Mke mwema - Mkemwema choir (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 684

  • @SethTweve-y9j
    @SethTweve-y9j 13 дней назад +7

    Tunao sikiliza mwaka huu 2025 gonga like twende

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 11 месяцев назад +113

    Kama bado unaikubali hii nyimbo 2024 gonga like twende sawa

  • @JoshuaLeonard-s3y
    @JoshuaLeonard-s3y 10 месяцев назад +26

    2024 Tunakula matunda ya wimbo mzur usioisha utamu, hakika wimbo huu ni ufunuo kutoka ktk mbingu

  • @Itsyourgirl_glory
    @Itsyourgirl_glory 2 года назад +17

    2023 na bado niko humu❤ naipenda hii nyimbo tangu nikiwa na umri wa miaka 6 2007
    Hii nyimbo itabaki kuwa nyimbo bora kwangu miaka yoteeee.

  • @SamwelAbsalum
    @SamwelAbsalum 3 месяца назад +6

    Wapendwa hiii nyimbo haijawahi kuchuja Mungu ambariki mtumzi kama unaikubari kweli gonga like.

    • @isaacbugumba8303
      @isaacbugumba8303 2 месяца назад

      Hii kwaya kama ipo, nashauri wafanye live recording.
      Mungu awabariki

  • @alfredmutua8751
    @alfredmutua8751 8 дней назад +1

    I'm still on this and it's 2025, I married last year and I feel this song has good advice for the married...it's so biblical.

  • @FundiFransiscko
    @FundiFransiscko Год назад +41

    Tulio ipiga mwaka huu tujuane❤

  • @johnsonndilahomba5152
    @johnsonndilahomba5152 3 года назад +24

    Itaendelea kuwa nyimbo Bora kwa miaka yote. Big up Sana

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 7 месяцев назад +9

    Nasikiliza apa 2024,nkiwaza kuoa

  • @Rehema3
    @Rehema3 11 месяцев назад +63

    Who is still listen to this in 2024 ❤ 🥰

  • @LeahTandika
    @LeahTandika 21 день назад +1

    Mungu atusaidie ndoa nyingi Sasa zinasumbua watoto wap hatalin mungu ndiye awezae kuziponya,by neema nsungwe.

  • @SechelelaJohn
    @SechelelaJohn Год назад +15

    Naupenda sana huu wimbo Mbarikiwe sana 2023,🇹🇿

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Год назад

      Ubarikiwe mtu wa Mungu asante kwa kututia moyo niombe ushee link hii kwa wengine kisha subscribe uendelee kufurahia huduma yetu. 🎻🎻🎻🎤♥️

    • @Saidi-s1v
      @Saidi-s1v 10 месяцев назад

      Wimbo mzuri

  • @yusufujulius6665
    @yusufujulius6665 4 года назад +14

    Wimbo safi Bwana wa mbinguni awabari, waibaji wa sikuhizi jifunzeni uvaaji na mtindo ya uchezaj kupitia kwaya hii

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 9 месяцев назад +4

    2:56 Mmeimba vzr, mavazi ya kujisitiri adi raha! Ujumbe umefika vzr barikiweni Sana mwaka 2024❤❤❤❤

  • @belafontesteven5144
    @belafontesteven5144 Год назад +41

    2024 twende ❤

    • @angelamturi2207
      @angelamturi2207 10 месяцев назад

      Step zao zinapendeza

    • @hoseapatrick2435
      @hoseapatrick2435 7 месяцев назад +1

      Ni miaka mingi toka niuskie huu wimbo. 2024 nimerudi

    • @xyssn
      @xyssn 21 день назад

      Mimi hapa Congo mungu abariki tanzania na hote walimo

  • @IziakaAlly
    @IziakaAlly 15 часов назад

    Hakika nimebariki sana

  • @izacknanyaro870
    @izacknanyaro870 4 года назад +45

    Ni moja kati ya nyimbo zenye mvuto nnauangalia 2021 hongereni

    • @marykagusa8910
      @marykagusa8910 Год назад +1

      Mungu ni mwema naendelea kuwabariki sana

  • @MichaelKahisha
    @MichaelKahisha Месяц назад +1

    Kigoma hawajawahi kutuangusha

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 11 месяцев назад +22

    Hata stepu zao zimeokoka yaani zina upako yaani zinahubiri, sare zao ndo usiseme🤗Safi sana.

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  11 месяцев назад +1

      Mungu akubariki Kwa kutuongezea upako

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 11 месяцев назад

      @@Mkemwemachoir Amen!

