Wafahamu HEZBOLLAH: Walivyoanza, Kiongozi wao! VITA na ISRAEL nani ataweza kuibuka MBABE?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 131

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад +11

    DUNIANI MUOGOPE MTU ANAPIGANA VITA KUAMINI ATA AKIFA ATAKWENDA PEPONI KUNA KWENDA KUJILIPUA KAMA WAKATI WA PKK UTURUKI NISHAONA MWAKA 93 MPAKA 99 KUAMINI AKIFA KWENDA PEPONI 😢😢😢

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 3 месяца назад +12

    Hii ndio habari ambayo nilitaka kuiskia nawapenda sana sns tupo pamoja mpaka hatua ya mwisho

  • @KassimMwembe
    @KassimMwembe 3 месяца назад +4

    Ally masud bana 😅😅😅😅 et! Drone imekustua yaan mpk ww umestuka hao wajomba ni noma sn yaan tutamgonga mhayudi na chenji atatoa 😅😅😅..

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 3 месяца назад +5

    Kama Israel walishashindwa na Hesbollah mwaka wa 2006 na 2010 sasa saa hii Israel wanaenda kumalizwa kabisa

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      😂😂 labda marekani kama hayupo

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 3 месяца назад +1

      Watasaidiwa na bwana wao mmelekani

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 3 месяца назад +2

      @@ce-08 Kwani 2006 na 2010 Marekani ilikua wapi? Marekani yenyewe imekimbia mbio Lebanon kuongea na serikali ya Lebanon wawambia Hesbollah wasiingie kwenye vita na Israel

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 3 месяца назад +2

      @@jumakhamis226 Kwani 2006 na 2010 Marekani ilikua wapi? Marekani yenyewe imekimbia mbio Lebanon kuongea na serikali ya Lebanon wawambia Hesbollah wasiingie kwenye vita na Israel

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 3 месяца назад

      Hivi ww wa israel unawaona ni watu wa kawaida ety kaa ujifunze kutafuta ukweli wa nguvu za israel zipo wapi kichwani ama kwenye vitu

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 3 месяца назад +5

    Israel ina nguvu ya lakini imeonesha udhaifu mkubwa kwa hamas hivo in ushahidi tosha kwamba ikiwa itaingia vitani na hizbollah vita hukua muda mrefu na vitakua vikubwa

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 3 месяца назад

      Umeulizwa nani ataibuka MBABE. Wacha kujiumauma, Mbabe unamjua! Kiboko ya Middle East😊

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 3 месяца назад +2

      Israil hamuwezi Hisbullah ataa siku 1 na wakianza vita Israil atapotezwa fasta sn aisee

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 3 месяца назад

      ​@@zuricakes6817umeshamaliza kula kande 😂

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 3 месяца назад

      ​@@zuricakes6817 hao hata mababu zako waliwafanya watumwa mpaka leo na kugombanisha wafrica wachukue mali zao middle east nibardhi ya warabu na pia hao sio esrael ni wameletwa na marecani kuona ardhi ina petrol na africa madini ukae ujue hao ni wezi tu sio wenyeji wenye ardhi ni phalestin kuna misikiti ya mana bee hapo ardhi takatifu sio hao wazungu na majibwa na vibukta vyao vinatembea sio utamaduni wa warabu hiyo

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 3 месяца назад

      Mbabe bado hajajuilikana mpka sasa ​@@zuricakes6817

  • @e11said23
    @e11said23 3 месяца назад +3

    Hii hezb.ninzuri sana hawana ubaguzi kabisa sunni wakristo yoyoye wanampokea kazi iedelee

  • @HassanJambia
    @HassanJambia 3 месяца назад +10

    Kuna mzee anaitwa hamdun embu mtafuteni ana madini sana

    • @kimchi-91
      @kimchi-91 3 месяца назад

      Toa namba yake kaka

    • @HassanJambia
      @HassanJambia 3 месяца назад

      @@kimchi-91 nipe namba yako ww kkk ili nikupe klip umtafute

    • @HassanJambia
      @HassanJambia 3 месяца назад

      Jitahd update huyu mtu au tembelea kwa Chanel ya YUKOHAMA huko ndio anahojiw n mzenji kk embu fny chap

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 3 месяца назад

      Myahudi hawez pigana na Shia milele eleweni hilo, Hawa n ndugu katika Iman na wote ni watoto wa marekani KISWAHILI n chepes sana Sema watu wengi hawaelew

