Waaoow jambo lenye umuhimu ni kuishikilia imani haijalishi unabudia wapi either katika dini la kislasmu ama kikristu ila kumwomba MUNGU tuu ndiyo suluhisho lemye kutoa jibu lililo sahihi’ pia mapenzi yakweli hayafi
Logan na inaya mungu awabaliki sana mmetoka mbali na penzi lenu kwa sababu mungu alipanga muwe pamoja hakuna mwanadam atakaye watenganisha nimejifunza sana kupitia hii simulizi asante sana Anko jey mungu akubaki sana ❤❤❤❤❤❤❤
Asante Lissa Mwala mafundisho tumepata.hawa Kunguru wawili wamepitia mapigo ya hatari. Lakini maisha ni uchaguzi. Ukiamua kua jambazi utavuna ujangili tu ukiamua kuwa mwema utavuna mambo mema. Rose alichagua barabara sio katika maisha lakini amelipa.
Anko J lazima ajipe mfano na kujisifia yaani natamani simulizi isiishe napenda kukuzikiliza unanichakesha hatari Anko J mpaka naonekana mjinga nacheka peke angu naulizwa nacheka nini...asante kwa simulizi nzuri Mungu akuzidishie😂😂😂😂
Ongera sana inaya na Logan mungu awatangulie kwenye ndoa yenu natamani siku moja tuonane bila kumsahau Anko jey kwa simulizi zake zuri naomba nikija Tanzania nitawatafuta nimejifunza mengi kupitia hii story number yangu
Hongera Lissa mwala kipenzi hakika bururudani hii sio mchezo ila alie nasikio najua amefaidi mengi na alie tayari kubadilika hataghairi kwani mafunzo yote yspo hapa pia ahsante anko jay kwa yako kazi nzuri simamia hapo hapo nahodha wetu na bila kuwasahau wana simulizi mix wote hongereni
Ili dhahabu ing'ae lazima ipite kwenye moto.
Enaya pambana mamaa umepitia mengi na bado unaendelea kupambana ❤
Anko j unabowa ukimuigizia uyo mzungu anavoongea loo!
Inaya is a fighter. Pigania haki yako. We mwanamke bora unastahili dhahabu.
Sindy love you so much
Dem malaya huyu
Pole sana inaya kwa uliyopitia Mungu akuinuwe kweny maisha yako
Hakuna rafiki kwenye hii dunia kama sindi,marafiki wa sasa utadumu nao lkn mara nyingi wivu wao ujenga chuki mbaya sana kwenye nafsi zao
Kuna la kujifunza. Nzur san nimependa anko jey. Imenikumbusha mbali sana yaan nzur mnoo
Mungu awabaki sana logan na inaya wapendao mungu l baliki ndoa yenu jamani natamani niwajua niwape pongezi mimi nipo south Africa nawapenda sana❤❤❤❤
Pole Hinaya simulizi nzuri yenye mafunzo
Daah asante sana anko Jay kusema kweli hizi simliz zanifunza sana jinsi ya kuishi na kupambana na maisha na zanipa sana moyo be blessed anko jay
Yaan huwa napita to nikiona simliz mix najua si anko jey , kwan kwa anko jey nimemaliza simulizi zoote nishamaliza
We kaka unasauti nzuri
Asante kwa kuwafundisha mabinti wazuri kuacha umalaya kwani heshima ni ngao njemaaa❤❤❤
Jamani inaya na Logan mnanikosha sana kipenzi nimesikiliza mara nyingi sana
Asante kwa muendelezo Asante kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo amakweli ndoa inamisukosuko lakini tunafaa kuwa wepesi wakusameheana
Acha umalaya inaya
dah simulizi taam san asante san anko j na lissa tumejifudha san asanten mungu awabariki
Kaaa Kwa kweli anko j ww kiboko simulizi nzuri hizi nakupenda Bure from kenya
Simuliz nzuri xaan jaman asante Lissa mwala up juu✌️✌️asante pia anko j hujawah kukosea kiukweli tunainjoy xaan✌️🥰😘
Anko J uko vizuri yaan unafurahisha sana
Inaya❤nimeipenda simulizi hii na kujifunza😊
Inaya nakupenda kwasababu umefanya maamuzi mazuri ya kuwa mwanafunzi wa yesu maamuzi mazuri sana mungu akubariki Logan ndiye meN
Stori nzuri❤
Logan ndiye mume wako mungu aliye kupangia muwepamoja mpaka kufa nawapenda mungu Awbaliki sana❤❤❤❤❤❤
Waaoow jambo lenye umuhimu ni kuishikilia imani haijalishi unabudia wapi either katika dini la kislasmu ama kikristu ila kumwomba MUNGU tuu ndiyo suluhisho lemye kutoa jibu lililo sahihi’ pia mapenzi yakweli hayafi
Iyana pole kwa changamoto ulizopitia na pia endelea ivoivo na uvumilivu ❤❤❤
Utajuta kama utaolewa nambunge binty fikiri penzi la kweli ni moja tu ❤ Logan
Hongera sana simulizi tamu sana kwakweli zinanipa faraja sana
Nice story ❤❤❤
Yaani kazi ya Lissa mwala huwa ni moto 🔥🔥🔥 nakupeda Sanaa lissa mwala pamoja na ankojay, i love you so much .
