UTU OFFICIAL MOVIE : STARLING MKOJANI,SAMOFI,SENGA,MUOGOMCHUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2022
  • #Utu #mkojanigang
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 181

  • @TUnech7
    @TUnech7 Год назад +15

    Camera man yuko vizuri sanaa asee noma sana

    • @wilsonkihanga8447
      @wilsonkihanga8447 Год назад +1

      Kwa nin umemusifia cameraman?

    • @salvakey
      @salvakey Год назад

      @@wilsonkihanga8447 amefanya unyama saanaa

  • @ladyj5089
    @ladyj5089 Год назад +25

    Assalam alykum mzee wetu mola ailaze roho yke pema peponi amiin

  • @ibrahimkhamis471
    @ibrahimkhamis471 Год назад +17

    From Qatar wa kwanza likes zenu team mkojani

  • @kusilatv4640
    @kusilatv4640 Год назад +11

    Hii move inaviwango vya kuoneshwa Netflix kabisa in short mmeua mkojani gang for everyone ✊🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯

  • @alhmdulilah1187
    @alhmdulilah1187 Год назад +15

    Inalilah wainahirajiuna Mzee kongoro alikua anamchango mkubwa Sana ktk sanaa 🥺🥺

  • @mansoolpapalah9537
    @mansoolpapalah9537 Год назад +6

    Naicheki Move Hii Kwa Mala Ya Kwanza Nikiwa Pretoria South Africa🇿🇦 Tarehe 19/9/2022,
    Hakika Ina Ujumbe Mzito Eeeh Mw/Mungu Mlaze Mahara Pema Peponi Mzee Korongo Na Umjaalie Kauli Thaabit🙏

  • @bbycandy3979
    @bbycandy3979 Год назад +8

    Nilkua nasubiri kwa hamu from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪to🇸🇦🇸🇦🇸🇦nawapenda sana

  • @ismailkitundira1976
    @ismailkitundira1976 Год назад +16

    I have never commented at any of actions of mkojani gang but for this one aah number 1

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 Год назад +30

    Shabiki sugu wa Mkojani Gang from Mombasa natazama nikiwa Qatar Doha, Sinema nzuri na yenye kusikitisha😞😟😥. Kwenye hio sehemu ya ulemavu inanikumbusha Kenya kuna ulanguzi wa biashara ya walemavu wa kujifanya na walemavu wenyewe wa kujifanya ni wakutoka Tanzania, kuna baadhi ya Wa-Tanzania wenye wanaijua vzuri miji ya Kenya (Nairobi na Mombasa) ndio wenye kuwatumia awa watu kwa kuwasafirisha ili kuja Kenya kujifanya walemavu kwa kuomba omba pesa ili nao wafaidike. Ila ningeomba serikali ya Tanzania iangazie hilo swala kwa sababu ni jambo la kusikitisha na lisilo na utu

    • @ramadhankakai7303
      @ramadhankakai7303 Год назад +3

      Pale Kariobangi kuna nyumba imewajaza walemavu kibao sana na wote ni watanzania..kazi yao ni kupelekwa town asubuhi wafany omba omba jioni warudishwe...so sad

  • @muqbilyusuf7739
    @muqbilyusuf7739 Год назад +9

    Mkojani King mwenywe❤mi nakutambua nakuona kwenye ugai gai haupo sanaa nkajua wafanya mambo kwa mtambo kama rambo😅💯💯💥💫👍

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 Год назад +11

    Samofi mkojani Kazi nzuri sana utu ni kali mambo ni fire 🔥🔥🔥

  • @shebynizedaudi336
    @shebynizedaudi336 Год назад +4

    Samofi unaniretea wajane 🤣🤣🤣 mkojani noma Sana

  • @Delomar3
    @Delomar3 Год назад +11

    Show L ❤️VE kwa mkojani gang. Gonga like

  • @barakJonijo
    @barakJonijo Год назад +9

    Wakwanza hapa piga likes twende nalo

  • @soulegadaffy3615
    @soulegadaffy3615 Год назад +7

    Mola amjalie kauli thabit InshaAllah biidhnillahi mzee wetu korongo, nangalia nkiwa Bahrain 🇧🇭..
    KAZI nzur Sana MashaAllah Aleyq

    • @salmakhamismohammed3663
      @salmakhamismohammed3663 Год назад +1

      Amin

    • @mazrui1948
      @mazrui1948 Год назад

      Allahuma ameen.Nakubal kaka Gadafy.Kumbe ww n mwenzangu shabiki kindakindaki wa Mkojani bin Darweish.

