MBUNGE LUSINDE ACHARUKA BUNGENI "HATUWEZI KUKUBALI WANAOMSEMA VIBAYA MAGUFULI, LEO NAJITOA MHANGA"
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amewashukia wabunge na viongozi wanaopinga mambo mazuri yaliyofanywa na Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Hayati John Magufuli.
Lusinde ameyasema hayo leo Jumanne Aprili 13, 2021 alipokuwa akichangia mapato na matumizi ya fedha ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake mwaka 2021/22.
Amesema haiwezekani kuwa na amani na utulivu wakati kuna watu wanamsema vibaya Magufuli akibainisha kuwa haiwezekani kuwa na viongozi wanaojaribu kupinga mambo mazuri yaliyofanywa na Magufuli.
Safi sana Mbunge wangu Lusindeee ,,mvumi oyeeeee achia like twende pamoja🔥🔥🔥
Mbunge wa wap
@@zainamohamed4300 sukuma gang hao watabwabwaja sana lkn magu harudi tena.
Umetisha Sanaaaaa,Yani Leo nimefurahi kuona kuna watu wanaojisikia vibaya kama Mimi Anaposemwa vibaya Ayati Rais wa wangu wakati Amefanya Mambo makubwa Sana kwa taifa Lake.👏👏
Even me jmn.ilikua ina niumiza sanaaa.mnooo.aisee
Mimi ni namba moja wakimsema vibaya naumia mnoo siwezi elezea
@@ibel4lf nini kinachokuumiza wakati yeye kaumiza wengi?
Wajinga sana nyie
Wapumbavu waliokuwa wanamsema baba yetu magufuli,washike adabu zao,ilikuwa inaniuma kupita maelezo,tuwe wasitaraabu,Marehemu alisema mnikumbuke kwa mema sikwamabaya,jitambuweni waje.
Hamnizidi Mimi😭😭
Mr. Lusinde ulikuwa wapi jamani?? wananchi tulishaanza kuhuzunika kuona vijana wa Magufuli, majemadari aliowaacha nyuma mmekaa kimya. Asante sana, you have made our day. Magufuli hawezi kuchafuliwa na nyie mpo jamani. Ametutendea mema mengi sana watanzania na aliipenda sana nchi hii na akaitumia kwa moyo wake wote. Thank you Lusinde!
Yaani kiukweli nimefarijika sana kuona wazalendo wana mtetea Hayati Magufuli kiukweli kafanya kazi Kubwa sana na tumeiona hatujaadisiwa hongera sana Lusinde R.I.P Jemedari wa Africa JPM.
Wewe na Majaliwa mnaendelea kunipunguzia maumivu baada ya kuondokewa na shujaa wangu Magufuli, kwa kweli nafarijika sana, Ahsante sana
Ameeeeen kweli mwondoen
Na polepole wanatufariji kwamba bado tunaviongozi wasio wanafiki
@@Manumbu umeonaa ee
Watu wanadhani Akili ni za Darasani tu. Akili, kila mtu alivyojaliwa. Akili na Maarifa vinaenda pamoja. Kuwa profesa sio mwanzo wa akili au Maarifa nope
Ongea baba ongeaaaaa upo vzuuuuuuriii
Kwakweli leo nimepata tulizo la moyo wangu na nimepata faraja kwelikweli kwa kumsikia huyu mbunge lusinde akiwa anamtetea JPM na kuona mazuri mengi aliyoyafanya wakati wa uhai wake. Natamani kama ungekuwa mbunge wa jimboni kwangu, najuwa ungetuletea maendeleo saaana. Big up lusinde.
Woow!! Huyu Mbunge Lusinde na Hamprey polepole na Majaliwa ndo hakika wanamuenzi JPM ila zingine ni takataka tu.. atleast mnanipa amani ya moyo! Ahsante Lusinde.. well done, na hiyo ni salaam tosha kwa Spika! Lusinde hujawahi niangusha hata siku moja..
Kwakwel nimefrah sanaaaaa
Am happy for this maana naona walianza kumchafua mzee ilikuwa inaniuma Sana, huyu mzee ndo kiboko Sana
Hongera mheshimiwa LUSINDE. kweli wewe una Elimu ya juu, tene ni Profesa wa HEKIMA NA BUSARA.
Mungu akubariki sana.
Na NEC UMEPITA BILA KUPINGWA.
