Nimefurahi kumwona Umulkheir na Othman miraji..used to think ni osman miraji....i love DW but the radios nowadays have got a very weak shortwave...ningependa kuwaomba mtumie mawimbi ya FM
Kwa huzuni kabisa tunatoa pole kabisa kwa wafanyakazi wa dw,ndugu jamaa na marafiki,tunawaomba muwe wavumilivu ktk kipindi hiki kigumu, Allah amlaze mahala pema peponi
Poleni sana DW kwa kumpoteza mwenzenu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema.
Allah ampe mapumziko yaliyo mema kipenzi chetu wana DW .
Nimefurahi kumwona Umulkheir na Othman miraji..used to think ni osman miraji....i love DW but the radios nowadays have got a very weak shortwave...ningependa kuwaomba mtumie mawimbi ya FM
Allah ampe kauli thati
oummilkher nakupeni pole wote na watangazi wa dw
Kwa huzuni kabisa tunatoa pole kabisa kwa wafanyakazi wa dw,ndugu jamaa na marafiki,tunawaomba muwe wavumilivu ktk kipindi hiki kigumu, Allah amlaze mahala pema peponi
Afadhali nimepata kumuona ummul kheir na mohd abdurrahman tulikua tunawaskiaga tu sauti zao kwa kweli
Kweli alikuwa na sauti ya dhahabu, tutakukumbuka daima!!!