Asante sana Mchungaji kwa huduma yenye upako wa Yesu kristo Pia tumepata kufaamu majina kamili ya Mungu. Amina Baba Mchungaji Moses Magembe, ulinzi wa Mungu ukulinde Siku zote.
Mungu azidi kukutia nguvu mzee wangu, I can’t wait the lunch of the platform, naitaji sana vitabu vyote VYA baba Mchungaji, naviitaji sana kama ni kununua digital copy I am ready, Pastor Zani from Lexington Kentucky USA. Asante Mc Yohana kwa kazi hizo. Mungu akupe nguvu na maarifa zaidi
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU ruclips.net/video/r3gsfk3zbDQ/видео.html MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka. Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita. Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu. Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full. Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻 Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻
Amina sanaaa kwa Mungu kwa namna anaendelea kusaidia kuwatumia na kuwawezesha kuufikia ulimwengu kwa injili ya kweli Mbarikiwe saanaaa, songwe tumewakumbuka Tena karibuni saana
Mafundi mitambo wa kurusha haya matangazo jitahidini sana kuseti mitambo mapema na kuhakikisha sauti inakaa sawa mapema kabla ya kuanza kuwa live. Inasababisha mtu unakaa na remote muda wote kupandisha na kushusha sauti muda wote mana unaweza kuunguza spika. Hope litafanyiwa kazi.
Asante sana Mchungaji kwa huduma yenye upako wa Yesu kristo Pia tumepata kufaamu majina kamili ya Mungu. Amina Baba Mchungaji Moses Magembe, ulinzi wa Mungu ukulinde Siku zote.
Live Long bishop Moses magembe , at Moshi now I receive this living word.
Baba NAKUPENDA SANA, Mungu akupe maisha malefu
Digital platform ije kweli ili kuondoa Kukatika kwa Sauti na picha kila wakati
Jamani somo ni zuri sana ila sauti kukatakata ndiyo shida jamani watu wamitambo muwe mnajitahidi wapendwa. Nampenda sana mtumishi wa Mungu magembe
Hii ni Habari njema saaaana Mungu akubariki sana Moses
Mungu azidi kukutia nguvu mzee wangu, I can’t wait the lunch of the platform, naitaji sana vitabu vyote VYA baba Mchungaji, naviitaji sana kama ni kununua digital copy I am ready, Pastor Zani from Lexington Kentucky USA. Asante Mc Yohana kwa kazi hizo. Mungu akupe nguvu na maarifa zaidi
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU
ruclips.net/video/r3gsfk3zbDQ/видео.html
MPWAPWA-DODOMA:
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa.
Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka.
Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita.
Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu.
Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full.
Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻
Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻
Somo nzuri barikiwa sana mtumishi,ila sauti inakatakata
Amina sana mchungaji moses magembe
Amina sanaaa kwa Mungu kwa namna anaendelea kusaidia kuwatumia na kuwawezesha kuufikia ulimwengu kwa injili ya kweli
Mbarikiwe saanaaa, songwe tumewakumbuka Tena karibuni saana
Kwakwer barikiwa namitakua moja wawanafunz. Wakoo
Asee unanipa ujasiri sana Mchungaji Moses Magembe
Amina San baba kwa somo nzur
Jamani fundi tunapotezapointinyingi jitahidi kuweka vizuli mitambo
Mungu awabariki
Amina Baba
Wow this is nice
Somo zuri Sana shida Sauti inatunyima raha
Wauuuuuuu hii nitamu sn ilainakatakata , napenda hizi habari, mungu akubariki baba
Watu wa media plz mnatukosesha mtiririko mzuri wa mahubiri. Naomba mjitahidi kutatua matatizo ya kukata sauti mara kwa mara
Amina
Naitaji Kusoma na ishi Finland naitaji maelekezo kwa kina zaidi
Mafundi mitambo wa kurusha haya matangazo jitahidini sana kuseti mitambo mapema na kuhakikisha sauti inakaa sawa mapema kabla ya kuanza kuwa live. Inasababisha mtu unakaa na remote muda wote kupandisha na kushusha sauti muda wote mana unaweza kuunguza spika. Hope litafanyiwa kazi.
Amina,amina,amina babaaa!
Hii ndo injili ambayo dunia inapaswa kusikiliza wakati huu wa kipindi hiki cha nyakati hizi za mwisho tulizo nazo
Watu wa Media kueni makini mnatunyima chakula chote cha uzima inakatakata sauti
Tunashukuru sana kwazile maonyi mapya baba, Niko Bukavu RDC
Hii ndio injili moto moto
🙏
🎉
Asante