Chidi Beenz - Wanene TV Session

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 304

  • @Amobizzy_OG
    @Amobizzy_OG 3 года назад +112

    KAMA umeona chidi beenz AMEANZA KUNENEPA TENA GONGA LIKE APO

    • @valencevalerian3037
      @valencevalerian3037 3 года назад

      Daa boss chid wa zaman alikuwa ni misuli tu ila wasasa kanenepa lakini mafuta mengi.ila sio mbaya mkubwa

    • @alwattanchinga
      @alwattanchinga 3 года назад

      ruclips.net/video/PwOat-cZouY/видео.html

    • @emmamatemu8225
      @emmamatemu8225 3 года назад

      Mlisema kakonda sana akinenepa mwasema mafuta
      Binadamu bhana😁😁😁😁

    • @ulimbombonaulindi5088
      @ulimbombonaulindi5088 3 года назад

      @Fatherjaytz angalia vizuri tumbo namaziwa hayo, mwili wautu uzima huo, huu mwili wamlo tu, syo wamazoezi

  • @nurannashiri2909
    @nurannashiri2909 3 года назад +60

    Huyu ndo chuma wazaman Sasa! Kama unaamin mungu yuko pamoja na ched Benz gonga like

  • @ndundetommasz9158
    @ndundetommasz9158 3 года назад +16

    chidi beenz you are in a different league bro mtanzania lakini Ngoma zako zikichezwa nairobi inabidi ngoma zingine zinazimwa wajue huyo nani mwenye sauti yakipeke.keep it top bro 254 tunakutambua

  • @BETConlineTVTZ
    @BETConlineTVTZ 3 года назад +25

    TUCHUNGE NDIMI ZETU MUNGU MKUBWA. ANAWEZA BADILI CHOHOTE MUDA WOWOTE. BENZINOOOOOO

  • @kingneviledervon8497
    @kingneviledervon8497 3 года назад +39

    Ngoma noma Nani anapinga like kwa cheed jamani 👊👊

  • @moullaommywayneofficial1199
    @moullaommywayneofficial1199 3 года назад +13

    Love from 257 imefika mpaka burundi like for me Wana tz

  • @elsenortolga1936
    @elsenortolga1936 3 года назад +3

    Mimi ni Mnyarwanda naweza nipana maon yangu kwa Chidibeenz huyu sela namtambua tangu ningali mdogo kitu takriban miaka 12 so i go on poit nakuomba baba badilisha maenew ya kukaa Kuja Rwanda ao hata Burundi afu fanya kazi zako huku nadhan ndio utapata mpunga kwanini maon yangu kama haya kwako ni sabab hata wewe mwenyewe unakubar sana kuwa bongo fleva imekua ya wasani 3 peke yaw kwa hiyo wewe ondoka ili ufaniikishe zaidi

  • @juniortza
    @juniortza 5 месяцев назад

    Too Much Shine / Tuna Dine Maspagheti 🤠 Brooooh! Punchline Yakimafia Sana Kong

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 3 года назад +10

    BONGE ya Ngoma,, hatar sana lets to support this guy

  • @bintimohammed3233
    @bintimohammed3233 3 года назад +8

    Sasa chidi huyu ndio ilikua twammiss Sanaa kaza buti kakake twazidi kukuombea

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 8 месяцев назад +1

    Last time i meet with this King kong Tegeta Kwa Ndevu corner bar, he just Give me 5 salute, so now im watching This King of Hip hop in south Africa 🇿🇦 Cape Town Claremont onr lv Rashid Abdallah

  • @emmanuelmsafiri4961
    @emmanuelmsafiri4961 3 года назад +12

    ... heavyweight hii track pharmaceutical, use kila upande POWER Niko physical.. 🔥🔥🔥

    • @daudjoram8703
      @daudjoram8703 3 года назад

      Anasema heavy weight hate drug pharmaceutical

  • @davidkawiche8372
    @davidkawiche8372 3 года назад +1

    Kama na we umeona huyu Mwamba akiimba na rosa ree ngoma moja watauwa balaa gonga like za kutosha

