NAJUTA KUMRUDIA EX, KANINYOOSHA | SIMULIZI FUPI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Msimuliaji : Lucas Lumbasi (+255 710208145)
    Follow Me On Socials :-
    Facebook : www.facebook.c...
    TikTok: www.tiktok.com...
    Instagram: www.instagram....
    USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KULIKE KAMA UNAPENDEZWA NA SIMULIZI.
    Psalms 46:1 ESV
    "God is our refuge and strength"

Комментарии •

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 7 дней назад +8

    Kitu kipya hewani 😂😂Ahsante sana kipenzi chetu LUCAS LUMBAS,,,wasikilizaji wenzangu natumaini muko poa ❤

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +4

      Tuko safi😁💖

    • @binthassan9191
      @binthassan9191 7 дней назад +4

      @@TeklaNdekeja one love ❤️ best friend 🧡

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +3

      @binthassan9191 love u too💖

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад

      2ko poa kpnz❤❤cjui ww nawe na kz

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 7 дней назад +7

    MashaaAllah kitu kipya hichooooo shukran kaka Lucas Lumbasi ila Leo tunasubiri bedroom part ya mwisho❤❤❤

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 7 дней назад +9

    bedroom Mwisho Bado tu❤❤❤❤

  • @RelixHunter-y6o
    @RelixHunter-y6o 7 дней назад +8

    Nmefika ata kama nmechelewa ❤❤

  • @Sur-v9s
    @Sur-v9s 6 дней назад +2

    Kitu kipya icho 🤗🤗🤗

  • @FaithNdenge-k9i
    @FaithNdenge-k9i 7 дней назад +7

    Yani Kila siku iendapo Kwa mungu tunaletewa mafunz mema Asante sana kaka Lukas ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ndayisabaneema9514
    @ndayisabaneema9514 7 дней назад +11

    Hi rucas asante kwasimulizi nzuli 🎉🎉ila iyo ya Kiato imeniumiza sana mwisho.tomasi na tunu awe na umoja kati ya Alex na yule mwingine 😢

    • @RelixHunter-y6o
      @RelixHunter-y6o 7 дней назад +4

      Ata mm iliniumiza Sana..mwisho mbaya kwa tunu 🥹

  • @Shadia544
    @Shadia544 7 дней назад +10

    Leo nimewahi nimekuwa no 3 HIT & RUN HAYA TUNASIKILIZA HAPA ILI TUJUWE ITAKUWAJE KWA MAMA SHADIA 🎧🎧🪑🪑

  • @Zina-t5j
    @Zina-t5j 7 дней назад +6

    Lucas lumbasi ulituambia kabla mwezi wa pili bedroom itakuwa tumemalizana nayo😢 mbona umetuagusha watu wako ila leo jitaidi tumalizane nayo tulale vzr hii leo❤🎉🎉🎉

  • @EsterSayi-s1q
    @EsterSayi-s1q 7 дней назад +9

    waooo kitu kipya njooni jaman❤❤❤❤❤❤ Lucas katupia huku🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +3

      @@EsterSayi-s1q ♥️♥️♥️🎉🎉

    • @EsterSayi-s1q
      @EsterSayi-s1q 7 дней назад

      ♥️♥️♥️💕🙏🙏🎉🎉​@zenaathumani8144

  • @sabrinarashid7990
    @sabrinarashid7990 7 дней назад +6

    Shukran Mungu akupe umri mrefu

  • @masokamsafiri8664
    @masokamsafiri8664 7 дней назад +8

    Wanameber😂amlali hata group atujahino kwa kaka na mwisho wa 🛌 atujafika tayari mko mbiyo simulizi mpya mmenifurahisha sana kumbe tuko pamoja nawapenda sana wana Lucas lumbasi❤❤❤❤

