Part 2, JINSI ALIVOACHA KAZI YA MASHAMBANI MAREKANI NA KUFANYA KAZI YA KULEA WAZEE/JINSI ALIVOIPATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 46

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 месяца назад +1

    Host niruhusu nikukosoe ,umeandaa session nzuri ,sema unamuingilia sana mgeni kila akiongea unaongea juu yake ,so ni kama unamkata ,jipe muda wa kumsikiliza , Na hakika asemavyi ni good na kwa Washington naona yuko sehemu nzuri sana hapo ajitume tu kupiga kazi

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 5 месяцев назад +1

    Huku kwetu watu wanapenda maisha mazuri lakini hawapendi kulipa kodi. Wanapenda kwenda kuishi maisha mazuri Ughaibuni. Ahsante kwa kuwakumbusha kwamba maisha mazuri yanatokana na kufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi.

  • @user-eg9oh6qn8y
    @user-eg9oh6qn8y 3 месяца назад

    Ni yule yule kijana mwenzako from Zanzibar s
    Cheef

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein Месяц назад

    mtangazaji wa hovyo sana!
    Unauliza maswali halaf unayajibu we mwenyewe!!

  • @SaraphinaKweka-rp1lg
    @SaraphinaKweka-rp1lg Месяц назад

    Singapore wewe ni mtu wa maana sanaa 🙏

  • @jovovichmedia9424
    @jovovichmedia9424 6 месяцев назад

    Safi sana kijana Nina Imani baada ya siku kadhaa utakuwa mkubwa sana safi sana

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp 4 месяца назад

    Host umekera sana

    • @blacksingapore
      @blacksingapore  4 месяца назад

      Kama nakera usiwe unaangalia video zangu

  • @chifuMazanda51
    @chifuMazanda51 6 месяцев назад

    Mjomba unajuwa Sana kuimba @orodha🔥🔥🔥

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 5 месяцев назад

    Black Singapore upo vizuri sana

  • @wilsonmalisa1525
    @wilsonmalisa1525 6 месяцев назад

    Blacksingapore nakukubali sana mkuu ..channel yako ina content nzuri sana

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 месяца назад

    Kweli inawezekana ndugu kuna watu wanaanza biashara na mtaji ata chini ya $50 so inayegemeana na maono ya mtu na anataka nini na anawezaje kufocus

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 6 месяцев назад +1

    Wabongo bhana jamaa wako mbele ila bado lugha shida uelewa wa chini sanaaaaa

    • @hashimukasimu2716
      @hashimukasimu2716 6 месяцев назад

      Maokoto ndio muhimu

    • @benobuyoya8675
      @benobuyoya8675 5 месяцев назад

      Hata huyo atakuwa na diploma siyo degrii​@@hashimukasimu2716

    • @benobuyoya8675
      @benobuyoya8675 5 месяцев назад

      Jumo hakuna degree ni diploma tu

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 4 месяца назад

      Ukimaanisha LUGHA gani ,SI wanaongea kiswahili na unaelewa au ulitakaje ? Ishu ela LUGHA ni ziada tu ndugu Saka ela

  • @user-eg9oh6qn8y
    @user-eg9oh6qn8y 3 месяца назад

    Please 🙏 nishike mkono kaka kijana mwenzako

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 6 месяцев назад

    Big up brother 💪

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 6 месяцев назад

    Kazi yani faa iyo😊

  • @thechiefafrica798
    @thechiefafrica798 6 месяцев назад

    minyooshooooo🔥🔥🔥🔥🙌

  • @user-eg9oh6qn8y
    @user-eg9oh6qn8y 3 месяца назад

    Nimetuma sana maombi mbk leo kmy please ni help. Kak

  • @japhethromanus-zz9ht
    @japhethromanus-zz9ht 6 месяцев назад

    Boom

  • @user-fu5vv9qd3s
    @user-fu5vv9qd3s 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 5 месяцев назад

    Na vipi kama ukija kwa Green card rotary?

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 6 месяцев назад

    Dar bonge la interview da poa sana

  • @samuelmwakasungula178
    @samuelmwakasungula178 6 месяцев назад

    Vipi mwafirika anaweza kutoa hudumia wazee wazungu

  • @user-yr2eg4dc6n
    @user-yr2eg4dc6n 6 месяцев назад

    😁🥂

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 5 месяцев назад +1

    Sauti na maneno unayo yaingiza kila wakati unapo endelea kumhoji huyo unaye mfanyia interview,zinaharibu usikivu --- " punguza kuingilia ingilia interview zako "

    • @user-rl5qu4zj9b
      @user-rl5qu4zj9b 5 месяцев назад

      Umeongea point hawez kumwoji mtu kama wengine

    • @user-ki9wu6no3d
      @user-ki9wu6no3d 5 месяцев назад

      Yaani jamaa limbukeni kweli wa interview

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 5 месяцев назад

    pati 1 iko wapi sasa

  • @imanienock4250
    @imanienock4250 6 месяцев назад

    Care kwa kiswahili ninavojua mimi ni huduma

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 5 месяцев назад

    Wazee ni hazina nawapenda wazee😅

  • @abduyussuf8345
    @abduyussuf8345 6 месяцев назад

    Hao wazee huwa wanakata nywele? Kama we ni kinyozi naruhusiwa kuwakata nywele? Na utapewa pesa ya nyongeza

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 6 месяцев назад

      😂😂😂😂Anayekata nywele ni nurse caregiver hawaruhusiwi kunyoa nywele wala kukata kucha

  • @Mambathetraveller
    @Mambathetraveller 6 месяцев назад

    Hahahahahahaha namba 111111 😂😂😂

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 6 месяцев назад

    Black Singapore hizi video zinaleta hamasa sana yan ww tafutaga na watu walio kuja huko Kwa njia ya kawaida yan agent hiv atupitishe maana mim Nina agent 1 amenambia kupata kaz ya sponsa ni siku 405 so inabidi uvumilivu

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 6 месяцев назад

      Hakuna kitu kama icho wana waibia tu

    • @mkingageorge2641
      @mkingageorge2641 6 месяцев назад

      Ooooooh kumbee bhas kma Kuna agent mwenye fasta toa link yake tumsake maana pesa zipo Nia ipo shida agent msema kweli

  • @johnmussa4248
    @johnmussa4248 6 месяцев назад

    Jamaa chanel yake jina sijalipata kabisa. Mention RUclips channel yake

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 6 месяцев назад

    Usipokuwa Billionare US , au experts with PhD and 10 years experience kwenye Technology , computer or space engineering basi uwe anthelents out of that ni utumwa 100%

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 6 месяцев назад

      Wewe unafanya shughuli gani kiongozi naona unaponda tu

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 5 месяцев назад

      Jealous brooo people are making money by being janitor acha wivuuu brooo