Abuu Khaula Allah akuhifadhi pa1 na masheikh wote wa Sunna hata hao ambao waitwa mahizbi basi Allah awaingoze mfanye kazi pa1 lakin nilikua naomba kujua Hawa ambao waitwa mahizbi walianza kufikishiwa da’awa au walianza kuradiwa2? Mwisho kabisa Bachu ananikera kuwaita masheikh wakisakafy majadida lakin napenda akiwaradd masufi na akiwa anasoma qur an.
Sasa hayo maneno mbona yanawarudia wenyewe majadida, Sabu hizby kukusanyana katika uchama na kupendana katika uchama au shekh kuwakusanya watu pamoja na kuwachukia wengine mbona hayo yanawarudia wenyewe mnaojiita salafi, si ndo mnnahizo pigo
@@hilalkhalfan1452 subuhana llah usufi ni uislamu safi yaraby msamehe mja huyu na umuongoze katika hakki maana yupo katika tabaka la walopotea na hajijui kama yupo kwenye tabaka hilo Allah muongoe akiwa mwenye kutaka kuongoka.watu waabudia makaburi, na hivi juzi juzi shekh wao wa kisufi kahararisha muziki na waumini wao wanaona sawa subuhana llah
Masalafy wapendana kwa sababu ya kutukana mashekhe wengine sasa huo ndio uhizby sasa huo ndio uhizby na mwawachukia wengine kwa sababu ya hilo kundi lenu nyinyi mwakusanya watu misikitini kuwatia chuki dhidi ya mashekhe na waislamu wengne hta wanafunzi wenu mwawatia chuki dhidi ya waislamu wengine na nyinyi mwasema hakuna waislamu kuliko hilo pote lenu...Asante sheikh tumeelewa vizuri nyinyi ndio mahizby tutajitahid kuepuka huo uhizbiya
Mumewashambulia sana waislamu wenzenu munao waona kua sio masalafi, Sasahivi munatafunana nyinyi kwa nyinyi, Hii inaonesha kua nyinyi kweli si kundi la kufaulu kama munavyojiita kua فرقة الناجیة , Bali nyinyi ni kundi la FITNA NA FARAKA KTK UMMA, jichunguzeni vzr, musitumike vibaya sana ndugu zangu muojiita masalafi jadidi
Mbona mwagombana waislamu kwa mambo ambayo kila mtu anaushahidi wake mambo ya ikhtalfu Kuna mambo ya msingi hamuyazungumzi hamuwazungumzii makafiri wala kufanya kazi kurudisha sheria za Allah muko kugombana nnyinyi kwa nyinyi tu munafeli
Utasikia raddi ya mahizbi lkn ukisikiliza ni pumba tupu. Just kuwapotezea muda waislamu tu na kwa sasa masalafi uchwara wameshapoteza mvuto kwa waislamu
Jadida sasa hivi wanarep kama mafarisayo. Msiba. Wameacha njia Ibilisi anawa remote atakavyo. Hali ya kuwa wanajihesabu wameongoka. Kujisifusifu. Uchache wa elimu Aqida. Hivi mtu msomi mwenye Aqida safi anaweza kuwa anaongea kipuuzi kiasi hicho.
@@alfauzantv123 Ukweli ndo ulivyo hata kama mkikasirika vumilieni. Watu wanasoma wanabadilika. Msiwe kama mayahudi na manaswara wamewafanya makasisi waruhubana kuwa na Amri kwao hata pale wanapokiuka.
@@alfauzantv123 Mnawatusi Waislamu, mnawashutumu pasina haki, mnaeneza fitna na kuwazuilia watu na njia ya Haki. Hii ni ya ALLAH A'ZZA WAJALLA na sio mali yenu wala hamna hati miliki. Mnawahusudu Waislamu katika Imani zao. Kila siku mizozo. Darsa mpaka wasomeshe shekhe wenu...Sasa hatutaki msitulazimishe. Tuiteni mtakavyo matusi ni sehemu ya tabia zetu hatushangai. WALILLAHIL HAMDU tunapata faida kubwa saana kwa Dr.Islam (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amuhifadhi).
Hamna mtu hapa. Hana dalili wala aya sasa ana raddi nini hapo. Hebu kama mwanaume kweli kaa na vitabu kama muhammad bachu uone unavyo jigonga gonga. We waleta maneno kama mdada bana mwanaume ni vitendo sio maneno.
