Naicheki Move Hii Kwa Mala Ya Kwanza Nikiwa Pretoria South Africa🇿🇦 Tarehe 19/9/2022, Hakika Ina Ujumbe Mzito Eeeh Mw/Mungu Mlaze Mahara Pema Peponi Mzee Korongo Na Umjaalie Kauli Thaabit🙏
Shabiki sugu wa Mkojani Gang from Mombasa natazama nikiwa Qatar Doha, Sinema nzuri na yenye kusikitisha😞😟😥. Kwenye hio sehemu ya ulemavu inanikumbusha Kenya kuna ulanguzi wa biashara ya walemavu wa kujifanya na walemavu wenyewe wa kujifanya ni wakutoka Tanzania, kuna baadhi ya Wa-Tanzania wenye wanaijua vzuri miji ya Kenya (Nairobi na Mombasa) ndio wenye kuwatumia awa watu kwa kuwasafirisha ili kuja Kenya kujifanya walemavu kwa kuomba omba pesa ili nao wafaidike. Ila ningeomba serikali ya Tanzania iangazie hilo swala kwa sababu ni jambo la kusikitisha na lisilo na utu
Pale Kariobangi kuna nyumba imewajaza walemavu kibao sana na wote ni watanzania..kazi yao ni kupelekwa town asubuhi wafany omba omba jioni warudishwe...so sad
Camera man yuko vizuri sanaa asee noma sana
Kwa nin umemusifia cameraman?
@@wilsonkihanga8447 amefanya unyama saanaa
Inalilah wainahirajiuna Mzee kongoro alikua anamchango mkubwa Sana ktk sanaa 🥺🥺
I have never commented at any of actions of mkojani gang but for this one aah number 1
Samofi mkojani Kazi nzuri sana utu ni kali mambo ni fire 🔥🔥🔥
Mkojani King mwenywe❤mi nakutambua nakuona kwenye ugai gai haupo sanaa nkajua wafanya mambo kwa mtambo kama rambo😅💯💯💥💫👍
Nilkua nasubiri kwa hamu from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪to🇸🇦🇸🇦🇸🇦nawapenda sana
Nakubar can mkojan kazi nzuri can namuon mzee wet mzee korongo mungu amraze Mahal pema peponi Amin utu hiy ci move bali niuhalisia wa maisha yet
From Qatar wa kwanza likes zenu team mkojani
Mola amjalie kauli thabit InshaAllah biidhnillahi mzee wetu korongo, nangalia nkiwa Bahrain 🇧🇭..
KAZI nzur Sana MashaAllah Aleyq
Amin
Allahuma ameen.Nakubal kaka Gadafy.Kumbe ww n mwenzangu shabiki kindakindaki wa Mkojani bin Darweish.
Eebanaeh..
Mie shabiki yke tokea anatumia kipupwee..
Yuko so talented bro Abdallah Muhammad.
Hii move inaviwango vya kuoneshwa Netflix kabisa in short mmeua mkojani gang for everyone ✊🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
Assalam alykum mzee wetu mola ailaze roho yke pema peponi amiin
Amin
Aaaamin
Walaikum salam Amiina rabi
Amin
Mze Nan weh nae
Mafunzo mazuri sana mwenye kuelewa ataelewa hongereni jmn👌👌🥰🥰🥰🔥🔥🔥mkojani na team yako nawakubali
mashallah shukurani sana washilika mungu awajalie sana
Mkojani gang hatupoi hatuboi...mambwende nampendaga sna😂😂😂
Nice movie nice movie!!!! Congore mkojani
From kenya mkojani keep it up good work .
Utu🥰leo nmewahi
Hahahahah body gady samofiii hahahaha tishaaa Sana mkojani
Hongera bin darueshi kwa kutufikishia ujumbe kweli hili jambo lipo ni serikali ikaingilia kati
Nice maboy mmako alon from tanga to capetown south Africa I like that nice one
Samofi unaniretea wajane 🤣🤣🤣 mkojani noma Sana
❤❤❤iko poa sanaaa mkojan gang
Nakubali iyi move Sana iyi kazi 🔥🔥 na tizama nikiwa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mkojani gang big up sana
Na mpigwaji ajulikani😂😂 namkubari sana Samofi
mzee wa kazi mkojani hongera
Mambo moto moto 🔥🔥🤜 unyama sana
🥰🥰😂😂😂😂😂 mkojan bhn et samofi ananiletea wajane 😂😂
Kwakweli hii move inafundisha sana hongereni
Kiukweli hapa ni mmetisha hii kazi ni mambo ambao yapo
ALLAH AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI, MZEE WETU MZEE KORONGO. AAAMIN.
