Mke mwema - Mkemwema choir (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 авг 2018
  • #mkemwema #gospelsongs #liveperformance #mkemwema #album
    Kitabu cha Mithali 19:14.
    "Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali MKE MWENYE BUSARA, MTU HUPEWA NA BWANA".
    Ujumbe wa wimbo huu wa injili kutoka Mkemwema Choi Umezaliwa katika mstari huo wa Biblia, tunaamini ukiusikiliza kwa makini wimbo huu, Utabarikiwa zaidi. Asante na MUNGU wa mbinguni akubariki. Amen!
    _________
    Song: Mke mwema
    Artists: Mkemwema Choir
    Video Album: MKE MWEMA
    _________
    ►Tazama nyimbo nyingine kutoka katika Album ya Video ya MKE MWEMA👇🏽👇🏽
    🔘Dunia isikuhadae ~ • Dunia isikuhadae - Mke...
    🔘Kwa Maana ~ • Kwa maana - Mkemwema c...
    🔘Yeriko ~ • Yeriko- Mkemwema choir...
    🔘Njoo Kwangu ~ • Njooni kwangu - Mkemwe...
    🔘Upewe Sifa ~ • Upewe sifa - Mkemwema ...
    🔘Wema ~ • Wema hauozi - Mkemwema...
    🔘Mbiu ~ • Mbiu ilipigwa - Mkemwe...
    🔘Heri Sifa Njema ~ • Heri sifa njema- Mkemw...
    _________
    ►Tufikie kupitia Kurasa zetu za Kijamii
    🔘Instagram ~ / mkemwemachoirtz
    🔘Facebook ~ / mkemwemachoirtz
    🔘Twitter ~ / mkemwemac
    _________
    ►Mawasiliano Zaidi
    📞 Simu: +255 755717519
    📩 Barua Pepe: mkemwemachoir@gmail.com
    _________
    Haki zote zimehifadhiwa©2018.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 585

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 4 месяца назад +51

    Kama bado unaikubali hii nyimbo 2024 gonga like twende sawa

  • @FundiFransiscko
    @FundiFransiscko 5 месяцев назад +23

    Tulio ipiga mwaka huu tujuane❤

  • @belafontesteven5144
    @belafontesteven5144 6 месяцев назад +15

    2024 twende ❤

  • @rehe310
    @rehe310 5 месяцев назад +33

    Who is still listen to this in 2024 ❤ 🥰

  • @user-de9gf2wi9o
    @user-de9gf2wi9o 4 месяца назад +8

    2024 Tunakula matunda ya wimbo mzur usioisha utamu, hakika wimbo huu ni ufunuo kutoka ktk mbingu

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 4 месяца назад +7

    Hata stepu zao zimeokoka yaani zina upako yaani zinahubiri, sare zao ndo usiseme🤗Safi sana.

  • @Itsyourgirl_glory
    @Itsyourgirl_glory Год назад +11

    2023 na bado niko humu❤ naipenda hii nyimbo tangu nikiwa na umri wa miaka 6 2007
    Hii nyimbo itabaki kuwa nyimbo bora kwangu miaka yoteeee.

  • @user-qg7rn7ty2d
    @user-qg7rn7ty2d Год назад +11

    Naupenda sana huu wimbo Mbarikiwe sana 2023,🇹🇿

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Год назад

      Ubarikiwe mtu wa Mungu asante kwa kututia moyo niombe ushee link hii kwa wengine kisha subscribe uendelee kufurahia huduma yetu. 🎻🎻🎻🎤♥️

    • @user-ij3eg3nf6k
      @user-ij3eg3nf6k 3 месяца назад

      Wimbo mzuri

  • @michaelgidion790
    @michaelgidion790 3 года назад +58

    Kama upo 2021 weka like yako ili twende sawaaa

  • @yusufujulius6665
    @yusufujulius6665 3 года назад +12

    Wimbo safi Bwana wa mbinguni awabari, waibaji wa sikuhizi jifunzeni uvaaji na mtindo ya uchezaj kupitia kwaya hii

