Emmanuel Mgogo--: UMEKUSUDIWA NA MUNGU( Official Video).

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 1 тыс.

  • @user-ym2xg3ww1z
    @user-ym2xg3ww1z 5 месяцев назад +14

    2024 likes imekusudiwa na Mungu🙏🙏

  • @ev.clintonmasava3
    @ev.clintonmasava3 4 года назад +67

    KAMA UNAAMINI MUNGU ANA HAJA NA WEWE WEKA LIKE HAPA KWA JINA LAYESU

    • @shamsiasulley2734
      @shamsiasulley2734 3 года назад

      Nice mtumishi

    • @vumilianaamininimefunguliw7836
      @vumilianaamininimefunguliw7836 3 года назад

      Amina

    • @tumainikibinga391
      @tumainikibinga391 Год назад +1

      Hallelujah Yesu ni Mfalume wa ajabu Sana Dunia tote imetaharuki Matendo ya ajabu asubuhi ya Leo naona Mambo ya Ufalme ndani yangu ya ajabu najisikia salama Sana apa Mungu awabariki Sana Watoto wa Mungu.

  • @mariyashadiashadia714
    @mariyashadiashadia714 2 года назад +5

    nataka like wana wamungu kama una upenda huu wimbo wa mungu gonga like hapa

  • @leonardbihanda7878
    @leonardbihanda7878 4 года назад +6

    Wewe ni hatari sana katika kuimba....Mungu akubariki sana... nimekuongeza katika akili yangu, kwa sababu katika akili yangu yupo Sifaeli Mwabuka.

  • @khairatyamon4788
    @khairatyamon4788 4 года назад +3

    Mimi dini yangu muislam lkn nyimbo zako zinanivutia sana mwenye mungu akuzidishie iman na kuelimisha walopotea ktk njia ya haki ya mwenyezi mungu wawe na hofu ya mungu daima amiin

    • @mgogosinger
      @mgogosinger  4 года назад +1

      Amina.Ndugu yangu Khairaty Amon. Neema ya Mungu katika Yesu Kristo ikutunze uwe salama wewe na uzao wako.

  • @farajabyela2263
    @farajabyela2263 5 лет назад +22

    wangp wanaamini kwamba wanaodislke wanamapepo wanahtaji maombi?, gonga lke yko hpa 2juane

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 3 месяца назад +1

    Wacha mungu aitwe mungu ainue kipaji chako Amina barikiwa cna mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 3 месяца назад +1

    Mungu ainue kipaji chako Amina barikiwa cna mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @godwinshoo6324
    @godwinshoo6324 4 года назад +2

    Nabarikiwa Sana mtumishi Emmanuel Mgogo

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 5 лет назад +4

    Ni mimi nimekusudiwa na Mungu.... hakika ni mimi.... barikiwa sana mtumishi wa Mungu... always I repeat this song so blessed

    • @georginampepo7240
      @georginampepo7240 5 лет назад

      Amen hakika mungu wetu ni wa kuinua hata kama ukiwa chini mungu hukufanyia hukohuko uliko

  • @augustinomashallo8943
    @augustinomashallo8943 Год назад +1

    Mungu baba nipatie mke mwema na familia yenye watoto wazur na wenye hekima ya kungamua baysna ya mambo yatarajiwayo na wasisahau kilishika na kuliishi neno na mungu .
    Uwakumbushe kuishi na watu vizur maana hujui atakaye kuja kukusaidia na kutafuta machozi yako.
    Wapatie roho ya kujituma na kufanya kazi .
    By heavenlucky

  • @damariskhambari6852
    @damariskhambari6852 6 лет назад +2

    Wow!wow! Wow! Mungu baba ana haja na mimi,na Mimi,nimekusudiwa na Mungu kuwa malkiaaaaa.uuuuuuh am grateful now am no longer down.Mimi ni wa dhamani saaaaaaana ndani yangu kuna mbegu ya ukuu,ya ufalme.woow! Barikiwa saaaana mgogo

  • @praxidesmukoto1924
    @praxidesmukoto1924 3 года назад +15

    I used to sing and watch it more than enough times while in Nyeri , telling God to change my job from g4s ,I could shed tears when it reaches David receiving the annointed oil, and God did what I asked

    • @erikmann8654
      @erikmann8654 2 года назад

      AMEN praise be to Most High God

    • @janeroseodhiambo9878
      @janeroseodhiambo9878 Год назад +1

      Glory to God in Jesus name. This King of kings when you delight in him he does the desires of your heart.

