RUSSIA yakamata Urais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa! Yaonywa isiikandamize UKRAINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 45

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 2 дня назад +12

    Safi sna Putin endelea kunyoosha hao mashoga

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 2 дня назад +3

    Nice sana kbs

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 7 часов назад

    Noma

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 дня назад +3

    Marekani kwa urusi ni mnyonge sana sema anajitutumua tu kwa yale mataifa ambayo yey ameyakandaza mataifa hayo ndio yanayo iyona marekani kwamba ana uwezo kuliko urusi lakin hii inaonyesha urus ana nguvu ya ushawishi kuliko marekani kupata urais wa usalama wa umoja wa mataifa nawapa pongezi

  • @user-vt9ql5qe5l
    @user-vt9ql5qe5l 2 дня назад +1

    Mungu awabariki

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 2 дня назад +7

    Kilalaheli Russia mwamba nenda katutetee mwanyonge

  • @catherinejohon1282
    @catherinejohon1282 2 дня назад +3

    GPS ya hii ki2

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 2 дня назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🌹👏

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 дня назад +2

    Wata elewa tu

  • @user-ez9vi4pf3g
    @user-ez9vi4pf3g 2 дня назад +1

    Mmmh kazi ipo apa

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn 21 час назад

    Ndani ya mwezi huu anafuta Ukraine yote

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c 2 дня назад +1

    #Russia

  • @fistonmakasi3803
    @fistonmakasi3803 2 дня назад

    Congo bdo ime wekewa vikwazo

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 дня назад +3

    Viva urusi

  • @passnatyluhala9847
    @passnatyluhala9847 2 дня назад

    Mambo ni mengi

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 День назад

    Hao Ukraine mbona hawasemi marekani ndio mhalifu mkubwa hapa duniani unafoki mtupu

  • @wazirihilali635
    @wazirihilali635 2 дня назад +2

    Havi kua mwanacha wa kudumu lazima uwe navigezo vipi?

    • @riosingingandmore8224
      @riosingingandmore8224 2 дня назад

      Mh kadi Yako tuu ya ccm ila hakikisha unakuwa nayo mda mrefu ili vile vikao vya usiku wa manane vinavyo kuja visikupite bac ww ni wa mda mrefu 😅😅😅😅😅😅 joks

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 2 дня назад

      😅😅😅😅😅😅😅​@@riosingingandmore8224

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 2 дня назад +2

    😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 2 дня назад

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8l 2 дня назад +2

    Hapo umoja wa mataifa hata ukiwa raisi lakini mwenyeki wake back ground ni mmarekani ndo mana hapo anaweza kukaa hata mama samia so raisi ni kivuli tu

    • @rogatimushi689
      @rogatimushi689 2 дня назад

      Hacha kudanganya watu mwenyekiti wa umoja wa mataifani kwa wanachama 15 tuu wenye nguvu na sio Marekani peke yake uenyekiti hupitia kila mwanachama kwa mpito tuu

    • @user-nv7jg6xc8l
      @user-nv7jg6xc8l День назад

      @@rogatimushi689 hujui unachoongea kwa Point yako Koffi Anan alikua raia wa wapi? Taifa Lake linanguvu za kiuchumi? Huijui Democracy wwe

    • @rogatimushi689
      @rogatimushi689 День назад

      @@user-nv7jg6xc8l koff anan ajawahi kuwa rais wa baraza la umoja wa mataifa alikuwa katibu mkuu.na ni raia wa GANA na GANA ni mwanachama wa kudumu wa baraza la umoja wa mataifa.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 9 часов назад

      ​@@user-nv7jg6xc8lUmoja wa mataifa Kuna mataifa matano yanakura ya VETO, japo Marekani atakuwa na nguvu ila itamletea changamoto sana kwa baadhi ya Mambo kuyapitisha maana mmoja kati ya hao watano akikataa tu Hilo pendekezo linatupiliwa mbali.

  • @BillySmart-tk1wu
    @BillySmart-tk1wu 2 дня назад +1

    FAKE SANCTION = ziondolewe DRCONGO 🇨🇩🇨🇩🇨🇩, ZIMBABWE 🇿🇼🇿🇼🇿🇼 VETO MUST WORK FOR ALL NATION I THE EARTH 😢😢😢

  • @kanaanchoir
    @kanaanchoir 15 часов назад

    Hiyo inaitwa mpe mchawi mtoto wako amlelee😂😂😂 Marekani na Ulaya sio wajinga kiasi hicho😂😂😂

  • @DuniaSultan-wt1ry
    @DuniaSultan-wt1ry 2 дня назад

    Ilianza operesheni ndio badae akawa rais sio alipokua rais ndio ikanza opesheni.

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 2 дня назад +2

    Mbn urusi ...hakuveto wakati wa...libia

    • @totonata5384
      @totonata5384 2 дня назад

      Gadafi ange deal nao wangemlinda

    • @nelsonnyizi9798
      @nelsonnyizi9798 2 дня назад +1

      Alikuwa bado anajitafuta baada ya kuanguka

    • @RashidAhamed-kq6pt
      @RashidAhamed-kq6pt 2 дня назад

      Llbiya ni nato sio umoja wa mataifa

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 2 дня назад +3

      Sahihi kabisa na ndio moja ya kitu raisi wa kipindi hicho dimitri medvedv alilaumiwa sana hasa nchini kwao.

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 2 дня назад +1

      Rais kipind hcho alikua Medvedev
      Russia yenyew haikua na nguvu yakupambana na NATO(ukitaka kumlinda Mtu lazima uwe na nguvu km au zaid ya Adui yke)
      Libya ilikua na Ukaribu zaid na nch za Ulaya (hasa Ufaransa) ingawa walimgauka

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 2 дня назад +1

    Viva Russia viva Putin