Kama wewe ni mdau wa habari na hupedelei kutumia Lugha za MATUSI kutokana na ushabiki wa upande fulani naomba weka Like na endelea kutoa elimu kwa wanacomment wote
Kwakweli Iran ndio mtetezi wa wanyonge walio pokonywa miliki zao miaka hyo😭😭,Kwanzaa mtu anaye pigania haki ya mwenzie wakati hata halipwi hata huyu mungu usimama nae kwakweli saudia wamemkataa Iran kisa yeye sio muoga
Alafu watu walio mbali kabisa ndio wamejaa ujinga huo. Niwakati wa kuomba Mungu haya yaishe haraka. Wanao athirika hapa ni Watoto wasio na hatia Mama zetu na wazee wetu hawa ndio waathirika wakuu. Hajui ni upande gani wakimbilie ni wakati gani wata kula. Vita mvisikie hivyo hivyo. Ikiwa umevamiwa na panya road au Komando Yosso wenye mapanga tu hayatoi moto wala Moshi dk 20 akili ina kuruka sembuse kila masaa machache una sikia milipuko na moshi mzito hujui wapi uende ukajifiche inauma. Hiyo milio na vishindo visikieni tu hivyo hivyo. Nikisema hivi kidogo wakazi wa Mbagala na Gongolamboto kidogo wana Idea na vishindo wanaweza kuelewa.
@@ephraimwadaudi2867😅😅😅 unajidanganya ndugu kumbe wewe huijui vizuri nchi ya irani ingia google search ujionee silaha za maangamizi walizo nazo afu Rudi Israel nahisi utaipata picha kidogo
Shida siyo kurusha makombora shida yana madhara gani ?😂 sasa sikilizia wakirusha israel balaa lake dunia nzima inashika vichwa, iran wamengia kwenye mfumo na walishaonywa 😂
Wazungu waliweka pandikizi hilo kwa ajiri ya kuwazibiti waraab na kuwaibia mali zao ndo maana ukimpiga Israeli wanaokuja kukupiga ni maghalibi kupitia mgongo wa Israel na hii vita itaghalim maisha ya watu wengi na vita hii alitabili Yesu siku alipokuwa anaingia Yerusalem
😂😂😂 ni kwavile hatukuwepo tu enzi za akina Kinjikitile, lakn kwa mimi huwa naona hao babu zetu walikuwa special sana imagine walikuwa wanapigana kwa kutumia mushale, mikuki, na magobole lakin wazungu wakiwa na silaha za kisasa na bado walipata tabu
Kuomba ni bora na nzur lkn huwez kubadili maandiko na utabr, hili ni lazima litokee na vita lazima itokee hvo kwasasa ni Kujiombea wewe mwenyewe na familia yako tu
Mwasisi wa vita zote ni MUNGU, ndio maana, anasema nitazileta pepo toka pande zote za dunia, dhidi ya Israel! ili mataifa yamjue kua yeye ni MUNGU, wa Israel.
Sasa kwanza mtu mwenye ata ukitupwa McHale unaingia hadi chumbani yani hadi bwana wake marekani ndo auzuie huyo amna kitu Hana ulinzi wala nini nimikwara tuu
Unashindwa kuimbea nchi Yako . Unaombea watu ambao wao Kila siku wao ni kumwaga damu. Hata waliokuwa wakitumwa na MUNGU kwao wao walikuwa Wanawauwa hata Yesu walimuuwa wao wenyewe. Akawaambia ufalme wa MUNGU hautakuwepo tena kwao. Ombea nchi Yako
@@jofreykilangila4118Kwenye kabisaa Maneno yako 💯 Badala ya kuombea Tanzania wanaombea Israel na Wazungu watu waliowaletea USHOGA Tanzania Hii ni AJABU sana kwa hawa Watu au angewaombea Hata Wazazi wake waliomlea ni Bora kuliko Israel
Hakuna vita vya 3 vya dunia hiyo ni vita baina ya nchi na wapambe wake. Iran naona inapenda kuharibiwa kama nchi nyingine hata nchi nyingine za kiarabu zilianzaga hivi subiri utakumbuka maneno yangu
Kwa jinsi ninavyo wajua mimi iran hawaogopi kifo chochote kwao kifo cha kishahidi nibora kifo cha kitandani hata nasrullah hakua muoga wa kifo vile vile
Leo nimefurahi ,Sasa tusikie BBC na dww vyombo Vya habari Vya mashoga wanasemaje,watasema tena wameziiya makombora yote, moto unawaka vibaya sana TelAviv netanyau kujificha kwenye shimo Kama panya
Yan watanzania wengi ni mashabiki wa kila kitu.. Tunashabikia dini bila logic... Saiv vita za watu bila logic yyt yan wakristo wanashabikia Israel wakifikiri waisraeli ni Wakristo😂non sense ... Waislam nao wanashabikia iran.... 😢😢😢
Kawaida ya moto wa msituni huanza na chechea, usipodhibitiwa huangamiza msitu wote. Hiki ndicho kinachotokea kwa sasa. Vita hivi vitasambaa kwenye mataifa mengi mashariki ya kati kuanzia Palestina, Lebanon, Yemen, Iran, Iraq,Syria, hadi Afghanistan na hali itazidi kuwa mbaya. Pia tutegemee nchi nyengine kujiunga na mgogoro huu na hali itazidi kuwa mbaya.sana.
