SELE EP 21 MKOJANI | RINGO | CHANDIM/VIOLA MTETEZI FINAL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 апр 2024
  • #sele #comedy #mkojani #leo
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 187

  • @SusanJulius-cu8xp4vx4m
    @SusanJulius-cu8xp4vx4m 18 дней назад +1

    mashallah mmeweza nawapenda sana tupeni kitu kingine nakumbuka mkojani akiitwa kipupwe🤣🤣🤣

  • @kajairolancaster7028
    @kajairolancaster7028 18 дней назад +5

    Mkojani mbona nimekua addicted na movie zako peza😅😅😅😅 tunangoja ile yako na litoto lizima Liyama🎉

  • @esterbidogo635
    @esterbidogo635 18 дней назад +6

    Eti namuonea huruma sele jmn had nalia.... Team mkojani tuko hapa tunasubiri kigongo kingine kikali

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 18 дней назад +9

    Chandim kwenye Ubora wake. Anawezea sana parts hizi za kuwa Humble. Hapendezi part za kuwa mtu wa unyama na Ukaburu. With Love from Mombasa... Chandim bin Darwesh

  • @jumasalim1373
    @jumasalim1373 18 дней назад +4

    Haya n mafunzo kwa wale wanaothamini mahawara kuliko ndoa zao

  • @Mbarack-bn5fr
    @Mbarack-bn5fr 18 дней назад +2

    Hapanaaaaaaaaaaa!!!! Salmia subwoofer 😂😂😂😂😂😂

  • @Amyomy-od5ry
    @Amyomy-od5ry 18 дней назад +2

    Twasubiri Insha'Allah,,,viola msimuache anaweza na anaweza sana❤❤❤

  • @user-xv9rc7ye9l
    @user-xv9rc7ye9l 18 дней назад +4

    mkojani nyny n mafundi sana na mnajuw kinomah yn dah nimewafatilia mwanz mpk mwisho haa mpo vzry sana yn honger zakw viola p1 na chandimu dah

  • @EmmanuelKunzugala
    @EmmanuelKunzugala 18 дней назад +2

    Much love VIOLA wangu jaman 💋💗💗🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 see u next time

  • @alish2182
    @alish2182 18 дней назад +1

    Tuta wamiss❤❤❤❤❤❤

  • @banzibwoyofficial3095
    @banzibwoyofficial3095 18 дней назад +2

    Wangapi Mimi 😂

  • @user-mz2rs8fw1s
    @user-mz2rs8fw1s 18 дней назад +22

    Asanteee,,,Lete goma jingine,,ila hapa Kuna mafunzo mengi,jmn ukiachwa achika,Mungu anakuepusha na Ving km alivomwepusha V na magonjwa kutoka kwa sele,na kingine HAKIKA usimtolee mtu(X) maneno mabaya,maan huijui kesho Ako🙏

    • @RAMSABOYTZ
      @RAMSABOYTZ 18 дней назад +3

      kweli kabisa kingne tujifunze kuwaheshimu wake zetu, sele angemheshi v Wala asingepata magonjwa daha kazi nzuri sana

    • @user-mz2rs8fw1s
      @user-mz2rs8fw1s 18 дней назад +3

      @@RAMSABOYTZ kabisaa,ama kwel chozi lililialo haki,Huwa lina malipo ndan ake,V kamlilia sana Sele

    • @user-si9pb1us8d
      @user-si9pb1us8d 18 дней назад +1

      Hakika umenena vyema. Kila mtihani una hekima zake

    • @user-mz2rs8fw1s
      @user-mz2rs8fw1s 18 дней назад

      @@user-si9pb1us8d kabisaa,,na Mungu hawez kukutoa mahal salama akakupeleka mahal pabaya,,ama kwel mkataa pema,pabaya panamwita,tujifunzen jmn kupitia maigizo haya🙏

