BREAKING: WALIOMBAKA NA KUMLAWITI MSICHANA WAKIMREKODI WAFIKISHWA MAHAKAMANI, WAMO ASKARI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 448

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 23 дня назад +10

    Eeeeh Mwenyezi Mungu Linda kizazi chetu....waepushe n tamaa zote za dunia hii unaweza mlea mtoto vzur akaharbikia mikononi mwa marafiki shulen kanisan au mskitin. ....hamna sehemu salama isipokua kwako MUNGU .......Naamn MUNGU umeskia DUA HII AMEN

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 24 дня назад +25

    Aliyewatuma akamatwe na Hao Wanyongwe iwe funzo kwa wengine. Hakuna kula ugali wa bure huko jela. Wakirudi mtaani msije kuwalaumu wananchi wenye hasira

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 24 дня назад +37

    Duuuuuue, watu wengine hata Shetani anawashangaa.

  • @SalaDLDMKagema
    @SalaDLDMKagema 23 дня назад +2

    Na huuo mwanamke aliewatuma akamatwe,mishenzi Sana hiyo,Ahsantw Rais wetu na mama gwajima kazi nzuri

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 24 дня назад +32

    Vijana waovyo sana hao wapewe adhabu kali ili iwe funzo kwa wengine

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 24 дня назад +6

    Ukiwa na Yesu huwez kutana na ujinga huu. Waliozin, waliobaka, na aliyelipiza kisasi , haya yote yanakufata ukimkataa Yesu.

  • @williammyemba8374
    @williammyemba8374 24 дня назад +6

    Hao wakienda gerezani na wenyewe watafanyiwa kama walivyomfanyia huyo binti,,Ni huzuni kwa kweli

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v 24 дня назад +18

    Haki ipo mbinguni peke yake na Wala sio duniani💔🫶🙏

    • @peterkabeke362
      @peterkabeke362 24 дня назад +2

      nani anauhakika na haki iko mbinguni

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 24 дня назад +1

      We vipi

    • @AishaAishasalum
      @AishaAishasalum 24 дня назад

      ​@peterkabekem8mi362

    • @joshuaaizack6973
      @joshuaaizack6973 23 дня назад

      Very true kwenye hii nchi tulipofikia ukiwa na hela, cheo au vyote unahaki ya kufanya uovu wowote na hakuna wa kukufanya chochote maana watenda haki ni hela tu wanataka

    • @user-hp7rx4zk4t
      @user-hp7rx4zk4t 22 дня назад

      Uyo wambele na ufupi uwo alijionea huruma jmn

  • @EmmanuelChaula-v5s
    @EmmanuelChaula-v5s 24 дня назад +30

    Wamtaje aliyewatuma, au binti aulizwe huyo mzee aliyekuwa anatoka nae kwaajili ya kumpata huyo aliyewatuma

    • @block24tv60
      @block24tv60 24 дня назад +1

      Akikusikia kazi unayo

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 24 дня назад +2

      Kbs yn ivyo ndo inavyo takiwa

    • @sharifu-story4644
      @sharifu-story4644 24 дня назад +6

      Bint yupo chini ya miaka 18 pia yule bwana nimtuhumiwa kwa kumrubun mtoto pia yule alie watuma nimtuhumiwa namba Moja yupo wap na anafanya nn?

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq 24 дня назад +2

      Kabisa yani akiojiwa yule binty ndio tutamjua huyo mwanamke

    • @NewNew-ep5dq
      @NewNew-ep5dq 24 дня назад

      ​@@block24tv60naaje watukamate wote

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 24 дня назад +5

    Jeshi lenyewe ndo kwanza wanasema alikuwa anajiuza hadi unashangaa natamani angekuwa binti ya mkuu wa polisi labda wangejua maumivu

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka 24 дня назад +32

    Tunataka hukumu stahiki ili iwe funzo kwa wengine na boss wao pia tunamtaka

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 24 дня назад +2

      Hawa ilitakiwa walawitiwe kwanza halafu wapigwe misumari ya kichwa mpaka vifo, ili.iwe fundisho kwa majeshi yetu ya ulinzi na usalama.