  • @roydersostheness1166
    @roydersostheness1166 4 года назад +7

    Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri sana Neno la Mungu jipya kila mara barikiwa mnooo!🙏

  • @moniquenduku7153
    @moniquenduku7153 4 года назад +1

    Barikiwa sana kwa wimbo wenye message mzuri ..nazidi kubarikiwa nikiwa country za waharabu it's only God kweli.nimekusudiwa na mungu

    • @mgogosinger
      @mgogosinger  4 года назад

      Ameen, Mungu akutunze huko uliko. Kusudi la Mungu kwako litimie. Umebarikiwa!!!

  • @nelithamimwani4516
    @nelithamimwani4516 2 года назад +2

    Hakika nabarikiwa sana na nyimbo zako MTUMISHI MUNGU azidi kukutumia kwa viwango vya juuu sana🙏👏👏

  • @mgogosinger
    @mgogosinger  5 лет назад +227

    WAPENDWA KTK BWANA MLIOPO KILA MAHALI DUNIANI KOTE AMBAKO NYIMBO HIZI ZINAWAFIKIA. Asanteni kwa Comments zenu nzuri na kunitia moyo. Ukihitaji Huduma yangu au Ukiguswa kusaport huduma yangu namba zangu ±255769505537. Email; emanuelmgogo150@gmail.com. Ubarikiwe sana na Bwana.

    • @mndemesuzana9652
      @mndemesuzana9652 5 лет назад +1

      Emanuel Mgogo kaka ubarikiwe sana Mungu na azidi kukutumia kwa viwango vya juu.

    • @dominickbugerula352
      @dominickbugerula352 5 лет назад +2

      Aminaaaa

    • @rabsoncharles9142
      @rabsoncharles9142 5 лет назад +2

      Yohana embenza

    • @kaptangaiemmanuel4289
      @kaptangaiemmanuel4289 5 лет назад +1

      @@rabsoncharles9142 mimi ninaitwa
      kwa Emmanuel kabu naishi America
      nashukurusana tenasana God bless you
      nice music brother thanks and people

    • @monicachuwa6674
      @monicachuwa6674 5 лет назад

      Emanuel Mgogo mimi naomba namba zako maana nafarika kila iitwapo leo kwenye hizi nyimbo ninamengi yakuuliza🙏🙏🙏

  • @jakobomwakabana3798
    @jakobomwakabana3798 6 лет назад +5

    Nikweli kusudi lamungu juu yamtu halitazuiwa namtu yeyote asante kwaujumbe mzuri, yesu akuinue.

  • @gisellekavira8966
    @gisellekavira8966 25 дней назад

    Jana nikuwa ni ki search hii nyimbo.
    Alakini nikakisa title Sasa Leo nimeipata.
    I can't wait for this song for sure a like this song soooo muchooooo.Bariwa sana EMMANUEL 🔥🔥🔥💃💃💃💃💃🙏🙏🙏🙏🙏

  • @angellomwadi5404
    @angellomwadi5404 6 лет назад

    Hongera sana mtumishi kwa kazi nzuri na yenye kumpendeza Mungu

  • @kiondothomas6308
    @kiondothomas6308 5 лет назад +6

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu katika huduma hii ya uimbajii hakika umekusudiwa na mungu kuuleta huu wimboo mungu akubariki sana

  • @christineowando1729
    @christineowando1729 3 года назад +3

    A name has power 'Emmanuel-God with us,I like your ministration my brother,, nyimbo zako huguza nafsi zilizovunjwa na kushushwa, .mungu azidi kukupa neema na kibali .

  • @keziadaudi7881
    @keziadaudi7881 4 года назад +1

    barkiwa kijana mungu ni muweza hatoweza kukupungukia hta kidgo

  • @rispathequeen
    @rispathequeen 3 года назад +2

    Hii ni injili ndani ya wimbo nimebarikwa na haya maumbiri. 🙏sitakufa moyo mungu baba amenikusudia mema

  • @gracemsemo9414
    @gracemsemo9414 6 лет назад +118

    ubora wako unabakia katika kuyachambua maandiko.....kwa undani na kupata mafunuo zaidi...ndio maana bado upako wako haujapungua......nabarkiwa sana MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua

    • @salomeherbert4407
      @salomeherbert4407 6 лет назад

      Emmanuel Mgogo safi sana. Nasikia kuwa mtu wa tofauti nikisikiliza nyimbo zako. Hukurupuki, unajua nini unaimba keep it up & Glory be to Jesus Christ.
      Hivi DVD inaitwaje nikaitafute mimi jamani