  • @issasalim7688
    @issasalim7688 3 года назад

    CHIDI usinge poteana Saiv ungekua mbali sn ki mzik Tuzo ya MTV ungechukua wew

  • @MussacharlesSongo
    @MussacharlesSongo 7 дней назад

    Chi chid chid chid nakuita tena chidi wewe ni mshindi wangu wasiku zote

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 3 года назад +15

    Shkamoo brother chid🙌! ...Salute

  • @jodyntilayoungpapo9189
    @jodyntilayoungpapo9189 3 года назад +18

    Kama unaamini king kong ndie king wa hip hop bongo like ziwe shazi✊

  • @ismailsato5350
    @ismailsato5350 3 года назад +8

    Alwayz on top king kong most love on you chid kama benzino

  • @isackmlay4181
    @isackmlay4181 3 года назад +1

    Chid hakuna kama wwe bongo....truth sad

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto1752 3 года назад +8

    Huyu ndo chid niliyemzoea mm michano

  • @mnamamirisho808
    @mnamamirisho808 3 года назад

    Bombo clat we ndo dam yangu Rasta nmeelewa hyo

  • @holyjoemusiq2202
    @holyjoemusiq2202 3 года назад +5

    Chuma much love from Kenya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kamugishadeus8342
    @kamugishadeus8342 3 года назад +2

    kama unakubali hii ngoma kali gonga like twende sawa

  • @babilonmukh513
    @babilonmukh513 3 года назад +4

    Real definition of icon...your music forever lives brother 🙌🙌🙌... legendary ✊

  • @jumasudi1565
    @jumasudi1565 3 года назад

    Uyo ndo mwenye hip hop yake tz noma sana

  • @maukilah8680
    @maukilah8680 3 года назад

    Mini huyo mweupe mwenye kofia nyekundu

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 3 года назад

    ...lichidi ilo mamaee noma sana!!

  • @makejaffar8119
    @makejaffar8119 Год назад

    Mr. kingkooong💕💕💕much love daang"

  • @manaldoowusu1598
    @manaldoowusu1598 3 года назад

    👌👌👍👍🔥🔥🔥Burn dem mze baba

  • @chrisjr4206
    @chrisjr4206 3 года назад +6

    wakwanza kuiyona Big up chid chumaaa

  • @edsonkalokola5437
    @edsonkalokola5437 3 года назад +1

    Ebana natamani nimpate huyu mwamba kwenye wedding yangu yeye ndo awe perfomer aisee

  • @nassorali1202
    @nassorali1202 3 года назад +2

    Kuna line inasema “ eyyow mr sossa mlete brazil aje aone mastraiker mchezaji anashinda kombe kwenye mkeka unashinda ww na ndo wewe unatekwa “
    Chidi wewe nyoko sannna💯💯🙌🏽🙌🏽

  • @ezekielmakita4224
    @ezekielmakita4224 3 года назад +2

    Jama ni noma sana i say huu jama atawazika kabisa ma fakes rapers in africa na ulaya pia makofi kwa mr chuma jamani👏

  • @accramasuu_tv
    @accramasuu_tv 3 года назад +1

    Chidi we mnyama bwana asie kubali ni haaaater....much love broo keep pushing....

  • @labizolab-one8437
    @labizolab-one8437 3 года назад +15

    Safi sanaaaa

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 года назад

    Safi sana big up Chid

  • @hawaiddi5737
    @hawaiddi5737 Год назад

    Unaweza mwanangu mungu akkusaidie

  • @Michaelikandonga-xr5vi
    @Michaelikandonga-xr5vi Месяц назад

    mwamba naona analudi mdogo mdogo

  • @shahidthabit6127
    @shahidthabit6127 3 года назад +1

    Somo kila siku nasema uko vizuri Sanaa blessed more +254 wachafue sai

  • @chachasagara1985
    @chachasagara1985 Год назад

    Mikono mfululu paaah paaah 🔥🔥

  • @kelvinwilbroad8706
    @kelvinwilbroad8706 Месяц назад

    Daaaaah chuma

  • @amidahjumah4588
    @amidahjumah4588 3 года назад

    Uyu Kaka Ana baraa daah sema bongo tu King Kong Mr chid beenz

  • @keizersoja6463
    @keizersoja6463 2 года назад

    ALHAMDULILAH Leo maruhani zipo hapa hapao

  • @selemanlukinga2974
    @selemanlukinga2974 3 года назад

    Aiseeeee kipaji chote hiki eti kilitaka kumezwa na Unga tuu na bangi aiseeee acheni unga na bangi zipigwe vita

  • @halidishabani1307
    @halidishabani1307 2 года назад

    Hii Ngoma ,unaweza ombea mkopo bila riba

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e 4 месяца назад

    Simlisema namadawa acha awakomeshe.