    • @HassanHassan-ix7cj
      @HassanHassan-ix7cj 18 дней назад +1

      Ngoma ikoo Final hii

  • @ayoubucharles4149
    @ayoubucharles4149 17 дней назад +1

    Mmefanya vizuri kuliko asanteni zaid

  • @user-pu4ej5nv1v
    @user-pu4ej5nv1v 18 дней назад +2

    Waaoooooo❤❤❤jmn na angalia kutokea nchini India nawapenda jmn😘😘😘😘 Asante kwa kuniburudisha ❤

  • @joyceiddy5644
    @joyceiddy5644 18 дней назад +1

    Nimependa movie nzuli sana na inatufundisha vijana hasa sisi tunaopenda stalehe usimdhalau usie mjua maana hutajua kesho yako ❤❤❤❤❤

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 18 дней назад +1

    Kila la kheri chandim, Mungu akutangulie.

  • @fesalsaid3533
    @fesalsaid3533 17 дней назад +1

    Asnte sana nyte huu mzgo una mafunzo na dhamira nyingi sana ktk jamii tunaweza kujifunza BIG UP SANA MKOJANI AND VIOLA 💪💪💪💪

  • @user-gy5ii3ig1d
    @user-gy5ii3ig1d 18 дней назад +1

    Hongereni Sanaa filam yenu nzuri Sanaa

  • @zuberijuma7366
    @zuberijuma7366 18 дней назад +7

    Mnasemaje saaasa

  • @deadcrush
    @deadcrush 18 дней назад +1

    Jamani… Sele tutamkosa. Asanteni sana. Kucheka ni afya nzuri.

  • @alitante4279
    @alitante4279 18 дней назад +2

    Jamaa alomfumania sele kwa danga lke kafanana chimalone 😅

  • @MildredJackson-vh5vw
    @MildredJackson-vh5vw 18 дней назад +1

    Hii nzuri saana na mafundishoo kwa kwely

  • @ommary75
    @ommary75 18 дней назад +1

    Asante timu mkojani mmetupa fundisho lakutosha

  • @RamadhainHussein
    @RamadhainHussein 18 дней назад +1

    Respected kwako mkojani .... ishi sana Brodher... one love❤

  • @zuberijuma7366
    @zuberijuma7366 18 дней назад +3

    Eeeh

  • @NassorAmani
    @NassorAmani 18 дней назад +1

    Mkojani film ipo powa Sana hongereni Sana

  • @assuatemanuel8785
    @assuatemanuel8785 18 дней назад +1

    Sele kumanina😅😅😅🎉

  • @user-gm4ur2sp6o
    @user-gm4ur2sp6o 18 дней назад +2

    Wa 13 jmn hata moja basi

  • @zuberijuma7366
    @zuberijuma7366 18 дней назад +3

    Wa kwanza mie

  • @Amyomy-od5ry
    @Amyomy-od5ry 18 дней назад +1

    Kunwa dozi acha kierehere sele😂😂😂pole majuto mjukuu😢

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 18 дней назад +3

    Mkojani asante sana, mimi nashukuru sana, lakini mimi naomba wewe sana, tafadhali usicheze movies mchawi na movies sheitani usicheze, hata mwenyezi Mungu pia atakuwa plz, mimi kutoka kenya,

    • @Amyomy-od5ry
      @Amyomy-od5ry 18 дней назад

      Came on mkenya mwenzangu😂😂😂

  • @issahaji8715
    @issahaji8715 18 дней назад

    Mkojan na wenzako mumetufunza sana tunategemea kz nyengine ambayo itatupatia ujumbe zaidi

  • @user-ck9pt2ct9c
    @user-ck9pt2ct9c 18 дней назад +2

    Jamani niko wa kumi natatu manipe lik ndugu🎉🎉😮😮😅😅

  • @swalehasan7215
    @swalehasan7215 18 дней назад +1

    Shukran mkojani gang kwa kazi nyingine nzuri yenye funzo kwa jamii, Fan wenu kutoka Mombasa kenya

