MBUNGE Aliyemwaga MACHOZI Bungeni LEO! "Waziri Usikanyage MTWARA"
HTML-код
- Опубликовано: 24 июн 2018
- MBUNGE Aliyemwaga MACHOZI Bungeni LEO! "Waziri Usikanyage MTWARA"
Mbunge wa Tandahimba, Katani Hamad Katan, Amewaga Machozi Wakati akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli . - Развлечения
wow!!! mimi si mtanzania lakini nmempenda huyu kiongozi, shedding tears bcoz of his people,a true leader.
Ayo machozi najua Mungu Atakulipa.
Daaaah mungu akupe nguvu zaid ya kuzungumz meng zaid na zaid
dope speech, I love it, mpango, kazi kwako
Duh,hatari sana.hongera kiongozi pambana kiongozi👏👏👏👏👏👏👏👊kuna baadhi ya wanasiasa wanazani wataishi milele kwenye uongozi.
Dr Mpango laanatulllah
God bless us
Kweli mbunge wetu tulilie kabsa 😭😭😭
Noma
Inauma sana aiseee
Mungu bira kutusaidia tanzania
Pole mbunge wa lindi,mtwara,acheni kuumiza watu,mungu awalaani punda kabisa
mungu wangu!!!
Inauza sana
Hongera mh katani kweli wewe ni mtetezi wa wanyonge. Nakupongeza kwa misimamo ya kweli wanafiki tunawajua
Jamani,, mpango ni chambo tu. wahusika wapo!!!
Sema kaka mungu yupo nawe
Aiseeeeeeeeee,,,,,,,inauma sana, watakupa
Bb Mpango noma,hadi MTU mzima analia kuna jambo!!!
Safi sana katani
Subhaana llaah.....MTU mzima kulia
noted
Mmh iy noma kwel
Big up
OMG its so painful kuckia kiongoz anamuonea mtu anae 2mia jembe la mkono bei anapangiwa leo hiii mpuuuz anachukua acyekua na huruma na taifa lake anawahujumu wananchi wake
Mashallahu inatia uchungu kweli kaka Ela ccm wakipanga lao.huwa hawajali hapa kazi tuuu hata ulie
MM mkenya ila bwana ameliza kweli kama anavyoumia yy n watu wake..Mungu yuko mtetez wawanyonge ipo siku mambo yatabadilika
Hat ukitoa machozi sawa
Ila juzi kahamia kwenye hicho chama ambacho serikali yake imedhulumu pesa za korosho za wapigakura wake
Aiseeee
Safi kabisa
Sema baba
Hadi machozi dah! inaumiza sana
Hasante sana mheshimiwa
Duh
dh mweshimiwa kwakwel sinajibu tukutane 2020
🤗
Safi sana jamaaa
This man ✊
Mmmmm in hatari kweli kweli.
OK
Nimelia sanaaa😢😢😢😢😔😔ni kweli watu wanalima sana ila wanabaki nyuma tuuu
Carolina Mushi wow, Natamani wabunge wote wangekua kama uyu, Tanzania would be very far.
Carolina Mushi , Mimi nililima heka 2 za karanga nikapata gunia moja la tena la maganda, nilipoangalia garama nilizotumia! Sitaki tena kusikia neno kilimo na skulima tena toka mwaka 1998 hadi leo na sitalima mpaka kufa bora niwe chinga
Carolina Mushi mungu akujaalie kuwa na uchungu na watanzania wenzako
Damn! So sad, wakulima!!!!!
dah
Dr Mpango kama hutosikia vilio vya wabunge safari hii, nakutabiria anguko kubwa kuliko la yule Prof wa miamba. Sasa hivi ana mwaka mzima anagwaya kuonesha sura yake mjengoni. Take care
duh mbunge pole
Daaaaah
Mungu onyesha haki ili wabadhirifu wapate kuumbuka.....
