UCHAMBUZI: Ubora wa Yanga SC umebebwa na wachezaji hawa mbele ya Augsburg FC • Baleke sio poa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 7

  • @AbdulkarimYakub
    @AbdulkarimYakub Месяц назад

    Bareke chuma Cha pua Asante engineer mungu akuzidishiye na kocha hongera yanga oyeeee

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl Месяц назад

    Asante. Sana. SALAMBA. TV. Na. Jopo. Lako. La. Wachambuzi. Ukweli. Mimi. Nawafuatlia. Sana. Kwani. Ni. Wachambuzi. Mahiri. Msiokuwa. Na. Mbambamba. Mnaongea. Michezo. Zaidi. Sio. Kufarakanisha. Huo. Ndo. Ukweli. Mungu. Awalinde. Salama. TV. Wote

  • @AllanAluma-ss8lb
    @AllanAluma-ss8lb Месяц назад +2

    Bundasliga ni league ya 3 dunian
    Epl
    Laliga
    Bundasliga

  • @AbdulkarimYakub
    @AbdulkarimYakub Месяц назад

    Yanga sc mimi mwanachama nimefurahi kucheza na ujerumani washatufahamu yanga sc kubwa ila kocha aongeze ujuzi timu ya ushindani tutaitwa tena wamevutiwa na yanga mungu atubariki yanga Tanzania tutajulikana ulaya makolo kilimo

  • @AllanAluma-ss8lb
    @AllanAluma-ss8lb Месяц назад

    Thanks!!

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 Месяц назад

    Noted wachambuz mahili na msio kuwa na kuegemea upande wowote

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Месяц назад

    YANGA KUPOTEZA KWA AUGSBURG NI KITU VIZURI, WANGESHINDA WASINGEPATA CHACHU YA MAPAMBANO. KWAKUPOTEZA HUKO WATAKUWA WAKALI SANA.