MBUNGE CUF AMWAGA CHOZI, AMPIGA ‘STOP’ WAZIRI MPANGO KUKANYAGA LINDI NA MTWARA
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2018
- Mbunge wa Tandahimba (CUF), Ahmad Katani amemwaga chozi ndani ya wabunge wakati akimweleza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango kama mabilioni ya export levy za Korosho hazitatoka asikanyange mikoa ya Lindi na Mtwara.
Aiseeee. Huyo waziri asipolisikia hili basi atakuwa na moyo wa bati.
katan hiyo ndiyo Tanzania yetu mnyonge adhurumiwe mwenye nacho atokeshavu nimekulewa Sana kwa kazi unayoifanya bungeni
Alex Thobias 😢😢😢😢
Daaaaa jana anaongea kwa uchungu sana kiukweli serikali isipo irudisha hiyo pesa itakuwa haijawatendea haki watu hao mm siijui mikoa ya kusini wala siijui korosho ila inaonekana kabisa hela hizo nihaki yako pia wa swahili husema wengi wape
oooooooo jamani khaaa anaongea kwa hisia haswaaa mpaka inauma jamani mmmm
Kaka yangu unaniliza duuh sema sema kk kweli ss tupo nyuma sana😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
katani bac inatosh unanitoa machozi
big up sana m,bunge!
Kweli kuwa ccm ni zaidi ya kuwa mchawi unaewanga mchana kweupe uchi wa mnyama!!!
Mick Skills TV kweli
Mtwala na lindi mta isoma namba walio chagua ccm kilio cha mtu mzima ndio mjifunze 2020 msiwape kula ccm ata kama waziri mkuu ana toka kusini kakaa kimya wala asemi ili
Daaah
Huyu mbunge Mzarendo Haswaa .. Mtwara mnayumba wapi
Inauma sana sana mikoa yakusin itawatoa watu kwenye viti vyao
unasisimua unauchungu kamanda dah mungu awe nawe
Kuna mjimga mmoja anasikika et toa machozi
Pole kaka nakazi
Acheni aseme
Dah huyu ndio mwenye uchungu na inchi yetu
changuo lenu. wenyewe mta pata tabu sana
Hii ndo Tanzania
Yale yale ya fao la kujitoa unapewaa asilimia 33.3 ya mshahara wako kwa mda wa miezi 6 baada ya hapo had ufe au ufikishe miaka 55
sasa mbona unataka kulia
JAMANI!
mngiwatetea hivyo na waliotumikia serikali ila vyeti havikuwa vzr sn wengi wasingelia mitaani achana na wale maboss waliokuwa wanafoji majina ila wale walikuwepo wangekuwa wameshapata....ila hizo fedha za korosho lugha gongana
Ccm oyeeeeeeeeee
Kanikumbusha mbaaali....
Mwenye sikio na askie,lile neno roho anayabia makanisa
Jackson Raymond Kasema kweli
Kwasababu ni waisilam ndomaana
Ccm siipendi mamaeee