Ahsante Mungu kwa Zawadi ya Mama mzazi long life mamaa ❤na ahsante pia na kwako Lucas Mungu akupe uzima Tele uzidi kutuelimisha na pia kutuburudisha ❤🎉🎉🎉
Nawashukuru wote waliokkuwa wakifuatilia simulizi hii tangu mwanzo to the end ilikuwa nzuri sana napenda kumshukuru Lucas kwa kazi nzuri sana God bless you have learn alot
Nashukur mung 🙏🙏🙏 Azid kukup afya njema uwez kutufundisha kwa simuliz nzur na zamadili pia nimejifunza meng san. Kukwel tumtanguliz mung ktk hali zet zot na tusijisahau kuwa hap dunian tunapit hiv tujitahid kuwa wema ktk mioyo yet 🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤. Mung atup kil la kher Amin.
Ooooh batuliii 😭😭😭😭..Nimejikuta nalia sana na moyo ukijaa kiasi kwamba kunakitu kinanyonga moyo wangu ....Asante kwa simulinzi nzuri nimejifunza kitu ...Mungu akubariki na aibariki kazi ya mikono yako kaka lukasi ❤️🙏🏼
Weeeh kaka Lucas weeeh,,story tam sna ila inackitisha sanaa,,kifo cha batuli kimefanya nictishe kula akua nala ila nkamalizia chai nakuosha mkono😢 take heart KP...nipo mie ntakulelea mwanao vzuri ucjli bra unipende km ulivyompenda batuli... congrats mtunzi🎉
Wa kwanza 🎉leo wapi like yangu 😅 from Kenya 🇰🇪
tumetoka mbaliiii mbk part 6 mwisho siyo jambo jepesi asante Lucas lumbas unaweza mbk unaweza tena upewe mauwa yako 🌺🍀 ❤❤❤🔥🔥🔥
Jamani nimecheka,nmelia ila yote tisa, nme enjoy tangu mwanzo, much ❤ from kenya 🇰🇪.
Kalike kamoja siwezi mynde
❤❤ tunakupenda sana Lucas simuliz nzuri sana zinafundisha sana maisha alisi
Nipeni namimi like basi🎉🎉🎉
Ahsante Mungu kwa Zawadi ya Mama mzazi long life mamaa ❤na ahsante pia na kwako Lucas Mungu akupe uzima Tele uzidi kutuelimisha na pia kutuburudisha ❤🎉🎉🎉
I'm no.1 thanks Smix kwa kutuburdisha ❤❤❤
This Is LUCAS LUMBAS SIMULIZI
Jaaaaman na mm hata 5 zinatosha wadau😂😂
Pendo la mungu hutoka moyoni wa mtu asente Sana Lucas lumbasi
Asante sana kaka lucks kwa siumulizi nimejifunza kitu
Nimejifuza mengi sana kwenye hii simuliz asantee sana kk LUCAS❤️🔥❤️🔥
Mambo 🔥🔥Daah imenitoa machozi Kwa batuli
Nawashukuru wote waliokkuwa wakifuatilia simulizi hii tangu mwanzo to the end ilikuwa nzuri sana napenda kumshukuru Lucas kwa kazi nzuri sana God bless you have learn alot
Nzuri sana
❤❤❤
Ilikuwa nzuri sana saaaana
Hongera mwandishi na msimuliaji rafiki yetu mpendwa Lukas Lumbas
Nimekuwa wakwanza ..kutoka lndia🇨🇮..nipeni like zangu namimi jmni 😂😂
🤣🤣na uhindi wako hata mm ni wakwanza🎉🎉🎉
Jaman india🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimeumia sana kufa kwa batuli 😢😢
Wakumi na moja 😂😂🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao Lucas
😂😂😂
Nashukur mung 🙏🙏🙏
Azid kukup afya njema uwez kutufundisha kwa simuliz nzur na zamadili pia nimejifunza meng san.
Kukwel tumtanguliz mung ktk hali zet zot na tusijisahau kuwa hap dunian tunapit hiv tujitahid kuwa wema ktk mioyo yet 🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤. Mung atup kil la kher Amin.
