BINTI CINDERELLA - PART 04 [ MWISHO ]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 694

  • @Official_ree0
    @Official_ree0 10 месяцев назад +20

    Yan Jaman muda ote uo nimekaa nasubili uyo CINDERELLA ndo nan yuko wap mbona hatumsikii kumbe bwana ndo madame secretary😂madam mjengo wetu mama la mama chibonge wetu aaah wee ni bonge la story kwakwel❤️❤️🤣🙌mtunzi shikamoo popote ulipo and broo j Maua yako kwa sauti tam❤️❤️❤️

    • @HellenGavile
      @HellenGavile 8 месяцев назад +1

      Onsgwt . . , Vega wewe true twi

    • @luciahbaraka9863
      @luciahbaraka9863 6 месяцев назад +1

      😂😂 nimecheka yani wewe ndo kama mim nimemsubilia sindelela mpaka nikachoka kumbo bonge

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад +4

    Mmmsai huyo ,,,haya bhana

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 Год назад +18

    Dr Maira, teacher Dylan, chizi fresh, Rehema wa tanga bado zipo juu sana ubora wa hali ya juu, zilinifanya nipende simulizi kipindi kile sana tu, ubunifu mzuri

  • @LillianMollel
    @LillianMollel Год назад +29

    Bonge nyanya kwa hewa tumpe anko jay na Lisa mwala maua yao🌹🌹❤❤

  • @fatmasalum8334
    @fatmasalum8334 Год назад +31

    Dah omko hii simulizi naludia ludia kila siku aisee mungu akubariki sana nakupe maisha maref sana inshallah ❤❤

  • @rhodaisika46
    @rhodaisika46 Месяц назад +1

    Nabii alisema ndoa yenu itakuwa na ungumu sana.
    Ongera Nyamisi kwa kusamehe mama Jemin.

  • @shahrayn93
    @shahrayn93 Год назад +52

    Ila anko jey umefanya nimecheka km fala,,,unavyoigizia yeyo sasa cna mbavu yni..afu kweli wanawake wabonge hatuchepuki..cmulizi nzuri sna yni cjalala adi saii oya anko jey salute kwako and plz kiss my comment ❤❤❤🎉

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +10

      🤩🤩

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад +4

      Nataka nijue kilichokutwa kwa Yeyo

    • @Mariam-dx7lr
      @Mariam-dx7lr 9 месяцев назад +4

      Lkn hata wewe jimi hukuwa mstaarabu hata kidogo KWA nyamizi ulipo pewa taarifa za nyamizi hukutaka kabisa kumuuliza na uliamua kumterekeza

    • @ibtisammazrui5400
      @ibtisammazrui5400 7 месяцев назад +1

      Mimi pia yaani nimecheka mpaka mbavu zinauma 😂😂😂😂

    • @ibtisammazrui5400
      @ibtisammazrui5400 7 месяцев назад +1

      Nimecheka ankojay alipoigiza sauti ya Yeyo 😂😂😂😂

  • @QueenDenise-i9u
    @QueenDenise-i9u Год назад +3

    Ongereni sana kaka jimini na dada nyamizi maana mulipitia vita nyingi na mkashinda MUNGU Alinde ndoa yenu muishi hadi kifo kitakapo watenganisha ao yesu kristo akirudi nawapenda sana na nimepata funzo kubwa kwa kupitia hii historia yenu 👪❤❤❤

  • @EstherJoseph-x7s
    @EstherJoseph-x7s 15 дней назад +1

    Kipochi manyoaa🤣🤣🤣🤣baba Jimmy ananipa raha jmn😂😂😂😂

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +25

    Bonge nyanya oyeee! Tupo tumejaa tele kama sahani la mchele atuchepuki ni kweli kabisa na tuna utamu wake wa asili katujalia mungu, congratulations 👏👏👏 my dear wetu kipenzi anko Jay mapesa twakupenda pia hongera sana kwa mafunzo ya kimaisha barikiwa sana Jabali wetu King 👑❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @lissamwalla501
    @lissamwalla501 Год назад +17

    Anko hay umetishaaaaaaaa igweeeeeeeeeee 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +5

      😄😄 Bonge Nyanya hebu tulia

    • @salhatiddy
      @salhatiddy Год назад +3

      ​@@ankojay_Ankojay jmn saut Yako nzur sana kama unamke anisamehe to 😂😂

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад +2

      Saaaana

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад +2

      ​@@ankojay_mabonge mmmpooooo?