  • @user-ks8sg8ws8z
    @user-ks8sg8ws8z 4 месяца назад +2

    Itabaki tu nzuri🇨🇩 hii nyimbo

  • @johnsonndilahomba5152
    @johnsonndilahomba5152 3 года назад +24

    Itaendelea kuwa nyimbo Bora kwa miaka yote. Big up Sana

  • @babymarrycharlesjames5501
    @babymarrycharlesjames5501 3 года назад +9

    Mke ni mwili wako u Nani wewe wachukia mwili wako
    My mom's favorite choir MUNGU awabariki Sana kasulu

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 Год назад +3

    Wimbo mzuri saana. 2023 naendelea kubarikiwa 🤲🙏😘

  • @izacknanyaro870
    @izacknanyaro870 3 года назад +43

    Ni moja kati ya nyimbo zenye mvuto nnauangalia 2021 hongereni

    • @marykagusa8910
      @marykagusa8910 Год назад

      Mungu ni mwema naendelea kuwabariki sana

  • @turimurugendochoir-vt5yw
    @turimurugendochoir-vt5yw Месяц назад +2

    Mimi napatikana inchi Rwanda nayipendasana choir hiyi

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Месяц назад

      Tunawapenda pia wanyarwanda tunatamani kuja kufanya Tamasha kubwa la nyimbo Rwanda. Mungu afungue njia amen

  • @JustineWilliam-qy2gp
    @JustineWilliam-qy2gp 4 месяца назад +3

    Hakika anajua kutunga wimbo

  • @musatergech2656
    @musatergech2656 3 года назад +9

    Tulikuwa pamoja huko kigoma, I remember my friend Rashid, back 2003

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 18 дней назад

    Nasikiliza apa 2024,nkiwaza kuoa

  • @dannoh1
    @dannoh1 4 месяца назад +3

    My favorite song since nikiwa sunday school ❤made me to join my youth choir at matongo ELCK in Nyamira Diocese (Kenya). Best wedding song ever 💪here again on 26/02/2024.

  • @jenistameena5303
    @jenistameena5303 3 года назад +8

    Hongereni sana kwa wimbo mzuri, umefanyika mahubiri mazuri kwangu leo, nimeusikia mara nyingi ila leo umesikika tofauti sana sana.

  • @knightayiera188
    @knightayiera188 Год назад +13

    I really appreciate my parents for introducing us to these songs at a young age.

  • @manasemsengi9733
    @manasemsengi9733 2 года назад +2

    Ujumbe mzuri sana. Wangekuwa wanasikiliza wimbo huu akina mama wengi wangepona. Muda mwingi wanatumia kuangalia SINEMA ZETU.

  • @AsajileKayange
    @AsajileKayange 2 месяца назад +1

    Hakika Wimbo huu unamafundisho makubwa kwa wanaume wenye NDOA, Ameni

  • @user-or9vh1pz3r
    @user-or9vh1pz3r 28 дней назад

    Yaaaah,jamani hongereni sn Wana wa Mungu,nimemkumbuka mbali sn nikiwa chuo Cha ELIMU kasulu 2005

  • @faustinelutwe6901
    @faustinelutwe6901 4 года назад +7

    Hapo mlipiga penyewe kabisaaa !!
    Roho mtakatifu awafunulie wimbo wa Mme mwema pia !

  • @mckinyange5122
    @mckinyange5122 4 года назад +16

    Wimbo huu ni kati ya nyimbo zilizo nifanya nitafakari sana kabla ya kuoa!! Asanteni sana wanakasulu!!

    • @Nellyney-rf4zc
      @Nellyney-rf4zc 8 месяцев назад

      mngu awabaliki sana

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  6 месяцев назад

      Ubarikiwe sana mtumishi kuoa haihiraji kuamua bila kutafakaru ulifanya jambo jema sana

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 2 года назад +19

    Its 2022 but am still listening to this fav song since I was little I love love love

  • @janethjailos8299
    @janethjailos8299 Год назад +1

    Kati ya nyimbo niliyoipenda nikiwa na umri mdogo Sana Ni hii nilikuwa naimba Sana mpk daah .......nyimbo Bora sana hii