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад

      @@masokamsafiri8664 🥰🥰🥰

  • @ManisaboSifa
    @ManisaboSifa 6 дней назад +3

    😊😊😊😊 polesana

  • @saudamwakunemwa3856
    @saudamwakunemwa3856 6 дней назад +1

    ❤❤ kila kitu majaaliwa yke mungu🎉🎉

  • @YusraBadru
    @YusraBadru 7 дней назад +9

    🎉🎉🎉

  • @Rehemaa-uz8rj
    @Rehemaa-uz8rj 7 дней назад +5

    Waooooooo 🎉

  • @loyc6306
    @loyc6306 7 дней назад +6

    Waa watu wako chonjo nimechelewa ila nimefika kumusikiliza huyu mdada aliterudia matapishi kama alitapika tena au vip maana kurudia ex hilo jambo naona sio poa maana kile kilichokuacha ukosqne nae kilimalizwa na nini acha nikae mie nipate uhondo much love lucas lumbas ❤❤❤🎉🎉😂

  • @racheldidas-o8m
    @racheldidas-o8m 7 дней назад +8

    ❤❤❤🎉🎉

  • @aishaobo6186
    @aishaobo6186 7 дней назад +10

    Jamani bedroom last episode leo tumesubiri mpaka macho yanauma

    • @ManisaboSifa
      @ManisaboSifa 6 дней назад +1

      Umesubirpole😂😂😂😂

  • @FIRDAUsk-h2g
    @FIRDAUsk-h2g 7 дней назад +9

    Guys muko pow ila muko fasta jamn nigaieni na mm izo like zenu vpnz ❤

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +4

      @@FIRDAUsk-h2g 🤣🤣🤣🤣🥰

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +4

      @@FIRDAUsk-h2g chukua hizo ♥️♥️♥️🎉🎉🎉🤣

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 7 дней назад +16

    ❤❤(No4) Asie shukuru hafai haya nasema asante kwa simliz mpyaa, lakin tunakuomba tufanyie upendeleo km inawezeka bed room jioni utumalizie, Asante💖💖💖

  • @maggemonalisa4331
    @maggemonalisa4331 7 дней назад +9

    🎉🎉

  • @DaniellaHassanififi
    @DaniellaHassanififi 7 дней назад +8

    Wakwaza 🎉🎉🎉🎉

  • @هايلينل
    @هايلينل 7 дней назад +6

    Ee kufanya kosa si kosa kurudia kosa ni kosa mamaa

  • @maryamshaaban9994
    @maryamshaaban9994 7 дней назад +7

    ❤❤❤🔥

  • @BlessingsKelvin-c9u
    @BlessingsKelvin-c9u 7 дней назад +7

    Wow kitu kipy

  • @AhlamAbdallah-f1w
    @AhlamAbdallah-f1w 6 дней назад +4

    SICHEKI NA WOWOTEEE 😂😂😂 ndo hii ss

  • @DaniellaHassanififi
    @DaniellaHassanififi 7 дней назад +10

    ❤❤❤❤

  • @JeromeBaraka
    @JeromeBaraka 7 дней назад +3

    Siovizuriî kanihujui kamasi siwanafamiria tunakupendaa

  • @Lucy-vp8pm
    @Lucy-vp8pm 7 дней назад +9

    Mama ameliona jua mbele yako halima hukupaswa kukataa ushauri wake unaezaje kupea mwana mme akiwa mdogo kisa n baba hapo umechemsha

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 6 дней назад +2

      Hana akili kabisa Halima, kumtelekeza mtoto kwa watu ambao hawana uchungu nae

    • @FatumaJumanne-p4d
      @FatumaJumanne-p4d 6 дней назад +1

      Wa2 2natabiq kusema c damu yao hawatoifanya k2.

