Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • .
    #joelnanauka #mafanikio #malengo #focus #newsupdate #inspiration
    #motivation #swahili

Комментарии • 98

  • @JastinSichilamba
    @JastinSichilamba 4 месяца назад +5

    🎉🎉🎉🎉 nakubali sana joel

  • @judithsilayo9776
    @judithsilayo9776 3 месяца назад +5

    Nikwli kaka watu wengi wako hivyo Mimi nimeteseka sana ,Mungu akubari kwa elimu unayotupa.

  • @eselinabibuka9610
    @eselinabibuka9610 5 месяцев назад +4

    I appreciate your presentation.
    God bless you abundantly!

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 2 месяца назад

    Asante sana kaka joel,umenisaidia sana nitakurudia hapa Mungu akinipa uzima baada ya mwaka mmoja

  • @ISDORICHAVALA
    @ISDORICHAVALA 4 месяца назад +1

    Ahsanteh kaka joel kwa mafunzo unayoendelea kunipa naendelea kuyatumia maarifa yako 🎉

  • @anselemimchulo4084
    @anselemimchulo4084 2 месяца назад

    Hakika nafarijika sana na maneno kuntu unayoyazungumza kaka Mungu akubarik na siku moja tutaonana nitoa ushuhuda wa namna nilivyotumia mafundisho yako kupiga hatua

  • @EmmanuelAwaki
    @EmmanuelAwaki 6 дней назад

    Thanks brother nakufuatilia sanaa since last month lakini nahitaji ushauri zaidi inbox!

  • @GeorgeMakanza
    @GeorgeMakanza 4 месяца назад

    Mtumishi sjawah kutoka moyon kumwelewa mtumishi wa Mungu kama wewe ukwel wewe ni mwalimu nimekuskiliza, ninakuelewa sana Mungu akubariki nipo mwanza

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 2 месяца назад

    Amen Utukufu kwako YESU

  • @SylvesterJoel-h3y
    @SylvesterJoel-h3y 29 дней назад

    Consistency is a key💱

  • @FikiriPhilipo
    @FikiriPhilipo 5 месяцев назад

    Asantesana mwalimu umenibaliki
    Kwasomo zuri sana God bless you

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 6 месяцев назад

    I'm proud of your lectures 😊

  • @christinechambuni9060
    @christinechambuni9060 5 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mtumishi Amen and Amen

  • @PitalisAmuko
    @PitalisAmuko 5 месяцев назад

    Thanks alot brother...
    God bless you...!

  • @BRIGHTONMAKURU-my3gh
    @BRIGHTONMAKURU-my3gh 26 дней назад

    Brother unaongea fact kabisa

  • @SafariBaya-q3b
    @SafariBaya-q3b 8 дней назад

    Kwan unajua ninacho pitia

  • @hafidhhamad5732
    @hafidhhamad5732 4 месяца назад

    Thank you very much for this

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im 6 месяцев назад +1

    Good job!

  • @YakutiUstadhi
    @YakutiUstadhi 6 месяцев назад

    MaashaAllah nashukuru sana

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 5 месяцев назад +1

    Ur such a genius brother...

  • @stanleytoo2028
    @stanleytoo2028 6 месяцев назад

    God bless you joel Nanauka

  • @PrinceAdinannyclassic
    @PrinceAdinannyclassic 6 месяцев назад

    Really said brother

  • @EMANUELMWAKITINYA-vr4ge
    @EMANUELMWAKITINYA-vr4ge 3 месяца назад

    Hakika kweli kabisa Coach life

  • @FANTASYEAGLE-n4n
    @FANTASYEAGLE-n4n Месяц назад +3

    Asante kaka Joe

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli Месяц назад

    Uko sawa kabisa

  • @lilianmjema3205
    @lilianmjema3205 5 месяцев назад

    Asante sana umenisaidia

  • @masterkey536
    @masterkey536 Месяц назад

    Uhakika 💯💯

  • @AwidiMwafongo
    @AwidiMwafongo 4 месяца назад

    mungu akubariki sana

  • @LengishonMepukori
    @LengishonMepukori 5 месяцев назад

    Big up mwalimu una content me nafurahi sana kukusikiliza

  • @HenryAlinda
    @HenryAlinda 5 месяцев назад

    Mimi niko Congo na furaia mafundisho sana yesu aku bariki

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 6 месяцев назад

    Huwezi kuchagua soda😂. Big up brother. We are together Sir

  • @TumainiTomas
    @TumainiTomas 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana kaka

  • @julioclauditayaye9368
    @julioclauditayaye9368 4 месяца назад

    Barikiwa sana

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 5 месяцев назад

    Mwalimi kwakweli hapo kwasoda yani pameninghusa sana.ilanimelipendha sana funzo hili limeninghusa sana

  • @MasungaGahima-es5ei
    @MasungaGahima-es5ei 2 месяца назад

    Nimevuna kitu hapa

  • @MbarakaMasharubu
    @MbarakaMasharubu 6 месяцев назад

    Amin

  • @DonaldMagege
    @DonaldMagege 11 дней назад

    Ninapataje.vitabu.nipo.mwanza

  • @AthanasioDungumaro-rj4bc
    @AthanasioDungumaro-rj4bc 5 месяцев назад

    Very nice story.