    • @fortunatalusambo3463
      @fortunatalusambo3463 6 лет назад

      grace msemo nmlm :-) :-) :'( :-D :-D :'( :-D :'( :'( 🚼🚺

    • @rahabukawogo932
      @rahabukawogo932 6 лет назад

      Am so proud of you unaimba kwa hisia na upako huo ni unakufanya nyimbo isichuje barikiwa mnooo,

    • @maikojumanne7855
      @maikojumanne7855 6 лет назад

      grace msemo balikiwe

    • @marymwangwale2381
      @marymwangwale2381 6 лет назад

      safi sana

  • @denisanyimike7178
    @denisanyimike7178 6 лет назад +8

    Tanzania Hakuna muimbaji Anaye.mzidi mgogo. Ubarikiwe ema mgogo.. Yamkin umekusudiwa na mungu

  • @imbali_janeachy
    @imbali_janeachy 2 месяца назад

    oh, halleluyah! Mungu baba ana haja na mimi🙏🙏 Asante kwa huu ujumbe unanibariki.

  • @nijabyamungu3763
    @nijabyamungu3763 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana baba yetu kwa nyimbo zako Mungu aendeleye kukupa baraka kwa kuendeleya kutowa nyimbo kama hizi

  • @maryadamu3192
    @maryadamu3192 6 лет назад +15

    Nabarkiwa San na nyimb zako Mungu azd kukuinua zaid na zaid uku ukimpa yeye utukufu Ameeeen!!!

  • @erickmaximillian8276
    @erickmaximillian8276 5 лет назад +3

    It’s real touching song. Even if you are in desert or coming from poor family like Gedion still God can do something to exalt you. Nimeipenda.

  • @thepeaceruler5256
    @thepeaceruler5256 3 года назад +1

    Huu wimbo unatia moyo hakika, asante sana Manu.

  • @joshuasanka8733
    @joshuasanka8733 5 лет назад +2

    Ubarikiwe sana na mungu kwa wimbo Mzuri

  • @emmasutta1572
    @emmasutta1572 5 лет назад +3

    Amina Mtumishi Barikiwa xana.Mungu akutie nguvu Songa mbele.

  • @mwahijaomary6919
    @mwahijaomary6919 6 лет назад +4

    Napenda nyimbo zina endana na matendo uko vizurimgogo

  • @Margaret-yi2hf
    @Margaret-yi2hf 21 день назад

    2024, Imekusudiwa na Mungu❤❤ hallelujah kwa Yesu

  • @titomkenya6789
    @titomkenya6789 6 месяцев назад

    Weeeh!!!! Ni kama huu wimbo uliibwa leo🎤🎤🎤🎤🎤❤❤❤❤

  • @kassianmwenyasi3718
    @kassianmwenyasi3718 6 лет назад +8

    Barikiwa sana mwinjilisti kweli wewe umekusudiwa na MUNGU kuinua miuyo ya watu , nikisikiliza nyimbo zako napata jumbe mpya toka kwa Jehova barikiwa sana rafiki

    • @modestaruguzye3180
      @modestaruguzye3180 5 лет назад

      Umenikoa emanuwel Mungu akubariki nyimbo zako zimenitianguvu naninasonga mbele nimejikubali nakujaamini Ameen

  • @salmaothman1602
    @salmaothman1602 5 лет назад +3

    Wimb mzur san kak Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juuu zaid,,,,,barikiwa.

  • @nickisonkayungi3232
    @nickisonkayungi3232 6 лет назад +2

    Ubarikiwe mtumishi

  • @yosiamboya769
    @yosiamboya769 4 года назад

    Mgogo imba kama roho wa Mungu anavyo kutumia utabarikiwa usiangalie. Soko kamawimbo ulioimba na wadada wamevaa masuruali

  • @aminakarisa4215
    @aminakarisa4215 3 года назад +7

    I love your songs they gave me strength to stand again 🙏🙏🙏 God bless you

  • @LifewithElizaa
    @LifewithElizaa 5 лет назад +4

    Amen kubwa kaka yangu mungu hazidi kukuhinuwa

  • @mlasinyongolo3256
    @mlasinyongolo3256 4 года назад

    Hapa kweli kweli kabisa bado ungali unahimba na Upako. Kaza Buti Baba dunia inamengi. Pata kidogo kwa kesho Uhone Ufalme wa mbingu. Kupata haraka ni kujiingiza gizani. Harakahaka hina Baraka .

