Chandim kwenye Ubora wake. Anawezea sana parts hizi za kuwa Humble. Hapendezi part za kuwa mtu wa unyama na Ukaburu. With Love from Mombasa... Chandim bin Darwesh
Asanteee,,,Lete goma jingine,,ila hapa Kuna mafunzo mengi,jmn ukiachwa achika,Mungu anakuepusha na Ving km alivomwepusha V na magonjwa kutoka kwa sele,na kingine HAKIKA usimtolee mtu(X) maneno mabaya,maan huijui kesho Ako🙏
Mkojani asante sana, mimi nashukuru sana, lakini mimi naomba wewe sana, tafadhali usicheze movies mchawi na movies sheitani usicheze, hata mwenyezi Mungu pia atakuwa plz, mimi kutoka kenya,
nilikuwa mwanz nanyie mpaka mwish hakika nimeeipend sana sele na nimejifunza pia ❤❤❤ nashukur mno @mkojani gang ila muv inayokuja tafadhal viola awepo🙏🙏🙏
Ahsante sanaaa mkojani na nakushkuru sanaaa kwa kutufundisha hii story ni muhim sanaaa kwenye maisha yetu kiukweli imeni touch sanaaa na imeweza kubadilisha sanaaa maisha yangu Ahsante sanaaa kwa kazi nzuri
Kaz nzuri ❤❤ japo naamin mashabik zenu wengi tunataman kuona vitu zaid kama ilivokua ,,kwa ugaigai na kivyere tunataman kuona zile amshaamsha za samofi na mkojan vs nagwa na chado master😅😅
Mengi nimejifunza kama kijana nilietoka kijjn nakumuacha mama nikiwa na tumaini lakumpania awe na maisha bora baadae. Ahsante Sana mungu awabariki zaidi inshallaah ❤😂sele weee
Congratulations it was a good movie Tumeipenda sana hiyo inamafunzo mengi kwa vijana kma sele. Muwe natupa vitu kma hivi comedy imechanganywa na mafunzo mazuri kwa umma Na hongereni kwa kumuona tena bwana sabufa akiwa na kipupweeeeeeeeeeeee❤
kusema kweli tangu nilipo anza kutezama series hii thi is my first comente . good job mkojani gang. na aliye simamiya truck hiii na mkubali kinoma sound imotional. thnks.
Mkojani, mkojani, chukuwa mauwa yako bro 🌹🌹. Umemaliza powa saaana. Afu nime angalia movie mwanza mwisho naona Kama nikitu real. Sele ume upiga mwingi sana. Love from USA 🇺🇸 ❤❤. MKOJANI GANG 🫡🫡🔥🔥
mashallah mmeweza nawapenda sana tupeni kitu kingine nakumbuka mkojani akiitwa kipupwe🤣🤣🤣
Mkojani mbona nimekua addicted na movie zako peza😅😅😅😅 tunangoja ile yako na litoto lizima Liyama🎉
Eti namuonea huruma sele jmn had nalia.... Team mkojani tuko hapa tunasubiri kigongo kingine kikali
Chandim kwenye Ubora wake. Anawezea sana parts hizi za kuwa Humble. Hapendezi part za kuwa mtu wa unyama na Ukaburu. With Love from Mombasa... Chandim bin Darwesh
Haya n mafunzo kwa wale wanaothamini mahawara kuliko ndoa zao
Hapanaaaaaaaaaaa!!!! Salmia subwoofer 😂😂😂😂😂😂
Twasubiri Insha'Allah,,,viola msimuache anaweza na anaweza sana❤❤❤
mkojani nyny n mafundi sana na mnajuw kinomah yn dah nimewafatilia mwanz mpk mwisho haa mpo vzry sana yn honger zakw viola p1 na chandimu dah
Much love VIOLA wangu jaman 💋💗💗🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 see u next time
Tuta wamiss❤❤❤❤❤❤
Wangapi Mimi 😂
Asanteee,,,Lete goma jingine,,ila hapa Kuna mafunzo mengi,jmn ukiachwa achika,Mungu anakuepusha na Ving km alivomwepusha V na magonjwa kutoka kwa sele,na kingine HAKIKA usimtolee mtu(X) maneno mabaya,maan huijui kesho Ako🙏
kweli kabisa kingne tujifunze kuwaheshimu wake zetu, sele angemheshi v Wala asingepata magonjwa daha kazi nzuri sana
@@RAMSABOYTZ kabisaa,ama kwel chozi lililialo haki,Huwa lina malipo ndan ake,V kamlilia sana Sele
Hakika umenena vyema. Kila mtihani una hekima zake
@@user-si9pb1us8d kabisaa,,na Mungu hawez kukutoa mahal salama akakupeleka mahal pabaya,,ama kwel mkataa pema,pabaya panamwita,tujifunzen jmn kupitia maigizo haya🙏
Ngoma ikoo Final hii
Mmefanya vizuri kuliko asanteni zaid
Waaoooooo❤❤❤jmn na angalia kutokea nchini India nawapenda jmn😘😘😘😘 Asante kwa kuniburudisha ❤
Nasubiri chuma kingine 💃💃
Nimependa movie nzuli sana na inatufundisha vijana hasa sisi tunaopenda stalehe usimdhalau usie mjua maana hutajua kesho yako ❤❤❤❤❤
Kila la kheri chandim, Mungu akutangulie.
