Yani Tanzania inanisikitisha sana nchi yangu sasa mnamkosaje uyo mwanamke uyo afande na angalikua uyo dada anajua mme wa uyo mwanajeshi akimpata uyo baba mkewe kapatikana jamani uyo dada atendewe aki
Ndio mjue serikali inamambo mazito utovu wa nidhamu tabia mbaya za malezi maadili mabovu na kutomjua Mungu yoote hayo hutaka serikali itulee mpaka tabia na malezi bora waliyoshindwa wazazi hulaumiwa serikali halafu watu wakinyongwa au kufungwa maisha ili kushikisha wengine adabu halafu inatokea mijitu kupindisha haki ikijifanya ni watetezi wa haki za kibinadamu mbaya zaidi mibeberu sasa imekaa kimya as if haijui kinachoendelea baada ya serikali kuonyesha makali wanakuja kukutetea wahalifu, tukiona wenzetu nchi za kiarabu kumuangalia mara mbili tu mwanamke usiemjua hujamaliza hata nusu saa unakamatwa na kesi yake unalipa fidia ambayo pesa yake hujawahi hata kuota kuwa nayo unafungwa mpaka unaona nyekundu hutoki jela na ukitoka mzee unarudishwa kwenu ama unyongwe tunaona ni wanyama, mambo mengine yanahitaji maamuzi magumu na siyo siasa, wakati magufuli akifungia NGO's alikuwa anaonekana doctor ilikuwa ni hatua nzuri ya kupambana na wapuuzi kama hawa ambao mwishowake wanakuja kukutetewa na hizo ngo's sasa watu wanailaumu serikali tutapata maendeleo lini sisi waafrika kila kukicha ni drama tu.
Kama ningekuwa raisi hao kesi yao ni kunyongwa hadharani mpaka kufa maana muathirika mpaka sasa ni sawa na marehemu anaeishi, na mwanaume alie lala nae pamoja na mke wake wakamatwe na kufungwa maisha maana mshiriki kosa na mfanya kosa wote ni wakosaji. Ifike wakati mambo kama haya ya uzinzi na zinaa yatolewe hukumu kulingana na imani ya mtu maana hukumu za watu kama hawa zipo ndani ya Bibilia na Quran tukufu.
Na lile tukio la yule kaka kuingizwa chupa na mbunge tena mwanamke mbona hamkuandamana mwanamke mwenzenu alichokifanya km sio udhalilishaji mbona mmekaa kimya
Binafsi nimeumia sanaaa na tukio hili. Utu wetu upo wapi watanzania? Je hao vijana hawana madada, hawana wadogo zao? Wanajisikiaje watakapoambiwa dada au.mdogo wao kafanyiwa waliyoyafanya kwa mdogo wa mtu? Mtoto wa mtu
Huyu Binti ajitokeze tu maana UTAJIRI unamsubiri..ajitokeze asimamie hii Kesi ,Jamii itasimama nae halaf ikimpendeza ahame hata Nchi za Jirani akutulie hawa wapuzi watafungwa na kulipa Fidia
Kwani huyo Msichana yy hayaoni yanayoendelea au kafa hajatoa siri kwao Subhannallah pengine tukio la siku nyingi ya Rabbi eeh Mungu saidia apatikane huyo bint maana ametuliza mno 😢
Hamna lolote Ayo tv mpo kupoza makali ya watuhumiwa kukamatwa! Badala ya kusaka wabakaji na alowatuma " nyie Mnahangaika kumsaka binti au ndugu wa binti ili iweje?!!!