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 24 дня назад +3

      Huyo bosi wao anatakiwa anyongwe hadharani

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 24 дня назад

      @@raymondnlelwa427 Imagine RPC wa Mkoa anatoa kauli ya ajabu namna ile mpaka serikali kupitia IGP kuona aibu na kumuhamisha kikazi.Hii nchi inabidi reform ianze kuanzia wanasiasa mpaka Hawa watumishi wa umma.Kwanza hao 2 waliobaki ni wakina Nani? Na matukio Kama haya kwann rais yupo kimya?.Amani ya nchi hii Kuna siku itakuja kutoweka sababu ya chuki za wananchi dhidi ya watumishi na viongozi wao.Hawa watu ningekuwa Mimi sasa hivi ningewalambisha mchanga aisee.

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 24 дня назад

      Wewe hujui tamko la hukumu sio adhabu hao wanalindana hata wakitamka hukumu miaka 100 kesho wanatolewa sasa hapo kuna nini tatizo hii nchi inaendeshwa kishikaji sio tena kielimu

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 24 дня назад +1

      Hakuna haki hapo mmesha tufanya sisi watanzani majinga

  • @RaiyaanRasheedRay
    @RaiyaanRasheedRay 24 дня назад +22

    Walikuwa wa5 mmoja yuko wapi, hajapatikana..... Ameenda wapi ??? Atafutwe hadi apatikane

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 24 дня назад +15

    Wanasema eti “tunamlinda”, mnawezaje kusema mnamlinda wakati huo mnamuita kahaba!! Hii kitu imeniuma sana. Harafu eti walisema wamemuweka sehem wanampatia msaada wa kisaikolojia, wakati huo huo mnamuita kahaba! This isn’t fair at all

    • @sarahminja7255
      @sarahminja7255 24 дня назад +1

      Umeonaeee ni kweli unachosema yani roho imeniuma Sana walivyomuhita kahaba alafu walimvalisha tisheti ya wafungwa ya orange je kahaba anavishwaje tisheti ya wafungwa na yule mwanamke aliyemuhita kahaba inawezekana akawa ndiyo afande mwenyewe aliyewatuma

  • @victoriapatrick9840
    @victoriapatrick9840 23 дня назад +3

    Icho kifupi si ndo kilikua kinajiona kibabe kinajiselfisha kabisa kione kilivyo😆 jamani em fanyeni haraka hii mijitu ikanyee ndoo uko.

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 23 дня назад +1

    Ety wamekana mashtaka 😂😆😆
    Kwan kukana maana yke ni nn?!!

  • @staanstaan8722
    @staanstaan8722 24 дня назад +2

    Adhabu ni mbili tu wakalie chupa na wao au wapige nyeto wakidisa unapiga ruler za mboo ikisinyaa unapiga nheto tena ivo ivo

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 24 дня назад +6

    Alowatuma mbona atumuoni yye ndo msababishaji. Achukuliwe atua haraka

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 22 дня назад

    Emwenyezi mungu wanusuli watoto wetu

  • @user-yd3cj5xs1z
    @user-yd3cj5xs1z 24 дня назад +1

    Chinja..kodi yangu isitumike kuwalisha huko jera. PLEASE!!