@@hamisisalum6116 Sitabiri wala siombei, ila hii ni vita ya kidini inanukia.Jambo hili pia huenda likapelekea vita ya tatu ya dunia kwa ujinga wa Netanyahu. Kumbuka Iran anawashirika na Israel anawashirika wapenda vita.
😂😂😂😂😂😂aso sikia la mku huvunjika guu 😂😂😂😂 subirieni netthanyah alete siasa za kidini 😂😂😂 utaskiya eti wa Islam wanawapiga 😂😂😂na watu wapo kimya 😂😂😂😂 subir asimamishe Dunia kisa dini 😂😂😂😂 wa Israel wanajua kucheza na akili za watu 😂😂😂 American wapo kimya hali kwao ipo shwari ila Israel na Ukraine 😂😂😂😂 hali tete 😂😂😂😂 akili izi
Nan kakwambia na kwataarifa yako usifkir Israel inanunua tu silaha za marekani Israel wakinunua silaha za marekani wanazifungua upya wanaziboresha zaidi zinakua Bora zaidi ndo mana hata mmarekan akienda pale anatandikwa
Iran anunui silaha mjomba...ana viwanda..,izo ballistic missiles anazifanyia majaribio tu na ndo anaemuuzia drone Russia anazotumia ukrain...Kun madhara makubwa kwa Israel aki attack..Iran anunui silaha wala aletewi.
Ukionaa hivyo ujue Urusi na China wametoa kibalii Kwa Iran ashambuliee lilikuwa ni suala la Mdaa tuu ndio maana Putin na Shijin Ping walisem Israel inatakiwa ivamiwee
Vita ni nzuri kwa tunaisikia lkn sio iwe kwenye aridhi ya nnchi kwa mtu mwenye ufaham uwe mkristo aidha muislam mi naona utakuwa mtu wa maana sana kama utahurumia dam za raia wasiokuwa na hati zinazo mwagika namaanisha kwa dini sema neno kwa mungu aepushe vita hivi tusifanye imekuwa kama simba na yanga nonono kuna watu wanaooteza familia zao uchumi wao amani hakuna tena 😢😢😢 tutafakari sana
Muko dunia ya wapi kama kama mnasoma vita ya bibilia lakini kama hii vita kwa Sasa Israeli anaenda kunyongwa mbwaa hawa ngoja uone ndio useme utopolo wako huo
@@AbdalallaBrahimamAllah Yuko zake Makkah anapungwa upepo hana muda afu kama Allah anauwezo Bax awasaidie Gaza Iran na Hezbollah yaan unafanya maxhambulio 400 huui hata mende si bora ungekaa kimy ty ukatulia
Netanyau kama hataachana na kiburi chake basi ameshawatia mashakani wayahudi wote. Leo nao wamekuwa watu wa kuishi mashimoni kama panya buku? Uteule umegeuka kuwa wa mashimoni? Asome alama za nyakati na abadilike vinginevyo yanakwenda kutokea makubwa zaidi maana haogopwi tena. Fikiria amemaliza kufanya vitisho vikubwa kule lebanon kwa kulipua pagers na kuua kiongozi wa Hizbullah lakini ndio kwanza kapigwa pale pale.