Wale wa Kaka n'a yulemama ni walaaniwa mtupu akuna chochote. Kwani ww mama mzima una Pata je ujasiri waku itai zo kk zote zi mbake dada mumoja? Mungu Awa samehe sana yani 😭😭😭😭😭😭😭 dada pole sana Ila usi rudie tena kipenza
Hili silo la kulifumbia macho KABBISA, Yan kama nakuona huyo dada ni jinsi gan anavyojiskia machungu huko aliko jaman, Na huyo afande ilitakiwa adili na huyo mumewe mana kama katembea nae ni walikubaliana,, sasa ona kamdhalilisha mwenzie kwa kulingia cheo chake daaaah!! Inauma sanaaaa😭😭
Jamani serikali mi naomba kuona mkono mrefu mlionao ili mniongezee trust just help the girl to get her justice 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nataman serikali ingeweka Sheria ya mtu yeyote anae fanya ujinga kama huu anyongwe apotezwe inauma sana zaid zaid ni kuizalilisha nchi yetu kudhalau serikali yetu kwa viwango vikubwa jaman fanya kitu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kipo chakujifunza apo maana atammi nimma pia naumia ila wattowetu wajifunze kuwa na adabu na kuwa watii kwa wazazi wao maana wanajiona waondio warembo kuliko wote kumbe wanakimbilia majukumu yasio Yao wanangu mtulie muda wako ukifika utapata mumewako aliye sahihikwako
Tatizo hawa watt wetu wa siku hizi hawaogopi kitu enzi za utoto wetu husubutu hata mwanaume kukugusa na hilo jambo la tendo la ni lawana ndoa tu sasa sijui hawa watt wa sasa hayo matamanio wanayatolea wapi hii zinaa imekuwa ndo biashara kubwa ni hatari hii😢😢
Polis kampata nakafanya yake serikali masaa yote hayo hawajampata nani ajuae huenda amefarik hilo la kwanza au alidanganya location yake achukuliwe suggar daddyy huyo anataarifa zakutosha alfu kwann mhangaishwa na muhanga hao majibwa nayo hayaonekani ...?
She is family is at kigoma ,sagala area ,her family member report in you tube and they don't hav watt up and smart fone ,according you tube not from that area
wee kwel huna akili fundisho gan ilo km angekuw mdogo wako ungejiskiaje😢kuna fundisho lkn sio ilo ni uzalilishaji kwan uyo mume hakujuw km ana mke mpk atongoze watoto wadogo
@@nasrasway7143 sikufungwa tu wanyongwe kabsa hadharan kama walivyomzalilisha mtoto wa kike kiasi hicho kisa pesa waliolipwa huu ni uharibifu na huy afande wao nae anyone kasoro serekal yetu wanapuuzia ujinga kama huu
Pole binti yangu pole sana wasichana wengine watoto wangu jifunzeni kitu acheni kutembea na waume wa watu na kujinadi kumekuwa na tabia mbaya sana sikuizi dunia imeharibika watu wamekuwa wanyama hata vijana wakiume acheni kutembea na wake za watu jamani
Point mbali na maumivu aliyo yapata mdogo wetu lakini naombeni liwe nifundisho kwa dada zetu wadogo zetu na mama zetu wanao tembea na wanaume za watu pia liwe fundisho kwa wababa kaka na vijana wanao tembea na wake za watu jamani tumludie mungu tumuhofu yeye dunian tunapita duani tuwasafili . Tumludie mungu wetu wa mbinguni
Kama hujasoma cuba kuna mawili eidha hii issue ilitengenezwa au yule Dada alitishiwa akapewa maelekezo aseme katokea huku yombo kumbe mtoto wa watu anaishi mkoani huko..... Walishasoma game wenzetu unakuta tunahangaika na yombo kumbe sio
huyo msichana simjui ila hao wakaka waliofanya ivyo nawajua hao wanajiita 45 wanakaa hapo hapo yombo ila huko nyuma kidogo panaitwa makaburi ya site ndo maskani yao jaman niko mbali tu ila hao watu wanafahamika ni wahuni na iyo ndo kazi yao
Mmmhh sizan kama yupo hai huyu binti kwa selikali yetu hii huenda wameshapoteza ushahidi kwani yeye mbona kama yupo hulu kwanin hatokei kusaidia selikali imtendee haki na sisi binadamu tunatamani tusikie neno kuhusu maisha yake na hao watendaji wa kitendo kile
Yaan hii nchi bhana yule aliyechoma picha ya rais alikamatwa cku moja tu sasa kwann huyu askari asikamatwe haraka na hao waliombaka wakamatwe ety mnasema tusaidiwe hao wanaopiga matukio kwa viongoz mbona mnakamata wenyewe na mnakamata chap jamani ila tanzania bhana hospital usipokua na hela huhudumiw raia asipokua na hela hafatiliwi kah ila jamani
Hili swala halina nguvu sna Kwa hii nchi yetu imeisha hyo eti mpaka upelelezi ukamilike kwani selekari si inamkono mrefu inashindwa vp kuwakamata mpaka sisi wananchi mnataka kutuuzia kesi km mmeshindwa bac mungu atawapa adhabu Kali sna
Kwani huyo binti mpaka sasa hajajulikana alipo kiukweli serikali ichukue hatua inaumiza sana hiki kitendo tena kufanywa na askari ,,hata kama amemfanyia alirekodi ili iweje,,,kiukweli Tanzania tunakoelekea siko
Kupatikana kwa hao watuhumiwa lazima huyo binti apatikane na atoe ushirikiano kwa kumtaja mhusika anae toka nae kimapenzi ili mkewe apatikane kirusi kikubwa ni afande hao wengine ni chawa tu maji ya moto yanawatosha
Jamani na nyie wandishi wa habari mnatakiwa mambo ya umbea muwe mnayaacha, mtoto kazalilishwa, bado na nyie mnataka kuendelea kumzalilisha, kutafuta huyo mtoto na wazazi wake, je kwa mfano awe ndo mtoto wenu mngejisikiaje? Yamepita yamepita mnawatafuta wazazi wake wa nini punguzeni umbea
Huyo mtoto yuko hai. Inashindikana vipi kujua anakaa wapi? Si achukuliwe aonyeshe anakokaa na pia huyo Afande kama ni kweli anatembea na mme wake? Na kuna ugumu gani kuwakamata hao wahalifu na picha zao wakiwa wamekamatwa zionyeshwe.
