"Mawazo" Sehemu Ya 57 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 авг 2024
  • Kwa MaonI, Ushauri Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba (0747-744744 CHOMOZA MEDIA LIMITED) Au Kwa Barua Pepe Email. chomozamaoni@gmail.com
    Pia Unaweza Kutufatilia Facebook @ChomozaTV Na Istagram @chomozanews TikTok ChomozaTV
    Mungu Wetu Wa Mbiguni Akubariki......Endelea Kujifunza Na Kushare Mafundisho Haya Kwa Rafiki Na Nduguzo
    Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    RUclips : www.youtube.com...
    #ChomozaTv#2024
    🔥🔥🔥

Комментарии • 22

  • @mussahajihassan2580
    @mussahajihassan2580 3 месяца назад +5

    Ubongo tiririka!
    Hafelishaji watu Dr. Balaa❤

  • @NabsonKifuge
    @NabsonKifuge 3 месяца назад +6

    Umenifanya kuwa mpya kuhusu somo hili la furaha nimesahau mpaka mapito yangu Mungu wetu akutunze Dr Ellie na timu nzima ya chomoza

  • @edwinkimambo9473
    @edwinkimambo9473 3 месяца назад +4

    Nimechelewa Leo class daa nondo juyanondo hongera doctor

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 месяца назад

    Daaaaah Asante sana studio

  • @enockmpagike7607
    @enockmpagike7607 3 месяца назад +3

    Asante sana Dr Elie ni miaka sasa nimekuwa imara sana kwenye maisha kupitia hiki kipindi mungu awape afya daima ili tuzidi elimika daima na kuwa furaha, Nachojivunia nilishawahi kukutanaa nawe uso kwa uso🙏 Asante mungu💪

  • @erastoleonard1124
    @erastoleonard1124 3 месяца назад +2

    Mungu azidi kukutumia bab yetu dr elie

  • @jerrydenis7165
    @jerrydenis7165 3 месяца назад +4

    doctor umenikomboa sana nimebadilika hadi nashangaa nawaona watu ndani nje uongo nauona waziwazi kweli watu wengi tu wasanii na wanafiki lakini mbona kama nakumbwa na upweke hayupo wa kufanana na mm ila najilazimisha kukaa nao

  • @ShakiraMussa-yr2hj
    @ShakiraMussa-yr2hj 3 месяца назад +4

    Leo ninekuwa WA kwanza

  • @IgnasJohn-sv4vn
    @IgnasJohn-sv4vn 3 месяца назад +2

    Docta we nizaidi ya shule.

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 3 месяца назад +3

    Furaha ni matokeo ya (JOY) JOY ni hali ya tabasamu kama vile mtoto mchanga ndani ya mtu milele Furaha ni matokeo ya JOY. HAKI, AMANI. HAKI ni balance kati ya mema na mabaya.AMANI ni mazingira ya utulivu. ❤🎉 Nimejifunza ,asante Chomoza. Pongezi Dr Ellie .Nimejifunza.

  • @ShakiraMussa-yr2hj
    @ShakiraMussa-yr2hj 3 месяца назад +4

    Leo nimekuwa WA kwanza ...kukoment...huu ndio umuhim WA kusubscribe et

  • @ebonybhoke5321
    @ebonybhoke5321 3 месяца назад +1

    Kwa kweli Dr Ellie wewe unagusa sana maisha ya watu , kuna mafundisho uako yamebadilisha sana maisha yangu haswa lile somo la mkao wa mwanamke ktk ndoa,sasa ndoa ina furaha sana,barikiwa dr Ellie

  • @subirasamson4242
    @subirasamson4242 3 месяца назад +2

    Tunafurahi kuona mkitusaidia ku upload mapema..asanteni

  • @user-ly5gd2zc7u
    @user-ly5gd2zc7u 3 месяца назад +1

    😊❤

  • @allymlagha8384
    @allymlagha8384 3 месяца назад +1

    knowledge iko deep sana hii

  • @simpozeboy9490
    @simpozeboy9490 3 месяца назад +1

    🔥🔥

  • @user-tu8se3oo7u
    @user-tu8se3oo7u 3 месяца назад +1

    🙏

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 3 месяца назад

    Barikiwa sana doctor Elie

  • @ShakiraMussa-yr2hj
    @ShakiraMussa-yr2hj 3 месяца назад +2

    Muda WA kulisha ubongo

  • @josephatyunga202
    @josephatyunga202 3 месяца назад

    Mungu akubariki Dr,

  • @ishemwabulayusuph5418
    @ishemwabulayusuph5418 3 месяца назад +1

    Nipo mapema darasani tayari

  • @user-kx8ki9ct6h
    @user-kx8ki9ct6h 3 месяца назад

    Kila siku nawaza kujiuwa niki angalia kipindi napata moyo lakini naada ya mda na kata tamaa tena sijui nakosea wapi