@@MgangaMalugu Wakristo wengi wenu hamna akili aisee! Iran walilenga maeneo ya kijeshi pekee, wale siyo wendawazimu kama ninyi, wanajali raia wasio na hatia, jiongeze uwe na akili japo za kukuwezesha kula na kwenda chooni mwenyewe, mnatia kinyaa kwa maneno yenu hayo, sasa uteule gani kila siku ni mashaka matupu na kuishi mashimoni?
@@rogath_silayotatizo hawawez kuishambulia iran moja kw moja maana kitanuka isee na kam unavy jua iran ni baba wa familia kazaa kwhy wale watt unafkilia watafny nn kam baba anashambuliwa.lazim nao watakiwasha kw yule anae mshambulia baba
Kama wewe ni mdau wa habari na hupedelei kutumia Lugha za MATUSI kutokana na ushabiki wa upande fulani naomba weka Like na endelea kutoa elimu kwa wanacomment wote
Kwakweli Iran ndio mtetezi wa wanyonge walio pokonywa miliki zao miaka hyo😭😭,Kwanzaa mtu anaye pigania haki ya mwenzie wakati hata halipwi hata huyu mungu usimama nae kwakweli saudia wamemkataa Iran kisa yeye sio muoga
Mtetezi anafanya shambulio haui hata mende😂😂😂😂
Unajitekenya na kucheka
Ngoja kibao kiwarudie ndo tutaona jinsi irgs ilivyoiponza nchi yao
Msaudi ni chawa wa kina Bibi Paka
Iran kajaa kwenye mfumo na hiki ndio alikitaka Israel 😂
Yaani leo waarabu wamefurahi sana kwa kushambuliwa ISRAEL JAMANIII HAPA WANAFURAHA LAKINI IRAN ndiyo mtetezi 😢😢
Iran sio waarabu
Brother kuwa na share link za izi video kwenye channel ya telegram itakuwa vizuri zaidi 🙏🙏
Aiseeee nimeona live AlJazeera ,aisee mengi yamefika ....sio poa.
Moti unawaka
@@ayshasaid1547 ni balaaa
Alhamdhulillah
Yani watu munafagilia vita badara ya kuomba mungu aingilie kati vitahizi waache washushe siraha chini mungu ashuke haraka sana🧎
Alafu watu walio mbali kabisa ndio wamejaa ujinga huo. Niwakati wa kuomba Mungu haya yaishe haraka. Wanao athirika hapa ni Watoto wasio na hatia Mama zetu na wazee wetu hawa ndio waathirika wakuu. Hajui ni upande gani wakimbilie ni wakati gani wata kula. Vita mvisikie hivyo hivyo. Ikiwa umevamiwa na panya road au Komando Yosso wenye mapanga tu hayatoi moto wala Moshi dk 20 akili ina kuruka sembuse kila masaa machache una sikia milipuko na moshi mzito hujui wapi uende ukajifiche inauma. Hiyo milio na vishindo visikieni tu hivyo hivyo. Nikisema hivi kidogo wakazi wa Mbagala na Gongolamboto kidogo wana Idea na vishindo wanaweza kuelewa.
Mtoto wa boss anamchezea houseboy mapumbu kisa baba yake yupo sas kapigwa pumbu mbele ya mzazi
Hura mashoga wote
Ameen yaaraby alameen
Huyo Irani akiachwa atengeneze Nyuklia ni hatari maradufu....
Ungana na netanyau mukalie uko marekani
@@jumamussantuiche Sawasawa
Na ndio mana Shaytanyahu anajaribu ipaswavyo kuivuta Marekan ktk Vita na Iran ili isifanikiww ktk hatua ya uzalishaji wa Silaha za Nuclear
Watu wa p dd wanashida sana
Marekan anaingia kama nani Israel sianajikubali apigane mwenyewe bila uwepo wamarekani
Hamjajua bado Moto wa taifa la Israel ngoja uone Iran itakavyopigwa ni muda tu
@@ephraimwadaudi2867😅😅😅 unajidanganya ndugu kumbe wewe huijui vizuri nchi ya irani ingia google search ujionee silaha za maangamizi walizo nazo afu Rudi Israel nahisi utaipata picha kidogo
Achaujinga Israël ya sasa nigenge lawahuni mnaminishwa uongo someni vitabu mjifunze dunia inapoelekea @@ephraimwadaudi2867
Uliona siku yyt Marekani kaingia?