Vipi huyo msichana yupo kweli minahisi kauliwa kupoteza ushahidi Angekuepo basi tungemsikia mwenyewe akilalamika Ila selekari haijawahi shindwa ikiwa mcoma picha mcholaji tu alikamatwa ndani ya masaa 24 Na mpaka sasa haelweki yuko wapi kwanini hizi mbwa tena za huko selekarini kabisa wasikamatwe wakamatwe wao ndo watasema huyo binti wamempeleka wapi??
😂😂 hao vijana wa kikamatwa na dhamini chakula maabusu mpaka wanatoka kazi nzuri kwao wame mmwaga mavi😂😂😂 iyo safi sana ndo dawa yenu mbwa nyi mtakao kuja kucoment
😢😢 Yule kaka alivyochoma picha ya raisi mda huohuo alikamatwa huyu dada alivhofanyiwa eti waharifu hawajakamatwa na wakati sura zao zinaonekana aiseeeeee tunataka haki
Acheni kutumia matatizo ya mtu kujitengenezea pesa,sijaona ulazima wakwenda mtaani kwake kumuulizie kwani hiyo hali ni mbaya kwake kisaikolojia kama mngekuwa manataka habati mngeenda kwenye kambi za jeshi kuhoji kama wale vijana wanafahamika kwenye jeshi lao
Polisi wanakatishwa Nia wanapo kamata majambazi na kutumia kazi zao za kipolisi ili wabaini na majambazi wengine utasikia maneno eti polisi wanatesa watu je jambazi ni mtu?,ayati makofuli alisema lisasi lilitengenezwa kwa ajili ya jambazi majambazi walio shindikana ua,
Yani Tanzania inanisikitisha sana nchi yangu sasa mnamkosaje uyo mwanamke uyo afande na angalikua uyo dada anajua mme wa uyo mwanajeshi akimpata uyo baba mkewe kapatikana jamani uyo dada atendewe aki
Me nataka nione makali ya serikali yani ikipita week hao jamaa awajakamatwa me ntakuwa wa kwanza kuilaani serikali
Umechelew san
Ndio mjue serikali inamambo mazito utovu wa nidhamu tabia mbaya za malezi maadili mabovu na kutomjua Mungu yoote hayo hutaka serikali itulee mpaka tabia na malezi bora waliyoshindwa wazazi hulaumiwa serikali halafu watu wakinyongwa au kufungwa maisha ili kushikisha wengine adabu halafu inatokea mijitu kupindisha haki ikijifanya ni watetezi wa haki za kibinadamu mbaya zaidi mibeberu sasa imekaa kimya as if haijui kinachoendelea baada ya serikali kuonyesha makali wanakuja kukutetea wahalifu, tukiona wenzetu nchi za kiarabu kumuangalia mara mbili tu mwanamke usiemjua hujamaliza hata nusu saa unakamatwa na kesi yake unalipa fidia ambayo pesa yake hujawahi hata kuota kuwa nayo unafungwa mpaka unaona nyekundu hutoki jela na ukitoka mzee unarudishwa kwenu ama unyongwe tunaona ni wanyama, mambo mengine yanahitaji maamuzi magumu na siyo siasa, wakati magufuli akifungia NGO's alikuwa anaonekana doctor ilikuwa ni hatua nzuri ya kupambana na wapuuzi kama hawa ambao mwishowake wanakuja kukutetewa na hizo ngo's sasa watu wanailaumu serikali tutapata maendeleo lini sisi waafrika kila kukicha ni drama tu.