  • @arboghastkayanda561
    @arboghastkayanda561 4 года назад +2

    Ni kwelii kusudi LA mungu lazima litimie
    Yeye hutazama kusudi lake kulitimiza be blessed in almighty name of Jesus amen

  • @neemamgao8291
    @neemamgao8291 6 лет назад +3

    huu wimbo nausikiliza kila iitwapo Leo, na kila nikiusikia naona ni mpya na umekuwa ni faraja saana kwangu na unanipa nguvu yakuendelea mbele! Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana kaka!

  • @maggiemwambapa900
    @maggiemwambapa900 6 лет назад +71

    Nimeskiliza nyimbo nyingi kwa huu mwaka ila hii ni nyimbo yangu ya mwaka Mungu aendelee ibariki huduma yako kakaangu.

  • @marymarie9941
    @marymarie9941 4 года назад

    Katka waimbaji ninao wapenda basi wewe ni wa kwanza, Ila naona unaanza kupoteza upako mpendwa, angalia nasema tena angalia Emmanuel, maana upako ukiondoka utagharamika kurudisha Tena...Kuna nyimbo umetoa za kibongo fleva jamani hivi Ni kwann huwa mnaanza vizuri alafu mbeleni mnaanza kupoteza upako...dah! Aya buanaaa

  • @jennifermuthonimwaniki4722
    @jennifermuthonimwaniki4722 3 года назад

    Yule alikua amesahaulika , ndio makusudiwa na mungu, jifunze kuheshimu.

  • @raphaelamani6450
    @raphaelamani6450 6 лет назад +3

    Yule ambae hakudhaniwa kumbe ndie aliekusudiwa na mungu kipande hicho hatali

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 6 лет назад +5

    Rell am so blessed kumbe alie sahuliwa die alie kusudiwa na mungu😢😍❤💪 yes big ameeen#Emmanuel all your song so nc💝

  • @febroniachengula9818
    @febroniachengula9818 3 года назад

    Amina Kaka Mungu awe nawe zaidi endelea kuweka ratiba ya maombi Kama ratiba ya chakula.nabarikiwa nakuombea wewe na familia yako

  • @dorismzumbwe8921
    @dorismzumbwe8921 4 года назад

    Mungu akubariki...... Nyenyekea chini ya mkono wa Mungu ataendelea kukutumia..... huwa sichoki kuuangalia huu wimbo eti...

  • @bintjacobo1775
    @bintjacobo1775 5 лет назад +3

    Ahsante sana kaka Emmanuel mungu azindi kukupigania katika kazi yako

  • @wilfredk.joseph54
    @wilfredk.joseph54 2 года назад +5

    This song moved my heart to a greater realm of the Spirit. It has been long since I experienced such a mighty move of God in my life.. Emmanuel you are just a blessing to our generation

    • @lionhotel8653
      @lionhotel8653 2 года назад +1

      Emanuel mgogo is dangerous, no dought, anaimba vizul sana mungu azidi kumtia nguvu kwakwel maana ananibariki Sana

    • @mageuzilubingira8872
      @mageuzilubingira8872 Год назад

      Cxt

  • @lilianmathias5959
    @lilianmathias5959 2 года назад

    Barikiwa sana Emmanuel (Mungu pamoja nasi)!!!!! Gud song.

  • @fidelismwingiranabarikiwas7984
    @fidelismwingiranabarikiwas7984 6 лет назад +1

    Nabarikiwa sana nawe mtumishi kwa nyimbo zako!

  • @upendobryson6392
    @upendobryson6392 6 лет назад +26

    waaaaaacha weee! usiangalie wengine niwewe Emma uliyekusudiwa na mungu kuleta huu wimbo niwewe, uliepewa sauti nzur ni wewe, yan haujawai kosea yan niwewe

    • @yusuphulucasi1865
      @yusuphulucasi1865 6 лет назад +1

      Muugu aedelee kukutumia

    • @mildredauma1490
      @mildredauma1490 5 лет назад

      Upendo Bryson umenibariki sana mungu akubariki sana

    • @rashfordmsemwa3008
      @rashfordmsemwa3008 5 лет назад

      @@mildredauma1490 kwakweli kaka imanueli balikiwa na mungu atazidi kukuongoza

  • @rehemawilfredsamweljonh4666
    @rehemawilfredsamweljonh4666 4 года назад +3

    Siangalii wengine oooo nimimi ? I love this song

  • @silasnnko4384
    @silasnnko4384 5 лет назад +1

    Upo vzr sana mpendwa

    • @rosemsigwa1969
      @rosemsigwa1969 5 лет назад

      Amina Mtumishi wa mungu songa mbele mungu yuko pamoja na wewe

  • @paschalcharles7986
    @paschalcharles7986 4 года назад

    Mungu akutie nguvu nyimbo yenye mafunuo mungu wa mbinguni akupake mafuta mtumishi wa mungu