    • @ester7689
      @ester7689 5 месяцев назад +1

      Na ni nature bila mapambo wamejaa utukufu mungu

  • @SophiaZahoro-i1k
    @SophiaZahoro-i1k 2 месяца назад +2

    Kwaya hii bado wapo

    • @ArbogastCharles
      @ArbogastCharles Месяц назад

      .Hapana hawapo , umri mkumwa, na sasa vijana wameingia .

  • @MartheNyango-g3e
    @MartheNyango-g3e 10 месяцев назад +5

    Itabaki tu nzuri🇨🇩 hii nyimbo

  • @babymarrycharlesjames5501
    @babymarrycharlesjames5501 3 года назад +11

    Mke ni mwili wako u Nani wewe wachukia mwili wako
    My mom's favorite choir MUNGU awabariki Sana kasulu

  • @SethKalu
    @SethKalu 3 месяца назад +1

    Miaka 6 sasa na ujumbe unaendelea kutafsiri hali ya ndoa za sasa. Mungu awape neema ya kupata maono ya kuleta tunzi nyingi zaidi zenye nguvu kama hii kwaajili ya kuujenga Ufalme wake.💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @ngongopaul4417
    @ngongopaul4417 5 месяцев назад +2

    Hapo kabla shetani hajawakamata waimbaji, kwaya ilikuwa inaongozwa na roho mtakatifu,,, ❤

  • @Kelvin-m7c
    @Kelvin-m7c Год назад +6

    Hii wimbo iko na mafunzo mengi sana, ikiwezekana ikue harusi zikifqnyika hapa Kenya

  • @geegalax6479
    @geegalax6479 16 дней назад

    Wimbo Bora sana ujumbe MAVAZI vyote ni utukufu Kwa Bwana Yesu nauangalia mwaka huu 2025

  • @jenistameena5303
    @jenistameena5303 3 года назад +10

    Hongereni sana kwa wimbo mzuri, umefanyika mahubiri mazuri kwangu leo, nimeusikia mara nyingi ila leo umesikika tofauti sana sana.

  • @mckinyange5122
    @mckinyange5122 4 года назад +18

    Wimbo huu ni kati ya nyimbo zilizo nifanya nitafakari sana kabla ya kuoa!! Asanteni sana wanakasulu!!

    • @Nellyney-rf4zc
      @Nellyney-rf4zc Год назад

      mngu awabaliki sana

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Год назад

      Ubarikiwe sana mtumishi kuoa haihiraji kuamua bila kutafakaru ulifanya jambo jema sana

  • @johnathelisha7297
    @johnathelisha7297 2 года назад +1

    Wakasulu tujuane kwa like hapa, 2023

  • @JustineWilliam-qy2gp
    @JustineWilliam-qy2gp 10 месяцев назад +5

    Hakika anajua kutunga wimbo

  • @MapesaSigalla
    @MapesaSigalla Год назад +3

    Hinyimbo nakupenda sana niwape hongela walio iimba mungu awatunze

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Год назад

      Ubarikiwe mtu wa Mungu Asante kutufuatilia

  • @janethjailos8299
    @janethjailos8299 2 года назад +2

    Kati ya nyimbo niliyoipenda nikiwa na umri mdogo Sana Ni hii nilikuwa naimba Sana mpk daah .......nyimbo Bora sana hii

  • @SamwelMasisa-qy2zb
    @SamwelMasisa-qy2zb 7 месяцев назад +4

    Dahh nimekumbuka mbali sana

  • @turimurugendochoir-vt5yw
    @turimurugendochoir-vt5yw 8 месяцев назад +6

    Mimi napatikana inchi Rwanda nayipendasana choir hiyi

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  8 месяцев назад

      Tunawapenda pia wanyarwanda tunatamani kuja kufanya Tamasha kubwa la nyimbo Rwanda. Mungu afungue njia amen

  • @manasemsengi9733
    @manasemsengi9733 3 года назад +5

    Ujumbe mzuri sana. Wangekuwa wanasikiliza wimbo huu akina mama wengi wangepona. Muda mwingi wanatumia kuangalia SINEMA ZETU.

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 Год назад +5

    Wimbo mzuri saana. 2023 naendelea kubarikiwa 🤲🙏😘

  • @dannoh1
    @dannoh1 11 месяцев назад +4

    My favorite song since nikiwa sunday school ❤made me to join my youth choir at matongo ELCK in Nyamira Diocese (Kenya). Best wedding song ever 💪here again on 26/02/2024.