Kama ningekuwa raisi hao kesi yao ni kunyongwa hadharani mpaka kufa maana muathirika mpaka sasa ni sawa na marehemu anaeishi, na mwanaume alie lala nae pamoja na mke wake wakamatwe na kufungwa maisha maana mshiriki kosa na mfanya kosa wote ni wakosaji. Ifike wakati mambo kama haya ya uzinzi na zinaa yatolewe hukumu kulingana na imani ya mtu maana hukumu za watu kama hawa zipo ndani ya Bibilia na Quran tukufu.
Ifike wakati masaala ya kijamii ziachiwe taasisi za dini ili kupunguza mzigo wa majukumu ya serikali.
Ndo mana hujawa Rais na huna vigezo vya kuwa Rais@@nassercurtis9579
Aliyekuwa anachoma picha ya Samia alikamatwa dakika hiyo hiyo na kupotezwa. Na wahusika wa kubaka hawajakamatwa. Ngoja tuangalie panapovuja.
Ndio Tanzania ilivyokuwa kwa sasa na wananchi hatuna umoja
Samahani kdg,
Alipotezwa? Mbona Kama aliachiwa huru?
Aliukumia miaka.miwili jela@@superwomanmwenyeheri.1367
Ndo ujue wa tz mnabebwa ufala kama ni kenya sai wangekuwa ndani
Malezi yetu yanafanya tufikie hapo
Machangudoa ni we ngi mitaani
Mtoto msg ana beba Baba wa wenzie
Halafu hakuulika I alipo
Kumjua sio kazi bhan wakamate vijana wale afu na uyo aliewatuma Binti atapatikana tu
C wanajizima data Tu
Hiyo sio KUFANYA mapenz TOA NENO KUFANYA mapenz 😢
Yes your right.
MilardAyo ni Chombo Bora chenye Ukweli kabisa. God bless you 🙏
Jaman wanawake tuandamane kwa hili ni uzalilishaji kwa ss wanawake nimeumia sana kama me ndo nayapata maumiv na ikiwezekana tuandamane huu ni ujinga😊
Sio tu wanawake hii haikubaliki ktk jamii yetu yote imagine huyu mtoto ataishi vipi wamemsababishia mental disorder
Ujue shida ni sheria zetu kua legevu kiasi kwamba watu wanafanya uhalifu ila hawachukuliwi hatua kali zitazofanya wengine waogope
Na lile tukio la yule kaka kuingizwa chupa na mbunge tena mwanamke mbona hamkuandamana mwanamke mwenzenu alichokifanya km sio udhalilishaji mbona mmekaa kimya
Kikubwa muache umalay
Umalaya tu kwani kama sio umalaya yange mkuta hayo
Binafsi nimeumia sanaaa na tukio hili. Utu wetu upo wapi watanzania? Je hao vijana hawana madada, hawana wadogo zao? Wanajisikiaje watakapoambiwa dada au.mdogo wao kafanyiwa waliyoyafanya kwa mdogo wa mtu? Mtoto wa mtu
Wamemzalilisha sana uyu mdada😭😭😭😭
Mamb
Serikali Ina mkono mrefu ,.ndio tuuone sasa😢
Innalilah waina ilah rajuun
Kuhoji watu kuhusu tukio lile ni kuendelea kumdhalilisha yule msichana. Nyie hojini serikali imefikia wapi na hawa mbwa inabidi wanyongwe.
Huyu Binti ajitokeze tu maana UTAJIRI unamsubiri..ajitokeze asimamie hii Kesi ,Jamii itasimama nae halaf ikimpendeza ahame hata Nchi za Jirani akutulie hawa wapuzi watafungwa na kulipa Fidia
Kupatikana kwa afande mume. Wake atowe ushirikiyano WA mke wake yupo wapi mama gwajima plz ushiriysno wako tunakuamini Sana rais wetu mama samiya plz
Duu imeniuma kwakwel jaman haa umfanyie mtoto wa mwenzako hvyo kwel lakin na ww ni mwanamke hujui kesho yako jaman haaa, Mungu wang
Angekua kafanyiwa mtoto wa kiongoz au tajiri jambo hili isingekua story ni utekelezaji chap
Wangewakamata hao mapolisi watasema huyo dem walimtoa wapi na huyo polic wakike ndiyeatasema. Huyodem kamtoa wapi pengine wamemuua aukumteka. Maana kwakitendokile laazima hatakuaameenda hospitali. Hawezikukaatu sikuzote.