  • @MarrysalomeMtenga-qh8qy
    @MarrysalomeMtenga-qh8qy 7 дней назад +9

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Babyfaty-m3y
    @Babyfaty-m3y 7 дней назад +9

    Leo waznzbr tumeheshimishwa na kaka harun 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +4

      Aki heshima kwenu, alijigonga na kiswahili kirefu😁 akaona amepatia😂

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 7 дней назад +5

      @TeklaNdekeja 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 tumepga changa cyo la kitoto

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 7 дней назад

      @TeklaNdekeja tunakusbr whssap huku mbna hufiki kwenye group au hujatoa no yko bdo

  • @ZaiZainabu-o4p
    @ZaiZainabu-o4p 7 дней назад +8

    No47 nimewai ata nimemiss bedy room😂😂 asale kaka lucas kwakityu kipya❤❤

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +4

      Kwel kabsa😆😆

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +2

      @@ZaiZainabu-o4p ♥️♥️♥️🎉🎉

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад

      @@ZaiZainabu-o4p kbc 🥰🥰

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 6 дней назад +1

    😮❤❤❤🎋🎋🎋🥀🥀🥀🌹🌹🌹🔥🔥Halima na Khalid, X akikurudia kwa kasi kama hivyo yaani ujue wazi kapigwa tukio huko anatafuta pakupumzikia, kuwa makini utakomesheka kila kona

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg 7 дней назад +9

    Ncheke 😂😂kwanza hicho kichwa cha habari tayari ni kichekesho tosha...🎉🎉🎉@Tekla Ndekeja na dada zainab athuman mko wapi❤❤❤🎉🎉🎉

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +2

      @@MwanatumuJumaa-rj4fg ♥️♥️♥️🎉🎉

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +2

      Tupo kabisa mwaju🤣🤣🤣😘😘😘

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +3

      ❤❤waooo tupomaja👊

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 7 дней назад +2

      Nimambo ya ku Hit and Run😂😂😂😂😂😂😂

    • @MwanatumuJumaa-rj4fg
      @MwanatumuJumaa-rj4fg 6 дней назад

      ​@@Evelynmoreen3655inaitwa piga uwa garagaza😂aka hit &Run

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 7 дней назад +6

    Leo ndio nimeamini kua mipango sio dli kunamda hua napanga kununua meli😁 mwenzngu alipanga kufata mizingo inje ya nchi😅😅 pole haruni alikwingiza kg asee

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 7 дней назад +9

    Wa 11 jamani likes zenu asante sana sana luca kwa kutuletea simulizi hii mpyaa 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹🍕💪🇹🇿 ciao ciao wote wanafamily wa Lucas

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +3

      🎉🎉🎉❤❤

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +1

      @zenaathumani8144 🥰🥰🥰🥰2ko ndani tyri

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +2

      @TeklaNdekeja 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🌹🌹

    • @EsterSayi-s1q
      @EsterSayi-s1q 7 дней назад +3

      ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +2

      @EsterSayi-s1q 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🌹🌹

  • @LeilaMussa-l4p
    @LeilaMussa-l4p 7 дней назад +8

    Wakwaza

  • @NuruGerald
    @NuruGerald 7 дней назад +5

    Kumbe wanasemaga asante baada ya shuhuli😂😂😂 mi nahi roho yangu ngumu sijaribu kwakweli😂😂

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +3

      😂😂😂

    • @ZenaidaDaniel-r9d
      @ZenaidaDaniel-r9d 6 дней назад +1

      😅😅 mbona unaroho kama yangu sasa kwa nn nikusifie wakati tumefanya wote

  • @LeeYanOm
    @LeeYanOm 7 дней назад +5

    Na kwann umrudie ex 😂😂

  • @BintalyB
    @BintalyB 7 дней назад +10

    Mko wpi njooni uku mmbo tyri leo mm ndio nawakaribisha ndani😂

  • @FellyneDagal64
    @FellyneDagal64 7 дней назад +8

    Hi guys wa kwanza Leo Naomba like zenu please 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DanielCaroline
    @DanielCaroline 6 дней назад +2

    Nilijua tu wakaka wazuri ni wezi

  • @aminanimbona1861
    @aminanimbona1861 7 дней назад +6

    Jamaniii Ex harudiwiiiii 😅😅😅😅😅😅inaonyesha Halima hajahuzuria kikao cha wanawake cha mwanzo wa mwakaa sasa limemkuta jambooo😂😂😂acha nisikie mieee simulizi 😂😂😂😂

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i 6 дней назад +4

    Mapenzi ni kujifunza mambo mengi na changamoto kwny mapenzi ni jambo la kawaida na kupigwa matukio kwny mausiano ni kitu chakawaida 😢😢😢