    • @halimamakeup
      @halimamakeup 9 месяцев назад

      Ango j uwiiii

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 Год назад +6

    😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😮😅😂😂 Daah mwishoni nimecheka sana daah nimemaliza sasa simlizi much love anko j

  • @IreneMwenda-nl2hu
    @IreneMwenda-nl2hu Год назад +9

    Leo wakumi jmn naombi like zangu plz plz jamn anko hii ngoma ingesoma mpaka patry 5

  • @VeronikaJerome
    @VeronikaJerome 9 месяцев назад +13

    Nime kuwA wamwisho nioneeni uruma nipeni like tano

  • @JaneSanga-b5n
    @JaneSanga-b5n Год назад +2

    Jamn simuliz nzur sana ❤❤❤inamafunzo ila jamn ap kweny kukataa ela me swez kukataauwong zambi

  • @KhadijaSaid-g3e
    @KhadijaSaid-g3e 4 месяца назад +2

    Cinderella zaidi ya moto yaan ni balaaa🙏

  • @miss-s3w
    @miss-s3w День назад

    Asante sana kwa story nzuri yamaisha ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @khadijamohd5741
    @khadijamohd5741 11 месяцев назад +3

    Huyu mwanamke hanaadabu kweli anawezaje kutaja kipochi manyoya mbele ya mchungaji

  • @Nadhifa-l3j
    @Nadhifa-l3j Год назад +2

    Jaman huku mwisho inaliza na kuchekasha Sana kwa huyo yeyo nzuli Sana ❤ anko j

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c Год назад +11

    nyamizi alikuwa nautu Aki tenda wema nenda zoko nyamizi my God bless the girl ❤❤❤❤

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 Год назад +12

    hayawi hayawi sasa yamekuwa timu vibonge tumeshinda 😊😊😊

    • @fahmimohd261
      @fahmimohd261 Год назад +2

      Vibonge tunaonewa sana

    • @سيدا-ص1ز
      @سيدا-ص1ز Год назад +1

      kweli kabisa tumeshinda vita mungu katuwezesha

  • @AntoniaBunyanya
    @AntoniaBunyanya Год назад +4

    Simulizi zuri sana et nimeinjoi🎉🎉🎉❤❤

  • @nduguwaweruh9448
    @nduguwaweruh9448 Год назад +2

    Hapo.. hapo.. Ankojay.. simulizi tamu sana..

  • @yusrayusuph7835
    @yusrayusuph7835 Год назад +4

    Dah simulizi nzur sana yan utaman iishe inamafunzo mazur sana hongera sana

  • @daphnelovely7280
    @daphnelovely7280 Год назад +4

    Afadhali nimemaliza kuiangalia 🥰🥰🔥🔥🔥 nimeipenda

  • @THEDONSIMULIZI
    @THEDONSIMULIZI Год назад +21

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiii simuliz dah imenichekesha mnooo yaan nimeenjoy mnoooo jaman kama Kuna mdada kibonge aje nimuoe sasa hv,, nilikuwa sitaman iishe lakin tu ndo IVYO imefika tamati
    Anko jay salut kwako Mzee ✊✊✊🙏🙏
    Anko jay apewe maua yake

  • @annamagara1660
    @annamagara1660 Год назад +6

    May God bless Nyamizi alitenda mema.

  • @MirajSaid
    @MirajSaid 11 месяцев назад +2

    Hahahah nyie hii simuliz tam mno anko j mung akuwek san❤❤❤

  • @sukainamusa4651
    @sukainamusa4651 Год назад +3

    Bonge bonge kwakiganda tunasema obulunngi sidya ankojay na lissa mwala asante sana mungu awabariki

  • @PatricalBeti
    @PatricalBeti Год назад +8

    Jmn baba Jiminy kanikosha👐👐 utam wa bonge anaujua jiminy weweeeee chukua maua yako baba Jimmy 🎉🎉🎉🎉

  • @SofiaKamtande
    @SofiaKamtande Год назад +3

    Ahsante anko j nilisubiri kw hamu San hongera San kw Kaz zuri dad Lissa mwalla

  • @SalomeKaleb
    @SalomeKaleb Год назад +2

    Ankojay axant kwa simuliz nzur na yenye mafundixh meng mungu akulinde

  • @joycesamwely7896
    @joycesamwely7896 Год назад +8

    Hii simulizi ingeitwa Binti nyamizi kibonge ingependeza zaidi 🎉🎉ni tamu sana jamani Yani inamafunzo makubwa mno❤❤❤

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +14

    Simulizi za Lissa ni moto ukichanganya na msimulizi anko Jay ni mambo bam bam 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @NeemaChristopher-r6s
    @NeemaChristopher-r6s 3 месяца назад +1

    Unyama ni mwingi❤❤

  • @syliviamurondoro4690
    @syliviamurondoro4690 Год назад +4

    🎉jamani ankojay unajua kusimulia khaaa.

