GB 64 AMFOKEA KAYOKO KWA HASIRA, TUMEFUNGWA KWASABABU YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • Simba vs yanga

Комментарии • 151

  • @yusufyusuf-br5qk
    @yusufyusuf-br5qk Час назад

    Mtoto kautaka mtoto kautaka....😂

  • @deogratiusGodfrey
    @deogratiusGodfrey 4 часа назад +2

    Safi kabisa nmekubali point zako zasingi

  • @andrewlupatu8661
    @andrewlupatu8661 5 часов назад +3

    Verry nice mwana sipot maneno yako kumtu 64G pambania Simba yako

  • @ignatiuskaishe34
    @ignatiuskaishe34 14 минут назад

    Basi sawa, tufanye mechi imeisha sare

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 2 часа назад

    Simba motomoto ubaya

  • @DieyMakonga
    @DieyMakonga 5 часов назад +4

    Umeongea kiume kaka upo sahh

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 5 часов назад +2

    Big up GB64

  • @ramadhansembuche3457
    @ramadhansembuche3457 4 часа назад +2

    Kumbe inauma pacome azizi walikataliwa magoli yaoo na na uyo uyo nyiee mlikaa kimy leo zamu yenu na sisi tunacheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 4 часа назад +1

    REFA YANGA ASHINDE SIMBA

  • @Tee-King
    @Tee-King 5 часов назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂 bado mtaenda kwa GSM ana waharibia mpira.

  • @LeonardGilbert-ox5ul
    @LeonardGilbert-ox5ul 4 часа назад +1

    Nyoko minio we siku zote mnafungwa anasababisha kayoko

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 4 часа назад +2

    Hilo tagazo nasiki elfu tano tano za a kayokoooo,kwahiyo bado anadai hela zake kuibeba yanga

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 3 часа назад +1

    Maneno ya mkosaji pole64gb pitishia coca cola baridi upozee koo pole kwa machungu ya goli

  • @SalumMwankemwa
    @SalumMwankemwa Час назад

    Umeongea kiume ila kamati ya ufundi ya Simba inazidiwa kila upande Amina manara

  • @Muhammedually
    @Muhammedually 4 часа назад +2

    Aliye pewa hirizi alianguka jana mtashinda vp na nyinyi mlisha zoea uchawi

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 3 часа назад +1

    Yaani huyu gb 64 mimi naona kama shoga tu mbona cku mlioifunga.dodoma jiji refa alifanya nini pididy njoo chukua gb 64

  • @SuleimanHarun-v4l
    @SuleimanHarun-v4l 5 часов назад +2

    Kama simba hatutasoma halbadri kayoko atatusumbua siku, zote

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 4 часа назад +1

    Pole sana sana......
    Mmekutana na kisiki ..
    Kapombe kateleza tu kawaida.
    Na Kagoma alikuwa majeruhi
    Usilaghai watu Bwanaaaa.....
    Pen unaona upande mmoja na pen ya Musonda hujaiona we kweli MAHABA NIUE.....
    UMEKWISHHHHAAAA
    YANGA WALICHEZA KIUME ...
    SISI TUNATAKA WOTE MUWAKE😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 часа назад +1

      Anajitetetea maana aliongea sana kabla ya mechi afu suala la kujifunga kwani bila kuzidiwa utajifunga?? Ye alisema yanga imejaa wazee lkn walokata moto ni wao sasa sijui anaongea nn mpuuzi huyu anataka kuwaaminisha watu upuuzi wake

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Час назад

    Nakuelewaa sanaaa gb 64

  • @MathayoRajabu
    @MathayoRajabu 2 часа назад

    Asante kwa kuitengeneza Yanga maana katika watu wanao itengeneza Yanga wew upo na Simba unaibomoa

  • @swaleheukwaju2225
    @swaleheukwaju2225 4 часа назад +1

    Hilo fungu analopewa na mangungu imesaidia sana jamaa asiwashambulie tena viongozi lazima atetee tu kwani muamala hautasoma tena 😊

  • @ramajr3762
    @ramajr3762 2 часа назад +1

    Kumbe huyu awakukosea kumtumbua uwalimu yani off side unalazimisha liwe goal.

  • @MussaKitaluta
    @MussaKitaluta 4 часа назад +1

    Tatizo Simba mnaamini sana uchawi ndo maana mnaferi Kila siku. Chezeni mpira

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 4 часа назад +2

    Huyu 64gb ndo anaihujumu Simba toka akaanza kujipendekeza timu inaharibika Kila siku huyu mnafiki TU waachievakina kisugu timu yao ndo wenye uchungu sio wewe

    • @MasoudMganga
      @MasoudMganga 4 часа назад

      Msenge huongei mambo ya mana

  • @tonyliverpool2394
    @tonyliverpool2394 2 часа назад +1

    Ujamfunga yanga Mara 4 mfululizo muongo tutajie iyo miaka mi 4 mfululizo ?

