Mke mwema - Mkemwema choir (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 18 авг 2018
- #mkemwema #gospelsongs #liveperformance #mkemwema #album
Kitabu cha Mithali 19:14.
"Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali MKE MWENYE BUSARA, MTU HUPEWA NA BWANA".
Ujumbe wa wimbo huu wa injili kutoka Mkemwema Choi Umezaliwa katika mstari huo wa Biblia, tunaamini ukiusikiliza kwa makini wimbo huu, Utabarikiwa zaidi. Asante na MUNGU wa mbinguni akubariki. Amen!
_________
Song: Mke mwema
Artists: Mkemwema Choir
Video Album: MKE MWEMA
_________
►Tazama nyimbo nyingine kutoka katika Album ya Video ya MKE MWEMA👇🏽👇🏽
🔘Dunia isikuhadae ~ • Dunia isikuhadae - Mke...
🔘Kwa Maana ~ • Kwa maana - Mkemwema c...
🔘Yeriko ~ • Yeriko- Mkemwema choir...
🔘Njoo Kwangu ~ • Njooni kwangu - Mkemwe...
🔘Upewe Sifa ~ • Upewe sifa - Mkemwema ...
🔘Wema ~ • Wema hauozi - Mkemwema...
🔘Mbiu ~ • Mbiu ilipigwa - Mkemwe...
🔘Heri Sifa Njema ~ • Heri sifa njema- Mkemw...
_________
►Tufikie kupitia Kurasa zetu za Kijamii
🔘Instagram ~ / mkemwemachoirtz
🔘Facebook ~ / mkemwemachoirtz
🔘Twitter ~ / mkemwemac
_________
►Mawasiliano Zaidi
📞 Simu: +255 755717519
📩 Barua Pepe: mkemwemachoir@gmail.com
_________
Haki zote zimehifadhiwa©2018. - Видеоклипы
Kama bado unaikubali hii nyimbo 2024 gonga like twende sawa
💯💯💯
Hauchuji
🎉
Tulio ipiga mwaka huu tujuane❤
Hahahaaa
2024 twende ❤
Step zao zinapendeza
Ni miaka mingi toka niuskie huu wimbo. 2024 nimerudi
Who is still listen to this in 2024 ❤ 🥰
🙏🙏🙏
2024 Tunakula matunda ya wimbo mzur usioisha utamu, hakika wimbo huu ni ufunuo kutoka ktk mbingu
Hata stepu zao zimeokoka yaani zina upako yaani zinahubiri, sare zao ndo usiseme🤗Safi sana.
Mungu akubariki Kwa kutuongezea upako
@@Mkemwemachoir Amen!
2023 na bado niko humu❤ naipenda hii nyimbo tangu nikiwa na umri wa miaka 6 2007
Hii nyimbo itabaki kuwa nyimbo bora kwangu miaka yoteeee.
We ni mie kbs
Naupenda sana huu wimbo Mbarikiwe sana 2023,🇹🇿
Ubarikiwe mtu wa Mungu asante kwa kututia moyo niombe ushee link hii kwa wengine kisha subscribe uendelee kufurahia huduma yetu. 🎻🎻🎻🎤♥️
Wimbo mzuri
Kama upo 2021 weka like yako ili twende sawaaa
Vemaaaa
Very Nice
@@paulndoshi6194I'll see ¹1½
Nyimbo za dini na bongo flever
Kijaji hapa shembe one umba
Wimbo safi Bwana wa mbinguni awabari, waibaji wa sikuhizi jifunzeni uvaaji na mtindo ya uchezaj kupitia kwaya hii
Itabaki tu nzuri🇨🇩 hii nyimbo
Itaendelea kuwa nyimbo Bora kwa miaka yote. Big up Sana
Mke ni mwili wako u Nani wewe wachukia mwili wako
My mom's favorite choir MUNGU awabariki Sana kasulu
Wimbo mzuri saana. 2023 naendelea kubarikiwa 🤲🙏😘
Ni moja kati ya nyimbo zenye mvuto nnauangalia 2021 hongereni
Mungu ni mwema naendelea kuwabariki sana
Mimi napatikana inchi Rwanda nayipendasana choir hiyi
Tunawapenda pia wanyarwanda tunatamani kuja kufanya Tamasha kubwa la nyimbo Rwanda. Mungu afungue njia amen
Hakika anajua kutunga wimbo
Asante ubarikiwe
Endelea kutusaidia kushea ujumbe huu
Tulikuwa pamoja huko kigoma, I remember my friend Rashid, back 2003
Nasikiliza apa 2024,nkiwaza kuoa
My favorite song since nikiwa sunday school ❤made me to join my youth choir at matongo ELCK in Nyamira Diocese (Kenya). Best wedding song ever 💪here again on 26/02/2024.