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +4

    Patamu hapo asante sana Anko jay kwa simulizi nzuri

  • @ngmaick
    @ngmaick Год назад +3

    Asante sna anko iyi kiboko nzuri sna MunyeziMungu akubariki kwene kaziyo❤❤❤

  • @ReginaMwenzelatifah
    @ReginaMwenzelatifah Год назад +4

    Nashukuru sana Kwa simulizi zako Anko jay Cinderella story ni nzuri mnoo I say Mungu akupe lingine nzuri kama hili.nafurahiya simulizi zako.bonjour bwasatave😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏 nashukuru mnoooooo

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 Год назад +3

    Asante Anko Jay kwa simulizi zuri sana tuna wapenda sana ❤❤❤🇨🇵🇨🇵🇨🇵

  • @ElesiaMembee
    @ElesiaMembee Год назад +2

    aaaaa kwakweli simlizi ni nzur saanaa

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu Год назад +4

    Haaah asante Anko J pamoja na mwandishi wetu Lisa Mwala mubarikiwe sana

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Год назад +3

    Jamani ankooooo unajuwa kuchekesha kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 apo kwa yeyo kwa mchungaji nimecheka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂simulizi nzuri sana barikiwa kwa kutupatia mwisho❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JamesJoseph-r5y
    @JamesJoseph-r5y Год назад +3

    anko i big up nimejifunza jambo apo

  • @zenahasan7603
    @zenahasan7603 Месяц назад

    Asant. Lisa. Akojei. Nambie. Wangu. lov🎉🎉🎉❤🇹🇿🇮🇹

  • @MariamJuma-o9z
    @MariamJuma-o9z Год назад +3

    Anko jay jamani wako wapi waume kama hayo wazuri wenye upendo Hamna hata kamwe very nice one 👍♥👌

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад +1

      Ndugu wanaume kama hao ni wa kutafuta kwa darubini

  • @annamagara1660
    @annamagara1660 Год назад +3

    Simulizi ndefu na nzuri sana yenye mafundisho mazuri sana.
    Mama yake j ni mama kukosa mwelekeo.
    Baba yake j ni Mzee mwenye hekima ameokoa family yake.

  • @KhadijaMusa-be8lw
    @KhadijaMusa-be8lw 8 месяцев назад +4

    Anko j mungu akulinde na akusaidie na akunusuru na akuhifadhi na akustiri na akuongoze na akuepushe na mabalaa ya duniani inshaallah biidhinillah utaallah yarabb

  • @giserahenerico5185
    @giserahenerico5185 Год назад +4

    Mungu akubariki ank jay. Msalimie nyamizi nampenda sana🥰🥰

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад

      Aniudhi tu hataki kisema kilichomsibu nam i simu yangu inaisha chaji na umeme umekatika

    • @lucybella4717
      @lucybella4717 8 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @mamtuhhassan809
    @mamtuhhassan809 Год назад +11

    ❤❤❤❤ Hatimae nasisi vibonge tume pendwa 😂😂❤❤ siku tamani iishe 😊❤

    • @SamsonMzehe
      @SamsonMzehe 7 месяцев назад

      Kwanza sisi vibongenhatutakagi makuu mwanamke binge mvumilivu sana

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu Год назад +3

    Asante sana Anko J oh kumbe bonge ndie aitwae CINDERELLA

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Год назад +9

    Asante anko Jay kwa simulizi tamu yenye mafunzo na mapenzi ya dhati.....Gemini alikasirika sana daah pale aliposema mama leo amazangu amazake ila Nyamizi ameonyesha amani na upendo nimejifunza kitu hapo hongera sana bonge nyanya

    • @EvomiaMunishi
      @EvomiaMunishi 4 месяца назад

      Simulizi tamu sijapata kuona nakesha bila kulala 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 uwiiiii anko Jay wee

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +5

    Wow bonge nyanya hatimae kashinda vita,❤❤❤

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад

    Kweli anko j nakisiiifu sana kwa uwezo wa ajabu ktk kaz yako,sauti ya ukali,sauti ya mahaba upatia mbaaaaya,sauti ya kubembeleza usiseme,sauti ya mama,sauti ya bab saiti ya msichana sauti ya vijana mbalimbal kweli unastahili maua yako meeengi🌹🥀🌹🥀🌹🥀🌹🥀🌹🥀🌹🥀

