RAADI KWA MUHAMMAD BACHU NA MAHIBI WENZAKE, BARAHIYANI NI NINI UHIZBI ABU KHAUWLAH AL BAAJUNY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024

Комментарии • 73

  • @AbulqassimAshirazy-yd7th
    @AbulqassimAshirazy-yd7th 16 дней назад +3

    Baraka Allah fikum. Jazakum Allah khaira

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 16 дней назад +1

    shekh Allah akuhifadhi na amuhifadhi yule unaemkusudia kuwa hizbukwani Allah akuongoze shekh wetu unafanya kazi kubwa kuliko watu wote

  • @AsampiMpili
    @AsampiMpili 16 дней назад +7

    Abuu Khaula Allah akuhifadhi pa1 na masheikh wote wa Sunna hata hao ambao waitwa mahizbi basi Allah awaingoze mfanye kazi pa1 lakin nilikua naomba kujua Hawa ambao waitwa mahizbi walianza kufikishiwa da’awa au walianza kuradiwa2? Mwisho kabisa Bachu ananikera kuwaita masheikh wakisakafy majadida lakin napenda akiwaradd masufi na akiwa anasoma qur an.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 16 дней назад

      Sasa hayo maneno mbona yanawarudia wenyewe majadida, Sabu hizby kukusanyana katika uchama na kupendana katika uchama au shekh kuwakusanya watu pamoja na kuwachukia wengine mbona hayo yanawarudia wenyewe mnaojiita salafi, si ndo mnnahizo pigo

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il 11 дней назад

      ​​@@AbdulIssa-o7e akhiy ww umeelewa vuzur mashaa Allah na ndo wakaitwa hizbu salaf

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 10 дней назад

      Nyie mmeamua kufata mayahadi na kuwatukana WAISLAMU SAFI (Sufi). Sasa midomo YENU inanuka uvundo tukananeni tu ndio UISLAMU JADIDA mliokuja nao😂

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 10 дней назад

      @@hilalkhalfan1452 subuhana llah usufi ni uislamu safi yaraby msamehe mja huyu na umuongoze katika hakki maana yupo katika tabaka la walopotea na hajijui kama yupo kwenye tabaka hilo Allah muongoe akiwa mwenye kutaka kuongoka.watu waabudia makaburi, na hivi juzi juzi shekh wao wa kisufi kahararisha muziki na waumini wao wanaona sawa subuhana llah

    • @muhamadali-r8r
      @muhamadali-r8r 10 дней назад

      ​@@IbnuAlly-wm8ilameelewa nini hapo

  • @Vuyaa-v6w
    @Vuyaa-v6w 8 дней назад

    Masalafy wapendana kwa sababu ya kutukana mashekhe wengine sasa huo ndio uhizby sasa huo ndio uhizby na mwawachukia wengine kwa sababu ya hilo kundi lenu nyinyi mwakusanya watu misikitini kuwatia chuki dhidi ya mashekhe na waislamu wengne hta wanafunzi wenu mwawatia chuki dhidi ya waislamu wengine na nyinyi mwasema hakuna waislamu kuliko hilo pote lenu...Asante sheikh tumeelewa vizuri nyinyi ndio mahizby tutajitahid kuepuka huo uhizbiya

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 13 дней назад +1

    🎉haki za yatima marhum said janjira hamzungumzii waliodhimiwa na taasisi ya Ansar tanga au wote NI wanufaika Allah anawaona

  • @madulually5751
    @madulually5751 13 дней назад +3

    Huu ni mtihani katika dini.....alisema logo felia za darasa la Saba sasa hivi ndio viongozi wetu katika dini

  • @RamadhanHamad-s3w
    @RamadhanHamad-s3w 10 дней назад

    Shukran sana sheikhe wetu

  • @imamushafiiforgoodislamict5420
    @imamushafiiforgoodislamict5420 8 дней назад

    Mumewashambulia sana waislamu wenzenu munao waona kua sio masalafi, Sasahivi munatafunana nyinyi kwa nyinyi, Hii inaonesha kua nyinyi kweli si kundi la kufaulu kama munavyojiita kua فرقة الناجیة , Bali nyinyi ni kundi la FITNA NA FARAKA KTK UMMA, jichunguzeni vzr, musitumike vibaya sana ndugu zangu muojiita masalafi jadidi

  • @omaryally5743
    @omaryally5743 10 дней назад

    Subhana llahu kweli dini imevamiwa,ولبعض من يفتي الناس في هذا الزمان أحق بالسجن من السراق

    • @alfauzantv123
      @alfauzantv123  9 дней назад

      @@omaryally5743 أنت أول من يستحق السجن

    • @omaryally5743
      @omaryally5743 9 дней назад

      @@alfauzantv123 يا سبحان الله أوصى النبي بقوله لا تغضب وأنا أقول لك لا تغضب لكن هؤلاء الذين يتظاهرون بالعلم ،اوصهم بالعلم قبل أن يفتوا الناس ...