Wabunge wa ikulu miyayusho
❤❤❤❤❤❤
mshimshutum dkt mpango hili niagizo kutoka ju kwaiyo mpango akienda tofauti naagizo hilo atafukuzwa kazi nawaliko ju ambako hawezi kufika
Dah big up kwako mh kama nyinyi 6 kucn bam bam
✔
Machozi yako hayatoki bure ipo siku mungu atakulipa na mtafurahi watu wa kusini Mungu sio dhulma adabu utapatikana tu
Its too pain jamani kwa sababu maisha tunayoyaishi kwa sasa mungu ndo anajua! Kuna maisha mengine baada ya hapa duniani.
izi speed za Magufuli - Wazee awawezi wakachapa kazi _
Ooh no men
Uyo anae sema toa machozi Mungu atashughurika naye
Ww mpango
Hii nchi tumefika mbali sana ...lazma tufaham asili ya mtanzania ni mkulima...sasa sijui serikali inataka siku wawakute hao walima korosho na majembe yao wakiwa wamelizunguka bunge na masufuria yaliyokauka ukoko wa mwaka jana ndio wataelewa somo au lah....kweli ukitaka ujue tabia ya mtu mpe pesa au uongozi...mana hakika wapo viongozi ambao walijifanya watetea haki wakubwa na kuahidi mengi kwa kigezo nao ni wazalendo ...ila leo hii washajishughurisha...kiukweli tusilete mchezo na maslahi ya watu hata kidogo...hapohapo serikali inadai uchumi umekua...sasa sijui umekuwa kivipi wakati maisha ya raia ni ya 1000 per day...huku kwa kanuni za kukua kwa uchumi yapaswa kila mtazania (above 18) awe na uwezo wa kuingiza dola moja ambayo nadhani ni 2450 kwa siku..sasa sidhan kama kila mtazania anauwezo huo..MUNGU IBARIKI TANZANIA ..MUNGU WATAZAME VIONGOZI WETU
Mhh mtihani jamani
magazetini live
aaf wanajinasibu kuwa et serikali ya wanyonge....cjui wanyonge gan wanaowazungumzia.....ccm mavi kbs
jaman serikali mzee oneni aibu basi mpango mtuu wabata tuu hanamipango huyo kwanza unavolia mwenzio ndoanavopenda jamoniiiiiiiii
dah...this are kinds of people we totally need..where are this people again?
Yani kwakweli inch yetu hii jamani nikumwachiya mngu wallah tena manyanyaso yamezidi kwa sisi wanyonge hususani serekali hii ya mama samia inatunyanyasa sana mtu unapata tatizo haki hakuna wan day hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho mngu ibariki inchi yetu na wanyonge wake🙏🙏
😢😢inauma sana ukiangalia ndugu zetu ndio kitu wanategemea
Mkulima Wa Tz anaumizwa sana
gamba the great sana
mnafiki
Mpango anapangua na kupanga anavyopangiwa.
Kwel kabs..jamn tunakufa maskin...
Jimbo la 'ikulu'
Serikali imechoka,wanafurukuta km MFA maji,wananchi piga chini 2020.
Xawa kaka hao mafisied ya mafisiem wanajifanya vilaza lakin mungu anawaona
Mpango Cdhani Km Kaenda Hata Shule Pumbavuuuuu Zake
una Kila sababu ya kutulilia wananchi wako,kuna watu walikufa wakikupigania ushinde ubunge wamepata ulemavu Kwasababu tulikuona mkombozi.muungano wenu unatupa faraja sana.2020 nitaongeza nguvu
Umetenda hKi
Daaaaaaaaaah, huyu Mpango na Watu wake Mungu anawaona Mnafiki mkubwa huyu.ole wake....😢😢😢😢
Huo mpango unao panga we Dr mpango cyo mpango kabisa
Aseeee inauma sanaa kiukweli huu ni uzungumzaji wa uchungu km hawakuelewa wanafanya kusudi.....😥😥😥😥😫😫😫
Poleni sana, ila mtashinda, haki ni haki. Mbona raisi wa wanyonge ka kaa kimya,hau wanyonge ni kundi la doctor Mpango?.
inaskitsha sana
Kunawakati nilifikiri sana nkasema eeh MUNGU wangu kwanini KUSINI tuwe na Vyama vya siasa ila KOROSHO IMEJIBU.Hakuna Tanzania bila KUSINI.