@@muhamadali-r8r Majadida mnajificha kwenye kivuli cha Salafi ili kuwapotosha watu. Tushawajua majadida. Suyutwi kasema kamuona mtume mara 70. Na masheikh wakamuhusia kua hiyo ni itikadi ya watu wa Bidaa Suyutwi akamkufurisha mwenye ana mnasihi. Sasa swali la msingi hukmu ya Suyutwi kuambiwa haqqi kaikataa ni nini hukmu yake...???
@@giltaemi4017 Nani aliyekufundisha khs huo ujadida, na kama ni uthaymiin basi umemzulia, na km ni Barahiyan ajibu kwanza Yale maswali kumi mzushi asiyejulikana tumbiri mla tunda ama kicheche MLA nyama, Hana msimamo na huyo Bachu mropokaji asome
@@muhamadali-r8r Swali la msingi hukmu ya Suyutwi ni nini......???? Likipatikana jibu la hukmu ya Suyutwi kwa mujibu wa wanazuoni basi ndo tutajua ni Salafi kweli au majadida mlivyo. Kwahiyo swali ni nini hukmu ya Suyutwi. Kakatazwa uovu wa kusema kamuona mtume mara 70 si kwenye ndoto. Au nawewe unaamini Suyutwi kamuona mtume mara 70 ana kwa ana
@@alfauzantv123 ww hujasoma sharhu ya arbayna nnawawiy ya mwanachuoni Uthaymiin Allah amrehemu kuhusu hizbu salaf pia soma kitabu buhuthu nnadwa Cha mwanachuoni Ibnu Barjas Allah amrehemu kuhusu ujahili wa hizbu salaf
@@IbnuAlly-wm8ilwewe kuvitaja hivo vitabu usione umeleta hoja pia Sisi twasoma vitabu hivyo, wewe lete ushahidi kwamba uthaymiin ametaja hiki kikundi na ametaja kiongozi au muanzilishi ni Nani kama alivyofanya hivyo Barahiyan alivowataja sheikh Rabii almadkhaliy na Sheikh Aaman al jaamiy , na kifupi kuweni wakweli jamaa
Nyi shekhe uthaymeen kawaita hizby. Salafi kwahiyo msijisahirishe kama mpo ndani ya uhizbiya na ninyi ile mfumo wa kufanya usalafi ni chama ndo Hilo nalo ni hizby pia, jadida
Kila anae sema maneno kama yako huonekana nakudhihirika pungufu wa kufatilia kauli za shekhe ibn uthaymeen na upungufu wa maarifa na kauli za wanazuoni soma acha kua kama kasuku
Baraka Allah fikum. Jazakum Allah khaira
shekh Allah akuhifadhi na amuhifadhi yule unaemkusudia kuwa hizbukwani Allah akuongoze shekh wetu unafanya kazi kubwa kuliko watu wote
Abuu Khaula Allah akuhifadhi pa1 na masheikh wote wa Sunna hata hao ambao waitwa mahizbi basi Allah awaingoze mfanye kazi pa1 lakin nilikua naomba kujua Hawa ambao waitwa mahizbi walianza kufikishiwa da’awa au walianza kuradiwa2? Mwisho kabisa Bachu ananikera kuwaita masheikh wakisakafy majadida lakin napenda akiwaradd masufi na akiwa anasoma qur an.
