YOUNG DEE AMJIBU DOGO JANJA "AMEKUWA MARIOO MZIKI UMEMSHINDA,HANA PESA ANANUNULIWA VIATU NA NGUO"
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Story ya young killer nyimbo moja kuchanganya vitu vingi nayo ni kweli
Big up young D kusema ukweli autumie huo ukweli
🔥🔥
Kijana anatumia sana unga cheki anavyoweweseka kaisha kinoma
alinenepaga lini yupo sawa dogo
Aaausio Nakubali My G🤘 sema nini umarioo unatuliza stress za Dar bana😂😂 kama kapata shavu we mwache arendemke bana 🔥🔥
your my favorite
Nyie ma young wote wanangu banaaaa... nawakubali sana
Young Dee bro style up bro don't come across two lovers just encourage him to do more good music infact nyimbo ya Dogo Janja perfect kabisaa mm nimesikiliza 100 tines na ya jmelody Nakupenda poa sana Mara kibao so nice music,Konde boy nice one but kusrma LA kweli young Dee nyimbo zako sizijui but acha nizicheki nisikize then I'll comment.
Young d kitambo sana kwenye game enzi hizo za dada huyo ameolewa 👏👏👏👏😴💪💪😃
Mwajumaaa kaolewaaa
Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu tatizo gani. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 100 na hata miaka elfu moja na hautapona!
Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza! Mathalani, kama tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; kama ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo. Angalia mwenyewe, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida ya tezidume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanawake wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa na dawa aina moja? Watu wengi wengi wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana.
Acha kulalamika wala kumlalamikia mwenza wako sasa piga simu tuzungumze.
Au tuma neno BORESHA AFYA kwa whatsapp +255759312637 upata elimu zaidi juu ya afya
Wanyakyusa tunawajua dogo mna jiskia zarauuu hta km pesa hamna so sikushangai mdogo wangu wa tabata kimanga.
Kijana mpumbavu
Boya wew umemkosea adabu shorobwenz # stamina
Dogo acha kumgusa STAMINA hunauwezo wa kumzungumzia Big STAMINA. uwe na heshima dogo.
Nakubal
Kweli young d
Kuna faida gan katika kujkuza kihivo ? Mzk nambaz kua mpol hata kama ugekua miubwa
Fell off badly, hujui album imeuza kiasi gani,
Mhh hata diamondi hana dharau kiasi hichi
Tatizo wasanii wa Tanzania washaziwea kuiga wasanii wa nje na ndio mana hao wanaowaiga washaacha kumziki na wao hawana ubunifu wa kutunga sanaa zao ndio maana hawana cha kufanya.
Oya mwannngu dee we pig kazi rud kazin
Hujawahi kuwa Bora tuseme ukweli
Kaza Janja ...Hip-Hop unaweka poz laini kama hizo
Dogo anajishtukia kichizi…kimebaki kichwa tu
HAhHa Najishtukia kisenge an😀😆😆😆
Siku Moja collabo ya Ndani itokee kati ya diamond na young D itakamata sana Hawa jamaa wanavitu vya kinyamwez sana
kote umeongea bt hapo kwenye stamini hapo umechokoza pabaya🤣🤣
Young dee unyama mwingi nakubali umeongea
Hahaha,Young Dar es salaama
Mshamba uyo namdai
Uongo mbona anaongea kwa waswas
Hivi ni ganja au ushoga sauti ya Young Dee.Dah wanateseka wasaniii.Tuwaombeeni jamani.
Mpe heshima yake stamina he deserves it Mr.
Haonekani kama kalipwa😂😂😂
Oya David umemchana kinoma uyo mrangi
ebanaa eeee watu wana post raba
Y
Dogo janja amekuwa boya ana lelewa tuu
NGADU...
Dogo kakonda Sana I think anasmoke sana siku hizi
Mawazo mgando sana cjui unawaza nn kichwan, unataka anenepe music umshinde kucheza cyo, umwangalia Justin bieber, Chris Brown, Michel Hackson na Diamond Platnumz, Wizkid , hao ndo wanyama wa mzuki unene ni ugonjwa wa akili fala ww huo ndo mwili mzuri, nene ww amabae hauna akili za kuwaza mbali ukipata elfu 50 unakula part na kujihis umemaliza
Sure kidogo kiboya kile, kinajivunia viatu na nguo
Ngada.