Mh Rais alifanya yale aliyowezeshwa na Mungu na hata sasa yafanyike kwa uwezo wa Mungu kumsema vibaya marehem sio sawa.Ahsante mbunge kwa kujilipua🙏
Aisee,
Ahsante Lusindeee umenitia Iman maan nilikuwa naishia kwenye vichwa vya habar bila kujua yaliomo
Mhe. Lusinde, Mungu akubariki sana.
Mungu akuzidishie ujasiri, hekima na maarifa, utatufikisha mbali, leo uliyoyasema, ni zaidi ya professor, I give u a Bigup.
U deserve a credit! 100%+
Usinyamaze Mhe, endelea kusema maana busara unazo.
RIP my beloved President JPM!!!!!!!!
Lusinde Lusinde pongezi kwako mheshimiwa big up Rest in peace president John Pombe Magufuli 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😂 ilove you forever Deus graend papaa
❤❤❤❤❤❤
Tunashukuru Mh Lusinde. Hawa wanaosema hovyo wakumbuke hiyo ni njia ya kila mtu na ukifuatilia vema ni wenye uchu wa madaraka. Hatutakaa kimya kwa wasema ovyo sababu wanatuingizia msumari wa moto kwenye kidonda ambacho bado kinavuja damu(msiba wa Magufuli).
Viongozi wa namna hii hatuwataki sababu wanatuumiza.
Washike adabu kabisa,huo ni utovu wa nidhamu uliokithiri. Watu wa namna hii narudia tena hawatufai.
Wanayowaropoka ni jinsi walivyo wamevaa kondoo kumbe ndani hawafai.
Alafu wasemaji ni watu fulani ambao hawana hata madaraka yeyote. Jamani Raisi ana washauri wake na si kila mtu hata wapita njia wataki kutusemea. Uhuru wa vyombo vya habari ndio huu?!
Wanajikuta wanajua kumbe wanajidhalilisha
Asante sana Mh. Lusinde! Mungu akubariki kwa kuyaona hayo! Naamini bado tuna azina ya kutosha ndan ya Bunge. Watanzania tupo tunasali sana kwa ajili watu kama ninyi. Big up mheshimiwa! Keep it up.
LUSINDE wewe ni zaidi ya mashujaa mungu akulinde umeongea ukweli mungu atakulipe nimekusapo natumaini hayati JPM atafurahi huko aliko mungu akulinde 🙏🙏 yani umenitoa machozi maana umeongea vitu vikubwa sana nimekumbuka jpm 😭😢 lusinde 👏👏👏👏
Fact Lusinde anaakili Sana
Mh. Lusinde upo on point, watanzania msisahau fadhila na legacy ya hayati will live on forever. ✊
Samaan kwa kuuliza ndg hiv mh.lusinde ni mbunge wa jimbo gan
Asante lusinde umeukosha moyo wangu umeusemea moyo wangu
Ahsante sana lusinde
Yani leo nimefurahi sana niliku nimekataa tamaa kusikiliza bunge niliumia sana kwa kusemwa hayati magufuli
Waaaoooh waaaoooh hawa ndo viongozi wazalendo..big up Mr.MP
Maprofesa ubabaushaji Bora waendeshe watu wasiokuwa na elimu
@@happymrema6728 Kilichobaki kwao ni U professor wa mdomoni ila hawana uwezo wa kufikiri na kuleta mambo chanya kweny jamii yetu
Wow lusinde nmekupenda bule tu
Kipekee kabisaaa Leo lusinde umenifurahisha, Ukweli Magufuli wetu ataishi milele kwenye miyoo yetu, Watanzania hatutaki Mtu amseme vibaja mtu aliye tangulia mbele za Mungu,wanatutonesha vidonda,tunalia bado,Tena mnatakiwa kumuenzi aliwatetea Sana,natamani nikupe hata zawadi mhe,umesema Ukweli umeukonga Moyo wangu ❤️ wakome wakome,tunaujuwa ukweli l wakome, Mungu akubariki akupiganie Sana lusinde,
Nafarijika sana kuona hayati Magufuli amepanda mbegu bora kwenye vijana wa Kitanzania ambayo itatunzwa na kulindwa kwa kizazi na kizazi. Mh Lusinde nakupongeza sana kwa kauli yako uliyoitoa bungeni kuhusu kazi mzuri aliyofanya Hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watu wanaochukizwa sana na watu wanaopinga miradi ilioanzishwa na Dr JPM.
