Iran yaishambulia Israel kulipiza kifo cha Nasrallah na Haniyeh, yatoa onyo kali 'Msijaribu kujibu'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...

Комментарии • 425

  • @MahmoodAlhusary
    @MahmoodAlhusary 3 часа назад +50

    Kama wewe ni mdau wa habari na hupedelei kutumia Lugha za MATUSI kutokana na ushabiki wa upande fulani naomba weka Like na endelea kutoa elimu kwa wanacomment wote

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 4 часа назад +43

    Kwakweli Iran ndio mtetezi wa wanyonge walio pokonywa miliki zao miaka hyo😭😭,Kwanzaa mtu anaye pigania haki ya mwenzie wakati hata halipwi hata huyu mungu usimama nae kwakweli saudia wamemkataa Iran kisa yeye sio muoga

    • @MgangaMalugu
      @MgangaMalugu 4 часа назад +5

      Mtetezi anafanya shambulio haui hata mende😂😂😂😂

    • @MgangaMalugu
      @MgangaMalugu 4 часа назад +4

      Unajitekenya na kucheka

    • @MailesSezero-l4c
      @MailesSezero-l4c 4 часа назад +3

      Ngoja kibao kiwarudie ndo tutaona jinsi irgs ilivyoiponza nchi yao

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 часа назад +3

      Msaudi ni chawa wa kina Bibi Paka

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 часа назад +5

      Iran kajaa kwenye mfumo na hiki ndio alikitaka Israel 😂

  • @Shadia544
    @Shadia544 4 часа назад +7

    Yaani leo waarabu wamefurahi sana kwa kushambuliwa ISRAEL JAMANIII HAPA WANAFURAHA LAKINI IRAN ndiyo mtetezi 😢😢

  • @abdullahmapesa
    @abdullahmapesa 4 часа назад +3

    Brother kuwa na share link za izi video kwenye channel ya telegram itakuwa vizuri zaidi 🙏🙏

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 3 часа назад +13

    Aiseeee nimeona live AlJazeera ,aisee mengi yamefika ....sio poa.

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 3 часа назад +5

    Alhamdhulillah

  • @AgnessJohn-v8p
    @AgnessJohn-v8p 4 часа назад +4

    Yani watu munafagilia vita badara ya kuomba mungu aingilie kati vitahizi waache washushe siraha chini mungu ashuke haraka sana🧎

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 3 часа назад

      Alafu watu walio mbali kabisa ndio wamejaa ujinga huo. Niwakati wa kuomba Mungu haya yaishe haraka. Wanao athirika hapa ni Watoto wasio na hatia Mama zetu na wazee wetu hawa ndio waathirika wakuu. Hajui ni upande gani wakimbilie ni wakati gani wata kula. Vita mvisikie hivyo hivyo. Ikiwa umevamiwa na panya road au Komando Yosso wenye mapanga tu hayatoi moto wala Moshi dk 20 akili ina kuruka sembuse kila masaa machache una sikia milipuko na moshi mzito hujui wapi uende ukajifiche inauma. Hiyo milio na vishindo visikieni tu hivyo hivyo. Nikisema hivi kidogo wakazi wa Mbagala na Gongolamboto kidogo wana Idea na vishindo wanaweza kuelewa.

  • @barakaba8417
    @barakaba8417 Час назад +2

    Mtoto wa boss anamchezea houseboy mapumbu kisa baba yake yupo sas kapigwa pumbu mbele ya mzazi

  • @سعدههوام
    @سعدههوام 4 часа назад +6

    Hura mashoga wote

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 3 часа назад +5

    Huyo Irani akiachwa atengeneze Nyuklia ni hatari maradufu....

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 3 часа назад +2

      Ungana na netanyau mukalie uko marekani

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 3 часа назад

      @@jumamussantuiche Sawasawa

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 3 часа назад

      Na ndio mana Shaytanyahu anajaribu ipaswavyo kuivuta Marekan ktk Vita na Iran ili isifanikiww ktk hatua ya uzalishaji wa Silaha za Nuclear

    • @samwelikawawa8369
      @samwelikawawa8369 3 часа назад

      Watu wa p dd wanashida sana

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 2 часа назад +9

    Marekan anaingia kama nani Israel sianajikubali apigane mwenyewe bila uwepo wamarekani

    • @ephraimwadaudi2867
      @ephraimwadaudi2867 2 часа назад

      Hamjajua bado Moto wa taifa la Israel ngoja uone Iran itakavyopigwa ni muda tu

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy 2 часа назад

      ​@@ephraimwadaudi2867😅😅😅 unajidanganya ndugu kumbe wewe huijui vizuri nchi ya irani ingia google search ujionee silaha za maangamizi walizo nazo afu Rudi Israel nahisi utaipata picha kidogo

