#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024

Комментарии • 22

  • @ChristopherLuka-j6h
    @ChristopherLuka-j6h Час назад

    Poleni colo shida yenu mlishakubali kuwa mzimu huu mnajenga timu kilichokuja kuwapa kichwa kuwa kikosi chenu kishaimarika ni nini MTOTO KAUTAKA

  • @isackshinda2597
    @isackshinda2597 3 часа назад

    Kanyoko hata ukimlaani haitasaidia. Kwa sababu tayari keshalaaniwa! Cha kufanya ni kuangalia namba sahihi!

  • @bakarihusen5156
    @bakarihusen5156 2 часа назад

    Wew n mpuuz hujaona ateba kashikwa na diara

  • @anodearsulusi7536
    @anodearsulusi7536 2 часа назад

    Na bado😂😂😂😂😂

  • @BeatriceSoka-c7c
    @BeatriceSoka-c7c 3 часа назад

    Huyo kayoko kufa na afe tu mana amezd kuinyonga simba namlaani namlaaninamlaan kila eneo la maisha yake shetan wa kijan huyu hata kama tungekosa point lakin angetenda haki huyu mwanakulaaniwa kayoko

  • @Zainabkhamis-d2s
    @Zainabkhamis-d2s 9 часов назад

    Kumekucha 😂😂😂

  • @Rajabomarmohd
    @Rajabomarmohd 12 часов назад

    Anaogea upumbav t uyo aajua mpira lkn au ashalewa hajui anacho kiongea

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx Час назад

    Eti bilioni tisa unajua wewe au bangi tu mbona umeifunga azam kwa magori ya offside zanzibar umeshangilia wamekupiddy tulia

  • @kilungahamis1270
    @kilungahamis1270 7 часов назад

    MO amalize Beaf lake na Serikali ya CCM
    La sivyo marefaree wataendelea kuwabeba yanga kwa maelekezo ya viongozi wa siasa.

  • @amiduassan8763
    @amiduassan8763 5 часов назад

    Hivi mashabiki wa simba mnaupofu wa macho au moyo?kibu amefanyiwa faulu nje ya 18 ila kwa uhuni akaangukia ndani,kibu alitail nyekundu kwa kumdanganya muamuz

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge 4 часа назад

    Toa tumbo lako hapo

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 13 часов назад

    Kwani kayoko kakosea Nini kwani uko? Kwani ulikuwa ancheza!, Mo,mo,mo, achakudanganya wenzio si vyema,mpira wacheze wachezaji wenu,alaumiwe refa how

    • @MussaMarwa-r8g
      @MussaMarwa-r8g 12 часов назад

      Tatinzo la simba ni viongozi siyo tu siernzi kulaumu mutu yoyote hila simba viongozi wasimba awako makin mbaka mangungu atoke mwenyekiti nilisha wambia

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 12 часов назад +1

      Kaangalie mpira ili uelewe MO anaongea nini

    • @BeatriceSoka-c7c
      @BeatriceSoka-c7c 3 часа назад

      ​@@MussaMarwa-r8gacha ubwege viongoz wana kosa gani sikia anachooʻngea huyo wewe ùsiyejua kiswahil

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 12 часов назад

    Huyu jamaa ni chizi kweli

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 12 часов назад

      Kaangalie mchezo kabla ya kutukana watu

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 4 часа назад

      @@rexgodwill7353 ninyi hamna timu yakuifunga yanga shida yetu mnahangaika na waganga tengenezeni tumu halafu ndo muongezee na uganga kidogo

  • @amekindamba1643
    @amekindamba1643 12 часов назад

    Kagoma kuumia ndio shida ameanza apo

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 4 часа назад

      @@amekindamba1643 tunguri ilizidi ikawageuka wenyewe

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 12 часов назад

    MO uko sahihi... Uzuri unayongea siyo ya kuzusha mechi iko wazi kila mtu kaiona na asiyekuelewa kabla ya kuongea lolote akarudie mchezo auone...
    Wachambuzi wanakaa YANGA YANGA kwa ujinga...
    Hii awamu ya Sita simba inatuumiza Sana...
    Mpira wetu una siasa nyingi Sana ndiyo maana timu yetu ya taifa haifanyi vizuri sababu ya propaganda na huu ujinga