Miaka 6 sasa na ujumbe unaendelea kutafsiri hali ya ndoa za sasa. Mungu awape neema ya kupata maono ya kuleta tunzi nyingi zaidi zenye nguvu kama hii kwaajili ya kuujenga Ufalme wake.💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
My favorite song since nikiwa sunday school ❤made me to join my youth choir at matongo ELCK in Nyamira Diocese (Kenya). Best wedding song ever 💪here again on 26/02/2024.
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU mimi nabarikiwa ninaposikiliza na kutafakari wimbo huu, kweli napata kumuona mke wangu ni mpya siku zote. Leo tuna miaka 22 tuna amani kwelikweli,niwaombe nanyi muishi kwa kuutafakari wimbo huu.mbarikiwe.
Unyama sana mwalimu aliupata wimbo kutoka kwa roho mtakatifu kama yupo aishi maisha marefu kama ni marehemu apumzike kwa amani,maana neema ilishuka kama umeme
Thanks for this song on marriage. God likes a peaceful marriage. God is in this choir. UNSOPHISTICATED CHOIR, NO MAKE-UP, NO FALSE HAIR, NO LIPSTICK, NO JEWELRY.( very natural).
I cant fail to watch this song from NAIROBI in 24th Dec 2020.Its the song of its kind.Barikiwa sana WanaKigoma and kind regards to my Friend Zitto Kabwe-MP.
Mungu awabariki sana. Wimbo wenu ni wimbo unaoishi haupitwi na wakati. Mungu azidi kuwainua kila iitwapo leo. Sikujua kuwa mliuweka huku. Naupenda sana!
Ni kweli kabisa nyimbo za toleo ni sahihi,lakini Nina sikitiko kuwa haya matoleo ya sasa yamebadilisha sura yamekuwa sawa na Dunia siyo ya kikristo Ningeomba wabadirishe warudi kwa msingi wa matoleo ya mwanzo. Asante Mch.Onesimo Mobile, AL USA
😂😂😂Stop lying my friend have you ever listened to AIc Jericho,AIC mazerus,AIC bahati,Email town choir, Machakos to name a few?Not forgetting Ruthrand Kenyatta avenue?
Tunao sikiliza mwaka huu 2025 gonga like twende
Kama bado unaikubali hii nyimbo 2024 gonga like twende sawa
💯💯💯
Hauchuji
🎉
😂🎉
Aaaa@@Mkemwemachoir
2024 Tunakula matunda ya wimbo mzur usioisha utamu, hakika wimbo huu ni ufunuo kutoka ktk mbingu
2023 na bado niko humu❤ naipenda hii nyimbo tangu nikiwa na umri wa miaka 6 2007
Hii nyimbo itabaki kuwa nyimbo bora kwangu miaka yoteeee.
We ni mie kbs
Wapendwa hiii nyimbo haijawahi kuchuja Mungu ambariki mtumzi kama unaikubari kweli gonga like.
Hii kwaya kama ipo, nashauri wafanye live recording.
Mungu awabariki
I'm still on this and it's 2025, I married last year and I feel this song has good advice for the married...it's so biblical.
Tulio ipiga mwaka huu tujuane❤
Hahahaaa
Itaendelea kuwa nyimbo Bora kwa miaka yote. Big up Sana
Nasikiliza apa 2024,nkiwaza kuoa
Who is still listen to this in 2024 ❤ 🥰
🙏🙏🙏
Mungu atusaidie ndoa nyingi Sasa zinasumbua watoto wap hatalin mungu ndiye awezae kuziponya,by neema nsungwe.