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 2 часа назад

      Achaujinga Israël ya sasa nigenge lawahuni mnaminishwa uongo someni vitabu mjifunze dunia inapoelekea ​@@ephraimwadaudi2867

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 часа назад +2

      Uliona siku yyt Marekani kaingia?
      Acha aingie kwani na huko si mko wengi tu, hamas/hezibolah,houth,Iran ......
      Ss ngoja muone wanaume wanaingia kazini

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 часа назад

      ​@@ephraimwadaudi2867😂😂ngoja waone mpk kesho asbh

  • @WadySaidi
    @WadySaidi 3 часа назад +16

    Kifo kwa Israel safari hii Amna pa kukumbilia mbwaa hawa

    • @omondiowino7875
      @omondiowino7875 3 часа назад +1

      @@WadySaidi Israel itakwepo mpaka mwisho WA dunia

    • @Uchukhan_
      @Uchukhan_ 3 часа назад

      Utasikia Wanasema Ajafa m2 We Subr 2 ila ukwel wanaujua wenyewe

    • @Muzammil99p
      @Muzammil99p 3 часа назад

      Tutawaua wote hawa mashoga wa Zionist
      Ushindi utakua wetu kwa uhakika ❤ 🇰🇪🇷🇺🇮🇷🇱🇧🇹🇿

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 3 часа назад

      Usikimbie humu kuwa ni mmarekani kibao kinavyogeuka

    • @ChivatsiIbrahim
      @ChivatsiIbrahim 2 часа назад +1

      Iran kwisha hawaezi Israel hata kidogo. Netanyahu alisema hakuna mahali Iran hawaezi ingia, Sasa subiri ngoma ikitambaa

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 4 часа назад +2

    Irani kama mwoga unatakiwa ukipiga usitoe maneno ya vitisho ukipiga utapigwa

  • @salumft661
    @salumft661 3 часа назад +2

    Lengo la israil lishatimia😂 sasa vita na iran itaanza mda wowote.. ila mafuta yatapanda bei dah😢

  • @DifaRobelindo-cj2ij
    @DifaRobelindo-cj2ij 4 часа назад +9

    Sisi Wana WA Israel atushitushi mana Israel itajibu tu kua kishindo kikubwa

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 часа назад

      Hamna kitu Israel 🇮🇱 lazima ipigwe

    • @sofunnystars5557
      @sofunnystars5557 3 часа назад +2

      @@DifaRobelindo-cj2ij labda waombe msaada marekani. Pekee yao hata Kenya hawaiwezi

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 3 часа назад +1

      ​@@PaullyPuyetrov haitapigwa hata waungane wote

    • @belyseirakoze5371
      @belyseirakoze5371 3 часа назад

      Kwa kupiga uwenda waombe msada baba yao marekani

    • @serijofesto9068
      @serijofesto9068 3 часа назад

      Nice

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 4 часа назад +15

    PIGA MAGAIDI HAO, Leo nimewakuta kwenye mashimo ya panya ndani ya nyumba yangu 😂😂sjui wanajificha nini

    • @Mwanatanga
      @Mwanatanga 4 часа назад

      Fuck

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 4 часа назад +1

      Shida siyo kurusha makombora shida yana madhara gani ?😂 sasa sikilizia wakirusha israel balaa lake dunia nzima inashika vichwa, iran wamengia kwenye mfumo na walishaonywa 😂

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 4 часа назад

      ​@@mobutu3884hao mashoga yenu yajibu sasa yaone yatarusha makombora zaid ya a laki 1 Kwa mpigo kenge nyie

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 4 часа назад

      ​@@mobutu3884huwezi ukajua kwa sbb unaridhika kuwasikiliza sns

    • @dicksonmbuta6700
      @dicksonmbuta6700 4 часа назад

      @@mobutu3884 tel aviv pale pale kumbuka yule mafia wa urusi juzi alikua IRAN Hii inaitwa gusa unase USA AJICHANGANYE WAMNYEE

  • @johnnsembele4401
    @johnnsembele4401 2 часа назад +2

    iran sema hataki tu kuuuwa raia lakini akisema auwe raia anauwezo wa kuuwa watu wengi sanah

  • @moonlightTv-me9zw
    @moonlightTv-me9zw 4 часа назад +5

    Uzuri Israel awajawai sema pray for Israel soon iran wataona cha mteba kuni😂😂 pray for iran 😂😂😂