Acha aingie kwani na huko si mko wengi tu, hamas/hezibolah,houth,Iran ......
Ss ngoja muone wanaume wanaingia kazini
@@ephraimwadaudi2867😂😂ngoja waone mpk kesho asbh
Kifo kwa Israel safari hii Amna pa kukumbilia mbwaa hawa
@@WadySaidi Israel itakwepo mpaka mwisho WA dunia
Utasikia Wanasema Ajafa m2 We Subr 2 ila ukwel wanaujua wenyewe
Tutawaua wote hawa mashoga wa Zionist
Ushindi utakua wetu kwa uhakika ❤ 🇰🇪🇷🇺🇮🇷🇱🇧🇹🇿
Usikimbie humu kuwa ni mmarekani kibao kinavyogeuka
Iran kwisha hawaezi Israel hata kidogo. Netanyahu alisema hakuna mahali Iran hawaezi ingia, Sasa subiri ngoma ikitambaa
Irani kama mwoga unatakiwa ukipiga usitoe maneno ya vitisho ukipiga utapigwa
Lengo la israil lishatimia😂 sasa vita na iran itaanza mda wowote.. ila mafuta yatapanda bei dah😢
Sisi Wana WA Israel atushitushi mana Israel itajibu tu kua kishindo kikubwa
Hamna kitu Israel 🇮🇱 lazima ipigwe
@@DifaRobelindo-cj2ij labda waombe msaada marekani. Pekee yao hata Kenya hawaiwezi
@@PaullyPuyetrov haitapigwa hata waungane wote
Kwa kupiga uwenda waombe msada baba yao marekani
Nice
PIGA MAGAIDI HAO, Leo nimewakuta kwenye mashimo ya panya ndani ya nyumba yangu 😂😂sjui wanajificha nini
Fuck
Shida siyo kurusha makombora shida yana madhara gani ?😂 sasa sikilizia wakirusha israel balaa lake dunia nzima inashika vichwa, iran wamengia kwenye mfumo na walishaonywa 😂
@@mobutu3884hao mashoga yenu yajibu sasa yaone yatarusha makombora zaid ya a laki 1 Kwa mpigo kenge nyie
@@mobutu3884huwezi ukajua kwa sbb unaridhika kuwasikiliza sns
@@mobutu3884 tel aviv pale pale kumbuka yule mafia wa urusi juzi alikua IRAN Hii inaitwa gusa unase USA AJICHANGANYE WAMNYEE
iran sema hataki tu kuuuwa raia lakini akisema auwe raia anauwezo wa kuuwa watu wengi sanah
Uzuri Israel awajawai sema pray for Israel soon iran wataona cha mteba kuni😂😂 pray for iran 😂😂😂
Iran nawenyewe wanaomba vifo😅😅.
Israel ni baba wa Vita. Inchi 5 kwampigo wote,mnatandikwa na Israel
Nchi au anapigana na wana mgambo tu unajielewa lakini 😂😂 hamas peke ake tu ana mwaka now
Nchi gani nchi gani tutajie
😂kifo kwa Israel mbwaa aw
Mbona mrusi kapiga mataifa 50 hamusemi
Wazungu waliweka pandikizi hilo kwa ajiri ya kuwazibiti waraab na kuwaibia mali zao ndo maana ukimpiga Israeli wanaokuja kukupiga ni maghalibi kupitia mgongo wa Israel na hii vita itaghalim maisha ya watu wengi na vita hii alitabili Yesu siku alipokuwa anaingia Yerusalem
Hapa sasa unatakiwa kupigwa bila kujibu 😅😅😅 hizi vita sio zile za kinjekitile ngwale 😅😅
😂😂😂 ni kwavile hatukuwepo tu enzi za akina Kinjikitile, lakn kwa mimi huwa naona hao babu zetu walikuwa special sana imagine walikuwa wanapigana kwa kutumia mushale, mikuki, na magobole lakin wazungu wakiwa na silaha za kisasa na bado walipata tabu
Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar😭😭😭😭😭
Subiri israel
Mtadinywa tu na uyo shoga enu mwamed 😂
Hii ndo inaitwa mtoto kautaka subirien yakwenu itakav kuja
Allahu akbar... Allahu akbar... Allahu akbar... huyo nj mbabe aliyekuwa anasubiriwa kwa hamu na hio ni trela mchezo waja... kma wanaweza warudishe sasa muone mashabiki wa hovyo
MUNGU IBARIKI MASHARIKI YA KATI IEPUSHE NA VITA YA 3 YA DUNIA
Amin amiin
Amiin
Amin amin
Kuomba ni bora na nzur lkn huwez kubadili maandiko na utabr, hili ni lazima litokee na vita lazima itokee hvo kwasasa ni Kujiombea wewe mwenyewe na familia yako tu
Mwasisi wa vita zote ni MUNGU, ndio maana, anasema nitazileta pepo toka pande zote za dunia, dhidi ya Israel! ili mataifa yamjue kua yeye ni MUNGU, wa Israel.