Mwanajeshi mmoja kajulikana mbona wasimkamate huyo nchi ya hovyo hovyo hiyo ati Askari toka Dodoma inaudhi kabisa
Kwani huyo Msichana yy hayaoni yanayoendelea au kafa hajatoa siri kwao Subhannallah pengine tukio la siku nyingi ya Rabbi eeh Mungu saidia apatikane huyo bint maana ametuliza mno 😢
Fact !
Sura ya inaonekana vizuri sana aliyefanya kitendo hiki. ila mnaangaika na kumtafuta msichana.. endeleen kuficha ficha maovu..
Hii ni tv ya machawa hawezi kufanya yaliyokweli bila uchawa na usaliti wa haki za jamii
Hamna lolote Ayo tv mpo kupoza makali ya watuhumiwa kukamatwa!
Badala ya kusaka wabakaji na alowatuma " nyie Mnahangaika kumsaka binti au ndugu wa binti ili iweje?!!!
Hiyo ni kazi ya POLISI na siyo kazi ya Muandishi wa Habari. Kazi yao nikukuhabarisha
Watawafumgaje aliye fanywa tukio hawamjui
Kwa maelezo ya mwandishi huyu sion dalil ya haki kutendeka😢
Kwani si mutafute sm yakwanza iliyo tuma iyo tarifa kwani kunashida gani apo😊
Wale wa Kaka n'a yulemama ni walaaniwa mtupu akuna chochote. Kwani ww mama mzima una Pata je ujasiri waku itai zo kk zote zi mbake dada mumoja? Mungu Awa samehe sana yani 😭😭😭😭😭😭😭 dada pole sana Ila usi rudie tena kipenza
Haina haja ya kukamatwa Bali wapigwe risasi wafe
Na huyo afande aliowatuma jeshi limuue hadharani
Ile video sikuweza kuitazama full maana nilitaka kumwaga machozi 😢😢
Ama ulijikuta ukimwaga 🤣🤣
@@tamimbinaltan1325 daah, mkomwe wako 😂😂
@@KibweOnlineTv 🤣🤣
@@KibweOnlineTv😂😂😂😂😂😂
@@tamimbinaltan1325😂😂😂😂
Hili silo la kulifumbia macho KABBISA, Yan kama nakuona huyo dada ni jinsi gan anavyojiskia machungu huko aliko jaman, Na huyo afande ilitakiwa adili na huyo mumewe mana kama katembea nae ni walikubaliana,, sasa ona kamdhalilisha mwenzie kwa kulingia cheo chake daaaah!! Inauma sanaaaa😭😭
Angekuaa kapuku mlala nja angexha kamatwa kixa uyo Mama anacheo serikalin ndo asikamatwe afugwee
Maneno mengi lakini hamna kitu kitafanyika hili litapita tu shwaaaa 😢 na hamna sikia kitu tena
Ule ni ukatili kabisa Yani Binti wawatu Yani masela watano 😢😢😢 sad moment again,. Serikali wekeni jitihada stahiki 🙏🙏
Serikali ina mambo mengi sana asee
Naomba niione dear😢😢
@@user-qy6ge9tq2q Usitamani kuangalia kama una roho ndogo tuma namba nikirushie inbox kwako
@@user-qy6ge9tq2q😢😢😢
Na sisi wanawake tupunguze uroho wa ela ayo niulafi wa kipesa, turidhike nakidogo tupatacho natuache kuingilia mapenz yawatu 😢😢
Kwanini mwanaume akubakwa
Acha ujinga hii sio sababu ya kumfanyia huu ukatili
@@janetmutashubilwa3041acha makasiriko Kwa kifupi punguzeni tamaa za kijinga
siyo kwa ukatili alofanyiwa huyo binti. fanya huyo ni ndugu yako amefanyiwa hayo ungeongea hayo maneno?