  • @user-rl8ft3cu2q
    @user-rl8ft3cu2q 19 дней назад +1

    hawa nahis walitaka wamtumie yule mama kwamba kazi wamemaliza ila wakajikuta wamepost mtandaoni😂😂😂😂wauwawe

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 24 дня назад +17

    HIVI KWANINI WATANZANIA TUSIANDAMANE HUYO RPC AFUKUZWE KAZI? JAMANI HAKI ZA WANAWAKE MPO WAPI? HAKI ZA BINADAMU MPO WAPI 😢

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 24 дня назад +2

      Acha ujinga wewe hujui kilicho nyuma ya pazia

    • @happymrema7487
      @happymrema7487 24 дня назад +1

      Tatiz hap Tanzania ukiwa mtumish ukikosea unahanishwa ndio maan wat hawan nidham.na kaz

    • @Ashrey82
      @Ashrey82 24 дня назад

      Tayari ameshaamishwa ktk kitengo chake kwa matamshi yake

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 24 дня назад +2

      Tutaandamana kwa mangapi ndugu yangu kila kona kuna wanyonge wanalia,watu wanapotea na hawapatikani shida tupuuu

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 23 дня назад

      @@Chettymlambalipsi-lb9km asante wewe mwerevuu

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 23 дня назад

    Nachoshangaaaaa ety ni wanajeshi wa jwtz daaaaah 😢😢😢😢 nimelia sana

  • @paulojohn-bh2vz
    @paulojohn-bh2vz 24 дня назад +5

    Yaani hapo waulizwe alie watuma nae tumuone na wote wachukuliwe hatua kali kwani itakuwa kama funzo kwa wengine

  • @thuraiyathuraiya401
    @thuraiyathuraiya401 24 дня назад +1

    Vizuri sana tu naomba na alie watuma lazima achukuliwe nayeye iwe fundisho Kwa mwengine

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 24 дня назад +2

    bado kuna ujanja ujanja uyo afande alie watuma Yuko wapi au yeye hajulikani wanajulikana walionekana kwenye video

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 24 дня назад +1

      Huyo kashachomoka kwasababu kutakosekana ushahidi. Labda aliwatuma kwa maneno hamna text meseji au kupigiana simu.😊

  • @kassimmchebe-d2d
    @kassimmchebe-d2d 24 дня назад

    Alihamdulinllah mungu ni mwema wameshikwa na mmoja atafutwe apatikane na boss wao pia

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 24 дня назад +1

    TUNAOMBA HAKI ITENDEKE NA WAPATE AZABU KALI ILI LIWE FUNZO KWA WENGINE.

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 24 дня назад +13

    Aliye watuma mbona haonekani.

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 23 дня назад +1

      Yeye ndio atafanya michakato watoke hao maana ndio afande kisha itakuwa anaukubwa ukubwa serikalini na ndio hajashikwa

    • @EmmanuelMsangi-kb3vv
      @EmmanuelMsangi-kb3vv 23 дня назад

      Cndio kes inaanza watamtaja nafikiri ila ilipaswa akamatwe kwani inajulikana hao mafala walitumwa

    • @ericamwkyokile4681
      @ericamwkyokile4681 23 дня назад

      @@EmmanuelMsangi-kb3vv ni kweli.ila nina wasiwasi.kama wana kana kosa.maana yake watapambana wao

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 23 дня назад

      @@EmmanuelMsangi-kb3vv Ndivyo ilivyo uwa wametumwa kwa mujibu wa ushahidi wa clip yao wenyewe.

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 24 дня назад +3

    Binafsi namshukuru Mungu angalau tumewaona mahakamani... Mwenyezi Mungu aweke mkono wake,haki itendeke kwa yule binti jamani...Hiyo mijanaume ifungwe hata maisha na itakuwa fundisho kwa wengine.

    • @joshuaaizack6973
      @joshuaaizack6973 23 дня назад

      vip ukijua hii ni movie, mtuhumiwa yeyote anaweza oneshwa hapo kwamba ndiye aliyebaka na kwakuwa hatapewa uhuru wa kuzungumza wewe unaetazama utaamini

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 24 дня назад

    Dhamana tena kwa kosa hilo ....?
    Basi sheria zitakuwa ni sanaa tu za unyanyasaji . Usenge ule waliofanya hao jamaa bado wanatakiwa dhamana .