Allaahumma aamiin
Ameen yaarabbi 😭
Naicheki Move Hii Kwa Mala Ya Kwanza Nikiwa Pretoria South Africa🇿🇦 Tarehe 19/9/2022,
Hakika Ina Ujumbe Mzito Eeeh Mw/Mungu Mlaze Mahara Pema Peponi Mzee Korongo Na Umjaalie Kauli Thaabit🙏
*TAMU SANA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mambo moto 🙏😃🔥🔥 from french 🇨🇵
AiseYYY mposeli mposeli, munauzwa
unyama mwingi so kisenge🤪🤪yani🔥🔥🔥
Dah hii kazi kiwango sana
Best Movies … Best ACTORS … aseee nimenyoosha mikono 🦾
Noma
Love 🇹🇿🇹🇿from 🇲🇿🇲🇿😍😍
Mpo vzr from united state of America 🇺🇸 👏
🇿🇦🇿🇦 nikiwa south Africa nawapata vizuri mkojani Mr samofi
Shabiki sugu wa Mkojani Gang from Mombasa natazama nikiwa Qatar Doha, Sinema nzuri na yenye kusikitisha😞😟😥. Kwenye hio sehemu ya ulemavu inanikumbusha Kenya kuna ulanguzi wa biashara ya walemavu wa kujifanya na walemavu wenyewe wa kujifanya ni wakutoka Tanzania, kuna baadhi ya Wa-Tanzania wenye wanaijua vzuri miji ya Kenya (Nairobi na Mombasa) ndio wenye kuwatumia awa watu kwa kuwasafirisha ili kuja Kenya kujifanya walemavu kwa kuomba omba pesa ili nao wafaidike. Ila ningeomba serikali ya Tanzania iangazie hilo swala kwa sababu ni jambo la kusikitisha na lisilo na utu
Pale Kariobangi kuna nyumba imewajaza walemavu kibao sana na wote ni watanzania..kazi yao ni kupelekwa town asubuhi wafany omba omba jioni warudishwe...so sad
Mkojani hizo hon🔊🔊🔊🔉
🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦👣👣👣 nice job
Tishaaa sanaa mkojani,, nipo Zanzibar
Hiiiii ngoma kaimba baruti bila shaka anajua sana jamaa
🔥❤️🔥
From Zenjibar good job brother mkojani
Best one.
Sijaona chuvi umu😮
Kila wakikutana samofi na mkojani lazimaaa wapigane 😁😁😁😁😁😁😁😁
Show L ❤️VE kwa mkojani gang. Gonga like
Utu🔥🔥🔥
Mambwende on top 👊
Much ❤️❤️❤️❤️ from+254
Mkojani 🙌 🔥🔥
Kazi Noma From🇲🇿
Aaaaah Mzee unatukosea wasukuma , 😂😂😂😂😂
Merehem mzee korongo
VIP ugai gai
Kesho inshallah
Kimeumana?🇲🇿
Pombe tamu nayo mume tuonjesha tuu jiiiii adi leo
Wakwanza hapa piga likes twende nalo
tunangalia kutoka mozambique🇲🇿
Interview hio kali, "ebu jitingishe" 😄
Nimemuona zuchu baby mke wangu
Love 🇹🇿🇹🇿 to 🇰🇪🇰🇪❤❤
Mambwende unanikoshaga unavyopiga kiingereza 😂😂😂
🤣🤣 harafu cha kuunga unga 🤣🤣
Mkojan ndo uvae herin alf utavaa mkufu alf vengne vnafata
Duuh kweli utu hmna hapo
Mkojani mjinga sana aise😂
Its really painful moves bt waiting for season 2
nitanzibuaa mtu haaaaa n vituko
Mkojani ✌️✌️✌️
Nakubali from Moz 🇲🇿
Kila corner Niko area kaa bacteria 🦠, mkojani gen for everybody , Kenyan boy in Qatar is already in
Mzee kongoro daah😭
Congratulations mkojani, good work 👏 you can do better than this 👍
Daaaah subhanallah
🤣🤣🤣😂😂😂😂hii kali
Mkojani wewe unaachiya Utu wakati uyu baba ameshatuacha
Sasa kma walishamlipa mtu hasifany kaz
Mzeee kolongoo 😭😭😢
Rip mzee korongo😭😭
Mkojani ww huwez kua Bos bora samof Awe bosi
najckia haja kubw vnakuj kw mpigo nan kackia iyoo😂😂😂😂
Pombe tamu mmeshindwa kuendeleza mnaleta nyingne mnatukosea sana
Chemistry ya mkojani na samofi haina mfano 💥💥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Khamisi makongo mola ailaze kuzimu
good movie
Mkojani kipajiiii
Jimama la kamugishaaa haahaa😄😄🤣🤣
kuna funzo kubwa sana hapa
Imeweza
Umezingua
Mtoto wa jamuhuri wa tz eti labda jamuhuri kiwelu
MashaAllah
Sijui ata mkoje Yani imeanza na hamniambii
Mambwende unapenda hela
hapo kwenye wajane dah!🤪🤪🤪🤪
Mkojani kubwa la maadui Amish Kapoor
Ntazama nikiwa 🇮🇪
Kazi Kali🤣🤣🤣🤣