  • @Farasitz
    @Farasitz Год назад

    Tunakuitaji badooo baba❤❤😂😂😂

  • @jamesoduororawo8379
    @jamesoduororawo8379 3 года назад +1

    Ilala LA .lafamilia Chidi the genius..good music 🎶🎹🎼🎸🇰🇪🇹🇿🎙️🌴.Thanks God Chidi Benzino is Back with A Banger.😃😊Chidi ame kua kibonge

  • @saidysaidi3227
    @saidysaidi3227 3 года назад

    Huyu ndio king Kong ninaeyemkubali

  • @Saurere
    @Saurere 3 года назад

    Pesa kidogo tu, Umeshaota kitambi.

  • @gabrielngugi5129
    @gabrielngugi5129 3 года назад +10

    Much support from Kenya

  • @rhossogangblog533
    @rhossogangblog533 3 года назад

    Natambia sauti na natmba kwenye flow chuma

  • @husseinabubakar8433
    @husseinabubakar8433 3 года назад

    Naona chidi master.mbavu Nene

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 3 года назад

    Naona Jamaa siku hizi afia iko sawa

  • @yohanasiima9606
    @yohanasiima9606 3 года назад +7

    the king izzzz back in chuma voice

  • @bonnybonnaya7133
    @bonnybonnaya7133 3 года назад +1

    Chidi Benz ..my ninja neva disappoints always on point 💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥hit like if you feel me.

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 года назад

    Ched mwili umekujatena simama kakaangu achana nayale mambo

  • @BongoZaKitambo55
    @BongoZaKitambo55 Год назад

    Kila siku Lazima niuangalie huu wimbo

  • @bozzfelix1510
    @bozzfelix1510 3 года назад

    Humu ndani you was do to much umeuaaa Sanaa haya matusi mtoto haez pita na hzo floooo TANZANIA WE THE BEST IN RAP