Naupenda sana huu wimbo Mbarikiwe sana 2023,🇹🇿
Ubarikiwe mtu wa Mungu asante kwa kututia moyo niombe ushee link hii kwa wengine kisha subscribe uendelee kufurahia huduma yetu. 🎻🎻🎻🎤♥️
Wimbo mzuri
Wimbo safi Bwana wa mbinguni awabari, waibaji wa sikuhizi jifunzeni uvaaji na mtindo ya uchezaj kupitia kwaya hii
2:56 Mmeimba vzr, mavazi ya kujisitiri adi raha! Ujumbe umefika vzr barikiweni Sana mwaka 2024❤❤❤❤
2024 twende ❤
Step zao zinapendeza
Ni miaka mingi toka niuskie huu wimbo. 2024 nimerudi
Mimi hapa Congo mungu abariki tanzania na hote walimo
Hakika nimebariki sana
Ni moja kati ya nyimbo zenye mvuto nnauangalia 2021 hongereni
Mungu ni mwema naendelea kuwabariki sana
Kigoma hawajawahi kutuangusha
Hata stepu zao zimeokoka yaani zina upako yaani zinahubiri, sare zao ndo usiseme🤗Safi sana.
Mungu akubariki Kwa kutuongezea upako
@@Mkemwemachoir Amen!
Na ni nature bila mapambo wamejaa utukufu mungu
Kwaya hii bado wapo
.Hapana hawapo , umri mkumwa, na sasa vijana wameingia .
Itabaki tu nzuri🇨🇩 hii nyimbo
Mke ni mwili wako u Nani wewe wachukia mwili wako
My mom's favorite choir MUNGU awabariki Sana kasulu
Miaka 6 sasa na ujumbe unaendelea kutafsiri hali ya ndoa za sasa. Mungu awape neema ya kupata maono ya kuleta tunzi nyingi zaidi zenye nguvu kama hii kwaajili ya kuujenga Ufalme wake.💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Hapo kabla shetani hajawakamata waimbaji, kwaya ilikuwa inaongozwa na roho mtakatifu,,, ❤
Hii wimbo iko na mafunzo mengi sana, ikiwezekana ikue harusi zikifqnyika hapa Kenya
Waoo Asante kututia moyo
Wimbo Bora sana ujumbe MAVAZI vyote ni utukufu Kwa Bwana Yesu nauangalia mwaka huu 2025
Hongereni sana kwa wimbo mzuri, umefanyika mahubiri mazuri kwangu leo, nimeusikia mara nyingi ila leo umesikika tofauti sana sana.
Asante sana na Mungu akubariki.
Wimbo huu ni kati ya nyimbo zilizo nifanya nitafakari sana kabla ya kuoa!! Asanteni sana wanakasulu!!
mngu awabaliki sana
Ubarikiwe sana mtumishi kuoa haihiraji kuamua bila kutafakaru ulifanya jambo jema sana
Wakasulu tujuane kwa like hapa, 2023
Hakika anajua kutunga wimbo
Asante ubarikiwe
Endelea kutusaidia kushea ujumbe huu
Hinyimbo nakupenda sana niwape hongela walio iimba mungu awatunze
Ubarikiwe mtu wa Mungu Asante kutufuatilia
Kati ya nyimbo niliyoipenda nikiwa na umri mdogo Sana Ni hii nilikuwa naimba Sana mpk daah .......nyimbo Bora sana hii
Dahh nimekumbuka mbali sana
Mimi napatikana inchi Rwanda nayipendasana choir hiyi
Tunawapenda pia wanyarwanda tunatamani kuja kufanya Tamasha kubwa la nyimbo Rwanda. Mungu afungue njia amen
Ujumbe mzuri sana. Wangekuwa wanasikiliza wimbo huu akina mama wengi wangepona. Muda mwingi wanatumia kuangalia SINEMA ZETU.
Naamini hata akina Baba..
Wimbo mzuri saana. 2023 naendelea kubarikiwa 🤲🙏😘
My favorite song since nikiwa sunday school ❤made me to join my youth choir at matongo ELCK in Nyamira Diocese (Kenya). Best wedding song ever 💪here again on 26/02/2024.
Msiwe wa wachoyo like gonga like from kigoma
Kigoma,Masikani
Napenda kigoma saaana kasulu,Mtabila -Myvozi
Good
Mtunz wa wimb huu Mungu ambarik sana wimb unaujumbe hata waimbaji wako vizur mavaz yana wakilisha kbs Mungu awabariki mlipoo
I really appreciate my parents for introducing us to these songs at a young age.