Sasa hayo maneno mbona yanawarudia wenyewe majadida, Sabu hizby kukusanyana katika uchama na kupendana katika uchama au shekh kuwakusanya watu pamoja na kuwachukia wengine mbona hayo yanawarudia wenyewe mnaojiita salafi, si ndo mnnahizo pigo
@@AbdulIssa-o7e akhiy ww umeelewa vuzur mashaa Allah na ndo wakaitwa hizbu salaf
Nyie mmeamua kufata mayahadi na kuwatukana WAISLAMU SAFI (Sufi). Sasa midomo YENU inanuka uvundo tukananeni tu ndio UISLAMU JADIDA mliokuja nao😂
@@hilalkhalfan1452 subuhana llah usufi ni uislamu safi yaraby msamehe mja huyu na umuongoze katika hakki maana yupo katika tabaka la walopotea na hajijui kama yupo kwenye tabaka hilo Allah muongoe akiwa mwenye kutaka kuongoka.watu waabudia makaburi, na hivi juzi juzi shekh wao wa kisufi kahararisha muziki na waumini wao wanaona sawa subuhana llah
@@IbnuAlly-wm8ilameelewa nini hapo
Masalafy wapendana kwa sababu ya kutukana mashekhe wengine sasa huo ndio uhizby sasa huo ndio uhizby na mwawachukia wengine kwa sababu ya hilo kundi lenu nyinyi mwakusanya watu misikitini kuwatia chuki dhidi ya mashekhe na waislamu wengne hta wanafunzi wenu mwawatia chuki dhidi ya waislamu wengine na nyinyi mwasema hakuna waislamu kuliko hilo pote lenu...Asante sheikh tumeelewa vizuri nyinyi ndio mahizby tutajitahid kuepuka huo uhizbiya
🎉haki za yatima marhum said janjira hamzungumzii waliodhimiwa na taasisi ya Ansar tanga au wote NI wanufaika Allah anawaona
Huu ni mtihani katika dini.....alisema logo felia za darasa la Saba sasa hivi ndio viongozi wetu katika dini
Shukran sana sheikhe wetu
Mumewashambulia sana waislamu wenzenu munao waona kua sio masalafi, Sasahivi munatafunana nyinyi kwa nyinyi, Hii inaonesha kua nyinyi kweli si kundi la kufaulu kama munavyojiita kua فرقة الناجیة , Bali nyinyi ni kundi la FITNA NA FARAKA KTK UMMA, jichunguzeni vzr, musitumike vibaya sana ndugu zangu muojiita masalafi jadidi
Subhana llahu kweli dini imevamiwa,ولبعض من يفتي الناس في هذا الزمان أحق بالسجن من السراق
@@omaryally5743 أنت أول من يستحق السجن
@@alfauzantv123 يا سبحان الله أوصى النبي بقوله لا تغضب وأنا أقول لك لا تغضب لكن هؤلاء الذين يتظاهرون بالعلم ،اوصهم بالعلم قبل أن يفتوا الناس ...
Mbona mwagombana waislamu kwa mambo ambayo kila mtu anaushahidi wake mambo ya ikhtalfu Kuna mambo ya msingi hamuyazungumzi hamuwazungumzii makafiri wala kufanya kazi kurudisha sheria za Allah muko kugombana nnyinyi kwa nyinyi tu munafeli
Hayo maneno yako yamepitwa na wakati
Utasikia raddi ya mahizbi lkn ukisikiliza ni pumba tupu. Just kuwapotezea muda waislamu tu na kwa sasa masalafi uchwara wameshapoteza mvuto kwa waislamu
Huyu no katika vibaraka wa pongwe hawana lolote Hawa nakuja na jipya walilo kujanalo katika sunna illa niuhalibifu tu
Na wewe ni katika kikaragosi cha wapi?
Dini ss hv imekuwa ushabiki tuu
Kwanza kiwanja chak kassim kishakupa mpka mahakamani ulikwend
Rudud ishakulevya
Vipi kuhusu kiwanja kilicho uzwa kwa NACHARO AMBACHO NI WAQFU AU NA WEWE USHAZIBWA MDOMO?
@@abusalmadangaadam708 ww umekazana kuhusu kiwanjaa hapa watu wanazungumzia dini au viwanja nimekufa kucheka hapa.ww umekazana kiwanjaa
Tusimpe ushekhe tumwite. Daaiya.
Nyote ni swa masalafiy sijui hizbi nyota wa moja maomamu wenu ndio hao hao
Jee salafi jadida ni kikundi au sio? Kwama Allwah amewataja hizbu llwah hivyo bac anawatambua
Jadida sasa hivi wanarep kama mafarisayo. Msiba. Wameacha njia Ibilisi anawa remote atakavyo. Hali ya kuwa wanajihesabu wameongoka. Kujisifusifu. Uchache wa elimu Aqida. Hivi mtu msomi mwenye Aqida safi anaweza kuwa anaongea kipuuzi kiasi hicho.
@@ahmadmzoa74 ujadida NI nn
@@ahmadmzoa74 na NI nn hukmu yakuwa jadida,
@@ahmadmzoa74 Acheni ujinga naushabiki ambao hauna maaana
@@alfauzantv123 Ukweli ndo ulivyo hata kama mkikasirika vumilieni. Watu wanasoma wanabadilika. Msiwe kama mayahudi na manaswara wamewafanya makasisi waruhubana kuwa na Amri kwao hata pale wanapokiuka.