Ila inaya sindio nirafiki wa maisha hongera❤❤❤
Hongeren nyotee
Dah! Nlikua nasikiliza Binti wa mtunza Bustani...uku tayari tumeshakumbukwa🥰🥰
Yaaan😊😊😊
Tumejifunza sana tunakupenda sana anko jay
Ni tamu sana jamani na mafundisho kede kede, asante
Asanteni saaana dada lisa na anko j kwa kutupa simulizi tam na zenye mafunzo nimejifunza kitu chauuu
Listened three time part 2 only Iwant part 1 pls
Jamani anko so unioe Mimi nine Tanzania nikupikie chipsi samaki na wali nyama kwa maana nimetambua unavipenda sana😊
Jamani nimezunguka naitafuta atimae Mungu kasikia kilio changu
Anko jay unajua kutu kosha jamni hakuna simulizi ambayo ume simulia ikawa mbaya naenjoy kukuskiliza jamni One love wana simulizi mix💛💜🧡💚.
Nzuri
Nimejifunza mengi sana Asante sama
Logan na inaya mungu awabaliki sana mmetoka mbali na penzi lenu kwa sababu mungu alipanga muwe pamoja hakuna mwanadam atakaye watenganisha nimejifunza sana kupitia hii simulizi asante sana Anko jey mungu akubaki sana ❤❤❤❤❤❤❤
Eeeeh asanteni wana simulizi .Ni nzuri yenye mafunzo tele,congratulations Rose na Logan live long nawapenda bure👍
Rose tena sio inaya wasoma comment 😂😂😂 tunaharisha
Nimejifunza kupitia hii simulizi kuwa wavumilivu na kumtanguliza mungu ubalikiwe sana anko jay❤❤❤❤❤❤❤
❤😢😢 smart 👍 simulizi lenye mafunzo Sana mapenzi Ni kipofu❤🤭😱🙏👍
inaya we mbaya sana
Wow wonderful story 💯🌹🌹🌹
Asante Lisa mwala kwa simulizi nzuri tunaenjoy nayo
Yaan mie hoi simlizi hii nihatari kwakweli Lissa mwala nibalaaa
Anko Asante kwa kiswahili chako cha mzungu
hii kali 🔥🔥ila Anko Jay kwakujisifia hajambo 😅🤣
Uyo nae marayatu anaatamsimamo atasijampenda
Hongera sana Lissa Mwalla na Anko Jay kazi nzuri 💪💪🔥🔥
Waooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mapenzi laha❤❤
Ngoja ncheke mie maaana sikwa raha hii
Simulix mix hongereni sana mpo juu
Nimeipenda sana hii simulizi nasikiliza mara mbili kwa siku😂😂😂
Asante Lissa Mwala mafundisho tumepata.hawa Kunguru wawili wamepitia mapigo ya hatari. Lakini maisha ni uchaguzi. Ukiamua kua jambazi utavuna ujangili tu ukiamua kuwa mwema utavuna mambo mema. Rose alichagua barabara sio katika maisha lakini amelipa.