Samaan kwa kuuliza ndg hiv mh.lusinde ni mbunge wa jimbo gan
Nitakuheshimu sana kwa kusema ukweli. Mungu akubariki.
Leo 2024 nipo hapa, Mungu akutunze sana sana mheshimiwa Lusinde, nakuombea nakupenda kakangu! Hadi nimetokwa machozi ninapenda sana sana nikiona kiongozi mzalendo kwa taifa lake! Yesu akutunze Lusinde kwa ajili ya taifa hili hope ungekuwa mentor wangu!
Huo ndio utofauti wa wazalendo wa nchi yetu na wapiga porojo bigup Lusinde waache wapige kelele wapuuzi tu hao
Lusinde Kweli maarifa ni Bora kuliko Elimu Mamaee Rest in Peace Magufuli. Duh Leo siku yangu imeenda vyema sana......
Nilianza kuchoka na maneno ya Tanzania sasa naanza kuludisha imani na nchi yangu Tanzania lusinde umenifulahisha sana
Mzee aliwaivisha ,haya ni matunda yake
Yaani dunia haina huruma kabisa, mi nashangaa hata viongoz waliopo leo wanaskia kashifa anazokashifiwa rais magufur lakini wamenyamaza kimyaaaaa!! Hata yule ambaye magufur alimchagua wala hakupigiwa kura lakini cha ajabu nao wamenyanaza kimya, inashangaza sana
Asante kwa kunisemea!
@@upendomission4626 magu hakuwa mzuri ndio maana wote wamekauka tu yaani wanapumua sasa kwa kweli
Uzalendo ni kama mtu umefiwa na ndugu yako unajisikia uchungu wa dhati ndani ya mwili na kiwiliwili
SAMIA NI MAGUFULI na MAGUFULI Ni SAMIA... Safi Sana mzee BABA MUNGU hata kuacha bure wewe ni mzalendo huna unafki wewe Ni mzalendo... Big up 💪💪💪
Nimekuelewa sana lusinde ila huina njia ya kumtetea NDUGAI bora ata wewe ungekua hapo mbele una akili huyo spika hovyo sana
Ametusaliti watanzania
Atuombe radhi sisi na familia ya magufuli ametukosea sana
@@erickwilliam6610 kweli kabisa .
Kabisa
Daaa..! Lusinde nimekukubali sana mbunge hakika umenena vyema mno..!
this is PURE GOLD, Lusinde all the way
It musukuma
Safi Sana lusinde nimekuelewa Sana umenikosha nilisikia Sana wakimsema Baba angu wamuache apumzike Kwa Amani eti akaut mara nn waseme mengine
Mungu akubariki sana Mzee Lusinde mawazo haya ndiyo yanahitajika sana katika nchi yetu🤝🤝🤝
Wewe nizadi ya wabunge nimekupenda sana narudia nimekupenda sanaaaaa
Lusinde baba.. Ubarikiwe, Ahsante kwa kuendelea kutupa moyo 😢😢
Leo na lala vizr Sana, tunahitaji watu Kama hawa
@@mashaluchagulajamanihataas1347 kwer kabisa
Safiiii. Sanaaa Mbunge nakupa hongera sana umeongea ukweli 100%. Wewe ni mkweli. Mungu akubariki sanaaa maana ni wengi wabesaji hawajui kitu. Na NEC Utapata ASANTE. Rais Maghufuli anastahili TUZO
Lusinde sijawahi comment youtube Mungu akubariki hii dhoruba nayo itapita
Lusindeeeeee..
Hongera sana. Kazi iendelee.
Ni kwel na tunakasirishwa San na yeyote anayepiga kwenye uchaguz tutampiga mawe
@@happymrema6728 ujinga tu na hilo bunge mbuzi la upande mmoja.
Mh. Lusinde umeongea point kabisaa. Kwakweli unastahili kuitwa mheshimiwa 🙏🙏
Mzalendo wa Tanzania hongera sana kwa kumutetea Rais wetu aliye tangulia mbele za haki jamani mm nilikuwa naumia lakini leo umesema ukweli mwenye masikia na wazikie hongera wenye kusikia wamesikia kwa kweli
Jamn mimi naona wabunge wa darasa la saba tuwape majimbo wabunge wa darasa la sabu wanaongea vitu point 👏👏👏🙏🙏🙏❤
Nakubali lusindee endelea na moyo uwouwo mungu akubalik jpm pumzika kwa amani hauko peke ako
Makofi mengi kwa Lusinde tafadhali 👏👏👏👏👏👏
Sawa Mh. Lusinde angalau tunaona mzalendo Bungeni hongera sana, Tunamuona mtetezi wa Baba yetu JPM alale salama!