  • @EdmundAssenga
    @EdmundAssenga 4 месяца назад

    Asante kaka

  • @sammwakalinga2705
    @sammwakalinga2705 5 месяцев назад +1

    Kweli kabisa wengi wetu tunashindwa kufanya maamuzi🎉🎉

  • @JamesNgendwa
    @JamesNgendwa 5 месяцев назад

    Asante sana🙏

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 6 месяцев назад

    Kabisa

  • @MaryEmanuel-j7c
    @MaryEmanuel-j7c 5 месяцев назад

    Uko sahh

  • @daynessmarcel958
    @daynessmarcel958 5 месяцев назад

    👏👏👏

  • @anatoryjames4128
    @anatoryjames4128 3 месяца назад

    Exactly

  • @DuraMuhenga
    @DuraMuhenga 4 месяца назад

    Jaman me nan biashar ya dagaa nyama npatkan dar es salaam mbagala nauz jumla nfnya derivary kam unawtka nifhamishe tfdhal

  • @bettymvanga3273
    @bettymvanga3273 5 месяцев назад

    Truly

  • @KukuVillage
    @KukuVillage 5 месяцев назад

    Hapo kwenye cheat day ya diet. Dah! Ni kweli nilikwishaaaa

  • @bonnyjessy9657
    @bonnyjessy9657 6 месяцев назад +1

    😢😢 so touching 😔😔😔

  • @HappynessKinawa-ol4qr
    @HappynessKinawa-ol4qr 5 месяцев назад

  • @ButingaMasunga
    @ButingaMasunga 5 месяцев назад

    Kaka niyo kweli kabisa

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis8495 5 месяцев назад

    👊

  • @suleimanhakimu2543
    @suleimanhakimu2543 5 месяцев назад

    Umeniongezea kitu.

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 5 месяцев назад

    Kweli

  • @AfredaLupogo
    @AfredaLupogo 6 месяцев назад

    Axante mungu akulinde

  • @BapileMeshack
    @BapileMeshack 3 месяца назад

    Samahani sir vp Kwa yule anayefanya kazi ili alipe fees I mean ni mwanafunzi.

  • @MapesamsodokiJr
    @MapesamsodokiJr 4 месяца назад

    Nimejifunza kitu

  • @daudymbukwa5495
    @daudymbukwa5495 6 месяцев назад

    Naona mwanga kak tokea nimeanza kuku skia na yote niliyo yaskia kwak k
    Yamesha nitoa hatua moja naeleke
    A hatua nyingine

  • @mojafaster96
    @mojafaster96 6 месяцев назад

    Hapo ni wafanyakazi wanao jiendeleza kwa ajili ya kazi na baada ya hapo tukistafu mambo yanakuwa mengi

  • @harunaselupanga2146
    @harunaselupanga2146 5 месяцев назад

    nakushukuru sanaa

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 5 месяцев назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @yusuphsteven260
    @yusuphsteven260 3 месяца назад +1

    Samahan kaka naomba msaada wako Mimi ni meneja wa bar nimeanza kazi hii nikiwa Sina uzoefu nayo lakin nikajitaidi kwasababu nilikua nashida Sana nakaz pia nilikua nataman Sana kufikia Zaid yamalengo ya ofisi nikakabiziwa mzigo wa laki tano ta 2300, baada yamiez 4 nikaanza kushuka wateja weng vinywaj vinadoka sana ila pesa haionekani nauz at cret 7 ila mda wakufunga ofis nafanya esabu nakuta pesa iliopo niyakret 2 tu nikaogopa kutoa taalifa nikaona kwanza niilipe hio pesa iliopotea ili nifatilie nijue nn tatzo baada yahapo nikajua niushilikina ambao boss wangu anaugomvi namt yule Mt ndio anafanya yote hayo yakupotea pesa huyo Bibi aliniita akaniambia niache kufatilia vitu vusivyonihusu nikamshilikisha boss ili afanye kitu akasema atafanya ila hakufanya nimeshuka kimauzo nakubaki mzigo wa laki na nusu tu boss kasema nilipe hio pesa iliopotea mwezi huu kagoma kunipa mshahara nimeongea nae nakumuelewesha ila kagoma japo kasema atalifanyia kaz lakupotea pesa ila pesa iliopotea lazma niilipe Mimi yote nimeshawaza Sana nimeshindwa nifanye Nini maan sihusiki nayeye anajua hiko kitu