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 4 часа назад +6

    Iran nawenyewe wanaomba vifo😅😅.
    Israel ni baba wa Vita. Inchi 5 kwampigo wote,mnatandikwa na Israel

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 4 часа назад

      Nchi au anapigana na wana mgambo tu unajielewa lakini 😂😂 hamas peke ake tu ana mwaka now

    • @SeifMassoud
      @SeifMassoud 3 часа назад

      Nchi gani nchi gani tutajie

    • @WadySaidi
      @WadySaidi 3 часа назад

      😂kifo kwa Israel mbwaa aw

    • @salumomar5234
      @salumomar5234 3 часа назад

      Mbona mrusi kapiga mataifa 50 hamusemi

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 часа назад

      Wazungu waliweka pandikizi hilo kwa ajiri ya kuwazibiti waraab na kuwaibia mali zao ndo maana ukimpiga Israeli wanaokuja kukupiga ni maghalibi kupitia mgongo wa Israel na hii vita itaghalim maisha ya watu wengi na vita hii alitabili Yesu siku alipokuwa anaingia Yerusalem

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 3 часа назад +3

    Hapa sasa unatakiwa kupigwa bila kujibu 😅😅😅 hizi vita sio zile za kinjekitile ngwale 😅😅

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 3 часа назад +1

      😂😂😂 ni kwavile hatukuwepo tu enzi za akina Kinjikitile, lakn kwa mimi huwa naona hao babu zetu walikuwa special sana imagine walikuwa wanapigana kwa kutumia mushale, mikuki, na magobole lakin wazungu wakiwa na silaha za kisasa na bado walipata tabu

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 3 часа назад +5

    Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar😭😭😭😭😭

    • @paulrwechungura4284
      @paulrwechungura4284 2 часа назад

      Subiri israel

    • @davidfrank1644
      @davidfrank1644 2 часа назад +1

      Mtadinywa tu na uyo shoga enu mwamed 😂
      Hii ndo inaitwa mtoto kautaka subirien yakwenu itakav kuja

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 Час назад +1

    Allahu akbar... Allahu akbar... Allahu akbar... huyo nj mbabe aliyekuwa anasubiriwa kwa hamu na hio ni trela mchezo waja... kma wanaweza warudishe sasa muone mashabiki wa hovyo

  • @kilimanjarotv255
    @kilimanjarotv255 4 часа назад +6

    MUNGU IBARIKI MASHARIKI YA KATI IEPUSHE NA VITA YA 3 YA DUNIA

    • @husseinamani
      @husseinamani 4 часа назад +1

      Amin amiin

    • @ZHING.Tech.
      @ZHING.Tech. 4 часа назад

      Amiin

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 часа назад

      Amin amin

    • @MailesSezero-l4c
      @MailesSezero-l4c 4 часа назад

      Kuomba ni bora na nzur lkn huwez kubadili maandiko na utabr, hili ni lazima litokee na vita lazima itokee hvo kwasasa ni Kujiombea wewe mwenyewe na familia yako tu

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 часа назад +1

      Mwasisi wa vita zote ni MUNGU, ndio maana, anasema nitazileta pepo toka pande zote za dunia, dhidi ya Israel! ili mataifa yamjue kua yeye ni MUNGU, wa Israel.

  • @ramahkesh9360
    @ramahkesh9360 2 часа назад +1

    Hao mahasidi na washirika wao kama wao ni vidume wamjibu BABA YAO IRANI dunia ipewewe somo 😊😊

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 3 часа назад +2

    Kumekucha Dunia inaendelea kuchangamka

  • @hamisitsuma-rc2ej
    @hamisitsuma-rc2ej 2 часа назад +1

    +254 hapa mbona Sky video tunazoziona ni upanguaji wa makombora tel viv pekee

  • @MustaphaFundi-s5x
    @MustaphaFundi-s5x 3 часа назад +3

    sawa kabisa izalaeli wameua watoto wengi sana pale gaza na lebanoni sawa kabisa kupigwa kwa izilaeli