  • @user-ji1qr2yo1s
    @user-ji1qr2yo1s 2 месяца назад

    Nyimbo hii iko sawa krbuni tena Burundi tumewamiss

  • @shadrackmutunga3718
    @shadrackmutunga3718 28 дней назад +1

    I love it...2024 ndani tena

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  28 дней назад

      Ubarikiwe tunawapenda pia Mkemwema choir

  • @SamwelMasisa-qy2zb
    @SamwelMasisa-qy2zb 14 дней назад

    Dahh nimekumbuka mbali sana

  • @solomononsare3532
    @solomononsare3532 2 месяца назад +1

    😂safi sana nitaucheza kwa harusi yangu

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  2 месяца назад

      Jamani cheza Kwa Raha zako ubarikiwe sana

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Месяц назад

    Nyimbo safi sana zenye maadili

  • @user-le7os5sl3z
    @user-le7os5sl3z 6 месяцев назад +3

    Hii wimbo iko na mafunzo mengi sana, ikiwezekana ikue harusi zikifqnyika hapa Kenya

  • @raimondnduwi
    @raimondnduwi 2 месяца назад +1

    Mubarikiwe mumenikumbunsha ndoayangu niriorea 2005 rakinisasaivi nikomujane

  • @user-jw5bj9gj6y
    @user-jw5bj9gj6y 10 месяцев назад +1

    Asanten sauna Kwak Wimborne mzuli mno

  • @enockndegemwema4246
    @enockndegemwema4246 Год назад +1

    Nimebarikiwa sana tena sana 2023.

  • @gordonomondi7161
    @gordonomondi7161 Год назад +3

    Thanks for this song on marriage. God likes a peaceful marriage. God is in this choir. UNSOPHISTICATED CHOIR, NO MAKE-UP, NO FALSE HAIR, NO LIPSTICK, NO JEWELRY.( very natural).

  • @leonardndikumukiza9183
    @leonardndikumukiza9183 2 дня назад

    Nyimbo hiii itaongoza myaka yote 19/07/2024 --->20...

  • @yohanakajembe6172
    @yohanakajembe6172 5 месяцев назад +1

    Unyama sana mwalimu aliupata wimbo kutoka kwa roho mtakatifu kama yupo aishi maisha marefu kama ni marehemu apumzike kwa amani,maana neema ilishuka kama umeme

  • @caphulenbernard7458
    @caphulenbernard7458 29 дней назад

    Mungu aendelee kuwapa mafunuo haya

  • @edwardisingo3286
    @edwardisingo3286 Месяц назад

    ❤nyimbo nzur haizeki

  • @azizizabron7792
    @azizizabron7792 Год назад +2

    Mungu awabariki....nikisikiliza huu wimbo nabarikiwa Sana na naongeza kumpenda Mke wangu.ni mwezi September 2022 nautazama tena

  • @salumsalumrobert
    @salumsalumrobert 10 месяцев назад +1

    Kati ya nyimbo ambazo sichoki kusikiliza ni wimbo huu naupenda sana mungu awape maarifa mengi kwa nyimbo nyingine nzuri

  • @agnettamuinde
    @agnettamuinde Месяц назад

    Nyimbo zenu zabariki

  • @jedsonbusas9199
    @jedsonbusas9199 Год назад +1

    Huu wimbo ufanyie limix

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Год назад

      Tuombee mtu wa Mungu ni kweli unatakiwa tuulimix audio na video yake

  • @annasishe4125
    @annasishe4125 3 месяца назад

    Yaani wananikumbusha mbali sana. Mungu awabariki

  • @gabrielgodwinerwandindi8358
    @gabrielgodwinerwandindi8358 9 месяцев назад +1

    Mbarikiwe sana watu wa MUNGU mimi nabarikiwa ninaposikiliza na kutafakari wimbo huu, kweli napata kumuona mke wangu ni mpya siku zote. Leo tuna miaka 22 tuna amani kwelikweli,niwaombe nanyi muishi kwa kuutafakari wimbo huu.mbarikiwe.

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  9 месяцев назад

      Ubarikiwe sana nakutakia maisha marefu zaid ya ndoa yenu

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 2 месяца назад

    Mnatubark kwa Utukufu wa Mungu Baba❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @brysonmarabi4024
    @brysonmarabi4024 3 года назад +12

    Mpaka mwaka huu 2021, bado ni miongoni mwa nyimbo bora kuimbwa Tz

  • @WoselyAvugwi-sq1nl
    @WoselyAvugwi-sq1nl 3 месяца назад

    Huu wimbo unanikubusha mbali

  • @emmanuelmutava
    @emmanuelmutava 4 месяца назад +1

    Whenever I listen to these old songs I usually become emotional, they are very sweet ❤

  • @user-rn8lf3ph4q
    @user-rn8lf3ph4q 9 месяцев назад

    Mungu mwema hongereni Sana mungu awabaliki

  • @olivabosco4880
    @olivabosco4880 3 года назад +1

    Hu wimbo siuchoki kwa kweli mungu awabariki kigoma tumebarikiwa kwa uimbaji toka kwa bwana

  • @nebatimuyunga6762
    @nebatimuyunga6762 10 месяцев назад +1

    Nakumbuka mbali

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  10 месяцев назад +1

      Umekumbuka wapi mtu wa Mungu?

