Pole sana sana...... Mmekutana na kisiki .. Kapombe kateleza tu kawaida. Na Kagoma alikuwa majeruhi Usilaghai watu Bwanaaaa..... Pen unaona upande mmoja na pen ya Musonda hujaiona we kweli MAHABA NIUE..... UMEKWISHHHHAAAA YANGA WALICHEZA KIUME ... SISI TUNATAKA WOTE MUWAKE😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Anajitetetea maana aliongea sana kabla ya mechi afu suala la kujifunga kwani bila kuzidiwa utajifunga?? Ye alisema yanga imejaa wazee lkn walokata moto ni wao sasa sijui anaongea nn mpuuzi huyu anataka kuwaaminisha watu upuuzi wake
Huyu 64gb ndo anaihujumu Simba toka akaanza kujipendekeza timu inaharibika Kila siku huyu mnafiki TU waachievakina kisugu timu yao ndo wenye uchungu sio wewe
Ni kwa nini VAR haikutuika katika mchezo wa jana? Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana. Yanga hatuwaamini tena kabisa. GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka san kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League.
Hega kwanini usiachane na soka la bongo tu ndugu yangu anzisha hata tution kubwa la maana upate fedha mbona pcm uko vizuri tu mipira hiyo waachie wa mpira
Ni kwa nini VAR haikutumika katika mchezo wa jana? Haina maana kabisa kununua VAR-systems kwa fedha nyingi sana, kuzinduliwa na Mheshimiwa Majaliwa na hatiaye kuziweka mashine zote kabatini. Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana. Hawa waamuzi wa mchezo Tanzania hatuwaamini tena. Yanga hatuwaamini kabisa. Tunawafahamu sana wote hawo. GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League. Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF kutekelezwa haraka.
Sijaona hizo penalty yaani uguswe nje useme penalty kweli nyie wehu ateba penalty ipi au mpira umeangalia pekeyako chumbani sio team bado hiyo shukulu mechi za taifa mlikuwa mnakula 10
Nyie Simba,kila mkifungwa mmeonewa mmelogwa,lini mtakubAli ??.mchezaji asiguswe.Chezeni Boli litembee ,Iko siku.na nyinyi."YOU HAVE TO ADMIT THE DEFEAT AS WINNING,AND, LOOSING IS PART OF LIFE " ONE DAY YES. Wachezaji walicheza vema si kama huko Ni swala tu la kutumia nafasi zinazo patikana.
Lkn mbona yanga kapata penalty hamuongeii pili beki wa alie mzuiaa dube akiwa mshambuliajiii wa mwisho alisthilii red card mbona hamu isemiiii ndugu zangu
Kwa singida black star hawachomoi kwa jkt hawachomoi hamna hamna basi wapate droo weshapoteana hawa kazi kubattle na yanga tu wakati wanajua kabisa hawana wachezaji wakuwashindanisha na yanga
hapa ukiangalia macho ya hao wanaolalamika utagundua kwamba hata kile wanacholalamikia wanajua hakipo maana tuliokuwa uwanjani tuliona kabisa kibu kaotea hata kocha fadru hakushangilia maana ilikuwa ni offside ya wazi... tusitafute vichaka vya kujikingia maana hata huyo ateba alikosa goli lakini move yenyewe ilikuwa tayali kaotea na kama angefanikiwa kufunga simba wangeshangilia... kwani refa alimwambia kamala aufuate mpira uliokuwa unatoka aurudishe kwenye mchezo na kusababisha goli, au alimwambia kijiri ajifunge mpira ambao tayari ushagonga mwamba na kurudi uwanjani ! tatizo tunakuja ya matokeo uwanjani na kuamini tunashinda ilhali mpira unadunda ... tengeneza kikosi ambacho hata wakitoka key players watatu wanaoingia wanakuwa kama wale waliotoka na kuendeleza momentum ya timu sio kurundika wachezaji ambao watawavyonza wengine na kupunguza momentum ya timu...