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela 24 дня назад +3

    Angekuwa makufuri yupo kesi ingeisha mapema nayure arisema arikuwa anajiuza kazihana lakinisasa mungutusaidie

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 24 дня назад +1

    Sasa mbona camera mani wapo chapu chapu shida nini wavueni nguo muwaache uchi waangariwe km movie 😂😂😂😂

  • @redemptervictor5006
    @redemptervictor5006 23 дня назад

    Nawaza uyu dada aliyefanyiwa unyama ule atawezaje kuomba ata kazi apate kma amesoma, na vipi jamii inayomzunguka atawezaje kuishi kwa amani 😢

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 23 дня назад

    Angekuwa Yule nanilii aliyechoma picha ya nanilii, Walitumia dkk nanilii, Kumkamata na kumnanilii, Yote hiyo ni kwasababu ni machawa wa nanilii.
    Ndio utajua cc wengine hii nchi ni km mechi ya ugenini afu refa wao.

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 22 дня назад

    Na huyo aliyewatuma pia akamatwe
    Hapo vijana WA hivyo hawafai kukaa uraiani hao kifungo cha maisha

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 23 дня назад

    Makosa mawili magi si kosa,kutorosha si kosa, kurusha picha chafu mitandaoni si kosa tz shikamoo

  • @AzizaMohhamed
    @AzizaMohhamed 23 дня назад

    Hivii hawa wavulanaa hawana wazazii au ,,walilelewajee,,aau walilipwaa sh ngapii ,mpaka hawakuogopaa,,jee naa alieewatumaa,,

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 24 дня назад +1

    Huu unyama waliomfanya huyo msichana kwa kweli sheria iwahukumu sawa sawa na makosa yao.Ukatili mbaya sana utafikiri hawana dada kwao.

  • @SarahNambela-m1v
    @SarahNambela-m1v 23 дня назад

    Mimi nashindwa kuelewa arieye tuma picha ni hawo hawo au ni boss wawo

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu4299 24 дня назад +1

    Hawa wasiachiliwe wafungwe maisha ili iwe funzo kwa wengine.

  • @tumainilaizer6517
    @tumainilaizer6517 23 дня назад

    Yan cjui nafikiria kitu gn lkn moyo wangu unaogopa sana kwahabari ya hili jambo 😮😢

  • @user-qe1lb7pn8v
    @user-qe1lb7pn8v 21 день назад

    Uyo mama aliesema anajiuza alatumwa. na nani mana mi mwenyew nashangaa ujinga aloongea tena yuko makini kabisa kuongea ujinga wake

  • @DominicaShio
    @DominicaShio 24 дня назад +1

    Manjemba makubwa hivyo jamani na Binti ni mdg tu jamani tendeni haki na nchi ibarikiwe

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 24 дня назад

    Ktk video walionekana wa5 , lkn wao wanajua walikuwa wangapi . Na room ya kufanyia huo ujinga waliorganize na nani ..... yaan fagio lipite na wote walioshiriki.

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 23 дня назад

    Ipo siku atakuja kufanyiwa bint wa polisi halafu tuone kesi inaisha vipi

  • @HawaJuma-d2i
    @HawaJuma-d2i 23 дня назад

    Kama upelelezi umekamilika mbona wawili wahusika hawaonekani uyoo afande na uyo mbakaji tunataka tumuone jamani

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 24 дня назад

    Kwani kurecord na kurusha mitandaoni sio moja ya makosa ?
    Kama kubaka ni kosa moja na kulawiti ni kosa jingine , basi hata kurecord na kurusha mitandaoni ni makosa mengine . 😢😢😢

  • @SalaDaniel-q2e
    @SalaDaniel-q2e 23 дня назад

    Si walisema alikuwa anajiuza?
    Kwa hiyo aliwauzia wanaume wote hao
    Yaani police mjitathimini walahi

