ON AIR: Young Dee afunguka alivyoanza na Mr. Blue, BBM na mengine

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Kutana na Paka Rapa... Young Dee ambaye sasa hivi anasikika sana kwenye Radio na TV kupitia single yake ya BONGO BAHATI MBAYA.... hapa amekaa kwenye Exclusive Interview na kuelezea ishu mbalimbali ikiwemo yeye na Mr. Blue.

Комментарии • 32

  • @mathewstanley4063
    @mathewstanley4063 7 лет назад +3

    Pamoja sana mtu wangu MILARDY AYO kwakutupa habari mbali mbali

  • @nelmisana919
    @nelmisana919 7 лет назад +1

    Young D ur the Best Mdogo Angu nakuelewa sn

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад

    Tunduma kuna pub moja hapa kila cku iendayo kwa mungu lazima nyimbo za young dee zipigwe## respect kwako dogo

  • @zackchriss10
    @zackchriss10 7 лет назад +2

    bbm

  • @kisanganifelixx3969
    @kisanganifelixx3969 7 лет назад +2

    MOJA KATI YA WASANIII NINAWAKUBALI BONGO!! WE WA KWANZA YOUNG DEE 💪🔥🔥

  • @jemsngokor5587
    @jemsngokor5587 7 лет назад +1

    young dee uko vizuli sana sana acha mambo ya kijinga Fanya kazi ili Tanzania ijulikane nakuona unajitahidi sana mzazi

  • @shizoboy3832
    @shizoboy3832 7 лет назад +1

    kituuu

  • @africanspotless
    @africanspotless 7 лет назад +1

    Mimi kiukweli napenda sana kukuona unapiga hatua, na nimefurahi sana kwa mageuzi makubwa uliyofanya. Nakuombea ufike mbali kwasababu, ninaweza kusema, nilikuwa naumia kiasi fulani nilivyokuwa naona nyendo zako sio nzuri kidogo hapo nyuma. Kuthibitisha hilo, " Alichoongea Mr. Blue kwenye kipindi cha mkasi kukuhusu, ndivyo na mimi nilivyokuwa nahisi". Mimi nakutia moyo, ONGEZA BIDII kwasbabu umebadilika sana kwa upande wangu, umeacha vitu flani ambavyo vilikuwa havikujengi.

  • @frenchpapi
    @frenchpapi 7 лет назад +7

    Wengi mnaolalamika siwaelewi mlitaka aongee kama yupo kwenye bajaji.. Au mshikaki wa pikipiki... Anaongea kistar na ndivo star anatakiwa awe....

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 7 лет назад +1

    kama senge vile

  • @bethaaloyce2681
    @bethaaloyce2681 7 лет назад +2

    kigugumizi au mapoz mpaka unaboa kusikiliza

  • @danielsiasa459
    @danielsiasa459 7 лет назад +1

    paka rasta.sasa subiri siku akitoa rasta atajiita pakapala

  • @rangitatu8343
    @rangitatu8343 7 лет назад +4

    Young dee kwenye interview unaboa....Unaongea ka hutaki flani hivi...Pull up your socks mana hii sio mara ya kwanza kuharibu hata ile interview ya salama ya mkasi uliboronga...Ukiulizwa swali jibu unachoulizwa na sio kuanza kuongelea past yako au kujifanya mjuaji wa kusoma vitabu

  • @princeshadau1980
    @princeshadau1980 6 лет назад +1

    Huyu jamaa anajihic utam kama binti..

  • @nickisaack5858
    @nickisaack5858 7 лет назад +1

    umekua

  • @doctorabdiabdi1800
    @doctorabdiabdi1800 7 лет назад +2

    musishangae amelewa kiasi flani

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 4 года назад +1

    Ukifanya kipindi na milad Ayo Au liliom bc iyo niintavew bola

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 7 лет назад

    Nakubali Na Huyo Mwonekano Boresha Utafika Far💥❤️Naunaenda Far MzaziYoUnG D

  • @leonellykweka7165
    @leonellykweka7165 7 лет назад +5

    NANI KABOREKA KAMA MM NA HII INTERVIEW

  • @salmaindar5159
    @salmaindar5159 7 лет назад

    Anajielewa achen roho za kiswaz

  • @joxeesetty1980
    @joxeesetty1980 7 лет назад +1

    Kuma la mama yako mbona unaongea kama sholiiiiii.

    • @jaystar1004
      @jaystar1004 7 лет назад

      Joxee Setty sio sawa kumkosoa mtu kwa kumtusi mama yake fkria n ww unatukaniwa ur mam ungejickiaje........kosoa Kwa hekima

  • @FailFasterLearnFaster
    @FailFasterLearnFaster 7 лет назад

    hahaha young-D bana..! we mkali

  • @rickodijei5590
    @rickodijei5590 7 лет назад

    dee nakukubali kinomaa, achan na wanafki hao wanaokukatixha tamaa, ukiona umetoa kitu watu wakaongea sana ujue kimekubalikaa, kaza kamba dee na kweli wasikufananishe na hao midanandaa

  • @rickodijei5590
    @rickodijei5590 7 лет назад

    na nyie mnaodai eti amewaangusha kweny interview , tafuteni interview na sis tuwasikilizeee tuone uwezo wenuu

  • @borntz6474
    @borntz6474 7 лет назад +2

    bbm