  • @candidekaneza8587
    @candidekaneza8587 7 дней назад +9

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +5

      🎉🎉🥳

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +1

      @@candidekaneza8587 🥰🥰

  • @annakinyi218
    @annakinyi218 7 дней назад +4

    Bedroom ndo Vipi

  • @FatimaRamadan-s4f
    @FatimaRamadan-s4f 6 дней назад +1

    Thanks

  • @BethMdoe
    @BethMdoe 7 дней назад +7

    Duuh nyie usiombe yakukute yan mim nilitapeliwa M1 tu na mpenzi nikamkoswa lkn duuu adi leo ninakidonda😢

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +5

      Pole kwa Hilo wanaume sio watu waziri wengi wametufa kuw sio waamifu kwao japokua atawao tunawaliza il hawo ndio chazo

    • @BethMdoe
      @BethMdoe 7 дней назад +4

      @TeklaNdekeja kbs maana sis tunapenda kwel kwel wao wanania nyingine

  • @DanielCaroline
    @DanielCaroline 6 дней назад +3

    Uyuu harun cy tapeli kwel mtu gn hana social media😅

  • @Babyfaty-m3y
    @Babyfaty-m3y 7 дней назад +13

    Jmn lucas mbna bedroom haijamaliza bdo😢😢😢

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +3

      Amtoki mko youtube 2afanyi kzi😂

    • @FurahaMasha-q2o
      @FurahaMasha-q2o 7 дней назад +3

      Murongo.urongo huyu juzi alisema jana atamaliza lakini akatudanganya

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 7 дней назад +3

      @BintalyB 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kaz tunafanya lkn haziend bila simuliz

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +3

      @@Babyfaty-m3y mm mwenzako nmejificha nko nyuma ya nyumba nasikiliza na uku na fua🤣🤣🤣

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 7 дней назад +4

      @@FurahaMasha-q2o 🤣 🤣 yupo kma anko 😂

  • @Mejumaa-v3g
    @Mejumaa-v3g 7 дней назад +6

    Ex harudiwi 😂😂

  • @asyinatymoraa1240
    @asyinatymoraa1240 7 дней назад +7

    A kwanza nipewe likes🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 7 дней назад +5

    Mmmmhhhh mapenzi shikamo cjui kama utaendelea kuwa singo 😢😢😢😢😢😢 mmmhhh shikamo mapenzi hayaa huyo ex aliee rundi cjui nani kati yao wawilii😂😂😂😂😂😂 mm mpaka nawaongopaa maex maana kwa matukio cjui kama huwa wanarundi kwa mapenzi kweli au kuwalizaa watu 2

  • @Regina-p6r
    @Regina-p6r 7 дней назад +7

    Hii simulizi kama ayajakukuta uwezi kuelewa maumivu yake

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 7 дней назад +11

    Koma na ukomae kwani nani alikwambia Ex anarudiwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mapenzi konyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +4

      @@Evelynmoreen3655 🤣🤣🤣♥️♥️♥️🎉

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +1

      @@Evelynmoreen3655 🤣🤣🤣wpi kelee za mxweeee

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 7 дней назад +4

      @Evelynmoreen3655 anarudia Ex cfanyi uwo upumbavu nataka.alie machozi cjarbu ata mara moja😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 7 дней назад +4

      @Babyfaty-m3y mapenzi gani hayo yakurudiana na Ex ndo akome sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +5

      Jambo nisiro fikii katika safari ya maishayangu yote nihiro bajameni😃😃unarud kwa Ex unazani kazariwa upya au😳

  • @ReginaBenjamin-ij2ec
    @ReginaBenjamin-ij2ec 7 дней назад +6

    🤣🤣🤣🤣 ivi nani kasema X analudiwa jaman

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 7 дней назад +5

      @@ReginaBenjamin-ij2ec mm kila cku ananililia ardi lkn cjarb ata kwa bahat mbaya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 7 дней назад +5

