Hallelujah Yesu ni Mfalume wa ajabu Sana Dunia tote imetaharuki Matendo ya ajabu asubuhi ya Leo naona Mambo ya Ufalme ndani yangu ya ajabu najisikia salama Sana apa Mungu awabariki Sana Watoto wa Mungu.
Mimi dini yangu muislam lkn nyimbo zako zinanivutia sana mwenye mungu akuzidishie iman na kuelimisha walopotea ktk njia ya haki ya mwenyezi mungu wawe na hofu ya mungu daima amiin
Mungu baba nipatie mke mwema na familia yenye watoto wazur na wenye hekima ya kungamua baysna ya mambo yatarajiwayo na wasisahau kilishika na kuliishi neno na mungu . Uwakumbushe kuishi na watu vizur maana hujui atakaye kuja kukusaidia na kutafuta machozi yako. Wapatie roho ya kujituma na kufanya kazi . By heavenlucky
Wow!wow! Wow! Mungu baba ana haja na mimi,na Mimi,nimekusudiwa na Mungu kuwa malkiaaaaa.uuuuuuh am grateful now am no longer down.Mimi ni wa dhamani saaaaaaana ndani yangu kuna mbegu ya ukuu,ya ufalme.woow! Barikiwa saaaana mgogo
I used to sing and watch it more than enough times while in Nyeri , telling God to change my job from g4s ,I could shed tears when it reaches David receiving the annointed oil, and God did what I asked
WAPENDWA KTK BWANA MLIOPO KILA MAHALI DUNIANI KOTE AMBAKO NYIMBO HIZI ZINAWAFIKIA. Asanteni kwa Comments zenu nzuri na kunitia moyo. Ukihitaji Huduma yangu au Ukiguswa kusaport huduma yangu namba zangu ±255769505537. Email; emanuelmgogo150@gmail.com. Ubarikiwe sana na Bwana.
Jana nikuwa ni ki search hii nyimbo. Alakini nikakisa title Sasa Leo nimeipata. I can't wait for this song for sure a like this song soooo muchooooo.Bariwa sana EMMANUEL 🔥🔥🔥💃💃💃💃💃🙏🙏🙏🙏🙏
A name has power 'Emmanuel-God with us,I like your ministration my brother,, nyimbo zako huguza nafsi zilizovunjwa na kushushwa, .mungu azidi kukupa neema na kibali .
ubora wako unabakia katika kuyachambua maandiko.....kwa undani na kupata mafunuo zaidi...ndio maana bado upako wako haujapungua......nabarkiwa sana MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua
Emmanuel Mgogo safi sana. Nasikia kuwa mtu wa tofauti nikisikiliza nyimbo zako. Hukurupuki, unajua nini unaimba keep it up & Glory be to Jesus Christ. Hivi DVD inaitwaje nikaitafute mimi jamani
Barikiwa sana mwinjilisti kweli wewe umekusudiwa na MUNGU kuinua miuyo ya watu , nikisikiliza nyimbo zako napata jumbe mpya toka kwa Jehova barikiwa sana rafiki
Hapa kweli kweli kabisa bado ungali unahimba na Upako. Kaza Buti Baba dunia inamengi. Pata kidogo kwa kesho Uhone Ufalme wa mbingu. Kupata haraka ni kujiingiza gizani. Harakahaka hina Baraka .
huu wimbo nausikiliza kila iitwapo Leo, na kila nikiusikia naona ni mpya na umekuwa ni faraja saana kwangu na unanipa nguvu yakuendelea mbele! Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana kaka!
Katka waimbaji ninao wapenda basi wewe ni wa kwanza, Ila naona unaanza kupoteza upako mpendwa, angalia nasema tena angalia Emmanuel, maana upako ukiondoka utagharamika kurudisha Tena...Kuna nyimbo umetoa za kibongo fleva jamani hivi Ni kwann huwa mnaanza vizuri alafu mbeleni mnaanza kupoteza upako...dah! Aya buanaaa
This song moved my heart to a greater realm of the Spirit. It has been long since I experienced such a mighty move of God in my life.. Emmanuel you are just a blessing to our generation
waaaaaacha weee! usiangalie wengine niwewe Emma uliyekusudiwa na mungu kuleta huu wimbo niwewe, uliepewa sauti nzur ni wewe, yan haujawai kosea yan niwewe
Asante saana kwa nyimbo zako na kipaji kikubwa hicho ulichopewa Cha kuitangaza injili ya Bwana kupitiya uimbaji .usiichoke kwani utavunakwa kwa wakati wake ,usipozimiya roho.