@@enockmadati7822 ninge mwambia ukome
Jamani serikali mi naomba kuona mkono mrefu mlionao ili mniongezee trust just help the girl to get her justice 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Labda alidanganya kwa usalama wake zaidi
Nchi niyao bwana wafanye watakavyo nakama hamtoamin kesi itafutwa tu . Angekua magu mapema sana sakata lingekua lishaisha zamaaan
Naomba mama Samia achikue atua
Nataman serikali ingeweka Sheria ya mtu yeyote anae fanya ujinga kama huu anyongwe apotezwe inauma sana zaid zaid ni kuizalilisha nchi yetu kudhalau serikali yetu kwa viwango vikubwa jaman fanya kitu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kipo chakujifunza apo maana atammi nimma pia naumia ila wattowetu wajifunze kuwa na adabu na kuwa watii kwa wazazi wao maana wanajiona waondio warembo kuliko wote kumbe wanakimbilia majukumu yasio Yao wanangu mtulie muda wako ukifika utapata mumewako aliye sahihikwako
Tatizo hawa watt wetu wa siku hizi hawaogopi kitu enzi za utoto wetu husubutu hata mwanaume kukugusa na hilo jambo la tendo la ni lawana ndoa tu sasa sijui hawa watt wa sasa hayo matamanio wanayatolea wapi hii zinaa imekuwa ndo biashara kubwa ni hatari hii😢😢
Kwani yeye kama hajaambiwa atajuaje kama ni mme wa mtu? Wanaume sikuizi wamekuwa wa ovyo kupindukia wanashindwa kutulia kwenye ndoa zao na wake zao
@@mastidiawamara1264dada mwingine unamfata una mwambia huyo ni mume wangu kaa nae mbali anakujibu kunya utamfanyaje mtu kama huyo
Polis kampata nakafanya yake serikali masaa yote hayo hawajampata nani ajuae huenda amefarik hilo la kwanza au alidanganya location yake achukuliwe suggar daddyy huyo anataarifa zakutosha alfu kwann mhangaishwa na muhanga hao majibwa nayo hayaonekani ...?
She is family is at kigoma ,sagala area ,her family member report in you tube and they don't hav watt up and smart fone ,according you tube not from that area
Wameshakamatwa
Mungu tuponyee3
Polisi wametoka Dodoma 😎
Ni rahisi sana kuwapata wanao husika na makosa ya mtandaoni wanawakamata dk zero tu
Mmoja wa wahusika kajulikana mpaka namba yake ya simu na kambi ya Jeshi alipo labda ni mtoto wa wakubwa
@@leokamil6284
Hii taarifa umeupata wapi?
Mwenyezi Mungu awaumbue kwa hili walofanya hao wapuuzi
Huyo sijui kama haja fichwa maana Kwa kitendo kile sjui kama anaweza kukimbiya Ina uma sana 😭😭😭😭😭
Mungu atusaidie sisi navizazi vyetu dah inauma sn ubakaji
Nifundisho kwa watt wa 2000 awasikii niwatu wakuaribu ndowa zawatu
wee kwel huna akili fundisho gan ilo km angekuw mdogo wako ungejiskiaje😢kuna fundisho lkn sio ilo ni uzalilishaji kwan uyo mume hakujuw km ana mke mpk atongoze watoto wadogo
Yaan wale wakaka wafungwe maisha jamani wamemvua dada wawatu utu
Unayo?
@@nasrasway7143 sikufungwa tu wanyongwe kabsa hadharan kama walivyomzalilisha mtoto wa kike kiasi hicho kisa pesa waliolipwa huu ni uharibifu na huy afande wao nae anyone kasoro serekal yetu wanapuuzia ujinga kama huu
Na wao wafirwe
@@zeyanasaleh9399acheni kudanga ovyo
Pole binti yangu pole sana wasichana wengine watoto wangu jifunzeni kitu acheni kutembea na waume wa watu na kujinadi kumekuwa na tabia mbaya sana sikuizi dunia imeharibika watu wamekuwa wanyama hata vijana wakiume acheni kutembea na wake za watu jamani
Point mbali na maumivu aliyo yapata mdogo wetu lakini naombeni liwe nifundisho kwa dada zetu wadogo zetu na mama zetu wanao tembea na wanaume za watu pia liwe fundisho kwa wababa kaka na vijana wanao tembea na wake za watu jamani tumludie mungu tumuhofu yeye dunian tunapita duani tuwasafili . Tumludie mungu wetu wa mbinguni
Jamn😢😢😢 mimi nalia sana huku dodoma
oooh pole sana njoo mwanza utanyamaza
Kama hujasoma cuba kuna mawili eidha hii issue ilitengenezwa au yule Dada alitishiwa akapewa maelekezo aseme katokea huku yombo kumbe mtoto wa watu anaishi mkoani huko..... Walishasoma game wenzetu unakuta tunahangaika na yombo kumbe sio
Hii ishu imeumizq sn ki ukweli 😢haki yake itapatikana kwa uwezo wa mungu.......na wahusika watakamatwa
Yaan mambo akifanya askari mambo yanaenda vairo sana aisee
So kitendo kile kwako ni cha kawaida wale wanyama walichokifanya ni sawa. Acheni kutetea unyama... mwanao angefanyiwa unyama ule ungeandika haya?
