NAJUTA KUMRUDIA EX, KANINYOOSHA | SIMULIZI FUPI
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Msimuliaji : Lucas Lumbasi (+255 710208145)
Follow Me On Socials :-
Facebook : www.facebook.c...
TikTok: www.tiktok.com...
Instagram: www.instagram....
USISAHAU KU SUBSCRIBE NA KULIKE KAMA UNAPENDEZWA NA SIMULIZI.
Psalms 46:1 ESV
"God is our refuge and strength"
Kitu kipya hewani 😂😂Ahsante sana kipenzi chetu LUCAS LUMBAS,,,wasikilizaji wenzangu natumaini muko poa ❤
Tuko safi😁💖
@@TeklaNdekeja one love ❤️ best friend 🧡
@binthassan9191 love u too💖
2ko poa kpnz❤❤cjui ww nawe na kz
MashaaAllah kitu kipya hichooooo shukran kaka Lucas Lumbasi ila Leo tunasubiri bedroom part ya mwisho❤❤❤
bedroom Mwisho Bado tu❤❤❤❤
Nmefika ata kama nmechelewa ❤❤
Kitu kipya icho 🤗🤗🤗
Yani Kila siku iendapo Kwa mungu tunaletewa mafunz mema Asante sana kaka Lukas ❤❤❤🎉🎉🎉
Hi rucas asante kwasimulizi nzuli 🎉🎉ila iyo ya Kiato imeniumiza sana mwisho.tomasi na tunu awe na umoja kati ya Alex na yule mwingine 😢
Ata mm iliniumiza Sana..mwisho mbaya kwa tunu 🥹
Leo nimewahi nimekuwa no 3 HIT & RUN HAYA TUNASIKILIZA HAPA ILI TUJUWE ITAKUWAJE KWA MAMA SHADIA 🎧🎧🪑🪑
❤❤❤
Lucas lumbasi ulituambia kabla mwezi wa pili bedroom itakuwa tumemalizana nayo😢 mbona umetuagusha watu wako ila leo jitaidi tumalizane nayo tulale vzr hii leo❤🎉🎉🎉
waooo kitu kipya njooni jaman❤❤❤❤❤❤ Lucas katupia huku🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@@EsterSayi-s1q ♥️♥️♥️🎉🎉
♥️♥️♥️💕🙏🙏🎉🎉@zenaathumani8144
Shukran Mungu akupe umri mrefu
Wanameber😂amlali hata group atujahino kwa kaka na mwisho wa 🛌 atujafika tayari mko mbiyo simulizi mpya mmenifurahisha sana kumbe tuko pamoja nawapenda sana wana Lucas lumbasi❤❤❤❤
@@masokamsafiri8664 🥰🥰🥰
😊😊😊😊 polesana
❤❤ kila kitu majaaliwa yke mungu🎉🎉
🎉🎉🎉
Waooooooo 🎉
Waa watu wako chonjo nimechelewa ila nimefika kumusikiliza huyu mdada aliterudia matapishi kama alitapika tena au vip maana kurudia ex hilo jambo naona sio poa maana kile kilichokuacha ukosqne nae kilimalizwa na nini acha nikae mie nipate uhondo much love lucas lumbas ❤❤❤🎉🎉😂
❤❤❤🎉🎉
Jamani bedroom last episode leo tumesubiri mpaka macho yanauma
Umesubirpole😂😂😂😂
Guys muko pow ila muko fasta jamn nigaieni na mm izo like zenu vpnz ❤
@@FIRDAUsk-h2g 🤣🤣🤣🤣🥰
@@FIRDAUsk-h2g chukua hizo ♥️♥️♥️🎉🎉🎉🤣
❤❤(No4) Asie shukuru hafai haya nasema asante kwa simliz mpyaa, lakin tunakuomba tufanyie upendeleo km inawezeka bed room jioni utumalizie, Asante💖💖💖
🎉🎉🎉🎉❤
❤❤❤🎉🎉
❤❤❤
Mumefika tyri😂
🙏🙏🙏🥰
🎉🎉
Wakwaza 🎉🎉🎉🎉
Ee kufanya kosa si kosa kurudia kosa ni kosa mamaa
❤❤❤🔥
Wow kitu kipy
SICHEKI NA WOWOTEEE 😂😂😂 ndo hii ss
❤❤❤❤
❤❤❤👏
Siovizuriî kanihujui kamasi siwanafamiria tunakupendaa
Mama ameliona jua mbele yako halima hukupaswa kukataa ushauri wake unaezaje kupea mwana mme akiwa mdogo kisa n baba hapo umechemsha
Hana akili kabisa Halima, kumtelekeza mtoto kwa watu ambao hawana uchungu nae
Wa2 2natabiq kusema c damu yao hawatoifanya k2.