Hao mahasidi na washirika wao kama wao ni vidume wamjibu BABA YAO IRANI dunia ipewewe somo 😊😊
Kumekucha Dunia inaendelea kuchangamka
+254 hapa mbona Sky video tunazoziona ni upanguaji wa makombora tel viv pekee
sawa kabisa izalaeli wameua watoto wengi sana pale gaza na lebanoni sawa kabisa kupigwa kwa izilaeli
Israel ikipigwa na Iran niite shoga ngoja uone Iran itakavyochakazwa
Irani imetuma mabomu kidogo angalau wangetuma japo na drone700 za shahid
Irani imetuma mabomu kidogo angalau wangetuma japo na drone700 za shahid
🎉🎉10/10/2024 siku yangu ya kuzaliwa yani ni leo vamos
Bora tu...kavumilia sana jamaa,aongeze majibu bdo hpo hatujaona
Kuna mtu ndani ya siku mbili zijazo atapigwa Ila hakawii kuanza kulia
Tulia kama ww una mwogopa Israel kuna watu wana muona mchumba tu
Sasa kwanza mtu mwenye ata ukitupwa McHale unaingia hadi chumbani yani hadi bwana wake marekani ndo auzuie huyo amna kitu Hana ulinzi wala nini nimikwara tuu
Nyie ongeeni yote ila Iran itapigwa hamtaamini utakumbuka maneno yangu nauhakika na nnachokisema
first cmnt niko machi👀👀
Eeee kumb mamb yamekuw ya moto hvyo.hay acha ss tuwe pembeni 2we 2natazama mapgan hawo wenye nguvu
Nimeona makombora mengi yametua na mengine kuzuiliwa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel. Lakini yalipita ni mengi
😖iv unawezaje kufurahia jamb km hili Mungu tunusuru
MUNGU IBARIKI ISRAEL MILELE DAIMA
Unashindwa kuimbea nchi Yako . Unaombea watu ambao wao Kila siku wao ni kumwaga damu. Hata waliokuwa wakitumwa na MUNGU kwao wao walikuwa Wanawauwa hata Yesu walimuuwa wao wenyewe. Akawaambia ufalme wa MUNGU hautakuwepo tena kwao. Ombea nchi Yako
Ukiwachokoza lazima ulipie ukolofi wako @@jofreykilangila4118
@@jofreykilangila4118Kwenye kabisaa Maneno yako 💯 Badala ya kuombea Tanzania wanaombea Israel na Wazungu watu waliowaletea USHOGA Tanzania Hii ni AJABU sana kwa hawa Watu au angewaombea Hata Wazazi wake waliomlea ni Bora kuliko Israel
Walikuwa wanasema iran anaongeaga tu nadhan sasa wameona vitendo vyake
Napenda ivyo pia ezbola nayo ipige iyo inchi ilio lahanaiwa 😂😂😂 akuna taifa lamungu apo
Hakuna vita vya 3 vya dunia hiyo ni vita baina ya nchi na wapambe wake. Iran naona inapenda kuharibiwa kama nchi nyingine hata nchi nyingine za kiarabu zilianzaga hivi subiri utakumbuka maneno yangu
Mbona kujitetea Kwa maonyo mengi,vita ni mbaya jaman tunaonea huruma raia maana ndo wahanga namba MOJA,
Iran ,mbona mwaomba fivo?mtakiona😂😂 Israel zi nji ya kuchezewa
Irani usifananishe inauwezo
@@MaryBiyaki-t4y iran na Israel hawawezi kupigana usijidanganye
Kwa jinsi ninavyo wajua mimi iran hawaogopi kifo chochote kwao kifo cha kishahidi nibora kifo cha kitandani hata nasrullah hakua muoga wa kifo vile vile
@@shaabanramadhan6770 🤣🤣🤣🤣🤣kifo cha kitandani?