Asnte sana nyte huu mzgo una mafunzo na dhamira nyingi sana ktk jamii tunaweza kujifunza BIG UP SANA MKOJANI AND VIOLA 💪💪💪💪
Hongereni Sanaa filam yenu nzuri Sanaa
Mnasemaje saaasa
Jamani… Sele tutamkosa. Asanteni sana. Kucheka ni afya nzuri.
Jamaa alomfumania sele kwa danga lke kafanana chimalone 😅
Hii nzuri saana na mafundishoo kwa kwely
Asante timu mkojani mmetupa fundisho lakutosha
Respected kwako mkojani .... ishi sana Brodher... one love❤
Eeeh
Mkojani film ipo powa Sana hongereni Sana
Sele kumanina😅😅😅🎉
Wa 13 jmn hata moja basi
Wa kwanza mie
Kunwa dozi acha kierehere sele😂😂😂pole majuto mjukuu😢
Na mwishowe huja kinyume
Mkojani asante sana, mimi nashukuru sana, lakini mimi naomba wewe sana, tafadhali usicheze movies mchawi na movies sheitani usicheze, hata mwenyezi Mungu pia atakuwa plz, mimi kutoka kenya,
Came on mkenya mwenzangu😂😂😂
Mkojan na wenzako mumetufunza sana tunategemea kz nyengine ambayo itatupatia ujumbe zaidi
Jamani niko wa kumi natatu manipe lik ndugu🎉🎉😮😮😅😅
Shukran mkojani gang kwa kazi nyingine nzuri yenye funzo kwa jamii, Fan wenu kutoka Mombasa kenya
Sasa rudisheni ubaya na ngumi ishirini na moja wacheni kuleta tamdhilia nusu nusu huo ni ujinga
😂😂😂😂😂
Congratulations mkojani mafunzo tele
*Kenya Tunapenda Mkojani Gang - Movie Zina Mafunzo Tele* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sasa sele hayaaumivu siuliyazoa mwenyewe ukajibandika😂😂😂 yakakuweka kovu La donda ndugu😂😂😂😂weweeeeeee, msotulia kula chuma hiyo😂
Inabidi hiyo nyimbo ibadilishwi😂
Sere adiuluma😂😂😂😂
mzee wa tarishi mkojani nakukubali sana , hakika kazi zako ni nzuri na pia zina mafunzo mazuri
❤❤❤🎉🎉
Suspence and Story flow iko on climax. Wonderful Job walalhy. Salute
lini Tena maana sisi hatutaki tupoe mwaka huu chuma baichuma lini mnaachia
❤❤❤
Sele punguza mawazo manake yashamwaika na hayazoleki
many love for back to back episodes
Mkojani natimu yako mkojuu sana mnachekesha mnafundisha heshima kwenu sijaachakuwafatilia chandimu dogo anajua sana mungu amuongoze vizuri asilewe sifa akapitiliza ❤nawakubali sana
Nakukubali sana mkojani kazi safi,pwani ya Kenya tuko nawe ❤❤❤
Mfanye haraka mje na nyingine akiwepo samofi
Mumefanya kazi nzuri saaaana. 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🎉🎉🎉🎉
Majuto ni Mjukuu Huja Badaaye
Mtu Huona Tamani ya Kitu Kinapo Mtokaa
Asanteeenii sana kwa kweli mkojani umetoa mafundishoa makubwa sana amabayo jamii naamini itajfunza kitu saluuuuuuuuut
Umetisha viola umefumbua macho wanawake wenzio honger san kwa funzo
Team mkojani congratulations viola chandimu Ringo mkojani washiriki wote good job more fire 🎉🎉🎉
Tumejifunza mengi kupitiya team hiyi mungu awabariki tunawapenda kutoka usa❤❤❤❤❤❤❤
Respect
Mkojani gang mko poa sana....ndomana sikosi kuwafatilia kila drama zenu....zaka modise from dzonga hapa tuko pamoja code ile ile +27
Asante kwakazi sele, kunasimo nzuri sana mungu awabariki
Tamu sanaaaaa❤
nilikuwa mwanz nanyie mpaka mwish hakika nimeeipend sana sele na nimejifunza pia ❤❤❤ nashukur mno @mkojani gang ila muv inayokuja tafadhal viola awepo🙏🙏🙏
Ahsante sanaaa mkojani na nakushkuru sanaaa kwa kutufundisha hii story ni muhim sanaaa kwenye maisha yetu kiukweli imeni touch sanaaa na imeweza kubadilisha sanaaa maisha yangu Ahsante sanaaa kwa kazi nzuri
Hongera sana mkojani.... Tumalizie ubaya ubaya ndipo tusonge mbele.....usieke vilalo bro
Kwa kweli hili ni somo Zito mnoo. Ukikiona cha nini wenzako wanatamani watakipata lini big up mkojani gang tu nataka mzigo mwingine tupo mlipo
Hongereni Sana2 nzuri mno afu hamchelewesshi haichoshi pia inafundisha mbarikiwe sn.