Hakika huu wimbo umegusa sana moyo wangu hakika mungu amekukusudia wewe uitangaze injili yake kupitia uimbaji barikiwa sana mtumishi wa munguuu na mungu akujibu hitaji lako sawa sawa na mapenzi yakee
Truly this song has blessed my life. I am chosen by God himself. God bless you for this powerful and anointing. I pray God to increase you and to bless many with kind of ministry.
Kaka barikiwa sana ndugu yangu, napenda sana nyimbo zako. Kweli biblia nitamu sana tena imebeba maarifa yote yakweli na thabiti, piga injili Emma tuendelee kuimarika kiroho.
2024 likes imekusudiwa na Mungu🙏🙏
KAMA UNAAMINI MUNGU ANA HAJA NA WEWE WEKA LIKE HAPA KWA JINA LAYESU
Nice mtumishi
Amina
Hallelujah Yesu ni Mfalume wa ajabu Sana Dunia tote imetaharuki Matendo ya ajabu asubuhi ya Leo naona Mambo ya Ufalme ndani yangu ya ajabu najisikia salama Sana apa Mungu awabariki Sana Watoto wa Mungu.
nataka like wana wamungu kama una upenda huu wimbo wa mungu gonga like hapa
Wewe ni hatari sana katika kuimba....Mungu akubariki sana... nimekuongeza katika akili yangu, kwa sababu katika akili yangu yupo Sifaeli Mwabuka.
Mimi dini yangu muislam lkn nyimbo zako zinanivutia sana mwenye mungu akuzidishie iman na kuelimisha walopotea ktk njia ya haki ya mwenyezi mungu wawe na hofu ya mungu daima amiin
Amina.Ndugu yangu Khairaty Amon. Neema ya Mungu katika Yesu Kristo ikutunze uwe salama wewe na uzao wako.
wangp wanaamini kwamba wanaodislke wanamapepo wanahtaji maombi?, gonga lke yko hpa 2juane
JHkpU
Wacha mungu aitwe mungu ainue kipaji chako Amina barikiwa cna mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mno
Mungu ainue kipaji chako Amina barikiwa cna mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa Sana mtumishi Emmanuel Mgogo
Ni mimi nimekusudiwa na Mungu.... hakika ni mimi.... barikiwa sana mtumishi wa Mungu... always I repeat this song so blessed
Amen hakika mungu wetu ni wa kuinua hata kama ukiwa chini mungu hukufanyia hukohuko uliko
Mungu baba nipatie mke mwema na familia yenye watoto wazur na wenye hekima ya kungamua baysna ya mambo yatarajiwayo na wasisahau kilishika na kuliishi neno na mungu .
Uwakumbushe kuishi na watu vizur maana hujui atakaye kuja kukusaidia na kutafuta machozi yako.
Wapatie roho ya kujituma na kufanya kazi .
By heavenlucky
Wow!wow! Wow! Mungu baba ana haja na mimi,na Mimi,nimekusudiwa na Mungu kuwa malkiaaaaa.uuuuuuh am grateful now am no longer down.Mimi ni wa dhamani saaaaaaana ndani yangu kuna mbegu ya ukuu,ya ufalme.woow! Barikiwa saaaana mgogo
I used to sing and watch it more than enough times while in Nyeri , telling God to change my job from g4s ,I could shed tears when it reaches David receiving the annointed oil, and God did what I asked
AMEN praise be to Most High God
Glory to God in Jesus name. This King of kings when you delight in him he does the desires of your heart.
Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri sana Neno la Mungu jipya kila mara barikiwa mnooo!🙏
Barikiwa sana kwa wimbo wenye message mzuri ..nazidi kubarikiwa nikiwa country za waharabu it's only God kweli.nimekusudiwa na mungu
Ameen, Mungu akutunze huko uliko. Kusudi la Mungu kwako litimie. Umebarikiwa!!!
Hakika nabarikiwa sana na nyimbo zako MTUMISHI MUNGU azidi kukutumia kwa viwango vya juuu sana🙏👏👏
WAPENDWA KTK BWANA MLIOPO KILA MAHALI DUNIANI KOTE AMBAKO NYIMBO HIZI ZINAWAFIKIA. Asanteni kwa Comments zenu nzuri na kunitia moyo. Ukihitaji Huduma yangu au Ukiguswa kusaport huduma yangu namba zangu ±255769505537. Email; emanuelmgogo150@gmail.com. Ubarikiwe sana na Bwana.