    • @ephraimwadaudi2867
      @ephraimwadaudi2867 2 часа назад

      Israel ikipigwa na Iran niite shoga ngoja uone Iran itakavyochakazwa

  • @mudriqahmed3666
    @mudriqahmed3666 3 часа назад +1

    Irani imetuma mabomu kidogo angalau wangetuma japo na drone700 za shahid

  • @mudriqahmed3666
    @mudriqahmed3666 3 часа назад +1

    Irani imetuma mabomu kidogo angalau wangetuma japo na drone700 za shahid

  • @Muba-Gucci-TV
    @Muba-Gucci-TV 2 часа назад +1

    🎉🎉10/10/2024 siku yangu ya kuzaliwa yani ni leo vamos

  • @lamartaker527
    @lamartaker527 2 часа назад +1

    Bora tu...kavumilia sana jamaa,aongeze majibu bdo hpo hatujaona

  • @piusmbwana3329
    @piusmbwana3329 3 часа назад +4

    Kuna mtu ndani ya siku mbili zijazo atapigwa Ila hakawii kuanza kulia

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 3 часа назад +2

      Tulia kama ww una mwogopa Israel kuna watu wana muona mchumba tu

    • @ramadhanhassan5285
      @ramadhanhassan5285 2 часа назад

      Sasa kwanza mtu mwenye ata ukitupwa McHale unaingia hadi chumbani yani hadi bwana wake marekani ndo auzuie huyo amna kitu Hana ulinzi wala nini nimikwara tuu

    • @ephraimwadaudi2867
      @ephraimwadaudi2867 2 часа назад

      Nyie ongeeni yote ila Iran itapigwa hamtaamini utakumbuka maneno yangu nauhakika na nnachokisema

  • @blueboybajos6880
    @blueboybajos6880 4 часа назад +2

    first cmnt niko machi👀👀

  • @nellymans-f1v
    @nellymans-f1v 3 часа назад +1

    Eeee kumb mamb yamekuw ya moto hvyo.hay acha ss tuwe pembeni 2we 2natazama mapgan hawo wenye nguvu

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 2 часа назад +1

    Nimeona makombora mengi yametua na mengine kuzuiliwa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel. Lakini yalipita ni mengi

  • @gracelema2374
    @gracelema2374 4 часа назад +1

    😖iv unawezaje kufurahia jamb km hili Mungu tunusuru

  • @sylvestermhojaaron9659
    @sylvestermhojaaron9659 3 часа назад +9

    MUNGU IBARIKI ISRAEL MILELE DAIMA

    • @jofreykilangila4118
      @jofreykilangila4118 2 часа назад +2

      Unashindwa kuimbea nchi Yako . Unaombea watu ambao wao Kila siku wao ni kumwaga damu. Hata waliokuwa wakitumwa na MUNGU kwao wao walikuwa Wanawauwa hata Yesu walimuuwa wao wenyewe. Akawaambia ufalme wa MUNGU hautakuwepo tena kwao. Ombea nchi Yako

    • @lionofjudahtv8796
      @lionofjudahtv8796 2 часа назад

      Ukiwachokoza lazima ulipie ukolofi wako ​@@jofreykilangila4118

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 2 часа назад +1

      ​@@jofreykilangila4118Kwenye kabisaa Maneno yako 💯 Badala ya kuombea Tanzania wanaombea Israel na Wazungu watu waliowaletea USHOGA Tanzania Hii ni AJABU sana kwa hawa Watu au angewaombea Hata Wazazi wake waliomlea ni Bora kuliko Israel

  • @suleymuntar3544
    @suleymuntar3544 Час назад +1

    Walikuwa wanasema iran anaongeaga tu nadhan sasa wameona vitendo vyake

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 4 часа назад +1

    Napenda ivyo pia ezbola nayo ipige iyo inchi ilio lahanaiwa 😂😂😂 akuna taifa lamungu apo

  • @deodatusmugalulamugalula
    @deodatusmugalulamugalula 3 часа назад +1

    Hakuna vita vya 3 vya dunia hiyo ni vita baina ya nchi na wapambe wake. Iran naona inapenda kuharibiwa kama nchi nyingine hata nchi nyingine za kiarabu zilianzaga hivi subiri utakumbuka maneno yangu

  • @shukranmsukwa
    @shukranmsukwa 4 часа назад +1

    Mbona kujitetea Kwa maonyo mengi,vita ni mbaya jaman tunaonea huruma raia maana ndo wahanga namba MOJA,

  • @MaryBiyaki-t4y
    @MaryBiyaki-t4y 4 часа назад +3

    Iran ,mbona mwaomba fivo?mtakiona😂😂 Israel zi nji ya kuchezewa

    • @VisentJohn-r3r
      @VisentJohn-r3r 3 часа назад

      Irani usifananishe inauwezo

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 3 часа назад

      @@MaryBiyaki-t4y iran na Israel hawawezi kupigana usijidanganye

    • @shaabanramadhan6770
      @shaabanramadhan6770 3 часа назад

      Kwa jinsi ninavyo wajua mimi iran hawaogopi kifo chochote kwao kifo cha kishahidi nibora kifo cha kitandani hata nasrullah hakua muoga wa kifo vile vile

    • @MaryBiyaki-t4y
      @MaryBiyaki-t4y 3 часа назад

      @@shaabanramadhan6770 🤣🤣🤣🤣🤣kifo cha kitandani?

