DW Kiswahili | MAONI: Mafuriko na maafa yake Kenya na Tanzania | DW Kiswahili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2024
  • Kipindi cha #Maoni safari hii kinaangazia janga la #mafuriko ambalo limesababisha maafa makubwa nchini #Kenya, #Tanzania na kwingineko katika kanda ya #AfrikaMashariki. Hali ikoje kwas asa na je kipi kifanyike kama hatua ya kuepusha maafa kama hayo katika siku zijazo ? Nahodha kwenye Meza ya Mduara ni Saumu Mwasimba. #DW Kiswahili #DW Swahili #Maoni #Uchambuzi #Mafuriko

Комментарии •