua Kila kitu,Kwa hiyo technology Kila mtu ana yake,kujua ya mwezako kuna faida mara mbili,na kuhusu silaha Urusi ndio nchi yenye mabomu Hatari Zaid ya nuclear kuliko nchi yeyote duniani,Acha undezi fatilia utambue
Ww choko hujielew mrusi ndo mweny technology zaid ya hao mashoga
@@omarymwaluko9765 tuache ushabiki usio na maana, umeona apo kabisa urusi ndo anaanza kujifunza uo mfumo afu unasema urusi iko juu
@@omarymwaluko9765 poa
Urusi ni mwamba wa vita duniani
Sasa wamelipataje
Katika vita kupata silaha za adui ni kawaida kuna njia mbili 1. Jamming(electronic warfare) 2. Lilitunguliwa kabla ya kulipuka ila namba 1 ni uhakika zaidi.
@@thefactbook...1607 vile vile linawezwa kumiss Fire (kutoripuka)
Warus wapo vzur sana kivita ila marekan ananguv kubwa ya washirika hii ndio itampa ugum putin
Uko vzr
Marekani anatumia nguvu putin anatumia akili mingi tatizo linaanzia apo
Kuweni na akili na acheni kugeuza mada kinachoongelewa hapa ni silaha mpya alizonazo mmarekani ambazo mrusi hana, kwa maana iyo putin anatakiwa awe makin kwa hili kumbukeni hii kwake ni silaha mpya na wanaanza kujifunza
Kila mtu ana technology yake yake, @@theempire4058
@@theempire4058ww choko urusi anasilaha kali kuliko hao mashoga
😂😂 kichwa vita
Wakigundua hilo Marekani ita tengeneza next level 💯
Marekani mashoga Urusi ana technology kubwa zaid yake
@@omarymwaluko9765we shabukia ila hacha kudanganya watu
Marking wafanyia uchinguzmakombora ya urus iskanda
Ww Aly twakujua ni team west ww
Ally ni Hana UPANDE kama smaa iyo HABARI ni toka juzi
Naww tunajua ni team Russia kwaiyo tulia
Ali kashakuwa mwanachama wa. mashoga
@@omarymwaluko9765 anachokiripoti ALLY ndicho kimeripotiwa na vyombo vingine vya kuaminika vya kimataifa HATA vile pro Russia
Urusi kiboko ya mashoga
Ujanja nkuwahi hii ndio karata ya vita
🇷🇺🇷🇺🇹🇿 🔥
Marekani ana nguvu sana
nguvu za kiume au
Kwanini was display why isingekuwa silently
Hapa watakua wamepata JB bt wanacheza na akili ya us waone action hivyo hiyo action ndo itawaxaidia
Urusi ndiyo inchi pekee yenye nguvu zaidi
Nguvu za kushindwa kumaliza vita ambayo walidai watashinda kwa wiki mbili. Bali leo imekua karibu miaka.
@@InnocentZamkuluurusi anapambana na mashoga wote duniani kupitia Ukraine
Mashoga wanasapoti tuu. Vita imemukuana ngumu tu. @@omarymwaluko9765
@@InnocentZamkulu hujui kitu wew urusi anapigana na NATO wew
Sns ya warusi
Mashoga hawana jambo wanapigwa tu
Ww pinga kwa hoja tu wenzio wanaleta nondo za uhakika sasa ww kataa kwa logic na facts sio useme ya urusi tu ww pinga kwa hoja za msingi mtu kuchagua wapi apende haikatazwi hata ww penda marekani ila ukija na habari hapa njo nayo ilionyooka
@@AbuJuhaifah-c8jwatuleteye nondo za huko tanzania ili tuahelewe
Ili mjue mrusi vita anaimudu mwambieni marekani anyooke moja kwa moja kunpiga urusi nadhan mtakua mmenielewa kwa wale mnao shabikia mashoga
Mrusi ni baba sio sadam au kadafi
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️👑
Kama afngastani ilimshinda mmarikani je baba putini
Propaganda nazo zipo
Nina sikia huu mfumo unamutesa murusi.
Kvp wakati anayaharibu kila siku
@@mustafamasudi8093wameyaharibu lini wakati hapo mchambuzi anasema wamepata tabu kuyaharibu mpaka wamechukua wataalamu kuyachunguza au hujaelewa kinachoongelewa?
Warusi hawawezi kufaulu.
Trump kaapa akaingia ikulu ndani ya masaa 24 iyo vita anamaliza na dalili za Trump kurudi ni 99% , na atachofanya ni kukata hela za kumpa Ukraine na kumpigia simu putin aache kushambulia
Urusi kiboko ya mashoga
ukapimwe akili kwanza😂😂😂, na ukifuatiliwa mpaka leo haujaolewa bwege wewe akili yako imeganda😂😂😂😂
Putin afe
Anza kufa wewe
Huyu Ali masubi ni mchambuzi mzuri kuliko DJ smaa angekua DJ smaa hapo ungesikia kiingerza kingi mara fuse mara logic mambo rundo hongera ali masubi
ukapimwe akili kwanza😂😂😂
Mmarekani humuwezi kirahisi hivyo aligundua atomic wa Japan wakasalit amri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Urusi sio japana soma hostory
@@SaidiMkome-qq7hy 💯💯 Urusi anaongoza ktk nyuklia . 💪
Akili yako ni kizibo
Japan hanamzd urusi kiraktu hacha ujinga naunaz Japan ashawai kumchakaza urusi vbaya mno urusi yesta hanapata ushnd kwa watoto kama mwenzake Netanyahu harafu wana vmba kichwa wababe hajakutana nasaiziyao@@SaidiMkome-qq7hy
Fuatilia vizuri science ya atomic bomb haikugunduliwa na mmarekani Bali mjerumani ndiye aliyeanza kuitengenesa kwa kuwatumia wafungwa wa kiyahudi mwaka 1944 lakini kwa bahati mbaya mwaka huo wakati wakiendelea na utengenezaji wa silaha ujerumani kipindi hicho Vita ilimgeukia vibaya kukawa hakuna coordination nzuri katika jeshi la ujerumani vikosi vyake vilitawanyika ndipo mmarekani akapata taarifa ya kwamba mjerumani yupo kwenye hatua za utengezaji wa silaha kubwa ya maangamizi, ndipo marekani akatuma askari wake wa kijasusi kwenda kudukua BLUEPRINT ya Technology hiyo, hatimae mwishoni mwa 1944i na mwanzoni mwa mwaka 1945 marekani akaikamilisha kuunda bomu la atomic na kwenda kumpiga swahiba wake mjerumani ambae ni mjapani aliyekuwa akimsumbua mmarekani kama mbu mwenye kiu ya Damu,
N.B wakati marekani ametuma majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa uundaji huo Mrusi pia alipata taarifa ya sakata hilo hivyo Mrusi ilimbidi atume majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa bomu la nyuklia,
Mwisho, Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi yenye teknolijia kubwa ya kijeshi kipindi cha Vita ya pili ya Dunia kuliko nchi yeyote ile, na baada ya kuanguka kwake nchi kubwa ziliiba utaalamu mwingi wa kijeshi kutokea kwake, mfano utaalamu wa silaha za Maroketi nchi za marekani na urusi ziliiba ujuzi kutokea kwa mjerumani✌
👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