Nilikua nasikiliza sanaa kwenye radios habari za joel nanauka but nmejoin RUclips for sure nmejfunza meng na pia bado naendelea kujifunza I like the way you deliver thE contents!
MUNGU azidi kukubariki kwa elimu nzuri unayotupatia kwakweli kuna mambo mengi nimeyafahamu kupitia mafundisho yako na nimeweza kutimiza baadhi ya malengo yangu kaka joel ubarikiwe sana sana
Asanteh sana kwa somo zuri kaka Joel ,,, me hua nasoma tu kitabu asubuhi bila mazoezi, asanteh kunifungua Niko tayari kutembea na wewe katika kutumia 20/20/20 FORMULA
Mungu akubariki kaka naamini nimejifunza kitu ila nilikuwa nauliza je na kwetu sisi wanafunzi tufanyeje kwasababu hilo lisaa limoja tungetumia kujisomea kama morning prepo
Ur so blessed brother thanks sana kwa wazazi waliokuleta na kukusomesha kutusaidia sisi tulioupande mwingine Lakin kujua tofauti kati ya hekima na akili na pia naomba namba yako
Sasa iyi ni 1h, kama wale watumishi wanatumikia compony zina lazimisha kufika kazini mapema kama 3 am, wafanye aje? wa amuke 2am wafanye mazowezi na izo harakati za dakika 40 alafu waende kazini?
Kupitia wewe kuna mamb yamekua kwel kwenye maisha yangu
Big up my bro🤗.
Hawajakosea kukuweka katika list ya vijana Wenye ushawishi zaidi, "naanza kufanya kanuni hii kama ulivyonifundisha" Asante kwa somo
Nashukuru Abel,tufanye kazi
Mungu ni mwema jaman huyu joel ni mtu muhim sana dunian .tumshukuru mungu kutuleteya mtu km huyu
Mungu aendelee kukutunza baba
Joel kila siku haiwez pita bila kusikiliza mafundisho yako kiukweli nimebarikiwa sana nataka nifikie malengo yangu
Wana michezo tuna furaha sana. Ila tumtangulize MUNGU BABA mwenye Chemical zake. By Heri Halisi
Niko tayari kabisa wanijenga sana ubarikiwe
Nilikua nasikiliza sanaa kwenye radios habari za joel nanauka but nmejoin RUclips for sure nmejfunza meng na pia bado naendelea kujifunza I like the way you deliver thE contents!
Ahsante sana kaka Joel Mungu akubariki 🙏🙏🙏
Mungu aendelee kukuongoza, kukulinda na kukubariki sana.
Habari za saa hizi Kaka Joel .....hongera sana kuwa miongoni mwa vijana wenye ushawishi mkubwa Africa tuendelee tutafika mpaka dunia nzima
Nashukuru sana,naamini huu Ni mwanzo
@@joelnanauka kabisa mungu akulinde naamini kupitiya ushauri wako tutafikiya malengo Yetu, naishi Congo Drc .
Hongera kaka joer kwa kua kijana mwenye ushawishi, kwa upande wang naaamini utafika mbali Zaidi
Kiujumla nimemenda mafundisho yote.na hiyo kemikali ya kuongeza furaha nimeipenda pia
Nimependa sana hiyo triangle ya 20/20/20. Asnt na hongera sana coach Joel🙌🏾
Tangu nianze kukusikiliza nimebadilika asanteee saaanaa
Shukrani Sana brother Joel🙏🙏
Najifunza mengi sana
Mungu akubaliki san
yani kaka toka nimaanza kufatilia vdeo zako nimekua ni mtu wa furaha xana mungu akujaalie maisha marefu
Asante sana kaka joel nanauka kwa kuendelea kutuelimisha kila siku itwayo leo mwenyezi mungu atubariki sana
Niko tayari
Barikiwa mtu wa Mungu
Asant Kaka Mimi nipo tayal I will never stop
Tuko pa1 kaka nashukuru xana kwa kuzidi nifungua kichwa changu
Nimekubali bro asante kwa elimu yako UBARIKIWE
Kijana mwenye ushawishi 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki Sana ,maana nimejifunza vitu vingi kutoka kwako, somo lako la kitimiza malengo, imenisaidia
yes nipo tayari
Asante Sanaa ubarikiwe
MUNGU azidi kukubariki kwa elimu nzuri unayotupatia kwakweli kuna mambo mengi nimeyafahamu kupitia mafundisho yako na nimeweza kutimiza baadhi ya malengo yangu kaka joel ubarikiwe sana sana
Asant sana ubarikiwe
kaka mungu akubariki sana kaka ,asant kwa maarifa
Asante kaka nimejiza kitu
Asantee kwa kutufungua akili brother Joel
Big up kaka Mungu akubariki sana
Going to the top
Nashukuru sana coacher nitafanya ivo natumaini nitafanikiwa.