  • @naamanifaida7944
    @naamanifaida7944 23 дня назад

    Safi sana sweka ndani pumbafu hao

  • @IshaYahaya-s9o
    @IshaYahaya-s9o 23 дня назад

    Huyo alie kua anaipuliza bangi mwenyewe mfupi kama mavi ya asubuh 😡😡

  • @FaudhiaWadongo
    @FaudhiaWadongo 23 дня назад

    Aliyewatumabona mmemficha nae akamatwe nae ahukumiwe.hapo hakuna hakuna kesi kuongelewa hapo ni hukumu tu.sababu kila kitu kipo wazi

  • @EuniceRobert-z6s
    @EuniceRobert-z6s 24 дня назад

    Hii ndo Tanzania tunayoitaka sasa, mtu akifanya kosa awajibishwe ili na wengine wasiendeleze kuepusha vizazi vya laana

  • @jamesKamanga-u2g
    @jamesKamanga-u2g 19 дней назад

    Naiomba jamhulinya muungano wa Tanzania ikiwapamoja na mahakama hawa watu wapelekwe jera kamamimi ningekua akim au lais wahichii wangepewa adhabu Kali nakwendajela

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 23 дня назад

    Aliyewatum hana kosa ukiambiwa kula mavi utakula jifunzeni

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 23 дня назад

    Sawa kabakwa ila na yy muda huo alikuwa wapi? Au ni mtu wao ?

  • @joshuaaizack6973
    @joshuaaizack6973 23 дня назад +1

    HII NCHI NI HATARI SANA" Amini usiamini hao unaowaona hapo ni kweli watuhumiwa na inawezekana wamebaka kweli au wamepewa kesi za ubakaji chanzo ikiwa ni mienendo yao miovu ila naamini kwa 98% hawa sio wale wa lile tukio linalozungumziwa, wale wanafichwa kwa maslahi ya taswira ya jeshi hii ni kulingana na kauli ya RPC dodoma, sasa msidanganyike this is drama, wanajeshi au askari gani wamwonekano na utembeaji wa hivo??? ingekuwa inawezekana binafsi ningewahoji hawa wanaoitwa watuhumiwa wa tukio hilo i believe mngepata majibu "nchi yetu inahitaji uzalendo watu tumekuwa wa hovyo mno, tuna mama zetu, dada,na kila ndugu wa kike lakn badala ya kukemea mambo haya tunaleta maigizo ama kweli Wanawake Hawapendani am juc tyring to Imagine Baba Akirudi

  • @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr
    @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr 24 дня назад +1

    Ila tunataka tusikie baada ya mahakama watamalizaje atutaki jambo lije liwe kimya

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 24 дня назад +1

    Na hukumu itatoka kuwa wamekutwa hawana hatia ila bint alikuwa kahaba😂😂😂😂😂ila nchi ngumu hii🙌

  • @engineerismael2186
    @engineerismael2186 24 дня назад +1

    Yan hawa mbwa haki itendeke kwa kweli wamemdhalilisha san yul dad

  • @MkojiFriday
    @MkojiFriday 23 дня назад +1

    Hahaha kuma make mahakamani kufanya nini wafe tu mbwa hao

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 24 дня назад

    Uyo alowatuma ndo muhimu na ndoanayeitajika zaidi jamani 😥

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 23 дня назад

    Yaaan wangekuwa nchi za kiarabu wangenyongwa haraka sana

  • @SPORTSCHEMBATV
    @SPORTSCHEMBATV 23 дня назад

    Kwani kuna haja ya ushahidi Hao siwanatakiwa kwenda moja Kwa moja jela jmn, nitashangaa kama watashinda hii Keshi aixee

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 24 дня назад +3

    Hawa wanasafirishwa kwa gari nzuri, isiyopitisha baridi tofauti na Mbeya. Hawajapigwa wala kurushwa kwenye gari.
    Dah!