  • @reymondmedan5976
    @reymondmedan5976 4 года назад +30

    Msiwe wa wachoyo like gonga like from kigoma

  • @SALVAJIKUBAH
    @SALVAJIKUBAH 2 месяца назад +1

    Mtunz wa wimb huu Mungu ambarik sana wimb unaujumbe hata waimbaji wako vizur mavaz yana wakilisha kbs Mungu awabariki mlipoo

  • @knightayiera188
    @knightayiera188 2 года назад +13

    I really appreciate my parents for introducing us to these songs at a young age.

  • @gabrielgodwinerwandindi8358
    @gabrielgodwinerwandindi8358 Год назад +2

    Mbarikiwe sana watu wa MUNGU mimi nabarikiwa ninaposikiliza na kutafakari wimbo huu, kweli napata kumuona mke wangu ni mpya siku zote. Leo tuna miaka 22 tuna amani kwelikweli,niwaombe nanyi muishi kwa kuutafakari wimbo huu.mbarikiwe.

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Год назад

      Ubarikiwe sana nakutakia maisha marefu zaid ya ndoa yenu

  • @emmanuelmutava
    @emmanuelmutava 11 месяцев назад +1

    Whenever I listen to these old songs I usually become emotional, they are very sweet ❤

  • @musatergech2656
    @musatergech2656 3 года назад +9

    Tulikuwa pamoja huko kigoma, I remember my friend Rashid, back 2003

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 2 года назад +19

    Its 2022 but am still listening to this fav song since I was little I love love love

  • @salumsalumrobert
    @salumsalumrobert Год назад +2

    Kati ya nyimbo ambazo sichoki kusikiliza ni wimbo huu naupenda sana mungu awape maarifa mengi kwa nyimbo nyingine nzuri

  • @mashakalonka9407
    @mashakalonka9407 5 лет назад +15

    ""...Utii ni Bora sana kuliko sadaka zako,heshima wala si utumwa,e mama tii mumeo..."hicho ndicho kipengele kivunjacho ndoa nyingi kwa Sasa!.

  • @faustinelutwe6901
    @faustinelutwe6901 4 года назад +7

    Hapo mlipiga penyewe kabisaaa !!
    Roho mtakatifu awafunulie wimbo wa Mme mwema pia !

  • @ThomasSinoni
    @ThomasSinoni Год назад +2

    hakika nyimbo zazamani ninzr sana

  • @raimondnduwi
    @raimondnduwi 8 месяцев назад +3

    Mubarikiwe mumenikumbunsha ndoayangu niriorea 2005 rakinisasaivi nikomujane

  • @michaelgidion790
    @michaelgidion790 4 года назад +63

    Kama upo 2021 weka like yako ili twende sawaaa

  • @brysonmarabi4024
    @brysonmarabi4024 4 года назад +14

    Mpaka mwaka huu 2021, bado ni miongoni mwa nyimbo bora kuimbwa Tz

  • @olivabosco4880
    @olivabosco4880 4 года назад +3

    Wimbo huu mlikujaga kuimba kanisani kwetu kigoma mjini kanisa la F.P.C.T mlole nilikuwa mtoto nilifurahi kuwa ona sana

  • @yohanakajembe6172
    @yohanakajembe6172 11 месяцев назад +1

    Unyama sana mwalimu aliupata wimbo kutoka kwa roho mtakatifu kama yupo aishi maisha marefu kama ni marehemu apumzike kwa amani,maana neema ilishuka kama umeme

  • @johnmhanga3746
    @johnmhanga3746 4 года назад +16

    Mke mwema ni nani atakayemuona naupenda sana huu wimbo

  • @cosmasmpwage3155
    @cosmasmpwage3155 6 лет назад +26

    Ujumbe unaishi huu... Mbarikiwe sanaaaa

  • @MamaJackiMamaJack
    @MamaJackiMamaJack 19 дней назад

    Hakika toka nikiwa mdogo nyimbo hizi hua zinanibariki sana❤❤

  • @BerthaRwagaza
    @BerthaRwagaza Месяц назад

    Mungu nisaidiye unikutanishe na mume bora Ku pitiya wimbo uyu nimebarikiwa sana

  • @enockndegemwema4246
    @enockndegemwema4246 2 года назад +1

    Nimebarikiwa sana tena sana 2023.