    • @soulegadaffy3615
      @soulegadaffy3615 Год назад

      Eebanaeh..
      Mie shabiki yke tokea anatumia kipupwee..
      Yuko so talented bro Abdallah Muhammad.

  • @mackysuphian
    @mackysuphian Год назад +4

    Mkojani gang hatupoi hatuboi...mambwende nampendaga sna😂😂😂

  • @kulthumally9066
    @kulthumally9066 Год назад +3

    ALLAH AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI, MZEE WETU MZEE KORONGO. AAAMIN.

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 Год назад +1

    Kiukweli hapa ni mmetisha hii kazi ni mambo ambao yapo

  • @abuudaaru4319
    @abuudaaru4319 Год назад +1

    Nakubar can mkojan kazi nzuri can namuon mzee wet mzee korongo mungu amraze Mahal pema peponi Amin utu hiy ci move bali niuhalisia wa maisha yet

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Год назад +4

    mashallah shukurani sana washilika mungu awajalie sana

  • @BIGbone.9422
    @BIGbone.9422 Год назад +5

    Interview hio kali, "ebu jitingishe" 😄

  • @qudramasoud7030
    @qudramasoud7030 Год назад +1

    Mtoto wa jamuhuri wa tz eti labda jamuhuri kiwelu

  • @abditari7998
    @abditari7998 3 месяца назад

    mzee wa kazi mkojani hongera

  • @user-lp8ht7ph6z
    @user-lp8ht7ph6z 7 месяцев назад

    Kwakweli hii move inafundisha sana hongereni

  • @blessingdokotera7434
    @blessingdokotera7434 3 месяца назад

    Nice maboy mmako alon from tanga to capetown south Africa I like that nice one

  • @constanciomarcos5484
    @constanciomarcos5484 Год назад +4

    tunangalia kutoka mozambique🇲🇿

  • @ayubruitere6802
    @ayubruitere6802 Год назад +6

    From kenya mkojani keep it up good work .

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +6

    Mafunzo mazuri sana mwenye kuelewa ataelewa hongereni jmn👌👌🥰🥰🥰🔥🔥🔥mkojani na team yako nawakubali

  • @emmymajula5164
    @emmymajula5164 Год назад +1

    🥰🥰😂😂😂😂😂 mkojan bhn et samofi ananiletea wajane 😂😂

  • @nancolower_8032
    @nancolower_8032 Год назад +3

    Mambwende unanikoshaga unavyopiga kiingereza 😂😂😂

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 Год назад +1

      🤣🤣 harafu cha kuunga unga 🤣🤣

  • @fatmamody9146
    @fatmamody9146 Год назад +3

    🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦👣👣👣 nice job

  • @BarakaGeorge-jc5kg
    @BarakaGeorge-jc5kg 10 месяцев назад

    Nice movie nice movie!!!! Congore mkojani

  • @SamsungA-sq9pi
    @SamsungA-sq9pi Год назад

    Dah hii kazi kiwango sana

  • @jacobkyamajabu316
    @jacobkyamajabu316 Год назад +1

    Kila wakikutana samofi na mkojani lazimaaa wapigane 😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @maasaimkisii9089
    @maasaimkisii9089 Год назад +7

    *TAMU SANA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @key.one_tz2767
    @key.one_tz2767 Год назад +3

