Naicheki Move Hii Kwa Mala Ya Kwanza Nikiwa Pretoria South Africa🇿🇦 Tarehe 19/9/2022, Hakika Ina Ujumbe Mzito Eeeh Mw/Mungu Mlaze Mahara Pema Peponi Mzee Korongo Na Umjaalie Kauli Thaabit🙏
Shabiki sugu wa Mkojani Gang from Mombasa natazama nikiwa Qatar Doha, Sinema nzuri na yenye kusikitisha😞😟😥. Kwenye hio sehemu ya ulemavu inanikumbusha Kenya kuna ulanguzi wa biashara ya walemavu wa kujifanya na walemavu wenyewe wa kujifanya ni wakutoka Tanzania, kuna baadhi ya Wa-Tanzania wenye wanaijua vzuri miji ya Kenya (Nairobi na Mombasa) ndio wenye kuwatumia awa watu kwa kuwasafirisha ili kuja Kenya kujifanya walemavu kwa kuomba omba pesa ili nao wafaidike. Ila ningeomba serikali ya Tanzania iangazie hilo swala kwa sababu ni jambo la kusikitisha na lisilo na utu
Pale Kariobangi kuna nyumba imewajaza walemavu kibao sana na wote ni watanzania..kazi yao ni kupelekwa town asubuhi wafany omba omba jioni warudishwe...so sad
Camera man yuko vizuri sanaa asee noma sana
Kwa nin umemusifia cameraman?
@@wilsonkihanga8447 amefanya unyama saanaa
Assalam alykum mzee wetu mola ailaze roho yke pema peponi amiin
Amin
Aaaamin
Walaikum salam Amiina rabi
Amin
Mze Nan weh nae
From Qatar wa kwanza likes zenu team mkojani
Hii move inaviwango vya kuoneshwa Netflix kabisa in short mmeua mkojani gang for everyone ✊🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
Inalilah wainahirajiuna Mzee kongoro alikua anamchango mkubwa Sana ktk sanaa 🥺🥺
Naicheki Move Hii Kwa Mala Ya Kwanza Nikiwa Pretoria South Africa🇿🇦 Tarehe 19/9/2022,
Hakika Ina Ujumbe Mzito Eeeh Mw/Mungu Mlaze Mahara Pema Peponi Mzee Korongo Na Umjaalie Kauli Thaabit🙏
Nilkua nasubiri kwa hamu from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪to🇸🇦🇸🇦🇸🇦nawapenda sana
I have never commented at any of actions of mkojani gang but for this one aah number 1
Shabiki sugu wa Mkojani Gang from Mombasa natazama nikiwa Qatar Doha, Sinema nzuri na yenye kusikitisha😞😟😥. Kwenye hio sehemu ya ulemavu inanikumbusha Kenya kuna ulanguzi wa biashara ya walemavu wa kujifanya na walemavu wenyewe wa kujifanya ni wakutoka Tanzania, kuna baadhi ya Wa-Tanzania wenye wanaijua vzuri miji ya Kenya (Nairobi na Mombasa) ndio wenye kuwatumia awa watu kwa kuwasafirisha ili kuja Kenya kujifanya walemavu kwa kuomba omba pesa ili nao wafaidike. Ila ningeomba serikali ya Tanzania iangazie hilo swala kwa sababu ni jambo la kusikitisha na lisilo na utu
Pale Kariobangi kuna nyumba imewajaza walemavu kibao sana na wote ni watanzania..kazi yao ni kupelekwa town asubuhi wafany omba omba jioni warudishwe...so sad
Mkojani King mwenywe❤mi nakutambua nakuona kwenye ugai gai haupo sanaa nkajua wafanya mambo kwa mtambo kama rambo😅💯💯💥💫👍
Samofi mkojani Kazi nzuri sana utu ni kali mambo ni fire 🔥🔥🔥
Samofi unaniretea wajane 🤣🤣🤣 mkojani noma Sana
Show L ❤️VE kwa mkojani gang. Gonga like
Wakwanza hapa piga likes twende nalo
Mola amjalie kauli thabit InshaAllah biidhnillahi mzee wetu korongo, nangalia nkiwa Bahrain 🇧🇭..
KAZI nzur Sana MashaAllah Aleyq
Amin
Allahuma ameen.Nakubal kaka Gadafy.Kumbe ww n mwenzangu shabiki kindakindaki wa Mkojani bin Darweish.
Eebanaeh..
Mie shabiki yke tokea anatumia kipupwee..
Yuko so talented bro Abdallah Muhammad.
Mkojani gang hatupoi hatuboi...mambwende nampendaga sna😂😂😂
ALLAH AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI, MZEE WETU MZEE KORONGO. AAAMIN.
Allaahumma aamiin
Ameen yaarabbi 😭
Kiukweli hapa ni mmetisha hii kazi ni mambo ambao yapo
Nakubar can mkojan kazi nzuri can namuon mzee wet mzee korongo mungu amraze Mahal pema peponi Amin utu hiy ci move bali niuhalisia wa maisha yet
mashallah shukurani sana washilika mungu awajalie sana
Interview hio kali, "ebu jitingishe" 😄
Mtoto wa jamuhuri wa tz eti labda jamuhuri kiwelu
mzee wa kazi mkojani hongera
Kwakweli hii move inafundisha sana hongereni
Nice maboy mmako alon from tanga to capetown south Africa I like that nice one
tunangalia kutoka mozambique🇲🇿
From kenya mkojani keep it up good work .