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 3 часа назад +1

    Sasa hii vita nikubwa hapo marekani ataweka vikwazo hakika Irani nikiboko

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 3 часа назад +1

    Dalili ya Vita 3 vinanukia mashariki ya kati maana isr imemeaga dam nyingi

  • @MarckMasaki
    @MarckMasaki 3 часа назад +2

    Leo nimefurahi ,Sasa tusikie BBC na dww vyombo Vya habari Vya mashoga wanasemaje,watasema tena wameziiya makombora yote, moto unawaka vibaya sana TelAviv netanyau kujificha kwenye shimo Kama panya

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 3 часа назад

      Aisee ,so yametua yote, hahah,hatar

    • @agrirelieftanzania561
      @agrirelieftanzania561 2 часа назад

      Hakuna hata moja lilotua

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 2 часа назад

      Ila jaman acheni uwongo bhan yan nyau ajifiche aah ila ushabik utawaua had nyie

  • @MaryBiyaki-t4y
    @MaryBiyaki-t4y 4 часа назад +2

    Israel be strong

  • @Salumu-gs6rk
    @Salumu-gs6rk 4 часа назад +2

    Marekani mbwa nyinyi mnazuia nini waacheni km wanaweza kujimudu

    • @MarckMasaki
      @MarckMasaki 3 часа назад

      Allo wamepigwa kipigo Cha mbwa coko,eti tuna ulinzi wa anga Moto Una Waka hapo TelAviv vibaya sana

  • @ozilraven8442
    @ozilraven8442 4 часа назад +2

    Pray for iran😂😂😂

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 3 часа назад +2

    Karibu Iran karibu kifoni,hakika mtamalizwa!

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 3 часа назад

      Thubutu hawana uwezo kabisa iran kajipanga ndo mana amechukua muda kumpiga israel

  • @AyubuRashid-j7g
    @AyubuRashid-j7g 4 часа назад +2

    Kama netanyahu nimwanaume aingie huo mziki miguu yote

  • @SidBrand
    @SidBrand 3 часа назад +1

    Yan watanzania wengi ni mashabiki wa kila kitu..
    Tunashabikia dini bila logic...
    Saiv vita za watu bila logic yyt yan wakristo wanashabikia Israel wakifikiri waisraeli ni Wakristo😂non sense ...
    Waislam nao wanashabikia iran....
    😢😢😢

  • @tolbartkishamba3772
    @tolbartkishamba3772 3 часа назад +1

    Bonanza yanatunguliwa tu yote na tuna on a kabisa

  • @Abuunuwayra
    @Abuunuwayra 2 часа назад

    Naomba Gps Ya wiki Hii iwe Mapema Tafadhali 😂😂😂 Sky Walker Nakuomba Fnyeni Gps Kesho

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 3 часа назад +2

    MashaAllah

  • @jaffarichimbuvu9409
    @jaffarichimbuvu9409 3 часа назад +2

    Viva kwa irani anaga hahadi za huwongo,tusubiri mziki mneneee

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 3 часа назад

      Ameen yaaraby alameen wapigwe tu makafiri

    • @agrirelieftanzania561
      @agrirelieftanzania561 3 часа назад

      Subir myahudi atawajibu kwa kipigo kikali, Makombola ya Iran hakuna hata moja lilofika

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 4 часа назад +1

    Israel lazima ajibu 😂😂😂

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 4 часа назад +1

    Lazima mrusi ataingua hapo

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas6327 3 часа назад +1

    Kawaida ya moto wa msituni huanza na chechea, usipodhibitiwa huangamiza msitu wote.
    Hiki ndicho kinachotokea kwa sasa. Vita hivi vitasambaa kwenye mataifa mengi mashariki ya kati kuanzia Palestina, Lebanon, Yemen, Iran, Iraq,Syria, hadi Afghanistan na hali itazidi kuwa mbaya. Pia tutegemee nchi nyengine kujiunga na mgogoro huu na hali itazidi kuwa mbaya.sana.

    • @hamisisalum6116
      @hamisisalum6116 3 часа назад

      Unatabiri au unaombea iwe hivyo?
      Netanyau ni mpuuzi sana, atasababisha vita kubwa asipodhibitiwa au kuacha kiburi chake

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 3 часа назад

      @@hamisisalum6116 Sitabiri wala siombei, ila hii ni vita ya kidini inanukia.Jambo hili pia huenda likapelekea vita ya tatu ya dunia kwa ujinga wa Netanyahu.
      Kumbuka Iran anawashirika na Israel anawashirika wapenda vita.