Kbs
Babaaa, umejua kunifurahisha, umerejesha furaha zetu watz, tutakuombea daima
Daaaah Hongera sana Mh Lusinde kwa kuwa mkweli.
Umerudisha Imani yangu big up Sana Mh lusinde
Sisi watanzania tunaakiri nyingi sana macho yetu yanaona hata wamchafue vipi JPM hakuna wa kumfananisha naye
KABISA
baba kula utapata mungu yuu mwema
Mashallah Lusinde leo umewapa ukweli Mungu akulinde na shari za watu wabaya, maana walipiga sarakasi sana humo bungeni week ilopita kumponda Rais WETU wasojua kushukuru hao Magufuli kafanya maajabu makubwa siyo kitu rahisi kuigeuza Tanzania kuwa ULAYA na mpaka sasa inaheshimika bado wabunge msojielewa mnakaa bungeni kumsema hivi lini mtajifunza kushukuru,Bora huyu Lusinde angekuwa makamu wa rais ili atusaidie
Mungu atuongezee watu wenye hekima kama hawa hawana elimu kubwa lakini wanaufahamu mkubwa sana Watanzania natamani sana tujue thamani ya hawa watu. Mungu tutetee Watanzania neema yako ikae juu yetu.
Tunahitaji wabunge kama huyu👏👏👏. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤣
Umenibariki sanaaaaaaa
Asante. Mbunge LUSINDE. blessed
Asante baba Lusinde kwa kutufariji . Yaani mimi roho ilikuwa inauma sana Kusikia Hayati Magufuli akisaritiwa vibaya . Hadi nikashangaa sana wabunge wa CCM mlipata Ushindi wote huo kwa kusemewa na Magufuli. Lakini cha ajabu Wengine mmeshasahau tayali Lo! Ama kweli kikulacho kiko nguoni mwako .
Hakika umenena ninatumai wabunge wata msaport vizuri Sana waziri mkuu wetu maana waziri mkuu wetu anaendana na maono ya JPM
Leo lusinde napenda kukwambia hivi asanteeeeeeeeee Sana.
Safi Sana.Huku ground tunahamasishana tu hoa manafki tutawafokeaaa
Wewe ni super Man am proud of you
Safiiiii San washke adabu👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤
Asante mheshimuwa kwa mambo mazuri yako. Kweli ni cha ajaabu kusikia watu wanaomsema mbaya Magufuli baada ya hayo yote mazuri aliyoyafanya yeye. Pumzika kwa amani jemedari wetu. Tutakukumbuka daima
Lusinde nimenifraisha sana yani umenitoa wasiwasi nakukubali 99.9%
Nimekuelewaaa kiongozi mzalenzo wewe umfano kwa watanzania watu mnajuwa kutafakari maoni na kukumbuka maagizo ya watanguliaa viongozi wetu wa zamani nia zao za kuitakia maendeleo tanzani uko makini sana mzalemdo lusinde wewe ni raia unayejali nchi yako
Tunatakiwa tuwe macho na hao wanajiiita vigogo wanaaanza kuchochea moto ili kuni ziwake wanaona mradi wa bandari umekufa walikuwa wameshashemsha ya moto lakini jiko halikuwasha moto
Tanzania ni nchi nzuri ukweli wa watu wanataka kuwachanganya watanzania lakini tuko makini tuko makini
Lazimaa tujifundishee uzalendo wa kupendana wachina wanaitanaa comredi
Comredi ni mtu wako wa karibu ndugu yako কাকা yako dada yako baba yako babu yako ina maanaa।
Watanzaniaa
Hii nisauti inayo hitajika Tanzania siyo woga Mungu akubariki Lusinde tembea kwenye viatu vya JPM
Lusinde achongewe sanamu aise big up Sana 🙏🙏
Ndungai umeskia vzr?huo ujumbe unakuhusu sana ....
Leo rais wetu magufuri tutaendelea kumkubuka sana watanzania tunalia sana kwa kumpoteza jemedali wetu!
