SIJAWAHI KUONA MTU ANAENDA KUSHTAKI AMEDHULUMIWA BANGI POLISI NA SISI KUNA MATATIZO "PASTOR MGOGO
HTML-код
- Опубликовано: 13 апр 2024
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
RUclips : Pastor Daniel Mgogo ruclips.net/channel/UCeNr...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Mutu mwenye njaa, anamfikishiya mutu mwenye njaa cakula, 😂😂😂😂😂 kweli mungu aliye kupa kipaji apewe sifa milele.
Nakubari saaana mkuu❤❤❤
Mungu bb wa mbinguni akubariki mchungzji kwa mafundisho
Maubiri mazuri sana, kuchangia tu mbingu inasherehekea wokovu wangu maana nimeepuka adhabu ya jehanamu, adhabu kuu
Mungu akubariki. baba, mimi niko Somalia. nakufata vizor sana unabikiwe
Karibu Burundi mtumishi ukalishe mioyo ya wengi walio na njaa ya neno la Mungu
Nmekufuatilia mchungaji,,,you're powerful man be blessed and continue to bless us with your preaching🙏🙏🙏💕💕💕
Ameen
😢😢😢😢 Barikiwa sana BABA kwakweli lazima tuwewapya natuishi utakatifu🙏
WA congomani NDO wanajuwa kiswahili kulingana na setesi yako wao wanatushinda sisi wote kiswahili maana kime nzunguka kote kikauguwa baada yake kikazikwa DRC. sawa tukubali wenaokwenda Malala loni ndio wanao usindikiza mwili wamarehe sehemu yake ya umilele❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante mtumishi
Amen
Thank you so much Mr Daniel,you are welcome in Lusaka.
AMINA PAPA! TUNA KUNGOJEA NA SISI BUNIA.
MUNGU AKUBARIKI MUCHUNGAGI AKUJIDISHIYE VIPAWA BABA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana mjungaji karibu Rwanda
Unamahubili mazuri
Sema mtumishi wa Mungu
DRC TUNAKUFATA 5/5, MCHUNGAJI MUNGU AKUJALIE❤❤🎉
Powerful said
Mtumishi tunakupendasana.
Lakini naomba kama inawezekana nataka namba Yako yasim. Asante Sana
Mchj Mugogo, unafanya mafundisho mazuri MNOOOO, vijana wote wa kike na kiume wakuelewe na waje na mikakati tu ya kujazanfomu ya kutangaza kuoana kwa wale waliothibitisha uchumba na mahari kutolewa jwa wazazi. Matapeli wabaki wakijikosoa na kujisafisha na uzinzi sugu POPOTE kwani hata ushoga unatokana na huko kutapeliana ujanani.
❤❤❤❤
👏👏👏👏👏
Amen Amen 😂😂
Amen