YOUNG DEE AMJIBU DOGO JANJA "AMEKUWA MARIOO MZIKI UMEMSHINDA,HANA PESA ANANUNULIWA VIATU NA NGUO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 89

  • @mikiboy4057
    @mikiboy4057 2 года назад +10

    Story ya young killer nyimbo moja kuchanganya vitu vingi nayo ni kweli
    Big up young D kusema ukweli autumie huo ukweli

  • @djvinnytz
    @djvinnytz 2 года назад

    🔥🔥

  • @josephamani2212
    @josephamani2212 2 года назад +6

    Kijana anatumia sana unga cheki anavyoweweseka kaisha kinoma

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 2 года назад +3

    Aaausio Nakubali My G🤘 sema nini umarioo unatuliza stress za Dar bana😂😂 kama kapata shavu we mwache arendemke bana 🔥🔥

  • @leilahinahina1193
    @leilahinahina1193 2 года назад +1

    your my favorite

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 2 года назад

    Nyie ma young wote wanangu banaaaa... nawakubali sana

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 2 года назад +1

    Young Dee bro style up bro don't come across two lovers just encourage him to do more good music infact nyimbo ya Dogo Janja perfect kabisaa mm nimesikiliza 100 tines na ya jmelody Nakupenda poa sana Mara kibao so nice music,Konde boy nice one but kusrma LA kweli young Dee nyimbo zako sizijui but acha nizicheki nisikize then I'll comment.

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +1

    Young d kitambo sana kwenye game enzi hizo za dada huyo ameolewa 👏👏👏👏😴💪💪😃

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      Mwajumaaa kaolewaaa

  • @husseinkareem9914
    @husseinkareem9914 2 года назад

    Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu tatizo gani. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 100 na hata miaka elfu moja na hautapona!
    Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza! Mathalani, kama tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; kama ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo. Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo. Angalia mwenyewe, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida ya tezidume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanawake wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa na dawa aina moja? Watu wengi wengi wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana.
    Acha kulalamika wala kumlalamikia mwenza wako sasa piga simu tuzungumze.
    Au tuma neno BORESHA AFYA kwa whatsapp +255759312637 upata elimu zaidi juu ya afya

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 2 года назад

    Wanyakyusa tunawajua dogo mna jiskia zarauuu hta km pesa hamna so sikushangai mdogo wangu wa tabata kimanga.

  • @mkazy6550
    @mkazy6550 2 года назад

    Kijana mpumbavu

  • @ismailmneka2967
    @ismailmneka2967 2 года назад

    Boya wew umemkosea adabu shorobwenz # stamina

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 2 года назад

    Dogo acha kumgusa STAMINA hunauwezo wa kumzungumzia Big STAMINA. uwe na heshima dogo.

  • @hawaomaryhawaomaryhamza8947
    @hawaomaryhawaomaryhamza8947 2 года назад

    Nakubal

  • @babaphildaus5861
    @babaphildaus5861 2 года назад

    Kweli young d

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 2 года назад

    Kuna faida gan katika kujkuza kihivo ? Mzk nambaz kua mpol hata kama ugekua miubwa

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 года назад

    Fell off badly, hujui album imeuza kiasi gani,

  • @mayagillamussa9486
    @mayagillamussa9486 2 года назад

    Mhh hata diamondi hana dharau kiasi hichi

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 года назад

    Tatizo wasanii wa Tanzania washaziwea kuiga wasanii wa nje na ndio mana hao wanaowaiga washaacha kumziki na wao hawana ubunifu wa kutunga sanaa zao ndio maana hawana cha kufanya.

  • @football7highl
    @football7highl 2 года назад

    Oya mwannngu dee we pig kazi rud kazin

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 2 года назад +1

    Hujawahi kuwa Bora tuseme ukweli

  • @gannzy-tvoline9277
    @gannzy-tvoline9277 2 года назад

    Kaza Janja ...Hip-Hop unaweka poz laini kama hizo

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 2 года назад +2

    Dogo anajishtukia kichizi…kimebaki kichwa tu

    • @TeeTee-tu8cg
      @TeeTee-tu8cg 2 года назад

      HAhHa Najishtukia kisenge an😀😆😆😆

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 2 года назад +2

    Siku Moja collabo ya Ndani itokee kati ya diamond na young D itakamata sana Hawa jamaa wanavitu vya kinyamwez sana