  • @badimruma6695
    @badimruma6695 3 часа назад +1

    Acha kupumbaza wenzako. Mlimfunga Yanga mara 4 mfululizo lini? Unajishushia cv

  • @KondoAmini
    @KondoAmini 4 часа назад

    Kazi kweli kweli yaani hatufungani mpaka tologane 😂😂😂

  • @SillinusNyanda
    @SillinusNyanda 2 часа назад

    Umeongea vzr sana.Mungu mwema sana

  • @JoelMosses
    @JoelMosses 4 часа назад

    Kapombe alianguka kwasababu alilewa pombe😂😂😂😂😂😂😂

  • @NasraNjunde
    @NasraNjunde 4 часа назад +1

    Sahihi kaka goli lenyewe mpira ulitoka nje

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 Час назад

    Kijiliii iiiiiii

  • @AmurJecha
    @AmurJecha 2 часа назад

    MAREHEMU KADHULUMIWA❤❤❤

  • @AloyceMwasapili
    @AloyceMwasapili Час назад

    Wewe umezaliwa juzi hujui mpira

  • @RajabuhamisiHassan-qv5wm
    @RajabuhamisiHassan-qv5wm 37 минут назад

    Umeongea pont

  • @YonaDaimon
    @YonaDaimon 2 часа назад

    Namkubali sana gb64

  • @MlawaClemence
    @MlawaClemence 3 часа назад

    gud point 🙏

  • @JoshuaMmali
    @JoshuaMmali 21 минуту назад

    Yaan hata mo angekuwa refa ahmed ally kibendera kuwashenyeta kuko pale pale

  • @amrisaleh8804
    @amrisaleh8804 4 часа назад +1

    GB.64 ukovizuri sana nakuku bali sana kikubwa tusiwatupie.lawama wachezaji wetu kikubwa tua ngalie timu yetu Simba nguvu moja

  • @AlexKanuya-fs2vr
    @AlexKanuya-fs2vr Час назад

    Yule maneno tu Amna kitu broo

  • @EmanuelMuna-w2q
    @EmanuelMuna-w2q 49 минут назад

    Ni kwa nini VAR haikutuika katika mchezo wa jana?
    Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana.
    Yanga hatuwaamini tena kabisa.
    GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka san kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League.

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 5 часов назад +1

    Miaka ya 94 mwenyewe ulikuwa mapajani kwa mamaako unanyonya

  • @faheemwasingle8488
    @faheemwasingle8488 Час назад

    Basi tufanye ilikuwa sare

  • @dastankinyenya5973
    @dastankinyenya5973 Час назад

    VIVA GB

  • @FrankKipingu
    @FrankKipingu Час назад

    Hega kwanini usiachane na soka la bongo tu ndugu yangu anzisha hata tution kubwa la maana upate fedha mbona pcm uko vizuri tu mipira hiyo waachie wa mpira

  • @FumaoFumao-d8w
    @FumaoFumao-d8w 4 часа назад

    Nakuelewa sana GB 64 yote uliyosema ni kweli wachezaji viongozi tulieni

  • @EmanuelMuna-w2q
    @EmanuelMuna-w2q 38 минут назад

    Ni kwa nini VAR haikutumika katika mchezo wa jana?
    Haina maana kabisa kununua VAR-systems kwa fedha nyingi sana, kuzinduliwa na Mheshimiwa Majaliwa na hatiaye kuziweka mashine zote kabatini.
    Haya makosa makubwa sana wanayofanya waamuzi wa mchezo, hasa huyu Mr. Kayoko yanajulikana sana.
    Hawa waamuzi wa mchezo Tanzania hatuwaamini tena.
    Yanga hatuwaamini kabisa. Tunawafahamu sana wote hawo.
    GB64 waambieni TFF/AZAM MEDIA waanze haraka sana kutumia VAR kwenye michezo mingi mikubwa ya Tanzania Premier League.
    Kuendelea kujadiliana mitandaoni haisaidii kabisa. Kinachohitajika hapa tu ni serious action plan ya TFF kutekelezwa haraka.

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 Час назад

    Tulia dawa iingiieee

  • @ISAYABUCHINDIKA
    @ISAYABUCHINDIKA 2 часа назад

    Kaka umeongea ukweli kabisa viongozi wawe makini kabisa kuhusu hilo swala

  • @PascalJoseph-u4n
    @PascalJoseph-u4n 54 минуты назад

    Akuna Malefa bongo hapa

  • @MussaRqjqbu
    @MussaRqjqbu 5 часов назад +1

    Kawaida ya wasenge hutabiri mambo kwakua Wana vikao vyao ok

  • @hassanrashid9436
    @hassanrashid9436 56 минут назад

    Ali komwe hana secret moja mbona hakusema kabla ya mchezo??? yale ni maneno tu wala gb usiingie kwenye maneno yake ni mbwatukaji tu yule.