Yeyote akifanya unataka askali akifanya watu wasiseme watu waseme mtu yeyote akifanya Shelia lpo kwa wote Shelia ni kama msumeno
Kwa sababu hawana akili,wao ndio walizi wa sheria,wanajua hili ni kosa kisheria na bado wanafanya
Kwasababu wao ni walinda amani na sio wavuruga amani hivyo inashangaza kuona anaefaa kulinda amani anaivuruga
Nnjoo Nikufire wewe na Mama ako huko Matakoni kwenu kupunguze kuwasha alau Upate akili kidogo😋😋
Hapo tutaangalia samia ata wapa adhabu gani nauyo askari atamuachisha kazi nakumfunga au ndoatasema kazi iendelee😢😢😢
😢😢😢😢 mungu hamsaidie uyo dada jamn sitak hat kusikia
Mi Nazan ni kweli picha zisisambazwe ila kwa wliokuwanazo wazitumie kuwatafta pia Hao watu tusaidiane jaman tueapate iwe fundisho
Yaani. Ngoja tuone kinachotokea. Ila inaskitisha sana sana. Huu niunyama
Kuna baadhi ya watu akili zao finyu sana, unahukumwa mwenzio kwa ajili ya mume wako utawahukumu wangapi kwenye hii nduniya ...nk
Alafu ukute yaan hata mwanaume hampendi
Ndio watanzania wana roho mbaya kama wanyama
huyo msichana simjui ila hao wakaka waliofanya ivyo nawajua hao wanajiita 45 wanakaa hapo hapo yombo ila huko nyuma kidogo panaitwa makaburi ya site ndo maskani yao jaman niko mbali tu ila hao watu wanafahamika ni wahuni na iyo ndo kazi yao
Au wamemuuwa?? Jamani. Isiwe nikupoteza ushahidi
Mmmhh sizan kama yupo hai huyu binti kwa selikali yetu hii huenda wameshapoteza ushahidi kwani yeye mbona kama yupo hulu kwanin hatokei kusaidia selikali imtendee haki na sisi binadamu tunatamani tusikie neno kuhusu maisha yake na hao watendaji wa kitendo kile
Ndo muachage kutembea na wanaume za watu na kudhan sifa mume wa mtu na mke wa mtu ni sumu
Jmn xhelia ifate mkondo wake Ili swara xo la kukaa.kmy mam xamia tuataka hao watu walofany tukio wapatkane linaxkitisha san😭😭😭
Yaan hii nchi bhana yule aliyechoma picha ya rais alikamatwa cku moja tu sasa kwann huyu askari asikamatwe haraka na hao waliombaka wakamatwe ety mnasema tusaidiwe hao wanaopiga matukio kwa viongoz mbona mnakamata wenyewe na mnakamata chap jamani ila tanzania bhana hospital usipokua na hela huhudumiw raia asipokua na hela hafatiliwi kah ila jamani
Kwanini wasioatikane nahuyo bos alikuwa anatembea nae kama ni polici anajulikana
Lazima wasifahamu kwasababu alieyafanya Hay ni askari lkn mkumbuke malipo ni hapa hapa duniani😢😢
Mungekua mnafany hvo na matukio ya maana yanayoikumba jamii kama lile la watoto kutekwa ingekua vzur sana
WAllah Allah atawalipia hapahapa dunian
Kwa hili kama ingekua utawala wa hayati Dt Magufuli nahisi tukio lingeenda na wengi
Afande anajulikana. vzur achen kutuchora
Hao watyu ni wauaji wakikamatwa ni i kiberiti na petroli
Hili swala halina nguvu sna Kwa hii nchi yetu imeisha hyo eti mpaka upelelezi ukamilike kwani selekari si inamkono mrefu inashindwa vp kuwakamata mpaka sisi wananchi mnataka kutuuzia kesi km mmeshindwa bac mungu atawapa adhabu Kali sna
Mmh tumuombe Mungu wapendwa😢😢😢
Kwel sisi kama watanzania kitendo kwel kinatuuma hasa ikiwezekan wauliwe
Kwani huyo binti mpaka sasa hajajulikana alipo kiukweli serikali ichukue hatua inaumiza sana hiki kitendo tena kufanywa na askari ,,hata kama amemfanyia alirekodi ili iweje,,,kiukweli Tanzania tunakoelekea siko
Kupatikana kwa hao watuhumiwa lazima huyo binti apatikane na atoe ushirikiano kwa kumtaja mhusika anae toka nae kimapenzi ili mkewe apatikane kirusi kikubwa ni afande hao wengine ni chawa tu maji ya moto yanawatosha
Huyo afande anajulikana na yupo uraiani anaendelea na mambbo yake ila serikali yetu hii mungu tusimamiee
Chozi limenitoka kwavideo ile mm kama mama tena mwanamke tena nina bint tena ninawadogo wa kike nimeumia😢😢😢
Serial ichukue hatua jmn😢😮
Jamani na nyie wandishi wa habari mnatakiwa mambo ya umbea muwe mnayaacha, mtoto kazalilishwa, bado na nyie mnataka kuendelea kumzalilisha, kutafuta huyo mtoto na wazazi wake, je kwa mfano awe ndo mtoto wenu mngejisikiaje? Yamepita yamepita mnawatafuta wazazi wake wa nini punguzeni umbea
Huyo mtoto yuko hai. Inashindikana vipi kujua anakaa wapi? Si achukuliwe aonyeshe anakokaa na pia huyo Afande kama ni kweli anatembea na mme wake?