Wadada inatakiwa mwe na msimamu kwa mioyo yenu sana nauvumilovu hali ya juu sana
Ankonjei umbarikiwe sana
Asante ankojey kwa kutuletea part 2 kwa haraka
Mk vizur asant kwa nn msifany km michezo sinan
Anko jay stor nzuri sana
Chichi kivuruge
Anko J lazima ajipe mfano na kujisifia yaani natamani simulizi isiishe napenda kukuzikiliza unanichakesha hatari Anko J mpaka naonekana mjinga nacheka peke angu naulizwa nacheka nini...asante kwa simulizi nzuri Mungu akuzidishie😂😂😂😂
Ongera sana inaya na Logan mungu awatangulie kwenye ndoa yenu natamani siku moja tuonane bila kumsahau Anko jey kwa simulizi zake zuri naomba nikija Tanzania nitawatafuta nimejifunza mengi kupitia hii story number yangu
Namchagua Logan maana maneno yake laha ❤❤❤❤
Hahaha anko jay ni mwisho litinginyana
Anko j jamani umezidi sio kwakishwahili hicho chakizungu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wooow nyie ata amjani bip? Jaman huyu mkaka anko kam anko j nakipenzi chetu lissa mwalla Mungu awanilindie
Ningeenda kwa logani mm mana anautam
Ivi kweli wewe bint mjinga kiasi gani usiye jipigania jamani bint muongo yaani hufai ukweli unamuweka mtu huru 😢😢
Wow big anko jay❤❤❤❤❤
Kichopangwa na mungu mwanadamu hawezi kutenganisha
Number1💃💃💃💃
Nitasklza badae 🤭🤭🤭
Hongera Lissa mwala kipenzi hakika bururudani hii sio mchezo ila alie nasikio najua amefaidi mengi na alie tayari kubadilika hataghairi kwani mafunzo yote yspo hapa pia ahsante anko jay kwa yako kazi nzuri simamia hapo hapo nahodha wetu na bila kuwasahau wana simulizi mix wote hongereni
Nice simuliz anko
Kama kawaida ya Lissa wangu jamani ☺️ uki skiliza story yake lazima uta jifunza tuu utake usi take nauta enjoy tu lazima Nakupenda Lissa 🤗🤗
Mm uyo chichi ningemkata. Viwembe
Ka inaya ww noma mama mpaka raha
Kwa kweli simulizi hii imenipunga sana kilasaa naisikiliza logani ningekua huko tz ningemtafuta nimuone tuu Niko kenya mwanifuraisha tu sana
Hinaya una ukosea moyo wako na walogani mungu atakuadhibu mjinga wewe
Ako na ujinga maana angependa nduguye logan
Hinaya Mungu anakuona😁😁😁
Lissa mwala now unatufurahisha xaan ❤️🙏 unatuwahishia xna simulizi🔥
N,c. 😢u566r5y😄🥗🤝💸😊😲😢😢 did 😢😮not 4?be 3😢😮😢
Nilipitwaaa ndo kwanza naona kumbe part 2 tayar jaman BOSS WANGU
Asantee mtunzi na msimulizi
Wow anko ❤❤❤🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Uncle j naomba uwe Logan wangu
Asante sana anko👍
Mko vizuri sana simulizi mix
Warabu wamenibana sana mpk nimepitwa 😂😂 ila hapajaaribika jambo wacha nitege masikio yangu kusikiliza alafu nitarudi kucomment tena baadae ❤❤
Hapo anko j nilikua nakungoja sawa nimekupata dear ❤❤
Umekoma ila .majutoni mjukuu
Wakati mwingine tunapaswa kuwa ujasiri,ili kukabiliana na changamoto zinazotukumba
Simulizi nzuri yenye mafunzo asante mwala na anko J uyo chid limbukeni sana
Unavyojua kuchombeza we kaka jamani dah mpaka naloa kweli 🤣🤣🤣😜
Wewe bint yaani nakuchukia
Me ndio skupend kabisa
@@zaytunhijja6771 fala nini
Afadhali imetoka japo nimechelewa kuanza nilikuwa nasikiliza binti wa mtunza bustan tunashukuru sana🤸🤸🙏🙏🙏 jamn like zenu tafadhali
♥️♥️♥️💖♥️💖💞
@@julianamhowela5162 😍😍🥰
Asante sana Ankojay 🎉🎉
Asante sana imeyisha Vizuri asante sana