chidi beenz you are in a different league bro mtanzania lakini Ngoma zako zikichezwa nairobi inabidi ngoma zingine zinazimwa wajue huyo nani mwenye sauti yakipeke.keep it top bro 254 tunakutambua
Mimi ni Mnyarwanda naweza nipana maon yangu kwa Chidibeenz huyu sela namtambua tangu ningali mdogo kitu takriban miaka 12 so i go on poit nakuomba baba badilisha maenew ya kukaa Kuja Rwanda ao hata Burundi afu fanya kazi zako huku nadhan ndio utapata mpunga kwanini maon yangu kama haya kwako ni sabab hata wewe mwenyewe unakubar sana kuwa bongo fleva imekua ya wasani 3 peke yaw kwa hiyo wewe ondoka ili ufaniikishe zaidi
Last time i meet with this King kong Tegeta Kwa Ndevu corner bar, he just Give me 5 salute, so now im watching This King of Hip hop in south Africa 🇿🇦 Cape Town Claremont onr lv Rashid Abdallah
I have been a fun since way back.. I could tell baada ya track na Q chief ulitoa track nyingi ambazo kwangu mimi naweza kusema ulifanya hivyo to stay on track.Chid huyo wa hii track ndio Chid ninayemfahamu mimi toka way back.Salute to the King.. FOR YOUR MAMA,FOR ILALA💯🙌
KAMA umeona chidi beenz AMEANZA KUNENEPA TENA GONGA LIKE APO
Daa boss chid wa zaman alikuwa ni misuli tu ila wasasa kanenepa lakini mafuta mengi.ila sio mbaya mkubwa
ruclips.net/video/PwOat-cZouY/видео.html
Mlisema kakonda sana akinenepa mwasema mafuta
Binadamu bhana😁😁😁😁
@Fatherjaytz angalia vizuri tumbo namaziwa hayo, mwili wautu uzima huo, huu mwili wamlo tu, syo wamazoezi
Huyu ndo chuma wazaman Sasa! Kama unaamin mungu yuko pamoja na ched Benz gonga like
chidi beenz you are in a different league bro mtanzania lakini Ngoma zako zikichezwa nairobi inabidi ngoma zingine zinazimwa wajue huyo nani mwenye sauti yakipeke.keep it top bro 254 tunakutambua
TUCHUNGE NDIMI ZETU MUNGU MKUBWA. ANAWEZA BADILI CHOHOTE MUDA WOWOTE. BENZINOOOOOO
Ngoma noma Nani anapinga like kwa cheed jamani 👊👊
Love from 257 imefika mpaka burundi like for me Wana tz
Mimi ni Mnyarwanda naweza nipana maon yangu kwa Chidibeenz huyu sela namtambua tangu ningali mdogo kitu takriban miaka 12 so i go on poit nakuomba baba badilisha maenew ya kukaa Kuja Rwanda ao hata Burundi afu fanya kazi zako huku nadhan ndio utapata mpunga kwanini maon yangu kama haya kwako ni sabab hata wewe mwenyewe unakubar sana kuwa bongo fleva imekua ya wasani 3 peke yaw kwa hiyo wewe ondoka ili ufaniikishe zaidi
Too Much Shine / Tuna Dine Maspagheti 🤠 Brooooh! Punchline Yakimafia Sana Kong
BONGE ya Ngoma,, hatar sana lets to support this guy
Sasa chidi huyu ndio ilikua twammiss Sanaa kaza buti kakake twazidi kukuombea
Last time i meet with this King kong Tegeta Kwa Ndevu corner bar, he just Give me 5 salute, so now im watching This King of Hip hop in south Africa 🇿🇦 Cape Town Claremont onr lv Rashid Abdallah
... heavyweight hii track pharmaceutical, use kila upande POWER Niko physical.. 🔥🔥🔥
Anasema heavy weight hate drug pharmaceutical
Kama na we umeona huyu Mwamba akiimba na rosa ree ngoma moja watauwa balaa gonga like za kutosha
Wameshafanya ngoma but Bado haijatoka
CHIDI usinge poteana Saiv ungekua mbali sn ki mzik Tuzo ya MTV ungechukua wew
Chi chid chid chid nakuita tena chidi wewe ni mshindi wangu wasiku zote
Shkamoo brother chid🙌! ...Salute
Kama unaamini king kong ndie king wa hip hop bongo like ziwe shazi✊
Alwayz on top king kong most love on you chid kama benzino
Chid hakuna kama wwe bongo....truth sad
Huyu ndo chid niliyemzoea mm michano
Bombo clat we ndo dam yangu Rasta nmeelewa hyo
Chuma much love from Kenya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
much love
kama unakubali hii ngoma kali gonga like twende sawa
Real definition of icon...your music forever lives brother 🙌🙌🙌... legendary ✊
Uyo ndo mwenye hip hop yake tz noma sana
Mini huyo mweupe mwenye kofia nyekundu
...lichidi ilo mamaee noma sana!!