Sasa hii vita nikubwa hapo marekani ataweka vikwazo hakika Irani nikiboko
Dalili ya Vita 3 vinanukia mashariki ya kati maana isr imemeaga dam nyingi
Leo nimefurahi ,Sasa tusikie BBC na dww vyombo Vya habari Vya mashoga wanasemaje,watasema tena wameziiya makombora yote, moto unawaka vibaya sana TelAviv netanyau kujificha kwenye shimo Kama panya
Aisee ,so yametua yote, hahah,hatar
Hakuna hata moja lilotua
Ila jaman acheni uwongo bhan yan nyau ajifiche aah ila ushabik utawaua had nyie
Israel be strong
Marekani mbwa nyinyi mnazuia nini waacheni km wanaweza kujimudu
Allo wamepigwa kipigo Cha mbwa coko,eti tuna ulinzi wa anga Moto Una Waka hapo TelAviv vibaya sana
Pray for iran😂😂😂
Karibu Iran karibu kifoni,hakika mtamalizwa!
Thubutu hawana uwezo kabisa iran kajipanga ndo mana amechukua muda kumpiga israel
Kama netanyahu nimwanaume aingie huo mziki miguu yote
Utamjua mtu aitwaye Israel,atawagaza
Yan watanzania wengi ni mashabiki wa kila kitu..
Tunashabikia dini bila logic...
Saiv vita za watu bila logic yyt yan wakristo wanashabikia Israel wakifikiri waisraeli ni Wakristo😂non sense ...
Waislam nao wanashabikia iran....
😢😢😢
Soma bibilia utajua kwanin Israel ni taifa la Mungu
Bonanza yanatunguliwa tu yote na tuna on a kabisa
Naomba Gps Ya wiki Hii iwe Mapema Tafadhali 😂😂😂 Sky Walker Nakuomba Fnyeni Gps Kesho
MashaAllah
Viva kwa irani anaga hahadi za huwongo,tusubiri mziki mneneee
Ameen yaaraby alameen wapigwe tu makafiri
Subir myahudi atawajibu kwa kipigo kikali, Makombola ya Iran hakuna hata moja lilofika
Israel lazima ajibu 😂😂😂
Lazima mrusi ataingua hapo
Kawaida ya moto wa msituni huanza na chechea, usipodhibitiwa huangamiza msitu wote.
Hiki ndicho kinachotokea kwa sasa. Vita hivi vitasambaa kwenye mataifa mengi mashariki ya kati kuanzia Palestina, Lebanon, Yemen, Iran, Iraq,Syria, hadi Afghanistan na hali itazidi kuwa mbaya. Pia tutegemee nchi nyengine kujiunga na mgogoro huu na hali itazidi kuwa mbaya.sana.
Unatabiri au unaombea iwe hivyo?
Netanyau ni mpuuzi sana, atasababisha vita kubwa asipodhibitiwa au kuacha kiburi chake
@@hamisisalum6116 Sitabiri wala siombei, ila hii ni vita ya kidini inanukia.Jambo hili pia huenda likapelekea vita ya tatu ya dunia kwa ujinga wa Netanyahu.
Kumbuka Iran anawashirika na Israel anawashirika wapenda vita.
Haya mabom nimeashuhudia live yakipita anga ya Jordan yamekua mengi sana kama mvua
Jordan leo hakusaidia kuyateremsha?
@@sofunnystars5557wenyewe wamechoka na kinachofanywa na Netanyahu
Upo wapi mkuu
Na Israel iki shusha mengi hivyo huko Lebanon watu wata Lia Lia wata lipwa Kwa wanacho kitafuta
Ni kweli lkn work done=0
Makombora yamezuiliwa 😂
Ss Israel inaingia kazini rasmi
Target haikuwa kuua raia bali ni kuangamiza silaha za kivita za israel na kwa hilo iran imefanikiwa
Alokwambia km yamezuiliwa nani? Bbc,cnn,cbn, hao hao wote kusema ukweli kwao no 1%kusema uongo no 99%
😂😂😂😂😂😂aso sikia la mku huvunjika guu 😂😂😂😂 subirieni netthanyah alete siasa za kidini 😂😂😂 utaskiya eti wa Islam wanawapiga 😂😂😂na watu wapo kimya 😂😂😂😂 subir asimamishe Dunia kisa dini 😂😂😂😂 wa Israel wanajua kucheza na akili za watu 😂😂😂 American wapo kimya hali kwao ipo shwari ila Israel na Ukraine 😂😂😂😂 hali tete 😂😂😂😂 akili izi
Kuna mtu ndani ya siku mbili zijazo atapigwa Ila hakawii kuanza kulia
Stand for.....
