BILLIONARE SAIDI LUGUMI ATOBOA SIRI YA KUFANIKIWA, AWAPA TABASAMU WATOTO ZAIDI YA 800

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 53

  • @HamiduShabani-xs6yc
    @HamiduShabani-xs6yc Месяц назад +6

    Allah akukunjulie riziki father na kesho akhera akukupe malipo mema inshaallah

  • @arahmantvonline
    @arahmantvonline Месяц назад +10

    Allah akulipe kheri na ujue umri mrefu, amin

  • @jomba6514
    @jomba6514 Месяц назад +5

    Ubarikiwe sana sana namuomba Mwenyzi Mungu niwe kama wewe

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Месяц назад +7

    Natamani nichangie elfu kumi katika "mradi" huu 😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 Месяц назад +10

    Mungu akiniajalia nitafanya zaid ya hichiiii

  • @Amosmpaji
    @Amosmpaji Месяц назад +2

    Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na hiyo ndio Siri kubwa ya kuwa tajiri

  • @Boraimani
    @Boraimani 14 дней назад

    Naandika huu ujumbe huku natokwa na machozi ya wivu mkubwa....Namuonea Sana Wivu huyu Ndugu yangu Saidi Lugumi kwa Mambo makubwa anayofanya...Hakika yananifurahisha mno kwasababu mwenzangu anafanya hivi ili kupata radhi za Mwenyezimungu....Sina la kusema zaid ya kukupa Hongera sana Bwana Lugumi Mungu akupe zaidi ya unachotoa insha'Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zaharanakim289
    @zaharanakim289 Месяц назад +2

    Mwenyezi mungu akupe afya njema na akuongezee umli

  • @abdallahamanzi8337
    @abdallahamanzi8337 Месяц назад +5

    Salamu ziwafikie na matajiri wengine wa kiislam mukifanya hivi matajiri wote mtafanya waislam wasiojuwa dini yao vizuri washindwe kuritadishwa na oneni wivu wa maendeleo ya dini yenu .... kila Muslim mwenye uwezo ashindane na mwenzake kweny mambo y akheri haya uwanja wenuuu jamaa ndio kashaanza

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ Месяц назад +4

    From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Lugumi kwa Fadhila hii🎉🎉🎉
    Karibu: Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM

  • @jasiri25
    @jasiri25 Месяц назад +3

    😢😢😢😢2013 Duuh huyu ni mtu

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Месяц назад +2

    Allah akubaariki

  • @AllyDom-o8n
    @AllyDom-o8n 23 дня назад

    Masha allah allah akuongoze mpaka akhera

  • @SEMBULILyimo
    @SEMBULILyimo Месяц назад +1

    Mwenyezi mungu akujalie neema

  • @AllyMbarouk-q4h
    @AllyMbarouk-q4h 13 дней назад

    Kila la kheri kaka MWENYEZ MUNGU akulipe kila zaidi ya ulichokifany

  • @LovelyMountainLandscape-dd4xe
    @LovelyMountainLandscape-dd4xe Месяц назад +1

    Mungu akuweke miaka mingi sana

  • @NayMatinga
    @NayMatinga Месяц назад +1

    Mungu amuwek said lugumi any time Ana smell

  • @adhacho4490
    @adhacho4490 Месяц назад +4

    Ila huu mziki usiwaekee unawapatisha zambi

  • @MisMona-oo6zk
    @MisMona-oo6zk Месяц назад +1

    Mashaallah

  • @TemekeBoy-z3m
    @TemekeBoy-z3m Месяц назад +1

    Huyu mwamba ananitoa machozi ya furaha hata kama aliwahi kuwa MTU mbaya mungu asamhee

  • @ZubedaMgozi
    @ZubedaMgozi Месяц назад

    Allah akulipe hapa duniani na akhera,na akupe umri mrefu .

  • @Salma-u5d3t
    @Salma-u5d3t Месяц назад

    Alllsh akupe afya njema

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th Месяц назад +1

    Na washindane wenye kushidana kwenye kheri,

  • @gideongerald2846
    @gideongerald2846 Месяц назад +1

    Wachache sana wenye akili kama zako

  • @nassorosaid-rp4dn
    @nassorosaid-rp4dn Месяц назад +1

    Huyu sasa ndo tajiri wa kweli sio hao wengine ungeona show off nyingi mara mabodigadi mara mazingaombwe kibao 😂lakin mwamba kachiri tu

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Месяц назад

    Pls waogoze kwenye njia ya kheri ili update malipo ya kheri Kwa mungu

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 Месяц назад

    Katika ulimwengu huu tutayaona mengi.

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Месяц назад +3

    Kwahyo anafanya kazi ya kutusahaulisha 😂,,,kwa walio zalwa 2000 hamuwez elewa au bas

    • @ibnbaazalrufiji1468
      @ibnbaazalrufiji1468 Месяц назад

      Kwacc great thinkers tushaelewa xana

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 Месяц назад

      Laundry

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад

      Kuna vitu vitatu hapa ukiambiwa ujibu utabaki huna jibu.
      1: Ushahidi
      2: Uhakika
      3: Uthibitisho
      4: Nani kamkuta na hatia
      Na la mwisho ukiwa hivi ujanani basi ukizeeka ww ni mchawi.

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 Месяц назад

      @GeorgeAkasha-zx2rj wewe ni jaji????

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Месяц назад

      @jeremiahcharles6027 Usipende kuongea au kuandika vitu usivyo na uhakika navyo sana mkuu la sivyo dera utavalishwa.

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Месяц назад +2

    Lugumi muhuni tu kwanza hajasoma amepataje pesa

    • @muddymadenge9957
      @muddymadenge9957 Месяц назад

      Azam ana masters au

    • @MustafaHassanii
      @MustafaHassanii Месяц назад +1

      Matajir 90% dunian hawajaasoma tembea uone lakin pia ww umesoma unann zaidi ya makasiliko😂😂😂

    • @MustafaHassanii
      @MustafaHassanii Месяц назад

      Matajir 90% dunian hawajaasoma tembea uone lakin pia ww umesoma unann zaidi ya makasiliko😂😂😂

    • @paschalpaul3862
      @paschalpaul3862 Месяц назад

      Hizo pesa za walipa kodi maana huyu alikuwa na network kwenye miradi mikubwa ya serkali na hivyo walikuwa wanachota tu pesa za serkali

    • @FelixpascalFelix
      @FelixpascalFelix Месяц назад

      Kama alichota anajalibu kurudisha kwa wenye uhitaji ​@@paschalpaul3862