Huyo kayoko kufa na afe tu mana amezd kuinyonga simba namlaani namlaaninamlaan kila eneo la maisha yake shetan wa kijan huyu hata kama tungekosa point lakin angetenda haki huyu mwanakulaaniwa kayoko
Hivi mashabiki wa simba mnaupofu wa macho au moyo?kibu amefanyiwa faulu nje ya 18 ila kwa uhuni akaangukia ndani,kibu alitail nyekundu kwa kumdanganya muamuz
MO uko sahihi... Uzuri unayongea siyo ya kuzusha mechi iko wazi kila mtu kaiona na asiyekuelewa kabla ya kuongea lolote akarudie mchezo auone... Wachambuzi wanakaa YANGA YANGA kwa ujinga... Hii awamu ya Sita simba inatuumiza Sana... Mpira wetu una siasa nyingi Sana ndiyo maana timu yetu ya taifa haifanyi vizuri sababu ya propaganda na huu ujinga
Poleni colo shida yenu mlishakubali kuwa mzimu huu mnajenga timu kilichokuja kuwapa kichwa kuwa kikosi chenu kishaimarika ni nini MTOTO KAUTAKA
Kanyoko hata ukimlaani haitasaidia. Kwa sababu tayari keshalaaniwa! Cha kufanya ni kuangalia namba sahihi!
Wew n mpuuz hujaona ateba kashikwa na diara
Na bado😂😂😂😂😂
Huyo kayoko kufa na afe tu mana amezd kuinyonga simba namlaani namlaaninamlaan kila eneo la maisha yake shetan wa kijan huyu hata kama tungekosa point lakin angetenda haki huyu mwanakulaaniwa kayoko
Kumekucha 😂😂😂
Anaogea upumbav t uyo aajua mpira lkn au ashalewa hajui anacho kiongea
Eti bilioni tisa unajua wewe au bangi tu mbona umeifunga azam kwa magori ya offside zanzibar umeshangilia wamekupiddy tulia
MO amalize Beaf lake na Serikali ya CCM
La sivyo marefaree wataendelea kuwabeba yanga kwa maelekezo ya viongozi wa siasa.
Hivi mashabiki wa simba mnaupofu wa macho au moyo?kibu amefanyiwa faulu nje ya 18 ila kwa uhuni akaangukia ndani,kibu alitail nyekundu kwa kumdanganya muamuz
Huna akili
Toa tumbo lako hapo
Kwani kayoko kakosea Nini kwani uko? Kwani ulikuwa ancheza!, Mo,mo,mo, achakudanganya wenzio si vyema,mpira wacheze wachezaji wenu,alaumiwe refa how
Tatinzo la simba ni viongozi siyo tu siernzi kulaumu mutu yoyote hila simba viongozi wasimba awako makin mbaka mangungu atoke mwenyekiti nilisha wambia
Kaangalie mpira ili uelewe MO anaongea nini
@@MussaMarwa-r8gacha ubwege viongoz wana kosa gani sikia anachooʻngea huyo wewe ùsiyejua kiswahil
Huyu jamaa ni chizi kweli
Kaangalie mchezo kabla ya kutukana watu
@@rexgodwill7353 ninyi hamna timu yakuifunga yanga shida yetu mnahangaika na waganga tengenezeni tumu halafu ndo muongezee na uganga kidogo
Kagoma kuumia ndio shida ameanza apo
@@amekindamba1643 tunguri ilizidi ikawageuka wenyewe
MO uko sahihi... Uzuri unayongea siyo ya kuzusha mechi iko wazi kila mtu kaiona na asiyekuelewa kabla ya kuongea lolote akarudie mchezo auone...
Wachambuzi wanakaa YANGA YANGA kwa ujinga...
Hii awamu ya Sita simba inatuumiza Sana...
Mpira wetu una siasa nyingi Sana ndiyo maana timu yetu ya taifa haifanyi vizuri sababu ya propaganda na huu ujinga