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Leo waznzbr tumeheshimishwa na kaka harun 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Aki heshima kwenu, alijigonga na kiswahili kirefu😁 akaona amepatia😂
@TeklaNdekeja 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 tumepga changa cyo la kitoto
@TeklaNdekeja tunakusbr whssap huku mbna hufiki kwenye group au hujatoa no yko bdo
No47 nimewai ata nimemiss bedy room😂😂 asale kaka lucas kwakityu kipya❤❤
Kwel kabsa😆😆
@@ZaiZainabu-o4p ♥️♥️♥️🎉🎉
@@ZaiZainabu-o4p kbc 🥰🥰
😮❤❤❤🎋🎋🎋🥀🥀🥀🌹🌹🌹🔥🔥Halima na Khalid, X akikurudia kwa kasi kama hivyo yaani ujue wazi kapigwa tukio huko anatafuta pakupumzikia, kuwa makini utakomesheka kila kona
Ncheke 😂😂kwanza hicho kichwa cha habari tayari ni kichekesho tosha...🎉🎉🎉@Tekla Ndekeja na dada zainab athuman mko wapi❤❤❤🎉🎉🎉
@@MwanatumuJumaa-rj4fg ♥️♥️♥️🎉🎉
Tupo kabisa mwaju🤣🤣🤣😘😘😘
❤❤waooo tupomaja👊
Nimambo ya ku Hit and Run😂😂😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655inaitwa piga uwa garagaza😂aka hit &Run
Leo ndio nimeamini kua mipango sio dli kunamda hua napanga kununua meli😁 mwenzngu alipanga kufata mizingo inje ya nchi😅😅 pole haruni alikwingiza kg asee
Wa 11 jamani likes zenu asante sana sana luca kwa kutuletea simulizi hii mpyaa 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹🍕💪🇹🇿 ciao ciao wote wanafamily wa Lucas
🎉🎉🎉❤❤
@zenaathumani8144 🥰🥰🥰🥰2ko ndani tyri
@TeklaNdekeja 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🌹🌹
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤
@EsterSayi-s1q 🙏🙏🙏♥️♥️♥️🌹🌹
Wakwaza
Kumbe wanasemaga asante baada ya shuhuli😂😂😂 mi nahi roho yangu ngumu sijaribu kwakweli😂😂
😂😂😂
😅😅 mbona unaroho kama yangu sasa kwa nn nikusifie wakati tumefanya wote
Na kwann umrudie ex 😂😂
Mko wpi njooni uku mmbo tyri leo mm ndio nawakaribisha ndani😂
💝💝💝🥰
Hi guys wa kwanza Leo Naomba like zenu please 🎉🎉🎉🎉🎉
Nilijua tu wakaka wazuri ni wezi
Jamaniii Ex harudiwiiiii 😅😅😅😅😅😅inaonyesha Halima hajahuzuria kikao cha wanawake cha mwanzo wa mwakaa sasa limemkuta jambooo😂😂😂acha nisikie mieee simulizi 😂😂😂😂
😅😅ex na andazi nachagua andazi
Ndio 2najfunza😂
Mapenzi ni kujifunza mambo mengi na changamoto kwny mapenzi ni jambo la kawaida na kupigwa matukio kwny mausiano ni kitu chakawaida 😢😢😢
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🥳
@@candidekaneza8587 🥰🥰
Bedroom ndo Vipi
Thanks
Duuh nyie usiombe yakukute yan mim nilitapeliwa M1 tu na mpenzi nikamkoswa lkn duuu adi leo ninakidonda😢
Pole kwa Hilo wanaume sio watu waziri wengi wametufa kuw sio waamifu kwao japokua atawao tunawaliza il hawo ndio chazo
@TeklaNdekeja kbs maana sis tunapenda kwel kwel wao wanania nyingine
Uyuu harun cy tapeli kwel mtu gn hana social media😅
Jmn lucas mbna bedroom haijamaliza bdo😢😢😢
Amtoki mko youtube 2afanyi kzi😂