  • @paulrichard4696
    @paulrichard4696 2 года назад

    kote umeongea bt hapo kwenye stamini hapo umechokoza pabaya🤣🤣

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 2 года назад

    Young dee unyama mwingi nakubali umeongea

  • @geofrayjandwa7404
    @geofrayjandwa7404 2 года назад

    Hahaha,Young Dar es salaama

  • @samoraibraino9341
    @samoraibraino9341 2 года назад

    Mshamba uyo namdai

  • @plumbingandtilesservce5271
    @plumbingandtilesservce5271 2 года назад

    Uongo mbona anaongea kwa waswas

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 2 года назад

    Hivi ni ganja au ushoga sauti ya Young Dee.Dah wanateseka wasaniii.Tuwaombeeni jamani.

  • @rumbastar_official235
    @rumbastar_official235 2 года назад

    Mpe heshima yake stamina he deserves it Mr.

  • @chrissjapheth2803
    @chrissjapheth2803 2 года назад

    Haonekani kama kalipwa😂😂😂

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 года назад

    Oya David umemchana kinoma uyo mrangi

  • @abedmzungu9057
    @abedmzungu9057 2 года назад

    ebanaa eeee watu wana post raba

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 2 года назад

    Y

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад

    Dogo janja amekuwa boya ana lelewa tuu

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад +1

    NGADU...

  • @frankthegreat2427
    @frankthegreat2427 2 года назад +1

    Dogo kakonda Sana I think anasmoke sana siku hizi

    • @rabsontryphon9254
      @rabsontryphon9254 2 года назад

      Mawazo mgando sana cjui unawaza nn kichwan, unataka anenepe music umshinde kucheza cyo, umwangalia Justin bieber, Chris Brown, Michel Hackson na Diamond Platnumz, Wizkid , hao ndo wanyama wa mzuki unene ni ugonjwa wa akili fala ww huo ndo mwili mzuri, nene ww amabae hauna akili za kuwaza mbali ukipata elfu 50 unakula part na kujihis umemaliza

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 2 года назад

    Sure kidogo kiboya kile, kinajivunia viatu na nguo

  • @patrickluyangi6571
    @patrickluyangi6571 2 года назад

    Ngada.

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 2 года назад

    Vijana wa dogo fanyeni kazi majungu na chuki za nini

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 2 года назад

    Ayaban

  • @shosially1494
    @shosially1494 2 года назад

    😂😂😂😂😂

  • @mnyamatv505
    @mnyamatv505 2 года назад

    YAVUJA VIDEO YA IRENE UWOYA AKIJITIA VIDOLE TAZAMA ruclips.net/video/ZY1S0QSD81A/видео.html

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 года назад

    Dogo unakosa adabu Sasa? Unamfatilia Stamina!

  • @gloire1965
    @gloire1965 2 года назад

    Yng D nenda kalaleeee🖕 djanjaro kakushinda kirakitu

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 2 года назад

    Gusa maandish ya blue ukatazame Video yangu nilivyomfunika DOGO BALAA ruclips.net/video/ZXoVZuZFMy8/видео.html

  • @BongeLaAfya
    @BongeLaAfya 2 года назад

    Njoo ufahamu kuhusu ugonjwa wa PID na magonjwa mengine ya afya.
    ruclips.net/video/kN7Lx0wEAns/видео.html

  • @Evarlex_Officiel
    @Evarlex_Officiel 2 года назад

    😂😂😂diamond platnumz la changaa sana baada yaku fika huko ebu jionee yalio mkuta simba 😂😂👇👇😂👇😂👇
    ruclips.net/video/kBdkjbF2K_4/видео.html

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 года назад

    ila kweli dogo njanja huwa nawaalza anafanya biashara gani kubwa zaidi ya music

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 2 года назад +2

    Game nilianza mtoto leo nawatoto mi nimtoto nilifanya watoto wajue soko aaaaahahahaha wanyama wote wataachambuga mji unakazi 🤣🤣😂😂#mr Blue a leaving Legend