Emanuel Mgogo kaka ubarikiwe sana Mungu na azidi kukutumia kwa viwango vya juu.
Aminaaaa
Yohana embenza
@@rabsoncharles9142 mimi ninaitwa
kwa Emmanuel kabu naishi America
nashukurusana tenasana God bless you
nice music brother thanks and people
Emanuel Mgogo mimi naomba namba zako maana nafarika kila iitwapo leo kwenye hizi nyimbo ninamengi yakuuliza🙏🙏🙏
Nikweli kusudi lamungu juu yamtu halitazuiwa namtu yeyote asante kwaujumbe mzuri, yesu akuinue.
Jana nikuwa ni ki search hii nyimbo.
Alakini nikakisa title Sasa Leo nimeipata.
I can't wait for this song for sure a like this song soooo muchooooo.Bariwa sana EMMANUEL 🔥🔥🔥💃💃💃💃💃🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera sana mtumishi kwa kazi nzuri na yenye kumpendeza Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa mungu katika huduma hii ya uimbajii hakika umekusudiwa na mungu kuuleta huu wimboo mungu akubariki sana
A name has power 'Emmanuel-God with us,I like your ministration my brother,, nyimbo zako huguza nafsi zilizovunjwa na kushushwa, .mungu azidi kukupa neema na kibali .
barkiwa kijana mungu ni muweza hatoweza kukupungukia hta kidgo
Hii ni injili ndani ya wimbo nimebarikwa na haya maumbiri. 🙏sitakufa moyo mungu baba amenikusudia mema
ubora wako unabakia katika kuyachambua maandiko.....kwa undani na kupata mafunuo zaidi...ndio maana bado upako wako haujapungua......nabarkiwa sana MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua
Emmanuel Mgogo safi sana. Nasikia kuwa mtu wa tofauti nikisikiliza nyimbo zako. Hukurupuki, unajua nini unaimba keep it up & Glory be to Jesus Christ.
Hivi DVD inaitwaje nikaitafute mimi jamani
grace msemo nmlm :-) :-) :'( :-D :-D :'( :-D :'( :'( 🚼🚺
Am so proud of you unaimba kwa hisia na upako huo ni unakufanya nyimbo isichuje barikiwa mnooo,
grace msemo balikiwe
safi sana
Tanzania Hakuna muimbaji Anaye.mzidi mgogo. Ubarikiwe ema mgogo.. Yamkin umekusudiwa na mungu
oh, halleluyah! Mungu baba ana haja na mimi🙏🙏 Asante kwa huu ujumbe unanibariki.
Ubarikiwe sana baba yetu kwa nyimbo zako Mungu aendeleye kukupa baraka kwa kuendeleya kutowa nyimbo kama hizi
Nabarkiwa San na nyimb zako Mungu azd kukuinua zaid na zaid uku ukimpa yeye utukufu Ameeeen!!!
It’s real touching song. Even if you are in desert or coming from poor family like Gedion still God can do something to exalt you. Nimeipenda.
Huu wimbo unatia moyo hakika, asante sana Manu.
Ubarikiwe sana na mungu kwa wimbo Mzuri
Amina Mtumishi Barikiwa xana.Mungu akutie nguvu Songa mbele.
Napenda nyimbo zina endana na matendo uko vizurimgogo
2024, Imekusudiwa na Mungu❤❤ hallelujah kwa Yesu
Weeeh!!!! Ni kama huu wimbo uliibwa leo🎤🎤🎤🎤🎤❤❤❤❤
Barikiwa sana mwinjilisti kweli wewe umekusudiwa na MUNGU kuinua miuyo ya watu , nikisikiliza nyimbo zako napata jumbe mpya toka kwa Jehova barikiwa sana rafiki
Umenikoa emanuwel Mungu akubariki nyimbo zako zimenitianguvu naninasonga mbele nimejikubali nakujaamini Ameen
Wimb mzur san kak Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juuu zaid,,,,,barikiwa.
Ubarikiwe mtumishi
Mgogo imba kama roho wa Mungu anavyo kutumia utabarikiwa usiangalie. Soko kamawimbo ulioimba na wadada wamevaa masuruali
I love your songs they gave me strength to stand again 🙏🙏🙏 God bless you
Amen kubwa kaka yangu mungu hazidi kukuhinuwa
Hapa kweli kweli kabisa bado ungali unahimba na Upako. Kaza Buti Baba dunia inamengi. Pata kidogo kwa kesho Uhone Ufalme wa mbingu. Kupata haraka ni kujiingiza gizani. Harakahaka hina Baraka .