Murongo.urongo huyu juzi alisema jana atamaliza lakini akatudanganya
@BintalyB 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kaz tunafanya lkn haziend bila simuliz
@@Babyfaty-m3y mm mwenzako nmejificha nko nyuma ya nyumba nasikiliza na uku na fua🤣🤣🤣
@@FurahaMasha-q2o 🤣 🤣 yupo kma anko 😂
Ex harudiwi 😂😂
A kwanza nipewe likes🎉🎉🎉🎉🎉
Mmmmhhhh mapenzi shikamo cjui kama utaendelea kuwa singo 😢😢😢😢😢😢 mmmhhh shikamo mapenzi hayaa huyo ex aliee rundi cjui nani kati yao wawilii😂😂😂😂😂😂 mm mpaka nawaongopaa maex maana kwa matukio cjui kama huwa wanarundi kwa mapenzi kweli au kuwalizaa watu 2
Hii simulizi kama ayajakukuta uwezi kuelewa maumivu yake
Koma na ukomae kwani nani alikwambia Ex anarudiwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mapenzi konyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@Evelynmoreen3655 🤣🤣🤣♥️♥️♥️🎉
@@Evelynmoreen3655 🤣🤣🤣wpi kelee za mxweeee
@Evelynmoreen3655 anarudia Ex cfanyi uwo upumbavu nataka.alie machozi cjarbu ata mara moja😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@Babyfaty-m3y mapenzi gani hayo yakurudiana na Ex ndo akome sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jambo nisiro fikii katika safari ya maishayangu yote nihiro bajameni😃😃unarud kwa Ex unazani kazariwa upya au😳
🤣🤣🤣🤣 ivi nani kasema X analudiwa jaman
@@ReginaBenjamin-ij2ec mm kila cku ananililia ardi lkn cjarb ata kwa bahat mbaya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@@ReginaBenjamin-ij2ec 🤣🤣🤣♥️♥️♥️🎉🎉
@@ReginaBenjamin-ij2ec 🤣🤣🤣
Inategemea qnarud rud vp ila itabd ukae kwa magutu
Nmewahi leo nmekuwa wakwanza😂😂😂
@@BintalyB ata haya huna 🤣 🤣 🤣 🤣
Sifai kuwa wa kwanza 🤣🤣🤣
Maisha ni maisha tu hakuna yaliyo bora kuliko mengine, na hivyo Mungu akikujalia kipato mshukuru sana kwani inatosha
Nimeamua kuja kwenye account yako baada ya comment yako kwenye interview ya goodluck ❤❤ nilikuwa sijui kama unasimlizi pambe
Karibu saaana Rebecca
KakArukasi tunaomba uturetee mwishowadeo namutuyi jamanii mbonareoumeifanyasikukuwangumusanaa
❤❤😂😂🎉🎉🎉😢70
Kaka Lucas mbna umevunja ahadi yako jaman vp bedroom ss
Wa mwishi ni nani ?
Ni wewee😂😂
Aisee pole sana
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 nice story be blessed kaka Lucas
Ex arudiwi 😂😂😂
Mapenxi shezi kweli umeoshwaa bila sabuni halafuu ukiamua kumpenda mtuu hakikisha moyo original wachakwanyumbaa kwakemuendee na coppy akikuvuruga mwachee
Yani unaachana namtu halafuu anakuja unamvulia nguo halafuu anakuambia anaoa jamani😢😢😢😢 hixi ndoa bs tuu yani tulioonja ndoa tunajua raha nakarahaa usione mtu ako single ukasema oho kataka wapi wengine tulilazimika ili tulee watoto naamani
Ila huyo Harun hzo ml.15 na card ye2 ztamtokea puan .
❤❤❤❤
💥💥👌
@@FaithPeter-j4w 🥰🥰🥰
@BintalyB nimekuona kipenzi ❤️❤️❤️❤️
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