Ni sawa daktari. Labda tu niongezee kidogo kuwa Rh+ inamuingia mama mwenye Rh- wakati wa kujifungua ambapo ni rahisi sana kwa damu ya mtoto kuchanganyikana na ya mama wakati huo. Ila damu ya mtoto haiwezi kugusana na ile ya mama pindi mtoto yuko tumboni. Zikishagusana sasa, mama anaanza kutengeneza antibodies dhidi ya Rh+, ambapo baadaye ukipatikana ujauzito wa pili, hizo atibodies huingia kwa mtoto (maana zenyewe ni ndogo sana na zinaweza kupita kwenye placenta) na hatimaye kumdhuru mtoto.
Safi, NAMI naongezea hapo, kama ikitokea kuharibika kwa mimba iliyotungwa ikiwa Ina Rh+ ama ikitokea stillbirth ya kichanga chenye Rh+ pia ktk mazingira hayo damu inaweza changanyika na ya mama ambaye ni Rh-. Aksante
Sasa nimeelewa. Nimechoma na nikaambiwa siwezi kuruhusiwa mbaka nichome. Haf hiyo sindano ni gharama sana, selekali tunaomba itusaidie kwa mtu anae shindia mlo 1 kwa siku hawezi choma iyo sindano.
Kiukweli hilisuala sio la kitoto kwa wanaopuuza niwaombe tenah na tenah muzingatie hili maana hutajua uchungu wa kumpoteza mtoto mpk utakapopotelewa siku moja ila tusifike huko..... na tufuate ushauri wa Daktar
@@emmysfitnessandforex9403 ,rezazefaktaa ikafie mbele huko kwani watoto ni deni,hiyo ni baraka nikipewa na Mola sawa nisipopewa sawa,ila niache nyashi ya manzi yangu kisa REZAZEFAKTAA😂😂😂,Kipara kazingua
Vizuri sana mtaalamu, hakika watu wengi tunaishi gizani, ni ushauri mzuri sana.
Asante sana doctor
Asante Doctor
Kama wanashindwa kupima ukimwi tu makundi ya Damu wataweza??
😂😂
Asante doctor.
Ni sawa daktari. Labda tu niongezee kidogo kuwa Rh+ inamuingia mama mwenye Rh- wakati wa kujifungua ambapo ni rahisi sana kwa damu ya mtoto kuchanganyikana na ya mama wakati huo. Ila damu ya mtoto haiwezi kugusana na ile ya mama pindi mtoto yuko tumboni. Zikishagusana sasa, mama anaanza kutengeneza antibodies dhidi ya Rh+, ambapo baadaye ukipatikana ujauzito wa pili, hizo atibodies huingia kwa mtoto (maana zenyewe ni ndogo sana na zinaweza kupita kwenye placenta) na hatimaye kumdhuru mtoto.
Safi, NAMI naongezea hapo, kama ikitokea kuharibika kwa mimba iliyotungwa ikiwa Ina Rh+ ama ikitokea stillbirth ya kichanga chenye Rh+ pia ktk mazingira hayo damu inaweza changanyika na ya mama ambaye ni Rh-. Aksante
Mim ni mhanga ,now ni mama mjamzito miezi saba,nifanye nin ili nisimuathiri mtoto
Anacho kizungumzia ni hiki hapa + / - !!.
Elimu naushauri mzuri sana kwasisi wanajamii,
Naendelea kuhabarika....!!
Daaah nimefrah n manen yko
Good job MilardAyo.....so informative
Namba iko wapi
naomba number yako doctr
Form four tulisoma katika biology.
Mmmhhheeeeewoooow...
Took me waay Back...that form 4 Biology
Form two ,
Only antiglomoliin can settle this query
Sasa nimeelewa. Nimechoma na nikaambiwa siwezi kuruhusiwa mbaka nichome. Haf hiyo sindano ni gharama sana, selekali tunaomba itusaidie kwa mtu anae shindia mlo 1 kwa siku hawezi choma iyo sindano.
😊🔥
Kiukweli hilisuala sio la kitoto kwa wanaopuuza niwaombe tenah na tenah muzingatie hili maana hutajua uchungu wa kumpoteza mtoto mpk utakapopotelewa siku moja ila tusifike huko..... na tufuate ushauri wa Daktar
Good news
Wewe mwenyewe Daktari hukupima kabla ya kuoa,Sema Kupenda usikie,Mapenzi ni upofu
Dkt.samahani yanapatikana wapi? Ili nikutafute
MABABU ZETU WALIKUWA WANAZAA SANAA. TENA BILA KUPIMA, WALA HOSIPITALI.
Dunia hii acha tu
Du leo ndo nimesikia haya kumbe ni ya kweli
makundi ya damu yanausiana na nini katika kutaka kuoa? labda ungewambia wapime afya ya uzazi ningekuelewa
Umesikiliza video hadi mwisho au umesoma title tu?
Hilo somo muhimu Sana, usiangalie kuoana tuu, her mtazaa viumbe gani upo?
Kuna nchi za wenzetu lazima wanapima, sababu wanajua kuna mambo mengituu yana sababisha matatizo
Si zoote,nimeishi Marekani na Canada si lazima
Labda vipimo viwe kabla ya kupendana, kwa sababu wengine ukisha mwambia Kuna kikwazo tayari umemwambia akajinyonge
Hii ni kweli kbsa
Utawexa hata Marekani hawafanyi kabla ya Ndoa
Ametoa tuu Kama ushauri ukitaka ufuate usipotaka acha dear
Rezazefaktaa ndo tuachane au tuoane?....we tuache Mr.Kipara
C umeambiwa Kuna cindano ya Ant-D
😂😂😂😂atuache kabisa
Atafanya tuchukiane huy🤣🤣🤣
@@emmysfitnessandforex9403 ,rezazefaktaa ikafie mbele huko kwani watoto ni deni,hiyo ni baraka nikipewa na Mola sawa nisipopewa sawa,ila niache nyashi ya manzi yangu kisa REZAZEFAKTAA😂😂😂,Kipara kazingua
Madaktari hawa wakuwaangalia sana.....Mara sijui mtapata kifafa mkila Kitimoto....Mara Rezazefaktaa sijui mbwinyinyi mbwinyonyo👎.....Madaktari wa michongo
ruclips.net/video/RD2dX9xow2c/видео.html
msanii anyekuja kwa kasi mwaka huu tazma hapa kuona balaa lake
ruclips.net/video/RD2dX9xow2c/видео.html
Baba ako alipima kipndi anamuoa mama ako Acha vitu vyakuiga matako wewe☹☹
Nenda shule kijana usitukane usilo lijua, zamani wazee walitumia Sana akili walikuwa wanachunguza Kama familia Haina maradhi ya kuridhi
Ni Dr ndiyo lakini hachambui vzr ..labda hicho kigugumizi
Wewe ndio una kichwa kizito mgumu kuelewa sikiliza tena sio kukurupuka. Doctor kaeleza vizuri sana tena sana tatizo ni wewe uh 🤐
Sungura we ndo mgumu wa kuelewa Dr yuko vzur sana
Jifuze sana.
Kisaikojia usimkoaoe mtu kihivyo bali mpe hopu
Tatizo maskio yako yatakuwa na nta. Dr kaeleza vizuri sana. Kaoshe masikio
Hata shuleni itakua hukumuelewa mwalimu wako kabisaa.