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 3 месяца назад

      Lebanon ni nchi iliyo vamiwa na mashia ndio pakazaliwa hizbullah

  • @jacobeliufoo7635
    @jacobeliufoo7635 3 месяца назад +6

    Hilo jina lake dahh nasralah lina tamanishaa

    • @nassoroshakiru7094
      @nassoroshakiru7094 3 месяца назад +4

      Kaka huyu anaitwa Sayyid Hassan Nasrullah huyu kiumbe ni hatar mzee wangu yaaani ni mwamba ukiskia mwamba

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 3 месяца назад +8

    IDF anateketeza raia wengi wasio na hatia lakini mbaka sasa IDF wameanza kurudi nyuma hari itakuwa mbaya zaidi kama wataendelea na ubabe mbele ya GAZA

    • @Officialjidaa-sn9cs
      @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад

      Hao raia ndo maadui Sasa kaka hujui

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 3 месяца назад

      ​@@Officialjidaa-sn9cs adui ni ww kwnz usioweza kutumia fikra zko vzur

    • @Officialjidaa-sn9cs
      @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад

      @@mohamedaley5632 acha ujinga unahc wanaua ovyo unavyodangnywa kawasaidie Sasa tako wewe

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 3 месяца назад

      Official we mtumwa unajua hao wakristo pumbavu ww unaitwa mtumwa na hao wazungu hao nibwauaji walingia 1946 kutoka ulaya walingia ardhi ya warabu hao sio esrael wa kale hv waje watu kutokaa ulaya waseme ardhi hi ni yetu kisha wakue ww na familia yaki ww hujui ukweli kwa hiyo hamas wakiliipiza kisasi ndio magai ila hao mashatani wanaua watoto ktk ardhi yao ni sawa hiy ni ardhi ya warabu sio wazingu leoperd ambae aliua kongo watu milioni wanafitinisha africa watu vita ilacwafrica Burkina faso na Niger wesha watoa wafaransa ww baki hujui kitu

    • @mohamedaley5632
      @mohamedaley5632 3 месяца назад +1

      @@Officialjidaa-sn9cs siwez kuwa mpumbav kama ww naelewa sahihi na kupandikizwa fikra mbovu kama ulivyopandwa ww... kama hao raia ni adui wamemshikia nan silaha?

  • @Aminaamina-us5yj
    @Aminaamina-us5yj 3 месяца назад +2

    Sasa irani yenyewe ata ndege ya kubeba raisi hawana 😂😂kujitekenya warabu watauliwa na wataendelea kuuliwa wasipo anza kufundisha watoto new generation to grow up with fresh mind and love other wise bado sana

    • @enockramadhani7065
      @enockramadhani7065 3 месяца назад

      We ni Mshamba tu nani alikwambia Iran ni waarabu

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 месяца назад +4

    Uhakika Wana sns hamjawahi kutuangusha

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 3 месяца назад +2

    Hivi vita vya hawa watu ni vita ya kibabe hakuna wa kuzaraupiwa

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina2342 3 месяца назад

    wew mtangazaji eti wataweza kuijibu israli kweli kwani Israeli ashawashambulia israil mpka israil

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 3 месяца назад +1

    Uyo netanyahu akuwe m bishi tu ivo zitapigwa mmpaka mwisho kwani ndo nn

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 3 месяца назад +1

    Malekani na jeshi lake bora katolewa na taleban

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg 3 месяца назад

    IDF watapigwa tu kwani wengi wao ni viongz wa ushoga na usagaji acha wasa nao ni mashoga

  • @mdmohiuddin6488
    @mdmohiuddin6488 3 месяца назад +1

    Ni Chama cha mungu Ali

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 3 месяца назад +2

    Israel wameyatimba hope watanyamazisha hawa manyau 🤦

  • @RamadhaniBendera-j1s
    @RamadhaniBendera-j1s 3 месяца назад

    Ndugu mtangazaji uyo israili alishachezea kichapo na hezbulah mwaka 2006 ebu kumbuka

  • @hassanpashua
    @hassanpashua 3 месяца назад +2

    Kwann wasiwe na nguvu wkt washapigana mara mbili

  • @MichaelKavavila
    @MichaelKavavila 3 месяца назад +1

    Shida ya Imani frani hupatikizà chuki zaidi na sio upendo....

    • @rajabuKilongo-d3h
      @rajabuKilongo-d3h 3 месяца назад

      Imani ipi Sasa maana hapo ni myaudi na muislamu we upo upande upi kati ya hizo dini mbili

  • @seifmiraji43
    @seifmiraji43 3 месяца назад +3

    Ni hatari sana kupigana vita na watu wanao shambulia bila mfumo😅

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari 3 месяца назад +1

    Hizbu ni Chama Allah ni Mungu, so ni Chama Cha Mungu, kwa lugha ya kiarabu.