Asanteh sana kwa somo zuri kaka Joel ,,, me hua nasoma tu kitabu asubuhi bila mazoezi, asanteh kunifungua
Niko tayari kutembea na wewe katika kutumia 20/20/20 FORMULA
Thank you Mr. Joel
Huko sahihi kabisa nakubaliana na wewe
Safi sana kaka naanzakesho
Hii nzuri sana Kaka,+ile ya mambo ambayo unatakiwa kufanya kabla ya saa mbili asbuhi.Thanks so much Brother tuko pamoja kuanzia leo
Asante Nanauka
Mm nko tiyari brother
Be Blessed Bro
Niko tayari kaka
Thanks Joel
Asante nitazingatia angarau siku 21 kuanzia leo
Asante sana
Gos bless u
Santi sana nitaanza leo
Shukran sana
Yaani naamini upo kwa ajili yangu japo ninabanwa na mambo mengi ya kikazi sometimes nashindwa kuwasiliana na wewe Mkuu
Nakukubali sana Mentor
See You at the Top👍
See You At The Top
Thanks More brother very nice see you at the top
Nko tiyar Mr
Natamani kuwa bora kila siku
Mungu akubariki kaka naamini nimejifunza kitu ila nilikuwa nauliza je na kwetu sisi wanafunzi tufanyeje kwasababu hilo lisaa limoja tungetumia kujisomea kama morning prepo
Ni kweli mkuu nimekuelewa mungu akupe nguvu
Asante brother
Nipo tayari kuanza💪
See u at the top
Bro mambo vipi nimeona tu hapa nawezaje kupata contract ya huyo Joel nanauka
Tuko wote asanteni
congrats bro keep it up
Video imetulia alafu haicoshi hongela kwa hilo kaka mimi binafsi Nakupenda 🇧🇮
Ahsante Sana.. tuendelee kujifunzs
Shukran sana kwa somo na niko tayari kuanza formula hii
Kila la kheriii
Kiukweli Mimi Na Shukuru Sana
God bless u my mentor
Ameen 🙏
Bro Joel ikitu ya mambo ahsi ( __ ) kweli umegusa pazuri
Niko tayari mkuu kufanya
Shukrani sana Joel Nanauka,,,, hakika sijutii kukufaham
Ahsante sanaa
Shukurani kaka Joel!!!!! Kwa maarifa
Pamoja Sana
Safi Sana
Asante
Joel brother nakusuru funzo unanipa
Hapa umenisaidia kwakweli nipo tayari kufanya
Nakubari
Thanks
Niko pamoja nawe naanza leoleo
Nakukubali Sana brother kwa kutupa elimu hasa ssi vijana
Karibu Sana tuendelee kujifunza
Samahan brother naitwa witness nafatilia sana masomo yako na itaji vitabu nya masomoyako asa mafunzo ya kufanikiwa kibiashala no 0765352872
🙏
Kabisa lazima nifanye ivo asante sana kaka joel
Nipo teyar
Asante sana Natamani nijue unafanya semina lini? Ubarikiwe kutuelimisha
Bleeding
Mkuu sauti yako ikochini
Nina swali
Nipo tayari ndo na naanza kuanzia kesho
Suala la mtandao linanikosesa vng sana mala nyng vdeo hazifunguki
natamani kuzungumza nawe
Uko vizuri sana broo , ningependa nipate mobile namba yako lakini nashindwa kuisoma vizuri kwenye clip yako.
Nipo na changamoto naanza wiki then mambo yanaingiliana
Kaka nipo tayar hata sasa mbona Habari njema hiz
Ur so blessed brother thanks sana kwa wazazi waliokuleta na kukusomesha kutusaidia sisi tulioupande mwingine
Lakin kujua tofauti kati ya hekima na akili na pia naomba namba yako
For me hyo formula ikopowa Sana maana Kila 20@3 ina effect kubwa uki apply kawaida tuu in real sense inajenga#Capacity building .@Stijoh_Coconut Oil.
Ni kweli kabisaa
@@joelnanauka naomba Email yako Kaka unisaidie jambo mentality sipo sawa naomba msada was jambo fulani
@@joelnanauka stephanoedimund6542@gmail.com
Kaka kwani Mda was kusoma vizuri ni Mda gani
Sasa iyi ni 1h, kama wale watumishi wanatumikia compony zina lazimisha kufika kazini mapema kama 3 am, wafanye aje? wa amuke 2am wafanye mazowezi na izo harakati za dakika 40 alafu waende kazini?
Kwan huk kazin unalala c utarud
Angalia namna bora itakayokufaa kulingana na ratiba yako.
Nlichogundua kunamambo huwayanatokea tuanayaona autnayafanyakua makubwa kumbesio nkwasababu hatujaininga akili au kuiwekasawa panapo kucha
Mungu akujalie uhishisalama
Wakati unaongea ukiongea kitu Cha kingereza kigumu kiwe kinatokea kwenye skrini ili kisomwe asantee
Tutajitahidi kufanya hivyo
P1j San kaka nakukubali San je nahitaji kitabu Niko mbali +255752291385
Mungu akubaliki san
Asante