  • @لناعه
    @لناعه 4 часа назад +2

    Haya mabom nimeashuhudia live yakipita anga ya Jordan yamekua mengi sana kama mvua

    • @sofunnystars5557
      @sofunnystars5557 4 часа назад

      Jordan leo hakusaidia kuyateremsha?

    • @NurdinOzil
      @NurdinOzil 3 часа назад

      ​@@sofunnystars5557wenyewe wamechoka na kinachofanywa na Netanyahu

    • @epimarkjohn1056
      @epimarkjohn1056 3 часа назад

      Upo wapi mkuu

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 3 часа назад

      Na Israel iki shusha mengi hivyo huko Lebanon watu wata Lia Lia wata lipwa Kwa wanacho kitafuta

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 часа назад +1

    Ni kweli lkn work done=0
    Makombora yamezuiliwa 😂
    Ss Israel inaingia kazini rasmi

    • @mnanasuly2585
      @mnanasuly2585 Час назад

      Target haikuwa kuua raia bali ni kuangamiza silaha za kivita za israel na kwa hilo iran imefanikiwa

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er Час назад

      Alokwambia km yamezuiliwa nani? Bbc,cnn,cbn, hao hao wote kusema ukweli kwao no 1%kusema uongo no 99%

  • @belyseirakoze5371
    @belyseirakoze5371 3 часа назад

    😂😂😂😂😂😂aso sikia la mku huvunjika guu 😂😂😂😂 subirieni netthanyah alete siasa za kidini 😂😂😂 utaskiya eti wa Islam wanawapiga 😂😂😂na watu wapo kimya 😂😂😂😂 subir asimamishe Dunia kisa dini 😂😂😂😂 wa Israel wanajua kucheza na akili za watu 😂😂😂 American wapo kimya hali kwao ipo shwari ila Israel na Ukraine 😂😂😂😂 hali tete 😂😂😂😂 akili izi

  • @piusmbwana3329
    @piusmbwana3329 3 часа назад +1

    Kuna mtu ndani ya siku mbili zijazo atapigwa Ila hakawii kuanza kulia

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk 47 минут назад

    Yan apo ndio vita inanza sasa ya isreil na iran twajua isreil itashambulia ndan ya iran sjui kitakqchofata

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 2 часа назад

    Shambulizi limeeleweka sio lakupiga raiya ..kama wanavofanya wao kuua raia wasio nahatia😎

  • @juliusloishiye-y6k
    @juliusloishiye-y6k 3 часа назад +2

    lsrael ikijibu mashambulizi msikasirike mkae kwa kutulia

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 часа назад

      Hao siyo Israel ni Marekani maana Israel haina kitu 😂!

    • @ramahkesh9360
      @ramahkesh9360 2 часа назад

      Hakuna mbwa anaweza kumjibu IRANI wewe unachekesha😂😂

    • @ephraimwadaudi2867
      @ephraimwadaudi2867 2 часа назад

      Nan kakwambia na kwataarifa yako usifkir Israel inanunua tu silaha za marekani Israel wakinunua silaha za marekani wanazifungua upya wanaziboresha zaidi zinakua Bora zaidi ndo mana hata mmarekan akienda pale anatandikwa

    • @hashimjumahassani5268
      @hashimjumahassani5268 2 часа назад

      Iran anunui silaha mjomba...ana viwanda..,izo ballistic missiles anazifanyia majaribio tu na ndo anaemuuzia drone Russia anazotumia ukrain...Kun madhara makubwa kwa Israel aki attack..Iran anunui silaha wala aletewi.

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx 2 часа назад +1

    Watalipwa muda si mrefu kama kawaida 1 kwa Mia kama wamefika wa8 kwao 800

  • @Uchukhan_
    @Uchukhan_ 3 часа назад +1

    Wanaume wamesema musilipize Sasa nyinyi mashoga jifanyeni wabishi mulipize

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 33 минуты назад

    Ulimwengu waelekea wapi kwakweli ibilis alihadi hakika wanadamu watamwnga damu

  • @yanja69
    @yanja69 4 часа назад

    Ukionaa hivyo ujue Urusi na China wametoa kibalii Kwa Iran ashambuliee lilikuwa ni suala la Mdaa tuu ndio maana Putin na Shijin Ping walisem Israel inatakiwa ivamiwee