  • @DaudPius-e8y
    @DaudPius-e8y 3 месяца назад

    Nyie wafagilieni tu hao walebanoni islael msione IPO kimya wamefanya hayo mashambullizi ndani ya islael kwa. Kushitukiza wakianza kugomgwa msi badilishe maneno kuwa wanaonewa hao ote mfadhili wao ni urusi na Irani hao wanao fanya chokocho kwa Israel dawa yao inachemka

  • @husseintuwa4521
    @husseintuwa4521 3 месяца назад

    Maana ya Hizbullah ni KUNDI LA MWENYEZI MUNGU NA SIO JESHI LA MWENYEZI MUNGU.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад

    Huku Kim JON UN , Putin, huku Hezbollah huku Hamas, Taliban,huku Iran yaani kusingekuwa na hao viumbe Marekani angekuwa anafanya atakalo Kwa mataifa mengi , tushukuru uwepo wao maana wanawafanya Marekani na NATO wanaongea Kwa vituo

  • @jayotv2024
    @jayotv2024 3 месяца назад

    TITLE YA HII VIDEO AIHELEWEKI 😂😂😂😂😂😊

  • @MkhayaSogadari
    @MkhayaSogadari 3 месяца назад +2

    Kk nakufatili sana nikiwa southa Africa tenguwa Kaulitz akuna wa isilam wakawaidi wot ni wa isilam kama vp kiristh ni mki risthu tu ulimi auna mfupa

  • @majidbushahu2465
    @majidbushahu2465 3 месяца назад +2

    Yaani mm sauti yako siielewi hata kidogo
    Nikushauri ukale sana mayai na vitu vya kujenga sauti ikiwa pamoja na kufanya mazoezi ya kuongea kwa step bila kuludia maanenno.

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 3 месяца назад

    Uyo mwongeaji anaasila zakuuwawa warisi wakiongozi wairani hayatora haminey

  • @mdmohiuddin6488
    @mdmohiuddin6488 3 месяца назад

    Hisbu maana yake cha hata zanzibar kulikuwa na Chama Kanagawa hizbu

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 3 месяца назад +1

    Mchambuzi wang penda Dj s anaweka udini na ushabeki wa kijinga

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 месяца назад +2

    Putin yupo nyuma yao maana wanajua wanazid kumdhoofisha marekan cz ndio mtoa silaha kwa israel....Hivy kujigawa na kutoa silaha watafel...Sasa hapa picha litokee putin na kim wampge mmarekan au watafut vikundi vingi vya kupga na marekan ad wasalimu amri na akidhoofik zaid waend wakawamalize

  • @michaelkavavila7371
    @michaelkavavila7371 3 месяца назад +1

    Mimi siiilaumu isarel...hata ingekua TZ...JESHI LISINGE KAAA KIMYA WATUWAKE.,KUTEKWA,KUCHIMJWA ,KUBAKWA..MOTO UNGEWAKA TU..TUACHE USHABIKI

    • @dauddavid6837
      @dauddavid6837 3 месяца назад

      Ndugu yangu wewe wafatilia habari zawapi mateka wote waisrail walioachiliwa huru wanawashukur hamasi namna walivyowatunza lakini angalia wapalestina waliotekwa na israil wengi niwanawake nawatoto nawamerudishwa wengine hawana vidole wengine hawana meno kwamateso waliyo pewa alafu nashangaa ukisema eti hmsi wameua raia na wamebaka
      Nduguyangu fatilia habar acha kulishwa matango pori

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 3 месяца назад

      @@dauddavid6837 Wanawashukuru hamas walivyowatunza, kwani walikuwa na shida kabla hawajatekwa? Yaani uniteke alafu uniangalie vizuri? inahusu nini?

    • @radjabusuleiman6486
      @radjabusuleiman6486 3 месяца назад

      Israel imeteka wa Palestina 12000 wako gerezani kuna wenye myaka 10,20, 25, 30, 40 wanawake kwa watoto

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      ​@@dauddavid6837 sasa lile tukio c watu walikufa au cku ya uvamiz ilikuwa mifugo ndyo ilkufa

    • @sameerbaksh98
      @sameerbaksh98 3 месяца назад

      Tatizo usifate propaganda soma vizur history utaelewa hatuna ushabik

  • @Goldentouch_Ab
    @Goldentouch_Ab 3 месяца назад

    Ushambuzi bado sana ..unachambuaje unashindwa kuelezea vita ambavyo walishapigana ..mfano 2006??nn