    Na mpigwaji ajulikani😂😂 namkubari sana Samofi

  • @Westsidemose
    @Westsidemose Год назад +3

    Kila corner Niko area kaa bacteria 🦠, mkojani gen for everybody , Kenyan boy in Qatar is already in

  • @khaashfarfarid4221
    @khaashfarfarid4221 Год назад +1

    Mkojan ndo uvae herin alf utavaa mkufu alf vengne vnafata

  • @alalwialalwiii8194
    @alalwialalwiii8194 Год назад +2

    Hahahahah body gady samofiii hahahaha tishaaa Sana mkojani

  • @jabirhassan7000
    @jabirhassan7000 Год назад +1

    Mpo vzr from united state of America 🇺🇸 👏

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Год назад +3

    Mkojani ww huwez kua Bos bora samof Awe bosi

  • @janvieryenga1419
    @janvieryenga1419 Год назад +2

    Mkojani wewe unaachiya Utu wakati uyu baba ameshatuacha

  • @otallparecidoconstancio6369
    @otallparecidoconstancio6369 Год назад

    Kazi Noma From🇲🇿

  • @kidahancy5690
    @kidahancy5690 Год назад +3

    Mkojani gang big up sana

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 Год назад +1

    Rip mzee korongo😭😭

  • @ahmedalshaibany
    @ahmedalshaibany Год назад +1

    AiseYYY mposeli mposeli, munauzwa

  • @alfacharless8812
    @alfacharless8812 Год назад

    🇿🇦🇿🇦 nikiwa south Africa nawapata vizuri mkojani Mr samofi

  • @reymah1194
    @reymah1194 Год назад +4

    Utu🥰leo nmewahi

  • @binaliy7034
    @binaliy7034 Год назад +2

    Tishaaa sanaa mkojani,, nipo Zanzibar

  • @jumanneshabeni2009
    @jumanneshabeni2009 Год назад +3

    unyama mwingi so kisenge🤪🤪yani🔥🔥🔥

  • @abdulkabila787
    @abdulkabila787 Год назад +2

    Nimemuona zuchu baby mke wangu

  • @timothysirengo1
    @timothysirengo1 Год назад

    Khamisi makongo mola ailaze kuzimu

  • @tirap6290
    @tirap6290 Год назад +1

    Sijaona chuvi umu😮

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 Год назад

    Mkojani kubwa la maadui Amish Kapoor

  • @rehemakilungi2652
    @rehemakilungi2652 Год назад +1

    Love 🇹🇿🇹🇿from 🇲🇿🇲🇿😍😍

  • @maryamalhabsi4364
    @maryamalhabsi4364 Год назад +2

    Mzeee kolongoo 😭😭😢

  • @ayubruitere6802
    @ayubruitere6802 Год назад +4

    Its really painful moves bt waiting for season 2

  • @mouhamadbakri8655
    @mouhamadbakri8655 Год назад +5

    Mambo moto 🙏😃🔥🔥 from french 🇨🇵

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Год назад

    kuna funzo kubwa sana hapa

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 10 месяцев назад

    Duuh kweli utu hmna hapo

  • @felixochiengomondi6189
    @felixochiengomondi6189 Год назад +1

    Kweli binadamu atupendani. Maana mambo yanayofanyika kwa hii Dunia wengi watayajibu siku ya mwisho kwa MOLA. Kweli watu wengine hawana utu.

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 Год назад

    Hongera bin darueshi kwa kutufikishia ujumbe kweli hili jambo lipo ni serikali ikaingilia kati

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 Год назад +2

    Mzee kongoro daah😭

  • @hemedikidungwe267
    @hemedikidungwe267 Год назад

    najckia haja kubw vnakuj kw mpigo nan kackia iyoo😂😂😂😂

  • @dativadeogratius5852
    @dativadeogratius5852 Год назад

    Aaaaah Mzee unatukosea wasukuma , 😂😂😂😂😂

  • @sabrinasabrina3974
    @sabrinasabrina3974 Год назад +1

    nitanzibuaa mtu haaaaa n vituko

  • @chrismahinga5854
    @chrismahinga5854 Год назад +2

    Mkojani mjinga sana aise😂

  • @user-fo2xi2hv4r
    @user-fo2xi2hv4r 11 месяцев назад

    Chemistry ya mkojani na samofi haina mfano 💥💥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @v_v_brownliltwo5799
    @v_v_brownliltwo5799 Год назад

