SIX PACK BILA HELA WEWE NI ROBOT UNADHANI TUTAKATA KATA YAWE SUPU /KIJANA FANYA KAZ" PASTOR MGOGO
HTML-код
- Опубликовано: 24 фев 2022
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
RUclips : Pastor Daniel Mgogo ruclips.net/channel/UCeNr...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Hadi msee ametoa sadaka.
Thanks for this Pastor.
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 😂😂😂
Ameeen🙏🙏🙏🙏ukweli kabisaaa pastor, barikiwa sana. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
#🇰🇪🇰🇪🇰🇪 the message is clear en loud.wafanya kazi
Kweli kabisa mchungaji🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ubarikiwe saana Mchungaji ila tunataka part2 maana mahubiri haya matamu kwelikweli
I will Never see good paster like you God bless you my lovely paster
Karibu Mombasa kenye 🇰🇪
Shusha NYUNDO Baba. Unasema ukweli kabisa Mtumishi wa Mungu.
Mm n muisilamu lkn mchungaji nimekuelewa. Ahsante sana kwa ujumbe mzuri.
Ata mimi pia du ila baadhi ya wanawake jamani wamezid mwisho wa siku ooh siku hizi hakuna waoaji atakua vipi wakati unajirahishisha kwake Ata kama hujamuomba ela ivi kweli mwanaume akutongoze Leo kesho anakuita geto au gest unaenda alafu utegemeeakuoe mhh iyo itakua miaujiza
Amen nimebarikiwa sana mchungaji
Nimecheka yangu yote. Mungu akubariki.
Baba hayo amesema ni ukweli mtupu,barikiwa sana
Pastor Daniel Mgogo wewe umenubariki sana.
Hapo kwenye mfugo wa pili nimekuelewa sana
HONGERA SANA BABA MCHUNGAJI......#UBARIKIWE SAAANA
Mungu aendelee kuku linda mtumishi
Mchungaji ubarikiwe jinsi unavyo hubiri vizuri nimepata kiu Kari ya kuoka.yaan sichoki kukusiliza.amina.
Amen amen 🙏🙏 barikiwa Sana mchangaji 🙏🙏😂😂😂😂😂
Yaaani mchungaji Daniel mungu aendelee kukupa uzima wa milele ili uwe unayatumbua hayo majipu
Mwenyezi Mungu akubariki paster mgogo
Point sana pastor
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Asante sana mchungaji ujumbe umefika namungu akuzidishie maono mengine kalibu mwanza!
Ukweli kabisaaa mtu wa Mungu
Mirrium kiamba kwema.pande zip
I love this man of God🙌🏾😃
Thanks pastor be blessed
Asante sana baba kwa somo nzuri
😂😂😂from Kenya,am enjoying and being blessed pastor Daniel...
Barikiwa Sana baba. Inakolea hii dozi
JESUS IS LORD ETIII BODA UENDE UKIENDANGA😂😂😂😁😁😁LADIES HOPE VOLUME IKO SAWA🔥🔥🔥NENDA PEKEE YAKO.AAAAHHH I DEPEND ON MY OWN I HAVE NEVER DEPEND ANY MAN😍
Kwl kabisa baba
Hii ndio inaitwa kugonga ndipo!!🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Ndio!!!!
Barikiwa mchungaji.
Wadada wa kibongo wanatisha uwiiii Wakaka kazi mnayooo!!!!