      @@ReginaBenjamin-ij2ec 🤣🤣🤣♥️♥️♥️🎉🎉

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +5

      @@ReginaBenjamin-ij2ec 🤣🤣🤣

    • @FatumaJumanne-p4d
      @FatumaJumanne-p4d 6 дней назад

      Inategemea qnarud rud vp ila itabd ukae kwa magutu

  • @BintalyB
    @BintalyB 7 дней назад +8

    Nmewahi leo nmekuwa wakwanza😂😂😂

    • @Babyfaty-m3y
      @Babyfaty-m3y 7 дней назад +2

      @@BintalyB ata haya huna 🤣 🤣 🤣 🤣

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +2

      Sifai kuwa wa kwanza 🤣🤣🤣

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 6 дней назад +1

    Maisha ni maisha tu hakuna yaliyo bora kuliko mengine, na hivyo Mungu akikujalia kipato mshukuru sana kwani inatosha

  • @RebeccaMuhimba-m7w
    @RebeccaMuhimba-m7w 6 дней назад +3

    Nimeamua kuja kwenye account yako baada ya comment yako kwenye interview ya goodluck ❤❤ nilikuwa sijui kama unasimlizi pambe

  • @JeromeBaraka
    @JeromeBaraka 7 дней назад +3

    KakArukasi tunaomba uturetee mwishowadeo namutuyi jamanii mbonareoumeifanyasikukuwangumusanaa

  • @Sss-b9w6f
    @Sss-b9w6f 7 дней назад +7

    ❤❤😂😂🎉🎉🎉😢70

  • @TyT-h5l
    @TyT-h5l 7 дней назад +3

    Kaka Lucas mbna umevunja ahadi yako jaman vp bedroom ss

  • @RitaannyManegabe
    @RitaannyManegabe 7 дней назад +8

    Wa mwishi ni nani ?

  • @jinaanhkareem3650
    @jinaanhkareem3650 6 дней назад

    Aisee pole sana

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 5 дней назад

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 nice story be blessed kaka Lucas

  • @MoniraMonira-dg3cd
    @MoniraMonira-dg3cd 7 дней назад +1

    Ex arudiwi 😂😂😂

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 5 дней назад

    Mapenxi shezi kweli umeoshwaa bila sabuni halafuu ukiamua kumpenda mtuu hakikisha moyo original wachakwanyumbaa kwakemuendee na coppy akikuvuruga mwachee

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 5 дней назад

    Yani unaachana namtu halafuu anakuja unamvulia nguo halafuu anakuambia anaoa jamani😢😢😢😢 hixi ndoa bs tuu yani tulioonja ndoa tunajua raha nakarahaa usione mtu ako single ukasema oho kataka wapi wengine tulilazimika ili tulee watoto naamani

  • @FatumaJumanne-p4d
    @FatumaJumanne-p4d 5 дней назад +1

    Ila huyo Harun hzo ml.15 na card ye2 ztamtokea puan .

  • @FaithPeter-j4w
    @FaithPeter-j4w 7 дней назад +8

    ❤❤❤❤

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 7 дней назад +4

      💥💥👌

    • @BintalyB
      @BintalyB 7 дней назад +3

      @@FaithPeter-j4w 🥰🥰🥰

    • @FaithPeter-j4w
      @FaithPeter-j4w 7 дней назад +3

      @BintalyB nimekuona kipenzi ❤️❤️❤️❤️

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 7 дней назад +2

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @RoseJacob-p8d
    @RoseJacob-p8d 7 дней назад +4

    ❤❤❤

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 7 дней назад +3

    ❤❤❤

  • @ElizaSada
    @ElizaSada 7 дней назад +3

    ❤❤❤❤

  • @Mupawarda-gj9qo
    @Mupawarda-gj9qo 6 дней назад +1

    ❤❤❤❤

  • @MariamHawa-b4w
    @MariamHawa-b4w 6 дней назад +1

    ❤❤❤

  • @mwanasiti83sete63
    @mwanasiti83sete63 6 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @FatumaJumanne-p4d
    @FatumaJumanne-p4d 6 дней назад +1

    ❤❤❤