Yan apo ndio vita inanza sasa ya isreil na iran twajua isreil itashambulia ndan ya iran sjui kitakqchofata
Shambulizi limeeleweka sio lakupiga raiya ..kama wanavofanya wao kuua raia wasio nahatia😎
lsrael ikijibu mashambulizi msikasirike mkae kwa kutulia
Hao siyo Israel ni Marekani maana Israel haina kitu 😂!
Hakuna mbwa anaweza kumjibu IRANI wewe unachekesha😂😂
Nan kakwambia na kwataarifa yako usifkir Israel inanunua tu silaha za marekani Israel wakinunua silaha za marekani wanazifungua upya wanaziboresha zaidi zinakua Bora zaidi ndo mana hata mmarekan akienda pale anatandikwa
Iran anunui silaha mjomba...ana viwanda..,izo ballistic missiles anazifanyia majaribio tu na ndo anaemuuzia drone Russia anazotumia ukrain...Kun madhara makubwa kwa Israel aki attack..Iran anunui silaha wala aletewi.
Watalipwa muda si mrefu kama kawaida 1 kwa Mia kama wamefika wa8 kwao 800
Iran anapiga kambi!! hapigi raia!!
Wanaume wamesema musilipize Sasa nyinyi mashoga jifanyeni wabishi mulipize
Wameingia wenyewe wasubiri
Hapo hakuna kitu, unajifariji tu Mzee...
Ulimwengu waelekea wapi kwakweli ibilis alihadi hakika wanadamu watamwnga damu
Ukionaa hivyo ujue Urusi na China wametoa kibalii Kwa Iran ashambuliee lilikuwa ni suala la Mdaa tuu ndio maana Putin na Shijin Ping walisem Israel inatakiwa ivamiwee
Isreal will make Iran shish kebab falafel hormosi 😂😂. God blessed Isreal 🇮🇱✝️🙏
Vita Zuri ingekuwa mbaya izlaeli isinge kuwa ina wa huwa waparistina,sasa kwa taharifa yenu wairani awahogopagi Kufa💪
Nawapa pole Iran mkianza kupigwa msianze kusingizia Mmarekani
Israel kwisha habari yao
Kwan ata ivyo bwana wenu p didy si ndo kawasaidia kutungua makombora netapaka ataenda sasa iv kwa bwana p didy akapakwe mafuta ili asaidiwe
Vita ni nzuri kwa tunaisikia lkn sio iwe kwenye aridhi ya nnchi kwa mtu mwenye ufaham uwe mkristo aidha muislam mi naona utakuwa mtu wa maana sana kama utahurumia dam za raia wasiokuwa na hati zinazo mwagika namaanisha kwa dini sema neno kwa mungu aepushe vita hivi tusifanye imekuwa kama simba na yanga nonono kuna watu wanaooteza familia zao uchumi wao amani hakuna tena 😢😢😢 tutafakari sana
Aiseee GPS jumapili n mbali, embu mfanye kitu walau mpk alhamisi...maana n gafla sanaa
Hapa naona wanao furahi kusikia israel imeshambuliwa,ila ikifikia israel inarudishia mtaanza kusema eti niwauwaji
Tumeshasema Israeli inaenda kufa hata ikiwa vpi lazma ipotee iyo ni lazma
Sawa nabii mahmudu
Hakuna taifa litaloweza kuipoteza Israel kwa nyakati hizi, walijalibu rumi empire, wakapotea wao, akajalibu Hitler wa Germany! Akapotea yeye, akajalibu mrusi,akaangukia pua, USSR ikafia mbali, amini nakwambia!! iran inakwenda kupasuka vipande viwili, hivi kalibuni, itakua km sudani.