  • @ridhwanhamaad90
    @ridhwanhamaad90 10 дней назад +1

    Mbona mwagombana waislamu kwa mambo ambayo kila mtu anaushahidi wake mambo ya ikhtalfu Kuna mambo ya msingi hamuyazungumzi hamuwazungumzii makafiri wala kufanya kazi kurudisha sheria za Allah muko kugombana nnyinyi kwa nyinyi tu munafeli

    • @muhamadali-r8r
      @muhamadali-r8r 10 дней назад

      Hayo maneno yako yamepitwa na wakati

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq 5 дней назад

    Utasikia raddi ya mahizbi lkn ukisikiliza ni pumba tupu. Just kuwapotezea muda waislamu tu na kwa sasa masalafi uchwara wameshapoteza mvuto kwa waislamu

  • @SaidiMbega-j4n
    @SaidiMbega-j4n 10 дней назад +1

    Huyu no katika vibaraka wa pongwe hawana lolote Hawa nakuja na jipya walilo kujanalo katika sunna illa niuhalibifu tu

    • @Modyb
      @Modyb 8 дней назад

      Na wewe ni katika kikaragosi cha wapi?

  • @seifjabardeen5739
    @seifjabardeen5739 10 дней назад +1

    Dini ss hv imekuwa ushabiki tuu

  • @NassorHassan-no1cr
    @NassorHassan-no1cr 13 дней назад +1

    Kwanza kiwanja chak kassim kishakupa mpka mahakamani ulikwend

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam708 13 дней назад +1

    Vipi kuhusu kiwanja kilicho uzwa kwa NACHARO AMBACHO NI WAQFU AU NA WEWE USHAZIBWA MDOMO?

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 13 дней назад

      @@abusalmadangaadam708 ww umekazana kuhusu kiwanjaa hapa watu wanazungumzia dini au viwanja nimekufa kucheka hapa.ww umekazana kiwanjaa

  • @AhmadMohamad-ew8vo
    @AhmadMohamad-ew8vo 13 дней назад

    Tusimpe ushekhe tumwite. Daaiya.

  • @abubakarahyan9515
    @abubakarahyan9515 13 дней назад

    Nyote ni swa masalafiy sijui hizbi nyota wa moja maomamu wenu ndio hao hao

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq 5 дней назад

    Jee salafi jadida ni kikundi au sio? Kwama Allwah amewataja hizbu llwah hivyo bac anawatambua

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 9 дней назад

    Jadida sasa hivi wanarep kama mafarisayo. Msiba. Wameacha njia Ibilisi anawa remote atakavyo. Hali ya kuwa wanajihesabu wameongoka. Kujisifusifu. Uchache wa elimu Aqida. Hivi mtu msomi mwenye Aqida safi anaweza kuwa anaongea kipuuzi kiasi hicho.

    • @alfauzantv123
      @alfauzantv123  9 дней назад

      @@ahmadmzoa74 ujadida NI nn

    • @alfauzantv123
      @alfauzantv123  9 дней назад

      @@ahmadmzoa74 na NI nn hukmu yakuwa jadida,

    • @alfauzantv123
      @alfauzantv123  9 дней назад

      @@ahmadmzoa74 Acheni ujinga naushabiki ambao hauna maaana

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 9 дней назад

      @@alfauzantv123 Ukweli ndo ulivyo hata kama mkikasirika vumilieni. Watu wanasoma wanabadilika. Msiwe kama mayahudi na manaswara wamewafanya makasisi waruhubana kuwa na Amri kwao hata pale wanapokiuka.

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 9 дней назад

      @@alfauzantv123 Mnawatusi Waislamu, mnawashutumu pasina haki, mnaeneza fitna na kuwazuilia watu na njia ya Haki. Hii ni ya ALLAH A'ZZA WAJALLA na sio mali yenu wala hamna hati miliki. Mnawahusudu Waislamu katika Imani zao. Kila siku mizozo. Darsa mpaka wasomeshe shekhe wenu...Sasa hatutaki msitulazimishe. Tuiteni mtakavyo matusi ni sehemu ya tabia zetu hatushangai. WALILLAHIL HAMDU tunapata faida kubwa saana kwa Dr.Islam (ALLAH SUBHANAHU WATAALA Amuhifadhi).

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017 13 дней назад +1

    Hamna mtu hapa.
    Hana dalili wala aya sasa ana raddi nini hapo.
    Hebu kama mwanaume kweli kaa na vitabu kama muhammad bachu uone unavyo jigonga gonga.
    We waleta maneno kama mdada bana mwanaume ni vitendo sio maneno.