  • @devybernardlaizer7713
    @devybernardlaizer7713 6 лет назад +6

    mungu babaa ana haja na weweee

  • @kabikekarungurungu3674
    @kabikekarungurungu3674 6 лет назад +5

    Asante saana kwa nyimbo zako na kipaji kikubwa hicho ulichopewa Cha kuitangaza injili ya Bwana kupitiya uimbaji .usiichoke kwani utavunakwa kwa wakati wake ,usipozimiya roho.

  • @janethsaningo3649
    @janethsaningo3649 5 лет назад +1

    Mungu akuinue viwango vya juu zaidi kaka,,, nyimbo zako zote zinanibariki saba zinanihamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine,,,,

  • @lovenessmwanyemi4600
    @lovenessmwanyemi4600 2 года назад

    Asante mungu naamini na Mimi nitakumfalme siki moja thank u brthr for this song god bls

  • @philipohumphrey991
    @philipohumphrey991 6 лет назад +13

    Yani Kwa YESU laha kweli.Eeeeee,,,Na weweee ,na weweeee. MUNGU ana haja na weweee,,,,Eeeeee Amen.

  • @officialsuzzy9540
    @officialsuzzy9540 6 лет назад +23

    Amen Amen. upende usipende huu wimbo ni mahubiri

    • @charitytash6555
      @charitytash6555 5 лет назад

      MUNGU tufungua macho ya kiroho,ili tupate kuona UKUU wako,barikiwa na uinuliwe zaidi kaka Mgogo,nyimbo zako unibariki

    • @officialsuzzy9540
      @officialsuzzy9540 4 года назад +1

      @@charitytash6555 kweli kabisa. Mungu amubariki sana, nakumupa nguvu yakuzifanya kazi zakee

    • @gladyssisey3136
      @gladyssisey3136 3 года назад

      Very

    • @gladyssisey3136
      @gladyssisey3136 3 года назад

      Very true

  • @jennifermuthonimwaniki4722
    @jennifermuthonimwaniki4722 3 года назад

    Mungu amepiga muhuri ya kwaba ni wewe,usiangalie wengine ni wewe,makusudiwa yake haisuiliki.

  • @jennifermuthonimwaniki4722
    @jennifermuthonimwaniki4722 3 года назад

    Hawajui wewe ndio makusudiwa was mungu,anaona ndani yako ufalme.

  • @petereric2159
    @petereric2159 6 лет назад +3

    I’m blessed with this song brother Emmanuel!!!! Yaaani Mungu aongezee zaidi uliko towa wimbo huu

  • @gracemsemo9414
    @gracemsemo9414 6 лет назад +11

    hongera pia kwa mke mzuri hahahaaahaaaa na mnampendeza

  • @gauedwin1960
    @gauedwin1960 4 года назад +1

    Amen..wimbo wa baraka na kutia nguvu..ila mtumishi huu wimbo weka tubidy tuupate..kidogo youtube kudownload shida..barika frm🇰🇪

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Год назад

    Mungu.atukuzwe.milele.namilele.haleluyaa.mawazo.ya.mungu.ni.orijino

  • @godisgoodallthetime7070
    @godisgoodallthetime7070 5 лет назад +4

    Kumbe ni mimi🙊Mungu sio mwengine kumbe mimi!!!!!!! Nice song be blessed dear 🎶🎶🥁🥁🥁🎻🎺🎷🎷💘❤💕

  • @emanuelkirika4628
    @emanuelkirika4628 4 года назад +5

    Good and blessing song ..read Amos 5:23 and Mathew 15:8-9.