@@alfauzantv123 Mnawatusi Waislamu, mnawashutumu pasina haki, mnaeneza fitna na kuwazuilia watu na njia ya Haki. Hii ni ya ALLAH A'ZZA WAJALLA na sio mali yenu wala hamna hati miliki. Mnawahusudu Waislamu katika Imani zao. Kila siku mizozo. Darsa mpaka wasomeshe shekhe wenu...Sasa hatutaki msitulazimishe. Tuiteni mtakavyo matusi ni sehemu ya tabia zetu hatushangai. WALILLAHIL HAMDU tunapata faida kubwa saana kwa Dr.Islam (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amuhifadhi).
Hamna mtu hapa.
Hana dalili wala aya sasa ana raddi nini hapo.
Hebu kama mwanaume kweli kaa na vitabu kama muhammad bachu uone unavyo jigonga gonga.
We waleta maneno kama mdada bana mwanaume ni vitendo sio maneno.
Uzuri usalafi wapepea hata mkiwatusi mashekh wake na kuwakweza watu tafi ruweibidhwa kama Muhammad Bachu
@@muhamadali-r8r
Majadida mnajificha kwenye kivuli cha Salafi ili kuwapotosha watu.
Tushawajua majadida.
Suyutwi kasema kamuona mtume mara 70.
Na masheikh wakamuhusia kua hiyo ni itikadi ya watu wa Bidaa Suyutwi akamkufurisha mwenye ana mnasihi.
Sasa swali la msingi hukmu ya Suyutwi kuambiwa haqqi kaikataa ni nini hukmu yake...???
@@muhamadali-r8r Swali hilo msaidieni sheikh wenu jadida kujibu
@@giltaemi4017 Nani aliyekufundisha khs huo ujadida, na kama ni uthaymiin basi umemzulia, na km ni Barahiyan ajibu kwanza Yale maswali kumi mzushi asiyejulikana tumbiri mla tunda ama kicheche MLA nyama, Hana msimamo na huyo Bachu mropokaji asome
@@muhamadali-r8r
Swali la msingi hukmu ya Suyutwi ni nini......????
Likipatikana jibu la hukmu ya Suyutwi kwa mujibu wa wanazuoni basi ndo tutajua ni Salafi kweli au majadida mlivyo.
Kwahiyo swali ni nini hukmu ya Suyutwi.
Kakatazwa uovu wa kusema kamuona mtume mara 70 si kwenye ndoto.
Au nawewe unaamini Suyutwi kamuona mtume mara 70 ana kwa ana
Abuu khawlah tuliaa wewee wewee na genge Lao ndio mahizbi mumemfanya usalafi kama kundi
Kabisa
Hayo maneno yote kuhusu uhizbiyah yanawarejea wenyewe hizbu salaf (ujadidah)
@@IbnuAlly-wm8il ujadida NI nn na nini hukmu yakuwa jadida
@@alfauzantv123 ujadidah ni uhizbiyyah yaan hizbu salaf
@@IbnuAlly-wm8il lete burhan achana na BACHU lete ushahidi wahilo kutoka Kwa wema walo tangulia usijisemeye 2
@@alfauzantv123 ww hujasoma sharhu ya arbayna nnawawiy ya mwanachuoni Uthaymiin Allah amrehemu kuhusu hizbu salaf pia soma kitabu buhuthu nnadwa Cha mwanachuoni Ibnu Barjas Allah amrehemu kuhusu ujahili wa hizbu salaf
@@IbnuAlly-wm8ilwewe kuvitaja hivo vitabu usione umeleta hoja pia Sisi twasoma vitabu hivyo, wewe lete ushahidi kwamba uthaymiin ametaja hiki kikundi na ametaja kiongozi au muanzilishi ni Nani kama alivyofanya hivyo Barahiyan alivowataja sheikh Rabii almadkhaliy na Sheikh Aaman al jaamiy , na kifupi kuweni wakweli jamaa
Nyi shekhe uthaymeen kawaita hizby. Salafi kwahiyo msijisahirishe kama mpo ndani ya uhizbiya na ninyi ile mfumo wa kufanya usalafi ni chama ndo Hilo nalo ni hizby pia, jadida
Kila anae sema maneno kama yako huonekana nakudhihirika pungufu wa kufatilia kauli za shekhe ibn uthaymeen na upungufu wa maarifa na kauli za wanazuoni soma acha kua kama kasuku
Wemwenyewe mbona jadida shekh Abuu akhuwla
Si pia wewe ni jadida ,,ama hujui maana ya jadida ,,,
Wajua nini maana ya jadida??
@@rashidyyusuph4386 unaniuliza mimi maana ya ujadida si mpya au kipya
Nyinyi ndo mahizbi
@@Mahir-12-qe SubhanAllah