Hongereni sana kwa wimbo mzuri, umefanyika mahubiri mazuri kwangu leo, nimeusikia mara nyingi ila leo umesikika tofauti sana sana.
Asante sana na Mungu akubariki.
I really appreciate my parents for introducing us to these songs at a young age.
Ujumbe mzuri sana. Wangekuwa wanasikiliza wimbo huu akina mama wengi wangepona. Muda mwingi wanatumia kuangalia SINEMA ZETU.
Naamini hata akina Baba..
Hakika Wimbo huu unamafundisho makubwa kwa wanaume wenye NDOA, Ameni
Yaaaah,jamani hongereni sn Wana wa Mungu,nimemkumbuka mbali sn nikiwa chuo Cha ELIMU kasulu 2005
Hapo mlipiga penyewe kabisaaa !!
Roho mtakatifu awafunulie wimbo wa Mme mwema pia !
Wimbo huu ni kati ya nyimbo zilizo nifanya nitafakari sana kabla ya kuoa!! Asanteni sana wanakasulu!!
mngu awabaliki sana
Ubarikiwe sana mtumishi kuoa haihiraji kuamua bila kutafakaru ulifanya jambo jema sana
Its 2022 but am still listening to this fav song since I was little I love love love
Just like me
Kati ya nyimbo niliyoipenda nikiwa na umri mdogo Sana Ni hii nilikuwa naimba Sana mpk daah .......nyimbo Bora sana hii
Nyimbo hii iko sawa krbuni tena Burundi tumewamiss
I love it...2024 ndani tena
Ubarikiwe tunawapenda pia Mkemwema choir
Dahh nimekumbuka mbali sana
😂safi sana nitaucheza kwa harusi yangu
Jamani cheza Kwa Raha zako ubarikiwe sana
Nyimbo safi sana zenye maadili
Hii wimbo iko na mafunzo mengi sana, ikiwezekana ikue harusi zikifqnyika hapa Kenya
Waoo Asante kututia moyo
Mubarikiwe mumenikumbunsha ndoayangu niriorea 2005 rakinisasaivi nikomujane
Pole sana 😢
Asanten sauna Kwak Wimborne mzuli mno
Ubarikiwe pia
Nimebarikiwa sana tena sana 2023.
Thanks for this song on marriage. God likes a peaceful marriage. God is in this choir. UNSOPHISTICATED CHOIR, NO MAKE-UP, NO FALSE HAIR, NO LIPSTICK, NO JEWELRY.( very natural).
Nyimbo hiii itaongoza myaka yote 19/07/2024 --->20...
Unyama sana mwalimu aliupata wimbo kutoka kwa roho mtakatifu kama yupo aishi maisha marefu kama ni marehemu apumzike kwa amani,maana neema ilishuka kama umeme
Waooo! Sawa mtu wa mtu
Mungu aendelee kuwapa mafunuo haya
❤nyimbo nzur haizeki
Mungu awabariki....nikisikiliza huu wimbo nabarikiwa Sana na naongeza kumpenda Mke wangu.ni mwezi September 2022 nautazama tena
Kati ya nyimbo ambazo sichoki kusikiliza ni wimbo huu naupenda sana mungu awape maarifa mengi kwa nyimbo nyingine nzuri
Nyimbo zenu zabariki
Huu wimbo ufanyie limix
Tuombee mtu wa Mungu ni kweli unatakiwa tuulimix audio na video yake
Yaani wananikumbusha mbali sana. Mungu awabariki
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU mimi nabarikiwa ninaposikiliza na kutafakari wimbo huu, kweli napata kumuona mke wangu ni mpya siku zote. Leo tuna miaka 22 tuna amani kwelikweli,niwaombe nanyi muishi kwa kuutafakari wimbo huu.mbarikiwe.
Ubarikiwe sana nakutakia maisha marefu zaid ya ndoa yenu
Mnatubark kwa Utukufu wa Mungu Baba❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mpaka mwaka huu 2021, bado ni miongoni mwa nyimbo bora kuimbwa Tz
Nawaelewa sana watumi wamungu
Tuko pamoja nami nimoo
Huu wimbo unanikubusha mbali
Whenever I listen to these old songs I usually become emotional, they are very sweet ❤
Mungu mwema hongereni Sana mungu awabaliki
Hu wimbo siuchoki kwa kweli mungu awabariki kigoma tumebarikiwa kwa uimbaji toka kwa bwana
Nakumbuka mbali
Umekumbuka wapi mtu wa Mungu?
when gospel was gospel,,,nice song
Mubarikiwe sana waimbaji,munanibariki sana
Kasulu moja
Asante yesu 🙏🏻🙌🏻❤️
Iwachu mlakoze chana imana ibhafuhule ❤❤
Nakupenda sana Mama watoto wangu ❤
Nyimbo kali sana
A big message about wisdom ❤
Mke mwema ni nani atakayemuona naupenda sana huu wimbo
Mungu awabaliki kwa kumsifu mungu
M ubarikiwe
Wimbo safiii, kila mmoja afanye sehemu yake,inawezekana!