  • @k24kipogo40
    @k24kipogo40 3 года назад +2

    sasa mzee baba level zetu ni izi piga kaz

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 3 года назад +1

    Huyu mtu ni tishio kwa ma rapa wa East Africa wote wanamwogopa ni shida aisee

  • @muungatv8268
    @muungatv8268 3 года назад

    King nifalme haaaaaaaaaaaas

  • @kelvinkurgat2439
    @kelvinkurgat2439 3 года назад

    Noma sana bro,im glad you back

  • @asaviews2030
    @asaviews2030 3 года назад +1

    Chidi keep it up back 2 back fan 1 toka Kenya Nairobi

  • @donjailer8827
    @donjailer8827 3 года назад +1

    niliwambia king noma zaidi ya noma mpka ma bibi na mabwana wanasema noma

  • @ramahchuga7072
    @ramahchuga7072 3 года назад +4

    Sipat picture chidbenz alivyo panda juu ya iyo gol, Fujo🤣🤣

  • @badboyfighter
    @badboyfighter 3 года назад

    Fireee lete hv vitu vya wauni

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 3 года назад

    Nakubali bez mnyama mkal

  • @erickmichael9019
    @erickmichael9019 2 года назад

    Chidi umetisha kinoma

  • @moudyramosdravic7746
    @moudyramosdravic7746 3 года назад

    Nomaaa king koong

  • @dtytasarcozy1329
    @dtytasarcozy1329 3 года назад +5

    Huyu ndo chid niliyekua anamsubilia

    • @fetygao2232
      @fetygao2232 3 года назад

      Kabisaa ndugu maana me alikua ananiuma huyo kaka hadi basi

    • @dtytasarcozy1329
      @dtytasarcozy1329 3 года назад

      @@fetygao2232 afya kama yote ...sauti ya kiteja inapotea sasa

  • @TeedyShayo
    @TeedyShayo 4 месяца назад

    Noma sana

  • @gretarobert17
    @gretarobert17 3 года назад +1

    Brazaa umeenzaa rudii kwye mwili wakoo apoo ulipoo shikiliaa kaka🙏

  • @kleenheart
    @kleenheart 3 года назад

    Kama nakuona mbali sana mkuu

  • @abdallahjuma740
    @abdallahjuma740 3 года назад +4

    Tuko nawew kwakua yua de best ever and every where #Chumaaa

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili1513 3 года назад

    Mamae kabisa King Kong is back

  • @OmarAli-zp6yu
    @OmarAli-zp6yu 3 года назад

    Unasaut ya mzik wako una song kali san

  • @whoisfauna
    @whoisfauna 8 месяцев назад

    "IF WANT PEACE FOR WAR"🥶

  • @kadaawizaa5588
    @kadaawizaa5588 3 года назад +4

    Allah zaidii... Benz Chidiiii...

  • @divinejr3607
    @divinejr3607 3 года назад +5

    "Ata Mariah bila carry,16s 16s no R.Kelly"-bars

  • @therealdL188
    @therealdL188 3 года назад +4

    fiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiire!! king kong

  • @gfellasmusickenya4796
    @gfellasmusickenya4796 3 года назад +3

    We noma sana number 1 rapper east and central

  • @hushnigaboy1796
    @hushnigaboy1796 3 года назад +2

    Nakubali kaka bado uko vizuri kwenye game

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 3 года назад

    Kingkong!! Chumailala.... Bado uko vile vile heavyweight rapper waambia hao. Hawawezi kushindana na legend!

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 3 года назад

    Iko poa braz

  • @hamzamahmoud7904
    @hamzamahmoud7904 3 года назад +1

    Upepo imepungua kdg afanye mazoezi about consious yuko sawa sana alhamdulillah

  • @katengololosteven8196
    @katengololosteven8196 3 года назад

    Mi ni wa 201 si nimetisha kuwa wa kwanza kwenye 200,pamoja na sana(vyumaaa)

  • @juniareepictures6513
    @juniareepictures6513 3 года назад

    napenda hiphop ya mkeka

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 3 года назад +3

    Vaa shart bwana Mambo gani Ayo mkuu tumbo limelegea Kama supu ya mbwa😳

  • @asieramondarain4592
    @asieramondarain4592 2 года назад

    Nzruri kweli ndugu

  • @fetygao2232
    @fetygao2232 3 года назад +4

    Am pround of you Cheed Benz Allah aendelee kukupa afya tele chuma

  • @moreenmusiega9551
    @moreenmusiega9551 Год назад

    Kenyan love chuma

  • @fredgeorgesanga7435
    @fredgeorgesanga7435 3 года назад +1

    hii ngoma ni kali hapo kungekua na koras ya mdada kama maua sama ingekua noma zaidi

  • @bahatimkumbo7298
    @bahatimkumbo7298 3 года назад

    Bado hajazaliwa chid my bro uko peke yako tu hebu endelea kutupa burudani

  • @fredyanania2645
    @fredyanania2645 3 года назад

    Brother siku zote ujawai kosea

  • @benjaminjulius8021
    @benjaminjulius8021 3 года назад +4

    Diamond who is usher?? Daaah!! Broo anamadongo huyu??

  • @hassansalum4132
    @hassansalum4132 3 года назад +12

    Always King!

  • @abelirunde2508
    @abelirunde2508 3 года назад

    I have been a fun since way back.. I could tell baada ya track na Q chief ulitoa track nyingi ambazo kwangu mimi naweza kusema ulifanya hivyo to stay on track.Chid huyo wa hii track ndio Chid ninayemfahamu mimi toka way back.Salute to the King.. FOR YOUR MAMA,FOR ILALA💯🙌

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 3 года назад +7

    KING🚀

  • @milcahchao2557
    @milcahchao2557 3 года назад

    King Kong chumaaaaaaaa