  • @thabit5775
    @thabit5775 24 дня назад +1

    Kimsigi huyo bint asimamiwe na watu wahaki za binadamu

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s 22 дня назад

    Sasa jamani wanacheleweshwa nini? Ushahidi upo, uchunguzi gani tena???? Hao ni maisha au miaka 30 au kunyongwa, upelelezi gani tena????

  • @cyrilkimaro4728
    @cyrilkimaro4728 24 дня назад +2

    Tunaomba na huyu mwanaume wa asikari na huyo asikari aliyechukuliwa mume wafungulie nao kesi

  • @abcosecomartialarts4321
    @abcosecomartialarts4321 23 дня назад

    Kosa la kwanza kuteka la pili kubaka kwa kundi,kosa la tatu kumuingilia kinyume na maumbile

  • @LamekiLaulent-tf7bm
    @LamekiLaulent-tf7bm 23 дня назад

    Alie watuma na yeye atafutwe na hao wapewe hukumu kali sanaaaaaaaaa ..majitu mengine bhnaa

  • @user-sb1ss4pj6z
    @user-sb1ss4pj6z 23 дня назад

    Mungu amtie nguvu muhanga .

  • @redemptervictor5006
    @redemptervictor5006 23 дня назад

    Vipi yule afande mbona atuoni mrejesho wowote kumuhusu

  • @atuokoetweve412
    @atuokoetweve412 23 дня назад

    Hivi hawa akili zao au ndio walitekeleza amri ya aliye watuma maana haiingii akilini wqsomi Tena wakada yao. Haya ngoja tusubiri labda wenyewe watamtaja aliye watu kama walitumwa ila kama niakili zao basi wapewe haki sitahiki bila huruma.

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 22 дня назад

    Wanyonge mkiwaacha wanaemdelea kwa zababu kwanza wanaonekana wafuta banki kwahio silahidi kuacha kwasababu hakili zao zimesha asilika lasifo miaka 30 jela mukiwapa zamana watoka hamutokuwa mmedenda haki. Kwa unyama walio ufanya mimi finafsi nimelani sana hicho kitendo walicho kifanya

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 23 дня назад

    Yaani hata hawana wasiwasi maana wanajua soon Afande anakwenda front line kuwapigania dah Tanganyika Tanganyika Tanganyika 😢

  • @mercydirisha8903
    @mercydirisha8903 23 дня назад

    Afande aliyewatuma yupo wapi mbona hazungumziwi

  • @dalalihakweahakweya6662
    @dalalihakweahakweya6662 24 дня назад

    Kwahapa nime furahi kuwaona kama wapo katika mikono ya mahakama sio kuficha ficha

  • @user-xq6rg2pb1x
    @user-xq6rg2pb1x 23 дня назад

    Kama sijasikia vibaya awo ni polisi kabisa na msikia mtanganzaji anawataja kwa namba

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 24 дня назад +1

    Yaani na wanatabasam kabisa yaani ilibidii iwe hawawezi hata kufumgua hata macho by now

  • @victorianchimbi8640
    @victorianchimbi8640 24 дня назад

    Du wamekutwa na ajali mbaya sana hawa vijana, sijui wanajutaje mioyoni mwao

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 23 дня назад

    Hao kesho wapo nje mana hiyo serekali yenu wengi wazinifu na mabasha na masenge wamo kwa hiyo hapafanyiki kitu.bora mtu uchukue hatuwa mikononi tia mapanga basi au zamisha machiti ya nyuma na wao fureshi tu

  • @ElviceYona
    @ElviceYona 23 дня назад

    Hao majamaa ni wapuuzi...wanatumwa kufanya ujinga nayo yanakubali

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 24 дня назад

    Msituonyeshe TU misura yao wauwaji hao pumbav zao, Na hatimaye Rpc baada ya kuropoka utumbo , wananchi tulichachamaa Leo had wameonyeshwa sura zao bila hayo vipi wasingewaonyesha? Wauwawe TU Yaonyesha ndo tabia zao hao