Kazi nzuli sana mkojani❤❤❤❤❤❤❤ funzo kwa vijana 🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana pia iko na mafunzo ❤❤❤❤
sele wa mbosso umetisha
Kazi nzuri sna tangia mwanzoni ❤❤❤🇰🇪
hongereni @mkojani gang imetisha sana asanteni kwa burudani safiiiiiiiiii
Mkojani unatuibia an scene ya chandimu kuwaza imechukua nusu ya dakika z episode hiii duhhhh🙌🙌
Kaz nzuri ❤❤ japo naamin mashabik zenu wengi tunataman kuona vitu zaid kama ilivokua ,,kwa ugaigai na kivyere tunataman kuona zile amshaamsha za samofi na mkojan vs nagwa na chado master😅😅
Mengi nimejifunza kama kijana nilietoka kijjn nakumuacha mama nikiwa na tumaini lakumpania awe na maisha bora baadae. Ahsante Sana mungu awabariki zaidi inshallaah ❤😂sele weee
Mtinda mkojani gang nimewakubali sana iyo kazi sio ya kitoto niko mombasa nawafatilia sana
Congratulations it was a good movie
Tumeipenda sana hiyo inamafunzo mengi kwa vijana kma sele.
Muwe natupa vitu kma hivi comedy imechanganywa na mafunzo mazuri kwa umma
Na hongereni kwa kumuona tena bwana sabufa akiwa na kipupweeeeeeeeeeeee❤
Hongera kwa kazi yenu nzuri.halid kutoka kenya❤
kusema kweli tangu nilipo anza kutezama series hii thi is my first comente . good job mkojani gang. na aliye simamiya truck hiii na mkubali kinoma sound imotional. thnks.
Hongera sana Mkojani na wahusika wengine. Kazi nzuri mno...series hii ina ujumbe mzuri sana katika jamii tena kwa pande zotee, ME & KE
Mkojani, mkojani, chukuwa mauwa yako bro 🌹🌹. Umemaliza powa saaana. Afu nime angalia movie mwanza mwisho naona Kama nikitu real. Sele ume upiga mwingi sana. Love from USA 🇺🇸 ❤❤. MKOJANI GANG 🫡🫡🔥🔥
Oh kumbe ndo mwisho 😢😢😢😢
Movie ilikua nzuri sana hongereni viola pia kapaform vizuri nae.
Mkojani gang hii ni Addction kama Vilee Miraa na shisha.
Hilo ndio jibu la mjinga chandimu wewe hukuiogopa dunia
Hongera.mkojan.na.kundi.nzima.kwa.ujumla
Jaman series ilivyokuwa Kali had nadata kusema ongezeni dakika kumbe final
Good job..all you are best..
Kazi nzur sana na yenye elim ndan yake❤❤❤
Mashallah Waigizaji wenye kipaji ch hali ya JUU!
Wa kwanza hapa 😂😂😂
❤na wapenda sanaa kwa kazi yenu
Shukran mkojani gang wajazakallah khaira 🇰🇪🇶🇦🤝
Sele kayatimba so kidogo😅😅😅
Nawakubal sana
Jamaan mnajua sana❤
Ongereni Sana❤
I'm so proud of mkojani gang it was amazing series.
Mashallah kazi nzuri
Kaz nzur sana
Mkojani unachelewaga mnooo uwah sasa
Sema mkojani ongeza dakika bhana
Hongereni sana kwa kutuhelimisha
Movie kari kinomaaaa
Imeisha vzl Sana pia
Umefanya vzl kusikia bro
Haji Adam comeback again
Vs samofi
Director wee ni mkalii wallai tunasubiri kazi ingine kutoka kwenuu