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga 18 дней назад +1

    Sasa rudisheni ubaya na ngumi ishirini na moja wacheni kuleta tamdhilia nusu nusu huo ni ujinga
    😂😂😂😂😂

  • @musasuleimanwadaraja3148
    @musasuleimanwadaraja3148 18 дней назад +1

    Congratulations mkojani mafunzo tele

  • @presentertelence1679
    @presentertelence1679 18 дней назад +1

    *Kenya Tunapenda Mkojani Gang - Movie Zina Mafunzo Tele* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-wy7zl2vr6k
    @user-wy7zl2vr6k 18 дней назад +1

    Sasa sele hayaaumivu siuliyazoa mwenyewe ukajibandika😂😂😂 yakakuweka kovu La donda ndugu😂😂😂😂weweeeeeee, msotulia kula chuma hiyo😂

  • @matiasi2931
    @matiasi2931 18 дней назад +1

    Inabidi hiyo nyimbo ibadilishwi😂

  • @AbelFrancis-ww7cb
    @AbelFrancis-ww7cb 18 дней назад +1

    Sere adiuluma😂😂😂😂

  • @JoshuaNasari
    @JoshuaNasari 4 дня назад

    mzee wa tarishi mkojani nakukubali sana , hakika kazi zako ni nzuri na pia zina mafunzo mazuri

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 18 дней назад +3

    ❤❤❤🎉🎉

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 18 дней назад +3

    Suspence and Story flow iko on climax. Wonderful Job walalhy. Salute

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ 18 дней назад +1

    lini Tena maana sisi hatutaki tupoe mwaka huu chuma baichuma lini mnaachia

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 18 дней назад +1

    ❤❤❤

  • @MonaaOm
    @MonaaOm 18 дней назад +1

    Sele punguza mawazo manake yashamwaika na hayazoleki

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 18 дней назад +3

    many love for back to back episodes

  • @user-xz8qs5kw6m
    @user-xz8qs5kw6m 16 дней назад

    Mkojani natimu yako mkojuu sana mnachekesha mnafundisha heshima kwenu sijaachakuwafatilia chandimu dogo anajua sana mungu amuongoze vizuri asilewe sifa akapitiliza ❤nawakubali sana

  • @MenzaSuleiman
    @MenzaSuleiman 17 дней назад

    Nakukubali sana mkojani kazi safi,pwani ya Kenya tuko nawe ❤❤❤

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 18 дней назад +1

    Mfanye haraka mje na nyingine akiwepo samofi

  • @mlangaliromwenda6945
    @mlangaliromwenda6945 18 дней назад

    Mumefanya kazi nzuri saaaana. 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🎉🎉🎉🎉

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 18 дней назад +1

    Majuto ni Mjukuu Huja Badaaye
    Mtu Huona Tamani ya Kitu Kinapo Mtokaa

  • @HamedMassoud
    @HamedMassoud 17 дней назад

    Asanteeenii sana kwa kweli mkojani umetoa mafundishoa makubwa sana amabayo jamii naamini itajfunza kitu saluuuuuuuuut

  • @MaikoNteba
    @MaikoNteba 10 дней назад

    Umetisha viola umefumbua macho wanawake wenzio honger san kwa funzo

  • @InnocentArmadillo-do9vm
    @InnocentArmadillo-do9vm 17 дней назад

    Team mkojani congratulations viola chandimu Ringo mkojani washiriki wote good job more fire 🎉🎉🎉

  • @user-de7tr6sr7v
    @user-de7tr6sr7v 17 дней назад

    Tumejifunza mengi kupitiya team hiyi mungu awabariki tunawapenda kutoka usa❤❤❤❤❤❤❤

  • @Mussasamcare
    @Mussasamcare 18 дней назад +2

    Respect

  • @ZakahModise
    @ZakahModise 18 дней назад +1

    Mkojani gang mko poa sana....ndomana sikosi kuwafatilia kila drama zenu....zaka modise from dzonga hapa tuko pamoja code ile ile +27