  • @zacharianyangi1575
    @zacharianyangi1575 Месяц назад

    Kosa halitakaswi bali kitubio cha kweli ni uhuru wa nafsi zetu

  • @AsajileKayange
    @AsajileKayange 9 месяцев назад +1

    Hakika Wimbo huu unamafundisho makubwa kwa wanaume wenye NDOA, Ameni

  • @BerthaRwagaza
    @BerthaRwagaza Месяц назад

    Mungu apewe sifa,abariki wa imbaji mungu nikumbuke kupitiya wimbo uyu

  • @jenymtafya3430
    @jenymtafya3430 4 года назад +13

    Jamani hii choir popote mlipo mzidi kubarikiwa, tangu kitambo huwa nawaelewa sana wimbo hauchoshi 👍

  • @janestellaeustace3373
    @janestellaeustace3373 2 месяца назад

    Hii ndio ilikuwa mavazi ya wake kabla shetani atembelee wadada na latest fashion

  • @NeemaJeremia-u8r
    @NeemaJeremia-u8r 23 дня назад

    Mbariwe mzidi kufanya kazi ya mungu

  • @Veronicafelixmrema
    @Veronicafelixmrema 22 дня назад

    Yesu ni kielelezo safi cha ndoa❤❤❤

  • @gordonomondi7161
    @gordonomondi7161 2 года назад +3

    Thanks for this song on marriage. God likes a peaceful marriage. God is in this choir. UNSOPHISTICATED CHOIR, NO MAKE-UP, NO FALSE HAIR, NO LIPSTICK, NO JEWELRY.( very natural).

  • @gastonkifaluka6548
    @gastonkifaluka6548 20 дней назад

    Huu wimbo tumetoka mm nimeshazaliwa ila nilikuwa mdogo saana nashangaa inamiaka 6 Toka imetolewa wanaokumbuka kwan n mwaka gan hii

  • @GodiedeOswaie
    @GodiedeOswaie 4 года назад +11

    Toka niko mdg nilikua nikisikilza ...God bless u

  • @SindikubwaboMathieu-l4z
    @SindikubwaboMathieu-l4z 2 месяца назад

    Nilikuwa nakosa wimbo huyu lakini Mungu asifiwe sana sababu nimepata namna ya kusikia wimbo huyu Tena.

  • @AntonyOnzere
    @AntonyOnzere 3 месяца назад

    Hapo vzul San ,nakumbuk waki nilikua kambin nduta kibondo

  • @tontonngoylenge1930
    @tontonngoylenge1930 Месяц назад

    Sisi tupo mwaka 2024

  • @sylvanusfelix6998
    @sylvanusfelix6998 4 года назад +21

    when gospel was gospel,,,nice song

    • @alainmasakara
      @alainmasakara 2 года назад

      Mubarikiwe sana waimbaji,munanibariki sana

  • @kelvinamani3957
    @kelvinamani3957 13 дней назад

    Rest In Peace Mama angu hakika bila yeye hizi nyimbo nisingezisikia nikiwa mdogo naahidi kuwa mlezi mwema pia kwa wanangu

  • @savelife2911
    @savelife2911 4 года назад +16

    Wimbo safiii, kila mmoja afanye sehemu yake,inawezekana!

  • @Lord-Kipsang
    @Lord-Kipsang 4 года назад +13

    I cant fail to watch this song from NAIROBI in 24th Dec 2020.Its the song of its kind.Barikiwa sana WanaKigoma and kind regards to my Friend Zitto Kabwe-MP.

  • @stalatonsebastian-re9cw
    @stalatonsebastian-re9cw 2 месяца назад

    Naipenda Sana kwa kweli huu wimbo una nguvu ya Mungu ndani yake.

  • @azizizabron7792
    @azizizabron7792 2 года назад +2

    Mungu awabariki....nikisikiliza huu wimbo nabarikiwa Sana na naongeza kumpenda Mke wangu.ni mwezi September 2022 nautazama tena

  • @mwangisamuel1972
    @mwangisamuel1972 Год назад +1

    15 April 2023... Here I am...

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Год назад

    2023 itazindiii kubaba kwawote tunaojua thamani ya mke mwema like yako

  • @FeisalMackstone
    @FeisalMackstone 2 месяца назад

    2024 hapa ninaweza kuanza kufikilia kuoa, ila xaxa wanawake wa leo duuuh

  • @tharcissekayumba3406
    @tharcissekayumba3406 4 года назад +4

    Ndiyo, mke mwema, ni mwili wako mbona unatcukiya mwili wako...

  • @mwanakwetu6472
    @mwanakwetu6472 6 месяцев назад

    Yaani Hawa waimbaji ni kiboko, na ninaburudika zaidi kwa style Yao ya sauti ya tatu ya juu kuimbwa na wanawake.