  • @WaridiTambi
    @WaridiTambi Год назад +3

    Asante anko jey kwa kutupa burudan ❤❤❤❤❤

  • @SalomeDada
    @SalomeDada Год назад +2

    Asante san kwamwenderezo anko jay nimejifunza mengi kwenye hii simulizi Mungu akubariki sana anko

  • @Uwimanachance-ug9qz
    @Uwimanachance-ug9qz Год назад +4

    Kuchi kuchi hotahe😂 my Anko Jay ❤

  • @jadenchris5506
    @jadenchris5506 Год назад +3

    Namukubali sana uyubindi nyamizi

  • @safiyaAhmed-r8f
    @safiyaAhmed-r8f Год назад +9

    Asante sana🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤❤ bibiye lisa mwalla mungu awa bariki wewe na anko jay.masha allah. Simulizi murwa kabusaaaaa

  • @anjelinandambuki-fi4ip
    @anjelinandambuki-fi4ip Год назад +32

    Wakwanza jameni nipeni like zenu ❤❤❤❤

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 Год назад +4

    Nice thanks llisss mwalla and anko jey

  • @azzahawadh3183
    @azzahawadh3183 Год назад +5

    Mambo mazuri ubarikiwe na kazizako amok jay kwakweli na unavyosimulia tuanaachaki allah akupe umri mrefu ❤❤❤

    • @azzahawadh3183
      @azzahawadh3183 Год назад

      Unatufanya tucfanye kazi kwakweli anko jay❤❤

  • @haleemahhamisi2534
    @haleemahhamisi2534 Год назад +5

    Asante pia lissa mwalla n anko j mmeweza hii simulizi tamu sana duuh ❤❤ mubarikiwe pia nyie I love you too anko j bye bye too🎉🎉🎉

  • @RahimRahim-x3d
    @RahimRahim-x3d Год назад +3

    Asante anko jay kwa cinderella part 4

  • @blankakessy1665
    @blankakessy1665 Год назад +6

    Inafunza sana simulizi hii hongera anko jay

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂hiyo sauti ya Yeyoo inachekesha kweli akihangaikia cheti feki cha ndoa😂😂😂😂😂

  • @mariamjumamussa9292
    @mariamjumamussa9292 Год назад +3

    Mungu akubaliki anko j💋💋👌

  • @janethdaud201
    @janethdaud201 Год назад +9

    Lissa ,Asantee kwa simulizi nzuri yenye mafundisho ktk maisha tunayoyaishi.Pia Ankojjay honera sana kwa kusimulia😊😊

  • @moreenfelluzy3243
    @moreenfelluzy3243 8 месяцев назад +1

    Ahsant San kw story jmn mwanz mwish some times unakut unafany kz San kw huzn ila ukisikiliaz saut ya onko jey dahhh ahsant San 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +6

    Asente Sana ANKO JAY mungu hakupe mishe marifu upendo la mungu ni kumbwa Sana hukiwa nalo shatani Hana amani na watu wa mungu kila siku hogera sana Jiminy kwa chakuwo la moyo wako

  • @rhodaisika46
    @rhodaisika46 Месяц назад

    Jemin na Nyamisi... Kumbukeni Nambii aliyemsimlia ndoa yenu 🎉🎉🎉

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en Год назад +10

    Huyu Dada Lisa ni noma sana. Ila awe anasimulia tu anko j tu naomba iwe hivyo

    • @dashuushu6883
      @dashuushu6883 Год назад

      Kweli kabisa atupe sisitu lahaaa

    • @LizaLiza-v2m
      @LizaLiza-v2m Год назад +2

      Yaaan kabisaa kiukweli mm simuliz mix nagusa saut ikiwa sio ya anko mapesa sisikiliz kwakweli nakereka

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад

      Umeona eee

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +6

    Amazing story,privileged 👏 sana hapo kwa ending yeyo akisema wasimamizi wa ndoa ya siri walkkufaga batamu hapo

  • @BeatriceSimaloiSalaton
    @BeatriceSimaloiSalaton Год назад +2

    Yeyo hatarii anajiumiza 😅😅

  • @SophiatembaTemba
    @SophiatembaTemba Год назад +1

    Anko jey Mungu akubariki simulizi tamu sana Na inatufundisha sana anko jey ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @paulinajeremia612
    @paulinajeremia612 Год назад +2