  • @sylvanusfelix6998
    @sylvanusfelix6998 4 года назад +21

    when gospel was gospel,,,nice song

    • @alainmasakara
      @alainmasakara Год назад

      Mubarikiwe sana waimbaji,munanibariki sana

  • @ledifoniboy3550
    @ledifoniboy3550 2 года назад +2

    Kasulu moja

    • @happypessa1999
      @happypessa1999 9 месяцев назад

      Asante yesu 🙏🏻🙌🏻❤️

  • @YazidiHilary-yq4ch
    @YazidiHilary-yq4ch 2 месяца назад

    Iwachu mlakoze chana imana ibhafuhule ❤❤

  • @congoboymbeyas2440
    @congoboymbeyas2440 8 месяцев назад

    Nakupenda sana Mama watoto wangu ❤

  • @user-pg2rq9te4s
    @user-pg2rq9te4s 3 месяца назад

    Nyimbo kali sana

  • @preferencefeza6761
    @preferencefeza6761 9 месяцев назад +3

    A big message about wisdom ❤

  • @johnmhanga3746
    @johnmhanga3746 4 года назад +15

    Mke mwema ni nani atakayemuona naupenda sana huu wimbo

  • @savelife2911
    @savelife2911 4 года назад +16

    Wimbo safiii, kila mmoja afanye sehemu yake,inawezekana!

  • @mwangisamuel1972
    @mwangisamuel1972 Год назад +1

    15 April 2023... Here I am...

  • @tharcissekayumba3406
    @tharcissekayumba3406 3 года назад +4

    Ndiyo, mke mwema, ni mwili wako mbona unatcukiya mwili wako...

  • @user-fg5bb5ev6g
    @user-fg5bb5ev6g 8 месяцев назад

    Hinyimbo nakupenda sana niwape hongela walio iimba mungu awatunze

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  8 месяцев назад

      Ubarikiwe mtu wa Mungu Asante kutufuatilia

  • @user-md5ie1yi1l
    @user-md5ie1yi1l 9 месяцев назад

    hakika nyimbo zazamani ninzr sana

  • @martinngonyani5494
    @martinngonyani5494 4 года назад +3

    Mbarikiwe,unanikumbusha miaka 2008 wkt natafuta mke mwema,nikampata 2009 na kumuoa 2010

  • @user-cs3gg1jc1o
    @user-cs3gg1jc1o 10 дней назад

    ❤ bgap san jaman

  • @JacobErnest-vk7me
    @JacobErnest-vk7me Год назад

    Safi Sana naikubali Sana hiii nyimbo toka mwaka 2006

  • @furahabarayati2403
    @furahabarayati2403 3 года назад +8

    2020 bado naiangalia kwaya ya wakigoma wenzangu

  • @jeniferchristopher5111
    @jeniferchristopher5111 4 года назад +15

    Miss u ❤️ Home kasulu kigoma🙏

  • @olivabosco4880
    @olivabosco4880 3 года назад +2

    Wimbo huu mlikujaga kuimba kanisani kwetu kigoma mjini kanisa la F.P.C.T mlole nilikuwa mtoto nilifurahi kuwa ona sana

  • @godfreytricks9651
    @godfreytricks9651 9 месяцев назад +1

    "Mke mwema yu ndani yako, tabia unazotaka, kagua kama unazo" Ujumbe safi

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  9 месяцев назад

      Ubarikiwe sana mtu wa Mungu Kwa kuyufuatilia

  • @shukurudani3341
    @shukurudani3341 3 года назад +8

    Tunao iangalia 2021 gonga like

  • @JamesMapunda-vy3ec
    @JamesMapunda-vy3ec 8 месяцев назад

    Ujumbe unaishi❤❤❤❤

  • @ezrachaulajr3789
    @ezrachaulajr3789 4 года назад +4

    Kweli mliimba jaman

  • @uhuru.24
    @uhuru.24 6 месяцев назад +1

    Mke mwema.