  • @KijanaMollel-zj2cs
    @KijanaMollel-zj2cs 3 часа назад

    Shida Simba awa chesei wachesaji woto inafaa ikimutoa kibu ana mueka kama chasambi

  • @Jerryminenewtony-fc5cp
    @Jerryminenewtony-fc5cp 2 часа назад

    Ukiwa na adui 10 ujue mmoja yuko upande wako,hivyo kuna kiongozi mmoja ambae wa simba yuko upande wa yanga

  • @RussellHome-c1e
    @RussellHome-c1e 55 минут назад

    Sijaona hizo penalty yaani uguswe nje useme penalty kweli nyie wehu ateba penalty ipi au mpira umeangalia pekeyako chumbani sio team bado hiyo shukulu mechi za taifa mlikuwa mnakula 10

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 2 часа назад

    GB 64 Hayo mambo ya tradition siyo ya kuongelea hapo na huyo kamwe mlopokaji tu hana chochote

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 2 часа назад

    Ni yule ALIEMLAZIMISHA ROBATINHO KUMPANGA MANULA ILHAL MGONJWA SI BADO YUPO AU MMEPUGA!!!!????

  • @DaudSichula-m1p
    @DaudSichula-m1p 3 часа назад

    Live umeongea point

  • @jacktani2280
    @jacktani2280 3 часа назад

    Wewe ndipo navi kabisa, nyie simlihonga refs?

  • @DaudMwanrdy
    @DaudMwanrdy 4 часа назад

    We haujui mpira

  • @AbubakariMussa
    @AbubakariMussa Час назад

    Nyie Simba,kila mkifungwa mmeonewa mmelogwa,lini mtakubAli ??.mchezaji asiguswe.Chezeni Boli litembee ,Iko siku.na nyinyi."YOU HAVE TO ADMIT THE DEFEAT AS WINNING,AND, LOOSING IS PART OF LIFE " ONE DAY YES.
    Wachezaji walicheza vema si kama huko Ni swala tu la kutumia nafasi zinazo patikana.

    • @ignatiuskaishe34
      @ignatiuskaishe34 14 минут назад

      Ila wakipewa penalty ya uwongo kwa Dodoma Jiji ndo wanamuona refa anafaa.

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 часа назад

    Huyo pumbaaaaaaaaaa.

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 2 часа назад

    Lkn mbona yanga kapata penalty hamuongeii pili beki wa alie mzuiaa dube akiwa mshambuliajiii wa mwisho alisthilii red card mbona hamu isemiiii ndugu zangu

  • @BrownAndrew-i4u
    @BrownAndrew-i4u 2 часа назад

    Mbona avaa jersey ya Liverpool 🤔🤔

  • @saidbakari7998
    @saidbakari7998 Час назад

    Ila kayoko

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 5 часов назад +1

    Amekuwa mpole sana leo

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 4 часа назад

      Mwaka 94 mlifungwa mara 4 mfulululizo

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 часа назад

      ​@kassidpandu866 1991 yanga walianza kuwafunga simba mara nne mfululizo au hyo huitaki

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 часа назад

    GB 64 KILA MWAKA MANENO YAKE YALEYALE INASAIDIA NN ACHA UJINGA WW

  • @ignatiuskaishe34
    @ignatiuskaishe34 18 минут назад

    Kwani simba msimu huu , hamjabebwa na refa ?

  • @Taito-brand
    @Taito-brand 5 часов назад

    Mwaka upi na mwaka
    Upi

  • @leonardfungo
    @leonardfungo 4 часа назад

    GB TUMEFUNGWA KWA MIPANGO YA TFF NA KAYOKO USIHANGAIKE.

  • @farakisenterprises6146
    @farakisenterprises6146 3 часа назад

    Tatizo Ahmed Alli

  • @SamsoniMwihambi
    @SamsoniMwihambi 4 часа назад

    Nimetotaarifa CAF penat tatu kayoko amekataa Kesho akaripot hizo tuhuma

  • @SefuAbedi-f8q
    @SefuAbedi-f8q 4 часа назад

    Nyinyi mlisema ubaya ubwela kisugu anajuwa wanganga wote

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 4 часа назад

    KAYOKO KAYOKO DHULMA MBAYA, MALIPO HAPA HAPA DUNIANI.