Mtoto kautaka mtoto kautaka....😂
Safi kabisa nmekubali point zako zasingi
Verry nice mwana sipot maneno yako kumtu 64G pambania Simba yako
Basi sawa, tufanye mechi imeisha sare
Simba motomoto ubaya
Umeongea kiume kaka upo sahh
Big up GB64
Kumbe inauma pacome azizi walikataliwa magoli yaoo na na uyo uyo nyiee mlikaa kimy leo zamu yenu na sisi tunacheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
REFA YANGA ASHINDE SIMBA
😂😂😂😂😂😂😂 bado mtaenda kwa GSM ana waharibia mpira.
Nyoko minio we siku zote mnafungwa anasababisha kayoko
Hilo tagazo nasiki elfu tano tano za a kayokoooo,kwahiyo bado anadai hela zake kuibeba yanga
Maneno ya mkosaji pole64gb pitishia coca cola baridi upozee koo pole kwa machungu ya goli
Panyo pako
Umeongea kiume ila kamati ya ufundi ya Simba inazidiwa kila upande Amina manara
Aliye pewa hirizi alianguka jana mtashinda vp na nyinyi mlisha zoea uchawi
Yaani huyu gb 64 mimi naona kama shoga tu mbona cku mlioifunga.dodoma jiji refa alifanya nini pididy njoo chukua gb 64
Kama simba hatutasoma halbadri kayoko atatusumbua siku, zote
Pole sana sana......
Mmekutana na kisiki ..
Kapombe kateleza tu kawaida.
Na Kagoma alikuwa majeruhi
Usilaghai watu Bwanaaaa.....
Pen unaona upande mmoja na pen ya Musonda hujaiona we kweli MAHABA NIUE.....
UMEKWISHHHHAAAA
YANGA WALICHEZA KIUME ...
SISI TUNATAKA WOTE MUWAKE😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Anajitetetea maana aliongea sana kabla ya mechi afu suala la kujifunga kwani bila kuzidiwa utajifunga?? Ye alisema yanga imejaa wazee lkn walokata moto ni wao sasa sijui anaongea nn mpuuzi huyu anataka kuwaaminisha watu upuuzi wake
Nakuelewaa sanaaa gb 64
Asante kwa kuitengeneza Yanga maana katika watu wanao itengeneza Yanga wew upo na Simba unaibomoa
Hilo fungu analopewa na mangungu imesaidia sana jamaa asiwashambulie tena viongozi lazima atetee tu kwani muamala hautasoma tena 😊
Kumbe huyu awakukosea kumtumbua uwalimu yani off side unalazimisha liwe goal.
Tatizo Simba mnaamini sana uchawi ndo maana mnaferi Kila siku. Chezeni mpira
Huyu 64gb ndo anaihujumu Simba toka akaanza kujipendekeza timu inaharibika Kila siku huyu mnafiki TU waachievakina kisugu timu yao ndo wenye uchungu sio wewe
Msenge huongei mambo ya mana
Ujamfunga yanga Mara 4 mfululizo muongo tutajie iyo miaka mi 4 mfululizo ?
Acha kupumbaza wenzako. Mlimfunga Yanga mara 4 mfululizo lini? Unajishushia cv
Kazi kweli kweli yaani hatufungani mpaka tologane 😂😂😂
Umeongea vzr sana.Mungu mwema sana
Kapombe alianguka kwasababu alilewa pombe😂😂😂😂😂😂😂
Sahihi kaka goli lenyewe mpira ulitoka nje
Kijiliii iiiiiii
MAREHEMU KADHULUMIWA❤❤❤
Wewe umezaliwa juzi hujui mpira
Umeongea pont
Namkubali sana gb64
gud point 🙏
Yaan hata mo angekuwa refa ahmed ally kibendera kuwashenyeta kuko pale pale
GB.64 ukovizuri sana nakuku bali sana kikubwa tusiwatupie.lawama wachezaji wetu kikubwa tua ngalie timu yetu Simba nguvu moja
Yule maneno tu Amna kitu broo
Ni kwa nini VAR haikutuika katika mchezo wa jana?
Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana.
Yanga hatuwaamini tena kabisa.
GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka san kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League.
Miaka ya 94 mwenyewe ulikuwa mapajani kwa mamaako unanyonya
Basi tufanye ilikuwa sare
VIVA GB
Hega kwanini usiachane na soka la bongo tu ndugu yangu anzisha hata tution kubwa la maana upate fedha mbona pcm uko vizuri tu mipira hiyo waachie wa mpira
Nakuelewa sana GB 64 yote uliyosema ni kweli wachezaji viongozi tulieni
Ni kwa nini VAR haikutumika katika mchezo wa jana?
Haina maana kabisa kununua VAR-systems kwa fedha nyingi sana, kuzinduliwa na Mheshimiwa Majaliwa na hatiaye kuziweka mashine zote kabatini.
Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana.
Hawa waamuzi wa mchezo Tanzania hatuwaamini tena.
Yanga hatuwaamini kabisa. Tunawafahamu sana wote hawo.
GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League.
Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF kutekelezwa haraka.
Tulia dawa iingiieee
Kaka umeongea ukweli kabisa viongozi wawe makini kabisa kuhusu hilo swala
Akuna Malefa bongo hapa
Kawaida ya wasenge hutabiri mambo kwakua Wana vikao vyao ok
Ali komwe hana secret moja mbona hakusema kabla ya mchezo??? yale ni maneno tu wala gb usiingie kwenye maneno yake ni mbwatukaji tu yule.
Shida Simba awa chesei wachesaji woto inafaa ikimutoa kibu ana mueka kama chasambi
Ukiwa na adui 10 ujue mmoja yuko upande wako,hivyo kuna kiongozi mmoja ambae wa simba yuko upande wa yanga
Sijaona hizo penalty yaani uguswe nje useme penalty kweli nyie wehu ateba penalty ipi au mpira umeangalia pekeyako chumbani sio team bado hiyo shukulu mechi za taifa mlikuwa mnakula 10
GB 64 Hayo mambo ya tradition siyo ya kuongelea hapo na huyo kamwe mlopokaji tu hana chochote
Ni yule ALIEMLAZIMISHA ROBATINHO KUMPANGA MANULA ILHAL MGONJWA SI BADO YUPO AU MMEPUGA!!!!????
Live umeongea point
Wewe ndipo navi kabisa, nyie simlihonga refs?
We haujui mpira
Nyie Simba,kila mkifungwa mmeonewa mmelogwa,lini mtakubAli ??.mchezaji asiguswe.Chezeni Boli litembee ,Iko siku.na nyinyi."YOU HAVE TO ADMIT THE DEFEAT AS WINNING,AND, LOOSING IS PART OF LIFE " ONE DAY YES.
Wachezaji walicheza vema si kama huko Ni swala tu la kutumia nafasi zinazo patikana.
Ila wakipewa penalty ya uwongo kwa Dodoma Jiji ndo wanamuona refa anafaa.
Huyo pumbaaaaaaaaaa.
Lkn mbona yanga kapata penalty hamuongeii pili beki wa alie mzuiaa dube akiwa mshambuliajiii wa mwisho alisthilii red card mbona hamu isemiiii ndugu zangu
Mbona avaa jersey ya Liverpool 🤔🤔
Ila kayoko
Amekuwa mpole sana leo
Mwaka 94 mlifungwa mara 4 mfulululizo
@kassidpandu866 1991 yanga walianza kuwafunga simba mara nne mfululizo au hyo huitaki
GB 64 KILA MWAKA MANENO YAKE YALEYALE INASAIDIA NN ACHA UJINGA WW
Kwani simba msimu huu , hamjabebwa na refa ?
Mwaka upi na mwaka
Upi
GB TUMEFUNGWA KWA MIPANGO YA TFF NA KAYOKO USIHANGAIKE.
