ON AIR: Young Dee afunguka alivyoanza na Mr. Blue, BBM na mengine
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Kutana na Paka Rapa... Young Dee ambaye sasa hivi anasikika sana kwenye Radio na TV kupitia single yake ya BONGO BAHATI MBAYA.... hapa amekaa kwenye Exclusive Interview na kuelezea ishu mbalimbali ikiwemo yeye na Mr. Blue.
Pamoja sana mtu wangu MILARDY AYO kwakutupa habari mbali mbali
Young D ur the Best Mdogo Angu nakuelewa sn
Tunduma kuna pub moja hapa kila cku iendayo kwa mungu lazima nyimbo za young dee zipigwe## respect kwako dogo
bbm
MOJA KATI YA WASANIII NINAWAKUBALI BONGO!! WE WA KWANZA YOUNG DEE 💪🔥🔥
young dee uko vizuli sana sana acha mambo ya kijinga Fanya kazi ili Tanzania ijulikane nakuona unajitahidi sana mzazi
kituuu
Mimi kiukweli napenda sana kukuona unapiga hatua, na nimefurahi sana kwa mageuzi makubwa uliyofanya. Nakuombea ufike mbali kwasababu, ninaweza kusema, nilikuwa naumia kiasi fulani nilivyokuwa naona nyendo zako sio nzuri kidogo hapo nyuma. Kuthibitisha hilo, " Alichoongea Mr. Blue kwenye kipindi cha mkasi kukuhusu, ndivyo na mimi nilivyokuwa nahisi". Mimi nakutia moyo, ONGEZA BIDII kwasbabu umebadilika sana kwa upande wangu, umeacha vitu flani ambavyo vilikuwa havikujengi.
Wengi mnaolalamika siwaelewi mlitaka aongee kama yupo kwenye bajaji.. Au mshikaki wa pikipiki... Anaongea kistar na ndivo star anatakiwa awe....
Grant hezron sure kaka
1
star ndio mtoto wa kiume kuongea kama dada yako?
dogo vp
Salut bro
kama senge vile
kigugumizi au mapoz mpaka unaboa kusikiliza
paka rasta.sasa subiri siku akitoa rasta atajiita pakapala
Young dee kwenye interview unaboa....Unaongea ka hutaki flani hivi...Pull up your socks mana hii sio mara ya kwanza kuharibu hata ile interview ya salama ya mkasi uliboronga...Ukiulizwa swali jibu unachoulizwa na sio kuanza kuongelea past yako au kujifanya mjuaji wa kusoma vitabu
Huyu jamaa anajihic utam kama binti..
umekua
musishangae amelewa kiasi flani
Ukifanya kipindi na milad Ayo Au liliom bc iyo niintavew bola
Nakubali Na Huyo Mwonekano Boresha Utafika Far💥❤️Naunaenda Far MzaziYoUnG D
NANI KABOREKA KAMA MM NA HII INTERVIEW
Anajielewa achen roho za kiswaz
Kuma la mama yako mbona unaongea kama sholiiiiii.
Joxee Setty sio sawa kumkosoa mtu kwa kumtusi mama yake fkria n ww unatukaniwa ur mam ungejickiaje........kosoa Kwa hekima
hahaha young-D bana..! we mkali
dee nakukubali kinomaa, achan na wanafki hao wanaokukatixha tamaa, ukiona umetoa kitu watu wakaongea sana ujue kimekubalikaa, kaza kamba dee na kweli wasikufananishe na hao midanandaa
na nyie mnaodai eti amewaangusha kweny interview , tafuteni interview na sis tuwasikilizeee tuone uwezo wenuu
bbm