Lusinde nimekuelewa sana ulikua wapi jamani imani ilikua imeisha sasa inarudi wewe na waziri mkuu safi Sana.
Waambie wakome upinzani Kama walivyokoma maziwa ya mamazao👌👌👌
Umenikosha sana daaaah...hongera sana lusinde
Nakukubali sana mh Livingston lusinde akika bunge letu bila ww, mh msukuma, mh jafo, mh tulia, mh ummy, mh jobu, mh palamagamba, mh lukuvi, mh kaleman, mh majaliwa na mh izidori mpango aliwezi kuwa bunge
Yaani kama kuna kitu samia akikiacha kiendeleee kitampa wakati mgumu kuongoza ni kusemwa vibaya kwa magufuri maana jpm anapendwa na wengi mno tanzania ata nje ya tz.
Umesema kweli kabisaaaaaa,hata Mimi ninavyoona anakaa kimya toka JPM anasemwa naanza kumchukia na kumshauri polepole,lusinde,na kassim majaliwa waanzishe chama wana CCM tunaompenda Magufuli tuhamie huko,hatupendi kauli mbaya kwa Magufuli wetu hapanaaaaaaa
magufuli ni nani asisemwa kama kachemka
Ni kweli kabisa yaani mm nikisikia mtu anamsema vibaya baba yangu magu naumia saana
Safisana mbunge wangu Lusindee washike adabuu na adabuu zao ziwashike hakuna Raisi tulie mkubali kamamagufuli kweli wanchi tumeumia💔💔💔💔😭😭😭
Asante lusinde 💯💯💯 tupo pamoja Sana Papa
Nimeamini kuwa elimu sio chet congrats mh lusinde kwa kupambanua mambo kwa uhodari kuliko hao wanao jiita maproffessa!!!!
True 💯🇰🇪
Hamna siku nimefiurah kama. Leo sijpata furaha hii tanguu jpm aondoke kwenyee uso waa duniia
Safi sana lusinde Mungu akubariki Hawa maprofesa Hawa sijui elimu zao zikoje!!!
Mgogo hujawahiii kufeliii tunazdii kufarjikaa tuu kwahayaaa😍😍😍
*majaliwa wewe ndio raisi wangu Mungu akupe miaka mingi ili tukuchague baba*
Yaan kaka umejuwa kunifurahisha sana Mungu akutunze sanaaa,, yaan umewapa ukweli usiopingika wanajisahau
Ashukuliwe Mungu Aliyekupa Hekima iyo, Na Utatetewa popote Lusinde Na Usiwe mbunge Uwe zaidi ya hapo
Kiukweli umenikosha Sana Sana tunataka watu kama ww points juu ya points leo nimefrahi Sana Sana ww nimbunge halali magufuli huko aliko anajua ww nimridhi wake wa uzalendo good good kaka angu
Umetuinua sanaaa maana hizi week mbili za nyuma tumeoshewa sanaa na upinzani ha ha haa
Maprofesa wetu ni wa makaratasi na ndo wanachulewesha kusonga mbele
Itabidi huyo mbuge ajengewe sanam💪🏼
Well spoken Muheshimiwa Lusinde ✊🏼👊🏼👏🏼
Asante sana jamani mungu akubariki sana,, umefikisha meseji hadi moyo wangu burudani
Hongera Sana Mh.Lusinde, Mungu awabariki nyote mlio na uchungu wa Taifa letu,tunawaombea sana
Daaaah asante sana
Safiii
Akili za kuambiwa na CAG changanya na za kwako!#JPMLegemd#MajaliwaNiJPMJunior
😁
👏👏👏
@@estermathias8354 huyo Lusinde ni pumba ktk mapumba waliopo CCM.
Hana zaidi ya kurap rap ovyoo.
Kwani hajui kama Meko ni muuwaji mkubwa na mvunjishi wa haki za bin adam? Unasifia utumbo mtupu uliofanywa na huyo shetani mwendazake? Pumbavu
@@milomohamed7201 shetan babaako
@@mchezakamaliog265 mimi nasema mama yako coz hata mimba yake ilimpa shida wakati ukiwa tumboni mwake kima wewe.