Ni kwelii kusudi LA mungu lazima litimie
Yeye hutazama kusudi lake kulitimiza be blessed in almighty name of Jesus amen
huu wimbo nausikiliza kila iitwapo Leo, na kila nikiusikia naona ni mpya na umekuwa ni faraja saana kwangu na unanipa nguvu yakuendelea mbele! Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana kaka!
Neema Mgao tuko wengi kwa kweli
Nimeskiliza nyimbo nyingi kwa huu mwaka ila hii ni nyimbo yangu ya mwaka Mungu aendelee ibariki huduma yako kakaangu.
Maggie Mwambapa
Mungu azidi kukuinua zaidi kwenye viwango vya juu zaidi... hakika unanibariki sana na nyimbo zako
Jamani napenda nyimbo sainjili nasikilisa mdawote
Barikiwa sana kaka.mungu aendelee kukuinua katika huduma hii
Amen
Katka waimbaji ninao wapenda basi wewe ni wa kwanza, Ila naona unaanza kupoteza upako mpendwa, angalia nasema tena angalia Emmanuel, maana upako ukiondoka utagharamika kurudisha Tena...Kuna nyimbo umetoa za kibongo fleva jamani hivi Ni kwann huwa mnaanza vizuri alafu mbeleni mnaanza kupoteza upako...dah! Aya buanaaa
Yule alikua amesahaulika , ndio makusudiwa na mungu, jifunze kuheshimu.
Yule ambae hakudhaniwa kumbe ndie aliekusudiwa na mungu kipande hicho hatali
Kwa yes laya san
Rell am so blessed kumbe alie sahuliwa die alie kusudiwa na mungu😢😍❤💪 yes big ameeen#Emmanuel all your song so nc💝
Amina Kaka Mungu awe nawe zaidi endelea kuweka ratiba ya maombi Kama ratiba ya chakula.nabarikiwa nakuombea wewe na familia yako
Mungu akubariki...... Nyenyekea chini ya mkono wa Mungu ataendelea kukutumia..... huwa sichoki kuuangalia huu wimbo eti...
Ahsante sana kaka Emmanuel mungu azindi kukupigania katika kazi yako
Kaka.ukovemasana.balikiwatu.wabalikiwe.mugogo
This song moved my heart to a greater realm of the Spirit. It has been long since I experienced such a mighty move of God in my life.. Emmanuel you are just a blessing to our generation
Emanuel mgogo is dangerous, no dought, anaimba vizul sana mungu azidi kumtia nguvu kwakwel maana ananibariki Sana
Cxt
Barikiwa sana Emmanuel (Mungu pamoja nasi)!!!!! Gud song.
Nabarikiwa sana nawe mtumishi kwa nyimbo zako!
waaaaaacha weee! usiangalie wengine niwewe Emma uliyekusudiwa na mungu kuleta huu wimbo niwewe, uliepewa sauti nzur ni wewe, yan haujawai kosea yan niwewe
Muugu aedelee kukutumia
Upendo Bryson umenibariki sana mungu akubariki sana
@@mildredauma1490 kwakweli kaka imanueli balikiwa na mungu atazidi kukuongoza
Siangalii wengine oooo nimimi ? I love this song
Upo vzr sana mpendwa
Amina Mtumishi wa mungu songa mbele mungu yuko pamoja na wewe
Mungu akutie nguvu nyimbo yenye mafunuo mungu wa mbinguni akupake mafuta mtumishi wa mungu
mungu babaa ana haja na weweee
Asante saana kwa nyimbo zako na kipaji kikubwa hicho ulichopewa Cha kuitangaza injili ya Bwana kupitiya uimbaji .usiichoke kwani utavunakwa kwa wakati wake ,usipozimiya roho.
Mungu akuinue viwango vya juu zaidi kaka,,, nyimbo zako zote zinanibariki saba zinanihamisha kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine,,,,
Asante mungu naamini na Mimi nitakumfalme siki moja thank u brthr for this song god bls
Yani Kwa YESU laha kweli.Eeeeee,,,Na weweee ,na weweeee. MUNGU ana haja na weweee,,,,Eeeeee Amen.