    Ninzuri sana nimeipenda

  • @AjrasMobile-q8j
    @AjrasMobile-q8j Год назад +2

    Hii simulizi nairudia rudia kuisikiliza ni mzuri sana haichoshi pongezi kwenu mtunzi pamoja na msimulizi

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 11 месяцев назад

      Pongezi kwao kwa kweli🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢🎉🎉🎉🎉

  • @NickolausSinkala
    @NickolausSinkala 10 месяцев назад +5

    Jamn anko jay syo kwa michambo hyo😅😅😅😅

  • @Aisha-p1r4z
    @Aisha-p1r4z Год назад +2

    ankoj nakupenda sana mm naitwa aisha kutoka kenya aki simulizi zako ninazipenda sana hongera yako

  • @RusyJackson
    @RusyJackson Год назад +2

    Baba mkwe ❤❤❤

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 5 месяцев назад +1

    Asante sana ankoJay Kwa kuhutimisha story nzuri yenye mafunzo ndani yake ya Binti CINDERELLA pia Asante sana LISA MWALLA Kwa simulizi maua yenu🎉🎉🎉🎉much love from 🇶🇦🇹🇿♥️

  • @AdidjaMema
    @AdidjaMema Год назад +1

    Mh anko Jay unasauti nzuri ❤

  • @speciozamikole2194
    @speciozamikole2194 Год назад +4

    Asante Sana mjomba bonjuu

  • @doreenchelimo4091
    @doreenchelimo4091 Год назад +6

    Ati nmemaliza 😂😂😂😂😂 I love you bonjour botwa Anko jay

  • @victoriangasa
    @victoriangasa Год назад +8

    Hatimaye nmemaliza simulizi nzuri sanaa😂😂😂 bs tunaomba na nyingine tamuu❤❤🎉🎉🎉.

  • @MariamJuma-o9z
    @MariamJuma-o9z Год назад +3

    Anko jay tutapata wapi watu kama hao watu wazuri kama hayo very nice simulizi

  • @AbdulHqim27Juma
    @AbdulHqim27Juma Год назад +1

    Simulizi nzur sana asante sana Ankojay mola azidi kukunari sana

  • @Abuuhdizzo
    @Abuuhdizzo Год назад +1

    Mashaall. Alla awalinde nakila shar. ,anko jey tunakupenda san. ,nawe alla akulinde nakila shar. Shukran

  • @aishaobo6186
    @aishaobo6186 Год назад +8

    Hii simulizi mwisho nimecheka vituko vya yeyoo 😂😂😂 Asante sanaa Anko jay

  • @mildredalivitsa1186
    @mildredalivitsa1186 Год назад +7

    Anko jay pongezi kwa simulizi tama sana nafwatilia kutoka Kenya 🎉🎉🎉🎉🎉😂❤ I love it

    • @EpimackChami-g2f
      @EpimackChami-g2f Год назад

      Aya mabonge na nyie mmeanza kupendwa chukuwen mauwa yenu

  • @KhadijaMusa-be8lw
    @KhadijaMusa-be8lw 8 месяцев назад +2

    Mungu tuu ___ asikwambie mtu ____ Subhanallah

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 Год назад +9

    Kweli mapenzi yana nguvu 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @wertqwe8326
    @wertqwe8326 Год назад +4

    Simulizi tamu kinoma ubarikiwe Lisa pamoja na anko jay ❤❤❤

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg Год назад +7

    Wale wa st kayumba leo tumefikia.blessed Anko j kwa kutuletea kitu moyo unapenda.❤❤❤

  • @mayasamayasa1205
    @mayasamayasa1205 Год назад +2

    Mapenz matam nyie achen tu❤❤❤

  • @sirajiyasini536
    @sirajiyasini536 Год назад +3

    Love nyaminzi ❤❤❤

  • @rizikibakari3598
    @rizikibakari3598 Год назад +5

    Shukurn 🙏 mkaka kwa mazuri yako🙏

  • @Swaumu-f4i
    @Swaumu-f4i Год назад

    Mashallah hongera nyamizi ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @shoshobbyguu5989
    @shoshobbyguu5989 4 месяца назад

    Jamn niwe mkweli nampenda sana huyu anty lissa anasimulixi nzur sana❤❤❤❤❤❤❤ love from oman

  • @nachumuyahya804
    @nachumuyahya804 7 месяцев назад

    Yaani ww ankoj hongera kwavbonzo vyako hongera sn🎉 na nakupenda sn lissa mwalla upo vzuri kwautunzi mtam ❤❤❤❤❤❤❤