  • @isaacelijah6516
    @isaacelijah6516 2 часа назад

    Isreal will make Iran shish kebab falafel hormosi 😂😂. God blessed Isreal 🇮🇱✝️🙏

  • @jaffarichimbuvu9409
    @jaffarichimbuvu9409 2 часа назад

    Vita Zuri ingekuwa mbaya izlaeli isinge kuwa ina wa huwa waparistina,sasa kwa taharifa yenu wairani awahogopagi Kufa💪

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 2 часа назад +1

    Nawapa pole Iran mkianza kupigwa msianze kusingizia Mmarekani

    • @mnanasuly2585
      @mnanasuly2585 Час назад

      Israel kwisha habari yao

    • @suleymuntar3544
      @suleymuntar3544 Час назад

      Kwan ata ivyo bwana wenu p didy si ndo kawasaidia kutungua makombora netapaka ataenda sasa iv kwa bwana p didy akapakwe mafuta ili asaidiwe

  • @matheomaganga4473
    @matheomaganga4473 Час назад

    Vita ni nzuri kwa tunaisikia lkn sio iwe kwenye aridhi ya nnchi kwa mtu mwenye ufaham uwe mkristo aidha muislam mi naona utakuwa mtu wa maana sana kama utahurumia dam za raia wasiokuwa na hati zinazo mwagika namaanisha kwa dini sema neno kwa mungu aepushe vita hivi tusifanye imekuwa kama simba na yanga nonono kuna watu wanaooteza familia zao uchumi wao amani hakuna tena 😢😢😢 tutafakari sana

  • @novusengineering_tz4523
    @novusengineering_tz4523 2 часа назад

    Aiseee GPS jumapili n mbali, embu mfanye kitu walau mpk alhamisi...maana n gafla sanaa

  • @benjaminkibiswa4272
    @benjaminkibiswa4272 2 часа назад

    Hapa naona wanao furahi kusikia israel imeshambuliwa,ila ikifikia israel inarudishia mtaanza kusema eti niwauwaji

  • @WadySaidi
    @WadySaidi 4 часа назад +1

    Tumeshasema Israeli inaenda kufa hata ikiwa vpi lazma ipotee iyo ni lazma

    • @MgangaMalugu
      @MgangaMalugu 3 часа назад

      Sawa nabii mahmudu

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 часа назад +1

      Hakuna taifa litaloweza kuipoteza Israel kwa nyakati hizi, walijalibu rumi empire, wakapotea wao, akajalibu Hitler wa Germany! Akapotea yeye, akajalibu mrusi,akaangukia pua, USSR ikafia mbali, amini nakwambia!! iran inakwenda kupasuka vipande viwili, hivi kalibuni, itakua km sudani.

  • @kingmsanya3524
    @kingmsanya3524 3 часа назад

    Hichi ndicho ambacho Israel alikuwa anakihitaji

  • @Niika870
    @Niika870 Час назад

    Makombora mengi utendaji mdogo 😂

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 3 часа назад

    wala iran sio lolote kwa israel hilo ni taifa teule alompa ibrahm,isaka,yakobo yusuph na mussa Asee hata wafanye nn hawataiweza

  • @mbetenijumanne9576
    @mbetenijumanne9576 4 часа назад

    Vita vya tatu vya dunia vipo karibu sasa mana Iran mpaka inajibu basi ujue Russia,China na Korea kaskazini wapo nyuma

  • @WadySaidi
    @WadySaidi 3 часа назад

    Muko dunia ya wapi kama kama mnasoma vita ya bibilia lakini kama hii vita kwa Sasa Israeli anaenda kunyongwa mbwaa hawa ngoja uone ndio useme utopolo wako huo

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 3 часа назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 2 часа назад

    Tena wajibu waone kama dunia nzima hatujaamka nao haya mazayuni laanatullah ucku na mchana😢😢😢

  • @NadjmaMurekatete
    @NadjmaMurekatete 4 часа назад +3

    Natamani kuskia na wenyewe pia mkubwa wao ama maraiya wao wafetu kama wanavyo fanya kwa wengine shenzi hao lana zangu zote zipo kwajili yao takataka😏

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 4 часа назад

      Umewahi kusikia IRON DOME, ARROW NA DAVID SLING? 😀

    • @AbdalallaBrahimam
      @AbdalallaBrahimam 4 часа назад

      Allah awalaani hao jamaaa wanaua sana watt wanashindwa kupigana na wanajeshi unajua watt

    • @MailesSezero-l4c
      @MailesSezero-l4c 4 часа назад

      Haya makombora yalivyorusha yaliangalia km kuna watoto, au ule msemo wa nyani haoni kundule ndo unaotumia

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 4 часа назад

      @@AbdalallaBrahimam wanajeshi wenyewe wanavaa hijabu na baibui na wanajilinda na watoto, wanategemea nini?