Raha sana tena raha tupu
Amen Amen. upende usipende huu wimbo ni mahubiri
MUNGU tufungua macho ya kiroho,ili tupate kuona UKUU wako,barikiwa na uinuliwe zaidi kaka Mgogo,nyimbo zako unibariki
@@charitytash6555 kweli kabisa. Mungu amubariki sana, nakumupa nguvu yakuzifanya kazi zakee
Very
Very true
Mungu amepiga muhuri ya kwaba ni wewe,usiangalie wengine ni wewe,makusudiwa yake haisuiliki.
Hawajui wewe ndio makusudiwa was mungu,anaona ndani yako ufalme.
I’m blessed with this song brother Emmanuel!!!! Yaaani Mungu aongezee zaidi uliko towa wimbo huu
hongera pia kwa mke mzuri hahahaaahaaaa na mnampendeza
Barikiwa sana
Amen..wimbo wa baraka na kutia nguvu..ila mtumishi huu wimbo weka tubidy tuupate..kidogo youtube kudownload shida..barika frm🇰🇪
Mungu.atukuzwe.milele.namilele.haleluyaa.mawazo.ya.mungu.ni.orijino
Kumbe ni mimi🙊Mungu sio mwengine kumbe mimi!!!!!!! Nice song be blessed dear 🎶🎶🥁🥁🥁🎻🎺🎷🎷💘❤💕
Good and blessing song ..read Amos 5:23 and Mathew 15:8-9.
Emmanule baba angu balikiwa sana
Wimbo unaniongezea imani mungu akubariki wende mbali
Mm nimekusudiwa na mungu ooooh! haleluya. Nabarikiwa sana
Amen Amen ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
Ubarikiwe sana mgogo unanibariki sana ninaposikiliza nyimbo zako
Inspiration song. Jesus is our parakletos
this song points direct to me, i receive my prophecy in Jesus name.
Also I received more
mungu akubaliki Kaka maana naona mungu anavyakutumia kwakwel mungu alikukusudia aendelee kukuinua mungu wambinguni
ESTAR CHARLES barikiwa
Hakika huu wimbo umegusa sana moyo wangu hakika mungu amekukusudia wewe uitangaze injili yake kupitia uimbaji barikiwa sana mtumishi wa munguuu na mungu akujibu hitaji lako sawa sawa na mapenzi yakee
Amina mtumishi wa MUNGU ni mm nimekusudiwa BABA sitazami wengine ni mm 🙏🙏
Truly this song has blessed my life. I am chosen by God himself. God bless you for this powerful and anointing. I pray God to increase you and to bless many with kind of ministry.
Hehehe barikiwa Sana mtoto WA kifalme
Mungu hakubariki hazidi kukupea nguvu za kuimba nimependa sana nyimbo zako zote
Hongera kaka Mungu akuzidishie nabariwa sana nikisikia nyimbo zako
Woooo my Lord thanks Jésus ,and i accept ... yes Mungu ameona ndani yangu Ufalme wow wow wow very trong Kaka Barikiwa sana sana sana sana .
Leontine Florance e
mungu akubariki zaidi akutumie kadiri awezavyo
Nc brooo
huu wimbo umenigusa sana kaka yangu
saluti kwako
Ubarikiwe sana kwa huduma Mungu akukumbuke na akufanye kuwa juu
Utunzi wa nyimbo umenibariki sana na kunitia moyo maishani. Ubarikiwe pia mchungaji
Ww ni role model wang kk,am realy be blessed when am hearing your songs.aaaaaaaah!!! Umekusudiwa na Mungu kk imma
Yani Huwa ... nakukubali Sana ,,,,,,Emanuel......
Huwa nabarikiwa sana nyimbo zako nikisikiliza mungu akubaliki
barikiwa kaka kila nikisikiriza wimbo huu sichooki mungu azidi kuku inua
Ubarikiwe Emmanuel katika uimbaji wako na uchambuzjumbe katika bibilia
You can tell this guy is a fan of Diamond Platnumz. All those moves he’s doing is exactly like Diamond.
Really?
Hakika Mimi nimekusudiwa na Mungu
Nimekusudiwa na mungu kuwa hai mda huu, mungu upewe sifa
Kaka barikiwa sana ndugu yangu, napenda sana nyimbo zako. Kweli biblia nitamu sana tena imebeba maarifa yote yakweli na thabiti, piga injili Emma tuendelee kuimarika kiroho.