Hatari sana
True pastor we love you
Uko sawa pastor 👏 👏
Barikiwa mtumishi wa Bwana🙏🙏🙏
Mbavu zangu jmn,,,, barikiwa sana
😂😂😂😂😂😂😂😂jamani mchingaji umenimaliza😂😂😂😂waah...wacha niseme barikiwa sana.😂😂😂🙏
Mungu akubariki
pastor ubarikiwe
Tuned from Lebanon#kenya
Postor mungu akuweke kila nikisikia mahubiri yako nabarikiwa tu
Amina baba
Baba yangu unanyoosha Sana unachana ukweli mtupu
Ameee🙏🙏🙋ninakupenda ww pst mungu anajua😸😸😸😸
Uko sahihi pastor
God bless you 🙏 🙏
Pastor ako very comical sense of humor iko on point
uchaguzi wa gavana 🤗🤗🙊🙊🙊❤❤👌👏👏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tenaaaa 😂😂😂😂😂 ongez volume baba😂😂😂😂🔥🔥🔥
God bless you
Nimeskia leo
Ukweli pastor barikiwa🤣🙏🏾
nime ipenda sana
Amen pst 🙏🙏🙏🙏
Si bila yesu, binadumu yeyote bila yesu ni bure, yesu anarudi tuandaeni njia anakuja, tutubu dhambi zetu naye atatusaidia katika safari ya uokovu
Barikiwa sana my favourite pastor
Wanaume eeeeeh😊
Hiyo ni kweli
Ukweli kabisa Mtumishi
😂😂😂🤣😅barikiwa sana
Sio kwa mademu wa kibongo
Maneno ya busara kwa mwenye busara mtumishi.barikiwa sana
😁😁😁😁😁😁😁amen mgogo unajua kusema ukweli
Nimexheka sana
Maisha marefu pastor
Nimecheka kwa sauti.
Mbavu zangu unavunja papa😂😂😂😂😂
Ni kweli
Amen
Yes
Wambie baba. Nikweri
Yes sir
🤔🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂🤭✅🙇🙇ni ukweli kabisa Glory to God 🙏
Amen,waambie mtumishi Wa Mungu
Waambie
True
Kijiji kizima kikao cha harusi
Hahahaaaa #Robyn_Kilasi Wewe ni roboti kakaaaangu
❤❤
Acha kuzingua mkuu, body fitness Ni kazi siku izi ila lazima uchukue muda, Kama inapendeza inapendeza..
Si kwanza uchambue wachungaji wenzako matapeli
Kwani wewe Una six pack na hauna 💰💰Hera..?😜😜😜pili pili imeingia .
@@feliciagyamfi5385 oooh! So we nikati ya wenye mnao tavuna pesa za wanaume🤣🤣🤣 raundi hii ampati ng'o.
Endeleeni kutafta na umwambie akubariki na mmoja, mahibiri yaajabu tu
Eheehee Habari imetufikia uku nairobi 😂
🥰🥰😇😇😇😇🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲👋👋👌👌👌👌❤❤❤❤😂😂😂
good
Happy women day
Haya ndio maubiri ya dunia ya leo tunayoyataka...ni mafundisho mazuri kwa pande zote....mungu akupe maisha marefu baba mtumishi Daniel
Ila video ni fupi
Video ziwe zaidi ya nusu saa
Sababu maubiri yako hayachoshi kabisa
Kabisa
Naam Aliongea uhalisia wa maisha na mtu yeyote anaweza sikiliza bila kujaji dini mimi ni muisilam na nimemuelewa sana tu
@@swaumdodoma7591 asante kwa kumuelewa
Ubarikiwe sana
@@vincentmushi1247 Aamin
Barikiwa sana pastor kanisa liko wapi
Wabiye Mutumichi Wamgogo ukeli
Mchungaji umepita mle mle umepiga bagdad
Kitendo cha mwanamke ana anza kuniomba ela basi hapo hapo ndio mwisho
😂 😂 😂 Yaani baadhi ya wanawake ni shida alafu Sasa bora akuombe akiwa na shida ya msingi na Hana ela waweza kuta anafanya kazi na mshahara wake pengine ukilinganisha na wako wake mara 2 yake na bado atazitaka zakwako
Wewe pekee ndio uliebaki muhubiri wa kweli
😂😂😂😂anapasua jiwe hak😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
🏴🏴🏴🏴🏴 bendera chuma mlingoti chuma
Duh
Hawa wa six pack hawaezi comment hapa?but ujumbe umewafikia mtumishi wa Mungu
😃😃😃😃😃
Six pack tunazo na pesa tunazo
Wamekasirika imewaguza
Six pack bila hela ni robbot
Hatuzitaki tena wambie watafte hela
😂 hehehe nyama ya six pack haina hata mafuta
Nmekuelewa sana mtumishi unaongea ukwwli sana
Neno limekolea
😂😂😂😂 ukweli kabisa
Nice worship
Hapo hapo😂😂😂😂