  • @remynduwimana9073
    @remynduwimana9073 4 месяца назад

    Mubalikiwe sana 🙏🙏🙏🙏

  • @jenymtafya3430
    @jenymtafya3430 4 года назад +13

    Jamani hii choir popote mlipo mzidi kubarikiwa, tangu kitambo huwa nawaelewa sana wimbo hauchoshi 👍

  • @GodiedeOswaie
    @GodiedeOswaie 4 года назад +11

    Toka niko mdg nilikua nikisikilza ...God bless u

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l 2 месяца назад

    2:56 Mmeimba vzr, mavazi ya kujisitiri adi raha! Ujumbe umefika vzr barikiweni Sana mwaka 2024❤❤❤❤

  • @user-hs8zv5ws9s
    @user-hs8zv5ws9s 8 месяцев назад

    Amina nabarikiwa sanaaaaaa

  • @Lord-Kipsang
    @Lord-Kipsang 3 года назад +13

    You cant find such fantastic choir in my country KENYA.👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 3 года назад +1

      Tizama video ya mtoto wa MOSHI MNYIKA 👇🏻
      ruclips.net/video/zUL-T1_bk50/видео.html

    • @kevinkhaemba9968
      @kevinkhaemba9968 2 года назад +1

      Emali town choir did a great job

    • @tende_marwa
      @tende_marwa Год назад

      😂😂😂Stop lying my friend have you ever listened to AIc Jericho,AIC mazerus,AIC bahati,Email town choir, Machakos to name a few?Not forgetting Ruthrand Kenyatta avenue?

  • @Lord-Kipsang
    @Lord-Kipsang 3 года назад +13

    I cant fail to watch this song from NAIROBI in 24th Dec 2020.Its the song of its kind.Barikiwa sana WanaKigoma and kind regards to my Friend Zitto Kabwe-MP.

  • @rebecanjinge8603
    @rebecanjinge8603 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤ mbarikiwe sana

  • @AziziMsuya
    @AziziMsuya 2 года назад +1

    Napenda sana nyimbo zenu...zina ujumbe sana...

  • @kiprotichbelio1561
    @kiprotichbelio1561 4 месяца назад

    Waah, I used to listen to this song in the year 2006 on radio sayari with My favorite presenter BEATRICE NYARINDA.

  • @frankjames907
    @frankjames907 2 года назад

    Iko sawa sana

  • @otavinamsigala7004
    @otavinamsigala7004 4 года назад +3

    Ujumbe mzito Sana mbarikiwe mno

  • @user-hs8zv5ws9s
    @user-hs8zv5ws9s 3 месяца назад

    Safi sana

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 Год назад

    Muhila moja saf sana hongeren

  • @cosmasmpwage3155
    @cosmasmpwage3155 5 лет назад +26

    Ujumbe unaishi huu... Mbarikiwe sanaaaa

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Год назад +1

    Nakubari sana wakwetu Mbarikiwe sana 💞

  • @kaburamustapha286
    @kaburamustapha286 3 месяца назад

    Wimbo huu umenifurahisha sana nawapongeza sana wanachoir hawa from kigoma mimi ni murundi alakini huu mwimbo nisomo kwasiwote warundi nazingine inchi za Africa thanks

  • @joynthenya3705
    @joynthenya3705 5 месяцев назад +1

    2024🇰🇪 one day one time 😊

  • @mchezotv4453
    @mchezotv4453 3 года назад +1

    Kweli kigoma inawasanii mahili hongeren Sana mmedamshi

  • @mashakalonka9407
    @mashakalonka9407 4 года назад +13

    ""...Utii ni Bora sana kuliko sadaka zako,heshima wala si utumwa,e mama tii mumeo..."hicho ndicho kipengele kivunjacho ndoa nyingi kwa Sasa!.

  • @gordonomondi7161
    @gordonomondi7161 Год назад

    Hu wimbo imefanya nifikirie sana kuhusu ndoa za amani. Tuombe ndoa sana kwa maana WATU SIYO WEMA HAWAPENDI NDOA ZIWE NA AMANI.(wakina Peres Aoko Odeyo).