  • @RukamyaSosoye
    @RukamyaSosoye 10 дней назад

    Yani saf

  • @GodfreydidIT
    @GodfreydidIT Год назад +1

    "Mke mwema yu ndani yako, tabia unazotaka, kagua kama unazo" Ujumbe safi

    • @Mkemwemachoir
      @Mkemwemachoir  Год назад

      Ubarikiwe sana mtu wa Mungu Kwa kuyufuatilia

  • @rubeba9624
    @rubeba9624 4 года назад +4

    Mungu awabariki sana. Wimbo wenu ni wimbo unaoishi haupitwi na wakati. Mungu azidi kuwainua kila iitwapo leo.
    Sikujua kuwa mliuweka huku. Naupenda sana!

  • @olivabosco4880
    @olivabosco4880 4 года назад +1

    Hu wimbo siuchoki kwa kweli mungu awabariki kigoma tumebarikiwa kwa uimbaji toka kwa bwana

  • @BirushaNdegeya
    @BirushaNdegeya 3 месяца назад

    Wimbo mzuri ambao pia ni msingi wa tabia ya Wakristo wanandoa

  • @FIKIRIMATONYA
    @FIKIRIMATONYA 4 месяца назад

    Hawa ndowanamwimbia Mungu wa kweli hawajajiimbia wenyewe

  • @VERONICAERIASI
    @VERONICAERIASI 6 месяцев назад

    ❤ bgap san jaman

  • @kheridluyagaza7186
    @kheridluyagaza7186 2 года назад

    Hii nyimbo ni zaid ya nyimbo inaponga inaokoa inaleta aman na kuondoa migogoro ndani ya nyumba"" tabia unazozitaka kagua kama wewe unazo"" 🙏🙏🙏

  • @nahimanaonesimo1597
    @nahimanaonesimo1597 3 месяца назад

    Ni kweli kabisa nyimbo za toleo ni sahihi,lakini Nina sikitiko kuwa haya matoleo ya sasa yamebadilisha sura yamekuwa sawa na Dunia siyo ya kikristo
    Ningeomba wabadirishe warudi kwa msingi wa matoleo ya mwanzo.
    Asante
    Mch.Onesimo Mobile, AL USA

    • @ArbogastCharles
      @ArbogastCharles Месяц назад

      Matoleo ya sasa ni ya .
      .biashara , tupate pesa Maisha yaende.

    • @ArbogastCharles
      @ArbogastCharles Месяц назад

      .na sio wote Walio okoka

  • @celiaamaral1518
    @celiaamaral1518 3 года назад +1

    Boa trde amigos

  • @martinngonyani5494
    @martinngonyani5494 4 года назад +3

    Mbarikiwe,unanikumbusha miaka 2008 wkt natafuta mke mwema,nikampata 2009 na kumuoa 2010

  • @DesirePaluku-q3s
    @DesirePaluku-q3s 2 месяца назад

    Huu wimbo una niweka heri ya unyumba

  • @furahabarayati2403
    @furahabarayati2403 4 года назад +8

    2020 bado naiangalia kwaya ya wakigoma wenzangu

  • @JanvierSiyajuwe
    @JanvierSiyajuwe 2 месяца назад

    Muke mwema anatoka kwa Mungu.

  • @RukamyaSosoye
    @RukamyaSosoye 10 дней назад

    Nyimbo hiiiii mwakagan

  • @Nengwe-f5m
    @Nengwe-f5m 3 месяца назад

    Wako vizuri

  • @SARAHTITOMWAMPASHI-vn9hc
    @SARAHTITOMWAMPASHI-vn9hc Год назад

    Kiukweli wimbo Huu ni mpya Kila siku masikion mwangu, hakika unanibariki sana na Kuna kitu ninajifunza

  • @Lord-Kipsang
    @Lord-Kipsang 4 года назад +13

    You cant find such fantastic choir in my country KENYA.👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 года назад +1

      Tizama video ya mtoto wa MOSHI MNYIKA 👇🏻
      ruclips.net/video/zUL-T1_bk50/видео.html

    • @kevinkhaemba9968
      @kevinkhaemba9968 3 года назад +1

      Emali town choir did a great job

    • @tende_marwa
      @tende_marwa Год назад

      😂😂😂Stop lying my friend have you ever listened to AIc Jericho,AIC mazerus,AIC bahati,Email town choir, Machakos to name a few?Not forgetting Ruthrand Kenyatta avenue?