Mbarikiwe sana watu wa MUNGU mimi nabarikiwa ninaposikiliza na kutafakari wimbo huu, kweli napata kumuona mke wangu ni mpya siku zote. Leo tuna miaka 22 tuna amani kwelikweli,niwaombe nanyi muishi kwa kuutafakari wimbo huu.mbarikiwe.
Ubarikiwe sana nakutakia maisha marefu zaid ya ndoa yenu
Whenever I listen to these old songs I usually become emotional, they are very sweet ❤
Tulikuwa pamoja huko kigoma, I remember my friend Rashid, back 2003
Its 2022 but am still listening to this fav song since I was little I love love love
Just like me
Kati ya nyimbo ambazo sichoki kusikiliza ni wimbo huu naupenda sana mungu awape maarifa mengi kwa nyimbo nyingine nzuri
""...Utii ni Bora sana kuliko sadaka zako,heshima wala si utumwa,e mama tii mumeo..."hicho ndicho kipengele kivunjacho ndoa nyingi kwa Sasa!.
KWELI KABISA
Hapo mlipiga penyewe kabisaaa !!
Roho mtakatifu awafunulie wimbo wa Mme mwema pia !
hakika nyimbo zazamani ninzr sana
Mubarikiwe mumenikumbunsha ndoayangu niriorea 2005 rakinisasaivi nikomujane
Pole sana 😢
Kama upo 2021 weka like yako ili twende sawaaa
Vemaaaa
Very Nice
@@paulndoshi6194I'll see ¹1½
Nyimbo za dini na bongo flever
Kijaji hapa shembe one umba
Mpaka mwaka huu 2021, bado ni miongoni mwa nyimbo bora kuimbwa Tz
Nawaelewa sana watumi wamungu
Tuko pamoja nami nimoo
Wimbo huu mlikujaga kuimba kanisani kwetu kigoma mjini kanisa la F.P.C.T mlole nilikuwa mtoto nilifurahi kuwa ona sana
Amen
Unyama sana mwalimu aliupata wimbo kutoka kwa roho mtakatifu kama yupo aishi maisha marefu kama ni marehemu apumzike kwa amani,maana neema ilishuka kama umeme
Waooo! Sawa mtu wa mtu
Mke mwema ni nani atakayemuona naupenda sana huu wimbo
Mungu awabaliki kwa kumsifu mungu
M ubarikiwe
Ujumbe unaishi huu... Mbarikiwe sanaaaa
Naupenda sana huu wimbo kwan ndani yake una ujumbe madhubuti,
Nabarikiwa sana
Hakika toka nikiwa mdogo nyimbo hizi hua zinanibariki sana❤❤
Mungu nisaidiye unikutanishe na mume bora Ku pitiya wimbo uyu nimebarikiwa sana
Nimebarikiwa sana tena sana 2023.
Kosa halitakaswi bali kitubio cha kweli ni uhuru wa nafsi zetu
Hakika Wimbo huu unamafundisho makubwa kwa wanaume wenye NDOA, Ameni
Mungu apewe sifa,abariki wa imbaji mungu nikumbuke kupitiya wimbo uyu
Jamani hii choir popote mlipo mzidi kubarikiwa, tangu kitambo huwa nawaelewa sana wimbo hauchoshi 👍
Mbarikiwe wapendwa
Hii ndio ilikuwa mavazi ya wake kabla shetani atembelee wadada na latest fashion
Mbariwe mzidi kufanya kazi ya mungu
Yesu ni kielelezo safi cha ndoa❤❤❤
Thanks for this song on marriage. God likes a peaceful marriage. God is in this choir. UNSOPHISTICATED CHOIR, NO MAKE-UP, NO FALSE HAIR, NO LIPSTICK, NO JEWELRY.( very natural).
Huu wimbo tumetoka mm nimeshazaliwa ila nilikuwa mdogo saana nashangaa inamiaka 6 Toka imetolewa wanaokumbuka kwan n mwaka gan hii
Toka niko mdg nilikua nikisikilza ...God bless u
Vizuri sana
Nilikuwa nakosa wimbo huyu lakini Mungu asifiwe sana sababu nimepata namna ya kusikia wimbo huyu Tena.
