Matangazo ya Mchana 27.07.2018
HTML-код
- Опубликовано: 26 июл 2018
- Leo utasikia kutoka kwa John Juma na Oummilkheir shinikizo la Umoja wa Mataifa la kumtaka Rais Kabila wa DRC asiwanie muhula wa tatu, Museveni apata tiketi itakayomwezesha kutawala maisha Uganda na ahadi za mataifa wanachama wa BRICS toa mawazo yako kwa mada hizo na nyingine utakazozisikia.
Moyowangu hufarijika Sana ninapo isikia sauti ya mama ummulkheir
Napendaga sana sauti yako kk John Juma kila mara uongeapo
Wekeni angalau kipindi cha dakika 5 kinacho muonyesha huyo mwanamama omnhetz akitangaza
Nampenda sana huyu mama, sauti yake 👌👌
Kbsa
Mwana mama ninae mpendaga xx ndo huyu.
Sauti.yake.ya.vituo.ni.kana.kwa.niko.naye.karibu.kanikumbusha.marehemu.Omar.Juma