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 23 дня назад

    Unambiwa kuw usipokuwa star 🌟 unaweza kufanya kaki2 ambako kanaweza kukufanya ujulikane zaid na ukapata umaarufu mkubwa sana ! Ko hawa jamaa wamekuwa mastar kwa mda mfupi sana mana kila m2 anataka kuwa jua ! Hongera vjana kwa kaz nzur 😅😅japo badiliken unapofanya v2 kama vile hakiksha ukimaliza unajiuwa lakn ety urecord ukimbie na sura inaoneka nchi hii n uongo bana!!😅😅

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 24 дня назад +1

    Mungu mwema tusiwaone ulaiani watajuta.

  • @bakarimwanjano730
    @bakarimwanjano730 24 дня назад

    Waseme afande niyupi na huyo mtt aeleze huyo mwanaume niyupi ili mke aliyetuma hao watu apatikane

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 23 дня назад +1

    Yaan wanavotembea na kujiamini duh😢

  • @Novmedia2013
    @Novmedia2013 24 дня назад

    ILE NGOMA YA JAIVAA
    Mtoto kautaka.
    Wakisikilizishwa labda itasaidia kuharakisha kesi.
    Kajamaa kumbe kafupiii

  • @aureliaalberto3209
    @aureliaalberto3209 24 дня назад +1

    Wote ni wachaga😮 mushi lema ........😅 Watakula yamoto

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 23 дня назад

      Unahangaika na ukabila utashindwa wakiwa wachaga nini kinazidi au kupungua?

  • @MichaelBruno-zy8ff
    @MichaelBruno-zy8ff 24 дня назад

    Uyooo mtotoooooo ..mtoto kautaka...mtoto kautaka.......😂😂😂😂 Leo imekuwa viseversa😮😮😮😮😮😂😂😂😂😂 mbwa awa

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyo 23 дня назад

    Angekuepo magufuri angeamua kila apo apo kusingekua na hizo rongolongo ....wakamatwe wawekwe ndani miaka kadhaa na faini kadhaa kwishaaaa ....sasa mmeanza kutafutizaaa vitu vyaajabuajab tu

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 23 дня назад

    vibaraka wa shetani hawa unapost mwenyewe na unaonekana kwa sura jinsi ulivyo unakataa!!!!? aah! wana roho ngumu sana hii ni namna ya kuisumbua mahakama tu acha tuwavumilie labda wanayo haki na watashinda, kwenye hili sisi wananchi tunamuhitaji zaidi Afande!

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px 22 дня назад

    Kaone kalivo kafupi utazan katoto kumbe nikababu tabia chafu sana

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 24 дня назад +2

    Jamani tunamtaka ariewatuma

  • @Bintiade1922
    @Bintiade1922 24 дня назад

    Huyo mama aliyewatuma vip yeye hana kosa?

  • @getajo1153
    @getajo1153 23 дня назад

    JUSTICE MUST BE SERVED...

  • @sadih5333
    @sadih5333 24 дня назад

    Wakae jela miaka kadhaa ihakikishwe nao pia wamesogezwa choo kisha waachiwe huru waje wauguze makalio.

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 24 дня назад

    Yaani Hawa wangenyongwa hadharani mpaka kufa Ili iwe funzo kwa wengine.

  • @ElinahChama
    @ElinahChama 24 дня назад

    Wamekana vp wakati video zinaonyesha tena wafungwe milele laana ao naniwashezi na mungu awalaani wao na vizazi vyao mungu tenda miujiza yako lnshaallah

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur 23 дня назад

    Yaani wanaume 😢hivi Kama mwaume mwenyewe akili unawezaje kuchangia sehemu za siri kwa mara moja

  • @EmanuelIdd
    @EmanuelIdd 24 дня назад +1

    Hasa boss wao afikishwe mahakamani