    Nakubali iyi move Sana iyi kazi 🔥🔥 na tizama nikiwa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili Год назад +7

    🔥❤️🔥

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Год назад +1

    KAKA UMEUWA
    ET wamenyata umeuwa
    LINDI vs MTWARA

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter Год назад +5

    Best Movies … Best ACTORS … aseee nimenyoosha mikono 🦾

  • @habibajuma1716
    @habibajuma1716 3 месяца назад

    MashaAllah

  • @pendongubesi305
    @pendongubesi305 Год назад +3

    Mambo moto moto 🔥🔥🤜 unyama sana

  • @alfredomatiascasimiro7087
    @alfredomatiascasimiro7087 Год назад +1

    Nakubali from Moz 🇲🇿

  • @keiazizi5746
    @keiazizi5746 9 месяцев назад

    Much ❤️❤️❤️❤️ from+254

  • @daproomdangu5953
    @daproomdangu5953 Год назад +4

    VIP ugai gai

  • @magrethnicholauss3944
    @magrethnicholauss3944 Год назад +1

    ❤❤❤iko poa sanaaa mkojan gang

  • @chudohans2447
    @chudohans2447 Год назад +1

    Merehem mzee korongo

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Год назад +1

    Mkojani hizo hon🔊🔊🔊🔉

  • @amrimanugwa58
    @amrimanugwa58 Год назад

    Pombe tamu mmeshindwa kuendeleza mnaleta nyingne mnatukosea sana

  • @leeabd9057
    @leeabd9057 Год назад +1

    Mambwende on top 👊

  • @jayboy9552
    @jayboy9552 Год назад +3

    Congratulations mkojani, good work 👏 you can do better than this 👍

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 Год назад

    Hiiiii ngoma kaimba baruti bila shaka anajua sana jamaa

  • @aljumaamadrassahtv4335
    @aljumaamadrassahtv4335 Год назад +3

    Utu🔥🔥🔥

  • @Mosalahibrahim75
    @Mosalahibrahim75 Год назад +1

    Apo kwenye malemavu sio poa inaumiza

  • @aminaamina-xj6qs
    @aminaamina-xj6qs Год назад +1

    🤣🤣🤣😂😂😂😂hii kali

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +1

    Mkojani kipajiiii

  • @maggiemapenz6887
    @maggiemapenz6887 Год назад +3

    Love 🇹🇿🇹🇿 to 🇰🇪🇰🇪❤❤

  • @jumarashid5867
    @jumarashid5867 Год назад +1

    Ntazama nikiwa 🇮🇪

  • @ismailibrahim7845
    @ismailibrahim7845 Год назад

    From Zenjibar good job brother mkojani

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 Год назад +1

    I was confused aliekufa n Nani? I get now from comments mzee korongo rest in peace

  • @vplathuncho2726
    @vplathuncho2726 Год назад +1

    Mkojani ✌️✌️✌️

  • @watchme5678
    @watchme5678 Год назад +3

    Mkojani 🙌 🔥🔥

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 3 дня назад

    Wewe mkojani mbona Hana haya wala hujui Vibaya kama wangelikuwa watoto wako ugeliwafanyia hivyo? Mbona huna utu?

  • @jumanneshabeni2009
    @jumanneshabeni2009 Год назад +1

    hapo kwenye wajane dah!🤪🤪🤪🤪

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Год назад

    good movie

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 Год назад

    Sijui ata mkoje Yani imeanza na hamniambii

  • @mayasaakidanahodha8145
    @mayasaakidanahodha8145 Год назад +2

    R. I. P mzee Korongo

  • @steveiginansi8586
    @steveiginansi8586 Год назад

    Umezingua