Tatizo Ahmed Alli
Nimetotaarifa CAF penat tatu kayoko amekataa Kesho akaripot hizo tuhuma
Nyinyi mlisema ubaya ubwela kisugu anajuwa wanganga wote
KAYOKO KAYOKO DHULMA MBAYA, MALIPO HAPA HAPA DUNIANI.
Baba mkwe hapo umeferi"!! Auna tm ww
Sababu mme wafunga Simba fatiria mpira wewe mwanga
MPUMBAVU NI WEWE UTOPOLO KATUFUNGA MALA 4 MFULULIZO SIKIMPLA NIMIPANGO MNABEBWA KILA SIKU NAWAMUZI WENU WAJINGAWAJINGA HAO WEHU NYINYI UTOPOLO WEUPE KABISA HAMNA LOLOTE WAJINGA NYINYI ENDELEENI KUBEBWA
Sasa na sie tungepata nafasi zote za magoli yangekua mangapi pumbafu zako yanga nguvu mbele nyuma mwiko
Kijili Hana kosa,wala Camara.Wachezaji wasiguswe,Viongozi ni KAZI yenu kujua kwanini inatokea.
Kapombombe alinguka kwa Nini muzunguze
Simba muache kulalamika sana.
Tengezeni team. Ligi bado kwisha.
Kwa singida black star hawachomoi kwa jkt hawachomoi hamna hamna basi wapate droo weshapoteana hawa kazi kubattle na yanga tu wakati wanajua kabisa hawana wachezaji wakuwashindanisha na yanga
Kama haunawazo la kutoa ili tuone acha kuliko kutukuna mpumbavu acha na inaonyesha wewe ulietoa wazo hilo hauujui mpira jifunze kwanza
simba bado jengeni titu yenu waganga sio dili ubaro wa kikosi utakupa matokeo
hapa ukiangalia macho ya hao wanaolalamika utagundua kwamba hata kile wanacholalamikia wanajua hakipo maana tuliokuwa uwanjani tuliona kabisa kibu kaotea hata kocha fadru hakushangilia maana ilikuwa ni offside ya wazi... tusitafute vichaka vya kujikingia maana hata huyo ateba alikosa goli lakini move yenyewe ilikuwa tayali kaotea na kama angefanikiwa kufunga simba wangeshangilia...
kwani refa alimwambia kamala aufuate mpira uliokuwa unatoka aurudishe kwenye mchezo na kusababisha goli, au alimwambia kijiri ajifunge mpira ambao tayari ushagonga mwamba na kurudi uwanjani !
tatizo tunakuja ya matokeo uwanjani na kuamini tunashinda ilhali mpira unadunda ...
tengeneza kikosi ambacho hata wakitoka key players watatu wanaoingia wanakuwa kama wale waliotoka na kuendeleza momentum ya timu sio kurundika wachezaji ambao watawavyonza wengine na kupunguza momentum ya timu...
Timu ya ubaya ubwela 😂😂😂😂😂
Mpumbafu ww wakati ww
Kachezeshe wewe kama lefa humwerewi
Twaambie alietufunga ninani?
Timu unatengeneza wachezaji wanaumizwa.na mwamuzi, timu utaipata wapi
Chamaaaaaaaaaaaaa
Nyinyi ndiyo mchawa wabaya
Sisi tumacheza mpira wao bize kuwanga halafu tutegee kushinda??mbwa hyo
Hata mimi nashangaaa ninyi mmeshinda jana kafunga kijiri sasa fujo kelele za nn
Point 3 muhimu
Refa mpumbavu sana
Wewe akili huna
Ww unazoo???
Hili pumbavu tu!!
Bradh uko vizur saaan
Camara akae bench
We haunaakili kadi nyekundu na penati ya musonda ujaziona au
Tupe hizo rekodi na takwimu 😂😂😂😂 aache kudanganya umma
Hiyoni pila kayoko