    • @leahilom-o7206
      @leahilom-o7206 2 месяца назад +1

      Nakushauri mlipe , acha kazi, tafuta nyingine

    • @IsackTarimo
      @IsackTarimo Месяц назад

      Acha Kaz ht kabla haujapata Kaz tafuta mtaji wa trey 2 za mayai chemshi tembez utakuja nishukuru,

  • @juniorkamwela6434
    @juniorkamwela6434 Месяц назад +3

    Long life sir I appreciate you

  • @lilianmjema3205
    @lilianmjema3205 5 месяцев назад

    Kweli

  • @SylvesterJoel-h3y
    @SylvesterJoel-h3y 29 дней назад +2

    Shindana na record yako ya jana,Basi🤝😁✌

  • @DianaMwacha
    @DianaMwacha 6 месяцев назад +7

    Asante kaka umenifanya nijitambue mungu akubariki sana

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 5 месяцев назад +5

    Mwalimu wa kweli kabisa.Upo duniani kwaajili yetu.Napenda sana mafundisho yako kwani ubongo wako ni kubwa mnooo.The happiest person is that who do things for others.Ubarikiwe sana Joe👍🏻👍🏻👍🏻.

  • @edithavalelian256
    @edithavalelian256 Месяц назад +2

    Barikiwa sana kaka 🎉

  • @mwambasaguda9655
    @mwambasaguda9655 6 месяцев назад +6

    Ubarikiwe Kaka ujumbe mzurii umenifungua

  • @GORETHKALEMERA
    @GORETHKALEMERA Месяц назад +1

    Huko sawa

  • @bonnyjessy9657
    @bonnyjessy9657 6 месяцев назад +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nelsondioniz4212
    @nelsondioniz4212 9 дней назад

    Understand

  • @SylvesterJoel-h3y
    @SylvesterJoel-h3y 29 дней назад

    👍✌

  • @naomisiha4919
    @naomisiha4919 6 месяцев назад

    Nashukuru umeniponya

  • @BRIGHTONMAKURU-my3gh
    @BRIGHTONMAKURU-my3gh 26 дней назад

    Kweli kabisa ujakoseaaa hapoo

  • @godibless3700
    @godibless3700 5 месяцев назад

    Bro naomba uniunge kweny magroup yako

  • @ApostleMwl.IsayaIaiser
    @ApostleMwl.IsayaIaiser 6 месяцев назад

    Ukweli mtupuu 😢😢

  • @victormusoga4136
    @victormusoga4136 4 месяца назад

    Unapendeza kwa mafundisho

  • @TinaKisomba-jt6yr
    @TinaKisomba-jt6yr 6 месяцев назад

    Amen

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 6 месяцев назад

    Kweli shukran

  • @RaikoWkt
    @RaikoWkt 4 месяца назад

    Nakukubal sana mzee mungu ata kulipa

  • @DanielYumwema
    @DanielYumwema Месяц назад

    Ubalikiwe sana kaka

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 6 месяцев назад

    Ok

  • @realemma2312
    @realemma2312 6 месяцев назад

    🙏🙏

  • @fadhilimwamgiga2614
    @fadhilimwamgiga2614 5 месяцев назад

    You play a great role to me

  • @salhakyande3905
    @salhakyande3905 4 месяца назад

    Nice having u!

  • @user-ih4mp1ds8k
    @user-ih4mp1ds8k 3 месяца назад

    Sawasawa

  • @AugustineNyambega
    @AugustineNyambega 5 месяцев назад

    Good advice.

  • @BalekeleBanga
    @BalekeleBanga 5 месяцев назад

    fact

  • @evamarua4998
    @evamarua4998 5 месяцев назад

    Mume wangu amekua akinirudisha nyuma kila wakatia unafanyaje na ndio mume

    • @mwajumayunus2041
      @mwajumayunus2041 5 месяцев назад

      Fanya maamuz magum utanishukuru❤

    • @elisannko5892
      @elisannko5892 3 месяца назад

      Ongea naye japo kabla ya maongezi Fanya naye sala then atakuelewa tu

  • @leonidaskalumuna
    @leonidaskalumuna 5 месяцев назад

    Joel,Joel leo umenisema nakushkr sana Mungu akulinde uendelee kunisema ahsante