Hapo vzul San ,nakumbuk waki nilikua kambin nduta kibondo
Sisi tupo mwaka 2024
when gospel was gospel,,,nice song
Mubarikiwe sana waimbaji,munanibariki sana
Rest In Peace Mama angu hakika bila yeye hizi nyimbo nisingezisikia nikiwa mdogo naahidi kuwa mlezi mwema pia kwa wanangu
Wimbo safiii, kila mmoja afanye sehemu yake,inawezekana!
I cant fail to watch this song from NAIROBI in 24th Dec 2020.Its the song of its kind.Barikiwa sana WanaKigoma and kind regards to my Friend Zitto Kabwe-MP.
Naipenda Sana kwa kweli huu wimbo una nguvu ya Mungu ndani yake.
Mungu awabariki....nikisikiliza huu wimbo nabarikiwa Sana na naongeza kumpenda Mke wangu.ni mwezi September 2022 nautazama tena
15 April 2023... Here I am...
2023 itazindiii kubaba kwawote tunaojua thamani ya mke mwema like yako
2024 hapa ninaweza kuanza kufikilia kuoa, ila xaxa wanawake wa leo duuuh
Ndiyo, mke mwema, ni mwili wako mbona unatcukiya mwili wako...
Verry Nice.
Yaani Hawa waimbaji ni kiboko, na ninaburudika zaidi kwa style Yao ya sauti ya tatu ya juu kuimbwa na wanawake.
Yani saf
"Mke mwema yu ndani yako, tabia unazotaka, kagua kama unazo" Ujumbe safi
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu Kwa kuyufuatilia
Mungu awabariki sana. Wimbo wenu ni wimbo unaoishi haupitwi na wakati. Mungu azidi kuwainua kila iitwapo leo.
Sikujua kuwa mliuweka huku. Naupenda sana!
Hu wimbo siuchoki kwa kweli mungu awabariki kigoma tumebarikiwa kwa uimbaji toka kwa bwana
Wimbo mzuri ambao pia ni msingi wa tabia ya Wakristo wanandoa
Hawa ndowanamwimbia Mungu wa kweli hawajajiimbia wenyewe
❤ bgap san jaman
Hii nyimbo ni zaid ya nyimbo inaponga inaokoa inaleta aman na kuondoa migogoro ndani ya nyumba"" tabia unazozitaka kagua kama wewe unazo"" 🙏🙏🙏
Ni kweli kabisa nyimbo za toleo ni sahihi,lakini Nina sikitiko kuwa haya matoleo ya sasa yamebadilisha sura yamekuwa sawa na Dunia siyo ya kikristo
Ningeomba wabadirishe warudi kwa msingi wa matoleo ya mwanzo.
Asante
Mch.Onesimo Mobile, AL USA
Matoleo ya sasa ni ya .
.biashara , tupate pesa Maisha yaende.
.na sio wote Walio okoka
Boa trde amigos
Mbarikiwe,unanikumbusha miaka 2008 wkt natafuta mke mwema,nikampata 2009 na kumuoa 2010
Hahahahahaha
Jamn wmbo mzur et mbarikiwe waimbaji
Huu wimbo una niweka heri ya unyumba
2020 bado naiangalia kwaya ya wakigoma wenzangu
Tizama video ya mtoto wa MOSHI MNYIKA 👇🏻
ruclips.net/video/zUL-T1_bk50/видео.html
,
Kway
Muke mwema anatoka kwa Mungu.
Nyimbo hiiiii mwakagan
Wako vizuri
Kiukweli wimbo Huu ni mpya Kila siku masikion mwangu, hakika unanibariki sana na Kuna kitu ninajifunza
You cant find such fantastic choir in my country KENYA.👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Tizama video ya mtoto wa MOSHI MNYIKA 👇🏻
ruclips.net/video/zUL-T1_bk50/видео.html
Emali town choir did a great job
😂😂😂Stop lying my friend have you ever listened to AIc Jericho,AIC mazerus,AIC bahati,Email town choir, Machakos to name a few?Not forgetting Ruthrand Kenyatta avenue?