Hichi ndicho ambacho Israel alikuwa anakihitaji
Makombora mengi utendaji mdogo 😂
wala iran sio lolote kwa israel hilo ni taifa teule alompa ibrahm,isaka,yakobo yusuph na mussa Asee hata wafanye nn hawataiweza
Vita vya tatu vya dunia vipo karibu sasa mana Iran mpaka inajibu basi ujue Russia,China na Korea kaskazini wapo nyuma
Muko dunia ya wapi kama kama mnasoma vita ya bibilia lakini kama hii vita kwa Sasa Israeli anaenda kunyongwa mbwaa hawa ngoja uone ndio useme utopolo wako huo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤
Tena wajibu waone kama dunia nzima hatujaamka nao haya mazayuni laanatullah ucku na mchana😢😢😢
Natamani kuskia na wenyewe pia mkubwa wao ama maraiya wao wafetu kama wanavyo fanya kwa wengine shenzi hao lana zangu zote zipo kwajili yao takataka😏
Umewahi kusikia IRON DOME, ARROW NA DAVID SLING? 😀
Allah awalaani hao jamaaa wanaua sana watt wanashindwa kupigana na wanajeshi unajua watt
Haya makombora yalivyorusha yaliangalia km kuna watoto, au ule msemo wa nyani haoni kundule ndo unaotumia
@@AbdalallaBrahimam wanajeshi wenyewe wanavaa hijabu na baibui na wanajilinda na watoto, wanategemea nini?
@@AbdalallaBrahimamAllah Yuko zake Makkah anapungwa upepo hana muda afu kama Allah anauwezo Bax awasaidie Gaza Iran na Hezbollah yaan unafanya maxhambulio 400 huui hata mende si bora ungekaa kimy ty ukatulia
Kumbe na marekani anahusika kuzuia makombora ya iran😮😮 ss mbona wanaharibu radha ya vita aah wanazngua bhan
Safi sana maana wazayuni wamekuwa ndo magaidi ,,nao waone uchungu wa kuua wenzao
Makombora yalitoka irani na yameziiliwa na Israel 😂
MashaAllah
Yaani muizrail hawezi kitu mpaka asaidiwe na marekani.
Hapo ndipo mrusi anaingia na hiii ndio vita yatatu yadunia inakuja
mbwa hawa wazayuni wanasaudiwa sana kama wana nguvu wapambane wenyewe 😂 bila ya marekani na nato hawafiki hata mbezi 😂
Tulia sindano zinawaingia wew gaidi WA kijini
Magaidi yanahasira balaa babu yako nasllah tayari anakula Bata na mabra 72 kuzimu Bado ww
Hahaha kuipiga Israel nikaz bule 😂😂
Apa sawa wangewacoma woote shenzi wa Israel
Nilitaka kushangaa, yan hanie ameuwawa ndani ya iran afu wakaushe 😂
Netanyau kama hataachana na kiburi chake basi ameshawatia mashakani wayahudi wote. Leo nao wamekuwa watu wa kuishi mashimoni kama panya buku? Uteule umegeuka kuwa wa mashimoni? Asome alama za nyakati na abadilike vinginevyo yanakwenda kutokea makubwa zaidi maana haogopwi tena. Fikiria amemaliza kufanya vitisho vikubwa kule lebanon kwa kulipua pagers na kuua kiongozi wa Hizbullah lakini ndio kwanza kapigwa pale pale.
Marekan James wamesema wapo tayari kuishambulia Iran...Biden ameongea mda sio mrefu.
Acha kujitekenya Mungu wa wayahudi ni mkuu kama unabixha tutaona kama Iran itaua hata mende
@@MgangaMalugu
Wakristo wengi wenu hamna akili aisee! Iran walilenga maeneo ya kijeshi pekee, wale siyo wendawazimu kama ninyi, wanajali raia wasio na hatia, jiongeze uwe na akili japo za kukuwezesha kula na kwenda chooni mwenyewe, mnatia kinyaa kwa maneno yenu hayo, sasa uteule gani kila siku ni mashaka matupu na kuishi mashimoni?
@@rogath_silayotatizo hawawez kuishambulia iran moja kw moja maana kitanuka isee na kam unavy jua iran ni baba wa familia kazaa kwhy wale watt unafkilia watafny nn kam baba anashambuliwa.lazim nao watakiwasha kw yule anae mshambulia baba
Wamalize kabisa
😂😂😂😂 sawa ngoja tuone , ila iran itajuta.
Ino Lazima Smaa ataichqmbua na raha mingi
America uje kuinglia hii vita
Pray to the world, against third world war