  • @catherineemanueli2409
    @catherineemanueli2409 5 лет назад +1

    Emmanule baba angu balikiwa sana

  • @user-pj9sf7iq3g
    @user-pj9sf7iq3g 10 месяцев назад

    Wimbo unaniongezea imani mungu akubariki wende mbali

  • @wemapanga1547
    @wemapanga1547 6 лет назад +9

    Mm nimekusudiwa na mungu ooooh! haleluya. Nabarikiwa sana

  • @saudissangya5724
    @saudissangya5724 5 лет назад +3

    Amen Amen ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri

  • @gwijitv
    @gwijitv 4 года назад

    Ubarikiwe sana mgogo unanibariki sana ninaposikiliza nyimbo zako

  • @dicksoneliakim2830
    @dicksoneliakim2830 4 года назад +2

    Inspiration song. Jesus is our parakletos

  • @yohanalukasimundo3544
    @yohanalukasimundo3544 5 лет назад +23

    this song points direct to me, i receive my prophecy in Jesus name.

  • @estarcharles3515
    @estarcharles3515 6 лет назад +4

    mungu akubaliki Kaka maana naona mungu anavyakutumia kwakwel mungu alikukusudia aendelee kukuinua mungu wambinguni

  • @kiondothomas3560
    @kiondothomas3560 6 лет назад +1

    Hakika huu wimbo umegusa sana moyo wangu hakika mungu amekukusudia wewe uitangaze injili yake kupitia uimbaji barikiwa sana mtumishi wa munguuu na mungu akujibu hitaji lako sawa sawa na mapenzi yakee

  • @lucyimma4704
    @lucyimma4704 3 года назад

    Amina mtumishi wa MUNGU ni mm nimekusudiwa BABA sitazami wengine ni mm 🙏🙏

  • @alexkanyanta6098
    @alexkanyanta6098 3 года назад +5

    Truly this song has blessed my life. I am chosen by God himself. God bless you for this powerful and anointing. I pray God to increase you and to bless many with kind of ministry.

  • @nathanielsteven2186
    @nathanielsteven2186 6 лет назад +7

    Hehehe barikiwa Sana mtoto WA kifalme

  • @johnwamalwa1280
    @johnwamalwa1280 4 года назад

    Mungu hakubariki hazidi kukupea nguvu za kuimba nimependa sana nyimbo zako zote

  • @zulfasamwel8451
    @zulfasamwel8451 2 года назад

    Hongera kaka Mungu akuzidishie nabariwa sana nikisikia nyimbo zako

  • @leontineflorance5198
    @leontineflorance5198 6 лет назад +5

    Woooo my Lord thanks Jésus ,and i accept ... yes Mungu ameona ndani yangu Ufalme wow wow wow very trong Kaka Barikiwa sana sana sana sana .

  • @joshuaraphaeli609
    @joshuaraphaeli609 6 лет назад +5

    huu wimbo umenigusa sana kaka yangu
    saluti kwako

  • @roselayson4246
    @roselayson4246 5 лет назад +1

    Ubarikiwe sana kwa huduma Mungu akukumbuke na akufanye kuwa juu

  • @brucekokonyacounsel5241
    @brucekokonyacounsel5241 5 лет назад +1

    Utunzi wa nyimbo umenibariki sana na kunitia moyo maishani. Ubarikiwe pia mchungaji

  • @danielymnama4218
    @danielymnama4218 5 лет назад +6

    Ww ni role model wang kk,am realy be blessed when am hearing your songs.aaaaaaaah!!! Umekusudiwa na Mungu kk imma

  • @philipohumphrey991
    @philipohumphrey991 6 лет назад +5

    Yani Huwa ... nakukubali Sana ,,,,,,Emanuel......

  • @neemamsigwa7893
    @neemamsigwa7893 5 лет назад

    barikiwa kaka kila nikisikiriza wimbo huu sichooki mungu azidi kuku inua

  • @gloryjane4147
    @gloryjane4147 5 лет назад +2

    Ubarikiwe Emmanuel katika uimbaji wako na uchambuzjumbe katika bibilia

  • @unclejerry1954
    @unclejerry1954 6 лет назад +3

    You can tell this guy is a fan of Diamond Platnumz. All those moves he’s doing is exactly like Diamond.

  • @ruthjoseph5014
    @ruthjoseph5014 6 лет назад +3

    Hakika Mimi nimekusudiwa na Mungu

  • @emmanuelamos4896
    @emmanuelamos4896 3 года назад

    Nimekusudiwa na mungu kuwa hai mda huu, mungu upewe sifa

  • @justinjamesjimmyleonard1588
    @justinjamesjimmyleonard1588 6 лет назад +1

    Kaka barikiwa sana ndugu yangu, napenda sana nyimbo zako. Kweli biblia nitamu sana tena imebeba maarifa yote yakweli na thabiti, piga injili Emma tuendelee kuimarika kiroho.