Asante baba tusaidie ,tulofia nisisi raiya wachini sii hao mabebero
Asantee sana lusinde mungu aku baliki kwa mwenendo huo hahika nikne kuelewa
Angalau leo nimefurahi. Sio siri, baada ya kauli za juzi za Mh. Spika juu ya mradi wa Bandari ya Bagamoyo na Prof Muhongo, juu ya mradi wa Bwawa la umeme la Nyerere, nilisikitika sana! Nilishangaa kabisa namna legacy ya mtu muhimu kabisa katika nchi yetu, kuelekea kupotezwa kirahisi wakati bado watu wanaomboleza! Angalau leo, nimewaelewa!
Hakika hawa ndoo viongozi tunao wataka
munguakupe.uwezo
Tena wasituvuruge tunawaza wamemuuwa,mbwa hao,kwani akiwahai mangapi kayafanya kwenye ichi yetu???inaahangaza Sana Jamani,bado tunamachungu makali kufiwa siyo mchezo Taifa linahitaji viongozi wenye hekima,kutambuwa wanaoipigania Tanzania yetu,siyo kuwasema,wanatuzarau ichi jirani,
@@ashamwandu6572 acha ujinga wewe mwanamke huijui siasa.
Mungu mbona katupenda sana hujui makusudi yake ni nini?
Watu wamepotea bila kesi wala uchunguzi, democrasi imedumazwa, vyombo vya habari vilifungwa mdomo bado wewe ulitaka hali hiyo iendelee. Dunia ilitutenga sasa kuna pumzi mzuri angalau.
Huyo kibajaji ni pumba tu ktk wale wa ndiyooooooooooo kwa kila kitu coz yupo na mtindiko wa ubongo.
CAG nadhani mmemsikia miradi yote imepoteza mabilioni ya pesa za walala hoi, ktk awamu yote ya magu hamna faida ktk kila mradi ni hasara kwa kwenda mbele.
Lkn tulikuwa tunavungwa eti tupo ktk uchumi wa kati yaani uchumi huo umekuwa chupi hiyo tena. Nchi jirani lazima watudharau kitokana na upimbi wetu. Halafu tatizo kuu kwamba 90% ya wabongo elimu ndogo.
Mnasifia uozo wakati mabaya mengi yapo hamsemi? Mbona wabunge wanaongea ingawa ni bunge moja la kulazimisha chaguzi haramu.
@@milomohamed7201 achana na Mimi kabisaaa,wewe Kama hukuona mazuri yake Basi Mimi niliyaona juwa ivyoo,weunazani watanzania wote wajinga?ila wewe ndio mwelevuu?ovyoooo
Lusinde Watanzania wamekupenda bure. Asante sana. Umeongea ukweli. Hujui ulivyo wafuraisha Watanzania. Kuna watu walikuwa wakitaka kutenganisha viongozi wa serikali. Wakina Fatuma Karume kwa maneno yao. Kauli za Mbowe na sauti yake ya kinafki. Tundu Lissu anayebwata huko Ubeligiji, ni kweli akae huko huko kabisa. Hana faida Tanzania. Amewaudhi Watanzania wengi sana, wengi wana hasira naye. Hawa wanaomukashifu Hayati Magufuli hawajui mudi ya Watanzania kwa Hayati Rais wao. Wakimutukana ni kama wanamutukana mukombizi wao. Huwezi kuitawala nchi hii huku ukimutusi Hayati Magufuli. Ameibadili siasa ya Tanzania. Ukimusema vibaya Hayati Magufuli unakuwa adui wa Watanzania hiyo ni wazi kabisa. Hayati Magufuli hatuko naye lakini ameacha kabuki chake kila mahali Tanzania na Africa. Sisi sio MASIKINI. RIP MAGUFULI
LUSINDE umenikosha sana ila NDUGAI sio mzalendo
Kwani anaitwa ndugai au yuda maana sikumbuki jina lake vizuri nisaidieni jamani
Hata mimi nimeliona hilo Ndugai hana uzalendo kwa Nchi
Mwenyezi akupatie umri mrefu mheshimiwa
Ubarikiwe na Bwana Lusinde ,Muwaha yakulugute
Mr Mp wewe mzarendo wa kweli. Mungu akujalie maisha marefu
Lusinde Kama lusinde ,umenikosha Sana mungu akujalie ,umemuinua shujaa wangu
Nimekupenda mubunge Safi Sana umenipa matumaini
Mungu akubariki xn bb we umeshushwa na mungu kweli Kuna watu wanafiki xn kidogo leoo nmejickia vizuri jamani
Leo nimefarijika sana hakika ww ni msema ukweli