  • @rashidmaty7824
    @rashidmaty7824 3 месяца назад

    Ww Aly n pro American,yaani ipo wazi,kitu cha hizbullah,ww uchambua ch Israel

  • @canisiusibrahim9856
    @canisiusibrahim9856 3 месяца назад

    Mbona kama ni inshu ya U.S.A hii inshu za kidini

  • @blueboybajos6880
    @blueboybajos6880 3 месяца назад +1

    sawa sawa malipo nihapahapa duniani

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 3 месяца назад

    Kama Hamas na Hothis,, dola ndani ya dola

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 3 месяца назад

    Israel mashoga lazma wangamizwe

  • @mandeladaimu9683
    @mandeladaimu9683 3 месяца назад +1

    Leo wakwanza

    • @blueboybajos6880
      @blueboybajos6880 3 месяца назад

      kwahio 🤷🏻‍♂️🤷🏻‍♂️

  • @mozamoza3960
    @mozamoza3960 3 месяца назад +1

    Kwanini wasiwape mabom hamasi

    • @salumucharles9655
      @salumucharles9655 3 месяца назад

      Hamasii wamechoka kina kuja kikosii kipya 😂

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 3 месяца назад

    Lebonan wanapakana na nchi zipi

  • @ShedrackShedrack-c2b
    @ShedrackShedrack-c2b 3 месяца назад

    Nyi mnaleta ydin hadi kwenye mahisha yawatu nyiwatu wanakufa nyi mmekaliatu kushabikia vta nakupanisha

  • @HasanKisome
    @HasanKisome 3 месяца назад

    Ako kawimbo cha sns wa ha kabisa noma

  • @PekeKayumbe
    @PekeKayumbe 3 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @Jumasefhu
    @Jumasefhu 3 месяца назад

    Uwezo wanao

  • @MichaelKavavila
    @MichaelKavavila 3 месяца назад

    Yetu macho...

  • @Macronmedia
    @Macronmedia 3 месяца назад

    Wako Na uwezo mkubwa sana

  • @remijilasana3383
    @remijilasana3383 3 месяца назад

    Very informative reporting...

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 3 месяца назад

    Msulimoto bullaza

  • @zuricakes6817
    @zuricakes6817 3 месяца назад +1

    Mbabe mmoja tu Middle East😃

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 3 месяца назад +1

      Aende peke yke aone....mbna mbabe anaomb misaada Ulaya+Marekani

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 3 месяца назад

      @@salehkhalfan7345 Hamas na hao Hezbollah wako peke yao?

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      ​@@salehkhalfan7345 wote hao wanasaidiwa hakuna anaepigana yy km yy awe Hezbollah au Israel

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 3 месяца назад +1

      Sema Ulaya inapigana na mataifa ya Middle East

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 3 месяца назад

      Mbabe omba omba 😂😂😂

  • @shooterseifgallery
    @shooterseifgallery 3 месяца назад +2

    Noma sana kiwake tu

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew 3 месяца назад

    Hawa wanajiamini kutokana iran wanawasaidia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 месяца назад

    👊👍✌️

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd 3 месяца назад

    Iran haiwezi kuishinda Israel kivita... Yani Iran itatandikwa vibaya... Ngoja muone kitakachowakuta Lebanon

    • @rashidmsuya5721
      @rashidmsuya5721 3 месяца назад

      Mbona hamna sehemu apo ambayo imezungumzia vita ya Iran na Israel iyo inazungumzia hezbulah na Israel stuka ww

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 3 месяца назад

      Israel mashoga hawajiwez

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd 3 месяца назад

      @@omarymwaluko9765 ila nchi za kiislamu zimeshindwa kumpiga.. Kila vita wanatandikwa halafu wanaanza kelele mara ooohh.. Israel isitishe vita.. Yani mfanye uchokozi halafu mkichapwa eti mnaonewa.. This time round mtatia akili

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 3 месяца назад

      @@ElijahOwino-xe2cd lini Israel mashoga wameshinda vita choko ww

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd 3 месяца назад

      @@omarymwaluko9765 niambie ni lini Israel imeshindwa vita

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 3 месяца назад

    Vita

  • @SanguloRaahoo
    @SanguloRaahoo 3 месяца назад

    Asante

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад

    Lebanon itaanza kulia pia

    • @Idrissandugu
      @Idrissandugu 3 месяца назад

      2006 Israel ilishindwa na apo ata hezzbullah haikiwa inanguvu kama sasa

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 3 месяца назад

      ​@@IdrissanduguIsrael mashoga tu