    • @MgangaMalugu
      @MgangaMalugu 4 часа назад

      ​@@AbdalallaBrahimamAllah Yuko zake Makkah anapungwa upepo hana muda afu kama Allah anauwezo Bax awasaidie Gaza Iran na Hezbollah yaan unafanya maxhambulio 400 huui hata mende si bora ungekaa kimy ty ukatulia

  • @nellymans-f1v
    @nellymans-f1v 2 часа назад

    Kumbe na marekani anahusika kuzuia makombora ya iran😮😮 ss mbona wanaharibu radha ya vita aah wanazngua bhan

  • @WillySonny-u1k
    @WillySonny-u1k Час назад

    Safi sana maana wazayuni wamekuwa ndo magaidi ,,nao waone uchungu wa kuua wenzao

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 часа назад

    Makombora yalitoka irani na yameziiliwa na Israel 😂

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed8241 3 часа назад +1

    MashaAllah

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er Час назад

    Yaani muizrail hawezi kitu mpaka asaidiwe na marekani.

  • @alisalum2023
    @alisalum2023 Час назад

    Hapo ndipo mrusi anaingia na hiii ndio vita yatatu yadunia inakuja

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM 4 часа назад +1

    mbwa hawa wazayuni wanasaudiwa sana kama wana nguvu wapambane wenyewe 😂 bila ya marekani na nato hawafiki hata mbezi 😂

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 4 часа назад

      Tulia sindano zinawaingia wew gaidi WA kijini

    • @MgangaMalugu
      @MgangaMalugu 3 часа назад +1

      Magaidi yanahasira balaa babu yako nasllah tayari anakula Bata na mabra 72 kuzimu Bado ww

  • @Yotekwayangagood5610
    @Yotekwayangagood5610 4 часа назад

    Hahaha kuipiga Israel nikaz bule 😂😂

  • @shebbylove3140
    @shebbylove3140 2 часа назад

    Apa sawa wangewacoma woote shenzi wa Israel

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 2 часа назад

    Nilitaka kushangaa, yan hanie ameuwawa ndani ya iran afu wakaushe 😂

  • @hamisisalum6116
    @hamisisalum6116 4 часа назад +1

    Netanyau kama hataachana na kiburi chake basi ameshawatia mashakani wayahudi wote. Leo nao wamekuwa watu wa kuishi mashimoni kama panya buku? Uteule umegeuka kuwa wa mashimoni? Asome alama za nyakati na abadilike vinginevyo yanakwenda kutokea makubwa zaidi maana haogopwi tena. Fikiria amemaliza kufanya vitisho vikubwa kule lebanon kwa kulipua pagers na kuua kiongozi wa Hizbullah lakini ndio kwanza kapigwa pale pale.

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 4 часа назад

      Marekan James wamesema wapo tayari kuishambulia Iran...Biden ameongea mda sio mrefu.

    • @MgangaMalugu
      @MgangaMalugu 4 часа назад

      Acha kujitekenya Mungu wa wayahudi ni mkuu kama unabixha tutaona kama Iran itaua hata mende

    • @hamisisalum6116
      @hamisisalum6116 3 часа назад

      ​@@MgangaMalugu
      Wakristo wengi wenu hamna akili aisee! Iran walilenga maeneo ya kijeshi pekee, wale siyo wendawazimu kama ninyi, wanajali raia wasio na hatia, jiongeze uwe na akili japo za kukuwezesha kula na kwenda chooni mwenyewe, mnatia kinyaa kwa maneno yenu hayo, sasa uteule gani kila siku ni mashaka matupu na kuishi mashimoni?

    • @nellymans-f1v
      @nellymans-f1v 2 часа назад

      ​@@rogath_silayotatizo hawawez kuishambulia iran moja kw moja maana kitanuka isee na kam unavy jua iran ni baba wa familia kazaa kwhy wale watt unafkilia watafny nn kam baba anashambuliwa.lazim nao watakiwasha kw yule anae mshambulia baba

  • @bladetvke
    @bladetvke 4 часа назад

    Wamalize kabisa

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 2 часа назад

    😂😂😂😂 sawa ngoja tuone , ila iran itajuta.

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 2 часа назад

    Ino Lazima Smaa ataichqmbua na raha mingi

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi979 2 часа назад

    America uje kuinglia hii vita

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 2 часа назад

    Pray to the world, against third world war