Ndo tulipofikia hapa,lkn bado watu wanatetea ujinga! Mwisho utafika tu
Too bad
Du Noma Cna Jaman Mbona Kama Watu Wa Mtwara Na Lindi Wamesaulika Nimebatika Kwenda Mtwara Na Lind Kweli Bdo Wapo Nyuma Cna
Kabisa yaani uwezi amini
Swadaktaaaaaaaaaaa
Lakini uyo mpaninani ambaye hasikii?
Mpango ukizinguwa nasisi wananch wa mtwara tutakuznguwa kweli oo
Korosho iko juu ki thamani na uhitaji duniani. Nilitarajia nguvu kubwa zaid na pesa ielekezwe huko kutokana na ukubwa wa soko na mahitaji ya korosho, kuna tofauti ya Tittle ya U Dr. na akili alio nayo mmiliki wa tittle.... ya U Dr.... pia si kila mwenye academic tittle kubwa anauwezo mkubwa wa kufikiri laa hasha ... wengine ni umahiri wa kukalili majibu sahihi ndio umewafikisha hapo walipo mpaka wanaitwa Ma prof, ma Dr. ndio maana mambo makubwa dunian yanafanywa na wasio na Academic Tittles...... Nitajie academic tittle ya mzee bill gates, steve jobs, isaya yunge, bakhresa, ruge etc.... sio kila kitu lazima siasa itumike... so sad
Mpango haya machozi utavuna taabu
Eeee mpango jiuzulu kaka lawama zimekuwa nyingi
Duh 🙄 yan hii nchi bwna
Hasira hizo njomba nchumari Kwa kweli akija Ntwara ntagawana kabisa,bora asije duuuu!!!.
Ukute na mama ako kadhulumiwa pesa zake ndo utajua na isia zitakukuta .aya maisha bana .korosho wanachukua ela awalip duh .kama nawaona iv eafanyabiashara wadogo wanavotaka kumtafuna mtu
kama hujui taabu anazopata mkulima unaeza comment hata kufikiria ujinga ilaaa daah inauma saana
Ama kweli MTU Wa kwanza kuingia motoni ni mwanasiasa wapi ndy shetani duuh. Mpango hebu Fanya haki mpk MTU mzima analia machozi yatakulaani hayo 👆👆👆
Nimependa sana hadi wengine tunakimbiya kuja omani kutumikiya watu huku wakati mtwara tunakilimo kzuri
Khadija Aziza uko kilo bei gani
Jazim Said mi sinunuwi koloshoo my
Khadija Aziza ida kukaya nikuoe nangu 0655189459 whatsap
2M Viewers wako hambi ndo umbepandisha kolosho bei au hahaaa mtu wawapi kaka
Khadija Aziza wako ida whatsap tutongole
Ivi mijitu inayoshabikia ccm haya yangesikika lini maana haya yasingeongelewa Ila tu BC uelewa wetu mdogo chadema juu
(Jimbo la Ikulu) 😂😂😂
huyu ni kuongozi bora ama kwa hakika Allah akusimamie
_ inasikitisha wanaadamu aliyenaufahamu kufikiya kutowa machozi hususani mwanaume kweli anaumiya ktk utendaji kazi sirekali inaulizama wakujali hoja za viongozi nasiyo kuwapuuza because wao ndiyo wanafahamu matatizo yaliyopo kwenye majimbo yao na changamoto wanazokabiliana nazo hakuna mwananchi anayepita maisha magumu kama mkulima
Sie wa Zanzibar tumewajua sana kua hawatu wabara wana ajeda yao niwatu wabaya sana tena wadini kuitazama vizuri utajua kitugani hawa magaidi wanachokifanya ktkhi nchi eti amani yawapi waoga tu nyie hamwezi kuwafikia Kenya kwa chochote mna moyo chafu hatupendi umoja wenyu nasie watu wa Zanzibar bora mpoteleini mbali
pambana kaka katani usikubali
JIMBO LA IKULUUUUUUUUUUUUUUU LAHANATULLAH
#duuuuuu....acha na mm nilie
Duuuuuuuuuuuuuuuuu! Huyu Mpango kembe ni jipu!
Tunauza BP MACHINE (ELECTRONIC BLOOD PRESSURE MONITOR) kwa punguzo la asilimia 20%. Nakuomba uniandikie ulizo lolote DM au PIGA SIM 0715905167. Please kindly LIKE.