  • @HeritierKambale-jm2rb
    @HeritierKambale-jm2rb 16 дней назад

    Asante kwakazi sele, kunasimo nzuri sana mungu awabariki

  • @HoneysugarPudding
    @HoneysugarPudding 18 дней назад +1

    Tamu sanaaaaa❤

  • @HawaaMoureen
    @HawaaMoureen 17 дней назад

    nilikuwa mwanz nanyie mpaka mwish hakika nimeeipend sana sele na nimejifunza pia ❤❤❤ nashukur mno @mkojani gang ila muv inayokuja tafadhal viola awepo🙏🙏🙏

  • @humoudalmaskiry6997
    @humoudalmaskiry6997 18 дней назад

    Ahsante sanaaa mkojani na nakushkuru sanaaa kwa kutufundisha hii story ni muhim sanaaa kwenye maisha yetu kiukweli imeni touch sanaaa na imeweza kubadilisha sanaaa maisha yangu Ahsante sanaaa kwa kazi nzuri

  • @dullaseif8742
    @dullaseif8742 18 дней назад

    Hongera sana mkojani.... Tumalizie ubaya ubaya ndipo tusonge mbele.....usieke vilalo bro

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 18 дней назад

    Kwa kweli hili ni somo Zito mnoo. Ukikiona cha nini wenzako wanatamani watakipata lini big up mkojani gang tu nataka mzigo mwingine tupo mlipo

  • @user-qu1ut5ri2z
    @user-qu1ut5ri2z 17 дней назад

    Hongereni Sana2 nzuri mno afu hamchelewesshi haichoshi pia inafundisha mbarikiwe sn.

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 18 дней назад

    Kazi nzuli sana mkojani❤❤❤❤❤❤❤ funzo kwa vijana 🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @RamaMwacharo-qn1og
    @RamaMwacharo-qn1og 18 дней назад

    Kazi nzuri sana pia iko na mafunzo ❤❤❤❤

  • @saidihamisi315
    @saidihamisi315 18 дней назад +2

    sele wa mbosso umetisha

  • @bonventrychevai5183
    @bonventrychevai5183 17 дней назад

    Kazi nzuri sna tangia mwanzoni ❤❤❤🇰🇪

  • @NordeenGharib
    @NordeenGharib 17 дней назад

    hongereni @mkojani gang imetisha sana asanteni kwa burudani safiiiiiiiiii

  • @AbdulKassim-xc4ob
    @AbdulKassim-xc4ob 18 дней назад +1

    Mkojani unatuibia an scene ya chandimu kuwaza imechukua nusu ya dakika z episode hiii duhhhh🙌🙌

  • @user-ne6pd4rl4p
    @user-ne6pd4rl4p 18 дней назад +1

    Kaz nzuri ❤❤ japo naamin mashabik zenu wengi tunataman kuona vitu zaid kama ilivokua ,,kwa ugaigai na kivyere tunataman kuona zile amshaamsha za samofi na mkojan vs nagwa na chado master😅😅

  • @salimusalimu5038
    @salimusalimu5038 17 дней назад

    Mengi nimejifunza kama kijana nilietoka kijjn nakumuacha mama nikiwa na tumaini lakumpania awe na maisha bora baadae. Ahsante Sana mungu awabariki zaidi inshallaah ❤😂sele weee

  • @rajabmatusi9583
    @rajabmatusi9583 18 дней назад +1

    Mtinda mkojani gang nimewakubali sana iyo kazi sio ya kitoto niko mombasa nawafatilia sana

  • @hamzantawinyaga2654
    @hamzantawinyaga2654 17 дней назад

    Congratulations it was a good movie
    Tumeipenda sana hiyo inamafunzo mengi kwa vijana kma sele.
    Muwe natupa vitu kma hivi comedy imechanganywa na mafunzo mazuri kwa umma
    Na hongereni kwa kumuona tena bwana sabufa akiwa na kipupweeeeeeeeeeeee❤

  • @majaliwaukasha6084
    @majaliwaukasha6084 18 дней назад

    Hongera kwa kazi yenu nzuri.halid kutoka kenya❤

  • @youngcastroyc394
    @youngcastroyc394 18 дней назад +1

    kusema kweli tangu nilipo anza kutezama series hii thi is my first comente . good job mkojani gang. na aliye simamiya truck hiii na mkubali kinoma sound imotional. thnks.