    • @muhamadali-r8r
      @muhamadali-r8r 10 дней назад

      Uzuri usalafi wapepea hata mkiwatusi mashekh wake na kuwakweza watu tafi ruweibidhwa kama Muhammad Bachu

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 10 дней назад +1

      @@muhamadali-r8r
      Majadida mnajificha kwenye kivuli cha Salafi ili kuwapotosha watu.
      Tushawajua majadida.
      Suyutwi kasema kamuona mtume mara 70.
      Na masheikh wakamuhusia kua hiyo ni itikadi ya watu wa Bidaa Suyutwi akamkufurisha mwenye ana mnasihi.
      Sasa swali la msingi hukmu ya Suyutwi kuambiwa haqqi kaikataa ni nini hukmu yake...???

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 10 дней назад +1

      @@muhamadali-r8r Swali hilo msaidieni sheikh wenu jadida kujibu

    • @muhamadali-r8r
      @muhamadali-r8r 10 дней назад

      @@giltaemi4017 Nani aliyekufundisha khs huo ujadida, na kama ni uthaymiin basi umemzulia, na km ni Barahiyan ajibu kwanza Yale maswali kumi mzushi asiyejulikana tumbiri mla tunda ama kicheche MLA nyama, Hana msimamo na huyo Bachu mropokaji asome

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 10 дней назад +1

      @@muhamadali-r8r
      Swali la msingi hukmu ya Suyutwi ni nini......????
      Likipatikana jibu la hukmu ya Suyutwi kwa mujibu wa wanazuoni basi ndo tutajua ni Salafi kweli au majadida mlivyo.
      Kwahiyo swali ni nini hukmu ya Suyutwi.
      Kakatazwa uovu wa kusema kamuona mtume mara 70 si kwenye ndoto.
      Au nawewe unaamini Suyutwi kamuona mtume mara 70 ana kwa ana

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq 13 дней назад

    Abuu khawlah tuliaa wewee wewee na genge Lao ndio mahizbi mumemfanya usalafi kama kundi

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8il 11 дней назад +1

    Hayo maneno yote kuhusu uhizbiyah yanawarejea wenyewe hizbu salaf (ujadidah)

    • @alfauzantv123
      @alfauzantv123  11 дней назад

      @@IbnuAlly-wm8il ujadida NI nn na nini hukmu yakuwa jadida

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il 11 дней назад

      @@alfauzantv123 ujadidah ni uhizbiyyah yaan hizbu salaf

    • @alfauzantv123
      @alfauzantv123  11 дней назад

      @@IbnuAlly-wm8il lete burhan achana na BACHU lete ushahidi wahilo kutoka Kwa wema walo tangulia usijisemeye 2

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il 11 дней назад

      @@alfauzantv123 ww hujasoma sharhu ya arbayna nnawawiy ya mwanachuoni Uthaymiin Allah amrehemu kuhusu hizbu salaf pia soma kitabu buhuthu nnadwa Cha mwanachuoni Ibnu Barjas Allah amrehemu kuhusu ujahili wa hizbu salaf

    • @muhamadali-r8r
      @muhamadali-r8r 10 дней назад

      ​@@IbnuAlly-wm8ilwewe kuvitaja hivo vitabu usione umeleta hoja pia Sisi twasoma vitabu hivyo, wewe lete ushahidi kwamba uthaymiin ametaja hiki kikundi na ametaja kiongozi au muanzilishi ni Nani kama alivyofanya hivyo Barahiyan alivowataja sheikh Rabii almadkhaliy na Sheikh Aaman al jaamiy , na kifupi kuweni wakweli jamaa

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 16 дней назад +1

    Nyi shekhe uthaymeen kawaita hizby. Salafi kwahiyo msijisahirishe kama mpo ndani ya uhizbiya na ninyi ile mfumo wa kufanya usalafi ni chama ndo Hilo nalo ni hizby pia, jadida

    • @YasiniIdiba
      @YasiniIdiba 9 дней назад

      Kila anae sema maneno kama yako huonekana nakudhihirika pungufu wa kufatilia kauli za shekhe ibn uthaymeen na upungufu wa maarifa na kauli za wanazuoni soma acha kua kama kasuku

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 16 дней назад

    Wemwenyewe mbona jadida shekh Abuu akhuwla

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 15 дней назад

      Si pia wewe ni jadida ,,ama hujui maana ya jadida ,,,

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 13 дней назад

      Wajua nini maana ya jadida??

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 13 дней назад

      @@rashidyyusuph4386 unaniuliza mimi maana ya ujadida si mpya au kipya

  • @Mahir-12-qe
    @Mahir-12-qe 16 дней назад

    Nyinyi ndo mahizbi