Huku kwetu watu wanapenda maisha mazuri lakini hawapendi kulipa kodi. Wanapenda kwenda kuishi maisha mazuri Ughaibuni. Ahsante kwa kuwakumbusha kwamba maisha mazuri yanatokana na kufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi.
Host niruhusu nikukosoe ,umeandaa session nzuri ,sema unamuingilia sana mgeni kila akiongea unaongea juu yake ,so ni kama unamkata ,jipe muda wa kumsikiliza , Na hakika asemavyi ni good na kwa Washington naona yuko sehemu nzuri sana hapo ajitume tu kupiga kazi
Black Singapore hizi video zinaleta hamasa sana yan ww tafutaga na watu walio kuja huko Kwa njia ya kawaida yan agent hiv atupitishe maana mim Nina agent 1 amenambia kupata kaz ya sponsa ni siku 405 so inabidi uvumilivu
Usipokuwa Billionare US , au experts with PhD and 10 years experience kwenye Technology , computer or space engineering basi uwe anthelents out of that ni utumwa 100%
Huku kwetu watu wanapenda maisha mazuri lakini hawapendi kulipa kodi. Wanapenda kwenda kuishi maisha mazuri Ughaibuni. Ahsante kwa kuwakumbusha kwamba maisha mazuri yanatokana na kufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi.
Host niruhusu nikukosoe ,umeandaa session nzuri ,sema unamuingilia sana mgeni kila akiongea unaongea juu yake ,so ni kama unamkata ,jipe muda wa kumsikiliza , Na hakika asemavyi ni good na kwa Washington naona yuko sehemu nzuri sana hapo ajitume tu kupiga kazi
Host kazingua
mtangazaji wa hovyo sana!
Unauliza maswali halaf unayajibu we mwenyewe!!
Singapore wewe ni mtu wa maana sanaa 🙏
Ni yule yule kijana mwenzako from Zanzibar s
Cheef
Black Singapore upo vizuri sana
Safi sana kijana Nina Imani baada ya siku kadhaa utakuwa mkubwa sana safi sana
Blacksingapore nakukubali sana mkuu ..channel yako ina content nzuri sana
Big up brother 💪
Mjomba unajuwa Sana kuimba @orodha🔥🔥🔥
Host umekera sana
Kama nakera usiwe unaangalia video zangu
minyooshooooo🔥🔥🔥🔥🙌
Boom
❤❤❤❤❤❤
Kazi yani faa iyo😊
Please 🙏 nishike mkono kaka kijana mwenzako
Nimetuma sana maombi mbk leo kmy please ni help. Kak
Dar bonge la interview da poa sana
Wabongo bhana jamaa wako mbele ila bado lugha shida uelewa wa chini sanaaaaa
Maokoto ndio muhimu
Hata huyo atakuwa na diploma siyo degrii@@hashimukasimu2716
Jumo hakuna degree ni diploma tu
Ukimaanisha LUGHA gani ,SI wanaongea kiswahili na unaelewa au ulitakaje ? Ishu ela LUGHA ni ziada tu ndugu Saka ela
Na vipi kama ukija kwa Green card rotary?
😁🥂
Sauti na maneno unayo yaingiza kila wakati unapo endelea kumhoji huyo unaye mfanyia interview,zinaharibu usikivu --- " punguza kuingilia ingilia interview zako "
Umeongea point hawez kumwoji mtu kama wengine
Yaani jamaa limbukeni kweli wa interview
Kweli inawezekana ndugu kuna watu wanaanza biashara na mtaji ata chini ya $50 so inayegemeana na maono ya mtu na anataka nini na anawezaje kufocus
pati 1 iko wapi sasa
Mtangazaji daaah unaongea mnooo yani unauliza swali na unajibu mwenyewe
Wazee ni hazina nawapenda wazee😅
Care kwa kiswahili ninavojua mimi ni huduma
Vipi mwafirika anaweza kutoa hudumia wazee wazungu
Hahahahahahaha namba 111111 😂😂😂
Hao wazee huwa wanakata nywele? Kama we ni kinyozi naruhusiwa kuwakata nywele? Na utapewa pesa ya nyongeza
😂😂😂😂Anayekata nywele ni nurse caregiver hawaruhusiwi kunyoa nywele wala kukata kucha
Black Singapore hizi video zinaleta hamasa sana yan ww tafutaga na watu walio kuja huko Kwa njia ya kawaida yan agent hiv atupitishe maana mim Nina agent 1 amenambia kupata kaz ya sponsa ni siku 405 so inabidi uvumilivu
Hakuna kitu kama icho wana waibia tu
Ooooooh kumbee bhas kma Kuna agent mwenye fasta toa link yake tumsake maana pesa zipo Nia ipo shida agent msema kweli
Usipokuwa Billionare US , au experts with PhD and 10 years experience kwenye Technology , computer or space engineering basi uwe anthelents out of that ni utumwa 100%
Wewe unafanya shughuli gani kiongozi naona unaponda tu
Jealous brooo people are making money by being janitor acha wivuuu brooo
Jamaa chanel yake jina sijalipata kabisa. Mention RUclips channel yake
bongo in usa