Sijachelewa na mimi jamani like zangu
Siy wa mwisho jamn like please 😂😂😂❤❤🎉🎉
Amin 🙏😍♥️
Ahsante Sana kwa mafunzo yako Bro Lucas
Shukrani sana Mungu awatanguriye kwasimurinzi ❤
Humu ndani kila mutu wa kwanza jamani basi namimi wakwanza🎉
😂😂😂nashangaa jmn hao wa kwanza wanatakiwa wawe wangapi?
Nimekua wapili❤❤❤🎉🎉🎉
Mashabiki nione like zenu mimi wakwanza tena
Hongera 😊
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZIq
V0
Ucjalli tuko pa 1
Kaka lukasi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua yako unatupa kitu roho inapenda❤
Karibu sana Mwana😊😊😊
😊0lp😊pl0lp😊😊@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
🌹🥀🌹🥀🌹🥀
Nilisubiri kwa hamu kubwa sana asante sana kaka lukas
😢😢😢😢😢upendo nikitu kikubwa sana mfano batuli
Lucas simulizi zako nzuri sina simanzi na zinafundisha nakupa kongole
🎉🎉🎉like zangu wapendwa
Ooooh batuliii 😭😭😭😭..Nimejikuta nalia sana na moyo ukijaa kiasi kwamba kunakitu kinanyonga moyo wangu ....Asante kwa simulinzi nzuri nimejifunza kitu ...Mungu akubariki na aibariki kazi ya mikono yako kaka lukasi ❤️🙏🏼
❤ kazi nzuri🎉bwana Lucas
Enjoy Charity😊😊😊
Saaana
Daah hi simulizi nimejipenda tokea Uganda 🇺🇬 ashante lucas ashante sana
🎉🎉❤ hayo maua n kwa Davi plz ana vichekesho sana 😅😅😅😅😅
😢😢😢😢 jmn nimelia dakika za mwishoni kabisa inauma sana kupoteza watu unaowapenda ❤❤❤❤
😭😭😭😭😭mungu akupe wepesi kaka kwel ulimpenda mkeo lakin mungu alimpenda zaidi
Jaman story nzur sana. Kaka Lucas
Enjoy😊😊
Saaana
Mauwa ya muheshimiwa lukas ❤❤❤🎉🎉🎉 thanks
Thanks 🎉🎉😊😊😊
Anastahili kwa kweli
@LUCAS_LUMBASI_SIMU🌹🥀🌹🥀🌹🥀LIZI
Thank youuuuuuu so much for a wonderful story be blessed my wetu kipenzi ❤❤❤🎉🎉🎉
ubarikiwe sana brother nimeipenda hii Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏🙏👌🫶👌🫶💛💚💛💚💛💚💛💚 Amina🙏🙏🙏
Upewe mauwa yako kak lucas🌹🌹🌹
Nampenda Batuli ❤
Na mm leo nimewah kila siku nakua wa mwisho likes zenu wapendw🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤🎉
❤❤❤❤❤❤❤ zuri sana jamn
Very stor so much ❤❤😢
🇷🇼🇷🇼🇷🇼asante sana kbx nazipenda sanna simurizi zako🤗
❤❤❤🎉🎉🎉 daaaah ngoja Kwanz ni enjoy nipeni like tafadhari
Amen amen ❤❤❤❤❤ 🙏🙏🙏🙏
Ooooooh Batuli ni Moja yo kazi yaMUNGU ambayo haina makosa bali inahitaji kutukuzwa tu🎉
😢😢😢😢oooh batuliiiii 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Najifunza upendo wenu na Batuli
Tuchukue somo la maisha hapo
Asante sana kaka Lucas Allah akupe afya njema Inshaallah ❤❤❤❤
Amen 🤲🙏🤗🤗
Asante sana kwa stories nzuri zako wa tu burudisha naza Jay
Naombeni like zenu leo nmekuw wakwanza
Asante sana kwa kutuletea simulizi tamu😊😊😊🎉🎉🎉
Kapela ameliya namimi nikaliya jaamani lucasi watuwa burundi tunakupenda sana
Asante sana tumejifunza kitu ❤❤❤❤
Wow, nice story. much love from 🇰🇪
Hongera kwa kuwahi kipenzi❤🎉🎉🎉
😢😢😭😭😭😭nimeumia San daaah
Ubarikiwe na Mungu kaka Luka❤
ᴺⁱᵐᵉʷᵃʰⁱ ⁿᵘᵐᵇᵉʳ 12 🎉🎉
😢😢kwahiyo mm ndo wa mwisho muuuuh!😮😮 Maan humu kila mtu ni wa kwanza🤣🤣🤣
Kwawalie. Kosa. Babawote😭😭😭😭😭mugonge. Hapa. Babaake. Nakapera. Amenikumbusha. Mbari😭😭😭😭duuuuuuu. Nishid.