  • @MercyMariki
    @MercyMariki 17 дней назад

    Hongera sana Mkojani na wahusika wengine. Kazi nzuri mno...series hii ina ujumbe mzuri sana katika jamii tena kwa pande zotee, ME & KE

  • @dirmkamani
    @dirmkamani 18 дней назад

    Mkojani, mkojani, chukuwa mauwa yako bro 🌹🌹. Umemaliza powa saaana. Afu nime angalia movie mwanza mwisho naona Kama nikitu real. Sele ume upiga mwingi sana. Love from USA 🇺🇸 ❤❤. MKOJANI GANG 🫡🫡🔥🔥

  • @user-oc7sx8nq6f
    @user-oc7sx8nq6f 18 дней назад +1

    Oh kumbe ndo mwisho 😢😢😢😢

  • @salumothman5277
    @salumothman5277 18 дней назад

    Movie ilikua nzuri sana hongereni viola pia kapaform vizuri nae.

  • @mohamednzaro3510
    @mohamednzaro3510 18 дней назад +3

    Mkojani gang hii ni Addction kama Vilee Miraa na shisha.

  • @AbdullahAlZaabi-on4tb
    @AbdullahAlZaabi-on4tb 17 дней назад

    Hongera.mkojan.na.kundi.nzima.kwa.ujumla

  • @VarelianGarus
    @VarelianGarus 18 дней назад

    Jaman series ilivyokuwa Kali had nadata kusema ongezeni dakika kumbe final

  • @AbdillahBakar-qx9sr
    @AbdillahBakar-qx9sr 17 дней назад

    Good job..all you are best..
    Kazi nzur sana na yenye elim ndan yake❤❤❤

  • @user-eg7qo2fw1j
    @user-eg7qo2fw1j 18 дней назад

    Mashallah Waigizaji wenye kipaji ch hali ya JUU!

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 18 дней назад +1

    Wa kwanza hapa 😂😂😂

  • @MaroaMoses-tq2fh
    @MaroaMoses-tq2fh 17 дней назад

    ❤na wapenda sanaa kwa kazi yenu

  • @khamisyaa6927
    @khamisyaa6927 17 дней назад

    Shukran mkojani gang wajazakallah khaira 🇰🇪🇶🇦🤝

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 18 дней назад

    Sele kayatimba so kidogo😅😅😅

  • @IsmailMohd-xc2em
    @IsmailMohd-xc2em 18 дней назад +1

    Nawakubal sana

  • @napextz8935
    @napextz8935 4 дня назад

    Jamaan mnajua sana❤

  • @mariosulley4669
    @mariosulley4669 18 дней назад

    Ongereni Sana❤
    I'm so proud of mkojani gang it was amazing series.

  • @Fujo3840
    @Fujo3840 18 дней назад

    Mashallah kazi nzuri

  • @SalhaSasha
    @SalhaSasha 5 дней назад

    Kaz nzur sana

  • @user-bt1vl8nu5n
    @user-bt1vl8nu5n 17 дней назад

    Mkojani unachelewaga mnooo uwah sasa

  • @VarelianGarus
    @VarelianGarus 18 дней назад

    Sema mkojani ongeza dakika bhana

  • @LucyRafeali
    @LucyRafeali 15 дней назад

    Hongereni sana kwa kutuhelimisha

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 18 дней назад +1

    Movie kari kinomaaaa
    Imeisha vzl Sana pia
    Umefanya vzl kusikia bro
    Haji Adam comeback again
    Vs samofi

  • @DIckson289
    @DIckson289 17 дней назад

    Director wee ni mkalii wallai tunasubiri kazi ingine kutoka kwenuu