Vijana wa dogo fanyeni kazi majungu na chuki za nini
Ayaban
😂😂😂😂😂
YAVUJA VIDEO YA IRENE UWOYA AKIJITIA VIDOLE TAZAMA ruclips.net/video/ZY1S0QSD81A/видео.html
Dogo unakosa adabu Sasa? Unamfatilia Stamina!
Yng D nenda kalaleeee🖕 djanjaro kakushinda kirakitu
Gusa maandish ya blue ukatazame Video yangu nilivyomfunika DOGO BALAA ruclips.net/video/ZXoVZuZFMy8/видео.html
Njoo ufahamu kuhusu ugonjwa wa PID na magonjwa mengine ya afya.
ruclips.net/video/kN7Lx0wEAns/видео.html
😂😂😂diamond platnumz la changaa sana baada yaku fika huko ebu jionee yalio mkuta simba 😂😂👇👇😂👇😂👇
ruclips.net/video/kBdkjbF2K_4/видео.html
ila kweli dogo njanja huwa nawaalza anafanya biashara gani kubwa zaidi ya music
Game nilianza mtoto leo nawatoto mi nimtoto nilifanya watoto wajue soko aaaaahahahaha wanyama wote wataachambuga mji unakazi 🤣🤣😂😂#mr Blue a leaving Legend
Noma sana
Mmmh
Me nakukubali sana either upotee uwepo your legend, mnyamwezi
Young D mdogo wangu si kwa kusiliba huko yani kiutu uzima
Nakukubali san mwnangu,,,, sema sijui umefeli wapi mzee.
Ila sema nn hebu fany km unakaza turudi tena km vile
Ngadu 🔥🔥🔥🔥🔥
Dogo yupo safi
Ng'aduuuuuuuu,,,
Na dogo janja anamiliki bastola sasa subiri akudungue ya mdomoni
Young killer atawabaka Sana...Tena mm ni killer janjaro afu wew nndo wafuata...wote mnajuaa Ila
Afadhali hata dogo janja kuliko wew.......!!!!!
Tulia 2 kaka angu, now kuna kina Dayoo pratform, lody music kajipange kwanza umeishiwa!!!!!
Styles tofaut ...Bali new generation 4 now ndooo aoo kina lody dayoo
Woteee awoo wanaimbaa """ ulio wamation ""
sasa mbona ulio wataja hapo sio wa site yake
@@jonasibraysoni1859 naisii ajuii ainaa
Acha kuvuta ngada cheki kalivyokondaaa duu vijana unga sio poa mchekini uyo mtoto
Unene sio deal. Nilijua utampongeza kwakubaki na mwili uleule.
We apo umeambiwa awe mnene au aache ku snifu unga uyo mteja kitambo
Rudi kama zaman kipindi cha BOB
Dah mmepotea sana .ulikua msanii mzuri sana .hip-hop kama yambele.na mwanao nyandu.leo hauna kitu hauna ushawishi tena imejitoa reli.nyimbo zenu na dogo janja hamna kitu
#UTAZANI NI UTANI KUMBE NI KWELI TAZAMA HAPA KAULI TATA YA DOGO JJA GUSA HAPAruclips.net/video/DSkPX3IxQDg/видео.html
Janjaro mnyamwezi we piga powder
Nyinyi wote si dogo janja si weye mi sioni mna music gani jamani ebu acheni mineno
Muuni kwel uyu
ruclips.net/video/Du0Owr8Pebw/видео.html
R I P Teja mtoto,wacha powder dogo umeishiwa
😂😂😂😂😂
Kabisa naona wanabwabwarya tu
Mleteeee ungaaa Kama unataka aaacheee powder
Powder na maisha yanaendea...we kula Dona tuone yatarudi ama???
DeeDee😂😂 uliskia na hii 👇
ruclips.net/video/VzZFSs4qqi4/видео.html