Asanteee kipenzi changu nakupendaa sana kaka lucas
Karibu😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉
Kweli Vizuri havidumu 😢kifo cha batuli kimenitoa machozi😭😭😭😭
Daaaah,Batuli ana maneno ya faraja na hekima sana,anajua kutia moyo na kufariji sana jaman
Maskini Batuul😢😢😢, kapela kalinde huyo mtoto kwa roho na moyo, batuul Mola akuondolee ghadhabu ya kaburi😪😪😪😪duuuuh
Pole sana ndugu kupitia iyisimlizi imenifuza mengi. Pole tena
Daaah pole sana kapela hatimae tumemaliza binti kiziwi simliz hii ina mafunzo sana
Waooooooo
🙆🏻🙆🏻🙆🏻🙆🏻🙆🏻🙆🏻ooooh,,,maskini batuli hatunae tena jaman😭😭😭😭😭😭😭
Aliye mpamba batuli jmn apewe maua yake mapema sana🎉🎉🎉🎉
Weeeh kaka Lucas weeeh,,story tam sna ila inackitisha sanaa,,kifo cha batuli kimefanya nictishe kula akua nala ila nkamalizia chai nakuosha mkono😢 take heart KP...nipo mie ntakulelea mwanao vzuri ucjli bra unipende km ulivyompenda batuli... congrats mtunzi🎉
Me wa mwisho leo😢
Pole yak kapla
😭😭😭 Mbona imeisha na maumivu jamani
Oh my god I like this story be blessed my brother Lucas I love you so much ❤❤❤❤
Nilivyo kuwa naisubil heee😂😂
Enjoy😊😊
Wow 😳 what a wonderful story asante sana kaka ❤❤❤❤
Love story but mwisho so sad 😂😂😂😂😂
Tnx
Amen God time is the best ❤❤❤❤
Ujambo ankojey kwakweli upande wangu unanifariji kwakila simulizi yako ongera saana na kutakiya KAZI njema
Jamani hivi kwanu hamsoni hata jina la chennel????? Anyway Ume wrong sms,😊😊
😂😂😂😂😂@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
Shukurani
❤❤❤❤Thanks bro Lucas
Jamani pole kapera 😢😢 Asante kaka Lucas 😍😍😍😍
Umenifudisha kitu kikubwasana mugu akupe akili nyigisana I love you
Lisa iko hewan vp mm namalizana na anko lukas kwanza ndio niende kwa anko j
Kama kawaida
😂😂😂😂❤
Shukrani kaka Lukas, simulizi tamuu kabisa 🥰🥰🥰
Karibu Halima😊😊
Asante kaka Lukas, ila hii simulizi mwisho inahuzuni😢,hivi unaposimulia unakuwa na hali gani kipande kama hichi cha huzuni
Unanifariji WE baba
Shukurani sana da umetufunza jaman
Woooow 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉 na hiyo ni dawa gani inayosaidia wapo weng 14:57
Nimestuka hapo batuli kafariki 😢😢😢😢😢😢😢😢
Nimeumia sana😭
Nimejikuta nalia masikini batuli 😭😭😭sijui niseme nini ila nimeumia mno
❤❤❤❤❤❤ndani
Likes hata tatu
Nakuongeza 1
Imeisha vibaya batuli kafa sijapenda nilitamani nione batsli ataleaje mtt wake loooo