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 57 минут назад

    Baba mkwe hapo umeferi"!! Auna tm ww

  • @AloyceMwasapili
    @AloyceMwasapili Час назад

    Sababu mme wafunga Simba fatiria mpira wewe mwanga

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn 4 часа назад

    MPUMBAVU NI WEWE UTOPOLO KATUFUNGA MALA 4 MFULULIZO SIKIMPLA NIMIPANGO MNABEBWA KILA SIKU NAWAMUZI WENU WAJINGAWAJINGA HAO WEHU NYINYI UTOPOLO WEUPE KABISA HAMNA LOLOTE WAJINGA NYINYI ENDELEENI KUBEBWA

  • @tonyliverpool2394
    @tonyliverpool2394 2 часа назад

    Sasa na sie tungepata nafasi zote za magoli yangekua mangapi pumbafu zako yanga nguvu mbele nyuma mwiko

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 4 часа назад

    Kijili Hana kosa,wala Camara.Wachezaji wasiguswe,Viongozi ni KAZI yenu kujua kwanini inatokea.

  • @ZaliyaSaid
    @ZaliyaSaid 4 часа назад

    Kapombombe alinguka kwa Nini muzunguze

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 часа назад

    Simba muache kulalamika sana.
    Tengezeni team. Ligi bado kwisha.

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 часа назад +1

      Kwa singida black star hawachomoi kwa jkt hawachomoi hamna hamna basi wapate droo weshapoteana hawa kazi kubattle na yanga tu wakati wanajua kabisa hawana wachezaji wakuwashindanisha na yanga

  • @ClementMwampamba
    @ClementMwampamba 2 часа назад

    Kama haunawazo la kutoa ili tuone acha kuliko kutukuna mpumbavu acha na inaonyesha wewe ulietoa wazo hilo hauujui mpira jifunze kwanza

  • @SefuAbedi-f8q
    @SefuAbedi-f8q 4 часа назад

    simba bado jengeni titu yenu waganga sio dili ubaro wa kikosi utakupa matokeo

  • @allytwalib7787
    @allytwalib7787 4 часа назад

    hapa ukiangalia macho ya hao wanaolalamika utagundua kwamba hata kile wanacholalamikia wanajua hakipo maana tuliokuwa uwanjani tuliona kabisa kibu kaotea hata kocha fadru hakushangilia maana ilikuwa ni offside ya wazi... tusitafute vichaka vya kujikingia maana hata huyo ateba alikosa goli lakini move yenyewe ilikuwa tayali kaotea na kama angefanikiwa kufunga simba wangeshangilia...
    kwani refa alimwambia kamala aufuate mpira uliokuwa unatoka aurudishe kwenye mchezo na kusababisha goli, au alimwambia kijiri ajifunge mpira ambao tayari ushagonga mwamba na kurudi uwanjani !
    tatizo tunakuja ya matokeo uwanjani na kuamini tunashinda ilhali mpira unadunda ...
    tengeneza kikosi ambacho hata wakitoka key players watatu wanaoingia wanakuwa kama wale waliotoka na kuendeleza momentum ya timu sio kurundika wachezaji ambao watawavyonza wengine na kupunguza momentum ya timu...

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 5 часов назад

    Timu ya ubaya ubwela 😂😂😂😂😂

  • @christopherkazumba1952
    @christopherkazumba1952 3 часа назад

    Mpumbafu ww wakati ww

  • @ZaliyaSaid
    @ZaliyaSaid 4 часа назад

    Kachezeshe wewe kama lefa humwerewi

  • @kamazimamuganyizi6932
    @kamazimamuganyizi6932 22 минуты назад

    Twaambie alietufunga ninani?

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 4 часа назад

    Timu unatengeneza wachezaji wanaumizwa.na mwamuzi, timu utaipata wapi

  • @SembucheMahiya
    @SembucheMahiya 4 часа назад

    Chamaaaaaaaaaaaaa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 5 часов назад

    Nyinyi ndiyo mchawa wabaya

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 5 часов назад

    Sisi tumacheza mpira wao bize kuwanga halafu tutegee kushinda??mbwa hyo

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 2 часа назад

    Hata mimi nashangaaa ninyi mmeshinda jana kafunga kijiri sasa fujo kelele za nn

  • @MsafiriShabani-n8x
    @MsafiriShabani-n8x 4 часа назад

    Refa mpumbavu sana

  • @ErnestBoniface
    @ErnestBoniface 4 часа назад

    Wewe akili huna

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 4 часа назад

    Hili pumbavu tu!!

  • @SHAMSHEDY
    @SHAMSHEDY 4 часа назад

    Bradh uko vizur saaan

  • @RackertoneyRhmes
    @RackertoneyRhmes 2 часа назад

    Camara akae bench

  • @DaudMwanrdy
    @DaudMwanrdy 4 часа назад

    We haunaakili kadi nyekundu na penati ya musonda ujaziona au

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 5 часов назад

    Tupe hizo rekodi na takwimu 😂😂😂😂 aache kudanganya umma

  • @SamsoniMwihambi
    @SamsoniMwihambi 4 часа назад

    Hiyoni pila kayoko