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 года назад +1

    Noma sana

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 года назад

    Mmmh

  • @zamdayusuph858
    @zamdayusuph858 2 года назад +8

    Me nakukubali sana either upotee uwepo your legend, mnyamwezi

  • @deogratiasyagomba287
    @deogratiasyagomba287 2 года назад +7

    Young D mdogo wangu si kwa kusiliba huko yani kiutu uzima

  • @nurdinshehoza4854
    @nurdinshehoza4854 2 года назад

    Nakukubali san mwnangu,,,, sema sijui umefeli wapi mzee.
    Ila sema nn hebu fany km unakaza turudi tena km vile

  • @raiderkiddy8511
    @raiderkiddy8511 2 года назад

    Ngadu 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @warriomashaz5184
    @warriomashaz5184 2 года назад

    Dogo yupo safi

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 2 года назад

    Ng'aduuuuuuuu,,,

  • @lovely709
    @lovely709 2 года назад +2

    Na dogo janja anamiliki bastola sasa subiri akudungue ya mdomoni

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +6

    Young killer atawabaka Sana...Tena mm ni killer janjaro afu wew nndo wafuata...wote mnajuaa Ila

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +1

    Afadhali hata dogo janja kuliko wew.......!!!!!

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +2

    Tulia 2 kaka angu, now kuna kina Dayoo pratform, lody music kajipange kwanza umeishiwa!!!!!

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 2 года назад +2

      Styles tofaut ...Bali new generation 4 now ndooo aoo kina lody dayoo

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 2 года назад +2

      Woteee awoo wanaimbaa """ ulio wamation ""

    • @jonasibraysoni1859
      @jonasibraysoni1859 2 года назад

      sasa mbona ulio wataja hapo sio wa site yake

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 2 года назад

      @@jonasibraysoni1859 naisii ajuii ainaa

  • @sinaloa5698
    @sinaloa5698 2 года назад +9

    Acha kuvuta ngada cheki kalivyokondaaa duu vijana unga sio poa mchekini uyo mtoto

    • @wilsonmpega8225
      @wilsonmpega8225 2 года назад

      Unene sio deal. Nilijua utampongeza kwakubaki na mwili uleule.

    • @sinaloa5698
      @sinaloa5698 2 года назад

      We apo umeambiwa awe mnene au aache ku snifu unga uyo mteja kitambo

  • @albartkeity890
    @albartkeity890 2 года назад +1

    Rudi kama zaman kipindi cha BOB

  • @albartkeity890
    @albartkeity890 2 года назад +6

    Dah mmepotea sana .ulikua msanii mzuri sana .hip-hop kama yambele.na mwanao nyandu.leo hauna kitu hauna ushawishi tena imejitoa reli.nyimbo zenu na dogo janja hamna kitu

  • @whitelove_og369
    @whitelove_og369 2 года назад

    #UTAZANI NI UTANI KUMBE NI KWELI TAZAMA HAPA KAULI TATA YA DOGO JJA GUSA HAPAruclips.net/video/DSkPX3IxQDg/видео.html

  • @badisalim4250
    @badisalim4250 2 года назад +3

    Janjaro mnyamwezi we piga powder

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 2 года назад +1

    Nyinyi wote si dogo janja si weye mi sioni mna music gani jamani ebu acheni mineno

  • @anwaralimuhammed1481
    @anwaralimuhammed1481 2 года назад +1

    Muuni kwel uyu

  • @stuartkudeba
    @stuartkudeba 2 года назад

    ruclips.net/video/Du0Owr8Pebw/видео.html

  • @loganpoul
    @loganpoul 2 года назад +1

    R I P Teja mtoto,wacha powder dogo umeishiwa

    • @yusufm1
      @yusufm1 2 года назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @janetahmed6948
      @janetahmed6948 2 года назад +1

      Kabisa naona wanabwabwarya tu

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 2 года назад +1

      Mleteeee ungaaa Kama unataka aaacheee powder

    • @geofrayjandwa7404
      @geofrayjandwa7404 2 года назад

      Powder na maisha yanaendea...we kula Dona tuone yatarudi ama???

  • @jaymelody7178
    @jaymelody7178 2 года назад +1

    DeeDee😂😂 uliskia na hii 👇
    ruclips.net/video/VzZFSs4qqi4/видео.html