Marekani kwa urusi ni mnyonge sana sema anajitutumua tu kwa yale mataifa ambayo yey ameyakandaza mataifa hayo ndio yanayo iyona marekani kwamba ana uwezo kuliko urusi lakin hii inaonyesha urus ana nguvu ya ushawishi kuliko marekani kupata urais wa usalama wa umoja wa mataifa nawapa pongezi
Mh kadi Yako tuu ya ccm ila hakikisha unakuwa nayo mda mrefu ili vile vikao vya usiku wa manane vinavyo kuja visikupite bac ww ni wa mda mrefu 😅😅😅😅😅😅 joks
Hacha kudanganya watu mwenyekiti wa umoja wa mataifani kwa wanachama 15 tuu wenye nguvu na sio Marekani peke yake uenyekiti hupitia kila mwanachama kwa mpito tuu
@@user-nv7jg6xc8l koff anan ajawahi kuwa rais wa baraza la umoja wa mataifa alikuwa katibu mkuu.na ni raia wa GANA na GANA ni mwanachama wa kudumu wa baraza la umoja wa mataifa.
@@user-nv7jg6xc8lUmoja wa mataifa Kuna mataifa matano yanakura ya VETO, japo Marekani atakuwa na nguvu ila itamletea changamoto sana kwa baadhi ya Mambo kuyapitisha maana mmoja kati ya hao watano akikataa tu Hilo pendekezo linatupiliwa mbali.
Rais kipind hcho alikua Medvedev Russia yenyew haikua na nguvu yakupambana na NATO(ukitaka kumlinda Mtu lazima uwe na nguvu km au zaid ya Adui yke) Libya ilikua na Ukaribu zaid na nch za Ulaya (hasa Ufaransa) ingawa walimgauka
Safi sna Putin endelea kunyoosha hao mashoga
Nice sana kbs
Noma
Marekani kwa urusi ni mnyonge sana sema anajitutumua tu kwa yale mataifa ambayo yey ameyakandaza mataifa hayo ndio yanayo iyona marekani kwamba ana uwezo kuliko urusi lakin hii inaonyesha urus ana nguvu ya ushawishi kuliko marekani kupata urais wa usalama wa umoja wa mataifa nawapa pongezi
kweli kabisa
Atakuwa Raisi kwa mwezi mmoja!?
Mungu awabariki
Kilalaheli Russia mwamba nenda katutetee mwanyonge
Wenyonge niww na mamahako
@@user-tq4lx9si1nww choko unaumia nini shoga ww
GPS ya hii ki2
🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🌹👏
Wata elewa tu
Mmmh kazi ipo apa
Ndani ya mwezi huu anafuta Ukraine yote
#Russia
Congo bdo ime wekewa vikwazo
Viva urusi
Mambo ni mengi
Hao Ukraine mbona hawasemi marekani ndio mhalifu mkubwa hapa duniani unafoki mtupu
Havi kua mwanacha wa kudumu lazima uwe navigezo vipi?
Mh kadi Yako tuu ya ccm ila hakikisha unakuwa nayo mda mrefu ili vile vikao vya usiku wa manane vinavyo kuja visikupite bac ww ni wa mda mrefu 😅😅😅😅😅😅 joks
😅😅😅😅😅😅😅@@riosingingandmore8224
😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Hapo umoja wa mataifa hata ukiwa raisi lakini mwenyeki wake back ground ni mmarekani ndo mana hapo anaweza kukaa hata mama samia so raisi ni kivuli tu
Hacha kudanganya watu mwenyekiti wa umoja wa mataifani kwa wanachama 15 tuu wenye nguvu na sio Marekani peke yake uenyekiti hupitia kila mwanachama kwa mpito tuu
@@rogatimushi689 hujui unachoongea kwa Point yako Koffi Anan alikua raia wa wapi? Taifa Lake linanguvu za kiuchumi? Huijui Democracy wwe
@@user-nv7jg6xc8l koff anan ajawahi kuwa rais wa baraza la umoja wa mataifa alikuwa katibu mkuu.na ni raia wa GANA na GANA ni mwanachama wa kudumu wa baraza la umoja wa mataifa.
@@user-nv7jg6xc8lUmoja wa mataifa Kuna mataifa matano yanakura ya VETO, japo Marekani atakuwa na nguvu ila itamletea changamoto sana kwa baadhi ya Mambo kuyapitisha maana mmoja kati ya hao watano akikataa tu Hilo pendekezo linatupiliwa mbali.
FAKE SANCTION = ziondolewe DRCONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, ZIMBABWE 🇿🇼🇿🇼🇿🇼 VETO MUST WORK FOR ALL NATION I THE EARTH 😢😢😢
Hiyo inaitwa mpe mchawi mtoto wako amlelee😂😂😂 Marekani na Ulaya sio wajinga kiasi hicho😂😂😂
Ilianza operesheni ndio badae akawa rais sio alipokua rais ndio ikanza opesheni.
Mbn urusi ...hakuveto wakati wa...libia
Gadafi ange deal nao wangemlinda
Alikuwa bado anajitafuta baada ya kuanguka
Llbiya ni nato sio umoja wa mataifa
Sahihi kabisa na ndio moja ya kitu raisi wa kipindi hicho dimitri medvedv alilaumiwa sana hasa nchini kwao.
Rais kipind hcho alikua Medvedev
Russia yenyew haikua na nguvu yakupambana na NATO(ukitaka kumlinda Mtu lazima uwe na nguvu km au zaid ya Adui yke)
Libya ilikua na Ukaribu zaid na nch za Ulaya (hasa Ufaransa) ingawa walimgauka
Viva Russia viva Putin