Buriani Dahman

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Safari ya mwisho ya mwenzetu Mohamed Dahman baada ya kuswaliwa jana Jumanne mjini Cologne. Atazikwa kesho Alhamisi, Visiwani Zanzibar.

Комментарии • 8

  • @francischanga1625
    @francischanga1625 5 лет назад

    Poleni sana DW kwa kumpoteza mwenzenu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema.

  • @mzulwa2006
    @mzulwa2006 5 лет назад

    Allah ampe mapumziko yaliyo mema kipenzi chetu wana DW .

  • @langatemmanuel7359
    @langatemmanuel7359 3 года назад

    Nimefurahi kumwona Umulkheir na Othman miraji..used to think ni osman miraji....i love DW but the radios nowadays have got a very weak shortwave...ningependa kuwaomba mtumie mawimbi ya FM

  • @zulfaibrahim9599
    @zulfaibrahim9599 5 лет назад

    Allah ampe kauli thati

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 5 лет назад

    oummilkher nakupeni pole wote na watangazi wa dw

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 5 лет назад

    Kwa huzuni kabisa tunatoa pole kabisa kwa wafanyakazi wa dw,ndugu jamaa na marafiki,tunawaomba muwe wavumilivu ktk kipindi hiki kigumu, Allah amlaze mahala pema peponi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 лет назад

    Afadhali nimepata kumuona ummul kheir na mohd abdurrahman tulikua tunawaskiaga tu sauti zao kwa kweli

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 лет назад

    Kweli alikuwa na sauti ya dhahabu, tutakukumbuka daima!!!