Mafunzo mazuri sana mwenye kuelewa ataelewa hongereni jmn👌👌🥰🥰🥰🔥🔥🔥mkojani na team yako nawakubali
🥰🥰😂😂😂😂😂 mkojan bhn et samofi ananiletea wajane 😂😂
Mambwende unanikoshaga unavyopiga kiingereza 😂😂😂
🤣🤣 harafu cha kuunga unga 🤣🤣
🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦👣👣👣 nice job
Nice movie nice movie!!!! Congore mkojani
Dah hii kazi kiwango sana
Kila wakikutana samofi na mkojani lazimaaa wapigane 😁😁😁😁😁😁😁😁
*TAMU SANA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Na mpigwaji ajulikani😂😂 namkubari sana Samofi
Kila corner Niko area kaa bacteria 🦠, mkojani gen for everybody , Kenyan boy in Qatar is already in
Mkojan ndo uvae herin alf utavaa mkufu alf vengne vnafata
Hahahahah body gady samofiii hahahaha tishaaa Sana mkojani
Mpo vzr from united state of America 🇺🇸 👏
Mkojani ww huwez kua Bos bora samof Awe bosi
Mkojani wewe unaachiya Utu wakati uyu baba ameshatuacha
Sasa kma walishamlipa mtu hasifany kaz
Kazi Noma From🇲🇿
Mkojani gang big up sana
Rip mzee korongo😭😭
AiseYYY mposeli mposeli, munauzwa
🇿🇦🇿🇦 nikiwa south Africa nawapata vizuri mkojani Mr samofi
Utu🥰leo nmewahi
Tishaaa sanaa mkojani,, nipo Zanzibar
unyama mwingi so kisenge🤪🤪yani🔥🔥🔥
Nimemuona zuchu baby mke wangu
Khamisi makongo mola ailaze kuzimu
Sijaona chuvi umu😮
Mkojani kubwa la maadui Amish Kapoor
Love 🇹🇿🇹🇿from 🇲🇿🇲🇿😍😍
Mzeee kolongoo 😭😭😢
Its really painful moves bt waiting for season 2
Mambo moto 🙏😃🔥🔥 from french 🇨🇵
kuna funzo kubwa sana hapa
Duuh kweli utu hmna hapo
Kweli binadamu atupendani. Maana mambo yanayofanyika kwa hii Dunia wengi watayajibu siku ya mwisho kwa MOLA. Kweli watu wengine hawana utu.
Hongera bin darueshi kwa kutufikishia ujumbe kweli hili jambo lipo ni serikali ikaingilia kati
Mzee kongoro daah😭
najckia haja kubw vnakuj kw mpigo nan kackia iyoo😂😂😂😂
Aaaaah Mzee unatukosea wasukuma , 😂😂😂😂😂
nitanzibuaa mtu haaaaa n vituko
Mkojani mjinga sana aise😂
Chemistry ya mkojani na samofi haina mfano 💥💥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakubali iyi move Sana iyi kazi 🔥🔥 na tizama nikiwa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🔥❤️🔥
KAKA UMEUWA
ET wamenyata umeuwa
LINDI vs MTWARA
Best Movies … Best ACTORS … aseee nimenyoosha mikono 🦾
Noma
MashaAllah
Mambo moto moto 🔥🔥🤜 unyama sana
Nakubali from Moz 🇲🇿
Much ❤️❤️❤️❤️ from+254
VIP ugai gai
Kesho inshallah
Kimeumana?🇲🇿
Pombe tamu nayo mume tuonjesha tuu jiiiii adi leo
❤❤❤iko poa sanaaa mkojan gang
Merehem mzee korongo
Mkojani hizo hon🔊🔊🔊🔉
Pombe tamu mmeshindwa kuendeleza mnaleta nyingne mnatukosea sana
Mambwende on top 👊
Congratulations mkojani, good work 👏 you can do better than this 👍
Hiiiii ngoma kaimba baruti bila shaka anajua sana jamaa
Utu🔥🔥🔥
Apo kwenye malemavu sio poa inaumiza
🤣🤣🤣😂😂😂😂hii kali
Mkojani kipajiiii
Love 🇹🇿🇹🇿 to 🇰🇪🇰🇪❤❤
Ntazama nikiwa 🇮🇪
From Zenjibar good job brother mkojani
I was confused aliekufa n Nani? I get now from comments mzee korongo rest in peace
Mkojani ✌️✌️✌️
Mkojani 🙌 🔥🔥
Wewe mkojani mbona Hana haya wala hujui Vibaya kama wangelikuwa watoto wako ugeliwafanyia hivyo? Mbona huna utu?
hapo kwenye wajane dah!🤪🤪🤪🤪
good movie
Sijui ata mkoje Yani imeanza na hamniambii
R. I. P mzee Korongo
Umezingua