Mr. kingkooong💕💕💕much love daang"
👌👌👍👍🔥🔥🔥Burn dem mze baba
wakwanza kuiyona Big up chid chumaaa
Ebana natamani nimpate huyu mwamba kwenye wedding yangu yeye ndo awe perfomer aisee
Kuna line inasema “ eyyow mr sossa mlete brazil aje aone mastraiker mchezaji anashinda kombe kwenye mkeka unashinda ww na ndo wewe unatekwa “
Chidi wewe nyoko sannna💯💯🙌🏽🙌🏽
Jama ni noma sana i say huu jama atawazika kabisa ma fakes rapers in africa na ulaya pia makofi kwa mr chuma jamani👏
Chidi we mnyama bwana asie kubali ni haaaater....much love broo keep pushing....
Safi sanaaaa
Safi sana big up Chid
Unaweza mwanangu mungu akkusaidie
mwamba naona analudi mdogo mdogo
Somo kila siku nasema uko vizuri Sanaa blessed more +254 wachafue sai
Mikono mfululu paaah paaah 🔥🔥
Daaaaah chuma
Uyu Kaka Ana baraa daah sema bongo tu King Kong Mr chid beenz
ALHAMDULILAH Leo maruhani zipo hapa hapao
Aiseeeee kipaji chote hiki eti kilitaka kumezwa na Unga tuu na bangi aiseeee acheni unga na bangi zipigwe vita
Hii Ngoma ,unaweza ombea mkopo bila riba
Simlisema namadawa acha awakomeshe.
Tunakuitaji badooo baba❤❤😂😂😂
Ilala LA .lafamilia Chidi the genius..good music 🎶🎹🎼🎸🇰🇪🇹🇿🎙️🌴.Thanks God Chidi Benzino is Back with A Banger.😃😊Chidi ame kua kibonge
Huyu ndio king Kong ninaeyemkubali
Pesa kidogo tu, Umeshaota kitambi.
Much support from Kenya
Natambia sauti na natmba kwenye flow chuma
Naona chidi master.mbavu Nene
Naona Jamaa siku hizi afia iko sawa
the king izzzz back in chuma voice
Chidi Benz ..my ninja neva disappoints always on point 💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥hit like if you feel me.
Ched mwili umekujatena simama kakaangu achana nayale mambo
Kila siku Lazima niuangalie huu wimbo
Humu ndani you was do to much umeuaaa Sanaa haya matusi mtoto haez pita na hzo floooo TANZANIA WE THE BEST IN RAP
sasa mzee baba level zetu ni izi piga kaz
Huyu mtu ni tishio kwa ma rapa wa East Africa wote wanamwogopa ni shida aisee
King nifalme haaaaaaaaaaaas
Noma sana bro,im glad you back
Chidi keep it up back 2 back fan 1 toka Kenya Nairobi
niliwambia king noma zaidi ya noma mpka ma bibi na mabwana wanasema noma
Sipat picture chidbenz alivyo panda juu ya iyo gol, Fujo🤣🤣
Fireee lete hv vitu vya wauni
Nakubali bez mnyama mkal
Chidi umetisha kinoma
Nomaaa king koong
Huyu ndo chid niliyekua anamsubilia
Kabisaa ndugu maana me alikua ananiuma huyo kaka hadi basi
@@fetygao2232 afya kama yote ...sauti ya kiteja inapotea sasa
Noma sana
Brazaa umeenzaa rudii kwye mwili wakoo apoo ulipoo shikiliaa kaka🙏
Kama nakuona mbali sana mkuu
Tuko nawew kwakua yua de best ever and every where #Chumaaa
Mamae kabisa King Kong is back
Unasaut ya mzik wako una song kali san
"IF WANT PEACE FOR WAR"🥶
Allah zaidii... Benz Chidiiii...
"Ata Mariah bila carry,16s 16s no R.Kelly"-bars
Heavyweight hata mariah hawezi carry, no sexy in sixteen r.kelly
yeah
@@lyimo2558 no sexteen
fiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiire!! king kong
We noma sana number 1 rapper east and central
Nakubali kaka bado uko vizuri kwenye game
Kingkong!! Chumailala.... Bado uko vile vile heavyweight rapper waambia hao. Hawawezi kushindana na legend!
Iko poa braz
Upepo imepungua kdg afanye mazoezi about consious yuko sawa sana alhamdulillah
Mi ni wa 201 si nimetisha kuwa wa kwanza kwenye 200,pamoja na sana(vyumaaa)
napenda hiphop ya mkeka
Vaa shart bwana Mambo gani Ayo mkuu tumbo limelegea Kama supu ya mbwa😳
Nzruri kweli ndugu
Am pround of you Cheed Benz Allah aendelee kukupa afya tele chuma
Kenyan love chuma
hii ngoma ni kali hapo kungekua na koras ya mdada kama maua sama ingekua noma zaidi
Bado hajazaliwa chid my bro uko peke yako tu hebu endelea kutupa burudani
Brother siku zote ujawai kosea
Diamond who is usher?? Daaah!! Broo anamadongo huyu??
Always King!
I have been a fun since way back.. I could tell baada ya track na Q chief ulitoa track nyingi ambazo kwangu mimi naweza kusema ulifanya hivyo to stay on track.Chid huyo wa hii track ndio Chid ninayemfahamu mimi toka way back.Salute to the King.. FOR YOUR MAMA,FOR ILALA💯🙌
KING🚀
King Kong chumaaaaaaaa