15 April 2023... Here I am...
Ndiyo, mke mwema, ni mwili wako mbona unatcukiya mwili wako...
Verry Nice.
Hinyimbo nakupenda sana niwape hongela walio iimba mungu awatunze
Ubarikiwe mtu wa Mungu Asante kutufuatilia
hakika nyimbo zazamani ninzr sana
Mbarikiwe,unanikumbusha miaka 2008 wkt natafuta mke mwema,nikampata 2009 na kumuoa 2010
Hahahahahaha
Jamn wmbo mzur et mbarikiwe waimbaji
❤ bgap san jaman
Safi Sana naikubali Sana hiii nyimbo toka mwaka 2006
2020 bado naiangalia kwaya ya wakigoma wenzangu
Tizama video ya mtoto wa MOSHI MNYIKA 👇🏻
ruclips.net/video/zUL-T1_bk50/видео.html
,
Kway
Miss u ❤️ Home kasulu kigoma🙏
We ni mm kabiisa.
Mic sana KS
Wimbo uko sfi sana umetisha ndan y mwaka huu
Wimbo huu mlikujaga kuimba kanisani kwetu kigoma mjini kanisa la F.P.C.T mlole nilikuwa mtoto nilifurahi kuwa ona sana
Amen
"Mke mwema yu ndani yako, tabia unazotaka, kagua kama unazo" Ujumbe safi
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu Kwa kuyufuatilia
Tunao iangalia 2021 gonga like
Ujumbe unaishi❤❤❤❤
Kweli mliimba jaman
Mke mwema.
Mubalikiwe sana 🙏🙏🙏🙏
Jamani hii choir popote mlipo mzidi kubarikiwa, tangu kitambo huwa nawaelewa sana wimbo hauchoshi 👍
Mbarikiwe wapendwa
Toka niko mdg nilikua nikisikilza ...God bless u
Vizuri sana
2:56 Mmeimba vzr, mavazi ya kujisitiri adi raha! Ujumbe umefika vzr barikiweni Sana mwaka 2024❤❤❤❤
Amina nabarikiwa sanaaaaaa
You cant find such fantastic choir in my country KENYA.👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Tizama video ya mtoto wa MOSHI MNYIKA 👇🏻
ruclips.net/video/zUL-T1_bk50/видео.html
Emali town choir did a great job
😂😂😂Stop lying my friend have you ever listened to AIc Jericho,AIC mazerus,AIC bahati,Email town choir, Machakos to name a few?Not forgetting Ruthrand Kenyatta avenue?
I cant fail to watch this song from NAIROBI in 24th Dec 2020.Its the song of its kind.Barikiwa sana WanaKigoma and kind regards to my Friend Zitto Kabwe-MP.
❤❤❤❤❤ mbarikiwe sana
Napenda sana nyimbo zenu...zina ujumbe sana...
Waah, I used to listen to this song in the year 2006 on radio sayari with My favorite presenter BEATRICE NYARINDA.
Iko sawa sana
Ujumbe mzito Sana mbarikiwe mno
Safi sana
Muhila moja saf sana hongeren
Ujumbe unaishi huu... Mbarikiwe sanaaaa
Naupenda sana huu wimbo kwan ndani yake una ujumbe madhubuti,
Nabarikiwa sana
Nakubari sana wakwetu Mbarikiwe sana 💞
Wimbo huu umenifurahisha sana nawapongeza sana wanachoir hawa from kigoma mimi ni murundi alakini huu mwimbo nisomo kwasiwote warundi nazingine inchi za Africa thanks
2024🇰🇪 one day one time 😊
🙏🙏
Kweli kigoma inawasanii mahili hongeren Sana mmedamshi
""...Utii ni Bora sana kuliko sadaka zako,heshima wala si utumwa,e mama tii mumeo..."hicho ndicho kipengele kivunjacho ndoa nyingi kwa Sasa!.
KWELI KABISA
Hu wimbo imefanya nifikirie sana kuhusu ndoa za amani. Tuombe ndoa sana kwa maana WATU SIYO WEMA HAWAPENDI NDOA ZIWE NA AMANI.(wakina Peres Aoko Odeyo).