Na kuna ugumu gani kuwakamata hao wahalifu na picha zao wakiwa wamekamatwa zionyeshwe.
Vipi huyo msichana yupo kweli minahisi kauliwa kupoteza ushahidi
Angekuepo basi tungemsikia mwenyewe akilalamika Ila selekari haijawahi shindwa ikiwa mcoma picha mcholaji tu alikamatwa ndani ya masaa 24 Na mpaka sasa haelweki yuko wapi kwanini hizi mbwa tena za huko selekarini kabisa wasikamatwe wakamatwe wao ndo watasema huyo binti wamempeleka wapi??
Duuuuuuh ili kuwapata hao vijana nafikir akipatikana huyo anaedaiwa kuwa ni afandee moja kwa Moja vijana hao watapatikanaa
Tumuombe mungu San hiz no nyakati za mwisho jmn
Kwani huyo Dada mwenyewe hapatikani au yeye anawajua walie mbaka
😂😂 hao vijana wa kikamatwa na dhamini chakula maabusu mpaka wanatoka kazi nzuri kwao wame mmwaga mavi😂😂😂 iyo safi sana ndo dawa yenu mbwa nyi mtakao kuja kucoment
Ukiwa wapi ume pakatwa Nakupakwa Mafuta Matakoni kwako wewe😋😋
Mche Mola wako utu wako uko
wapi nakukumbusha unapo mcheka mtu kwa mtihan ulio mkuta huwezi ondoka duniani nawe bila ya kudhalilika
@@Awatee we umeshauli God bless you but au acha tu niishie hapo tu!
😢😢 Yule kaka alivyochoma picha ya raisi mda huohuo alikamatwa huyu dada alivhofanyiwa eti waharifu hawajakamatwa na wakati sura zao zinaonekana aiseeeeee tunataka haki
Hakika inasikitisha haswa ukiwa namtoto wakike😢
mbna kaz ni simple c wakamatwe wale afande tu af uyo boss wake alokuw akitok nae anajua anapompata
Hapa kama haijachukuliwa hatuwa basi sisis hatuko haki
Naitaji kusikia wamekamatwa na wamekipata kilichowapata
Ivi Mme sikia Kuna NABII NYOTA SABA Anapatikana Tabata KIMANGA
Ndio kazi zao wanajeshi kujichukulia sheria mkononi
Huyu binti atapatikana tuuu lazma kuna ndugu yake anasimu,inawezekana walimlazimisha Aseme sehemu ya uwongo Anapoishiiii, MUNGU yupo
Acheni kutumia matatizo ya mtu kujitengenezea pesa,sijaona ulazima wakwenda mtaani kwake kumuulizie kwani hiyo hali ni mbaya kwake kisaikolojia kama mngekuwa manataka habati mngeenda kwenye kambi za jeshi kuhoji kama wale vijana wanafahamika kwenye jeshi lao
Huyo afende awataje alio watuma kwenda kufanya hicho kitendo
Wewe unaye pendekeza mahandamano nenda ukahandamane uko kwenu kenya
Hii nchi inapokwenda kimaadili mhh
Hili jambo wakiliachia tegeemeni maaumivu zaidi
Nahuyo mschana kama yupo hai sindio angeenda kituo chapolc kulipot ili aweze kusaidiwa jamani dh!tumedharirishwa sana sisi wanawake😢
Polisi wanakatishwa Nia wanapo kamata majambazi na kutumia kazi zao za kipolisi ili wabaini na majambazi wengine utasikia maneno eti polisi wanatesa watu je jambazi ni mtu?,ayati makofuli alisema lisasi lilitengenezwa kwa ajili ya jambazi majambazi walio shindikana ua,